KISA CHA MFALME SULEIMAN NA WAKE ZAKE 700 NA MAKAHABA 300

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 мар 2020

Комментарии • 67

  • @kwayaviwawaparokiayabashne9281
    @kwayaviwawaparokiayabashne9281 2 года назад +2

    Mungu awabariki sana kwawale wanao fanya kazi yake Mungu

  • @barakambise181
    @barakambise181 10 месяцев назад +1

    Amina

  • @charlesmashaur4487
    @charlesmashaur4487 4 года назад +4

    Anaesema uoungo labda kuna suleimani wawili tofauti!!!!

  • @geraldswai5492
    @geraldswai5492 4 года назад +1

    Amin

  • @madamanney
    @madamanney 4 года назад +1

    Amen

  • @shokajr9714
    @shokajr9714 4 года назад +2

    Nimependa ulivyopangilia hadith na beat. 👏🏽👏🏽

  • @ashiraf997
    @ashiraf997 Год назад +1

    saf

  • @arnoldvictor8763
    @arnoldvictor8763 3 года назад

    Concubine refers to a woman who lives with a man to whom she is not married. Although a concubine serves the functions of a legal wife, she does not enjoy any rights in a family or any spiritual comforts. ... A concubine is denied certain legal protections.

  • @manenoneno8243
    @manenoneno8243 4 года назад

    Amin unachoamini

  • @johnshedrackjansohn8984
    @johnshedrackjansohn8984 2 года назад

    Unatafta masilahi hii kazi haikufai faida utapata

  • @pascalkabombe1194
    @pascalkabombe1194 4 года назад

    Biblia imemtaja kahaba kwa jina la kahaba, lakini hakuna sehemu wale masuria wametafsiriwa kama makahaba

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 3 года назад +1

    Mal uun mkubwa, Suleiman n mcha Mungu, c mzinifu

  • @petrojohn8250
    @petrojohn8250 4 года назад

    Sijawahi kulipenda Jina Daudi

  • @ismailkaita8183
    @ismailkaita8183 3 года назад +1

    Kama unamkusudia mfalme nabii Suleiman na kumsingizia uzinifu subiri hukumu yako

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 года назад

    Nafata simulizi ambazo zimesibitishwa na adisi za mutume muhamadi naadisi zake sahihi mangine yote uongo mutupu MUTUME MUHAMADI S.A.W ndio anajuwa kweli wote wa historia za manabi

  • @arnoldvictor8763
    @arnoldvictor8763 3 года назад

    Ni KOSA, KOSA KUBWA kusema Sulemani alikuwa na "makahaba"! Walikuwa maauria (concubines) na sio harlots. Kahaba ni mwanamke anayelala na yeyote anayetokea, mara nyingi kwa ujira. Lakini suria ni mke asiye rasmi. Ndio maana hao 300 walijulikana. Haikuwa siri kwamba mwanaume wao alikuwa Suleimani.

  • @twilumbakabelege3426
    @twilumbakabelege3426 3 года назад

    Mmmh unamzungumzia suleimani yupiii???

  • @abuuasma3616
    @abuuasma3616 3 года назад +1

    Ndugu staili nyingine za kutafutia kiki msiwachafue manabii kwakuwaita wazinifu hiv ww mpagani nn shik adab unapo wataja mnabii

  • @arnoldvictor8763
    @arnoldvictor8763 3 года назад

    Nilimaanisha "MASURIA"

  • @salujuma6873
    @salujuma6873 4 года назад

    Hakuna nabii alie kua na kahaba wala hakuna nabii alie zini msidanganye watu

  • @mariammalilo7125
    @mariammalilo7125 3 года назад

    Kuweni wa islamu

  • @jaffarujudi3440
    @jaffarujudi3440 3 года назад

    Acha uhuni

  • @casmirialfred6135
    @casmirialfred6135 2 года назад

    Watoto wa mfalme suleiman

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 года назад

    Apo uongo tu wawaeungu ata bibilia sio kitabo ca mungu bali kunabahazi ya maneno yamungu ambayo hayajacafulia mengi watuwameandika watakavyo nasikweli subirini Allah atawahukumu stori za ongo wake kama mufalme hakuwaeulumu kunashida gani wewe muongo

  • @mtuwawatuhoyee6549
    @mtuwawatuhoyee6549 4 года назад

    Mosque na makanisa ya zamani ni illuminate.

