Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Kisa cha MUNGU kumruhusu SHETANI ampe MATESO Ayubu mtumishi wake.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 янв 2020

Комментарии • 59

  • @sabrinahabed4265
    @sabrinahabed4265 4 года назад +19

    Ee MUNGU nijalie moyo kama wa AYUBU nisikutend zambi👐

  • @timotheojumal894
    @timotheojumal894 4 года назад +4

    Asanteni sana kwa simulizi hizi maana tunapata matumaini na imani yetu ndan ya nafsi zetu inakuwa kubwa zaid

  • @ezekielsangari9675
    @ezekielsangari9675 4 года назад +7

    Barikiwa sana mtu wa mungu.. Nimependa unavyo tusogeza mbele za mungu

  • @irenealexander4545
    @irenealexander4545 4 года назад +10

    Ee mwenyezi mungu nipe moyo wa hekima

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika Год назад +2

    IMANI TIMILIFU NA KUMWAMINI MUNGU MKUU NI USHINDI MKUU. AMEN.

  • @gullaalex6590
    @gullaalex6590 4 года назад +5

    Hakin Iman yangu izid kumtafuta mungu

  • @edisonkashaija4067
    @edisonkashaija4067 4 месяца назад +1

    kweli mungu unajua na ukileta mitihani migumu ivo ivo unayo njia ya kutolea mitihan hiyo😢

  • @magreatsomba6819
    @magreatsomba6819 4 года назад +4

    I LOVED IT SO MUCH THAN HOW YOU THINK👍😍

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi4882 4 года назад +1

    Kazi nzuri sana, ahsante.

  • @lokendolokendo3804
    @lokendolokendo3804 4 года назад +3

    Ubarikiwe sana

  • @suzancharles3530
    @suzancharles3530 4 года назад +1

    Asante tunaamini kupitia maandiko ya mungu

  • @johnsonjuma112
    @johnsonjuma112 4 года назад +10

    Asante kwa masomo mazuri ,tunabarikiwa sana kwayo #nenoelimutv naomba utizame na unipe maoni katika comment zangu

  • @musangamfuracelestin6629
    @musangamfuracelestin6629 3 месяца назад

    Iyo umu kirisito cyangwa umuntu yizera uko abana ni Imana, ibiba byose arabyacyira. Uho muntu ashobora kujyira kwihangana kuko we abona byinshi mbere yuko biba cyimwe kucyindi. Abyacyira mbere kandi agashobozwa byose no kwizera Imana. Kuko uwo muntu abana nayo. 4:17

  • @citybahraindteam4168
    @citybahraindteam4168 4 года назад +1

    I always love this story of Ayub

  • @ceomeja670
    @ceomeja670 4 года назад +5

    Napenda si mlizi zako kutoka marecan!!

  • @veronicaboniventura5058
    @veronicaboniventura5058 3 года назад +1

    Barikiwa sana

  • @zaharajuma5019
    @zaharajuma5019 4 года назад +2

    Thank you

  • @farihiamass8739
    @farihiamass8739 4 года назад +4

    Nataman siku moja nijue aliyeandika biblia alisikiaje mazungumzo ya Mungu na shetani huko mbinguni

    • @queennoah1251
      @queennoah1251 4 года назад

      Biblia haiandikw kam kitabu cha hadith

    • @yesunialamayakiama.9013
      @yesunialamayakiama.9013 4 года назад +2

      @@queennoah1251 Mwambie akitaka kujua awe Mkristo, aje tumfundishe ❤.

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 года назад +2

      Zaburi torat injili ndo ikaitwa bible so ktk ivi vitabu kuna mitume yotee ya Mungu na aliongea nao kwa wkt wao soma uelewe....sote tumezaliwa na kuikuta na wanatafsri tuu kwa lugha tofauti

    • @yesunialamayakiama.9013
      @yesunialamayakiama.9013 4 года назад

      @@euniceeunice7680 Waislamu huwa wanafikiri biblia imeandikwa na mtu mmoja. Ndiyo maana anasema eti anatamani kumjua aliyeandika biblia.

