Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

VIDEO HII ITAKUFADHAISHA SANA LAKINI ITAKUPA SIRI YA MUNGU ILIOFICHWA NA WATAWALA WA DUNIA HII

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 июл 2019
  • VIDEO HII ITAKUFADHAISHA SANA LAKINI ITAKUPA SIRI YA MUNGU ILIOFICHWA NA WATAWALA WA DUNIA HII
    Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE www.youtube.com...
    TRICOD SKILLS Website:
    www.tricodskil...
    LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
    / tricod-skills-11524157...
    FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
    / tricodskills
    FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
    / tricodskills
    #Yesu
    #Ukristo
    #Upagani

Комментарии • 231

  • @TricodMedia
    @TricodMedia  4 года назад +3

    HUWEZI KUMJUA MUNGU ANAEABUDIWA NA FREEMASON KAMA HUJAJUA HISTORIA YA MUNGU UNAE MUABUDU SIRI NZITO
    ruclips.net/video/rNKWl9gXjd4/видео.html

    • @yudathadeimushi1520
      @yudathadeimushi1520 2 года назад

      Yesu ndiye mungu mkuu akuna mungu mwingine wà'h kufananishwa naye ata ipasuke mbingu n'a ardhi akuna mungu mwingine wà'h kufananishwa na'h kristo yesu

    • @keneth.y
      @keneth.y Год назад +1

      Duu

    • @bryson0772
      @bryson0772 Год назад

      @@yudathadeimushi1520 sio Mungu yy n kiongozi wetu na yy ndo connector wetu kufika kwa Mungu wetu

  • @76update7
    @76update7 3 года назад +5

    Dini moja tuu ipo tafauti Sana na Dini zote Duniani ambayo ndio Uislamu (Mungu ni mmoja hajazaa Wala hajazaliwa na Muhammad ni mtumwa wa Mungu ambae ndie ametimwa kutuongoa na kutufunza mambo mema

  • @76update7
    @76update7 3 года назад +1

    Na mukisema Mungu ni mwanaume huko ni kumpa Mungu udhaifu (Mungu sio mwanaume Wala mwanamke)

  • @salehal-oufy5380
    @salehal-oufy5380 Год назад +1

    Wazungu wanamipango na ukristo hamjajua waanzilishi ukifanya tafiti utaona nakukubali kijana

  • @shafiimpilika2858
    @shafiimpilika2858 5 лет назад +31

    kama unaamini kama mimi huu unaoendelea hapa niupumbavu gonga like kwangu tujuane wakataa pumba kama hizi za kishetani

  • @user-gi3io1ew8e
    @user-gi3io1ew8e 4 месяца назад

    Mimi nimekuwelewa my brother tunaa mushukuru muhumba baba yetu wabinguni na mwokozi wetu yesu Amina kabisa 🥰❤

  • @keziampangalampangala9674
    @keziampangalampangala9674 4 года назад +6

    Msitukane tu wakati hata bible hamsomi ukisikia kama ivi tafakari kisha tafuta vitabu usome kwa kua wazungu walisha tuvuruga

    • @oskawilliam5194
      @oskawilliam5194 3 года назад

      We Acha uongo unabuluzwa tu Acha kuongopewa

  • @halidimo7684
    @halidimo7684 5 лет назад +6

    Safi sana nahuo ndio ukweli usiokua namashaka ila kwasababu ya utumwa tulionao tutapinga

  • @user-jn9cx7zh1j
    @user-jn9cx7zh1j 9 дней назад

    Mi ninachoamini Yesu kristo ndiye bwana na mwokozi wa maisha yangu na alikufa kwa ajiri yangu ....hayo mengine mtajua wenyewe

  • @salomeroberto1162
    @salomeroberto1162 Год назад +3

    Bwana yes asifiwe kwa wale ambao tumekomaa kiimani na kiroho najuwa Mambo haya hayawezi kutuangusha imani yetu. Wasiwasi kwa wale hambao NI wachanga kiroho Mana watakuwa wanajiuliza wafuate lipi.kwa ushauri wangu wewe endelea kusoma biblia na kushikilia imani yko usiyumbishwe.

