VIDEO HII INATISHA SANA KULIKO VIDEO ZOTE INAWEZEKANA UNA ABUDU MUNGU JUA ITAKUHARIBIA PASAKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • VIDEO HII INATISHA SANA KULIKO VIDEO ZOTE INAWEZEKANA UNA ABUDU MUNGU JUA ITAKUHARIBIA PASAKA
    Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE www.youtube.com...

    FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
    / tricodmedia
    LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
    / tricod-skills-11524157...
    FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
    / tricodskills
    #Pasaka
    #upagani
    #freemason

Комментарии • 112

  • @nestoryjohn9425
    @nestoryjohn9425 4 года назад +14

    Cha msingi mwamini Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako. Na zaidi Mungu anaabudiwa kila siku

    • @peterobiri2509
      @peterobiri2509 3 года назад

      Na Waislamu pia wapewe nafasi yao juu wote tuko pamoja katika Imani

  • @alvinsafi2733
    @alvinsafi2733 4 года назад +10

    Kuna star inaitwa Corona kama umeona gonga hapa like.👇

    • @CaballeroTV
      @CaballeroTV 4 года назад +1

      wameanza kitambo sana na haya madudu yao.... magonjwa biashara na imani za kichawi tu...ndio maana ni wachawi tu ndio wanaweza kukutupia ugonjwa kasoro Mkristo tu.

    • @alvinsafi2733
      @alvinsafi2733 4 года назад +2

      @@CaballeroTV Kweli kabisa hii dunia iko Twisted sana..Kuna siri nyingi sana zilizo wazi na zilizo fichwa

  • @gracejulius1914
    @gracejulius1914 4 года назад +3

    Nyie wanadam mwogopeni Mungu jaman. Msimfanye Mungu mchomba yenu na kuongezeka chochote mnachojiskia. Jifunzeni kupitia Corona maana hapo tu panatosha kujua Mungu Ni nani

  • @fredrenatus5355
    @fredrenatus5355 4 года назад +2

    Mungu atusamehee maana haya mambo nimakubwa sana. Tumegeuka kuwa wafuasi wa mazehebu na cyo wafuasi wa yesu

  • @agnessima5033
    @agnessima5033 4 года назад

    Yesu nakupenda Yesu nakutumainia!! Najivunia kuwa mkatoliki!!!!

  • @vivianoforo4760
    @vivianoforo4760 4 года назад +9

    Wa kwanza kucoment japo inaogopesha wacha niendlee kuangalia

  • @peterobiri2509
    @peterobiri2509 3 года назад

    Marafiki🙏huyu jamaa ako na lengo tofauti please tusipigane

    • @peterobiri2509
      @peterobiri2509 3 года назад

      Please am only listening to the word of God

  • @peterobiri2509
    @peterobiri2509 3 года назад

    You are right only when I hear speak of Mohamed and Issa.
    I love Muslims but am xtin. Hahaha..,. I love your documentary

  • @dominamukarutesi580
    @dominamukarutesi580 4 года назад +2

    Endelea kutangaza ukweli big up sana

  • @afisakigongo2511
    @afisakigongo2511 4 года назад +1

    Sioni rakutisha hapo ila ni ujinga mtupu watu nyie amna heshima ndo maana mnaturetea matatizi dunian Mungu awasamehe kwa ujinga wenu ndo maana arijificha.

  • @jogoogayo7104
    @jogoogayo7104 4 года назад +1

    Safi una2pa mwangaza

  • @habibayahaya3012
    @habibayahaya3012 4 года назад +4

    Hee mungu tuokoe wanao

  • @lesamuzaliwa1909
    @lesamuzaliwa1909 4 года назад

    Hivi kweli hayo hunayo yassma ni Kweli. Yesu ni Mwana wa Mungu kubali husikubali

  • @mgenirasimi7771
    @mgenirasimi7771 4 года назад +7

    Mzee umeeleza vitu vingi sana....hongera japo umepindisha pindisha vitu vingi umeficha......lakin ki ukweri kuhusu elimu ya kiroho yamefichwa kama ulivyosema na baadh ya wachache waliobahatika kuipata hiyo elimu leo hii wanaifaidi dunia... Kuna elimu ya namba hizi hizi namba ambazo ni 123...... watu wanazitumia vzuri sana na wanaelimu nazo mpaka raha ukikaa nao tatzo lililopo hapa watu wengi tumepunguziwa uwezo wa kufkri kupita hizi dini zetu na hata leo mtu umwambie dini flan ni taasisi ya watu atakuona kama chizi flan lakin ndio ukweri...angalia leo vitu vingi vimefichwa fichwa kwa hakri ya kawaida huwez kuona....point ni kujitambua tu baasi vingine vitakuja automatically

