HII SIRI imekaa vibaya Prince katega wa pili AFICHUA MAZITO kweli huyu ni baba lao

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 212

  • @TricodMedia
    @TricodMedia  4 года назад +6

    Prince Katega wa pili Afichua SIRI HATARI ZAIDI DUNIANI zilizofichwa na wazungu HAWATAKI TUZIJUE
    ruclips.net/video/Qk7zGwGMKPM/видео.html

  • @theodorychristopher4795
    @theodorychristopher4795 4 года назад +7

    Huyu baba tumeletewa na mungu wetu waafrika, huyu ni baba wa afrika. 👏👏👍👍🙋🙋🙌🙌❤❤

    • @ukoa2020
      @ukoa2020 3 года назад

      Asante endeiea kunifuatilia kwenye RUclips yangu
      PRINCE KATEGA II 2O19

  • @sundayoyanda7386
    @sundayoyanda7386 4 года назад +2

    This guy is God sent. Super clever. Thanks a lot.

  • @johngrivin3537
    @johngrivin3537 3 года назад +1

    Ninafurahia sana kwa mafundisho yako mazuri ya kuwaamsha wa afrika hususani watanzania ili kurudi katika maisha sahihi ya mtu mweusi wazungu lengo lao ni kumaliza kizazi cha mtu mweusi ,
    Waafrika tushirikiane kwa pamoja
    Ahsante sana Prince Katega wa 11 mungu akubariki .

  • @mpzooculture4959
    @mpzooculture4959 4 месяца назад

    Uko vizuri sana mzee wangu prince katega

  • @georgeshigela3643
    @georgeshigela3643 3 года назад +2

    Napenda sana kuskiliza mafundisho yako, napata vitu vingi sana vizuri

  • @sonti2821
    @sonti2821 4 года назад +22

    Nmemuelewa kwa kwali ameongea vzur. Binafsi ntaanza kumfatilia kama uko pamoja nami show lov

  • @anakoku4022
    @anakoku4022 Год назад +2

    Nakukubali prince na unatufanya tujiamini zaidi waafrica. Hawa mapadre na wachungaji wanalazimishwa chuoni kukataa jadi lkn mbona wanaojiamini wanaongea? Mch mmoja mzee anasema niliwahi kuambiwa na mtu wa busara genius akasema mch mmeruhusu watu wamekata miti minene (ebigabiro) mnaelekea pabaya. Haya maji mvua inaponyesha yanatuama humo, then ukame ukija yale maji yanakuwa msaada, leo hii mmekata miti minene mvua ikinyesha maji yote yanaondoka (yanaenda ziwa victoria) ,mtakapolia baa la njaa huyu mzungu atasema nawasaidia chakula lkn mpaka mkubali ushoga. Wewe kiongozi km bado unawapenda watu wako wasife njaa utausain huo mkataba.

    • @anakoku4022
      @anakoku4022 Год назад

      Kuna wimbo wa wa ruthen ktk kitabu mwimbieni bwana unasema Abanzaaa akwasa enshoni abaina amaani gangi. Huu tumeuimba sana kipindi cha corona, wametutengenezea sisi lkn wamekufa wao km utitiri, na hapo ndio ndio waliumbuka tukajijua sisi ni original toka kwa Mungu lkn wao ni copy na ndio maana miili yao haikuweza kuhimili corona

  • @manakamuhammad6936
    @manakamuhammad6936 4 года назад +1

    This is correct.

  • @kadilamore802
    @kadilamore802 4 года назад +3

    true.....

  • @makuchikabugo7227
    @makuchikabugo7227 4 года назад +2

    Umetisha

  • @sammykamula7610
    @sammykamula7610 4 года назад +1

    Very insightful!