  • @ibrahimjuma9709
    @ibrahimjuma9709 Год назад

    Mungu azaliwi ndugu.hakuna tumbo la kubeba mimba Mungu azaliwe juu kila kilicho kalibu yake uyayuka kwa kumuogopa mwenyezi Mungu

  • @F.DYoungDavo
    @F.DYoungDavo 2 года назад +2

    I love this so much!

  • @mamasamihamama2127
    @mamasamihamama2127 5 лет назад +5

    Inabidi kilamtu amtafute Mungu wa kweli hii yakudanganyana Mungu mtu ife. Mungu simtu nahakuna aliemuona Mungu

  • @faresitz
    @faresitz Год назад +2

    Mimi ninamwamini yesu kristo alie kufa na kufufuka kwa ajili yangu, , hayo mengine siku ya hukumu tutajulishwa kwa maana kama ni hivyo kwa karne hii hakuna atakaye kwenda motoni!!! Maana hakuna anae jua chochote!!!!

  • @duojoseph5065
    @duojoseph5065 3 года назад +2

    👌👌👌👌👌👌👌Meditation Ina tufikisha kwenye utambuzi

  • @himranabduli7224
    @himranabduli7224 2 года назад

    Habari Dr nashukuru sana kwahi hisotoria na Napenda sana kitabu chako

  • @simonjohn2784
    @simonjohn2784 3 года назад +2

    Nimeacha kwenda kanisani kwasababu kila picha nizawatu weupe kwann sioni mitume weusi

  • @blodinfx4670
    @blodinfx4670 8 месяцев назад +1

    shetani aliweza kutengeneza story ya uongo inayofanana na Yesu kristo 😁😁

  • @ABCD-ly3rq
    @ABCD-ly3rq 4 года назад +2

    Hizo zilikua mbinu za mashetani tu walijua jesus atakuja wapinga kristo hao

  • @kebolamanyama3156
    @kebolamanyama3156 2 года назад +2

    Hakuna anayeijuwa siri za Mungu acha kutupiga

  • @annewachira4317
    @annewachira4317 3 года назад

    Vyema....Asante!

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 3 года назад +2

    Miungu mbona wengi tu Na hizi dini 99%ni za uongo ndo maana ni nyingi MUNGU wa kweli ni mmoja tu tungekua tunamamini huyo tungekua tuna dini moja tu.

  • @user-wn9cz2gh8s
    @user-wn9cz2gh8s 3 месяца назад +1

    Mama jusi ndo watu gani

  • @titreevents8790
    @titreevents8790 5 лет назад +1

    Asante sana mkuu nzur sana hi ila hado haijaisha naona

  • @officialbronze9798
    @officialbronze9798 Год назад

    Eti kila mtu ni mungu uyu kijana hovyo sana tubu bado mapema sana

  • @kadoayubu9000
    @kadoayubu9000 Год назад

    Asante kaka upewe kuederea

  • @mohamedchukule5673
    @mohamedchukule5673 Год назад

    Huo ndio ukweli ndugu zangu.imani hii ya kikristo ni imani zilizokuwa za wapagani zi kabla ya kuja yesu..baada ya yesu kuondoka Imani hii wafalme wakaziingiza katika kanisa

  • @imbatokamoyoni2209
    @imbatokamoyoni2209 5 лет назад +3

    Nimeipenda hii,ninaifanyia KAZI

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      Hahahahaha imba toka moyoniiiiii

  • @LissaAugustino
    @LissaAugustino 6 месяцев назад

    Naomba kwa mkristo yeyote na mtu yeyote anataka kuujua ukweli wa historia zote za maandiko na hata vitabu baadhi kutoingiza mtafute Bw. Sancho'owen uujue uhakika

  • @rosallyfideline797
    @rosallyfideline797 5 лет назад

    Be blessed

  • @pauloslegray7438
    @pauloslegray7438 5 лет назад +4

    Wa tatu mm🙏🙏

  • @josephchami6157
    @josephchami6157 5 лет назад

    Ni nzuri sana

  • @johnmichael1253
    @johnmichael1253 5 лет назад +4

    Bro nipe no zako Acha kuwavuruga wa2

  • @japhetgaleke2467
    @japhetgaleke2467 5 лет назад +4

    Ahaa bas wa NNE mm 👍🤛

  • @treyvissy9854
    @treyvissy9854 5 лет назад +8

    Mtu mwenye akili ameishajua tu wewe sio mkristo .. pia hizi story zako pia umezi- translate huku unaziweka hapa kuvuruga watu na hadithi zako

