KUMBE WALITUDANGANYA UKRITO HUU ULICHANGANYWA NA UPAGANI TUNAMUABUDU SHETANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • KUMBE WALITUDANGANYA UKRITO HUU ULICHANGANYWA NA UPAGANI TUNAMUABUDU SHETANI
    Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE www.youtube.com...
    TRICOD SKILLS Website:
    www.tricodskil...
    LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
    / tricod-skills-11524157...
    FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
    / tricodskills
    FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
    / tricodskills
    #Freemason
    #Upagani
    #Ukristo

Комментарии • 1,1 тыс.

  • @TricodMedia
    @TricodMedia  4 года назад

    MATAMBIKO 10 YA FREEMASON KWENYE VIDEO YA ALIKIBA MEDIOCRE Hii ni zaidi ya DIAMOND PLATMUZ
    ruclips.net/video/hXY4VTUIn2U/видео.html

  • @zweramore8324
    @zweramore8324 5 лет назад +6

    MUNGU nnaemuabudu mimi ni ALLAH hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anayefanana nae....lakini asante sana kwa elimu kubwa uloitoa tunahitaji mambo nyeti kama haya ili tuweze kufunguka kwenye vichwa vyetu

  • @ErickLenana
    @ErickLenana 9 месяцев назад +1

    Nashukuru yesu bado tutasherekea christmas na pasaka juu iko kwa bible wakristo tuzidi kusherekea

  • @shaibushaaban1538
    @shaibushaaban1538 5 лет назад +11

    Ndugu zangu waisilamu tusimamishe swala 5 kwani ninguzo 2 ktk nguzo 5 zauisilamu tusiwe waisilamu majina tofauti yetu nawashilikina namakafili niswala muisilamu ukiacha swala umeingia kwenye ushilikina naukafili Allah atuepushe

    • @mirriamnalupya4684
      @mirriamnalupya4684 2 года назад

      Tatizo uislamu magaidi wote wanajifichia umo maana ukisikia tuu takbir huna kichwa🤣🤣🤣🤣🤣

    • @Awatee
      @Awatee 2 года назад +1

      @@mirriamnalupya4684 Weye unaishi na waislam mbona bado unacho na kucoment umeweza izo ni fitna zenu tuu kutia doa lkn wapi makafiri ndio wanao wauwa waislam lkn leo eti waislam magaid

    • @djbegge_tz
      @djbegge_tz Год назад

      Fungua macho!

    • @fadhilngalanda7520
      @fadhilngalanda7520 5 дней назад

      ​@@mirriamnalupya4684 unaweza tetea hoja yako hatupo kwenye comedy toa maelezo yenye uhakika

  • @mohamedAli-vf8hp
    @mohamedAli-vf8hp 5 лет назад +8

    ALLAH PEKEE NDIE MUNGU WAKUABUDIWA KWANI HATA YESU ALIKUA AKIMUABUDU YY

    • @beathusathanas8552
      @beathusathanas8552 4 года назад

      Kila mtu na imani yke nyie wenzetu mnapenda sana kukashifu san din za wenzenuu

  • @suleimanhamis6444
    @suleimanhamis6444 5 лет назад +27

    Namuabudu mungu alie umba bingu na ardhi na viumbe vyote duniani

  • @TricodMedia
    @TricodMedia  5 лет назад

    HIVI NDIVYO FREEMASON WALIVYO WAPA WATOTO WA DIAMOND PLATNUMZ NGUVU ZA MIUNGU YAO KAMA BEYONCE ruclips.net/video/qrTr-OP07LY/видео.html

  • @kinyutatonha8831
    @kinyutatonha8831 5 лет назад +70

    Namshukuru Allah kunijalia kuzaliwa katika uislam .naamini uislam ndo dini yakweli na yahaki mbele ya mungu

    • @ceciliahnyaboke271
      @ceciliahnyaboke271 5 лет назад +7

      La hasha.. Mkristo anaye mfuata Yesu. ama kweli, Yesu ndiye njia ya kweli na uzima.. hakuna takaye fika kwa Baba mbinguni ila tu apitie kwa Yesu Kristo Mwokozi wa wote. Yesu Tu ndiye njia ya ukweli ndugu. mfuate Yesu.

    • @israelmaxi.2369
      @israelmaxi.2369 5 лет назад +6

      Issa Salim . Fuatilia mwanzo dini ya kiisilam utayajua tuu

    • @happyarooun6037
      @happyarooun6037 5 лет назад +4

      +Israel Maxi. siku ukifa utajua ukweli ukristi sio dini ni ushetan ndo maana bible haina mstari hta mmoja unaothibitisha ukristo ni dini

    • @issamwalim154
      @issamwalim154 5 лет назад +1

      jidanganya

    • @winstonmbuba6311
      @winstonmbuba6311 5 лет назад +2

      Huujui uislamu na humjui Muhammad. Na huijui Koran. Na humjui Allah. Ungejua hayo usingejivuna au kujisifu kuwa muislamu.

  • @hamicysamwel6406
    @hamicysamwel6406 5 лет назад +2

    Im proud to bee muslim,Ya Allah wajaalie wajawako wawe n wenye kuijua dini yao ya uislaam ,,,Allah Akbar

  • @salimally6877
    @salimally6877 5 лет назад +3

    Namshukuru mungu kuzaliwa mwislamu Allahadu lilahi

  • @bashiryahya8333
    @bashiryahya8333 5 лет назад +1

    Uko sawa sema wabongo ni wabishi sana na watakubishia kutoka na ufinyu wa kutuatilia na kufikiriaaa

    • @frankthobias645
      @frankthobias645 5 лет назад

      Akili yako inafanana na ya mwalimu wako embu tupe historia ya mwalimu wako mana una Lana ya uongo huna akili umekosa LA kuzuguzia

  • @aminajuma9244
    @aminajuma9244 4 года назад +10

    Am proud to be a Muslim ... Alhamdullilah

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban8693 5 лет назад +2

    Alhamdulillah kuzaliwa muislam. Allah anifishe nikiwa ndani ya uislam. Maana ni shidaaaaa!!!! kwa hali hiii

  • @agnessevarist499
    @agnessevarist499 5 лет назад +44

    ukweli mtupu Mungu akutiye nguvu, sikuwahi kufikiri Kama ukweli kama huu unaweza kuutoa coz hii ni Siri kubwa ambayo shetani hataki watu wajuwe lakini kama Mungu alivyo sema hataacha wanawe gizani ukweli utasemwa kwa njia yoyote ile ili siku ya hukumu tusiseme hatukujua,,, huu ni uinjirist mkubwa sana ulioufanya,, umemaliza kwa sehemu yako yaliyo baki nijuu yetu

    • @yaobleestelle2513
      @yaobleestelle2513 5 лет назад +1

      Tangu kizazi hadi kizazi Ukweli hupatikana tu kwa nabii mjumbe aliye hai duniani. Ni yeye anaye funguo za ufalme, yeye ndiye Njia, Kweli na Uzima kwa wakati wake. Na unapofungua Biblia, unaona Isaya, Yeremia, Amosi, Ezekieli, na kadhalika. Haya ni majina ya manabii. Ukweli ni pamoja na nabii mjumbe aliye hai na sio katika kanisa fulani. Basi mnafanya nini na Biblia mikononi mwenu ? Kama sivyo, Je ! Ni kwa wokovu mnaenda kanisani ? Japo kama Mungu anaokoa mbatisti, mpentekoste, wa uamsho au mmoja wa kusanyiko za miungu, atahukumuje wafarisayo, Yuda na Kaini ?

