UKWELI wa nyuma ya CHRISTMAS huwezi kuamini kumbe WALITUDANGANYA ushahidi HUU HAPA
HTML-код
- Опубликовано: 10 сен 2024
- Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE www.youtube.com...
TRICOD SKILLS Website:
www.tricodskil...
LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
/ tricod-skills-11524157...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
/ tricodskills
FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
/ tricodskills
#HistoriaYaChristmas
#YesuKazaliwa
#Upagani
KAMA ULIFANYA HIVI kwenye CHRISTMAS HII Hauko salama MOTO WA KUZIMU utakua juu yako! ruclips.net/video/jqv6l9LPK-s/видео.html
Tricod Media asante sana on kweli umenifulahisha nikweli kabisa Niko murundi na Niko burndi asante
Saluti kwako uko vzuri. Namshukuru mungu kwa kukupa ujasiri kazi uliyoifanya sio kazi ndogo, Asante.
Asante sana kwa kunipa nguvu
Na'am yesu hakuzaliwa 25 Disable
Kweli kabisa
Niukumbusho bt hakuzaliwa 25 dec watu hamuelewi
Karibuni kwa MUNGU BABA..Mimi nilikuwa mmoja wapo nikijiita mkristo. Kumbe Bwana Yesu alikuwa amenikabizi kwa MUNGU BABA nafsi ya Kwanza Yohana 17..
Kuwa mkristo sio sida wale wanaosherehekea tarehe 25'dec dio wanaojidanganya sana kwa kukosa akili
Duu !!! poleni Sana wenye imani ya kristo.kama hamjaelewa hapa Basi. Hamtoelewa tena
Uko sawa kabisa
Asante sana
Mathias Tarimo yaliyo funguliwa Duniani yame funguliwa nambinguni.yaliyo fungwa Duniani yamefungwa Mbinguni ajizaniae amesimama ajihazali.asije akaanguka,
ajizanie amesimama.ajihazali asje.akaanguka,
Wala auitaji utumie akili nyingi toka umeanza kusoma bibilia umesha kutana na hilo neno krismas kama hakuna uliwahi kuji uliza kalileta nani
Hahahaha
exactly
Hv ww unajua English? Neno chrismas lina two meanings kwanza Chris ni short form ya Christ pia mas ni short form ya mass meaning Ibada ya kristo kusherehekea kuzaliwa kwake hata kwenye Bible inasema kuhusu kuzaliwa kwake acha kuwa Sadducee unataka tukusherehekee wewe mh!! Over mah dead body!! Afu bro don't forget to repent ur sins...
@@estherkim4535 soma n ufaham jitahd kusoma vzr bble il upate kuelew vzr usitupe maan zako zszojulkna zmetoka wap
@@estherkim4535 mm niliuza pastor akasema ni siku iliekwa ili kukumbuka kuzaliwa kwake christo bt hakuzaliwa 25 dec
Kweli kabisa
Mambo ni moto mambo ni fire kuna cku mtakuja sema ya kweli na mtaacha kuabudu Mungu Baba Mungu mwana na Roho mtakatifu mtajua tuu haya ya krismas mbona madogo.
Kweli ktk dn yetu ya kiislam Allah kasema itafka kipind ukweli utajulikana na dunia mzma itakua islam
Ndio sisi wakristo wakwel hatuna hayo masherehe maana tunajua chanzo chake , hatuna hayo sisi wasabato, but uislamu ndo umepotea kabisaaa
@@mwizarubideo7721 sasa wewe unatumia kitabu gani? hapo hupaepuki
Vp waislamu mko tayari tuandike history ya Muhammad au mtaanza vita kwa sababu wakirsto ni waelewa
Mungu anakuona nakuombea Roho mt akufumbue macho useme kweli yake maan hujui
Lete maandiko ili umpinge km huna maandiko wewe ndio uko ktk upotevu
Naomba ufichue siri nyingi sana🙏🙏🙏🙏🙏
Hata mseme vipi mie ni wa yesu ropokweni tuu
nikwer ata mimi ninaamini kabisaaaa
Mkuu umepiga kunako kause nimefuatilia pia hiyo habari ya MFALME Nimrod wa zamani na satin Ni ukweli mtupu ..wasiijua wache wasijue
Umeifatilia wap??
