Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

KISA CHA MFALME DAUDI KUMPOKONYA MKE MWANAJESHI WAKE,NA KUMUOA YEYE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 фев 2020

Комментарии • 37

  • @barakambise181
    @barakambise181 11 месяцев назад +1

    Daaaah mungu kubwa

  • @donaldbathromew1991
    @donaldbathromew1991 3 года назад +1

    Daaah we ni htr

  • @sarahwanja9731
    @sarahwanja9731 3 года назад +3

    Ni verse gani imesema David alishirikiana na wafilisti kumuua saul?? David aliposikia saul amekufa alilia sana na akaombolezea saul wakiwa na wafuazi waake but kushilikiana na wafilisti apo ckumbaliani

  • @nassoronassoro5784
    @nassoronassoro5784 3 года назад +1

    Kumbe kwanye Bibilia ukiuwa kitu kikubwa Abacho uringani nacho unakua Nabii

  • @lufunyoluther1029
    @lufunyoluther1029 4 года назад +2

    Hakuna mahali Daudi alishirikiana na wafilist kufanya mpango wa kumuua Sauli!

  • @faithmapondo7370
    @faithmapondo7370 Год назад

    Jaman msitudanganye hv daud alshirkiana na daud kumuua mfalme sauli tunawategemea sana

  • @user-ur8ir5qz5z
    @user-ur8ir5qz5z 16 дней назад

    Iblis ndiye anae mpinga adam. Sasa mfalme daudi au mtume daudi. Km mtume daudi ni uwngo😂😂😂😂😂 ni fitina ya iblis. Km mfalme daudi 👍 👌 🙆‍♀️ 🆗️😂😂😂😂😂.

  • @pandumodric8834
    @pandumodric8834 4 года назад +1

    Ni hatr xaaaaan

  • @straightlinecenter8429
    @straightlinecenter8429 4 года назад

    Hii ipo sawa kabisa ulivyo simulià

  • @petermabura6151
    @petermabura6151 4 года назад

    Asanteni kwa habari hizi

  • @twahabashiri7758
    @twahabashiri7758 4 года назад +1

    mapenzi hayana mwenyewe

  • @chrislichiey2659
    @chrislichiey2659 4 года назад +3

    ,Ni wapi Saudi alifanya mpango na wafilisti kumwua sauli?

    • @abelmsemo2843
      @abelmsemo2843 4 года назад

      Muongo

    • @paulsamuel3976
      @paulsamuel3976 4 года назад

      Siyo kweli maana Sauli alitiwa mara pili mkononi mwa Daudi Akasema siwezi kutia mkono wangu kwa masihi na mpakwa mafuta wa pwana

  • @paulsamuel3976
    @paulsamuel3976 4 года назад

    Umemruka Abisalom

  • @sammotv6920
    @sammotv6920 4 года назад +3

    Tafuteni na upande wa waislamu ndo utajua kuna tofauti kubwa sana kati yenu na sisi waislamu

    • @charlesjmaliseli3515
      @charlesjmaliseli3515 4 года назад

      Sadam Hemedi mambo hayo ya dini ni magumu sana na ndiyo maana wenzetu weupe ususani wazungu na walaabu wamefanya kutuletea dini na kutujengea chuki muislamu amchukie mkrsto na mkrsto amuchkie mwsilam na tumepandkizwa chuki kwa itikadi zetu

    • @sammotv6920
      @sammotv6920 4 года назад

      @@charlesjmaliseli3515 dini zimeletwa lakin si zipo kweli kuleta kwao dini haimaanisha dini hazipo dini zipo na mungu yupo na wenyewe walileta cz ilikua ni njia mojawapo ya kusbaza dini duniani kwa sababu wwnyew tiyar ilikuwa ishawafikia ndo walikua watu wa kwanza kupokea dini ndo mana katk vitabu waislaer na waraabu wao ndo kwanza din ziliwafikia so ilikua ni lazima wasambaze na yesu aliwambia itangazeni injili ulimwenguni..

  • @dottomagembe1780
    @dottomagembe1780 4 года назад +1

    Mmm

  • @ashameyomar2321
    @ashameyomar2321 4 года назад

    Kumbe mambo yalianza kitambo

  • @miirajmohamed6352
    @miirajmohamed6352 4 года назад +2

    Jamani habari mnazozisimulia juu ya mtume wa Mungu Daudi zina ukweli...Jamani tazameni msijejitakia matatizo mbele za M/Mungu bora hadithi za kufikirika kuliko kuwasingizia uovu mitume wa Mungu na watu wema...yangu ni hayo tu

    • @tonyi6807
      @tonyi6807 4 года назад

      Uongo upi ulioutambua?

    • @miirajmohamed6352
      @miirajmohamed6352 4 года назад +1

      @@tonyi6807 First mtume wa Mungu hawezi kuzini lete andiko wp ktk kitabu cha Mungu Nabii Daud alizini

    • @SIMULIZIBIBLIA
      @SIMULIZIBIBLIA  4 года назад +2

      Unahitaji kusoma Biblia zaidi,ili kujua maandiko yameandika nini.

    • @seifhamad9817
      @seifhamad9817 4 года назад

      Kama hujui Soma bibilia utaona alipo Zini

    • @mussakihayile6337
      @mussakihayile6337 4 года назад

      @@miirajmohamed6352 bro hebu soma Bible bana usibishe ni ukwel kuhus ivo vitu

  • @abelmsemo2843
    @abelmsemo2843 4 года назад +1

    Kuna mapungufu mengi saana kwenye hii hadithi