    • @davidngonyani7366
      @davidngonyani7366 5 лет назад

      Watu kuamini inakuwa tabu mana tayari ubongo wao tayari wanajuwa hivo du mambo nimazito sana tuache tu ila wasome sana bibilia

    • @ksttv1735
      @ksttv1735 5 лет назад +1

      Kuna aya inasema mariam atashika mimba na kuzaa mwana na atamwita Emmanuel. sasa mbona hakumwita hivyo akamwita YESU? NISAIDIENI HAPO.

    • @soantandu6195
      @soantandu6195 5 лет назад

      Nimekuelewa vizuri sana .nahuwo ndo ukweli wenyewe

    • @costershandui6972
      @costershandui6972 5 лет назад +1

      @@ksttv1735Ilo jina la Emanuel n nabii Isaya alitabiri katika agano la kale Isaya7:14,, Lakini jina ilo likaja kufunuliwa kwa jina la Yesu na malaika Gabriel katika agano jipya nenda kasome Mathayo 1:18-23 na Luka 1:34

  • @serahkalunde2828
    @serahkalunde2828 3 года назад

    Wah wah kumbe tulipotea bila kujua ,, asante sana sir kwa kunijulisha ukweli.Mungu akubariki.

  • @elminakalunga4030
    @elminakalunga4030 5 лет назад +9

    Alpha & Omega! Lord of Lords, God Almighty. Wow! The Savior of all Mankind.

    • @rehema2018
      @rehema2018 5 лет назад

      Amen

    • @yunusmbandu7068
      @yunusmbandu7068 5 лет назад

      Amini unachokuamini

    • @leticialouison4721
      @leticialouison4721 5 лет назад +1

      Oya nitumia whatsapp yako nikutumie ukweli kutokana na ayo mambo wazungu wamztutali sana na saiv macho zetu inaanza kufunguka kwa uongo zote walio tumia kwanza weka akili yako sawa ufikiria ww rangi nyeusi kipindi walikuja kututawala kwa utumwa awajatutumia vzur walitunyanyasa kishenz awajatupa elimu mzur awajatukalisha vizur nao walutuchukuliwa kama wa ngedele je na jini ndo watatuletea jini nzuri?? Fikiria mara mbili mbili tena biblia inazungumza tu africa sasa wazungu na shirika lao wakatutengenezea ukristo ili watutekwe kwenye mwili na akili fikiria ndugu

  • @hassanadam5600
    @hassanadam5600 5 лет назад +3

    Alhmdullilah mungu kuniumba muislam Dini isiyo kuwa na shaka ndani yake

  • @fahadjuma5150
    @fahadjuma5150 5 лет назад +31

    Duh hii Hatari sana Alhamdulillah kwa Kuzaliwa katika Uislam

    • @kenndalilah
      @kenndalilah 5 лет назад

      Bora utofautishe Kati ya uislamu halisi was upendo na uislamu arabu was chuki na kumwaga dam

    • @abdulrazakhassanor498
      @abdulrazakhassanor498 3 года назад +1

      @@kenndalilah waislam hawafuati mila na tabia za waarabu Bali wanafuata Quran na sunna

  • @subirashomary6006
    @subirashomary6006 5 лет назад +35

    namshukuru mungu kwa kunijaalia kuzaliwa katika uisilamu ....wakristo kazi mnayo

    • @mbesinghabi1994
      @mbesinghabi1994 5 лет назад +2

      Yaani wewe ndo unashida kubwa zaidi

    • @mbesinghabi1994
      @mbesinghabi1994 5 лет назад

      @ subira shomary, kuwa makini zaidi, najua unamtafuta Mungu, kuna vitu vya msingi vya wokovu

    • @ceciliahnyaboke271
      @ceciliahnyaboke271 5 лет назад +2

      sasa wewe ndio uko jikoni yaani ndani ya moto. Yesu ni mwana wa Mungu na ni Mfalme pekee, Yeye ndiye hakimu mkuu. hakuna atakaye ingia mbinguni ila tu kupitia Yesu Kristo.. je wewe wamwamini Yesu? je wajua Yesu alikufilia wewe na kila mtu duniani? uislamu haukupeleki mahali.. uislamu wakupeleka jehanam tu. wamuhitaji Yesu.. anakupenda na anahutaji umjue. soma Biblia

    • @michaelwillson8053
      @michaelwillson8053 5 лет назад

      ceciliah Nyaboke Tena kimbia uje kwa yesu.

    • @ruqaiyyawaziri4287
      @ruqaiyyawaziri4287 5 лет назад +1

      subira shomary uislam ndio dini ya haki

  • @zephania3540
    @zephania3540 5 лет назад +10

    Mkristo wa kweli hasherekei ista.
    Mkristo aliyesoma biblia vizur hamna sehem kuna tarehe ya Yesu kuzaliwa.
    Dini ni njia ya kukurudisha kwa Mungu cio sehemu ya kuonesha ubishani usio na Malengo
    Yesu sio Mungu.

    • @Kazimily_Music
      @Kazimily_Music 5 лет назад

      Yes

    • @beathusathanas8552
      @beathusathanas8552 4 года назад

      Sana ndugu yangu ukrist uwe ukwel iwe uongo mungu ndiye anaejua kila mtu afate iman yke

  • @amosmbwilo6528
    @amosmbwilo6528 5 лет назад +4

    ziku zote naamini changu siwezi nikafwata imani ya MTU kwani naamin mungu ninaye mwabudu mm ni bola zaidi..kwan xikuiz din zinaigiza tu leo hii kanisa/msikiti wanakula dili mpaka na wafu.. GONGA like kama unamkubali mungu wa mbinguni

  • @aminamunga1847
    @aminamunga1847 5 лет назад +4

    Lucky am a Muslim.alhamdulillah.

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 5 лет назад +16

    Ni mungu pekee yake ni Allah

    • @emmanuelchipanha6765
      @emmanuelchipanha6765 4 года назад

      mwombeni Mungu tofauti na hapo mtadanganywa sana mkazidi kujipa moyo kuwa Mungu mnayemwabudu ni Mungu sahihi.

