SULEIMAN,mfalme aliekuwa na wake 700 na michepuko 300,mwisho wake unasikitisha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Copyright:Simulizi za Biblia Kenya.

Комментарии • 47

  • @obadiahmgina9112
    @obadiahmgina9112 4 года назад +10

    Na ndo wa kwanza kucomment bro✌✌

  • @johnmunajohnmuna5341
    @johnmunajohnmuna5341 4 года назад +1

    Nzuriii sana

  • @togetheranythingdf2212
    @togetheranythingdf2212 Год назад

    nice

  • @alphachale6461
    @alphachale6461 4 года назад +3

    Wa pili kucomment😃😃

    • @husnaomary2576
      @husnaomary2576 4 года назад

      Mmmmmh jaman ukweli anajuwa mungu peke yake

  • @jryoungsolderp4397
    @jryoungsolderp4397 4 года назад +1

    Iko sawa iiiii

  • @walterykomba2407
    @walterykomba2407 4 года назад

    Unaweza brooo

  • @linuslaurentlinus8874
    @linuslaurentlinus8874 3 года назад

    Kweli

  • @gloryjohn5861
    @gloryjohn5861 4 года назад +2

    Wa tano

  • @abelbest4984
    @abelbest4984 4 года назад +3

    Mbona mnakop na kupest kutoka simulizi za biblia?

    • @BONGOFASTA
      @BONGOFASTA  4 года назад

      Tumetoa credit hapo chini.

  • @mpendwacravery126
    @mpendwacravery126 3 года назад

    Unacho paswa kufanya ni kuondoa neno ili apo ...michepuko...ambalo umaanisha ma Hawara...simulizi yako haiwezi kumvutia mcha Mungu Sababu apa ni kama kumkashifu mtu ambaye kwa kweli akiheshimiwa sana na Mungu ktk siku zake...Suremani hakuwahi kuwa na hao mahawara au michepuko....yeye aliowaoa ni ma binti wafalme p na mabinti za watu wake wakiwemo masuria 300...Neno suria lilimaanisha....Binti aliyezaliwa na mtumwa wako...Halimaanishi mchepuko....kufasili hivyo maandiko ni kumkosesha mwana au binti wa Mungu! Na pia ni kuondoa Radha ktk simulizi yako.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 2 года назад

    ACHENI KUWASINGIZIA UOVU MANABII WA ALLAH
    SULEYMAN HAKUTENDA MADHAMBI HAYO!!
    HIZO NI HADITH ZA KIYAHUDI KUWATIA MADOA MANABII WATIIFU!!

  • @riffayahmad2021
    @riffayahmad2021 4 года назад +2

    MNAPOTOSHA WATU KWA SIMULIZI ZA UWONGO....

    • @dracopappi311
      @dracopappi311 4 года назад

      riffay ahmad 😅😂😂😅💉💉🙌🏽🙌🏽

    • @mpendwacravery126
      @mpendwacravery126 3 года назад

      Liganga njaa ilo...linakurupuka kwenye dhambi za kila namna...linakuja kuyapindisha maandiko apa....kinabii kipofu..liongo kibaya kabisa.

    • @geraldtarimo3210
      @geraldtarimo3210 Год назад

      Huundio ukweli,anapotosha wp?

  • @wilsonytz6730
    @wilsonytz6730 Год назад

    Harafu kuna mtu anakwambia et michepuko zambi😂😂😂

  • @jordanerneo4873
    @jordanerneo4873 4 года назад +1

    Jaaamaaaaaaaa acha uongo kumbe unadanganya xan k ww

    • @BONGOFASTA
      @BONGOFASTA  4 года назад +1

      Asante kwa maoni yako,ingekuwa vizuri utueleze ukweli ili tunufaike wote.

    • @dracopappi311
      @dracopappi311 4 года назад +1

      😂😂😅💉🙌🏽mamaeeh

  • @williamkilasi5485
    @williamkilasi5485 4 года назад +2

    Wa tatu mm

    • @adelinibrahim9283
      @adelinibrahim9283 4 года назад

      Unaposema michepuko 200 unamaana alikua mzinifu?mambo mengine tunapata majanga ya kidunia kwa sababu yenu nyinyi .uliza wataalamu wa maandishi ya Mungu usiropoke ovyo ovyo brother,ninacho kuambia mtetezi wa kashfa kwa mitume watukufu wa MWENYEZIMUNGU no MWENYEZIMUNGU MWENYEWE shauli lako

  • @mariarose7447
    @mariarose7447 4 года назад

    Kiufupi hatupendi kusoma ndio maana hatujui mengi basi hata pale tunaposomewa pia tujifunze kusikiliza.!

    • @mpendwacravery126
      @mpendwacravery126 3 года назад

      Shida ...wengi wa hao wanaojidai kutusomea...ni waganga njaa tu...yaani wataongoza neno lolote... Alimradi wawafurahishe wasikiaji...na ata kama Biblia haifundishi ivyo.

  • @ahmadothuman190
    @ahmadothuman190 4 года назад

    Michepuko na minabi wapi na wapi?

  • @seifsaid4734
    @seifsaid4734 4 года назад

    Weye jamaa tafuta watu ambao hawajasoma ndo watakuamini

  • @ferouzmdosse2343
    @ferouzmdosse2343 4 года назад

    Huo ndio ukafir na habr za uongo za kutungwa na mwanaadam ukiamin hivyo makaz yako ni jahanam tuu

  • @jefenggg3442
    @jefenggg3442 4 года назад

    Kumbe usharati ulianza toka zamani🙄kama hao wanawake 700 alikuwa anawalaa aje?😅😅

  • @mnyilungakawala7674
    @mnyilungakawala7674 4 года назад

    Ivi wewe ndo yule wa YIB

  • @bulayaconfidential7212
    @bulayaconfidential7212 2 года назад

    Suleiman was black.

  • @hamisjangala6759
    @hamisjangala6759 4 года назад

    Kwa uongonaongoza wakristo

    • @erickmislakuba237
      @erickmislakuba237 4 года назад +3

      Ww endelea Na iman zako za kuswali Na majin, alieran hayo majin atakuran pia

  • @miirajmohamed6352
    @miirajmohamed6352 4 года назад +2

    Hivi nyie waklisto mna nn kwa nn mnapotosha maandiko...Hv mtume wa M/Mungu anaweza kuwa na mchepuko ama kuzini.

    • @BONGOFASTA
      @BONGOFASTA  4 года назад +3

      Mtume ni mwanadamu kama wewe.

    • @mdude7227
      @mdude7227 4 года назад +1

      Kwel kama ww lakin hawez zini na ata kutaman kufanya hivo
      Stop

    • @miirajmohamed6352
      @miirajmohamed6352 4 года назад

      @@BONGOFASTA Hapana mtume si kama mimi nina sababu nyingi za kukuambia hivi nitakupa walau mbili tu..kwanza mitume walikuwa wakipewa wahyi (ufunuo) kutoka kwa M/Mungu kupitia kwa malaika Jibriil kwa mujibu wa dini yetu ya kiislamu.Pili mitume walikuwa wakitenda miujiza kadha wa kadha niambie ww na mm yupi kati yetu walau mwenye hayo mambo mawili...Acheni kuwakashifu mitume mtapata laana hapa hapa duniani kabla ata ya siku ya mwisho.

    • @lynmelvin2395
      @lynmelvin2395 4 года назад

      @@miirajmohamed6352 na masuliya ni mke?

    • @mdude7227
      @mdude7227 4 года назад

      @assey ezio ujinga