    • @hanifaali9526
      @hanifaali9526 4 года назад

      A devil worshiper like you thinks negative about the he almighty God.

    • @mtuwawatuhoyee6549
      @mtuwawatuhoyee6549 4 года назад

      @@hanifaali9526 so sorry to be one of them.

    • @hanifaali9526
      @hanifaali9526 4 года назад

      @@mtuwawatuhoyee6549 go to where you belong, and deceive those who will agree to fall in your stupid acts.

    • @mtuwawatuhoyee6549
      @mtuwawatuhoyee6549 4 года назад

      @@hanifaali9526 truth pain but be a man.

  • @paulkichele8165
    @paulkichele8165 3 года назад

    Suleiman alizaliwa na nan?

  • @mabrukjuma3878
    @mabrukjuma3878 2 года назад

    Wewe zungumzia vyongozu waupuzi walioko duniani hawa BT sio manabii unakosa adabu kwamungu kila nabii mungu ndio humfungisha ndoa

  • @ldyialemah5244
    @ldyialemah5244 4 года назад

    Makahaba ndivy ilivyoandikwa kwenye biblia???

    • @hanifaali9526
      @hanifaali9526 4 года назад

      Bibilia inakasoro nyingi.

    • @kindolek9257
      @kindolek9257 4 года назад

      Kahaba, suria Kwa lugha tulioziea "hawala"

  • @mabrukjuma3878
    @mabrukjuma3878 2 года назад

    Tubu wewe kwaupuzi huu hakuna mtume wamungu aweza kuoa kahaba manabii wote niwasafi ,fata wachambuzi wamasomo yadini wakuelimishe lasivyo utajuta

  • @hamisjangala6759
    @hamisjangala6759 4 года назад +1

    Wakristo n waongo

    • @macksokaempire5233
      @macksokaempire5233 4 года назад +1

      Unakosea kila mmoja na imani yake na njia yake pia

    • @hamisjangala6759
      @hamisjangala6759 4 года назад

      Hayo umeyatoa wap kama s uongo

    • @manenoagrey1090
      @manenoagrey1090 4 года назад

      @@hamisjangala6759 Biblia takatifu

    • @mbcgrams5415
      @mbcgrams5415 4 года назад

      @@hamisjangala6759 yote yameandikwa kwenye Biblia

    • @Mrdigital.
      @Mrdigital. 4 года назад

      Don't judge the religion cause those you judge trust God

  • @ameali1251
    @ameali1251 4 года назад

    Lanatullah uongo mtupu . Suleman hakukufuru tena ni mcha Mungu .

  • @maspro6294
    @maspro6294 3 года назад

    Hizi hadthi zako za biblia ni kutunga tuu uongo mtupu

  • @manenochales6954
    @manenochales6954 4 года назад

    Huyu anaongea uongo

  • @georgekinyanjuinjeri9996
    @georgekinyanjuinjeri9996 4 года назад +1

    This nothing new it all written in the Bible

  • @fadhilisaidi685
    @fadhilisaidi685 4 года назад

    Acha uwongo unapotosha watu

    • @paschalkadama7327
      @paschalkadama7327 3 года назад

      Acha kuchafua biblia hakuna sehemu iliyoandikwa ni dhambi kuwa na mke zaidi ya mmoja

    • @ilkayexquisite7592
      @ilkayexquisite7592 3 года назад

      @@paschalkadama7327 Tafadhali kama hujui usiseme hamna soma biblia yako. Kumbukumbu la Torati 17:17 na 1 Timotheo 3:2

  • @charleswarioba4071
    @charleswarioba4071 4 года назад +1

    Unaongea Kama unagundii mdomoni

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 3 года назад

    Amen