    • @emmanuelchipanha6765
      @emmanuelchipanha6765 4 года назад

      Kama unahitaji kufika mbinguni bila wokovu kupitia kumwamini Mungu na yesu huwezi kuiona mbingu, Mfano mdogo najua wewe ni muislam na dini yenu inasisitiza sana usafi na bila usafi mnaambiwa kuwa huwezi kufika mbinguni na usafi unaozungumziwa ni usafi wa nje lakini maana halisi ya usafi huo ni usqfi wq moyo na mawazo pia hayo yakiwq safi ndipo utakapoweza kuirithi mbingu na sio usqfi wq nje maana kuna watu amabao ni wqsafi sana kwa nje lakini wana matendo maovu je hao nao watafika pepon kisavni wasafi kwa nje, ili uweze kupata mafunuo vizur ni lazimq utafute wokovu pia kama hujanielewa vzr ntafute kwa hii no, 0692033439 nitakuelewesha vzr na kukujibu kila swali lako.

    • @ambarnelly6304
      @ambarnelly6304 2 года назад

      @@emmanuelchipanha6765 ndugu yangu Emanuel nina shida na ww juu ya hili suala kwa iyo mm naichukiwa hii namba japo nimechelewa kuangalia hii clip

  • @birdofpry3897
    @birdofpry3897 5 лет назад +3

    Allah katujaalia ne'ema kubwa ya uislaam

  • @belamicheal3353
    @belamicheal3353 5 лет назад +7

    Aiseeee mambo mazito haya😊 kila mtu aamin kile kilichopo kwenye moyo wake inshaallah me ntasimama kwenye dini yangu naipenda na naiamin ni ya haki

    • @sumamwamalekela1069
      @sumamwamalekela1069 5 лет назад

      Huu ni mpango wa shetani kuwavuruga watu shetani hajalala hata mpaka akamilishe kusudi lake na ndio hivo tusipo muita Mungu tutaishia kuchanganywa na mipango yake miovu,watu Wang wanaangamia kwakukosa maarifa

    • @zaitunijuma7831
      @zaitunijuma7831 4 года назад

      kweli kabisa wakuabudiwa ni mungu pekee lasivyo shetan atazid kutuingia

  • @valenakomba4453
    @valenakomba4453 3 года назад

    Ukitaka kujua mambo ya Mungu , utachanganyikiwa. We mwabudu Mungu. Na we pia Acha kudanganya wengine.

  • @ivandenis2030
    @ivandenis2030 5 лет назад +12

    Da! Kwa Mimi nilivyokuelewa tunamwabudu mungu wa upagani kabisaaaa

    • @mussamdoe4619
      @mussamdoe4619 Год назад

      Mungu akuongoze kwakua mkweli mbele za mungu Alie hai

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Год назад

    Yesu hakutikiswa, Ukristo hauwezi kutikiswa
    * Tafuta mb*

  • @alinecizanye8347
    @alinecizanye8347 5 лет назад +3

    This is true continued a verry good MSG

  • @daudimkumbuje4849
    @daudimkumbuje4849 2 года назад

    Nyie mnaosema kuwa am proud to be a Muslim msikiti mpaka ied,alafu tunajua kuwa yesu hakuzaliwa hyo trh 25 alafu yesu hakuanzisha dini alvokuja apa dunian ila wanafunz wake 12 Kila walipoonekan na watu waliitwa wa kristo wakiwa na maana ya kuwa n watu wa yesu kristo ila ukristo sio dini coz yesu hakuanzisha dini apa dunian alafu kingne ktakacho kupeleka mbinguni c.o dini Bali n Imani yako kwa mungu kwamb ulifuata kile alchoagiza bac katika maandiko matakatifu yesu anasema mtu haji kwa baba bila mm,mm ndio njia ya ukwel na uzima.

  • @kitoinambala7480
    @kitoinambala7480 5 лет назад +6

    Ndugu yangu unapaswa kumuamini Kristo mwana wa Mungu aliye hai. Usiangaike na hizo tarehe za kuzaliwa hivyo vinyamkera. Tarehe ya kukumbuka kuzaliwa kwa Kristo mkombozi wa ulimwengu ilipangwa na watu kwa nia nzuri tu, hivyo huwezi kunitoa kwenye imani yangu simply because Tamuz na hao vibwengo wenzake walizaliwa 25th of December. Unapaswa kufuata nini ambacho Kristo alitufundisha hapa duniani kabla hajarudi kuketi mkono wa kuume wa baba yake katika utukufu mkuu. Usiangaike na hizo tarehe, asante na Mungu akubariki.

    • @hassankiparamoto8855
      @hassankiparamoto8855 5 лет назад

      mnayumba wakristo had manabii na mitume mnao mnapotea

    • @salmagulam6619
      @salmagulam6619 5 лет назад

      Nyie ni wapingaji hamtaki kujua kwel.sawa unaamini dini yako ni ya kwel lakn mbn inamaneno machafu kuliko Quran kasomel 56:10 isaya wachungaji ni mbwa..50:6 yeremia....Ezekiel 4:9 ...yohana 6:54 yesu alikuwa anasali sinagogi half angalia nyumba ya bible utakuta maana ya neno sinagogi

    • @rajabally2431
      @rajabally2431 5 лет назад

      Mungu gani anakufa ww acha uwehu wko... Mungu wa kweli hafi katu hata kw robo sekunde sema nyny wakristo mmerogwa tu tu kiiman,,, ila kuna ck wachungaji watawaambia Donald Trump ni mungu na mutawaamin pia

    • @a.y.a.kmwamba26
      @a.y.a.kmwamba26 5 лет назад

      @@salmagulam6619 yua ahmdiya ? !

    • @salmagulam6619
      @salmagulam6619 5 лет назад

      @@a.y.a.kmwamba26 sijakuelewa

  • @anzurunimakala5399
    @anzurunimakala5399 4 года назад

    Wakristo rudini kwa mungu WA kweli nako si kwingine Bali kwenye uislam na mungu atakusamehe.

  • @fadhilikawambwa6463
    @fadhilikawambwa6463 5 лет назад +9

    Tunashukuru kwa neno. Ubarikiwe sana sana kaka

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      amina nashkuru kwa kunitia moyo

  • @faqeeeryommie9865
    @faqeeeryommie9865 5 лет назад +2

    Alhamdulillah kuzaliw muislam, ukristo cyo dini but ukristo ni jina, mungu awaongoze wale wote wacyo mkubali Allah na Mtume muhammad (s.a.w)

    • @jkaremi8335
      @jkaremi8335 4 года назад

      Hapo kwa Muhammad ndio umenibore

  • @danm1697
    @danm1697 5 лет назад +4

    True, most Christians worship false gods . I've been christian and I've read ancient roman history, ecclesiastical history, Greek and roman philosophy influence in christianity, etc and all man's holidays i.e Valentine's day, easter, Christmas and new year eve and God is three in one, rapture is crystal clear and was developed outside Pages of bible. Truth about this holidays is overwhelming and astonishing and those who don't learn from history are openly repeating it. Worship true God of the bible don't add or remove anything written therein......