  • @safaribuhendwa1387
    @safaribuhendwa1387 4 года назад +13

    una zungumuza ukweli mzee wetu,alakini watu awakwelewe,

    • @ukoa2020
      @ukoa2020 3 года назад

      Wameanza kuelewa

  • @bevanny9389
    @bevanny9389 4 года назад +1

    Naomba uniunganishe na group lake bro ntashukuru sana

  • @linturenatus3549
    @linturenatus3549 Год назад +1

    Ila mzee nakuelewa

  • @mavuzijiwe6805
    @mavuzijiwe6805 4 года назад +1

    Mzee baba Upo vizur Siyabonga

  • @jackneymangwashisamson1780
    @jackneymangwashisamson1780 4 года назад +2

    Very Interesting 🤔

  • @hamdanimohammed5220
    @hamdanimohammed5220 4 года назад +1

    Nakukubali sana kaka

  • @bezarelchilewa4062
    @bezarelchilewa4062 Год назад

    Bethuel Mbugua from Kenya.

  • @salyungumabula5539
    @salyungumabula5539 4 года назад +1

    Kweli Kabisa Prince Katega

  • @adammwamba9177
    @adammwamba9177 4 года назад +7

    Akili za kuambiwa changanya na zako...

  • @greysonmbembelakarateka5842
    @greysonmbembelakarateka5842 2 года назад

    Nice

  • @sarahmwaluko2480
    @sarahmwaluko2480 3 года назад

    😍😍😍😍😍 ubarikiwe

  • @victorchuma2114
    @victorchuma2114 4 года назад +1

    Kweli baba

  • @Landosofficial10
    @Landosofficial10 4 года назад +1

    Mzee nakukubaliii

  • @allysuleiman6022
    @allysuleiman6022 3 года назад +1

    Mmi nakkubali sana mzee kweli haiwezekani ety wao ndio wanatengeneza makaratasi/pesa ikisha wao wao wakapanga thamani yavitu vyetu sasa mmi hujiuliza mbna tunategemeana ila mipango yamatumizi ya kimataifa nitofauty

  • @kavoomshana5928
    @kavoomshana5928 4 года назад +3

    Kweli akili zikizidi sana zinaweza kukuaminisha ujinga kama anavyosema profesor katega.

  • @davincleon9202
    @davincleon9202 3 года назад +1

    We never die

  • @emmanuelylazaro1857
    @emmanuelylazaro1857 4 года назад

    Nakupenda Sana mwanaharakati tupo pamojaaaa...mungu alishafeli toka mwanzoo

  • @raulianraphael6853
    @raulianraphael6853 Год назад

    Nimekuelewa sana Ta.Mlangila Katega II
    Na kwa ujinga wetu tunauana na kubaguana,Hamna atakae enda mbingun pasipo Yesu kristo, Mala Asie Muislam n Kafir
    Hii inamaanisha Babu wa Babu yako ndie kafir wa kwanza, na pia hataenda mbinguni maana hamjui Yesu
    Tutumie akili tuache kuuana kwa mapokeo. Ya wazungu na Waarabu.

  • @nkonyololuchana2211
    @nkonyololuchana2211 4 года назад +4

    Kwakwel katega namwelewa san na ninakukubal san, ila kwa wale ambao wametekwa na vitabu vinavyoitwa vya mung, hawawez kuelewa, mm nimefanya utafiti san mpaka kwenye dini zote nimepita, haya anayoongea katega ni ya kweli kabisa, waafrika tumwunge mkono

  • @isackcsimba1436
    @isackcsimba1436 4 года назад +5

    Uyu Jamaa Ni Mpagani Kwaiyo ukimsikiliza Uwe na Iman iliyosimamma bila ya hivyo anakutoa Kwenye Reli . Mana Dini yake anaabudu Shetani na Lengo lake ni Kuwapoteza Watu .mbona Aongelei kuhusu Shetani kwamba Ni Master wake

  • @dukeamos9483
    @dukeamos9483 4 года назад +2

    Here we go.

  • @erickntale1174
    @erickntale1174 4 года назад +2

    Trico media Asante Kwa kutujuza mambo meng mazur ila me nna swali nataka kujua je kuku jogoo akija Mbele yako afu ana simama Kwa mguu mmoja kunachochote hapo au ?

