Mmoja asilimu kizazaa cha Christmas cha leta joto wakati imetafutwa kwa bibilia na kukosekana

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 81

  • @GamingLimbe
    @GamingLimbe 8 месяцев назад +7

    So proud of You my Islamic teachers
    I will also invest in my Akhera too Inshaallah

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 8 месяцев назад +1

    Naipenda sna kazi yenu ya Da'awah mn mnawafata waliopotea mpka vijijini MUNGU awajalie kheir na mshikamano na ALLAH awape nguvu na awaepushe n misuko suko na mitihani kwa kazi

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid2356 8 месяцев назад +3

    MashaAllah ongereni walimu wetu mwafundisha vizur sana hata mtu kama hataelewa basi atakuwa hasikizi Allah awalinde na hassadi vijicho na hafya nauzima

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 8 месяцев назад +6

    Asalam aleikum mashekhe wetu Allah awahifadhi amiin shukran

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад +2

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 8 месяцев назад +4

    Takbiir Allahu akbar

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 8 месяцев назад +1

    Nawapenda mashee wangu kwa ajili ya ALLAH , na ALLAH atukutanishe pepo waislam wote baada ya haya maisha ya kudanganya , maisha ya milele na ya kweli ni baada ya kufufuliwa

  • @samirashariff7168
    @samirashariff7168 8 месяцев назад +3

    Ma Shaa Allah Tabarak Allah. Namuomba Allah Mtukufu Awalipe kheri kwa juhudi yenu, Ameen

    • @jrmr7517
      @jrmr7517 5 месяцев назад

      as salaam aleykum

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l 8 месяцев назад +3

    Mashaallah tabarakallah masheikh wetu Allah amlipe pepo kesho akhera n waislam wte

  • @Abas_Mdungi.
    @Abas_Mdungi. 8 месяцев назад +5

    Allah awaongeze nguvu pamoja na mvua ila kazi iendelee inshaallah

  • @abdisalat1579
    @abdisalat1579 8 месяцев назад +2

    MashaAllah mafundisho mazuri

  • @EuniceAngalushi
    @EuniceAngalushi 8 месяцев назад +4

    ❤❤❤❤am in love with this religion❤❤❤

  • @user-kb4dk7zo1l
    @user-kb4dk7zo1l 8 месяцев назад +1

    Kaz nzur mashek wetu mwenyez mungu ampe maisha marefu

  • @user-dp3kv2bj8o
    @user-dp3kv2bj8o 8 месяцев назад +2

    Mashaallah tabarakaallah Allahuakbar 😘🥰 Allah awaongoze nyote mnao fanya dawaaa

  • @yasinmohamed5747
    @yasinmohamed5747 8 месяцев назад +1

    Ustadh Salim na ustadh Ali mwenyezi mungu awalipe malipo makubwa Kwa kuwaelimisha watu kuhusu uislamu

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 8 месяцев назад +2

    Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 8 месяцев назад +4

    Leo wa kwanza Alhamdullillah

  • @user-gg5id2cx5m
    @user-gg5id2cx5m 4 месяца назад +1

    Tunawapenda sana haswa sheikh Salim onajuwa kuelezea mtu vizuri sana mpaka akafahamu na pia musomaji sheikh Ali nyote Masha'Allah mola awazidishie ilimu awape minzani hasanati.Ila nawomba majina munao taka kumpa yoyote anayo ngia kwa dini ya usilamu mbona musii itypishe kwenye karitasi majina mengi Kisha huo anaye ingie kwa usilamu achaguwe vizuri jina hio ndio fikira yangu shukran.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  4 месяца назад

      Masha Allah tunakupenda pia kwa ajili ya Allah inn shaa Allah fikra nzuri tutaifanyia kazi

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid2356 8 месяцев назад +3

    🤣🤣🤣🤣 ALLAHU AKBAR atn viyatu ni vyarohoni

    • @jrmr7517
      @jrmr7517 5 месяцев назад

      as salaam aleykum

  • @zainababdulrahmankarisa6273
    @zainababdulrahmankarisa6273 8 месяцев назад +2

    mashaallah karibu katika dini ya haki

  • @faridaalwaily-hk4xf
    @faridaalwaily-hk4xf 8 месяцев назад +2

    MashaAllaah Allaah Awapeeni nguvu na awahefadhiniii....

