Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
VIDEO HII ITAKUFADHAISHA SANA LAKINI ITAKUPA SIRI YA MUNGU ILIOFICHWA NA WATAWALA WA DUNIA HII
HTML-код
- Опубликовано: 17 июл 2019
- VIDEO HII ITAKUFADHAISHA SANA LAKINI ITAKUPA SIRI YA MUNGU ILIOFICHWA NA WATAWALA WA DUNIA HII
Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE www.youtube.com...
TRICOD SKILLS Website:
www.tricodskil...
LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
/ tricod-skills-11524157...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
/ tricodskills
FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
/ tricodskills
#Yesu
#Ukristo
#Upagani
HUWEZI KUMJUA MUNGU ANAEABUDIWA NA FREEMASON KAMA HUJAJUA HISTORIA YA MUNGU UNAE MUABUDU SIRI NZITO
ruclips.net/video/rNKWl9gXjd4/видео.html
Yesu ndiye mungu mkuu akuna mungu mwingine wà'h kufananishwa naye ata ipasuke mbingu n'a ardhi akuna mungu mwingine wà'h kufananishwa na'h kristo yesu
Duu
@@yudathadeimushi1520 sio Mungu yy n kiongozi wetu na yy ndo connector wetu kufika kwa Mungu wetu
Dini moja tuu ipo tafauti Sana na Dini zote Duniani ambayo ndio Uislamu (Mungu ni mmoja hajazaa Wala hajazaliwa na Muhammad ni mtumwa wa Mungu ambae ndie ametimwa kutuongoa na kutufunza mambo mema
Kabla ya uislam kulikuwa na dini ama kulikuwa hamna?
Muhammad ndie Mtume wa kweri ma sio mtumwa tafadhar
Uislam ni tamaduni za uarabuni huko .... Tafuta asili yako
Na mukisema Mungu ni mwanaume huko ni kumpa Mungu udhaifu (Mungu sio mwanaume Wala mwanamke)
Wazungu wanamipango na ukristo hamjajua waanzilishi ukifanya tafiti utaona nakukubali kijana
kama unaamini kama mimi huu unaoendelea hapa niupumbavu gonga like kwangu tujuane wakataa pumba kama hizi za kishetani
MPUMBAVU NI WEWE USIYEJUWA KITU BENDERA MFUATA UPEPO
Mimi nimekuwelewa my brother tunaa mushukuru muhumba baba yetu wabinguni na mwokozi wetu yesu Amina kabisa 🥰❤
Msitukane tu wakati hata bible hamsomi ukisikia kama ivi tafakari kisha tafuta vitabu usome kwa kua wazungu walisha tuvuruga
We Acha uongo unabuluzwa tu Acha kuongopewa
Safi sana nahuo ndio ukweli usiokua namashaka ila kwasababu ya utumwa tulionao tutapinga
Mi ninachoamini Yesu kristo ndiye bwana na mwokozi wa maisha yangu na alikufa kwa ajiri yangu ....hayo mengine mtajua wenyewe
Bwana yes asifiwe kwa wale ambao tumekomaa kiimani na kiroho najuwa Mambo haya hayawezi kutuangusha imani yetu. Wasiwasi kwa wale hambao NI wachanga kiroho Mana watakuwa wanajiuliza wafuate lipi.kwa ushauri wangu wewe endelea kusoma biblia na kushikilia imani yko usiyumbishwe.
Amen
Mungu azaliwi ndugu.hakuna tumbo la kubeba mimba Mungu azaliwe juu kila kilicho kalibu yake uyayuka kwa kumuogopa mwenyezi Mungu
I love this so much!
We require more
Inabidi kilamtu amtafute Mungu wa kweli hii yakudanganyana Mungu mtu ife. Mungu simtu nahakuna aliemuona Mungu
Masshaallwa
Mimi ninamwamini yesu kristo alie kufa na kufufuka kwa ajili yangu, , hayo mengine siku ya hukumu tutajulishwa kwa maana kama ni hivyo kwa karne hii hakuna atakaye kwenda motoni!!! Maana hakuna anae jua chochote!!!!