    • @owtisowtis4049
      @owtisowtis4049 3 года назад +1

      Broh... Maanake huenda uliwahi kuwa tetea kabla ya kuwa binaadamu...
      Ushauri wangu kimbia... Lasivyo atakutagisha yai broh!

  • @suleymanosman1788
    @suleymanosman1788 4 года назад +5

    Anachoongea ni kweli coz huwa nafuatilia sana hzo mambo

  • @yusuphyusuph2994
    @yusuphyusuph2994 4 года назад +1

    Soma vitabu tofaut kabla yakutuelimisha una weza ukawamwalim mzur zaid

  • @emmanuelmwikwabe40
    @emmanuelmwikwabe40 4 года назад +2

    Professor Mbugua namkumbuka

  • @godfreypeter8383
    @godfreypeter8383 4 года назад +1

    Mzee anaakili nying sana

  • @polycarpngandu3910
    @polycarpngandu3910 4 года назад +1

    Kiswahili ni Lugha ya utambulisho wa Africa

  • @changanataliforlife3760
    @changanataliforlife3760 3 года назад

    Nakuelewa sana mzee wangu

  • @ananiasabel545
    @ananiasabel545 4 года назад +2

    Dah. Tume maarifa Prince Katega 2

  • @sonti2821
    @sonti2821 4 года назад +2

    Still watching..

  • @bensonjr4879
    @bensonjr4879 3 года назад

    Nimekuelewaaa

  • @mosesmbonea569
    @mosesmbonea569 4 года назад +2

    Hiyo nikwel kabisa maana hatamm kunakitu nlikua na kikumbuka nikiwa mdogo naskuwai kukiona wala asaivi sjakiona

  • @godfreycharles2792
    @godfreycharles2792 4 года назад +4

    Hii sijaielewa kabisa....

    • @mtamaduni
      @mtamaduni 4 года назад +3

      Hujaelwa kwa sababu tayari ushatawaliwa kifikra,hizo ni fikra zake yeye kwahiyo na wewe tumia fikra zako kufata kile unachoona sahihi kwako.

    • @ukoa2020
      @ukoa2020 3 года назад

      Sikiliza tena

  • @shukridjibril6848
    @shukridjibril6848 4 года назад +2

    Tafta mic 🎙 babu. Itakua bora

  • @RajabKAMIS
    @RajabKAMIS 4 года назад

    Umesema kweli brother.

  • @sungesonji4412
    @sungesonji4412 3 года назад +1

    Wale wanao mbisha mzee huyu hebu tafuta ukweli huo kwenye google, bonyeza andika "anunnaki people" hawa ni watu wa zamani. Adamu hakuumbwa wa kwanza vitabu vipo vya watu waliohishi kabla ya Adamu

  • @christopherkiboma7227
    @christopherkiboma7227 4 года назад +6

    Kweli unachosema maana mimi najiona nilikuwepo ,nilikuwa nimemwoa mke wangu nzungu ,alafu nilikuwa msomi sana

  • @yesunialamayakiama.9013
    @yesunialamayakiama.9013 4 года назад

    Mzee unazinguaaa, kwahiyo kama haufuati miiko ya kiislam basi na uislam usiufate basi.

  • @imbatokamoyoni2209
    @imbatokamoyoni2209 4 года назад +5

    Reincarnation,
    Anhaaa ,nqkumbuka nilikuwa mwindaji ulaya miaka ya 1886, huko

  • @edmundykusena9728
    @edmundykusena9728 4 года назад +4

    Jamani nitapataje masomo zaidi ya Prince Katega

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  4 года назад

      Ingia kwenye channel yake prince Katega II 2019

  • @bevanny9389
    @bevanny9389 4 года назад +1

    Sio siri Baba mzazi nimekwerewa sanaaaaa tena sana ,,,unaongea ukweri kabisa kwanza tunakushukuru sana kwa kutufungua macho nikama vile tulikua tumefunikwa lakini wewe kupitia kipawa ulichopewa na mungu umetufungua ,,,,, Mimi sina mengi ila NAOMBA UNITUMIE NAMBA YAKO YA SIMU NIKUTEMBELEE SIKU MOJA KUNA USHAURI NATAKA UNISAIDIE