  • @Leo-xc1nh
    @Leo-xc1nh 8 месяцев назад +2

    Mashallah mafunzo mazuri Asante sana

  • @user-rs1oi2mc9f
    @user-rs1oi2mc9f 8 месяцев назад +1

    MASHA ALLAH FROM WAJIR COUNTY ❤❤❤

  • @user-tn5ny2vc7h
    @user-tn5ny2vc7h 8 месяцев назад +1

    MANSHALLAH nawa salamia sote as ALEIKUM ww❤

  • @ramsongige5444
    @ramsongige5444 8 месяцев назад +1

    Asalam aleykum
    Sheikh ALLAH ATAKULIPENI WAHADHIR WA KENYA MASHALLAHU KAZI YA DA'AWA KWA KENYA INA UMUHIMU SANA HATA MKIJAALIWA PIA MFIKE TANZANIA SISI NI NDUGU
    ALHAMDULILLAH
    SHEIKH SALIM
    SHEIKH ALLIY
    SHEIKH YUSUF
    SHEIKH QASSIM
    SHEIKH YALIT
    SHEIKH ABBAS ONLINE TV NA WENGINE WANAHARAKATI WA DA'AWA KWA UJUMLA WENU

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah hilo tutapanga

  • @mamawamoya3344
    @mamawamoya3344 8 месяцев назад +2

    Ma sha Allah

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 8 месяцев назад +2

    Mashalla Allah

  • @user-zv8hb1zc3j
    @user-zv8hb1zc3j 8 месяцев назад +1

    Mashaallah mashehe kwa kuwaelimisha wakiristo

  • @suweidkhamis722
    @suweidkhamis722 8 месяцев назад +1

    Shekhe salum na watu wako mnafanya kaz Nzur sana ni ile kaz alikuwa akifanya mtume

  • @beardedalade
    @beardedalade 8 месяцев назад +2

    Viatu vya rohoni😂😂😂😂

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 8 месяцев назад +1

    Taqbeer Allahu Akbr

  • @aminanzeyimana4780
    @aminanzeyimana4780 8 месяцев назад +1

    Barak ALLAH

  • @user-tn5ny2vc7h
    @user-tn5ny2vc7h 8 месяцев назад +3

    ❤❤❤ALLAHU AKBAR ❤❤❤❤ALLAHU AKBAR ❤❤❤❤ALLAHU AKBAR ❤❤❤❤❤

  • @hamadibabu6384
    @hamadibabu6384 8 месяцев назад +2

    MashaAllah

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 8 месяцев назад +1

    Safi

  • @mjaaliakhalfan9030
    @mjaaliakhalfan9030 8 месяцев назад +1

    Allahu Akbar

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l 8 месяцев назад +1

    Kirsmax haiko kwenye bblia

  • @hassanalfan6941
    @hassanalfan6941 8 месяцев назад +1

    MashaALLAH

  • @user-tn5ny2vc7h
    @user-tn5ny2vc7h 8 месяцев назад +2

    SUBHANNALLAH WALHAMDULLILLAH WALAHU AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @samuelondieki9164
    @samuelondieki9164 8 месяцев назад +2

    Kwa majina yakiislamu ama yakikiristo Yote yameletwa huku kwetu usijisifu nayusufu ukamuukumu john

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 8 месяцев назад

      Ndio mana hakuna mtume wa mungu aliekua mkristo

    • @user-hy5zd5rn6r
      @user-hy5zd5rn6r 8 месяцев назад

      ​​​@@saumbliz8983watu WA kitabu ni kina nani maana sio waislam.Ukijibu sahihi utajua sio waislam