    • @iraqgirl2143
      @iraqgirl2143 4 года назад +1

      Sio kuwa kutokuwa mkristo huyu ni msabato ndo walivyo na kijihesabia haki lkn hawajui mwisho wakuhumu kwao bora wangewaombea hao wanaowakosoa kuliko kufoka kama watu wenye akili fupi

    • @treyvissy9854
      @treyvissy9854 4 года назад

      Regina Julias mwaka juzi nilipata mualiko kanisa la wasabato kwenye makambi sijui weee mbona niliona sehemu ya kuchambwa hahaha nilikula madongo only coz I have dreadlocks aisee.. sirud huko tena

    • @barakamathayo2595
      @barakamathayo2595 2 года назад

      Oy

  • @gabrielmchau8764
    @gabrielmchau8764 2 года назад +1

    Abudu Mungu acha kuchunguzachunguza ujinga wako

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  2 года назад

      Sasa utaabudu mungu yupi bila kujua mungu wa kweli

    • @pungopungo411
      @pungopungo411 Год назад

      Yote na yote kati ya hao wote uliotujuza ni yupi anarudi tena ?

    • @renatusraphael759
      @renatusraphael759 20 дней назад

      Pasina shaka wewe ni miongoni mwa wanao mwabidu shetani izo ni habari za kishetani kabisa za kutaka kujilinganisha na MUNGU ​@@TricodMedia

  • @seramakimbula997
    @seramakimbula997 5 лет назад +3

    Ila nasikia vitabu vingine havimo ila ukienda huko isieli kwenye maktaba zao vitabu vingi havimo kwenye biblia. Kuna kitabu cha enock na kingine Leo nimekisikia tomathi sijui inakuwaje

  • @arafamaulidi81
    @arafamaulidi81 5 лет назад +5

    wapili Leo

  • @pascalkashindi4540
    @pascalkashindi4540 2 года назад

    Yote sawa lakin nieri uwe unasema na vitabu ambavyo zimeandikwa izi istoria

  • @bonifacenaaly6414
    @bonifacenaaly6414 5 лет назад +1

    Hao unaotaja wote ni miungu wanayo abudu watu wamataifa mbalimbali lakini mkuu wao ni Lucifer ila yesu ndiye mungu Wa miungu yote unayoijua naile usiye ijua

  • @severinifulgensi2686
    @severinifulgensi2686 5 лет назад +3

    Acha uongo umeyapata wapi haya mbona hufafanui?

  • @allynico4929
    @allynico4929 5 лет назад +1

    Dah 😮🤔😲

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 4 года назад

    Wakristo tumekaririshwa makanisani, kwenye biblia Kuna vitabu vilitolewa, yaani kuna Mambo nayajua Sasa Kama ya majira halisi ambayo makanisani hawayasemi. Ni vzr ukasikiliza neno na ukaacha matendo kama huoni ni ukweli kuliko kukebehi mambo. Wakristo tumebaki na jina tu, hatusomi neno tunakaririshwa vipengele makanisani lakini ukweli mwingi umefichwa. Unayesoma hapa jaribu kudadisi vitu vingine, sio ukubaki kila kitu unacho aminishwa.

  • @sharonndowo6922
    @sharonndowo6922 5 лет назад +7

    Ni kweli Joseph unaongea historia tu, ila kuna ambao utawachanganya sana na watapoteza uelekeo kabisa, plz tafuta story za kutujenga jamani, hii habari ya Ukristo yani wengi sana wamechanganyikiwa nakuomba kama unalo la kujenga anza kuwajenga wale unaowachanganya, binafsi napenda kukusikiliza.

