WAKRISTO WALEVI WATAMANI KUSILIMU ILI WANUSURIKE
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Da'wah mitaani katika mtaa wa Soweto na Ustadh Ramadhan Kuria Bin Kaguo. Tafadhali subscribe kwenye channel hii ya STRAIGHT PATH DA'WAH ili kazi ya Da'wah isonge mbele. usisite kuwasiliana Nami (Ramadhan Kuria) kupitia nambari hizi zifuatazo: +254722600533 au +254777600777
LIPA NA MPESA TILL NUMBER 558297
STRAIGHT PATH ASSOCIATION
جزاكم الله خيرا و احسن الجزء،،،،
ماشاءاللہ
Asalam Alaikum warahmatullah wabarakaatuh, Allah awalipeni kila lakher
Uislamu raha kwa kweli Alhamdulillah kwa neema ya kuwa mwislamu Allah awaongoze hawa wenzetu wajue ukweli.
Shekhe muna kazi ngumu Allah awazidishie uvumilivu
Msomaji uko sawa sana Allah jazallah khaira
Yesu ni mwana wa mungu
Angekuwa na mke
Mkwe wa mungu
Angekuwa na watoto
Wajukuu za mungu
Ndio si alikuwa ni mwanaume na ametairiwa kama mimi APA nko na mke na watoto na kizazi cha mungu kingeendelea hadi leo
MashaAllah Allah awabariki masheikhe wetu azidi kuwazidishieni nguvu afya njema na umri mrefu inshaAllah amiin
Allauma ameen🤲🏻
From green and spice island Zanzibar Allah akupe umri mrefu uzidi kuwatoa watu katika giza waje katika nuru
Allahumma aamiin Yaa Rabb Al 'alamiin
AaminaYaarabi
Mashalla alhabdulilai barakalla fih 🤲📖📿
Ma shaa Allah kazi nzuri sheikh wetu Allah akulipe kila la kheri na akuepushe na kila la shari .
ALLAH akusaidie kwa kz elimu zaidi na akupe sibra kazi unayoifanya , na akuepushe na mitiani na misuko suko na akujalie janatul fridhausi amiin
Mashallah mungu akubarik sheh ramazan
Ma sha Allah
ALLAH AKBAR , ALLAH AKBAR, ALLAH AKBAR, wallaih amdhu
Hao walevi wanafurahsha kweli 😀😀 et wameonja, Allah awaongoze waache 🙏
Ule mmoja asema naangalia mbingu najiuuliza nani kaziumba😅😅😅
Inshaallah pole pole tu watasilimu
Ma shaallah Allah awalipe janna
Maa shaa Allah
Jazaakallah khayrii shekh
Shekh Allah akubariki akulinde na shari zote azijuaye yeye nakukubali sana haina haraka wala hasira Allah akuhifadhi shekh
Allah awape uwezo zaidi na zaidi shekh ramadhan na teem yake usambaze da,awah wazidi kusilimu
MashaAllah Allah awabarikie
sheikh ramadhan karibu tz maeneo ya njombe huku.
InshaAllah ndugu
@@StraightPathDawah huko hawajui uislam kabisaa
@@fatmazullu4933 ni kama hamna maanake hata watu wa dawah nadra kufika. Kuna sehemu zingine za jiran hapa hamna kabisa uislamu.
Nachoka kabisaa hiyo sehemu walevi kibao!!
Walevi noma
MashaAllah
Mashaallah awasimamie inshaallah
Duuu walevi mpka huruma awa walevi 😭 msiba huu mungu awaongoze
MASHA ALLAH Twaombea Kila La Kheeri Na ALLAH Awahifadhi Na Awape Umri Na Afya Njema Amin
Kazi nzuri mayor fanya tuna Shakur xna
Mashalla
Masha Allah sheikh Ramadan Allah akupe umri mrefu uzidi kulingania ishalla
Maashallah tabarakallah mashehe zetu Allah awajalie mwishomwema
Umeenda mwakweni ustadh ramadhani lkn wape dawa huenda Allah akawapa hidaya wakaslimu insha Allah
Subuhanallah hukokunawalevi
Mashallah jazakallah kheir
MashaaAllah shekh Allah akufanyie wepesi.
