HIZI NDIO HISTORIA ZA YESU WAWILI ZINAZO WACHANGANYA WAKRISTO WENGI SANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • HIZI NDIO HISTORIA ZA YESU WAWILI ZINAZO WACHANGANYA WAKRISTO WENGI SANA
    Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE www.youtube.com...
    TRICOD SKILLS Website:
    www.tricodskil...
    LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
    / tricod-skills-11524157...
    FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
    / tricodskills
    FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
    / tricodskills
    #historiayayesu
    #ukristo
    #ukristo

Комментарии • 176

  • @TricodMedia
    @TricodMedia  5 лет назад +2

    VIDEO HII ITAKUFADHAISHA SANA LAKINI ITAKUPA SIRI YA MUNGU ILIOFICHWA NA WATAWALA WA DUNIA HII...WAHI KABLA HAWAJAIFUTA
    ruclips.net/video/IS1HRiMAF9Q/видео.html

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 5 лет назад +8

    Dahhhh, historia huwa inanifurahisha sana, lkn Yesu atabaki kuwa Yesu daima na milele...amen.

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      Amina sana hizi ni story tu zinawezekana za kutungwa tu hahahaa

  • @reubenhizza
    @reubenhizza 2 года назад +1

    Kunakuwa na mihemko sana badala ya hoja. YESU atabaki kuwa mwan wa Mungu na mombozi wetu, histori imechezewaje, ujumbe uechakachuliwaje kutokana na jamii ilioandaliwa iufikie isiwe swala la msingi sana kwetu.

  • @nikitalucas2323
    @nikitalucas2323 4 года назад +1

    Nikifika mbinguni Yesu nitamjua kwa arama za misumari

  • @bethkimani92
    @bethkimani92 Год назад

    Asante kwa mafundisho ya bibilia

  • @Burhoney
    @Burhoney 4 года назад +3

    HAo miungu ote ni tofauti kabisa, mungu wa Wafrika wa vivuli vyote vya rangi , na hata zamani namna ya kuabudu mizimu haikuwa asili yetu binadamu alivyokuwa mgeni katika ulimbwengu wa dunia na kwa mara ya kwanza akapata mwili, akapoteza uwezo wa kuishi bila ya kula ama kunywa na uwezo wa kuona nakadhalika ( rejea THE DEA SEA SCROOLS, THE BOOKS OF ADAM AND EVE), Makabila yote ya kiafrika yaliyojenga empira kbla ya watu wowote duniani walliamini mungu mmoja mwenye nguvu kuliko wote, Kush wallitwa Ntecher yaani nguvu ambazo zipo, zinafanya vitu viwe na vifanye kazi na katu haviwezi kuasi katika kazi hiyo, mfano wa Arch Angel ambapo watu wamepotoshwa, wanazuoni wa magaribi na africa bila ya haya wanasema hawa ni "miung" haliyakuwa ukitumia rossetta stone, na vitabu mbali mbali kujifunza lugha, picha, matamko na mantiki za ufahamu wa wa wahenga wamechonga kwenye mawe ambayo ni rahiri kuharibika na hakuna anayeweza miaka hii, kitu kilichofanyika na "Taifa maskini lenye watu wasio na maarika wala vipawa" hakuna mabacho afrika hakuna kwanza Afrikani pangea , hslikadhalika kush walitambua uwepo wa "Neb Er Netcher" ambapo ni ufahamu wa kutambua kwamba tatika hizi nguvu, kuna ambayo ndio chaonzo cha kila kitu, hana jina na hawezi kutamkika. Azzazel (Shetani) kwanza jina kllake sio lucifer hili sio suala la kidini katika mawasiliano ya ulimbengu wa metaphysics Jina ndio anuani inayofika mpaka mwenye moyo kwasababu ndio kiungo pekee kinachotengeneza mawingi ya sauti hila ya kummpumzika na kwa sauti ya juu sana, wewe husiki lakini ungeweza kuona mawimbi sa sauti moyo wako ungeshangaa tena niwakoroge kidogo watanzania wenzangu "lucifer" maana yake si "Mbeba Nuru" wewe tizanma hiki nicheo alichokuanacho Alien (Mtu mabaye sio mkazi halali wa sehemu husika) mmoja ambaye sio kwamba aliabudu mpaka akaachiliwa aende peoponi, huyu Adui wa kweli wa wana wa Admu hakuwa big deals kipindi generation yake ilitawala dunia zaidi ya karne 422 sio eti miaka 4.22 bilion...Tujifunzunza kusoma maandiko ya watu wakale maana waechonga kwenye mawe na kuandika kwenye karatasi ambazo bazikuliwa na panya kupigwa na gwarika wala kuharibika ,fano kama Kitabu cha Enoch ambacho ni moja ya vitabu vya biblia ya wakristo wa ethiopia mimi napenda huwaita waasihi maana kwanza neno mkristo lilitumiwa na warumi kuwakejeli wafuasi wa Yuashua Masia limetiokana na neno Crucifix yani kusulibiwa, na kisheria ili kuwa mtu anaisulibiwa ni mtu ambayemuovu na jamii imemkata. Nasema hivi maana Maneno yana uhai, maneno yanasababisha mitetemo (vibrations) na mitetemo ni nguvu (energy) katika daraja la Kwantum au tuseme kipengele cha ulimwengu wa roho . Sasa ukituma barua au ngumi anuani sio , tene na kmwenye anuani ndio ameseti kazi bure na unajulikana na kupigwa wewe na Mr. Shetani, mzee ,
    Zaidi ya yote safi sana endelea kutujuza na sisi tuongeze maarifa, natakuacha na kipande kigogo toka thenye kitabu kinaitwa "Kolbrin bible" chapter One, Creatin
    THE NAME WHICH THY CAN UTTER CAN NOT BE THAT OF THE GREAT BEING WHO< REMAINS NAMELESS< IN THE BEGINNING AND THE END< BEYONG TIME< BEYONG THE REACH OF MORTALS< AND WE IN OUR SIMPLICITY CALL IT GOD
    .........Ebwana Eeeeeeee? Niishie hapaila please endelea kutupa mambo asante mnoo mkuufunzi