👌👌👌👌👌👌👌Meditation Ina tufikisha kwenye utambuzi
Habari Dr nashukuru sana kwahi hisotoria na Napenda sana kitabu chako
Nimeacha kwenda kanisani kwasababu kila picha nizawatu weupe kwann sioni mitume weusi
shetani aliweza kutengeneza story ya uongo inayofanana na Yesu kristo 😁😁
Hizo zilikua mbinu za mashetani tu walijua jesus atakuja wapinga kristo hao
Hakuna anayeijuwa siri za Mungu acha kutupiga
Vyema....Asante!
Miungu mbona wengi tu Na hizi dini 99%ni za uongo ndo maana ni nyingi MUNGU wa kweli ni mmoja tu tungekua tunamamini huyo tungekua tuna dini moja tu.
Mama jusi ndo watu gani
Asante sana mkuu nzur sana hi ila hado haijaisha naona
bado haijaisha hhahahaa
Eti kila mtu ni mungu uyu kijana hovyo sana tubu bado mapema sana
Asante kaka upewe kuederea
Huo ndio ukweli ndugu zangu.imani hii ya kikristo ni imani zilizokuwa za wapagani zi kabla ya kuja yesu..baada ya yesu kuondoka Imani hii wafalme wakaziingiza katika kanisa
Nimeipenda hii,ninaifanyia KAZI
Hahahahaha imba toka moyoniiiiii
Naomba kwa mkristo yeyote na mtu yeyote anataka kuujua ukweli wa historia zote za maandiko na hata vitabu baadhi kutoingiza mtafute Bw. Sancho'owen uujue uhakika
Be blessed
Wa tatu mm🙏🙏
Ni nzuri sana
Bro nipe no zako Acha kuwavuruga wa2
Ahaa bas wa NNE mm 👍🤛
Mtu mwenye akili ameishajua tu wewe sio mkristo .. pia hizi story zako pia umezi- translate huku unaziweka hapa kuvuruga watu na hadithi zako
Sio kuwa kutokuwa mkristo huyu ni msabato ndo walivyo na kijihesabia haki lkn hawajui mwisho wakuhumu kwao bora wangewaombea hao wanaowakosoa kuliko kufoka kama watu wenye akili fupi
Regina Julias mwaka juzi nilipata mualiko kanisa la wasabato kwenye makambi sijui weee mbona niliona sehemu ya kuchambwa hahaha nilikula madongo only coz I have dreadlocks aisee.. sirud huko tena
Oy
Abudu Mungu acha kuchunguzachunguza ujinga wako
Sasa utaabudu mungu yupi bila kujua mungu wa kweli
Yote na yote kati ya hao wote uliotujuza ni yupi anarudi tena ?
Pasina shaka wewe ni miongoni mwa wanao mwabidu shetani izo ni habari za kishetani kabisa za kutaka kujilinganisha na MUNGU @@TricodMedia
Ila nasikia vitabu vingine havimo ila ukienda huko isieli kwenye maktaba zao vitabu vingi havimo kwenye biblia. Kuna kitabu cha enock na kingine Leo nimekisikia tomathi sijui inakuwaje
wapili Leo
Aahaa kumbe mnawahi namba ee
Subir sasa
Yote sawa lakin nieri uwe unasema na vitabu ambavyo zimeandikwa izi istoria
Hao unaotaja wote ni miungu wanayo abudu watu wamataifa mbalimbali lakini mkuu wao ni Lucifer ila yesu ndiye mungu Wa miungu yote unayoijua naile usiye ijua
boniface naaly Ulaaniwe sana
Yesu simungu yeye ni mwana wa adam
Acha uongo umeyapata wapi haya mbona hufafanui?
