Ninafurahia sana kwa mafundisho yako mazuri ya kuwaamsha wa afrika hususani watanzania ili kurudi katika maisha sahihi ya mtu mweusi wazungu lengo lao ni kumaliza kizazi cha mtu mweusi , Waafrika tushirikiane kwa pamoja Ahsante sana Prince Katega wa 11 mungu akubariki .
Nakukubali prince na unatufanya tujiamini zaidi waafrica. Hawa mapadre na wachungaji wanalazimishwa chuoni kukataa jadi lkn mbona wanaojiamini wanaongea? Mch mmoja mzee anasema niliwahi kuambiwa na mtu wa busara genius akasema mch mmeruhusu watu wamekata miti minene (ebigabiro) mnaelekea pabaya. Haya maji mvua inaponyesha yanatuama humo, then ukame ukija yale maji yanakuwa msaada, leo hii mmekata miti minene mvua ikinyesha maji yote yanaondoka (yanaenda ziwa victoria) ,mtakapolia baa la njaa huyu mzungu atasema nawasaidia chakula lkn mpaka mkubali ushoga. Wewe kiongozi km bado unawapenda watu wako wasife njaa utausain huo mkataba.
Kuna wimbo wa wa ruthen ktk kitabu mwimbieni bwana unasema Abanzaaa akwasa enshoni abaina amaani gangi. Huu tumeuimba sana kipindi cha corona, wametutengenezea sisi lkn wamekufa wao km utitiri, na hapo ndio ndio waliumbuka tukajijua sisi ni original toka kwa Mungu lkn wao ni copy na ndio maana miili yao haikuweza kuhimili corona
Mmi nakkubali sana mzee kweli haiwezekani ety wao ndio wanatengeneza makaratasi/pesa ikisha wao wao wakapanga thamani yavitu vyetu sasa mmi hujiuliza mbna tunategemeana ila mipango yamatumizi ya kimataifa nitofauty
Nimekuelewa sana Ta.Mlangila Katega II Na kwa ujinga wetu tunauana na kubaguana,Hamna atakae enda mbingun pasipo Yesu kristo, Mala Asie Muislam n Kafir Hii inamaanisha Babu wa Babu yako ndie kafir wa kwanza, na pia hataenda mbinguni maana hamjui Yesu Tutumie akili tuache kuuana kwa mapokeo. Ya wazungu na Waarabu.
Kwakwel katega namwelewa san na ninakukubal san, ila kwa wale ambao wametekwa na vitabu vinavyoitwa vya mung, hawawez kuelewa, mm nimefanya utafiti san mpaka kwenye dini zote nimepita, haya anayoongea katega ni ya kweli kabisa, waafrika tumwunge mkono
Uyu Jamaa Ni Mpagani Kwaiyo ukimsikiliza Uwe na Iman iliyosimamma bila ya hivyo anakutoa Kwenye Reli . Mana Dini yake anaabudu Shetani na Lengo lake ni Kuwapoteza Watu .mbona Aongelei kuhusu Shetani kwamba Ni Master wake
Trico media Asante Kwa kutujuza mambo meng mazur ila me nna swali nataka kujua je kuku jogoo akija Mbele yako afu ana simama Kwa mguu mmoja kunachochote hapo au ?
Wale wanao mbisha mzee huyu hebu tafuta ukweli huo kwenye google, bonyeza andika "anunnaki people" hawa ni watu wa zamani. Adamu hakuumbwa wa kwanza vitabu vipo vya watu waliohishi kabla ya Adamu
Sio siri Baba mzazi nimekwerewa sanaaaaa tena sana ,,,unaongea ukweri kabisa kwanza tunakushukuru sana kwa kutufungua macho nikama vile tulikua tumefunikwa lakini wewe kupitia kipawa ulichopewa na mungu umetufungua ,,,,, Mimi sina mengi ila NAOMBA UNITUMIE NAMBA YAKO YA SIMU NIKUTEMBELEE SIKU MOJA KUNA USHAURI NATAKA UNISAIDIE
Ushauri wangu kwako mzee ,ungeongelea mambo ya historia na sio Theology ,unayo yaongea mengi umefikiria wewe pia unaimarisha watu kurudi katika kuabudu ushirikina au mizimu,
Wwe, unavohis kwmba, mzungu , hakuk letea chakula kizuri, nguo nzur , maisha mazur n.k, unadhani dini ndo angek letea nzuri,,, tafakari usipende k hukum haraka, fikiri kwanza
Ndo mana mnaambiwa msome vitabu vya kale...Yesu ataludi na kufufua watu wake na wataishi miaka 1000 apa duniani bila magonjwa wala shida. Wale wenye zambi watabaki kaburini mpaka miaka 1000 ipite ndipo watapewa hukumu
Mimi Mimi unaamini yesu atarudi basi wewe n muisilamu wewe n mkatholiki ama pop francis ambaye munamuamini asema hakuna jahanamu wala pepo Bali huyu jamaa anawapotosha tu!