    • @kadoayubu9000
      @kadoayubu9000 Год назад

      Amini tumerisi imani na tume amini binadam hatumwani tena mungu make tumekalili na tumefuata mkumbo

  • @blackandblackandblac
    @blackandblackandblac 5 лет назад +4

    RESPECT THE RESEARCH YOU HAVE DONE IS COMMENDABLE ASANTE SANA MUNGU AKUBARIKI NA AENDELEZE JUHIDI ZAKO ZA KILA SIKU BE BLESSED ALWAYS

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya7166 5 лет назад +7

    Kiufupi huwezi kumjua yesu kiusahihi wake bila kusoma ktk Quran na hadith za mtume mhamad s.a.w . wakristo watapata tabu sana kwa kumkataa na kushindwa kumuamin mtume mhamad nakubaki tu kuburuzwa na wazungu kifikra
    Nyoone ktk uislaam hakika kwa Allah nyoyo zenu zitatulia na mtaishi kwa furaha yakweli sababu ni 100 kwa mia ndiyo dini tuliyo chaguliwa watu wema
    Ndugu yangu amin usiamin bila kusliim huwezi kuupata uzima wa milele ((peponi))
    Yesu ipo siku atarud tena ataswali msikitin mtume alisema atakae kua anaswalisha siku hiyo anaitwa MUHAMMAD IBNI ABDI LLAH
    Karibun ktk nuru ya Allah

    • @msuvaclassic12
      @msuvaclassic12 3 года назад

      Mohammad mwenyew aliumbwa na yesu..... Yesu ndo alikuumba wewe

    • @victorbeno
      @victorbeno Год назад

      Check nae huyu alie potoka na Quran yenu kitabu cha majini Soma yakobo 1:10

    • @redcolobus4596
      @redcolobus4596 Год назад

      Nnachojua yoseph kabla ya kupewa bikira maria alikua ana wake na watoto so hao watoto wa yoseph ni kaka na dada wa yesu pia