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      Thank you brother i will add some of your point to my next video hahaha

  • @davidmavonyeko2549
    @davidmavonyeko2549 5 лет назад

    Jaman tusomeni tuelewe mungu snahitaji tuuish maisha gan.siodin din zimesha haribiwa

  • @daviddavid-gq8zp
    @daviddavid-gq8zp 5 лет назад +8

    Kwako Khadija Maganga!Ukristo ni watu wanaofuata mafunndisho ya YESU KRISTO!

  • @stareast3634
    @stareast3634 5 лет назад

    Ohoooo me bhanaaaa mungu nimmoja maombiii yetuuu kivyovyoteee yeye anayackiaaa

  • @shaibushaaban1538
    @shaibushaaban1538 5 лет назад +4

    Mh namshukulu Allah Mimi nimuisilamu mana ukishapandikizwa imani isiokuwa sahihi nishida Allah awafahamishe wale wote walio potea

  • @luciensayumwe3373
    @luciensayumwe3373 5 лет назад +1

    Nashukuru Mungu Jehova kuzaliwa Mkristo waisilam msipo mwabudu kazi Kwenu ebu someni iyo Koran yenu 46:9

    • @eastafrica6858
      @eastafrica6858 4 года назад

      Wwbbado hujafata dini tabu wakristo wanadanganywa kua uislam sio dini yesu yupo ktk quruan na manabii wote huyo mnao mwabudu nyiyi ni wa wazungu na ukiangalia wazungu wala uafrica hamna na manabee mana manabee wote ni wametokea mashariki ya kati hebu zindukeni na isa bin maryam si mmungu wala mtoto wa mmungu kwani mmungu hakuzaa wala kuzaliwa yy aliumba na kuonyesha uezo wake kwa kumumba adam bila baba wala mwanamke atashindwaje kumumba isa kutoka kwa mamake nyiyi mnabudu picha na misalaba picha ya yule mzungu alie ect move ya yesu picha zake mnabudu yule si yesu hiyo ujue mmepotea yesu ni nabee si mmugu wala mwana wa mmungu na aliletwa kwa israel na mpaka leo israel hamna makanisa wao wanaabudu kivyao kote kule israel ni lana hana ardhi wavamizi tu wao walilaaniwa kwa kutoamini mmungu yupo waliteremshuwa musaa lakini bado walimpinga

  • @MazuriyaDINIyaKIISILAMU
    @MazuriyaDINIyaKIISILAMU 5 лет назад +20

    upo vizuri mpaka basi nakukubali sn

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      asante sana umenitia moyo wa kushusha habari nyingi kama hizi

    • @lilianluhasi311
      @lilianluhasi311 5 лет назад

      Sisi wakristo tunaojua injili ya kweli tunajua kuwa Yesu hakuzaliwa 25 DEC. Ila tunaamini alizaliwa na kuteswa kwa ajili ya wanadamu wote, ameen

    • @rahmatissa8815
      @rahmatissa8815 5 лет назад

      Yupo vizur Allah amhifadhi

  • @tedyokachu5013
    @tedyokachu5013 5 лет назад

    Najivunia na ninamshukuru Mungu kuzaliwa ktk Ukristu.Siyumbishishwi na lolote.Forever Christian🀄🀄🀄🀄

  • @ibraimodinodino828
    @ibraimodinodino828 5 лет назад +4

    i love isslam...

  • @danielmacharia5945
    @danielmacharia5945 4 года назад +1

    Mungu muumba wa Mbingu na Nchi,uliyeuumba Ulimwengu na vyote vilivyomo,ulituumba sisi Wanadamu,Wanyama,wewe utupae Uhai,siku baada ya nyingine,nitakuabudu milele,siku zangu zikiisha Ulimwenguni,naomba kuwa Mikononi mwako,Thanks to the Living GOD.

    • @yohana1242
      @yohana1242 Год назад

      Mungu wako yesu ushapigwa wee

  • @erastomushi6525
    @erastomushi6525 5 лет назад +28

    Nyie mnaoropokaropoka hamjamuelewa huyu jamaa,ana story yenye mashiko sana,it makes sense,tafuteni ukweli msiongee tu,mnafeli sana. Huo ndio ukweli.

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад +1

      Hahahahahahaha asante sana pamoja sana

    • @janesuma2193
      @janesuma2193 5 лет назад +1

      Erasto Mushi ukweli UPI anae jua ukweli ni Mungu tu na walio kuwepo sikuhizo haya mengine ni story za kifikirika za mitandaon

    • @dani72130
      @dani72130 5 лет назад +1

      Hakuna ukweli hapo, stori hiyo ni yakufikiriwa tu, tambua kwamba kila siku mtu anazaliwa haijalishi kuna tukio gani linalofanyika duniani kwa wakati huo, sasa kama wewe ulizaliwa siku ambayo freemason wanafanya sherehe basi wewe ni freemason?

    • @selemanmazemle6639
      @selemanmazemle6639 5 лет назад +1

      wasabato 2po sahhi

    • @salumyasini8242
      @salumyasini8242 5 лет назад

      Erasto Mushi mmm

  • @bahatiathumani8822
    @bahatiathumani8822 5 лет назад

    Story ni nzuri na imetolewa tahadhari kua ni story kama story nyingine ila story hua zinamafunzo ndani yake ila story isibadilishe uhalisia amini kile unachokiamini Mungu mwenyew ndie anaemjua mwema na muovu sasa uwe muislam uwe mkristo utafaulu kama tu utaamini yupo Mungu asiefanana na chochote anaenitendea kila jambo kwaiyo ishi tu kwakumuabudu nakumtumainia Mungu siku zote

    • @yohana1242
      @yohana1242 Год назад

      Ukiwa mkiristo utafaulu wapi ww na unasem mungu ana mtoto ww au sie ww

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 5 лет назад +7

    Sisi tunaojua kweli ya Injili tunajua uachosema, Shetani alijaribu kufananisha vitu vya Mungu na Vyake, ili watu wapotee

    • @beathusathanas8552
      @beathusathanas8552 4 года назад

      Kwel kabisa kakaa

    • @augustinebright1369
      @augustinebright1369 3 года назад

      Ego nayo inaweza ikawa njia ya motoni...Ati unajua enjili.. kwa kujifananisha na wakatoliki?