Kweli kabisa
Kwanin muendelee kuabudu kwa mashaka dn inabadlka badlka njoen ktk uislam dn iliyotoka kwa Allah sio ya kubadlkabadlka
Hatabudu kwa mashaka kaka MUBAI ukiristu sio Dini Ni imani ukeistu Sio Dini Ni imani na kama ukifuatilia Ni kwamba mpinga Kristy yaani waabudu jua ameficha maovu yake ndani ya xmass ili Tukumbuke kwamba devil worshipers wanamjua Mungu wa kweli na ndio maana wakaamua kufanya hayo ili kuwahadaa watu .mti wenye matunda ndii huwa kinapigwa mawe. Kwa nini hawa devil worshipers wakaxhagua kuuhadaa ulimwengu Katika siku ya kuzaliwa Yesu na Ai ya kuzaliwa mtume Muhammad???? Get my point Jibu baki nalo mwenyewe .siku zote mti wenye matunda ndio hupigwa mawe . siku njema
joseph Masunga kwenye biblia nitapata wapi hiyo habari
Heii mungu tuhurumie hatujui tutafuata nani, ka dunia inawexa simama nshuke
Tatizo ni kuwfuata mayahudi, mayahudi wamemkataa nabii wa mwisho, na nyie munafuata tu, huo ni mtihani, soma qur' an utakuta ukweli
Tatizo ni kuwfuata mayahudi, mayahudi wamemkataa nabii wa mwisho, na nyie munafuata tu, huo ni mtihani, soma qur' an utakuta ukweli
Waliwadanganya wapi umejidanganya mwenyewe kwa kuto kumheshimu Mungu wazungu walipoteza maisha walizaraulika waliuawa dunia iliwachukia ili.leo injili ihubiriwe mnaanza kuongea pumba kabisa kama umejenga kanisa na unahubiri watu funga weka duka maana yesu alianza kwa kuzaliwa kufa kufufuka na kupaa na tunajua atarudi.kama.unaona kukumbuka kuzaliwa kwa yesu ni kosa fungeni kanisa zingine mnataka kutusimika zifungeni bwana alaaaaaaa
Uko vizuri sana
Wah sishelekei tena
Asante kwa kutufumbua macho
Asante kaka Nakuelewa Aise. Ubarikiwe sanaaaaaaaa😘.
Tuambie kuhusu bakwata na sun bana
Aminaaaaa 😘😘😘😘
Biblia inasema vizuri kusikia mtasikia na kuona mtaona lakini hamtaelewa
God bless you so much my brother,maana I watched in English it was about secret of this Christmas ,I feel bad
Hahahaha
Kaka nimekukubali ila ninatamani kujua YESU alizaliwa tarehe Gani? Ninatamani kujua
Je! Hii kalenda ya jan, feb, hadi dec ilitengenezwa na nani?
unafanya kazi nzuri,kuelimisha watu,watakuelewatuu
uko vizur
Asante sana
ukristo ndy dini ya kweli 👏
Lete andiko
haile selassie Jah wangu sisi twamusifu yahuva yahu rastafari i
Ok
Kaka wape vidong vyawo uislam ndio dini ya hakiiiiii haina shaka kaka hongela sana
Mti wa matunda ndii hupigwa mawe krismas haipo kwenye Bible watu tu waliamua kuihadaa jamii ambayo inamfuata Emmanuel Mungu pamoja nasi yaani Yesu kristo Mungu aliye hai atakaye hukumu dunia law haki na kila goti litapigwa
Proud to be seventh day adventist
Skuzote ISLAMIC ONLY 1 iko na ukweli na ni dini ya sisi tulizisoma vzuri leo kuwafufunulia
..nawaskitikia sana walioko hai na walio kufia ukafirini......fateni dini yenye haki na muongozo n hii al Islamic
All religion fall under rome empire
Ndio maana tuna waambia Watu wawe wa islam
@@kambaleismail6874 kabsa ila wanapoteza mda na wakati islamic hakuna kitu mewachwa awu kusahauliwa kilakitu ndani ya Islamic na kitabu kitukuff al Qur ann karim
Acha maneno mengi,, na wewe fuatilia Allah kilikuwa ni kitu gani..utaacha maneno mengi
Mmmmh dunia simama nishuke
Hahahahaha
Proud to be Seventh day adventist...NOTHING IS NOT REALLY...EVERYTHING IS ON BIBLE...for more information text me
urembo na afya kuwa msabato siy shida, kitu cha mhim ni kuishi maisha matakatifu ndo kitu Mungu anataka
SDA THERE IS A LOT OF DECEPTIONS TOO
KAKA MIMI NAPENDA SANA HIZO STORY NA HADIDHI HIZO KWA SABABU NAJIFUNZA NA KUYAFAHAMU MAMBO MENGI SANA....NAZICHUKULIA KWAMBA NI SEHEMU YA DARASA FLANI AU ELIMU FLANI ...KWAHIYO USIACHE..!!