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад +2

      Sawa ndugu yangu nimekuelewa sana nomba tumalizie story mbili tu yesu ni muislam au ni mkristo na ya kufungia huu mjadala

    • @sharonndowo6922
      @sharonndowo6922 5 лет назад +1

      @@TricodMedia uwiii hapo ndio patamu nazani Waislam wanaokuunga mkono huku watajuta kukujua au watakupongeza sana, endelea bro hakuna namna.

    • @Sautiyamwenyeji25721
      @Sautiyamwenyeji25721 5 лет назад

      Heri wajinga kwakuwa wataepuka mengi, ole wenu mnao tenda kwa matakwa ya wengine

    • @fredrickhenry7519
      @fredrickhenry7519 4 года назад

      Ni kwel

    • @pungopungo411
      @pungopungo411 Год назад

      Atawapoteza uelekeo wa hao vuguvugu. Mimi kama mimi niko mbali sana na Yesu wangu na naongea nae kila ninapohitaji kitu

  • @felixfelix2881
    @felixfelix2881 4 года назад

    Safi Yesu tu

  • @onelovedjonlinetz5989
    @onelovedjonlinetz5989 2 года назад

    Nikukumbushe. Wenzako. Tunapo. Taka. Kufundisha. Watu. Neno. LaMungu. Huwa. Tunamuomba. Kwanza. Mungu. Atupe. Ufahamu. Na hekima.
    Sasa. Sjui. Wewe. Umeongozwa. Na. Roho. Wa. Mungu. Au. Umeongozwa. Na hisitoria. Za kale ??

  • @thomasmgimba92
    @thomasmgimba92 5 лет назад

    Kijana elewa unafanya nini maana nakuona kama mjinga fulani hivi, hujiui unachosimulia hata kidogo, Yeshua the Messiah is devine provision of God you can not compare with any of the gods you are doing now! Remember Yeshua (Jesus) is the powerful name even today, so learn what you think who is Jesus the Christ

  • @annewachira4317
    @annewachira4317 5 лет назад +1

    Asante Sana Sana!! Kazi Safi!!!!!!!Pongezi Tricod Media!!!!!!!!!!🌹💯

  • @josephmosha6921
    @josephmosha6921 3 года назад

    Safii

  • @luckywinnieofficial6300
    @luckywinnieofficial6300 5 лет назад +1

    👌

  • @mazikuraphael5935
    @mazikuraphael5935 5 лет назад +4

    we jamaa nisha anza kukustukia inavyo onekana ww ni fremasoni unatumia akili sana kudanganya watu unataka kuaminisha watu uongo kuwabadili katika kweli jihadhari utapoteza hadhi yako kama umetumwa sasa unaanza kujidhihirisha mdogo mdogo

  • @fastnetpangani6650
    @fastnetpangani6650 3 года назад

    Pale Peramiho Mission, Songea,, wanavyo vitabu vya zamani vilivyoandikwa kwa lugha za Kiyunani, vitabu hivyo vipo duniani kabla ya hizo Biblia,vinaeleza mambo mazito kuhusu dunia hii, kuanzia uumbaji hadi ujio wa Kristo,na kwataarifa yako ukibahatika kuvisoma vitabu hivyo ,hutoiamini Biblia kwa asilimia 100.

  • @felixfelix2881
    @felixfelix2881 4 года назад +1

    Naomba stories ya adam na hawa plzz

  • @akheefharji7985
    @akheefharji7985 4 года назад +1

    all your social media links dont work man,they dont exist

  • @financialloan9818
    @financialloan9818 5 лет назад

    Mama jus sio waflume Bali ni watabili nyota yan waangalia nyota ila sio wafalme .maana ata herode alikua mfalme na aliwatuma kina mama jus waende kumuona yesu alafu waludi wakampe taharifa Kwan alitaka kumuua lkn mama jus awakuludi tena kwa herode

    • @tjenruzoka7814
      @tjenruzoka7814 2 года назад

      Huwezi kujustify uongo wanuongo kwa kutumia uongo wenyew ...