Dah 😮🤔😲
Wakristo tumekaririshwa makanisani, kwenye biblia Kuna vitabu vilitolewa, yaani kuna Mambo nayajua Sasa Kama ya majira halisi ambayo makanisani hawayasemi. Ni vzr ukasikiliza neno na ukaacha matendo kama huoni ni ukweli kuliko kukebehi mambo. Wakristo tumebaki na jina tu, hatusomi neno tunakaririshwa vipengele makanisani lakini ukweli mwingi umefichwa. Unayesoma hapa jaribu kudadisi vitu vingine, sio ukubaki kila kitu unacho aminishwa.
Ni kweli Joseph unaongea historia tu, ila kuna ambao utawachanganya sana na watapoteza uelekeo kabisa, plz tafuta story za kutujenga jamani, hii habari ya Ukristo yani wengi sana wamechanganyikiwa nakuomba kama unalo la kujenga anza kuwajenga wale unaowachanganya, binafsi napenda kukusikiliza.
Sawa ndugu yangu nimekuelewa sana nomba tumalizie story mbili tu yesu ni muislam au ni mkristo na ya kufungia huu mjadala
@@TricodMedia uwiii hapo ndio patamu nazani Waislam wanaokuunga mkono huku watajuta kukujua au watakupongeza sana, endelea bro hakuna namna.
Heri wajinga kwakuwa wataepuka mengi, ole wenu mnao tenda kwa matakwa ya wengine
Ni kwel
Atawapoteza uelekeo wa hao vuguvugu. Mimi kama mimi niko mbali sana na Yesu wangu na naongea nae kila ninapohitaji kitu
Safi Yesu tu
Nikukumbushe. Wenzako. Tunapo. Taka. Kufundisha. Watu. Neno. LaMungu. Huwa. Tunamuomba. Kwanza. Mungu. Atupe. Ufahamu. Na hekima.
Sasa. Sjui. Wewe. Umeongozwa. Na. Roho. Wa. Mungu. Au. Umeongozwa. Na hisitoria. Za kale ??
Kijana elewa unafanya nini maana nakuona kama mjinga fulani hivi, hujiui unachosimulia hata kidogo, Yeshua the Messiah is devine provision of God you can not compare with any of the gods you are doing now! Remember Yeshua (Jesus) is the powerful name even today, so learn what you think who is Jesus the Christ
Asante Sana Sana!! Kazi Safi!!!!!!!Pongezi Tricod Media!!!!!!!!!!🌹💯
Asante sanaaaaaa
Safii
👌
Winizeh Wini $$
@@danielmpuya5217 yes
we jamaa nisha anza kukustukia inavyo onekana ww ni fremasoni unatumia akili sana kudanganya watu unataka kuaminisha watu uongo kuwabadili katika kweli jihadhari utapoteza hadhi yako kama umetumwa sasa unaanza kujidhihirisha mdogo mdogo
Pale Peramiho Mission, Songea,, wanavyo vitabu vya zamani vilivyoandikwa kwa lugha za Kiyunani, vitabu hivyo vipo duniani kabla ya hizo Biblia,vinaeleza mambo mazito kuhusu dunia hii, kuanzia uumbaji hadi ujio wa Kristo,na kwataarifa yako ukibahatika kuvisoma vitabu hivyo ,hutoiamini Biblia kwa asilimia 100.
Naomba stories ya adam na hawa plzz
all your social media links dont work man,they dont exist
Mama jus sio waflume Bali ni watabili nyota yan waangalia nyota ila sio wafalme .maana ata herode alikua mfalme na aliwatuma kina mama jus waende kumuona yesu alafu waludi wakampe taharifa Kwan alitaka kumuua lkn mama jus awakuludi tena kwa herode
Huwezi kujustify uongo wanuongo kwa kutumia uongo wenyew ...