  • @patrickmbogo1885
    @patrickmbogo1885 5 лет назад

    Asante sana kwa kutufafanulia vizuri Ila anaye hukum ni mungu ,binadamu no,,,,YESU tusaidie,

    • @yohana1242
      @yohana1242 Год назад

      Yesu atakusaidiaje ww eb muabudu mungu

  • @princesssalmahtz4531
    @princesssalmahtz4531 5 лет назад +14

    Ukrito sio dini shirika la wazungu 😂😂😂😂😂😂ukikasirika jinyongeee mungu hakuzaa Wala hakuzaliwa

  • @malikimkubwa169
    @malikimkubwa169 5 лет назад +1

    Mungu atuokowe na msiba huu wa kuendeshwa kishtni

  • @zenaotman5734
    @zenaotman5734 5 лет назад +4

    mm mslamu na muamin yesu ila siyo masanamu wanayo abudu

    • @emmanuelchipanha6765
      @emmanuelchipanha6765 4 года назад

      Mungu akubariki kwa hilo nakushauri uokoke utafunuliwa Mengi zaidi na utaziona nguvu za Mungu zikifanya kaz nfan mwako

  • @mathakway3827
    @mathakway3827 5 лет назад +2

    Mtangazaji usimkufuru mungu !! Umezaliwa umekuta dini za ain zote so husikandie San dini ya MTU !!

  • @geophreyandrew2626
    @geophreyandrew2626 5 лет назад +5

    Kilamtu ataubeba mzingo wake mwenyewe yesu nijia kuu kila aliye muamini hatapotea. Nawapa pole ambao hajamwamini

  • @ABCD-ly3rq
    @ABCD-ly3rq 5 лет назад

    Ukweli wa imani upo moyoni mungu wa kuabudiwa ni yule aliembinguni hata wachawi wanasali ila wanaemsalia sio mungu

  • @daviddavid-gq8zp
    @daviddavid-gq8zp 5 лет назад +21

    Wewe mpumbavu! KRISTO ni mmoja tu! Ni yule yule wa jana,wa leo na wa milele!

    • @neemacharles8018
      @neemacharles8018 5 лет назад +1

      david david umefel ww unachokijua ww kilisha chakachuliwa unazani Giza litakutoka

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад +1

      ukristo wa waisrael ndio ukristo wa kweli 😂😂😂😂😂😂

    • @azizndossy2954
      @azizndossy2954 5 лет назад

      Milele wapi hakika mtalipwa kadri mlivyotenda

    • @asiakheir6406
      @asiakheir6406 5 лет назад

      @@TricodMedia kweli

    • @tutauchebeabdallah1699
      @tutauchebeabdallah1699 5 лет назад +1

      hz cfazote mme mpaka huyo mnaemkusudia hakuwah kua mkrsto kama mnavozan ukitaka kujua din yake muangalie alikua anasal i vp na sala yake alikua ana ifanyia wap kwamujbu wa bible huyo mnae mkusudia yesu alikua ana sujudu ana hubr mckitin hakuwah hata cku moja kuingia Kansan wala kkujiita mungu ila wanadam ndo wamemfananisha na upagan ilikupotosha akina nyinyi

  • @76update7
    @76update7 3 года назад

    Waislamu pekee hatuna Mungu mama Wala mwana Wala mtoto sisi tuna mmoja tu Allah

  • @mihaliajiry6767
    @mihaliajiry6767 5 лет назад +15

    lakini mungu ni mmoja kwann uwadhihaki wa kristo baki Na iman yako ndungu

    • @neemachasuka9165
      @neemachasuka9165 5 лет назад +1

      Ukweli usemwe watu wawe huru, wachague kuamin kweli au uongo.
      Mungu ni mmoja ni kweli. Lkn Yesu ndiye kweli

    • @Fadhira7897
      @Fadhira7897 5 лет назад

      Of course hata katika uislam pia kuna ua paganism ni bora ukweli usimwe watu wawe huru

    • @hasleydavid2377
      @hasleydavid2377 5 лет назад

      Mungu moja imani moja na ubatizo moja ndoikuambie kuwa unachokiamini ni upagani

    • @essaugerald8549
      @essaugerald8549 5 лет назад

      mungu ni moja ndio ila miungu in wengi

  • @gilbertluwe573
    @gilbertluwe573 5 лет назад +2

    Mnastuka leo? Mpango mzima ni Sabato tu. Quran inatuelekeza kuabudu Sabato na Biblia kadhalika. waliokengeusha imani hizi zote si salama ni lazima turudi kwa Isa bin Mariam kwa mafundisho yake tuabuduje. na hata Mtme wetu Muhammad anasema ukweli kuhusu kutofuata imani za mashetani. Tumswalieni Mtume, na Isa bin Mariam sio ibada za Jua ama Krismas na upagani.

  • @behewameja5058
    @behewameja5058 5 лет назад +12

    Ninacho sema ni Asante Allah kuniumba nikiwa muislam ila naamini ipo siku na hao wanao kukana watakutafuta tu najuwa itafika hiyo siku

    • @mapendomrosso2270
      @mapendomrosso2270 5 лет назад +4

      behewa meja kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kwamba YESU KRISTO N BWANA kwa viumbe wote walio duniani na mbinguni na kuzimu Yesu ni mwokozi wa ulimwengu kili aliaminie jina lake ataokolewa na kila asieliamin amekwisha hukumiwa .

    • @maliethnyoni2847
      @maliethnyoni2847 5 лет назад

      Ata mtu Muhammad nibinadam km ww ndomaana alioa na akafaliki na ajafufuka ww amini tuu mungu ni mmoja wote ni binadam km ww

  • @salmagulam6619
    @salmagulam6619 5 лет назад

    Asante kaka maana wakristo hawaelew kaz kubisha tu jaman ebu somen kwanza bible vizuri kwasbb kitabu gani kinachomtukana mungu kina kila aina ya maneno ya ajab anaebisha nimpe mistari hakasome

  • @mohamedAli-vf8hp
    @mohamedAli-vf8hp 5 лет назад +6

    Mm nasema hivi ndugu zangu wacristo mtu yyte hata mapastor na padri na manabii wakikiristo wakinionesha andiko kuwa ukiristo dini ya mungu mutanibatiza andiko moja tu katika biblia ukiristo dini ya mungu

    • @yoshuasalum8623
      @yoshuasalum8623 5 лет назад

      Naomba nikusaidie kitu, kila dini ni dini ya mungu, ispokua tu ni ya mungu gani, maana miungu ipo mingi, unaposikia mungu huyo anakua ametajwa katika umoja. Ndio maana kila dini ina mungu wake anayeabudiwa, hivyo kila dini ni ya mungu,ispokua swali ni , je!!? Huyo mungu ni wakweli au , na yawezekana kwa upande wao akawa ni wa kweli kitokana na maelekezo yake kwa waliomwamini., ispokua mwisho wake utakua wapi, hapo ndipo pa wenye hekima ya kupambanua roho. Amen