Ukweli mawazo ya kufikiri ya huyu mzee hayana mashiko na anamkosea mungu kusema anakosea yeye ukweli hakuna sehem mungu amekosea hii raana anaisema yeye kama bob mare alisema national mistake. Swali ni kumtusi mungu kwa kujifanya anamawazo ambayo kimsingi kufufuka ni jambo la litakuja baada ya dunia kuwa imefika kikomo na kufufuliwa kwa ethabu huku ni kujitoa ufaham asome watu wa mapangoni
Natamani sana kusikiliza mafundisho yako. Ila bado sijakuerewa unamaanisha nini. Hasa tufanye nini sisi weusi, wewe unaamini nini juu ya dini za kuja. Niza kweli? Au ni uongo wa kizungu, kwanini bado unanadi biblia?
Ni nadharia zako unazoziamini,ni mtazamo wako,kumbe wewe unakubaliana na watu wanaoabudu miungu inayojitambulisha kupitia Sanamu,milima,mapori,wanyama,mizimu,n.k Kwangu Mimi nakataa na kuupinga mtazamo wako potofu
Prince Katega wa pili Afichua SIRI HATARI ZAIDI DUNIANI zilizofichwa na wazungu HAWATAKI TUZIJUE
ruclips.net/video/Qk7zGwGMKPM/видео.html
Tricod Media seen
Huyu baba tumeletewa na mungu wetu waafrika, huyu ni baba wa afrika. 👏👏👍👍🙋🙋🙌🙌❤❤
Asante endeiea kunifuatilia kwenye RUclips yangu
PRINCE KATEGA II 2O19
This guy is God sent. Super clever. Thanks a lot.
Ninafurahia sana kwa mafundisho yako mazuri ya kuwaamsha wa afrika hususani watanzania ili kurudi katika maisha sahihi ya mtu mweusi wazungu lengo lao ni kumaliza kizazi cha mtu mweusi ,
Waafrika tushirikiane kwa pamoja
Ahsante sana Prince Katega wa 11 mungu akubariki .
Uko vizuri sana mzee wangu prince katega
Napenda sana kuskiliza mafundisho yako, napata vitu vingi sana vizuri
Nmemuelewa kwa kwali ameongea vzur. Binafsi ntaanza kumfatilia kama uko pamoja nami show lov
Pamoja sana
asante sana
karibu
Nakukubali prince na unatufanya tujiamini zaidi waafrica. Hawa mapadre na wachungaji wanalazimishwa chuoni kukataa jadi lkn mbona wanaojiamini wanaongea? Mch mmoja mzee anasema niliwahi kuambiwa na mtu wa busara genius akasema mch mmeruhusu watu wamekata miti minene (ebigabiro) mnaelekea pabaya. Haya maji mvua inaponyesha yanatuama humo, then ukame ukija yale maji yanakuwa msaada, leo hii mmekata miti minene mvua ikinyesha maji yote yanaondoka (yanaenda ziwa victoria) ,mtakapolia baa la njaa huyu mzungu atasema nawasaidia chakula lkn mpaka mkubali ushoga. Wewe kiongozi km bado unawapenda watu wako wasife njaa utausain huo mkataba.
Kuna wimbo wa wa ruthen ktk kitabu mwimbieni bwana unasema Abanzaaa akwasa enshoni abaina amaani gangi. Huu tumeuimba sana kipindi cha corona, wametutengenezea sisi lkn wamekufa wao km utitiri, na hapo ndio ndio waliumbuka tukajijua sisi ni original toka kwa Mungu lkn wao ni copy na ndio maana miili yao haikuweza kuhimili corona
This is correct.
true.....