Asante sana kwa kunitia moyo
Mr genears genears m
Nakupata bro
By completed
Yaani tunasheherekea ushenzi huu kweli? Mungu atuongoze. Chrismas Byebye....
Mambo ya kusherekea xsmas haija anza Leo mababu na mababu wao wote walisherekea kwakeli ninani alizaliwa kisha akajua siku yakuzaliea kwake bila mmke mzazi kumwuelexa kwa ufupi mwenye uwezo amulize mmke yesu ampe tarehe kamili
@@felicianmapunda2328 tarehe gani?????
Mimi nashikilia nilichonacho ninachokiomba kikanijibu sitaenda kushoto wala julia NIKO AMBAE NIKO NDIE NINAHIKILIA
Unasema ukweli wala hauja kosea ,Mungu aweze kutusamehee sana
Kweli kak uislam ndy dini y kwel
Daaaaaa asantekk kutufunguamacho
mnaogea nn nyinyi mungu ni mungu tu wesilamu pray God sio mtume hamend
Safi maana umefundisha kile ambacho watu wengi walikuwa hawajui
Asante sana
Kwa kweli hata mi niliamini yesu kazaliwa siku hyo Kumbe sio kweli hata hakuna sehemu biblia imeandika hvo
Yesu ni shetani ,imani ukristo ni upagani .imani ni ya wayahudi iliokataliwa na waroma .wokovu Wa kwawayahudi YASHUAH Messiah ndie wakweli Johanna 4:23-25
Kwanini dada
Tafadhali usikose kusoma johana 3:16,upate kujua yesu in mwana wa mungu na usome 3:36 johana amwaminiye mwana yuna ucma wa milele
Mungu na akushushe kuzimu leo
huyu kaka ameweka hii video ili wale wanaotaka kukana dini wakane msio na imani mtakonda sana kwa kila mnacho kisikia poleni sana ndugu zangu
Hahahahaha mbona unaogopa kwani kuabudu wapagani kuna ubaya gani hasa kama umeamua kujifanya haujui
Huamini Nini sasa wew
Uyo ukweli
Nikweli huyo Mtoto alizaliwa siku iyo ila so kwa nguvu za Mungu Jua, ilikuwa kabla ya Mfalme kufa Malkia alifanya Mapenzi na Moja ya Askari walinzi wake na huyo askari akampa mimba kabla mimba kuonekana Mfalme akafa ndip huyo Queen akapata mtoto ikabidi adanganye kwamba alipata Mimba toka kwa Mfalme Nimrod alikuja kupitia njia iyo ya mionzi.
Lakini pia huyo mtoto inasadikika alikaa mda mfupi sana upatao wiki kitu ambacho sio sawa maana kama ni kweli ilitakiwa basi Pasaka ilipaswa iwe wiki moja baada ya Christmas kwa hiyo hii bado haina ulweli sana ivyo Tamus alikufa wakati bado mtoto mchanga kabisa SAFARI YA KUJUA UKWELI imefichwa sana sana
Mpinga kristo
niulize haya maelezo yako yapo kwenye Bibilia?
Nitumie kitabu cha biblia kinaoangasia kuzaliwa kwa Jesu kulikuwa tarehe 25'dec
C stands for 3 Ostands for 15, R stands for 18 O stands for 15 again N stands for14 and A stands for 1 and you add all you get 666
guda bro
Tutasherehekea Christmas kwaajili ya mkombozi wa ulimwengu kama wao walisherekea ushetani wao watajua
Yaaah nikweli
Kwa hiyo hapo kabla hajazaliwa huyo mtoto jua lilikuwa haliwaki
Mungu wangu🙄.
Hahahahaha
kwa hiyo ina maana wanaoabudu siku ya jumapili mbali na wakatoliki wanamwabudu mungu jua.
