WAKRISTO WALEVI WATAMANI KUSILIMU ILI WANUSURIKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Da'wah mitaani katika mtaa wa Soweto na Ustadh Ramadhan Kuria Bin Kaguo. Tafadhali subscribe kwenye channel hii ya STRAIGHT PATH DA'WAH ili kazi ya Da'wah isonge mbele. usisite kuwasiliana Nami (Ramadhan Kuria) kupitia nambari hizi zifuatazo: +254722600533 au +254777600777
    LIPA NA MPESA TILL NUMBER 558297
    STRAIGHT PATH ASSOCIATION

Комментарии • 132

  • @husseinmwenja4398
    @husseinmwenja4398 2 года назад +8

    جزاكم الله خيرا و احسن الجزء،،،،
    ماشاءاللہ

    • @yunusramadhan2546
      @yunusramadhan2546 2 года назад +1

      Asalam Alaikum warahmatullah wabarakaatuh, Allah awalipeni kila lakher

  • @fridahmulongo2697
    @fridahmulongo2697 2 года назад +5

    Uislamu raha kwa kweli Alhamdulillah kwa neema ya kuwa mwislamu Allah awaongoze hawa wenzetu wajue ukweli.

  • @saadaabdallah7473
    @saadaabdallah7473 2 года назад +3

    Shekhe muna kazi ngumu Allah awazidishie uvumilivu

  • @fridahmulongo2697
    @fridahmulongo2697 2 года назад +4

    Msomaji uko sawa sana Allah jazallah khaira

  • @omaar5693
    @omaar5693 2 года назад

    Yesu ni mwana wa mungu
    Angekuwa na mke
    Mkwe wa mungu
    Angekuwa na watoto
    Wajukuu za mungu
    Ndio si alikuwa ni mwanaume na ametairiwa kama mimi APA nko na mke na watoto na kizazi cha mungu kingeendelea hadi leo

  • @kawtharalbarwani1337
    @kawtharalbarwani1337 2 года назад +4

    MashaAllah Allah awabariki masheikhe wetu azidi kuwazidishieni nguvu afya njema na umri mrefu inshaAllah amiin

  • @marvelousofzanzibar9556
    @marvelousofzanzibar9556 Год назад +1

    From green and spice island Zanzibar Allah akupe umri mrefu uzidi kuwatoa watu katika giza waje katika nuru

  • @andyismailbuanado6703
    @andyismailbuanado6703 2 года назад +2

    Mashalla alhabdulilai barakalla fih 🤲📖📿

  • @fridahmulongo2697
    @fridahmulongo2697 2 года назад +3

    Ma shaa Allah kazi nzuri sheikh wetu Allah akulipe kila la kheri na akuepushe na kila la shari .

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Год назад +1

    ALLAH akusaidie kwa kz elimu zaidi na akupe sibra kazi unayoifanya , na akuepushe na mitiani na misuko suko na akujalie janatul fridhausi amiin

  • @zainaal-nabhani9034
    @zainaal-nabhani9034 Год назад

    Mashallah mungu akubarik sheh ramazan

  • @ahmedrustu1283
    @ahmedrustu1283 Год назад +1

    Ma sha Allah

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Год назад

    ALLAH AKBAR , ALLAH AKBAR, ALLAH AKBAR, wallaih amdhu

  • @mrimh7798
    @mrimh7798 2 года назад +1

    Hao walevi wanafurahsha kweli 😀😀 et wameonja, Allah awaongoze waache 🙏

    • @maherzain615
      @maherzain615 2 года назад

      Ule mmoja asema naangalia mbingu najiuuliza nani kaziumba😅😅😅

  • @ashagrace3333
    @ashagrace3333 2 года назад +2

    Inshaallah pole pole tu watasilimu

  • @user-fh7wu8vx1y
    @user-fh7wu8vx1y 3 месяца назад

    Ma shaallah Allah awalipe janna

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Год назад

    Maa shaa Allah
    Jazaakallah khayrii shekh

  • @yassinijumanne1763
    @yassinijumanne1763 2 года назад

    Shekh Allah akubariki akulinde na shari zote azijuaye yeye nakukubali sana haina haraka wala hasira Allah akuhifadhi shekh