Umetisha
Very insightful!
una zungumuza ukweli mzee wetu,alakini watu awakwelewe,
Wameanza kuelewa
Naomba uniunganishe na group lake bro ntashukuru sana
Ila mzee nakuelewa
Mzee baba Upo vizur Siyabonga
Very Interesting 🤔
Nakukubali sana kaka
Bethuel Mbugua from Kenya.
Kweli Kabisa Prince Katega
Akili za kuambiwa changanya na zako...
Nice
😍😍😍😍😍 ubarikiwe
Kweli baba
Mzee nakukubaliii
Mmi nakkubali sana mzee kweli haiwezekani ety wao ndio wanatengeneza makaratasi/pesa ikisha wao wao wakapanga thamani yavitu vyetu sasa mmi hujiuliza mbna tunategemeana ila mipango yamatumizi ya kimataifa nitofauty
Kweli akili zikizidi sana zinaweza kukuaminisha ujinga kama anavyosema profesor katega.
Upo nje ya box
We never die
Nakupenda Sana mwanaharakati tupo pamojaaaa...mungu alishafeli toka mwanzoo
Nimekuelewa sana Ta.Mlangila Katega II
Na kwa ujinga wetu tunauana na kubaguana,Hamna atakae enda mbingun pasipo Yesu kristo, Mala Asie Muislam n Kafir
Hii inamaanisha Babu wa Babu yako ndie kafir wa kwanza, na pia hataenda mbinguni maana hamjui Yesu
Tutumie akili tuache kuuana kwa mapokeo. Ya wazungu na Waarabu.
Kwakwel katega namwelewa san na ninakukubal san, ila kwa wale ambao wametekwa na vitabu vinavyoitwa vya mung, hawawez kuelewa, mm nimefanya utafiti san mpaka kwenye dini zote nimepita, haya anayoongea katega ni ya kweli kabisa, waafrika tumwunge mkono
Uko pamoja na Mimi broo huyu mzee namwelewa sana
Vasco Benedict pamoja san ndug yang
Uyu Jamaa Ni Mpagani Kwaiyo ukimsikiliza Uwe na Iman iliyosimamma bila ya hivyo anakutoa Kwenye Reli . Mana Dini yake anaabudu Shetani na Lengo lake ni Kuwapoteza Watu .mbona Aongelei kuhusu Shetani kwamba Ni Master wake
Wewe ndio shetani
Shida ya waafrica mpendi ukweli
Ruhusu kichwa kifanye kazi na sio kulichosha shingo tu basi.
@@isakabaragomwa296 kabisa
Sasa wewe unajua maana ya mpagani
Here we go.
Trico media Asante Kwa kutujuza mambo meng mazur ila me nna swali nataka kujua je kuku jogoo akija Mbele yako afu ana simama Kwa mguu mmoja kunachochote hapo au ?
Broh... Maanake huenda uliwahi kuwa tetea kabla ya kuwa binaadamu...
Ushauri wangu kimbia... Lasivyo atakutagisha yai broh!
Anachoongea ni kweli coz huwa nafuatilia sana hzo mambo
Soma vitabu tofaut kabla yakutuelimisha una weza ukawamwalim mzur zaid
Professor Mbugua namkumbuka
Mzee anaakili nying sana
Kiswahili ni Lugha ya utambulisho wa Africa
Nakuelewa sana mzee wangu
Dah. Tume maarifa Prince Katega 2
Still watching..
Nimekuelewaaa
Hiyo nikwel kabisa maana hatamm kunakitu nlikua na kikumbuka nikiwa mdogo naskuwai kukiona wala asaivi sjakiona
Hii sijaielewa kabisa....
Hujaelwa kwa sababu tayari ushatawaliwa kifikra,hizo ni fikra zake yeye kwahiyo na wewe tumia fikra zako kufata kile unachoona sahihi kwako.
Sikiliza tena
Tafta mic 🎙 babu. Itakua bora
Umesema kweli brother.
Wale wanao mbisha mzee huyu hebu tafuta ukweli huo kwenye google, bonyeza andika "anunnaki people" hawa ni watu wa zamani. Adamu hakuumbwa wa kwanza vitabu vipo vya watu waliohishi kabla ya Adamu
Kweli unachosema maana mimi najiona nilikuwepo ,nilikuwa nimemwoa mke wangu nzungu ,alafu nilikuwa msomi sana
Hahahahaahaaa
😂😂😂
Hahahaaa mmh huyu kweli akili zikizidi ndio ubovu wake huo
Hahahaa mwangu we chizi hahahha umenichekesha sana
😃😃😃😃😃😃🤣🤣🤣🤣🤣
Mzee unazinguaaa, kwahiyo kama haufuati miiko ya kiislam basi na uislam usiufate basi.