  • @ivanchrisantus3915
    @ivanchrisantus3915 5 лет назад +6

    Kama hiyo miungu ilikufa ikafufuka kwa nini haijidhihirishi kuwa ipo kama yesu anavyofanya,kijana kabla ya kupost makala kama hizi think twice usije baadae ukajikuta hell

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад +5

      KRISHNA
      hinduism wako zaidi ya billion 1.8 dunia nzima
      15% ya dunia nzima wanamuabudu krishna
      95% ya raia wa india wanamuabudu krishna
      wakristo 31%,
      waislam 23%
      budhism 7.1%
      BUDHA
      wako 535 million dunia nzima mwaka 2015
      10% ya dunia nzima
      china 18%
      nimefanya utafiti wa kutosha najua umechanganyikiwa na unawaza ilikuaje tukadanganywa miaka yote hii cha kushukuru ni kwamba umejua ukweli
      au wewe ulikua unamaanisha yesu anajidhihirisha vp au sababu anatangazwa sana kwenye vyombo vya wazungu
      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @japhetgaleke2467
      @japhetgaleke2467 5 лет назад +3

      @Ivan Chrisantus huyu jamaa anapost comedy tu ndo maana me nazichukulia kama vichekesho vyakina Senga & Pembe tu😂😂😀😀

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад +4

      @@japhetgaleke2467 hahahahaha umetumia akili sana maana ukichukulia serious utadata hahahahaa

    • @imbatokamoyoni2209
      @imbatokamoyoni2209 5 лет назад +2

      @@TricodMedia napenda unavyowachokoza hawa akili zao maana zimewekwa nta utadhani ndio mwisho wa kujifunza

    • @imbatokamoyoni2209
      @imbatokamoyoni2209 5 лет назад +1

      @@japhetgaleke2467 wao wengine wanaamini katika imani zao na kimsingi ukisema anadhihirika kwao ni wazi hawajawahi kumuona ila IMANI TU,,AMINI KWAMBA HATA WANAOBUDU MIZIMU NA WAO HUDHIHIRISHIWA KULINGANA NA IMANI ZAO,,NI IMANI YAKO TU NDIO KILA KITU,HAIJALISHI UNAAMINI KIPI

  • @michaeleustach9769
    @michaeleustach9769 3 года назад

    Kma unaamin jamaa n mpumbavu gonga like

  • @richardkamundala3066
    @richardkamundala3066 3 года назад

    Ukweli ni uhu watu acheni muuza kwenye mambo ya Mungu

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya7166 5 лет назад +1

    Siku iz nawakubali sana kwa kufafanua big up sana nakuelewa % 100

  • @mathiasmb4967
    @mathiasmb4967 5 лет назад +1

    Hii,ni lugha gani inayo tafsiriye hapo?

  • @abedichande2497
    @abedichande2497 5 лет назад +4

    Bas me wa kwanza leo

  • @RemmyWilliams
    @RemmyWilliams 3 года назад

    😳😳😳😳😳😳😳
    SIJUI NISEME NINI? MAMBO MENGI HATUJUI. NA MENGI YAWEZEKANA. KAMA YOHANA ALIFANYWA PIA KUWA ELIA..., SIRI ZA MUNGU NI KUBWA SANA.

  • @LissaAugustino
    @LissaAugustino 6 месяцев назад

    Hivi mnajua kwamba kwa mujibu wa maelezo ya huyu jamaa iko na mantiki kwamba wakristo wote ni motoni! Hahahaha jamaa aache uongo kama vipi aende kufungua makanisa yake. Asikurupuke kufundisha kwa taarifa ya kichawi na usanii wa mtandaoni

  • @felixfelix2881
    @felixfelix2881 4 года назад

    Kwel

  • @benjaminbatano3293
    @benjaminbatano3293 4 года назад

    Si ajabu hata shetani naye kujigeuza na kuwa mfano wa malaika wa nuru, hao wote ni mawakala wa Ibilisi, Yesu Kristo hauwezi kumfanya awe duni hata wenzako walijaribu kumpa majina mbali mbali ili kumchaufua lakini hawakuweza sebuse wewe hata historia haikutambui.

  • @JaphetMwandisha
    @JaphetMwandisha Год назад

    Izo story wazitoa wapi na uko na uhakika gani???

