Unacho paswa kufanya ni kuondoa neno ili apo ...michepuko...ambalo umaanisha ma Hawara...simulizi yako haiwezi kumvutia mcha Mungu Sababu apa ni kama kumkashifu mtu ambaye kwa kweli akiheshimiwa sana na Mungu ktk siku zake...Suremani hakuwahi kuwa na hao mahawara au michepuko....yeye aliowaoa ni ma binti wafalme p na mabinti za watu wake wakiwemo masuria 300...Neno suria lilimaanisha....Binti aliyezaliwa na mtumwa wako...Halimaanishi mchepuko....kufasili hivyo maandiko ni kumkosesha mwana au binti wa Mungu! Na pia ni kuondoa Radha ktk simulizi yako.
Unaposema michepuko 200 unamaana alikua mzinifu?mambo mengine tunapata majanga ya kidunia kwa sababu yenu nyinyi .uliza wataalamu wa maandishi ya Mungu usiropoke ovyo ovyo brother,ninacho kuambia mtetezi wa kashfa kwa mitume watukufu wa MWENYEZIMUNGU no MWENYEZIMUNGU MWENYEWE shauli lako
Shida ...wengi wa hao wanaojidai kutusomea...ni waganga njaa tu...yaani wataongoza neno lolote... Alimradi wawafurahishe wasikiaji...na ata kama Biblia haifundishi ivyo.
@@BONGOFASTA Hapana mtume si kama mimi nina sababu nyingi za kukuambia hivi nitakupa walau mbili tu..kwanza mitume walikuwa wakipewa wahyi (ufunuo) kutoka kwa M/Mungu kupitia kwa malaika Jibriil kwa mujibu wa dini yetu ya kiislamu.Pili mitume walikuwa wakitenda miujiza kadha wa kadha niambie ww na mm yupi kati yetu walau mwenye hayo mambo mawili...Acheni kuwakashifu mitume mtapata laana hapa hapa duniani kabla ata ya siku ya mwisho.
Na ndo wa kwanza kucomment bro✌✌
Nzuriii sana
nice
Wa pili kucomment😃😃
Mmmmmh jaman ukweli anajuwa mungu peke yake
Iko sawa iiiii
Unaweza brooo
Kweli
Wa tano
Mbona mnakop na kupest kutoka simulizi za biblia?
Tumetoa credit hapo chini.
Unacho paswa kufanya ni kuondoa neno ili apo ...michepuko...ambalo umaanisha ma Hawara...simulizi yako haiwezi kumvutia mcha Mungu Sababu apa ni kama kumkashifu mtu ambaye kwa kweli akiheshimiwa sana na Mungu ktk siku zake...Suremani hakuwahi kuwa na hao mahawara au michepuko....yeye aliowaoa ni ma binti wafalme p na mabinti za watu wake wakiwemo masuria 300...Neno suria lilimaanisha....Binti aliyezaliwa na mtumwa wako...Halimaanishi mchepuko....kufasili hivyo maandiko ni kumkosesha mwana au binti wa Mungu! Na pia ni kuondoa Radha ktk simulizi yako.
ACHENI KUWASINGIZIA UOVU MANABII WA ALLAH
SULEYMAN HAKUTENDA MADHAMBI HAYO!!
HIZO NI HADITH ZA KIYAHUDI KUWATIA MADOA MANABII WATIIFU!!
MNAPOTOSHA WATU KWA SIMULIZI ZA UWONGO....
riffay ahmad 😅😂😂😅💉💉🙌🏽🙌🏽
Liganga njaa ilo...linakurupuka kwenye dhambi za kila namna...linakuja kuyapindisha maandiko apa....kinabii kipofu..liongo kibaya kabisa.
Huundio ukweli,anapotosha wp?
Harafu kuna mtu anakwambia et michepuko zambi😂😂😂
Jaaamaaaaaaaa acha uongo kumbe unadanganya xan k ww
Asante kwa maoni yako,ingekuwa vizuri utueleze ukweli ili tunufaike wote.
😂😂😅💉🙌🏽mamaeeh
Wa tatu mm
Unaposema michepuko 200 unamaana alikua mzinifu?mambo mengine tunapata majanga ya kidunia kwa sababu yenu nyinyi .uliza wataalamu wa maandishi ya Mungu usiropoke ovyo ovyo brother,ninacho kuambia mtetezi wa kashfa kwa mitume watukufu wa MWENYEZIMUNGU no MWENYEZIMUNGU MWENYEWE shauli lako
Kiufupi hatupendi kusoma ndio maana hatujui mengi basi hata pale tunaposomewa pia tujifunze kusikiliza.!
Shida ...wengi wa hao wanaojidai kutusomea...ni waganga njaa tu...yaani wataongoza neno lolote... Alimradi wawafurahishe wasikiaji...na ata kama Biblia haifundishi ivyo.
Michepuko na minabi wapi na wapi?
Weye jamaa tafuta watu ambao hawajasoma ndo watakuamini
Kabix yan
Huo ndio ukafir na habr za uongo za kutungwa na mwanaadam ukiamin hivyo makaz yako ni jahanam tuu
Kumbe usharati ulianza toka zamani🙄kama hao wanawake 700 alikuwa anawalaa aje?😅😅
Kugusa na kusepa bila marudio
Umeamini kilichosomwa?😢😢😢
Ivi wewe ndo yule wa YIB
Suleiman was black.
Kwa uongonaongoza wakristo
Ww endelea Na iman zako za kuswali Na majin, alieran hayo majin atakuran pia
Hivi nyie waklisto mna nn kwa nn mnapotosha maandiko...Hv mtume wa M/Mungu anaweza kuwa na mchepuko ama kuzini.
Mtume ni mwanadamu kama wewe.
Kwel kama ww lakin hawez zini na ata kutaman kufanya hivo
Stop
@@BONGOFASTA Hapana mtume si kama mimi nina sababu nyingi za kukuambia hivi nitakupa walau mbili tu..kwanza mitume walikuwa wakipewa wahyi (ufunuo) kutoka kwa M/Mungu kupitia kwa malaika Jibriil kwa mujibu wa dini yetu ya kiislamu.Pili mitume walikuwa wakitenda miujiza kadha wa kadha niambie ww na mm yupi kati yetu walau mwenye hayo mambo mawili...Acheni kuwakashifu mitume mtapata laana hapa hapa duniani kabla ata ya siku ya mwisho.
@@miirajmohamed6352 na masuliya ni mke?
@assey ezio ujinga