    • @yoshuasalum8623
      @yoshuasalum8623 5 лет назад +1

      Pia kama uko tayari , ningependa kukucharenji kidogo. Je ! Dini ni nini?? Nisaidie majibu kama unayo wewe uliyeshikiria dini

    • @mohamedAli-vf8hp
      @mohamedAli-vf8hp 5 лет назад

      @@yoshuasalum8623 dini ni unyenyekevu kwa mola wako au wangu

    • @mohamedAli-vf8hp
      @mohamedAli-vf8hp 5 лет назад

      Alafu mm naomba andiko moja lisemalo dini ya pekee mbele ya mungu niucristo mm nakua mcristo nitakupa no. Zangu unibatize

    • @yoshuasalum8623
      @yoshuasalum8623 5 лет назад +1

      Basi kama kua mnyenyekevu kwa mola wako ndio unakua unayo dini!, hivyo basi kila anayemwabudu mungu wake kwa unyenyekevu, huyo anayo dini. Bila kujali kua ni mungu wa kweli au wauongo.soma pia ujumbe nilikutangulizia hapo juu kabla ya swali nililokuuliza.amen

  • @georgeking4469
    @georgeking4469 5 лет назад

    ukristo una msalaba na, Mungu,baba,mwana,horo mtakatifu .Christmas, Easter, pasaka,vyote ni shetani tupu

  • @johnchale939
    @johnchale939 5 лет назад +8

    HUU NDIO WAKATI WA FREEMASON KUUNGAUNGA STORI KWA KUVURUGA WATU WENYE AKILI NDOGO

  • @noahmadal753
    @noahmadal753 5 лет назад

    Tar 25 haina madhara yoyote km kweli unamwabudu Kristo wa nazarethi maana siku zote ni mali yake na kuzaliwa halisi Kwa YESU ni siku Ile mtu anampokea kuwa Bwn na mwokozi wake ndo christmass halisi na yenye toka, nampenda sana YESU nimemwona kazi zake, jambo kubwa ni kufanya mapenzi ya Mungu siku Kwa siku

  • @daruweshimohamed1906
    @daruweshimohamed1906 5 лет назад +11

    Nikweli

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      😂😂😂😂😂😂 hatari sana

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 5 лет назад +1

    Mimi namwabudu Mungu muumbaji wa ulimwengu na Yesu wa Nazareth aliyetufia msalabani akafufuka kwa ajili ya wanadamu, na so vinginrvyo

  • @zenaotman5734
    @zenaotman5734 5 лет назад +4

    yan duniani unafanya ibada zote mtu unakuwa uko busy unabudu mudu yesu then unakuja kufa unaenda moton unakutana na yesu anakwambia ulikuwa uniabudu mm ila miungu ya wa pagani duug

    • @jkaremi8335
      @jkaremi8335 4 года назад

      Jamani hakuna nmeelewa ulichoandika

  • @adcutey9112
    @adcutey9112 5 лет назад +1

    CONGRADULATION hongera sana ukwel huu huongelewa siloamu 2 hongera

  • @reginaaloys261
    @reginaaloys261 5 лет назад +3

    Salute brodaa!

  • @nataliekamaka1298
    @nataliekamaka1298 4 года назад

    Naona unajua sana kuusu uislam lakn hujui kuusu yesu na mungu mwenyew ambae ni mmoja .

  • @mohamedAli-vf8hp
    @mohamedAli-vf8hp 5 лет назад +10

    Yesu ni mtume kwa kondoo waliopotea wa wana wa izrail hakutumwa kwa wakenya wa nchi nyengine kando na waizrael ila tunamfata yesu sisi waislam kama mtume najivunia kuwa muislam

    • @mapendomrosso2270
      @mapendomrosso2270 5 лет назад

      mohamed Ali hapo unatangaza dini na siyo imani hupaswi kujivunia dini bali jivunie imani uliyopewa na kama upo chini ya sheria jua hakuna hata mmoja ambae anaweza kwenda Mbinguni kwa sheria na jua jina "Allah " maana yake ni "Mungu "

    • @jkaremi8335
      @jkaremi8335 4 года назад

      @@mapendomrosso2270 mwambie aelewe wengi wao wanaiamini dini yao ila hawana imani

  • @mohamedAli-vf8hp
    @mohamedAli-vf8hp 5 лет назад

    Wacristo wote wanasema mungu baba mungu mama na mungu mwana na roho mtakatifu utajua kweli wanaambudu watu tu na shetani

    • @valeriaaloyce4123
      @valeriaaloyce4123 5 лет назад

      Samahan Kaka mohamed Katika mung Mona kunanafsi tatu Nazo n mungu baba mung mwana na mungu roho mtakifu Hakuna sehemu inayosema mung mama.

    • @mohamedAli-vf8hp
      @mohamedAli-vf8hp 5 лет назад

      @@valeriaaloyce4123 sawa ila ukielewa hio video utajua kuwa munaabudu watu wala cio mungu mungu ni mmoja tu

    • @stivertz7014
      @stivertz7014 5 лет назад

      We mbwa nini, Mungu mama yupo kwenu uko ma na majini yenu , watu mna roho mbaya hata kwenye biblia mmeandikwa nyie mna roho mbaya sana machinja chinja mnauwa watu bila sababu , mnaamini majini ni viumbe wa Mungu mmerogwa nn, hii Mungu hajawah kuumba majini ayo majini yote ya shetani ,na mkikaa vbaya mtaabudu mashetani ndo maana mnataka kutuchinja sisi nyinyi

  • @kamellincitizenkenya129
    @kamellincitizenkenya129 5 лет назад +10

    Acha mungu mwenyewe ahukum

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      kweli kabisaa

    • @sangijamadukwa1486
      @sangijamadukwa1486 5 лет назад

      Ndo history sasa hyo au hutak?

    • @albassamjjamali9205
      @albassamjjamali9205 5 лет назад

      Muda umefika watu wote kua waislam sasa badilikeni

    • @jkaremi8335
      @jkaremi8335 4 года назад

      @@albassamjjamali9205 ambieni Mungu wa kiislamu akishirikiana na Muhammad atuondolee corona

  • @mildredmiraho2782
    @mildredmiraho2782 4 года назад +1

    Is really true we worship things we don't know may God lead us to the right direction

  • @asiakheir6406
    @asiakheir6406 5 лет назад +4

    Naipenda sana hii media, kwa kujibu comment, inatia moyo

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      Asante sana yaani ungejua coment kama hii inanitia moyo sana nashkuru sana

  • @sultanetmohd4335
    @sultanetmohd4335 5 лет назад +1

    One god

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 5 лет назад +7

    Maskin wajua nawaskitikia sana ...wanakufa ukristin na walioko ukriston wanapoteza mda.......DINI YA KWELI NI ISLAMIC...INAYO KATAZA MABAYA NAKUAMRISHA MEMA INAKATAZA DHULMA NAINAONESHA HAKI ... .NANDIO DINI YA HAKHI SAHIHI....INSHAALLAH KILA MWENYE ATAONA NJIA YA HAKH BAS N ISLAMIC ISIO NA SHAKA..