  • @justinchina622
    @justinchina622 2 года назад

    usitudanganye tunajua shetani ni wakuiga tuu ili adanganye watu

  • @habibamanyanda9868
    @habibamanyanda9868 3 года назад

    Tumetega misikio utafiikir kinachozungumzwa ni kweli mno, khaa. Mungu tu asimame...😊

  • @kadilamore802
    @kadilamore802 5 лет назад +3

    sasa hii imenishangazaaaa ....nimeshangaaa japo mengi nimeshayasikiaaaa

  • @buharimwanga284
    @buharimwanga284 5 лет назад

    Hizi mambo bila kuwa mfuatiliaji huwezi jua ukweli wake ukristo na uislam umeharibiwa sana kutokana na haya masanamu cha muhimu kama wewe mkristo baki na imani yako sema usije amini sanamu lolote wala rozali

  • @brianemoli8909
    @brianemoli8909 4 года назад +1

    Na hutuambii baada yao kufufuka walienda wapi??

  • @melaniashantiwa683
    @melaniashantiwa683 3 месяца назад

    Tupe evidence tukasomee

  • @habibamanyanda9868
    @habibamanyanda9868 3 года назад

    Hata cjafadhaika hata kidogo coz yte ubatili tu na yashatabiriw, hafu unang'at na kupulza.

  • @damasiusmayanja5329
    @damasiusmayanja5329 5 лет назад +6

    hapana alisema " AM WHO AM" hakusema AM THAT AM"

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 3 года назад

    Mbona ina mwaka mmoja na aijafutwa acha kuongopea watu, siri za mungu azichunguziki boya we.

  • @severinifulgensi2686
    @severinifulgensi2686 5 лет назад

    Wee muhuni

  • @kadilamore802
    @kadilamore802 5 лет назад +1

    🤔🤔🤔

  • @amakamraqterry5920
    @amakamraqterry5920 3 года назад

    Miungu yote iko chini ya KRISTO etc

  • @lilianngowo7777
    @lilianngowo7777 3 года назад +1

    huu ni ukweli ndg zangu, shida nikwamba hatupendi kuchunguza mambo, ila kristo wa kwl alikuja zamani kbl ya hawa wote , na maana Yesu alisema watatokea ma kristo wa uongo, sasa wakabadisha na kumleta huu wa miaka 2000 iliyopita, na ndy historia zao zinafanana. ila usisahau kristo wa kwl alikuja kabla ya hao wote. ila wazungu slibadili historia ya mtu mweusi na
    kuifanya ni yao, na kutuletea miungu yao na ndy hiyo tulioipokea miaka 2000 iliyopita, naomba tumikisha akili kdg, kwnn hitoria ya hawa miungu mingine ifanane na ya Yesu wa 2000 iliyopita? na hawa miungu mpk leo bado wanaabudiwa, ukiwa mchunguzi wa jambo hutakuwa mwepesi wa kutusi, weka dini pembeni alafu tafuta ukweli, asnt

    • @valentinernestkavishe7297
      @valentinernestkavishe7297 Год назад

      Sasa tufanye nini?

    • @basterisack6471
      @basterisack6471 7 месяцев назад

      Umeongea point Sana waafrika saiz wanadili na din za watu mfano ukristo kizungu na uislaam waarabu wamesahau tamadun zao za kiafrika

  • @simontv5012
    @simontv5012 5 лет назад +2

    Ebu mzungumzie Horus...na huyo ets

  • @ndenzahasna2659
    @ndenzahasna2659 3 года назад

    poa bro

  • @erneusngonyani9217
    @erneusngonyani9217 5 лет назад +1

    MWONGO WE UMESOMA KITABU GANI TUKASOME NA SIS AFU MUOGOPE MUNGU NDUGU YANGU YUPO NDUGU.

  • @furahakonde6259
    @furahakonde6259 Год назад

    Toka pale na owongo wako kula ugali ukalale

  • @sallygrace1495
    @sallygrace1495 3 года назад

    People have to be very careful with this different Bible story, a special now there make new Bible story 🤔

  • @user-ln2ht2gt5p
    @user-ln2ht2gt5p 5 лет назад +3

    Mungu ni 1 tu hao wot majigambo mungu ni allah bc

  • @mawazomgassa6400
    @mawazomgassa6400 4 года назад +1

    Hao waliofufuka wako wapi saiz?