    • @Neymarjr2013
      @Neymarjr2013 4 года назад +3

      Majabu kabisa

    • @mgenirasimi7771
      @mgenirasimi7771 4 года назад +3

      @@Neymarjr2013 Na historia ya binadamu inaanzia pale misiri Luna sehem inaitwa Kermit land....na hao wenye uwezo wote unaowaona wanajifanya wanaiendesha dunia nguvu zao zote wameziiba Misiri..........mambo ni mengi

    • @piligeorge8278
      @piligeorge8278 4 года назад +1

      Bila Chenga,tupe somo kaka

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  4 года назад

      Kweli kabisaaaaa

    • @shigazuelias4896
      @shigazuelias4896 4 года назад

      @@mgenirasimi7771 tujuze bro

  • @tygatograww3817
    @tygatograww3817 4 года назад +1

    Kwanini waabudu jua kuna wengine wanaabudu sanamu kuna wengine wanaabudu moto kuna wengine wanaabudu sheitwani hebu waache ujinga kabisa wamwabudu mungu mungu ndiye anayetukumbusha vitu vingi sheitwani mshenzi kazi kusahaulisha watu akili anataka kuwapeleka motoni tungekuwa binadamu tungekuwa tumesamehewa dhambi lingeenda motoni peke yake

    • @celestinshayo7295
      @celestinshayo7295 4 года назад +1

      Juma Juma: umesahau kutaja na wanaoabudu jiwe jeusi

  • @kanaanieunicerobert8742
    @kanaanieunicerobert8742 3 года назад

    Mungu yupo sema Watu wanasema mungu yupo

  • @simonjohn2784
    @simonjohn2784 3 года назад

    Yesu sio mzungu

  • @ellysilwani9287
    @ellysilwani9287 4 года назад +2

    Mmh!kweli inatisha sana!tumefumbwa mno!ni watu wachache ndo wanimiliki dunia kiroho,jamani inahuzunusha sana,lkn naamini ipo siku !

  • @tadeusimlimakifi4676
    @tadeusimlimakifi4676 2 года назад

    Aixe

  • @jophmarley3007
    @jophmarley3007 4 года назад +1

    Watu wachache wenye mamlaka wanatuchezea kiimaniii 100% Ndio maana Rais wetu corona ilivyoingia akakumbuka Nyumbanii kabisa nina imani alidumisha mila Mpaka sasa hakuna cha wagonjwa wala nn

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 3 года назад +1

    Video za hovyo kabisa,

    • @user-mx9lc5oe1q
      @user-mx9lc5oe1q 6 месяцев назад

      wewe unaesema video za hovyo utaangamia kwa kukosa maarifa badala ya kufanya utafiti juu ya haya masuala wewe umechagua kua mtumwa wa kupokea na kuamini dini yako inachokwambia bila kutumia akili.kuongozwa kiimani bila kutumia akili ni kazi bure

  • @fortunataangelo5575
    @fortunataangelo5575 4 года назад +5

    Kitu tunajua wakatoliki Yesu ndio jua la haki,, maana amesema , yeye ni NURU ya ulimwengu

    • @ivanf.lekule5618
      @ivanf.lekule5618 4 года назад

      Hawa jamaa kila siku kutukandia wa Roman catholic, ila jua mti wenye matunda ndo hupigwa mawe. Wakati Biblia iko wazi kabisa

  • @cosmasymaseko4153
    @cosmasymaseko4153 3 года назад

    Kweli kabisa na kumuabudu mwenyez munguu

  • @mustafayahyarunigangwakani6037
    @mustafayahyarunigangwakani6037 4 года назад +1

    amani ya Mungu iwe nanyi!!!hakika hili ni channel yangu ya kwanza kwa mambo ya kiroho !! nawakubari sana!! ila jose nakushauri njoo umsome yesu ( isaa) kwenye waisilamu hakika utajifunza kitu kizuri sana!! kuanzia kuzaliwa hadi kupaishwa mbinguni!! kwani sisi( waislamu) tunaamini hakusurubiwa wala hakuuawa!!! na atarudi kupambana na mpinga kristo!!! karibusana!!! najivunia kuwa mwafrika najivunia kuwa muislamu!! asante!!!