Reincarnation,
Anhaaa ,nqkumbuka nilikuwa mwindaji ulaya miaka ya 1886, huko
Hahahahaha
Anhaaaaaaa we acha Kiki zako bwana
😂😂😂😂😂😂😂
Jamani nitapataje masomo zaidi ya Prince Katega
Ingia kwenye channel yake prince Katega II 2019
Sio siri Baba mzazi nimekwerewa sanaaaaa tena sana ,,,unaongea ukweri kabisa kwanza tunakushukuru sana kwa kutufungua macho nikama vile tulikua tumefunikwa lakini wewe kupitia kipawa ulichopewa na mungu umetufungua ,,,,, Mimi sina mengi ila NAOMBA UNITUMIE NAMBA YAKO YA SIMU NIKUTEMBELEE SIKU MOJA KUNA USHAURI NATAKA UNISAIDIE
Number ya mzee muhimu sana hata mimipia naitaji
tuko pamoja
I wish angekuwepo Mchungaji Mtikila afanye kolabo na Prince Katega (before alikuwa kanisani kwa Mtikila) naamini tungeenda mchaka mchaka mtamu mno
Ushauri wangu kwako mzee ,ungeongelea mambo ya historia na sio Theology ,unayo yaongea mengi umefikiria wewe pia unaimarisha watu kurudi katika kuabudu ushirikina au mizimu,
Nini maana ya mizimu?
Wwe, unavohis kwmba, mzungu , hakuk letea chakula kizuri, nguo nzur , maisha mazur n.k, unadhani dini ndo angek letea nzuri,,, tafakari usipende k hukum haraka, fikiri kwanza
Afrika tulitolewa na kwenye reli na wazungu
Nakufatilia Sanaa unasema ukwel
Wenye walileta hizo dini hawakupea waafrika wakati huo Maisha mazuri, chakula mzuri, nguo mzuri. Kwanini basi tunaamini kwamba walitupea dini mzuri?
Ukweli mtupu
Ukisoma Sana hakili inapotea
Upo nje ya box
Tuko pamoja sssssana
Pamoja sanaaaa kaka
Prence ll naomba tuwasiliane
Acha tungoje siku za mwisho Manake watuchanganyaa kabsaaa.....
🤣🤣🤣 unachekesha ukikufa utafufuka tena siku ya kiama
Ndo mana mnaambiwa msome vitabu vya kale...Yesu ataludi na kufufua watu wake na wataishi miaka 1000 apa duniani bila magonjwa wala shida. Wale wenye zambi watabaki kaburini mpaka miaka 1000 ipite ndipo watapewa hukumu
Mimi Mimi unaamini yesu atarudi basi wewe n muisilamu wewe n mkatholiki ama pop francis ambaye munamuamini asema hakuna jahanamu wala pepo Bali huyu jamaa anawapotosha tu!
Ukweli mawazo ya kufikiri ya huyu mzee hayana mashiko na anamkosea mungu kusema anakosea yeye ukweli hakuna sehem mungu amekosea hii raana anaisema yeye kama bob mare alisema national mistake. Swali ni kumtusi mungu kwa kujifanya anamawazo ambayo kimsingi kufufuka ni jambo la litakuja baada ya dunia kuwa imefika kikomo na kufufuliwa kwa ethabu huku ni kujitoa ufaham asome watu wa mapangoni
Pumbavu wew mungu yupi wa wanzingu???
Kama kuna Continent iliwacha Mungu wao ni Africa, tunaabudu Mungu wa Wazungu, Wakiarabu na Kathalika, Africa Mumrudie Mungu wenyu
Nyinyi si mola mnajifanya mnajua maisha vile inaenda wiwi nimuongo
Imqwezekana ndio spirit kuzaliwa kwenginne ila inaweza kazi sehemu tofauti ila chimbuko ni palepale
Natamani kujifunza mengi kupitia wewe prince hata sijui. Nifanyaje
Ingia kwenye channel yake prince katega II huko kuna mawasiliano yake
Yaani ulivyoongea baba nami nishafikiria vitu kama hivyo
Mimi nakubaliana na wewe ila nagusia mbinu walio tumia kuua elimu yetu na maarifa yetu.