  • @TricodMedia
    @TricodMedia  5 лет назад +1

    SIRI YA MIAKA YA YESU ILIOPOTEA KWENYE BIBLIA miaka 12-30 MASON NA WA HINDU WAHUSIKA HUWEZI KUAMINI
    ruclips.net/video/7ubqTlR2Lvk/видео.html

    • @mstevens832
      @mstevens832 4 года назад

      254 forever na London Dani

    • @mstevens832
      @mstevens832 4 года назад

      Historia tume ipata kazi ni kwetu kujua ukweli Asante! 254 forever

  • @chrissfidels3146
    @chrissfidels3146 4 года назад +1

    Kuna watu huwa ni wabish na hawataki kuelewa somo.! Na mwenyez mungu kasema.! "mach na maskio yao yamezibwa yasipate kuona wala kusikia".! Niviziwi na vipofu.. Anamalzia kwa kusema!! "Ole wao siku hiyo wenye kupinga" hvyo hao wanaobisha mioyo yao imepigwa chapa na ishapat kutu.. Wapinge ila ndo kweli.!

  • @joshuakweya1359
    @joshuakweya1359 5 лет назад +1

    Kazi nzuri,watu wengi wamezaliwa wakaapata stori za yesu na kuamini,lakini hawamjui atakidogo.

  • @suleimanali8317
    @suleimanali8317 5 лет назад +1

    endelea kutupa elimu
    kwa kweli naipenda Tricod Media

  • @kibwamoko8767
    @kibwamoko8767 5 лет назад +5

    Mimi ni watatu leo naombeni like zangu. Hongera Kaka

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      Umetisha sana

    • @allyderossi9742
      @allyderossi9742 5 лет назад

      Tricod Media:Zaid ya sanaaaa ila ipo oneday ukweli utakuja kukaa waziwazi wa hiki unachokielezea ambao MAYAHUD copy walikitengeneza Hongera DRICOD.

    • @manyusiabubakar4370
      @manyusiabubakar4370 5 лет назад

      Tricod media , historia zenu ni nzuri . lakini , ukweri harisi mnaupita juuu.. mnakua mnazungumzia bibilia pekeee yake ..
      quan haujawahi kuizungumzia kwa kua wewe ni mkristo .. kua unasoma vitabu vyote vya imani..
      bibilia ni kitabu chenye CONTRADICTIONS kibao..

    • @manyusiabubakar4370
      @manyusiabubakar4370 5 лет назад

      Alafu pia , ukiendea kufuatilia mambo ya bibilia , unajaza kufru katika nafsi yako , kwa kua bibilia iliandikwa kwa amri zaaa watu wa LUMI .. sasa endapo tukisubiria kua bibilia ndio ituongoze Kama kitabo kitokacho kwa mungu , haitowezekana , sisi wote tutaishia jahannam

  • @prospersacky9334
    @prospersacky9334 4 года назад +1

    Kwanza ni upumbavu kusema aloyezaa ni bikira. Swala la Yesu kuwa na ndugu halina mjadala, ni kweli

  • @sharonndowo6922
    @sharonndowo6922 5 лет назад +7

    Biblia ni neno la Mungu lililokamilika na lina tosha ndio maana kuna onyo; (Ufu 22 )
    ------------
    18 Namshuhudia kila mtu ayasikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mtu ye yote akiyaongeza, Mungu atamwongezea hayo mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.
    19 Na mtu ye yote akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima, na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki.
    .
    ....Kila alichokusudia Mungu kukisema alikisema wakati wa Yesu hakuna lililobaki, kitabu cha ufunuo kama kinavyojitambulisha ni cha mambo yajayo.

    • @renistambele6250
      @renistambele6250 5 лет назад +1

      Sharon Ndowo kabisa yani, hao wote wawil no yesu wa uongo, yesu yuko zake mbinguni kwa babake, hajaacha picha duniani Bali maandiko tuu, nasi tunaamini lakin atajamwona, acheni kupotosha watuu

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад +1

      Huwa nafarijika sana ninapokuona kwenye comment maana unatujenga sana watu tulio na mashaka na imani

    • @sharonndowo6922
      @sharonndowo6922 5 лет назад

      @@TricodMedia mi pia napenda sana unapotoa somo lenye utata kumhusu Yesu Kristo, ma amini kwenye maandiko huwa siongezi wala sitapumguza ntatoa magazeti ya maandiko ya kutosha

    • @kondesaidi2040
      @kondesaidi2040 5 лет назад

      Huyu mwana blog yupo sahihi ushahidi mwingine ni 1:1 Luka.