    • @erastomasaba4154
      @erastomasaba4154 4 года назад

      Wewe kasome vizuri Quran huijui sasa tutajifunza nini wakati uislamu ni ucatholic waliompa Mohammad utume ni wacatholic

    • @mustafayahyarunigangwakani6037
      @mustafayahyarunigangwakani6037 4 года назад +2

      khabari ndugu!! nifahamishe!! ukatoliki uko sehemu gani kwenye quran tukufu!!!? punguza jaziba!!! mambo ya kiimani hayataki hasira!!! ni vyema kijifunza!!! huenda mmoja kati ya mimi na wewe mmoja wetu yuko kwenye upotofu!!!

    • @norbertlilungulu5018
      @norbertlilungulu5018 4 года назад

      Mafundisho ya kiyaudi yamewapotosha

    • @norbertlilungulu5018
      @norbertlilungulu5018 4 года назад

      @@mustafayahyarunigangwakani6037 wayaudi ndio wamepotosha kuogopa kufeli kama walivyofeli. Juu ya ufufuko wa yesu na mateso yake alishasema mwenyewe! Kasome luka

    • @millionairejeffreysunofbez3766
      @millionairejeffreysunofbez3766 4 года назад

      Naomba kujua kwanini mpinga kristo.. na sio mpinga Mungu..? Yesu kristo yy km nani..??

  • @reginaldswai2611
    @reginaldswai2611 4 года назад +1

    😂😂😂😂 upuuzi huu

  • @peterobiri2509
    @peterobiri2509 3 года назад

    I beg to comment again please my dear brothers and sisters

  • @jumajonh22
    @jumajonh22 4 года назад +6

    UKITAKA USITAKE QUR_ AN NDO MUONGOZO WA KILA KITU HAIJALISHI UNA MAZEHEBU GAN

    • @sekelawilliam3057
      @sekelawilliam3057 4 года назад

      Na Yesu kristo ndo kila kitu chini ya jua, weather you like or not. Bila kumkiri Yesu huwezi fika mbinguni

    • @khalos3224
      @khalos3224 4 года назад

      Na mbingun n wap

    • @wilsonlugutu5747
      @wilsonlugutu5747 2 года назад

      Acha uongo Que-an ni muongozo wa uchawi kwa hilo siipingi make iliufunua uchawi bila chega na ndo utakuta kuna kisomo cha uchawi kinatwa arubadili!

  • @ellysilwani9287
    @ellysilwani9287 4 года назад +1

    Kweli tuendeelee kumtafuta,na kuitafuta kweli...

  • @kudrathadey1874
    @kudrathadey1874 4 года назад +1

    🙄

  • @tygatograww3817
    @tygatograww3817 4 года назад +1

    Jesusi is king forever devil is a woman forever

  • @devothafrank5792
    @devothafrank5792 4 года назад +10

    watatu kucomment piga like yako hapa kama unawakubal tricod media

  • @winstonkiprotich5023
    @winstonkiprotich5023 Год назад

    "Lakini pia,,,lakini pia,,,lakini pia,,,lakini pia,,," mbona kurudiarudia haya maneno?? Inaudhi mno!!!!

  • @bethkimani92
    @bethkimani92 Год назад

    Kweli watu hawanji ninani wanamuomba.

  • @lesamuzaliwa1909
    @lesamuzaliwa1909 4 года назад

    Weye aukusoma scéance ? Towa hulofa Bwana. Hunasema husilolijua. Mwongo sna weye.