    • @habibamanyanda9868
      @habibamanyanda9868 3 года назад

      Inabid atujuze pia walipo na wana mpango gan na waliokuwa wakiwafia?

  • @suleimanali8317
    @suleimanali8317 5 лет назад +1

    Mungu anaishi mbinguni,elimu yake imeenea kila kitu

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      Mbinguni ni wapi hahaha

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      Mbinguni ni wapi hahaha

    • @mtasma1994
      @mtasma1994 5 лет назад

      @@TricodMedia kuna vitu ambavyo hata wanasayansi hawajagundua maana hata jahannamu watu hawajui.....na kingine kuna vitu ambavyo wanasayansi wavumbua lakini kwenye vitabu vya dini viliandikwa toka zamani

    • @abuuhaamidpaulo5506
      @abuuhaamidpaulo5506 5 лет назад

      Atakae taka kujua Usahih wamungu yukwapi Amuulize mtot Atapata jib sahih

  • @josephlugala3182
    @josephlugala3182 Год назад

    Unatumalizia m b huna maana

  • @dadylovelybwana4113
    @dadylovelybwana4113 Год назад

    Acha ku potash watu u ta azibiwa na Mungu wewe

  • @fasanitzfasanitz9631
    @fasanitzfasanitz9631 5 лет назад +1

    Sa mbona izo story za hao nikama za yesu

  • @mapenzihabibah7128
    @mapenzihabibah7128 5 лет назад +1

    Kilamtu asimame naimaniyake aliyo nayo ukifatilia hizi story mutapotosha imani zenu mungu pekee ndie mwenye yote

  • @stuathiza3224
    @stuathiza3224 5 лет назад +2

    acha kutudanganya

  • @emastanzakiduku2601
    @emastanzakiduku2601 5 лет назад +1

    Wewe ni muislam

    • @munnasigela5413
      @munnasigela5413 5 лет назад

      Mwalimu Nyerere alitukataza hayo

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      hamna sio muislam

    • @imbatokamoyoni2209
      @imbatokamoyoni2209 5 лет назад

      @@TricodMedia wewe ni nani sasa

    • @Michoarbah
      @Michoarbah 5 лет назад +2

      Emastanza Kiduku ni mwislam ila ana soma sana na kugoogle kuliko unavyo fikiri....ila aijui sanaa dini ya kislam .... nimehisi tu sina uakikaa 😂😂😂😂

    • @iraqgirl2143
      @iraqgirl2143 4 года назад +1

      Msabato huyu

  • @treyvissy9854
    @treyvissy9854 5 лет назад +2

    😁😁😁 hawa jamaa vilaza kwel

  • @deojohn2212
    @deojohn2212 5 лет назад +1

    Naomba , unisaidie historia inayoijua ww ya yesu !!

    • @niyocoudra8773
      @niyocoudra8773 5 лет назад

      kwelikabisa.itakuwa.wajifunze.azidi.kumuhusuyesu.bilaivo.watajutabadae

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      hahahahaha

    • @deojohn2212
      @deojohn2212 5 лет назад

      @@TricodMedia mbona unacheka , baada y kunipa jibu

  • @mshaurimedialive
    @mshaurimedialive 5 лет назад

    Yan nmepata maana ya stori yako una maanisha Yesu kaiga hao wengine baada ya kujifunza stori zao tena sababu n kwamba wote walikwepo kabla ya Yesu hapa duniani sio?

  • @felixfelix2881
    @felixfelix2881 4 года назад

    Upo vzur

  • @felixfelix2881
    @felixfelix2881 4 года назад

    Niki lala cjui nani ana tokea ww mkal. Adam hawa wali ishi hii duniaa

  • @lovemovies.
    @lovemovies. Год назад

    Total nonesence Dini ni moja tu Christian.nyakati za mwisho kutakuwa na mpinga kristo safisha roho yako tubu dhambi mkubali yesu kristo

  • @ovn-sportswear4983
    @ovn-sportswear4983 5 лет назад +1

    Vp kuhusu Africa alizaliwa nani