  • @najaasalim8942
    @najaasalim8942 2 года назад

    Allah awape uwezo zaidi na zaidi shekh ramadhan na teem yake usambaze da,awah wazidi kusilimu

  • @saadaabdallah7473
    @saadaabdallah7473 2 года назад +2

    MashaAllah Allah awabarikie

  • @ramadhankisingile6539
    @ramadhankisingile6539 2 года назад +2

    sheikh ramadhan karibu tz maeneo ya njombe huku.

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  2 года назад +1

      InshaAllah ndugu

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 2 года назад

      @@StraightPathDawah huko hawajui uislam kabisaa

    • @ramadhankisingile6539
      @ramadhankisingile6539 2 года назад

      @@fatmazullu4933 ni kama hamna maanake hata watu wa dawah nadra kufika. Kuna sehemu zingine za jiran hapa hamna kabisa uislamu.

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 2 года назад +1

    Nachoka kabisaa hiyo sehemu walevi kibao!!

  • @mwanahawamohamed9333
    @mwanahawamohamed9333 Год назад

    Walevi noma

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 2 месяца назад

    MashaAllah

  • @fauzenkassim8424
    @fauzenkassim8424 2 года назад +1

    Mashaallah awasimamie inshaallah

  • @naimaabuualii578
    @naimaabuualii578 2 года назад +1

    Duuu walevi mpka huruma awa walevi 😭 msiba huu mungu awaongoze

  • @user-bi4um8cn2u
    @user-bi4um8cn2u 2 года назад

    MASHA ALLAH Twaombea Kila La Kheeri Na ALLAH Awahifadhi Na Awape Umri Na Afya Njema Amin

  • @hamidharoon3918
    @hamidharoon3918 2 года назад +1

    Kazi nzuri mayor fanya tuna Shakur xna

  • @ibrahimkadabla2111
    @ibrahimkadabla2111 Год назад

    Mashalla

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 2 года назад

    Masha Allah sheikh Ramadan Allah akupe umri mrefu uzidi kulingania ishalla

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 года назад

    Maashallah tabarakallah mashehe zetu Allah awajalie mwishomwema

  • @aminaomar3807
    @aminaomar3807 2 года назад

    Umeenda mwakweni ustadh ramadhani lkn wape dawa huenda Allah akawapa hidaya wakaslimu insha Allah

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 года назад +1

    Subuhanallah hukokunawalevi

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 2 года назад +1

    Mashallah jazakallah kheir

  • @mhjgkgjfjzuzu9545
    @mhjgkgjfjzuzu9545 2 года назад

    MashaaAllah shekh Allah akufanyie wepesi.

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 года назад

    Duuu Allah Akbar

  • @samxx411
    @samxx411 2 года назад

    Dah!!! Pole sheikh, naona leo umekutana na walevi wengi. Inaonesha wanatamani waache na waijuwe haki ila usichoke kuwasaidia ndugu zetu ndivyo wanavyofundishwa kunywa pombe wanaambiwa damu ya yesu maskini kumbe ni kazi ya shetani lakini wengine bado wanasema waislam wana majini na mashetani lakini hawajioni wanavyotumika Kwa shetani. Wape elimu angalau wapo watakaoelewa kwa uwezo wa Mungu na kuifata haki

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 2 месяца назад

      InshaAllahKwauwezo.waAllah.wataacha

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 2 месяца назад

      MashaAllah.shekhe.Ramadhan.umepanda.kwenyenini.nawewe.umekuwa.mrefu.kumfikiahuyo.mutu.murefu🤣🤣

  • @ukweliwauislamu9590
    @ukweliwauislamu9590 2 года назад

    Masha Allah , JazakAllahu kheyran ustaadh wetu ...