Kama hiyo miungu ilikufa ikafufuka kwa nini haijidhihirishi kuwa ipo kama yesu anavyofanya,kijana kabla ya kupost makala kama hizi think twice usije baadae ukajikuta hell
KRISHNA
hinduism wako zaidi ya billion 1.8 dunia nzima
15% ya dunia nzima wanamuabudu krishna
95% ya raia wa india wanamuabudu krishna
wakristo 31%,
waislam 23%
budhism 7.1%
BUDHA
wako 535 million dunia nzima mwaka 2015
10% ya dunia nzima
china 18%
nimefanya utafiti wa kutosha najua umechanganyikiwa na unawaza ilikuaje tukadanganywa miaka yote hii cha kushukuru ni kwamba umejua ukweli
au wewe ulikua unamaanisha yesu anajidhihirisha vp au sababu anatangazwa sana kwenye vyombo vya wazungu
😂😂😂😂😂😂😂😂
@Ivan Chrisantus huyu jamaa anapost comedy tu ndo maana me nazichukulia kama vichekesho vyakina Senga & Pembe tu😂😂😀😀
@@japhetgaleke2467 hahahahaha umetumia akili sana maana ukichukulia serious utadata hahahahaa
@@TricodMedia napenda unavyowachokoza hawa akili zao maana zimewekwa nta utadhani ndio mwisho wa kujifunza
@@japhetgaleke2467 wao wengine wanaamini katika imani zao na kimsingi ukisema anadhihirika kwao ni wazi hawajawahi kumuona ila IMANI TU,,AMINI KWAMBA HATA WANAOBUDU MIZIMU NA WAO HUDHIHIRISHIWA KULINGANA NA IMANI ZAO,,NI IMANI YAKO TU NDIO KILA KITU,HAIJALISHI UNAAMINI KIPI
Kma unaamin jamaa n mpumbavu gonga like
Ukweli ni uhu watu acheni muuza kwenye mambo ya Mungu
Siku iz nawakubali sana kwa kufafanua big up sana nakuelewa % 100
Hii,ni lugha gani inayo tafsiriye hapo?
Bas me wa kwanza leo
😳😳😳😳😳😳😳
SIJUI NISEME NINI? MAMBO MENGI HATUJUI. NA MENGI YAWEZEKANA. KAMA YOHANA ALIFANYWA PIA KUWA ELIA..., SIRI ZA MUNGU NI KUBWA SANA.
Hivi mnajua kwamba kwa mujibu wa maelezo ya huyu jamaa iko na mantiki kwamba wakristo wote ni motoni! Hahahaha jamaa aache uongo kama vipi aende kufungua makanisa yake. Asikurupuke kufundisha kwa taarifa ya kichawi na usanii wa mtandaoni
Kwel
Si ajabu hata shetani naye kujigeuza na kuwa mfano wa malaika wa nuru, hao wote ni mawakala wa Ibilisi, Yesu Kristo hauwezi kumfanya awe duni hata wenzako walijaribu kumpa majina mbali mbali ili kumchaufua lakini hawakuweza sebuse wewe hata historia haikutambui.
Izo story wazitoa wapi na uko na uhakika gani???
usitudanganye tunajua shetani ni wakuiga tuu ili adanganye watu
Tumetega misikio utafiikir kinachozungumzwa ni kweli mno, khaa. Mungu tu asimame...😊
sasa hii imenishangazaaaa ....nimeshangaaa japo mengi nimeshayasikiaaaa
Hizi mambo bila kuwa mfuatiliaji huwezi jua ukweli wake ukristo na uislam umeharibiwa sana kutokana na haya masanamu cha muhimu kama wewe mkristo baki na imani yako sema usije amini sanamu lolote wala rozali
Uislam hauna masanamu ww
Uslam haujahalibiwa na hautahalibiwa
Na hutuambii baada yao kufufuka walienda wapi??
Tupe evidence tukasomee
Hata cjafadhaika hata kidogo coz yte ubatili tu na yashatabiriw, hafu unang'at na kupulza.
hapana alisema " AM WHO AM" hakusema AM THAT AM"
Now which is which??!!
I am who I am
Haaahaa elewa mtanzania na kizungu ni kma maji na petrol but asante kwa kumrekebisha
Mbona ina mwaka mmoja na aijafutwa acha kuongopea watu, siri za mungu azichunguziki boya we.