    • @sharonndowo6922
      @sharonndowo6922 5 лет назад +1

      @@kondesaidi2040 ingekuwa vema ukaendelea kusoma alichokiandika Luka, ili kuona walichotunga na yeye kama alikanusha, bali Luka aliendelea kuandika hivi; (Luke 1 )
      ------------
      3 nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofilo mtukufu,
      4 upate kujua hakika ya mambo yale uliyofundishwa.
      .
      .....What amazing!

  • @Samix201
    @Samix201 2 года назад

    Uko vizuri boss 👍👍👍🔥🔥

  • @ernestmwayahila2161
    @ernestmwayahila2161 2 года назад

    nimekuelewa

  • @snkhannassoro2404
    @snkhannassoro2404 5 лет назад +1

    Nakukubali kijana

  • @officialtopnine3012
    @officialtopnine3012 4 года назад

    Tuko sawa

  • @emmanuelmwakatuma142
    @emmanuelmwakatuma142 5 лет назад +1

    Pamoja bro

  • @francismalera7863
    @francismalera7863 5 лет назад +1

    Mimi sishangai Bro ila ukweli upo Kwa Mungu aliyetuumba Na Imani yakila1 itamponya

  • @fellyxkhan1890
    @fellyxkhan1890 5 лет назад +4

    Unajuwa sometimes nakuwaga nachangikiwa maana naonaga kuvurugwa sana na hizi history

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      Hahahahaha pole sana sema hizi story usichukue kila kitu maana sio kila ukweli ni salama

  • @linturenatus3549
    @linturenatus3549 Год назад

    Duuu nikitendawili ,,ila nakupata sana

  • @sharonndowo6922
    @sharonndowo6922 5 лет назад +5

    Yesu alikuwa na ndugu sita wanaume wa nne na dada wa wili; "Huyu si mwana wa seremala? Mamaye si yeye aitwaye Mariamu? Na nduguze si Yakobo, na Yusufu, na Simoni, na Yuda?"
    (Mat 13: 55)
    .
    .Yakobo alikuwa wa kwanza kufa; "Akamwua Yakobo, ndugu yake Yohana, kwa upanga."
    (Mat 12: 2)
    .
    ..... "Lakini sikumwona mtume mwingine, ila Yakobo, ndugu yake Bwana."
    (Gal 1: 19)
    .
    .Mariamu mamaye Yesu Kristo; aliendelea kuishi na mwanaye Yohana nyumbani kwake; "Na alipokuwa akifikiri haya akafika nyumbani kwa Mariamu, mamaye Yohana, ambaye jina lake la pili ni Marko; na watu wengi walikuwa wamekutana humo wakiomba."
    (Mat 12: 12)
    .
    .Yuda ameanza kwa kujitambulisha hivi; "Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo, ndugu yake Yakobo, kwa hao walioitwa, waliopendwa katika Mungu Baba, na kuhifadhiwa kwa ajili ya Yesu Kristo."
    (Yud 1: 1)
    .
    .Ndugu wa Yesu hawakuwahi kujitambulisha kuwa ni ndugu zake kwa kuwa walijua hakuwa mtu wakawaida, waliendelea kujiita watumwa wa Bwana.

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      Kwaio ni ndugu zake au kaka zake wa damu kutoka kwa mariam

    • @sharonndowo6922
      @sharonndowo6922 5 лет назад +1

      Ni kaka na dada wa damu kutoka kwa mamaye Mariamu

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      Hahaha Dada angu kwenye biblia ya kingereza neno ndugu lilisomeka brother yaani kaka yake na yesu hata mtume paul alimuita yakobo brother of the lord kaka wa bwana

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад +1

      Ndio mariam baada ya kumzaa yesu aliolewa na Joseph wajina wangu wakaendelea kuzaa

    • @sharonndowo6922
      @sharonndowo6922 5 лет назад

      @@TricodMedia lakini Joseph mbona huwajibu hawa ndugu zetu Waislam jamani?