  • @mathakway3827
    @mathakway3827 5 лет назад

    Siwez kuamini kbsa mm namwamini mungu aloniumba mambo ya historia yesu aliyaharbu baad ya kuja kwa ajil y kuokoa ulimwengu!! I belived in good only

  • @peteralfonce5848
    @peteralfonce5848 5 лет назад +21

    Mie nimekua mwisilam maana Islam hawapendi MTU kujiita nabii wala mtume

    • @paulbuberwa2631
      @paulbuberwa2631 5 лет назад +1

      kaka haujui, imani yako. SOMA BIBLIA, ACHANA NA MAPOKEO

    • @stivertz7014
      @stivertz7014 5 лет назад

      Ukiskia mtu anajiita nabii kweny ukristu jua sio kwel, pia iman zet tofaut, af mbn nyie mna masheikh wanagawa pesa kwa njia za majini sas kwan sis tumesemaje asee, ata msemaje sisi ni wakristu tutabaki kuwa ivo tu, ata msemaje, naamin nachoamin mm coz nkimuomba Mungu ananisaidia

    • @mohamedAli-vf8hp
      @mohamedAli-vf8hp 5 лет назад

      @@stivertz7014 wamuomba mungu yupi ndugu yangu ikiwa yesu cio mungu ni mtume wa mungu yohana 8:23 kma cjakosea akisema munatafuta kuniua mm mtu ukiendeleza utapata ukweli

    • @likandafilm9709
      @likandafilm9709 5 лет назад +1

      @@paulbuberwa2631 watakuja banabi wengi wa uongo hiyo ni dalili ya kurudi kwa nabii Issa mnae muita yesu na kuwa mwisho wa maisha ya duna kwa kla kiumbe. bible na quruan imeandika. iman ya kristu ilikamilka vizur na mtume muhamad alikuja kuitimisha. ila wapo walio alibu mafunzo ya nabii issa kwa masla yao. kama upo tayali nikupe vfungu vya bible vitavyo cbitisha niyasemayo nnaweza fanya ivyo. Peter ajakosea kabisa alchosema.

    • @albassamjjamali9205
      @albassamjjamali9205 5 лет назад +2

      Umeingia ktk iman sahihi muhimu kusoma uzidishe.iman

  • @zaitunijuma7831
    @zaitunijuma7831 4 года назад

    ALLAH peke ndo maisha yangu ndo ninae muamin na kumuabud maisha yangu yote hakuza wl hakuzaliwa wal hafananishwi na chchte kile love ALLAH

    • @leahenockmrina5381
      @leahenockmrina5381 2 года назад

      Zaituni umedanganyika Mungu mwana yupo Yesu Kristo na si Allah na Allah si Mungu wa Kweli pia ni mojawapo wa miungu ya wapagani pia ni Mungu Mwezi na mungu wa machafuko ndiyo maana unaona watu wanamwamini mungu Allah wanapppigania mungu huyu wzna fanya ghasia ya kuua vita na kuwa rafiki wa majini amini Mungu wa kweli

  • @danikodan971
    @danikodan971 5 лет назад +6

    God forgive u all "" Bt nawaombeeni Mungu awafungua macho ya kiroho ju u don't know Wht u r talking abt!!!!

    • @ibrahimmatola8991
      @ibrahimmatola8991 5 лет назад

      What do you know tell us if you don't knw shut the hell up

  • @alphoncemayela6626
    @alphoncemayela6626 5 лет назад

    Hatari sana

  • @kingmajatv
    @kingmajatv 5 лет назад +12

    MI NAOMBA HISTORIA YA WAAFIRIKA TULITOKA WAPI NA WAZUNGU WAPI KTK UUMBAJI Pia ktk mzozo kuwa Israel walikuwa ni weusi ama white people

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад +3

      ntakuletea wiki ijayo hii story yao imekaa poa sana

    • @emmanuelmisalaba3169
      @emmanuelmisalaba3169 5 лет назад +1

      Nitashukuruje kupata elimu hii

    • @isackmajige9147
      @isackmajige9147 5 лет назад

      Sema nimrodi

    • @allygibu7003
      @allygibu7003 5 лет назад +1

      Nunua CD ya Othman maalim inayozungumzia kuumbwa kwa Adam utafahamu kila kitu humo

    • @japhetngufa3266
      @japhetngufa3266 5 лет назад +2

      Kaka ukovizuri kuna mamilioni ya wakristo Leo hawajui historia ya ukristo na maneno ya yesu yametimia ktk wakatiwetu soma mathayo 7:13 shetani amechafua ukristo.amevaa vazi la ukristo ameingia kanisani soma 2wathesalonike 2:3-4 na wakristo hawa wasiojua ukweli huu ni wakali kweli usiogope sema tu ukweli labda wataamka ktk usingizi wakiroho yesu anasema wokovu watoka kwa wayahudi soma yohana 4:22 ukristo waleo hautokani uyahud

  • @oscaroscaroscar7974
    @oscaroscaroscar7974 4 года назад

    Mimi ndio niko kwenye mtihani mzito kweli...Mama yangu Muslim Baba yangu he's kristian kwa Mama naitwa Mohamed kwa baba Naitwa Oscar ..Sasa uwa nashindwa ata nifanye nini 😥...Naingia kanisani na msikitini naingia kuswali na Quruan naijua kidogo Mashallah nashukuru my God kwa ili

    • @Awatee
      @Awatee 2 года назад

      Ndugu ukiwa muislam kanisani usiende baki msikitini uislam ndio dini ya kweli Mama yak yupo sahihi

  • @geriadsuku8167
    @geriadsuku8167 5 лет назад +5

    Hana unachokijua chochote huhusiana ukristo sawa

  • @josephhenry3398
    @josephhenry3398 5 лет назад

    Soma 1 YOHANE 2:27..... Tumepokea Roho wa Mungu na huyo ndiyo mwalimu, mjumbe na msaidizi... kwa usiye na Roho mtakatifu hakika utayumbishwa na mafundisho ya ulemwengu huu.... mwamini Mungu katika Jina la Yesu Khristo wa Nazareth.... Shika sana ulichopewa na MUNGU ambaye Ni Roho wa kweli wa Mungu ndiyo mwalimu wa kweli.