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 2 года назад

    Mashallah Allah 💕

  • @ramazecha8862
    @ramazecha8862 2 года назад

    Mashallah masekh wetu mungu awaongoze

  • @mugishadjuma6617
    @mugishadjuma6617 Год назад

    Asalam waleikum warahmatulillah wabarakatuh sheikh allah akulipe pepo ya firdaus insha allah kwa kujitolea kuwafunza uwislam. Nimejarubu ku dowload vidéo

  • @oscarezekiel1826
    @oscarezekiel1826 2 года назад

    Well said big up Shekh

  • @fatimaismail2250
    @fatimaismail2250 2 года назад

    jazaaka Allah khairan

  • @saidabdillahi8107
    @saidabdillahi8107 2 года назад

    Mashallah very friendly

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 2 года назад +2

    Felix hajui kama Iblisi ni jini,, hawa wakristo hawajui kutofautisha Jini, Iblisi na shetani.mkiwafunza wafafanulieni vizuri wapate kuelewa.

  • @ikujoitambu2712
    @ikujoitambu2712 2 года назад

    Mashekhe mashallaah, Allah awape umri mrefu na afya njema ili mtoe dawaa kwa umaa wote,

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 года назад +1

    Duuu kweliii Mambo ni moto

  • @hansmswagara2789
    @hansmswagara2789 2 года назад

    Masha Allah

  • @ummohammed8380
    @ummohammed8380 2 года назад

    Subhana allah

  • @prettyaysha7892
    @prettyaysha7892 2 года назад

    MashAllah raha kweli

  • @daudyussuf8180
    @daudyussuf8180 2 года назад

    Mashallah

  • @naimaabuualii578
    @naimaabuualii578 2 года назад +2

    Yani mm nasisitiza watu wa siache kusabsicraibu jamani musisahau chanali yetu pendwa 😂

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 года назад

    Duuu kweliii kaonja

  • @allironjo2698
    @allironjo2698 2 года назад

    Ustadhi upo sawa ila kiswahili kinakupashida wakati mwengine wanakuzonga kidogo na unashidwa kuwafahamisha kama huyo anakuliza bilisi majini na mwanadamu hujajibu vizuri ila nakukubali wataelewa tu

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 2 года назад +1

    Masha Allah, ila ustadhi Ramadhan huyo kijana alitaja kufadanuliwa kisa cha Adam na ibilisi maana wao makanisani hawafafanuliwi wanaambiwa tu kua ibilisi alimkosea MUNGU lakini hawajui alikosea wapi, hivyo basi hichi kisa ni muhimu kwao napia uenda wakajua kua kumbe ni sijida tu ambapo haikuwa yakumuabudu MUNGU bali ilikua niyaheshma tu kwa Adam, watajiuliza kuavipi wao ambao wanakataa kumsujudia MUNGU itakuaje kwao?

  • @naimaabuualii578
    @naimaabuualii578 2 года назад +2

    Awa walevi wanachekesha eti ni Mimi ni Mimi kila Moja anaona yeye anamakosa 😂

  • @cabdikarimck1421
    @cabdikarimck1421 2 года назад +1

    This is a big opportunity yenye huyo kijana hajagundua

  • @user-bi4um8cn2u
    @user-bi4um8cn2u 2 года назад

    Na Awaogeze Hekma Na Subra Kwa Kzi Hii Ya Daawaa Kwa Sababu Some Times Mna Pambana Na Watu Wengine Vichwa Ngumu Na Wazito Kuelewa

  • @kingsdaughter2040
    @kingsdaughter2040 2 года назад +2

    Tuna waislamu walevi wengi sana mahali nilipo kwa hiyo first stop being judgmental only God can judge we are all under grace nahukana mtakatifu kila mtu ana weakness yake

    • @bakariomari3692
      @bakariomari3692 2 года назад

      Kuna judgemental ya mtu na kuna judgemental ya kitabu cha mungu so hapa ni kitabu cha mungu kina judge sio hawa watu apo tu ndo unafaa uelewe

    • @bakariomari3692
      @bakariomari3692 2 года назад

      Already God has judged in the holybook ama hujasikia maandiko yakisomwa

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  2 года назад

      Waislamu kulewa hakuifanyi pombe kuwa halali. Wakristo mnalaumiwa zaidi kwa kuwa nyinyi ndio watengenezaji wakubwa na wauzaji.