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 4 года назад +3

    Watu wa Pasaka wanaabudu chochote hawajali ni nini mradi Paulo kasema

    • @dowethalabani7748
      @dowethalabani7748 4 года назад

      God is great acha uwongo

    • @godisgreat1845
      @godisgreat1845 4 года назад

      @@dowethalabani7748 uongo wa nini na ukweli ndio huo mnatanguliza imani akili mnaziacha nyumbani sasa mtajua imani ya kweli

    • @ivanf.lekule5618
      @ivanf.lekule5618 4 года назад

      Sherehe ya pasaka ipo hata kwenye Biblia

  • @maxwellmakanya8140
    @maxwellmakanya8140 4 года назад +2

    Wewe ni muongo,jua huwa halizunguki bhana Ila sayari nyingine zote ndo znazunguka jua na ndo maana tunapata usiku na mchana

    • @khalos3224
      @khalos3224 4 года назад

      Info za mzungu izo hahaha

    • @hassanmbaga575
      @hassanmbaga575 2 года назад

      Jua linazunguka ndg yng , jrb kutafuta info tena kwa haohao wanasayansi au kasoma Qur'an.

  • @hamiskagaye7531
    @hamiskagaye7531 4 года назад

    Nawakubr sanaa

  • @spiritualman_7
    @spiritualman_7 4 года назад +2

    Daah ila wazungu ni watu wabaya saaana!

  • @richq8678
    @richq8678 3 года назад

    Icho kitabu kinapatikanaje

  • @khalfanallbusaid2035
    @khalfanallbusaid2035 4 года назад +1

    Good broo kwanini usikisome kiarabu cha Quran ili ikufunue zaidi

  • @benjaminmmbughu1693
    @benjaminmmbughu1693 4 года назад +1

    Acha kumalizia watu MB zao , unatafuta pesa ww

    • @khalos3224
      @khalos3224 4 года назад

      Amna aja ya kukoment we pita ivi usirud kwa Chanel yetu hahaha

  • @mkombozimstaff4830
    @mkombozimstaff4830 4 года назад

    Sio kweli bro

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 4 года назад

    Hapa kuhusu pasaka sorry siwe akukuamin narudizangu🏃🏃🏃🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️

  • @lesamuzaliwa1909
    @lesamuzaliwa1909 4 года назад

    Hiko mwongo saaana. Tena musikuwe mnachukuwa ma Histoire ambazo amjui ni kosa nikama kukufuru. Sababu hunasema husichokijua sio poa kk. Husicheze n'a Mungu cheza n'a wengine wooote Ila N'a yesu ni Mwana wa Mungu.

  • @josephkuta7244
    @josephkuta7244 4 года назад +2

    Heeeeee wzungu wanatutsa snaa n mambo zao na technology wanatutengnezea fifo tuu yesu atuwezeshe kwa hii dunia

  • @moseschacha684
    @moseschacha684 4 года назад +1

    Acha uongo unataka kuchanganya watu nabii wa uongo ww

    • @khalos3224
      @khalos3224 4 года назад

      Hahaha kwan katoa unabii upi

  • @joelpeter1815
    @joelpeter1815 4 года назад +1

    ngoja nikomae nayo

  • @mariamlohhay538
    @mariamlohhay538 4 года назад

    Acha kudanganya watu chunga maneno ya kinywa chako..kila neno tutalitolea hesabu

  • @bimazubuteatibu9357
    @bimazubuteatibu9357 4 года назад

    Sasa hakuna injilia Thomas ikiwa mkiswahili ? Mbona pakoya kingeleza tuuu

  • @jkaremi8335
    @jkaremi8335 4 года назад

    Si vyenye nlitarajia👎

  • @bboyblackfire
    @bboyblackfire 4 года назад +1

    kuabudu jua sio tatizo, kwasababu ameliumba MUNGU, tatizo ni kuliita jua MUNGU.😀
    Hapo hujakosea kabisa kaka ibada ni utaratibu unaotengenezwa na mwanadamu mwenyewe na kila jamii ina njia zake.

  • @josephbizzy1813
    @josephbizzy1813 4 года назад

    Acha uzushi hakuna aliyekufa akashinda mauti na Yesu hakuzaliwa tarehe 25 huo ni upotoshaji wa hali ya juu.

    • @celestinshayo7295
      @celestinshayo7295 4 года назад

      Joseph: kwani Yesu alizaliwa lini?

    • @josephbizzy1813
      @josephbizzy1813 4 года назад

      @@celestinshayo7295 tarehe rasmi ya kuzaliwa kwa Yesu wala mwezi haijulikani.

  • @sudihammad7387
    @sudihammad7387 4 года назад +1

    Embu acha kuwakatilia italy waliabudia mungu jua na jupita toka kale