Duuu Allah Akbar
Dah!!! Pole sheikh, naona leo umekutana na walevi wengi. Inaonesha wanatamani waache na waijuwe haki ila usichoke kuwasaidia ndugu zetu ndivyo wanavyofundishwa kunywa pombe wanaambiwa damu ya yesu maskini kumbe ni kazi ya shetani lakini wengine bado wanasema waislam wana majini na mashetani lakini hawajioni wanavyotumika Kwa shetani. Wape elimu angalau wapo watakaoelewa kwa uwezo wa Mungu na kuifata haki
InshaAllahKwauwezo.waAllah.wataacha
MashaAllah.shekhe.Ramadhan.umepanda.kwenyenini.nawewe.umekuwa.mrefu.kumfikiahuyo.mutu.murefu🤣🤣
Masha Allah , JazakAllahu kheyran ustaadh wetu ...
Mashallah Allah 💕
Mashallah masekh wetu mungu awaongoze
Asalam waleikum warahmatulillah wabarakatuh sheikh allah akulipe pepo ya firdaus insha allah kwa kujitolea kuwafunza uwislam. Nimejarubu ku dowload vidéo
Well said big up Shekh
jazaaka Allah khairan
Mashallah very friendly
Felix hajui kama Iblisi ni jini,, hawa wakristo hawajui kutofautisha Jini, Iblisi na shetani.mkiwafunza wafafanulieni vizuri wapate kuelewa.
Mashekhe mashallaah, Allah awape umri mrefu na afya njema ili mtoe dawaa kwa umaa wote,
Duuu kweliii Mambo ni moto
Masha Allah
Subhana allah
MashAllah raha kweli
Mashallah
Yani mm nasisitiza watu wa siache kusabsicraibu jamani musisahau chanali yetu pendwa 😂
Duuu kweliii kaonja
Ustadhi upo sawa ila kiswahili kinakupashida wakati mwengine wanakuzonga kidogo na unashidwa kuwafahamisha kama huyo anakuliza bilisi majini na mwanadamu hujajibu vizuri ila nakukubali wataelewa tu
Masha Allah, ila ustadhi Ramadhan huyo kijana alitaja kufadanuliwa kisa cha Adam na ibilisi maana wao makanisani hawafafanuliwi wanaambiwa tu kua ibilisi alimkosea MUNGU lakini hawajui alikosea wapi, hivyo basi hichi kisa ni muhimu kwao napia uenda wakajua kua kumbe ni sijida tu ambapo haikuwa yakumuabudu MUNGU bali ilikua niyaheshma tu kwa Adam, watajiuliza kuavipi wao ambao wanakataa kumsujudia MUNGU itakuaje kwao?
Awa walevi wanachekesha eti ni Mimi ni Mimi kila Moja anaona yeye anamakosa 😂
This is a big opportunity yenye huyo kijana hajagundua
Na Awaogeze Hekma Na Subra Kwa Kzi Hii Ya Daawaa Kwa Sababu Some Times Mna Pambana Na Watu Wengine Vichwa Ngumu Na Wazito Kuelewa
Tuna waislamu walevi wengi sana mahali nilipo kwa hiyo first stop being judgmental only God can judge we are all under grace nahukana mtakatifu kila mtu ana weakness yake
Kuna judgemental ya mtu na kuna judgemental ya kitabu cha mungu so hapa ni kitabu cha mungu kina judge sio hawa watu apo tu ndo unafaa uelewe
Already God has judged in the holybook ama hujasikia maandiko yakisomwa
Waislamu kulewa hakuifanyi pombe kuwa halali. Wakristo mnalaumiwa zaidi kwa kuwa nyinyi ndio watengenezaji wakubwa na wauzaji.
Kitu unafaa uelewe tu ni ujue mtu anatumia maandiko Wala hajaji kutumia akili yake so ukiambiwa pombe ni haramu na hakuna andiko lolote wee kunywa paka upasuke tumbo,,,lkn ukisikia mungu amesema kwenye kitabu chake tukufu ww kazi yako nikusikiza na kufuata baaaaaassss
@@bakariomari3692 kiaje nimesema ukweli ni tabia ya mtu
Jalipu kupepa Bibilia
Mm naitwa Ramadhan kira niko zanzibar swali langu kwako Kuria kwa nn kenya vijana wengi walevi? Hamuon mnapoteza nguvu ya Taifa?