  • @tumsifuzablon776
    @tumsifuzablon776 3 года назад

    tuko pamoja

  • @pelesimajani8850
    @pelesimajani8850 3 года назад

    I wish angekuwepo Mchungaji Mtikila afanye kolabo na Prince Katega (before alikuwa kanisani kwa Mtikila) naamini tungeenda mchaka mchaka mtamu mno

  • @wmmtztv6963
    @wmmtztv6963 4 года назад +1

    Ushauri wangu kwako mzee ,ungeongelea mambo ya historia na sio Theology ,unayo yaongea mengi umefikiria wewe pia unaimarisha watu kurudi katika kuabudu ushirikina au mizimu,

    • @spiritualman_7
      @spiritualman_7 4 года назад

      Nini maana ya mizimu?

    • @spiritualman_7
      @spiritualman_7 4 года назад +1

      Wwe, unavohis kwmba, mzungu , hakuk letea chakula kizuri, nguo nzur , maisha mazur n.k, unadhani dini ndo angek letea nzuri,,, tafakari usipende k hukum haraka, fikiri kwanza

  • @issackjockitan
    @issackjockitan 7 месяцев назад

    Afrika tulitolewa na kwenye reli na wazungu

  • @juliusmagaga1588
    @juliusmagaga1588 4 года назад +1

    Nakufatilia Sanaa unasema ukwel

  • @nyashndosh4792
    @nyashndosh4792 4 года назад +2

    Wenye walileta hizo dini hawakupea waafrika wakati huo Maisha mazuri, chakula mzuri, nguo mzuri. Kwanini basi tunaamini kwamba walitupea dini mzuri?

  • @jeremiahzacharia7655
    @jeremiahzacharia7655 4 года назад +3

    Ukisoma Sana hakili inapotea

  • @shd12m55
    @shd12m55 4 года назад +5

    Tuko pamoja sssssana

  • @jimymbise5992
    @jimymbise5992 4 года назад +1

    Prence ll naomba tuwasiliane

  • @awinojuju8522
    @awinojuju8522 4 года назад

    Acha tungoje siku za mwisho Manake watuchanganyaa kabsaaa.....

  • @bilalissack7573
    @bilalissack7573 4 года назад +5

    🤣🤣🤣 unachekesha ukikufa utafufuka tena siku ya kiama

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 года назад +1

      Ndo mana mnaambiwa msome vitabu vya kale...Yesu ataludi na kufufua watu wake na wataishi miaka 1000 apa duniani bila magonjwa wala shida. Wale wenye zambi watabaki kaburini mpaka miaka 1000 ipite ndipo watapewa hukumu

    • @bilalissack7573
      @bilalissack7573 4 года назад +2

      Mimi Mimi unaamini yesu atarudi basi wewe n muisilamu wewe n mkatholiki ama pop francis ambaye munamuamini asema hakuna jahanamu wala pepo Bali huyu jamaa anawapotosha tu!

  • @sudihammad7387
    @sudihammad7387 4 года назад +1

    Ukweli mawazo ya kufikiri ya huyu mzee hayana mashiko na anamkosea mungu kusema anakosea yeye ukweli hakuna sehem mungu amekosea hii raana anaisema yeye kama bob mare alisema national mistake. Swali ni kumtusi mungu kwa kujifanya anamawazo ambayo kimsingi kufufuka ni jambo la litakuja baada ya dunia kuwa imefika kikomo na kufufuliwa kwa ethabu huku ni kujitoa ufaham asome watu wa mapangoni

    • @Nderemi786
      @Nderemi786 4 года назад

      Pumbavu wew mungu yupi wa wanzingu???