Ndio mana wasabato walitoka huko mapemaaa. Sachini humu youtube kuna moja inayosema 'papa afuta bibilia ' yaan sijui hata watu wanapelekwa wapi.
Mmmmh kuna vingi vimejificha
Mimi sijui eeee MUNGU naomba nifundishe kuujua ukweli, sielewi hii dunia, mambo ya dunia yanatisha sasa
Gud san kaka tupe stori mwanzo wa dini ya kiislam
Acha kufuru ndugu, unaogopa nini kuisema kweli? Nimrod alibeba nafsi ya Mungu Baba??? Huyo nimrodi unamjua wewe? Umeongea vzr ukaharibu mwishoni. Eti walikuwa wanamuabudu Mungu. Wewe mwenyewe unataja hapo majina ya miungu. Halafu unasema walikuwa hawamuabudu shetani. USIWE MUOGA. ISEME KWELI.
Huja hishi kwenye iyo baridi ndo mana una hendelea kudanganya watu. Hujuwi lolote kuhusu baridi ya huku
Hayo ndio mnayajua leo kuwa warumi kuwa hawana dini cha ajabu eti kanisa litapokelewa na yesu wakati mungu hakumtuma hata mjumbe wake mzungu
hayo unayo yasema hayahusiano na noel
Hahahaha
Unamkumbuka askofu kilaini, aliwahi kuulizwa na tbc, nikweli yesu alizaliwa tarehe 25 mwezi wa 12 ? Askofu akajibu yesu hajazaliwa tarehe 25 ila tushereekeee tu kwa sababu ya mazoea tuu
Angalieni msije kudanganywa maana wapo watakaokuja kwa jina langu wakisema Mimi ndie, na wengne wakinikataa, mjue Sikh za mwisho zinakaribia!
Hii ni kumaanisha Imani feki ya "mwana wa Mungu" kumbe ilitoka mbali sana zama na zama Kisha with time ikawapelekea Wakristo kumfanya nabii Isa (Yesu) kumfanya mwana wa Mungu na Baadaye Yesu huyo huyo wakaitakidi kuwa Mungu mwenyewe, eeh hii ni sarakasi ya hali ya juu sana, ama vipi?
karibu tutunze sabato ili tusije tukalaniwa kwa kuivunja na kuibadili amri ya MUNGU
Kama nafunguriwa vile ktk roho na mwili
Aminaaaaa
me nataka nijue izo kafara ni za dizain gn?
Ukitaja jina la Yesu ni sawa umemtaja Tamusi mungu jua but mtoto wa Mariamu anaitwa Masihi Issa mwana wa mariam
Maganga Njilo acha uongo
Nimekuelewa sana lakini sijui upo kwa mujibu wa kalenda gani?
Hiv wewe tricod uko upande upi Biblia imesema wazi kwamba kutakuwa na manabii wa uwongo na hata nafsi moja unayoipotosha hukumu juu yako na waliopotea wamepotea toka tumboni wma mama zao
Ni yesu wa aina tatu yesu wa movie yesu wakipagani na yesu wa mariam
😂😂😂😂😂
Napenda sana kuskiliza hiki kipindi
Ni imani yako na MUNGU WAKO(I cannot do without ma Jesus Christ)
Nikweli unayo sema siwezi kukupinga but mm niwaombe wakristo wote tupende kusoma neno pia imani nikitu kipana sana usiukumu anacho kiamini mtu kwani hakuna dini bora hapachiniyajua sisi site niwakosefu ndomana tunaitaji toba kilasiku amina!!!
Mi na pita tuu jamani
soma Luka 2:8 utapata dondoo Sahihi baadhi, Jamani fungukeni vichwa
Nime Acha ku sherekea sikuku
Kwa kweli mm cjakuelewa toa utofauti wa kale na sasa
hujui maana yakale
Kwaio mlikubali na nyinyi kudanganywa hahahahhaaa
Naomba ile story ya anunnaki kuumba wanadamu
Dini yahakinaukweli niuslam hakunaga mamboya uwongo kamahayo niukweli kwenye sulat marim namtende hule ulikua umekauka kabisa miujiza yamwenyezimungu kwamariam alipoambiwa aushike ukawambichi ukawanamatunda tenayaliyoiva njoenihuku kwenyeusilam mutaupenda wallah
nivile yenyu mtangazaji hachayafumbua lakini doooo!! ningekuwa na muda ningekuambia haunge rudi tena musikitini
Proud to be seventh day adventist
Nimekuelewa kaka, kwa hiyo huyo sio Yule yesu wa kwenye Biblia da kweli watu hawajui wanacho kiabudu halafu hawataki kufanya research hili wajue ukweli, Tuletee habari za wa mitume ya kiAfrica upo sawa.