  • @sophiajuma6798
    @sophiajuma6798 8 месяцев назад +1

    Allahu Akbarr

    • @jrmr7517
      @jrmr7517 5 месяцев назад

      as salaam aleykum

  • @zohramariga6678
    @zohramariga6678 8 месяцев назад +1

    Mashala asalamu alekumu warahama tulahi wabarakatu muguawalidi

  • @user-hh6wv4xp8m
    @user-hh6wv4xp8m 8 месяцев назад +2

    👏☝️

  • @mwanamtotosaid702
    @mwanamtotosaid702 8 месяцев назад +1

    Masha Allah 🥰

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983 8 месяцев назад +1

    Ukiristo kweli mauza uza nyie yani nawashangaa Quraan ni moja tu iko surah 114 lakini bibilia zimeandikwa tele na makanisa kila aina uislam nyumba ya mungu ni masjid tu ,.makanisa yako kila utaskia catholic,mara Methodist mara Jehova 😢😢😢

  • @basilejuma
    @basilejuma 8 месяцев назад +1

    Hizi maswali zenu, mbona Mahali mwalimu ndacha yuenda amwonekani, Xmas haiko Kwa bibilia,so hio ndo mada ya maana kwenu, tafuta mdahalo

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад

      Leta huyo ndacha kama unamwamini

    • @basilejuma
      @basilejuma 8 месяцев назад

      Amewaragaza mara ngapi

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 8 месяцев назад

      Ndacha teja Sasa kama Xmas haiko kwenye bibilia hua mwasherekea Ina maana Gani kwenye dini yenu

    • @user-hy5zd5rn6r
      @user-hy5zd5rn6r 8 месяцев назад

      ​@@saumbliz8983Maulid Iko Kwa Qur'an? Mbona mnasherehekea?

  • @samuelondieki9164
    @samuelondieki9164 8 месяцев назад

    Kwanza msidanganye watu kuwa paradise nimahali pa usima Ila Ni waiting room yakwenda mji mpia

  • @abdiwahabali1964
    @abdiwahabali1964 8 месяцев назад +1

  • @bibliakweliyaduniayote1137
    @bibliakweliyaduniayote1137 8 месяцев назад +1

    Wacheni ukafiri nyinyi waislam

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад

      Wakristo ndio makafiri 1:4 yuda

    • @aliabdallah8456
      @aliabdallah8456 8 месяцев назад

      Kafri siku zote ni wakrsto kwa sababu hawamjui mungu wa kweli ambaye anastaili kuabuduwa nyinyi mnaabudu binadamu baada yakuabudu Mungu wa kwli jandae i na moto siku ya mwisho

    • @user-rc7oi2hp8l
      @user-rc7oi2hp8l 8 месяцев назад

      Kafiri n mtu asiyeabudu Mungu wakweli kama nyie wakirsto hamjui Mungu wanabudu mtu yesu

    • @user-rc7oi2hp8l
      @user-rc7oi2hp8l 8 месяцев назад

      Acha kuropoka kama huna lakusema funga domo lko

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 8 месяцев назад

      Kafiri ni mtu asiekua na dini mwenye kuiyamini dini isiyokua ya halali kwa mungu ndio mana mwala hadi nguruwe 😂😂😂

  • @MuzammilSaleh-mq4ly
    @MuzammilSaleh-mq4ly 8 месяцев назад +1

    Aslam alaykum warahmatullah... sasa waulize hao wakristo io roho inavaa viatu namba ngapi?

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh 😂😂😂😂

  • @chiefmkalikibz1503
    @chiefmkalikibz1503 8 месяцев назад +1

    😅😅

  • @gabbylupittatv5607
    @gabbylupittatv5607 8 месяцев назад

    Niko na swali yesu alizaliwa mwezi ngani?

  • @zeindaws6643
    @zeindaws6643 8 месяцев назад +1

    MashaAllah

  • @aliali-ec3oz
    @aliali-ec3oz 8 месяцев назад +1

    MashaAllah