    • @queennoah1251
      @queennoah1251 4 года назад

      @@yesunialamayakiama.9013 xio kweli hawaamin hivy jifunze kuhusu wao na uach kuwaatack ndugu xio jamb zuri

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 3 года назад +1

    Amen

  • @queenkashindi8879
    @queenkashindi8879 4 года назад +1

    This is good movie

  • @elishakamendu2183
    @elishakamendu2183 3 года назад +1

    Hao wana wa Mungu waliojihudhurisha mbele za Bwana ni wap

  • @user-pq9be8re6i
    @user-pq9be8re6i 5 месяцев назад

    Eee mungu wa mbinguni nipe moyo kama wa Ayubu

  • @charleszmgonde753
    @charleszmgonde753 Год назад

    Hakika ayubu alikuwa mkamilifu sana

  • @annastaziavenance1735
    @annastaziavenance1735 4 года назад +2

    Woooow

  • @dianachogogwe2956
    @dianachogogwe2956 3 года назад +2

    MUNGU WANGU NA BWANA WANGU TUNAOMBA HURUMA YAKO NA UPENDO WAKO KATIKA MASIHA YETU.

  • @judynabwire706
    @judynabwire706 4 года назад +1

    I like the movie

  • @fadhilileonardmariki5962
    @fadhilileonardmariki5962 4 года назад +7

    God is Awesome.

  • @stevenhassan269
    @stevenhassan269 Год назад

    Unaongea haraka haraka unakimbilia nini jifunze kwa wenzio

  • @victoria.sabato6021
    @victoria.sabato6021 3 года назад +1

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @severinaseverinanyoni707
    @severinaseverinanyoni707 3 года назад

    Ivi mungu kwann simuerew shetani km wanakutana ivyo jmn

    • @ismailjohn8444
      @ismailjohn8444 3 года назад

      Amen nashukuru nabarikiwa sana nasimulizi nzuri mungu awabariki sana amen

    • @Ibrah287
      @Ibrah287 3 года назад

      Hata kama wanakutana adhabu ya shetani iko pale pale tu! Pia shetani yupo ili kupima imani za watu wanaomuamini Mwenyezi Mungu kinafiki...

  • @shaabansoma7661
    @shaabansoma7661 4 года назад

    Imekaa njema Sana

  • @highthemetv7857
    @highthemetv7857 3 года назад +1

    ruclips.net/video/vUHJ5D9TJus/видео.html
    👆👆👆👆👆👆
    Lifahamu Kabila la DANI Kabila katili 😭ambalo ukifiwa unakatwa vidole kisha vinazikwa 😭

  • @amedeusmodestikimey9888
    @amedeusmodestikimey9888 4 года назад +1

    Wazazi wa Ayubu wanaitwajee ukipata jibu nitafute 0747072447

    • @kabuletepierre7506
      @kabuletepierre7506 4 года назад

      Amedeus Modesti Kimey . Mimi ni mkongo wa DRC . Nilijaribu kuuliza wanatheologia kazaa hawakupata wazazi wa Ayubu lakini wanahisi kwamba Ayubu ni Mharabu.

  • @yesunialamayakiama.9013
    @yesunialamayakiama.9013 4 года назад +4

    Mbona waislam hawacomment chochote kwa wingi? Maana huwa wanasema wanakubali torati, zaburi na Injili na quran inaitambua biblia, sijui kwanini hawacomment??😂

    • @scobarleeboss4558
      @scobarleeboss4558 4 года назад

      YESU NI ALAMA YA KIAMA. Acha ufala ww nyie ndie wachochez wa dini maviiiiiiiiii ww comments kinacho kuhusu sio kuingiza udini kwa mtandao fala ww

    • @scobarleeboss4558
      @scobarleeboss4558 4 года назад

      YESU NI ALAMA YA KIAMA. Mavi ww

    • @yesunialamayakiama.9013
      @yesunialamayakiama.9013 4 года назад

      @@scobarleeboss4558 mavi ww, ukiondoa ww ukaweka mm ni sawa tu. Kwahiyo hakuna maana kutukana mwenzako ila jibu kwa busara. Huoni ukimtukana asiyekutukana ni sawa na kichaa anayewatukana wasiokuwa kichaa? Ila najua kinachokuforce utukane hivyo hunipi shida. Au siyo ndugu wa majini 😂

    • @scobarleeboss4558
      @scobarleeboss4558 4 года назад +1

      Katika maisha jifunze kutoa mawazo ya kuelimisha sio kuchochea Na jifunze kuwa mwalimu na sio mpotoshaji

    • @queennoah1251
      @queennoah1251 4 года назад

      @@scobarleeboss4558 fact

  • @nikitalucas2323
    @nikitalucas2323 3 года назад +1

    Ubarikiwe sana

  • @bramwelrobert970
    @bramwelrobert970 2 года назад +1

    Amen