  • @cyprianmallya4670
    @cyprianmallya4670 5 лет назад +5

    Mbona iloneno Tricod Media Linanembo ya Kifreemason??

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      Mbona tunaanza kuumbuana tenaaaa

    • @precioussambale1964
      @precioussambale1964 4 года назад +1

      Mbona umeshindwa kugbu Hilo swali, unasema kuwa mnaumbuliwa?

    • @kizchy4626
      @kizchy4626 4 года назад

      Jibu swali

    • @thamanihamisi4584
      @thamanihamisi4584 4 года назад

      Ndo mana mnacho ongea kuhusu yesu ni kuvuruga watu Mungu hadhihakiwi

  • @ramadhanimahongole8764
    @ramadhanimahongole8764 5 лет назад

    we ninani kwanza tukujue jina lako ucje ukawa niwale wanao kwenda kuabudu jiwe leusi makkar na kumuacha yesu christo mwana wa m-mungu alie hai

  • @mwanahamisially5234
    @mwanahamisially5234 5 лет назад +1

    Mmmh👂👂👂👂👂

  • @nancyfamilysharesmoments7634
    @nancyfamilysharesmoments7634 3 года назад +1

    Hizi story huwazinanichanganya kwanini lakini

  • @isaacmgaya2067
    @isaacmgaya2067 5 лет назад +5

    You are a confuser. Yesu siyo picha. Jesus is not history. Jesus is Lord. He is Saviour.

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      Hahahahaha kweli kabisa

    • @alikhamis6326
      @alikhamis6326 3 года назад

      Kwa maana yule wanaemuabudu waroma nakumtengezea sana vzr si yesu yule tambua dini yenu mumeingiziwa ibada ya kuabudu masanam na hilo munalijua

  • @miltonchiwanga8734
    @miltonchiwanga8734 2 года назад +1

    Chimbuko la warumi ni wapi na lime anzaje

  • @yahissalvation6635
    @yahissalvation6635 5 лет назад +2

    Kwanza messiah sio MUNGU,ni mwana wa MUNGU, ambaye amuaminiaye yeye ameokolewa, na yeye sio yesu wa giriki anaejiita Mungu, na yofauti wa Israel alisema tufate amri kumi alizopewa Mussa ila wakigiriki kaja na agano jipya eti hakuna umuhimu wa agano la zaman, messiah akasema tukumbuke sabato ila wa Greece kasema tuitakase jpil yan ni vitu viwili tofaut watu tunaamudu jua, SUN DAY ni Sun warship, jaman tuanze kufatilia historia mana shetan ameudanganya ulimwengu mzima

  • @maximillianmubashi7328
    @maximillianmubashi7328 2 года назад +1

    Huyu ndiyo ukweli. Basi tuite Yesu wa historian ndiye Yesu halisi na Yesu wa kitapeli atupiliwe mbali

  • @blackandblackandblac
    @blackandblackandblac 5 лет назад +6

    CHANNEL YAKO NI BORA SANA PLEASE NAOMBA UWEKE NA KIINGERAZA ILI NCHI ZINGINE WA WEZE KUFAIDIKA NA WISDOM YAKO PLEASE PLEASE

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад +1

      Asante sana sms yako imenigusa sana kuna mda najiskia kukata tamaa ila sms yako imenipa nguvu ya kupambana zaidi

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah2990 5 лет назад +1

    dah yani inasikitisha sanaa ila kweli kila mtu na imani yake lakini ukweli yesu sio mungu wala mwana wa mungu

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      Hahahahaha

    • @irenelemanuel4161
      @irenelemanuel4161 5 лет назад

      yesu ni mungu soma isaya 9:6 na warumi 9:5 maandiko yapo kibao ila alifanya kazi kwa namna tofauti..