    • @wangash6144
      @wangash6144 4 года назад

      Kama kuna Continent iliwacha Mungu wao ni Africa, tunaabudu Mungu wa Wazungu, Wakiarabu na Kathalika, Africa Mumrudie Mungu wenyu

  • @goldenbluez
    @goldenbluez 3 года назад

    Nyinyi si mola mnajifanya mnajua maisha vile inaenda wiwi nimuongo

  • @milley7185
    @milley7185 Год назад

    Imqwezekana ndio spirit kuzaliwa kwenginne ila inaweza kazi sehemu tofauti ila chimbuko ni palepale

  • @edmundykusena9728
    @edmundykusena9728 4 года назад +3

    Natamani kujifunza mengi kupitia wewe prince hata sijui. Nifanyaje

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  4 года назад

      Ingia kwenye channel yake prince katega II huko kuna mawasiliano yake

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 23 дня назад

    Yaani ulivyoongea baba nami nishafikiria vitu kama hivyo

  • @isakabaragomwa296
    @isakabaragomwa296 4 года назад +1

    Mimi nakubaliana na wewe ila nagusia mbinu walio tumia kuua elimu yetu na maarifa yetu.
    Sii nyingine ni dini.
    Kama zipo nyingine zitafuata.

  • @boscow9380
    @boscow9380 4 года назад

    Nimekupata katega kutokea Canada iyo stori ya huyo mtoto nimefatiliya vizuri.

  • @fabiananthony3222
    @fabiananthony3222 4 года назад +1

    Shakuelewa sn na stachoka kukufatilia mpaka niwe na ww sikumoja

  • @festokilonzoelituwaha2919
    @festokilonzoelituwaha2919 2 года назад

    Kalikuwa kanaitwa BETHUEL MBUGUA

  • @melissa_garden
    @melissa_garden Год назад

    Mwombeki my son

  • @yusuphyusuph2994
    @yusuphyusuph2994 4 года назад +1

    Elim ya roho anaijuamuumba ishuyamtoto kujuamambo nimiujiza inaitwa nakilakiumbe kina mwilinaroho nandiomana ata malaka waumaut atakufa

    • @Nderemi786
      @Nderemi786 4 года назад

      Acha ujinga kama upifindishwakwenye Qur'an pia unaeza kujifunza katika vitabu vingine acha uvivu wa kufikiria

  • @wmmtztv6963
    @wmmtztv6963 4 года назад +1

    Wachina walianza hivyo mpaka leo wanaabudu nyoka Dragoni,

    • @ukoa2020
      @ukoa2020 3 года назад

      Wachinna wanamuabudu Mungu

  • @nickbrown8350
    @nickbrown8350 4 года назад +7

    Unaweza kua umsomi mzuri ila akili hamna

  • @sebastianhaward2617
    @sebastianhaward2617 4 года назад +3

    haya maarifa ukiyapenda shika usipoyapenda yaache but don't say ur lying

  • @cyrabrown8609
    @cyrabrown8609 4 года назад +1

    Naona yesu kama amerudi😆

  • @paulomzinza2942
    @paulomzinza2942 4 года назад +1

    Natamani sana kusikiliza mafundisho yako. Ila bado sijakuerewa unamaanisha nini. Hasa tufanye nini sisi weusi, wewe unaamini nini juu ya dini za kuja. Niza kweli? Au ni uongo wa kizungu, kwanini bado unanadi biblia?

  • @StoneMsaku-zb9ym
    @StoneMsaku-zb9ym 4 года назад +4

    nimekuelewa mkuu

    • @mabelendongo8868
      @mabelendongo8868 4 года назад

      Mabele ndongo tuko pamoja Sana Mzee wangu wafunulie kulasa wanatusumbua na magita kila Kona Hadi kelooooo

  • @anithabuberwa2253
    @anithabuberwa2253 4 года назад +1

    Ninavyohic sio kwamba baada ya yule mzee kufa alizaliwa tena, bali ile roho chafu au wengine wanaita mzimu wa yule mzee ulimvaa mtoto

    • @Nderemi786
      @Nderemi786 4 года назад

      Kwahiyo mfano baba ako amefariki anageuka kuwa mzimu mchafu??