i wish you say this in english
Hakuna yesu yeyote aliezaliwa... Ila Tamuz ni mtoto aliezaliwa ukiwa mamake Alizaa na mwanae. Kule misri. Krismas ni safari ya jua(son/sun) tarehe 23decemba jua hupotea kabisa chini na kuinuka juu siku ya tatu...ambapo ni tarehe 25 December ndipo wakristu kadanywa eti yesu kazaliwa tarehe 25 December . Muumba anaitwa yahua na mwanae anaitwa yahusha...inijili ilibadilshwa na Constatine of Rome akipigania umaarufu...alafu wakati malkia wa England alipoanzisha kanisa Nao Catholic wakongwe wakaanzisha ishmael, Islam kwa kumleta Mohamed na Fatima ... Umaarufu wake ukiwa hasa Middle East ambapo walikua washachukia ukristu.... Nina... Mengi kuhusu urongo tuliopewa....y
Nimejifunza kitu hapa
Pole
Nimekuelewa
Umesema eti Hakuna Yesu aliyezaliwa. Hivi una maana Biblia inadanganya kua Yesu alizaliwa????
Baraka Jacobs ...haya ni mambo mengi ambapo Kama hauna habari lolote itakua ngumu kuasiliana nawe...lakini nitakujibu kwa ufupi...baadaye nenda ufanye utafiti...
Kwanza hakuna kitu Kama Yesu ...mwana wa Mungu hakuitwa Yesu...soma hebrew history.
Mwana wa Muumba wetu yuko lakini haitwi Yesu(Jesus)
Mwana wa Muumba wetu ndiyo alizaliwa lakini siyo tarehe 25.decemba.soma winter solstice wa huu tarehe.
.wale wachungaji walileta zawadi kwa mtoto "Yesu "...wakifata nyota from East...soma constellation of Eastern stars.... Wa huu tarehe.
Yale mafunzo ya Muumba wetu kwenye bibilia ... Kuna mafunzo yake hayakuchapishwa kwenye bibilia...
mzee ulichoongea ni ukweli mtupu ila plz plz nakuomba usiwe unamchanganya yesu na issa Hawa watu wafanana hata chembe mzee Kwanza huyo issa sisi hatumjui hata namna walivyozaliwa hawafanani, maisha ya yesu na issa hayafanani hata chembe coz yesu kafundisha kubatizwa na kabatizwa mwenyewe pia issa hajawahi fanya hivyo den nimeona umeongelea maswala ya balidi na joto,mzee hapo umebugi inaonyesha ni namna gani unakalilishwa au hujachunguza yesu kazaliwa nchi (yesu hakuzaliwa Hispania/italy au England, yesu kazaliwa Israel na miji ya Israel ni anahasili ya ujAngwa kwahiyo tuache kukalilishana kwamba yesu au ukristo ni dini ya wazungu au imeletwa na wazungu coz hata hao wazungu wenyewe waliisikia injili ile siku ya pentekoste kutoka kwa wanafunzi ya masihi den baada ya hapo walioikubali wakaipeleka injili kwenye mataifa yao...!!! yesu hakuwa mzungu kutoka kwenye mataifa ya kiulaya yenye majira ya balidi qali Sasa sijui maswala ya mitende hayameki senc kabisa...!! mungu atuongoze katika kweli ile iliyo kweli kabisa itupasayo kuifuata ila xmass sio sikukuu ya kuzaliwa kwa yesu
Kusoma hamjui basi hata picha hamuoni,????? Hii story ni sahihi na imezagaa dunia nzima tokeni kwenye ujinga
Kweli kabisa
mbali na kudanganywa wakristo wana amini waliyo muua nabii jesus ni watu wenye uasili gani
Usizue mapya hahaha
M na poteza muda wenu kwa kudanganya watu
Christmas , ni sherehe ya kipagani
Taratiiibu wataelewa tu na kuja kwenye Dini ya haki na kweli ambayo ni Islam pekee...
Hivi Kaka, Kwann usiandike kitabu. Kuhusu Santa Claus nilisikia ana Kaka yake ambaye ni mbaya yaani Yupo pande ya kishetani
ASANTE
Duh....