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 5 лет назад

      wewe uliumbwa na yesu? nijibu

    • @kadoayubu9000
      @kadoayubu9000 Год назад

      Yusu ni njia ya kweri na uzima

  • @V.O.T
    @V.O.T 5 лет назад +1

    Naweza kubaliana na yesu kuwa alikuwa na nduguze,ila watakuwa ni wadogozake baada ya kuzaliwa ,maria aliendelea kuzaa wa totot wengine

  • @lameckdjuma6864
    @lameckdjuma6864 3 года назад

    Nataka nifahamu kuusu uwo yesu wa picture na filamu iyo ya yesu ya zamani

  • @mariapatriciajoaquim4596
    @mariapatriciajoaquim4596 4 года назад +1

    Mjomba nina swali moja tu ,je Yesu christo alikuwa mweusi?

  • @mkushplatnam1595
    @mkushplatnam1595 5 лет назад +4

    siyo wa imani ni wa movie bana, uyo mweusi ndo oreginal , chuki za wazungu tu

  • @crctz7473
    @crctz7473 3 года назад +1

    Sasa napata ukweli kuusu yesu wazungu wametudanganya muda mrefu

  • @birundula
    @birundula 5 лет назад +1

    Kaka uko makini nakuelewa sana

  • @aisharajab5918
    @aisharajab5918 5 лет назад +1

    IS there anyone who can describe how our Lord Jesus Christ looks like? Mbona twapotezana...Jesus Christ of Nazareth the one I know is spirit. ...

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      Nakuelewa sana japo tukisema hivyo tunaibua tatizo lingine inamaana story zilikua za kutunga hakukua na mtu kama huyo

  • @eliakimsamwel1846
    @eliakimsamwel1846 5 лет назад +3

    Kama bible imeandika nduguze, inaonesha walizaliwa watoto wengine haiwezekani yusuph alibaki hivyohvyo bila kuongeza watoto, ujue kila kitu hakijaandikwa kwenye bible, alafu swala lingine hzo picha zote sio yesu.hao ni actor tu, nashangaa sisi tumechukulia kuwa ndio picha halisi ya yesu, wakati majira zile hapakuwepo na kamera.

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад +1

      Kweli kabisa

    • @emanueljilalabundala7977
      @emanueljilalabundala7977 4 года назад

      Waambie kaka hakuna anaefahamu sura ya YESU hao n actors yeye yuko mbinguni hekaluni anatuombea kwa BABA yetu muumbaji yeye n Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme abayetumiwa na wazungu n Bryan decon aliigiza 1979 hiyo movie lakn ndgu zetu mashehe wanakosoa tu kwa kuwa hawana historia ya kristo real anakuja mawinguni kila jicho litamwona😋😋

  • @marcoamos6330
    @marcoamos6330 4 года назад

    source ya information zako utaipata wapi

  • @benjaminbatano3293
    @benjaminbatano3293 4 года назад

    Huwezi kuelezea usichokiamini unaletea uongo unazani unaweza kumpotosha?

  • @sharonndowo6922
    @sharonndowo6922 5 лет назад +2

    Naona nifupishe magazeti kidogo leo ili isiwe kiro Joseph kuyasoma.

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад +1

      Hahahahahahaha sawa ngoja nitafute mada ya kukuchokoza vizuri na mistari ya biblia

    • @sharonndowo6922
      @sharonndowo6922 5 лет назад +1

      @@TricodMedia njoo tu ilimradi usipotoshe kwa makusudi, mi sichoki najua hata kama sio wote wapo watakao ona njia kwa mbali

  • @kani1870
    @kani1870 5 лет назад +1

    Kaka naomba namba zako Kuna kitu unisaidie

  • @ruadruad1073
    @ruadruad1073 3 года назад

    So you mean that yesu was Africans and wich contry from Africah

  • @kani1870
    @kani1870 5 лет назад +1

    Kaka naomba namba zako za wahtsApp Kuna kitu naomba unisaidie

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      Nitumie namba yako ntakucheki

    • @mariamngadoa7808
      @mariamngadoa7808 3 года назад

      @@TricodMedia naomba na mimi yangu 0755056035

  • @benjaminbatano3293
    @benjaminbatano3293 4 года назад

    Ngoja nikueleze na historia yako hiyo ya uongo, ukitaka kumthibisha Yesu unayesema wa theologia kwamba ana nguvu uje na hayo mapepo yako utakipata cha moto. Kama unabisha nipigie simu nikuombee wala hautaleta tena hadithi zako namba ni 0752238137/ 0783870637