  • @shedrackelkana6108
    @shedrackelkana6108 4 года назад +1

    Ko unataka kuniambia huwa unakula matunda yote ya msimu😁😁

  • @mkambeez527
    @mkambeez527 Год назад

    Kwa mambo ya mizimu hivi mbona maandiko ya bibilia inasema hakuna uhusiano kati ya walio kufa na walio hai

  • @wilsonlugutu5747
    @wilsonlugutu5747 2 года назад

    Hizi ni siku za mwisho jamani mkiona ha yanatukia mjuwe you karibu kiristo kurejea.

  • @over_dance_tz8517
    @over_dance_tz8517 4 года назад +1

    Ebu fanya mpak mataifa wajue hili

  • @clementmgiga6438
    @clementmgiga6438 4 года назад

    Ni nadharia zako unazoziamini,ni mtazamo wako,kumbe wewe unakubaliana na watu wanaoabudu miungu inayojitambulisha kupitia Sanamu,milima,mapori,wanyama,mizimu,n.k
    Kwangu Mimi nakataa na kuupinga mtazamo wako potofu

  • @wangash6144
    @wangash6144 4 года назад

    Hata kuzini ilikuw kabla ya Amri cz Joseph alikata kuzini na mke wa Farao

  • @emanuelelisante4324
    @emanuelelisante4324 4 года назад

    Nyani ni walewale misitu ndio imebadilika.

  • @dominaerode5468
    @dominaerode5468 3 года назад

    Tunakushuru he tutakupata wapi?

  • @taitusbangu8909
    @taitusbangu8909 3 года назад

    Unaushawishi katega

  • @lizamedia
    @lizamedia 4 года назад +4

    WAKWANZA KUTANZAMA KATEGA WA PILI

    • @sonti2821
      @sonti2821 4 года назад

      Fresh Bongo 😂😂😂

  • @daudelias450
    @daudelias450 4 года назад +1

    Mi pia nilikua msanii mkubwa sana mi cjui luky dube maana napenda sna rasta

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 4 года назад

    Dah yaani hiyo ya mizimu tunaikandia alafu tunatumia majina ya Koo zetu umenichallenge sana, umenikuna

    • @Nderemi786
      @Nderemi786 4 года назад

      Umeona eeeh Lack of knowledge 😂😂😂😂😂

  • @chanoboyhomic8412
    @chanoboyhomic8412 4 года назад +3

    Hatumuelewi

    • @onesmojeremia9713
      @onesmojeremia9713 4 года назад

      Ukija na akikili xa kichwan huwezi kumuelewa

    • @mtamaduni
      @mtamaduni 4 года назад

      Huwezi kumuelewa kwa sababu ushatawaliwa kifikra.

    • @datiuspeter5942
      @datiuspeter5942 4 года назад

      Utamwerewa VP wakati ww nimweus

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 3 года назад

    Kama umeenda shule kidogo utagundua huyu katega 11 anachoongea ni ukweli kamili

  • @suleimanially3904
    @suleimanially3904 4 года назад +1

    Anaongea kwa hisia na sio uhalisia

  • @mtoto_wa_Mfalme12
    @mtoto_wa_Mfalme12 4 года назад +1

    Prince anasemaje kuhusu uwepo wa shetani?

    • @Nderemi786
      @Nderemi786 4 года назад

      Shetani ni matendo yako kuna watu wana bad spirit lakini sio wa kwenye bible

    • @ukoa2020
      @ukoa2020 3 года назад

      Hahuna Shetani hivyo ni visa asili

  • @tropidonation2706
    @tropidonation2706 2 года назад

    kila mtu atayaongea yakwake ila mungu anawajuwa walio wake yaliyo tabiriwa yameshatukiwa ,ee molla wangu nipe kufata yaliyo yaliyo yako

    • @donkaloza6985
      @donkaloza6985 2 года назад +1

      Kila mtu ni mtu wa Mungu na ndio maana alikuumba sema 2 makosa yetu ndo yanatutenganisha na Mungu

    • @donkaloza6985
      @donkaloza6985 2 года назад

      Ila kila kiumbe ni cha Mungu

  • @suleyman_007
    @suleyman_007 4 года назад

    😂😂 Dah