Nikweli kaka
Asante pia
Duuh! bora uislam tu
Hahahahaha
Hatuabudu jiwe wala Muhammad wala Isa bali tunawafwata... wakuabudiwa n Mungu pekeee
Ukeli upo n mwaujua. ..Uislam hauna longo longo. ..wala hamn historya ya kishenzi...mara o kondoo''marajoka''mbuzi ''mbwa''mara jua barid''joto bado paka n mende nao washirikishe katika hako ili orodha ya mmiungu ikamilike...sijui nani mungu wa kweli kati y mungu baba,,mama, ,mwana,,n roho mkata magongo n kuchoma Che ndo mifugo
Acha kuongea usiyo ya jua, acha kuwa potesha watu, maelezo unashindwa kuprove
Akili mbovu wew
Kwendaaaaaaaaaaa
Mta ujua ukweli nao uta waweka huluu.
Hahahahahaa kama nakuona vile
Nimekuelewa
Nilikuwa naheshimu sana Christmas Ila kwa sasa nimeokoka
Kumbe ni wapagani ?
Hahahahaha
y'MUBAI MONTANA
luka 2:8 ushaid upo
Kweli kabisa
tangu nianze kukufatilia aisee umenikosha usemayo nikweli ila mpaka utulie sana ndoo utaelewa
Asante sanaa
Braza keep it on..... Matumiz ya akili ni muhim kuliko kushikiwa kama Hao wanao ku abuse.....
Wasiokuelewa ni wale waliopotoka ila kwa walioongoka wataami
Kweli kabisa
Hahahaha
Kabsaaa kka
U
@@TricodMedia
U
Una laana wewe na mungu akulaani kwakupotosha watu wewe ni shetani kabisa mwisho wako ni mbaya sana labda utubu na kurekebisha maneno yako
Yameandikwa wapi hayo??
Hahahaha mistari ipo mbona
Tatizo hamsomi utasikia "pameandikwa wapi? Lete andiko"! Haya nenda kasome MATENDO YA MITUME 11:18-20 Ukristo ni jina la kupangwa tu limepangwa na Wapagani. Wacheni kufuata Mila za wazee wenu hivi hata kama walikuwa wanakosea/wapotevu mnwafuata tu?! Tunatakiwa tufuate mila za Ibrhim (baba wa mitume) na UISLAMU ndo mila ya kufuatwa coz Uislamu ndo mila ya Ibrahim: Mungu ni mmoja, tusiabudu viumbe/Sanamu, tumuabudu Muumba pekee (ALLAH), Yesu ni miongoni mwa viumbe na hata Maria (mama wa Yesu) hawezi kuwa Mingu hivyo Maria hawezi na hana uwezo wa kuwasamehe zambi zenu! Sala ya Maria ni kufuru na ni Ushirikina/Upagani. Baada he kujifungu Mariam (baada ya kumzaa huyo nnayomuita Yesu) MUNGU aliona Wahyi Mariam atikise haina la mtenda atikise aangushe tense ale coz shughuli ya uzazi/Labour ni kazi zito kumfanya mzazi akose nguvu/kupungua Sukari mwililini hivyo Mariam aliambiwa aletendr ili mwili upate nguvu (Energy) kutokana na Glucose/Sukari iliyomo ktk tende. Wacheni uwongo/wacheni kudanganywa Uislamu (Qur'an)ndo mpango mzima na ni Sayansi. Mariamu pia aliambiwa ajisogeze ktk kijimto jirani ili aoge/ajisafishe maana baada ya kujifungua usafi unahitajika (Al-Islamu nadhifu/Uislamu ni Usafi).Chamsingi someni biabu buote (UKRISTO na UISLAMU) ukizani maswali mueleweshwe mpate uufahamu sio kubeza tu! Ndomaana UISLAMU umeimiza kusoma maana hawawezi kuwa sawa wenye elimu na wasokuwa na elimu/hawawezi kuwa sawa wasokuwa na wenyekujuwa.
mafalisayo walisema jambo jema.lawezaje.kutoka nazareti?hataukipinga hatuta shangaa,
@@fridahndondole3463 tatizo ni kushabikia , lakini kama ungetaka ukweli wa dini basi soma bibilia ukurasa mmija kilasiku uwone mambo humo utashangaa mwenyewe