  • @ntamerungirokoleta1721
    @ntamerungirokoleta1721 4 года назад

    Enyi weusi wenzangu mbona kira siku munatu onyesha picture ya yesu muzungu hakuna picture ya yesu mweusi nawasikitikiya sana hamukujuwa kama huyo yesu muna ona kirasiku kwenye picture siyo mukombozi wenu wakwetu sisi weusi mukombozi wetu ni weusi jinarake arikuwa ana yitwa kutumane mula

  • @joskimmaro1556
    @joskimmaro1556 4 месяца назад

    Weka evidence bro wew hayo umeyatoa wap?

  • @kombojuma7835
    @kombojuma7835 5 лет назад +2

    Haya bhana
    Uje uchambue na Qur'an maana hadi sasa najua sana Biblia kuliko Qur'an kiundani

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      Huko unataka nitolewe kafara

    • @moodyhassany8928
      @moodyhassany8928 5 лет назад +3

      Quran haina kasolo ata therusi toka ilipo shukuka miaka 500 Ad adi leo ijabadilisha kama biblia inavyoguswa na watu wengi ni kitabu kilichokamilika na kimebeba vitabu vyote vinne vya mungu,zaburi,tourati injili,na qurani yenyewe so kijana kitabu hiki ni ulinzi wa mngu kama yeye alivyoeka ahadi ndani ya kitabu chake tofauti na kitabu cha biblia

    • @khairulabdi8231
      @khairulabdi8231 5 лет назад +1

      Kombo Juma , Sa Kwenye Qur an unataka aje Kuchambua ninii..??? Aichambue ili Apate nini,anaijuakwanza iyo Qur an ?? We kama huiamin Qur an.. ALLAH hapungukiwi na Chochote kwa we Kutokumuamin kwako, we Baki na Ukafiri wako.

    • @SAM_163
      @SAM_163 5 лет назад

      @@moodyhassany8928 Huna ulijualo unafuata hisia na mapenzi its better ungekaa kimya 😂 🤣 🤣

    • @SAM_163
      @SAM_163 5 лет назад

      @@TricodMedia Unaogopa kuusema ukweli uliopo kwenye kuran kwa sababu unaogopa kafara kama ulivyoandika hapo au kwakuwa mwenyewe ni muislam??? Miaka ya yesu hapakuwa na technology ya camera so nashangaa uhodari wako na confidence yako unapoelezea huu uongo wako??🤔🤔who gives you such confidence bro???

  • @teophilemukamba8146
    @teophilemukamba8146 4 года назад

    Eebwana bibilia nineno ambao rimekamirika natukingia ndani wanatwambia haturusiwi kupunguza au kowongeza hatakidogo ira ukichunguza sana wazungu warificha hisitoria takweli wakatudanganya alafu ubishi hawataki kwamana wawo wanajuwa ukweri ukowapi wewe unasikiaje kaka? dada?

  • @deojohn2212
    @deojohn2212 5 лет назад +1

    Oya , nisaidie vyanzo vya habari hizo ?

  • @cyprianmallya4670
    @cyprianmallya4670 5 лет назад +2

    Yesu hakua na Dada wala kaka.
    Kama biblia inatuambia Mariam alikua bikra sasa uyo kaka au dada alizaliwa vpi??

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      Kwaio ukiwa bikra ukazaa bado unabaki bikra au unachanganya maana ya ubikra

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      Baada ya kupata mimba aliolewa sasa hapo unatueleza aliishi na mume bila kufanya mapenzi au

    • @motingijh2101
      @motingijh2101 5 лет назад

      @William Kavaya kwa hiyo kumbe unaposema mungu mwana unamaanisha mwanadamu

    • @irenelemanuel4161
      @irenelemanuel4161 5 лет назад

      walizaliwa baada ya yesu soma mathayo 13:55 walizaa na joseph

    • @motingijh2101
      @motingijh2101 5 лет назад +2

      @@irenelemanuel4161 🙈kumbe Maria alimsaliti mungu kwa kuendelea kuzaa na wanaume wengine coz mnasemaga yesu ni mwana wa mungu.