    • @bakariomari3692
      @bakariomari3692 2 года назад

      Kitu unafaa uelewe tu ni ujue mtu anatumia maandiko Wala hajaji kutumia akili yake so ukiambiwa pombe ni haramu na hakuna andiko lolote wee kunywa paka upasuke tumbo,,,lkn ukisikia mungu amesema kwenye kitabu chake tukufu ww kazi yako nikusikiza na kufuata baaaaaassss

    • @kingsdaughter2040
      @kingsdaughter2040 2 года назад

      @@bakariomari3692 kiaje nimesema ukweli ni tabia ya mtu

  • @fridafrida7665
    @fridafrida7665 2 года назад

    Jalipu kupepa Bibilia

  • @ramakira7895
    @ramakira7895 Год назад

    Mm naitwa Ramadhan kira niko zanzibar swali langu kwako Kuria kwa nn kenya vijana wengi walevi? Hamuon mnapoteza nguvu ya Taifa?

  • @issajumamwinyi6191
    @issajumamwinyi6191 2 года назад +1

    KWELI MKUKI MTAMU KWA NGURUWE.....KWA MUISLAMU UCHUNGU!!! >>>>>> ruclips.net/video/FM7D036kjuA/видео.html

  • @HassanHassan-sp4yw
    @HassanHassan-sp4yw Год назад

    Kkkkk subhana allaah

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 2 года назад +1

    Hapa patamu Sana! 😂😂😂

  • @Est1434-e7l
    @Est1434-e7l 2 года назад

    Kwahiyo pombe ni wakristo tu wanakunywa
    Kamari , uganga , ni waakristo tu wanafanya. Be practical . I know a lot of Muslim who smoke and drink alcohol. Kamari na kinywa kahawa Kali ndo mpango mzima.

    • @Est1434-e7l
      @Est1434-e7l 2 года назад +1

      Kwahiyo mbingu
      Ni ya waslam tu. You are too mean. You will pay for that one day

  • @Est1434-e7l
    @Est1434-e7l 2 года назад

    Huwezi wafanya waslam bila kufanyiwa therapy .hiyo ni kazi Bure unafanya coz they are addicted. Solve a problem first. Atahamoshia ilevi Kwa msikiti

  • @fridafrida7665
    @fridafrida7665 2 года назад

    Brother please soma Bibilia usije ukapoteha

  • @fridafrida7665
    @fridafrida7665 2 года назад

    Yenye wote hamujuhi kitu

  • @ndetim7043
    @ndetim7043 2 года назад +1

    Allah anasema pombe ni zuri,‎ Surah 16: 67 "Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnapata ulevi.‎1‎ pamoja na utoaji mzuri. Hakika katika haya ipo Ishara kwa wanao fahamu.‎" pia anasema jannah kutakuwa na mito itirikayo pombe. kwanini Allah's word contradict each other, Surah 5:90 contradict S16:67.

    • @absuisissa1426
      @absuisissa1426 2 года назад +1

      Hakuna contradiction ktk quran ndugu, muheem uelewa na kaa chini na wanaojua wakueleweshe. Al Akh Kuria ni mzur sna kwa ilo no yake ipo mtafute akufahamishe

    • @samxx411
      @samxx411 2 года назад +1

      Ndugu Quran huijuwi, tafuta wanaojuwa wakusomee, wewe utakuwa kama akina ndacha na ex-imam wanasoma Quran wakiwa chumbani mwao, hivyo sivyo Quran inahitaji usomeshwe na wenye kujuwa. Jitahidi kusoma Mungu atakusaidia

    • @ndetim7043
      @ndetim7043 2 года назад

      @@samxx411 oooh uwenzi imagine vile tunafunzwa quran na #arabianprophet a.k.a #christianprince, you should also learn from him, he is very educative.

    • @ndetim7043
      @ndetim7043 2 года назад

      @@absuisissa1426 i find contradiction when i read S6:14 first muslim muhammad, S22:78 Abraham is first muslim,S7:143 most is first to submit to allah, is this not contradiction?