😂😂😂😂 kwakweli
Wee muhuni
🤔🤔🤔
Miungu yote iko chini ya KRISTO etc
huu ni ukweli ndg zangu, shida nikwamba hatupendi kuchunguza mambo, ila kristo wa kwl alikuja zamani kbl ya hawa wote , na maana Yesu alisema watatokea ma kristo wa uongo, sasa wakabadisha na kumleta huu wa miaka 2000 iliyopita, na ndy historia zao zinafanana. ila usisahau kristo wa kwl alikuja kabla ya hao wote. ila wazungu slibadili historia ya mtu mweusi na
kuifanya ni yao, na kutuletea miungu yao na ndy hiyo tulioipokea miaka 2000 iliyopita, naomba tumikisha akili kdg, kwnn hitoria ya hawa miungu mingine ifanane na ya Yesu wa 2000 iliyopita? na hawa miungu mpk leo bado wanaabudiwa, ukiwa mchunguzi wa jambo hutakuwa mwepesi wa kutusi, weka dini pembeni alafu tafuta ukweli, asnt
Sasa tufanye nini?
Umeongea point Sana waafrika saiz wanadili na din za watu mfano ukristo kizungu na uislaam waarabu wamesahau tamadun zao za kiafrika
Ebu mzungumzie Horus...na huyo ets
Sawa ndugu ntafanya hivyo
poa bro
MWONGO WE UMESOMA KITABU GANI TUKASOME NA SIS AFU MUOGOPE MUNGU NDUGU YANGU YUPO NDUGU.
Toka pale na owongo wako kula ugali ukalale
People have to be very careful with this different Bible story, a special now there make new Bible story 🤔
Mungu ni 1 tu hao wot majigambo mungu ni allah bc
Hao waliofufuka wako wapi saiz?
Inabid atujuze pia walipo na wana mpango gan na waliokuwa wakiwafia?
Mungu anaishi mbinguni,elimu yake imeenea kila kitu
Mbinguni ni wapi hahaha
Mbinguni ni wapi hahaha
@@TricodMedia kuna vitu ambavyo hata wanasayansi hawajagundua maana hata jahannamu watu hawajui.....na kingine kuna vitu ambavyo wanasayansi wavumbua lakini kwenye vitabu vya dini viliandikwa toka zamani
Atakae taka kujua Usahih wamungu yukwapi Amuulize mtot Atapata jib sahih
Unatumalizia m b huna maana
Acha ku potash watu u ta azibiwa na Mungu wewe
Sa mbona izo story za hao nikama za yesu
Kilamtu asimame naimaniyake aliyo nayo ukifatilia hizi story mutapotosha imani zenu mungu pekee ndie mwenye yote
Mmm kila mtu afuate imani yake
acha kutudanganya
Hahahaha
Wewe ni muislam
Mwalimu Nyerere alitukataza hayo
hamna sio muislam
@@TricodMedia wewe ni nani sasa
Emastanza Kiduku ni mwislam ila ana soma sana na kugoogle kuliko unavyo fikiri....ila aijui sanaa dini ya kislam .... nimehisi tu sina uakikaa 😂😂😂😂
Msabato huyu
😁😁😁 hawa jamaa vilaza kwel
Naomba , unisaidie historia inayoijua ww ya yesu !!
kwelikabisa.itakuwa.wajifunze.azidi.kumuhusuyesu.bilaivo.watajutabadae
hahahahaha
@@TricodMedia mbona unacheka , baada y kunipa jibu
Yan nmepata maana ya stori yako una maanisha Yesu kaiga hao wengine baada ya kujifunza stori zao tena sababu n kwamba wote walikwepo kabla ya Yesu hapa duniani sio?
people tuweni makini
Upo vzur
Niki lala cjui nani ana tokea ww mkal. Adam hawa wali ishi hii duniaa
Total nonesence Dini ni moja tu Christian.nyakati za mwisho kutakuwa na mpinga kristo safisha roho yako tubu dhambi mkubali yesu kristo
Vp kuhusu Africa alizaliwa nani
kalimanzila aisee!
@@charlesmabula7751 😁😁😁😁😁