  • @japhetgaleke2467
    @japhetgaleke2467 5 лет назад +1

    Kaka mbna hua cku zote ckupati tu hua unanichanganya unazidisha chumvi nyingi sana ukweli 25% & Uongo 75%, so endelea 2u wakumeza ameze eeh!.

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад +1

      Hahahaha sababu 25% ni historia na 75% ni injili ya kwenye biblia hahahaha

  • @oscarmwakasungula5068
    @oscarmwakasungula5068 5 лет назад +1

    Una mapepo wewe ondoka na upotofu wako wa kishetani, ushindwe na ulegee fala wewe

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      Hahahahahahahahaa

    • @motingijh2101
      @motingijh2101 5 лет назад

      Mh! Fala kwa Jina la yesu au

    • @shijamakenzi3051
      @shijamakenzi3051 3 года назад

      Fala ni wewe asca maana hata yesu alisema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa au ukweli wa mambo hiv wew kwa hakiri yako unadhani kuwa yesu alikuwa mzungu?yesu hakuwa mzungu bali alikuwa mtu mweusi hata waisrael ni mm na wewe hao waliopo leo pale esrael siyo waisrael ni mapandikizi tu ya wazungu wakiwemo wamarekani na waingereza hata hiyo misri ilikuwa ya watu weusi soma historia ya mafaro wa misri na ndiyo maana hi Joseph baba mlezi wa yesu aliambiwa na malaika amchukuwe mtoto yesu pamoja na mama yake waende misri ili herode asimuue sababu misri ilikuwa na watu weusi hivyo isingelikuwa raisi kumuua yesu

  • @elijahomwenga4850
    @elijahomwenga4850 5 лет назад +1

    an imagination away from reality

  • @bazazerb6664
    @bazazerb6664 4 года назад

    Je wewe ambaye unasoma hii historia ya yesu NA wewe ulipata wapi coz ni kama Hakuna ukweli kuhusu yesu Sasa sisi tumwabudu Nani?

  • @mariapatriciajoaquim4596
    @mariapatriciajoaquim4596 4 года назад

    Sasa mjomba kwani yeye Yesu christo alikuwa Nani?

  • @marcoamos6330
    @marcoamos6330 4 года назад

    tupe proof evidence za kutosha sio picha tuu na maneno

  • @buharimwanga284
    @buharimwanga284 5 лет назад

    Kuna video nimeipata kwenye mtandao naomba namba zako za whatsapp ili watu wazidi kuamini mzungu ametuchezea sana akili for long, na mi leo kupitia hii video nimeelewa nini nia yake wanavyosema new world oder ni mpango ambao ulikuwepo na upo toka kipindi kirefu aisee na karibu wanafanikiwa

  • @jonatahanmpova9497
    @jonatahanmpova9497 5 лет назад

    huyu ni mu islam akioneya

    • @roselyimo3676
      @roselyimo3676 4 года назад

      nami nilitaka kujua huyu kaka huwa ni dini gani maana huwa nafuatilia sana. kaka nijuze wewe ni dini gani?

  • @michaelbenjamin930
    @michaelbenjamin930 5 лет назад

    Tunaomba jibu Mbona alama yenu ya tricod media ni alama ya free mason

  • @babuayubu6215
    @babuayubu6215 5 лет назад

    Acha kuchanganya watu,,,ijili kuhusu yesu iliandikwa na wafuasi wake ,ikiwepo petrol na mathayo....mbona unasema hakuna ushahidi wowote kutoka watu walioishi naye....tena rangi haina mashiko.kilicho muhimu ni mafunzo yake...

  • @japhetgaleke2467
    @japhetgaleke2467 5 лет назад +1

    Kaka mbna hua cku zote ckupati tu hua unanichanganya unazidisha chumvi nyingi sana ukweli 25% & Uongo 75%, so endelea 2u wakumeza ameze eeh!.

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      Hahahahaha

    • @japhetgaleke2467
      @japhetgaleke2467 5 лет назад

      Namngojea nahuyo yesu wa history😅😅😅 hatar sana uko vzr kaka