    • @samxx411
      @samxx411 2 года назад

      @@ndetim7043 not contradiction, the problem u learn Quran alone in the room without any Quran educated that is your problem, the same problem with ndacha and ex imam

  • @fredrickgitonga1972
    @fredrickgitonga1972 2 года назад +1

    Wacha kutukana wakristo ikisema n walevi, aliye mkristo wa kweli awezi kuwa mlevi

    • @fridahmulongo2697
      @fridahmulongo2697 2 года назад

      Hapo akuna mtu ametukana wakristo maandiko ndo yanasema hivyo basi laumu bibilia ,wacha chuki bure weww

    • @fridahmulongo2697
      @fridahmulongo2697 2 года назад +1

      Laumu bibilia wewe hakuna mtu ametukana wakristo wacha chuki wewe

    • @fredrickgitonga1972
      @fredrickgitonga1972 2 года назад +1

      @@fridahmulongo2697 nyie waislam fundisheni yaliyo ya kweli na haki Wala sio kutukana dini za wengine

    • @fridahmulongo2697
      @fridahmulongo2697 2 года назад +1

      @@fredrickgitonga1972 kuelewa ndo shida kwako au nn bibilia ndo imeandikwa hivyo ,na kama unasema hivyo meaning maneno ya bibilia si ya kweli juu mmesomewa maandiko kutoka kwa bibilia I wonder ni vitu gani huwa mwafundishwa kanisani kama maandiko yenyewe hamyajui

    • @samxx411
      @samxx411 2 года назад

      Mkristo wa kweli ndie mlevi hasa mana kanisani mnapata mvinyo inaitwa damu ya yesu kwani mlevi ndo hadi uanguke???cha Msingi mnaruhusiwa kunywa au hamruhusiwi???

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 2 года назад +1

    uislam ni hell , biashara tu

    • @zuu515
      @zuu515 4 месяца назад

      How? Islam is. Clear,christians ask for money in church 😂

  • @fridafrida7665
    @fridafrida7665 2 года назад

    Wasilam maan yake ni wahizi alamu

  • @kingsdaughter2040
    @kingsdaughter2040 2 года назад

    Pia sisi tunatoa kutoa ni moyo

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 2 года назад

    Hapo ni kijiji cha walevi au ? Mana kila mtu kaonja 😂😂😂.

  • @Sai.Mo69
    @Sai.Mo69 2 года назад

    Hata sijiu kwanini hawa WaKristo wana fikiria kitabu kilicho andika na King James na WAZUNGU wenzake, in 1611ad, ati itawa Okoa?!
    Huyu Felix anaji confuse!
    MUNGU ana Umba as HE wishes:.
    IBLISS ni smokeless fire.
    MALAIKA from Noor.
    ADAM kwa udongo.
    HAWA (EVE) from a Rib.
    Melizadec Bila parents.
    MIMI na WEWE, from Maji.
    ULIMWENGU from Matter.
    Sasa, what is it that you Dont understand Mr Felix!?

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 2 года назад

      Hata mie umenielimisha

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 2 года назад +1

      @@pilimusa3217 kweli kabisa

    • @kingsdaughter2040
      @kingsdaughter2040 2 года назад

      Mbona Muhammad aliwambia kama hamuelewi muulize watu wa kitab 🤣🤣🤣

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 2 года назад

      @@kingsdaughter2040 vitabu vya Mungu injili zaburi taurati qur an. Wewe unafata kipi kati ya hivyo

    • @Est1434-e7l
      @Est1434-e7l 2 года назад +1

      Yako imeandikwa na mwarabu

  • @hasannishey9881
    @hasannishey9881 Год назад

    MashaAllah

  • @bahatikenia39
    @bahatikenia39 2 года назад

    Mashaalah

  • @muminaroba9122
    @muminaroba9122 2 года назад

    MashaAllah

  • @halimazuberi1036
    @halimazuberi1036 2 года назад

    MashaAllah