  • @shebbywanammurun9612
    @shebbywanammurun9612 5 лет назад +5

    Kuhusu kufananisha sikukuu za kipagani na za Mungu na baadhi ya vitu ni hivi
    Katika Quran Tukufu tumeonywa "Hawatokuwa radhi mayahudi na manaswara mpaka mfuate mila zao".
    Kafiri hata umfanyie wema vp hatoridhika mpaka akukufurishe,atakuambia tuongee utaswali badae,nina bosi wangu kafiri Alhamisi hanipi pesa ili kesho nirudi nsipumzike.

    • @stivertz7014
      @stivertz7014 5 лет назад

      Af bro usiseme mkristu khafir wew unaumwa nn, kafir mwenyew, iv unajua ilo neno lnamaanish nn , hii we unaugua kwel ase

    • @yohana1242
      @yohana1242 Год назад

      Yan usiswal ijumaa sindio

  • @davidmavonyeko2549
    @davidmavonyeko2549 5 лет назад

    Yapo mengi san watu waishio katiak din hawauwona ufalme wamung.mungu kasema tends mema.ishi maisha matakatifu mbingu utaiyona.najua san mengi nilivyo kuwa nafanya ibada zao din hiz.kwa sas mm nimeokoka yesu yupo pamoja nam hakunanguvu iwezao kushindan na lucifer najeshi lake ispokuw yesu kristo

  • @fadhilikawambwa6463
    @fadhilikawambwa6463 5 лет назад +10

    Ukweli mtupu

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      asante sanaa 😂😂

    • @isayamsovela7857
      @isayamsovela7857 5 лет назад

      Kama unatambua kuwa mungu yupo la muhimu tenda mambo yatakayompendeza mungu haijalishi ni muislam au mkristo au pagan unaweza kuwa muislam lakin mtenda maovu mkubwa sanaaa

  • @princesssalmahtz4531
    @princesssalmahtz4531 5 лет назад +1

    Nashukur Sanaa kua Muslim maana nisinge kua Muslim ningepata tabu Sanaa uislam ndio dini ya haki ktk hii dunia

  • @davidmkhandi2918
    @davidmkhandi2918 5 лет назад +3

    Utani na Mungu acha kabisa

    • @mchafakih5078
      @mchafakih5078 3 года назад

      utani wann wakati huo ndio ukweli

    • @yohana1242
      @yohana1242 Год назад

      Na mungu wenyewe ndo yesu au 😁

  • @issakassim8291
    @issakassim8291 5 лет назад

    Very nice

  • @rajabally2431
    @rajabally2431 5 лет назад +10

    Ni habari nyeti na zenye ukwel mtupu ...

  • @maliethnyoni2847
    @maliethnyoni2847 5 лет назад

    Mtazamo wa binadam tofauti na mungu mtume Muhammad ni binadam km ww ndo maana alioa na akafa na ajafufuka nae anasubili siku ya kihama ifike km atafufuka au atafufuka yesu ni binadam km mm alikufa na akafufu ndo maana wakirsto wanaamini siku moja watakufa na kufufuka maana yesu alifufuka sasa mwisram mtume Muhammad ajafufuka mpk leo amini nawaambieni mtazamo wa mungu sio sawa na mwanadam uhisram wa mwalabu ukilisto wa mzungu tupendane tuu kila mtu aamini anachokiamini

  • @thomasnachenga795
    @thomasnachenga795 5 лет назад +12

    1.mary au mariam HAKUWA MUNGU MKE. na wala hatusadiki kuwa ni mungu mke, ila ni mwanadamu alietumiwa na mungu kumzaa yesu.
    ndio maana huwezi kuta katika biblia yesu akamuita mariam MAMA...
    2. ni kweli historia huathiriwa kutokana na muda, ndio maana hadithi hutofautiana japo ni hadithi moja.
    kwakuwa yesu tayar alikuwako tangu mwanzo (neno) tarehe 25. dec yawezekana ilipachikwa na shetani
    kuharibu KWELI.
    NB. sasa technology imekuwa, nasi tunafaham namna sahihi ya kuifadh kumbukumbu kwa MAANDISHI. biblia imehifadhi kweli yote. inasema MUNGU ALIE HAI NI YESU. ambaye alifanyika mwanadamu tena MASIKINI, aliyekusudia kufa kwaajili ya ulimwengu. (sasa jiulize miungu wote unaowasikia, walithubutu kufa kwaajili ya wote) kuna watu huoji MUNGU GANI ANAKUFA.
    "yesu alisema YOHANA MT. 2:19" (soma) pia uzuri ni kwamba YESU ameshuhudiwa na maelf ya watu.
    KUVURUGWA KWA TAREHE YA KUZALIWA KWA YESU ni NEGATIVE IMPACT YA KUHIFADHI KUMBUKUMBU...hata bibi na babu zetu hawakumbuki walizaliwa tarehe gani..

  • @jacobokwaro7157
    @jacobokwaro7157 5 лет назад

    Daah vile napenda kusema mungu wa Israel... Nimjua sasa asante kwa mafunzo

  • @onesmomwacha4610
    @onesmomwacha4610 5 лет назад +13

    Sis tunaabudu tukijuacho!!!! Yesu kristo mnazareti!!! Ww unatakanini? Na ww unamwabudu nani?

  • @charleskomba1122
    @charleskomba1122 5 лет назад

    Namwamin cna mungu mm nimkristo Tena pia ni mtumishi kanisan mm na mkatoriki piwa kwahyo msipende kurupukia hyo historia sikirza kwa makn utapata consept ya mada kuu simama imara mkristo katka dn yetu jivunie kuwa mkristo Mana uisramu ni kuamn Majin tuuuuu,

  • @salmahsaid90
    @salmahsaid90 5 лет назад +10

    Duuuh haya mambo ya dini bn me sijui

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 лет назад

      yaani kazi ipo hahaha

    • @ngailotony
      @ngailotony 5 лет назад +1

      Salmah Said Kazi kweli kweli but ni vizuri kusikiliza labda moja kitakusaidia hata mimi huwa inanisumbua sana kichwa ingawa nimelelewa kikristo mpk nimefunga ndoa kanisani lakini hunipasua kichwa sana maana kila mtu ana ongea kivyake.

  • @saididd3060
    @saididd3060 5 лет назад +1

    Namshulu Sana Allah kwa kuwa muislam

    • @stivertz7014
      @stivertz7014 5 лет назад

      Namshukuru sana Mungu kuzaliwa mkristu, nampenda Mungu wangu,

    • @ormekekesiketa5733
      @ormekekesiketa5733 5 лет назад

      Sawa kabisa. Kila mwenye kumwamini Mungu kwa imani yake aendelee hivyo hivyo na aheshimu wanaoamini tofauti na yeye. Hakuna haja ya kulipua makanisa na kuuana. Issue za imani ni very delicate tuwe makini. Hakuna uhalali wa imani kwa kuwaua wengine.