Sii nyingine ni dini.
Kama zipo nyingine zitafuata.
Nimekupata katega kutokea Canada iyo stori ya huyo mtoto nimefatiliya vizuri.
Shakuelewa sn na stachoka kukufatilia mpaka niwe na ww sikumoja
Kalikuwa kanaitwa BETHUEL MBUGUA
Mwombeki my son
Elim ya roho anaijuamuumba ishuyamtoto kujuamambo nimiujiza inaitwa nakilakiumbe kina mwilinaroho nandiomana ata malaka waumaut atakufa
Acha ujinga kama upifindishwakwenye Qur'an pia unaeza kujifunza katika vitabu vingine acha uvivu wa kufikiria
Wachina walianza hivyo mpaka leo wanaabudu nyoka Dragoni,
Wachinna wanamuabudu Mungu
Unaweza kua umsomi mzuri ila akili hamna
Umenichekeshaaaaa
Nick Brown mtumwa wa fikra ww
haya maarifa ukiyapenda shika usipoyapenda yaache but don't say ur lying
Naona yesu kama amerudi😆
Natamani sana kusikiliza mafundisho yako. Ila bado sijakuerewa unamaanisha nini. Hasa tufanye nini sisi weusi, wewe unaamini nini juu ya dini za kuja. Niza kweli? Au ni uongo wa kizungu, kwanini bado unanadi biblia?
nimekuelewa mkuu
Mabele ndongo tuko pamoja Sana Mzee wangu wafunulie kulasa wanatusumbua na magita kila Kona Hadi kelooooo
Ninavyohic sio kwamba baada ya yule mzee kufa alizaliwa tena, bali ile roho chafu au wengine wanaita mzimu wa yule mzee ulimvaa mtoto
Kwahiyo mfano baba ako amefariki anageuka kuwa mzimu mchafu??
Ko unataka kuniambia huwa unakula matunda yote ya msimu😁😁
Kwa mambo ya mizimu hivi mbona maandiko ya bibilia inasema hakuna uhusiano kati ya walio kufa na walio hai
Hizi ni siku za mwisho jamani mkiona ha yanatukia mjuwe you karibu kiristo kurejea.
Ebu fanya mpak mataifa wajue hili
Kabisa
Ni nadharia zako unazoziamini,ni mtazamo wako,kumbe wewe unakubaliana na watu wanaoabudu miungu inayojitambulisha kupitia Sanamu,milima,mapori,wanyama,mizimu,n.k
Kwangu Mimi nakataa na kuupinga mtazamo wako potofu
Hata kuzini ilikuw kabla ya Amri cz Joseph alikata kuzini na mke wa Farao
Nyani ni walewale misitu ndio imebadilika.
Tunakushuru he tutakupata wapi?
Unaushawishi katega
WAKWANZA KUTANZAMA KATEGA WA PILI
Fresh Bongo 😂😂😂
Mi pia nilikua msanii mkubwa sana mi cjui luky dube maana napenda sna rasta
Haaaaaaaaaaa
Dah yaani hiyo ya mizimu tunaikandia alafu tunatumia majina ya Koo zetu umenichallenge sana, umenikuna
Umeona eeeh Lack of knowledge 😂😂😂😂😂
Hatumuelewi
Ukija na akikili xa kichwan huwezi kumuelewa
Huwezi kumuelewa kwa sababu ushatawaliwa kifikra.
Utamwerewa VP wakati ww nimweus
Kama umeenda shule kidogo utagundua huyu katega 11 anachoongea ni ukweli kamili
Anaongea kwa hisia na sio uhalisia
Prince anasemaje kuhusu uwepo wa shetani?
Shetani ni matendo yako kuna watu wana bad spirit lakini sio wa kwenye bible
Hahuna Shetani hivyo ni visa asili
kila mtu atayaongea yakwake ila mungu anawajuwa walio wake yaliyo tabiriwa yameshatukiwa ,ee molla wangu nipe kufata yaliyo yaliyo yako
Kila mtu ni mtu wa Mungu na ndio maana alikuumba sema 2 makosa yetu ndo yanatutenganisha na Mungu
Ila kila kiumbe ni cha Mungu
😂😂 Dah