KWELI MKUKI MTAMU KWA NGURUWE.....KWA MUISLAMU UCHUNGU!!! >>>>>> ruclips.net/video/FM7D036kjuA/видео.html
Kkkkk subhana allaah
Hapa patamu Sana! 😂😂😂
Kwahiyo pombe ni wakristo tu wanakunywa
Kamari , uganga , ni waakristo tu wanafanya. Be practical . I know a lot of Muslim who smoke and drink alcohol. Kamari na kinywa kahawa Kali ndo mpango mzima.
Kwahiyo mbingu
Ni ya waslam tu. You are too mean. You will pay for that one day
Huwezi wafanya waslam bila kufanyiwa therapy .hiyo ni kazi Bure unafanya coz they are addicted. Solve a problem first. Atahamoshia ilevi Kwa msikiti
Brother please soma Bibilia usije ukapoteha
Yenye wote hamujuhi kitu
Allah anasema pombe ni zuri, Surah 16: 67 "Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnapata ulevi.1 pamoja na utoaji mzuri. Hakika katika haya ipo Ishara kwa wanao fahamu." pia anasema jannah kutakuwa na mito itirikayo pombe. kwanini Allah's word contradict each other, Surah 5:90 contradict S16:67.
Hakuna contradiction ktk quran ndugu, muheem uelewa na kaa chini na wanaojua wakueleweshe. Al Akh Kuria ni mzur sna kwa ilo no yake ipo mtafute akufahamishe
Ndugu Quran huijuwi, tafuta wanaojuwa wakusomee, wewe utakuwa kama akina ndacha na ex-imam wanasoma Quran wakiwa chumbani mwao, hivyo sivyo Quran inahitaji usomeshwe na wenye kujuwa. Jitahidi kusoma Mungu atakusaidia
@@samxx411 oooh uwenzi imagine vile tunafunzwa quran na #arabianprophet a.k.a #christianprince, you should also learn from him, he is very educative.
@@absuisissa1426 i find contradiction when i read S6:14 first muslim muhammad, S22:78 Abraham is first muslim,S7:143 most is first to submit to allah, is this not contradiction?
@@ndetim7043 not contradiction, the problem u learn Quran alone in the room without any Quran educated that is your problem, the same problem with ndacha and ex imam
Wacha kutukana wakristo ikisema n walevi, aliye mkristo wa kweli awezi kuwa mlevi
Hapo akuna mtu ametukana wakristo maandiko ndo yanasema hivyo basi laumu bibilia ,wacha chuki bure weww
Laumu bibilia wewe hakuna mtu ametukana wakristo wacha chuki wewe
@@fridahmulongo2697 nyie waislam fundisheni yaliyo ya kweli na haki Wala sio kutukana dini za wengine
@@fredrickgitonga1972 kuelewa ndo shida kwako au nn bibilia ndo imeandikwa hivyo ,na kama unasema hivyo meaning maneno ya bibilia si ya kweli juu mmesomewa maandiko kutoka kwa bibilia I wonder ni vitu gani huwa mwafundishwa kanisani kama maandiko yenyewe hamyajui
Mkristo wa kweli ndie mlevi hasa mana kanisani mnapata mvinyo inaitwa damu ya yesu kwani mlevi ndo hadi uanguke???cha Msingi mnaruhusiwa kunywa au hamruhusiwi???
uislam ni hell , biashara tu
How? Islam is. Clear,christians ask for money in church 😂
Wasilam maan yake ni wahizi alamu
Pia sisi tunatoa kutoa ni moyo
Hapo ni kijiji cha walevi au ? Mana kila mtu kaonja 😂😂😂.
Hata sijiu kwanini hawa WaKristo wana fikiria kitabu kilicho andika na King James na WAZUNGU wenzake, in 1611ad, ati itawa Okoa?!
Huyu Felix anaji confuse!
MUNGU ana Umba as HE wishes:.
IBLISS ni smokeless fire.
MALAIKA from Noor.
ADAM kwa udongo.
HAWA (EVE) from a Rib.
Melizadec Bila parents.
MIMI na WEWE, from Maji.
ULIMWENGU from Matter.
Sasa, what is it that you Dont understand Mr Felix!?
Hata mie umenielimisha
@@pilimusa3217 kweli kabisa
Mbona Muhammad aliwambia kama hamuelewi muulize watu wa kitab 🤣🤣🤣
@@kingsdaughter2040 vitabu vya Mungu injili zaburi taurati qur an. Wewe unafata kipi kati ya hivyo
Yako imeandikwa na mwarabu
MashaAllah
Mashaalah
MashaAllah
MashaAllah