Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Hakuna mtu aliyekuwa na roho ngumu kama ya huyu farao wa Misri. Lkn nadhani umeona jinsi Mungu alivyo na nguvu. Tumtumikie Mungu kwa roho na kweli kwasababu ni mwaminifu kwetu sisi wana wake. Amen.
Alijisahau kuwa nae aliumbwa na mungu tuache kiburi mbele za bwana
Amen
Farao alivuka mipaka sanaa! Lakini Mungu alimwonyesha kua yeye ndo ana nguvu zisikuepo kwa kiumbe yeyote..
Amina
Ndo ayo tunayopat saiz, tumrudie mungu maan yumemchukiza sana, amin
❤Hili ndilo neno labwa jina la bwna lihimidiw
Amen mungu akuzindishie kwakutowaneno nizuri
Lokendo Lokendo Hata dunia ya Leo wenye roho za farao wapo ni mafundisho binadamu atambue Mungu yupo Rabi tuepushe na mitihani hii mizito
safiiii! kwa neno
Sio kwa ugumu huo wa moyo daaah,farao kiboko
Acheni Mungu aitwe Mungu 🙏
Mungu ni mkuuHv wanaodislike video hii nao ni wakina farao au
Si visasiri tu ivooo
Hakuna awezaye kushindana na Mungu
Kweli farao alikuwa na roho ngumu sana
Kumbe NDO maana tuna mioyo migumu kumbe ni UZAO was farao eemungu tupe MWISHO mwema
Jamani farao na mapigo yooote ila bada tu karoho kake bado kagumu
nzuri sana
Mungu ni mungu 2
Amina Sana .
Amina 🙏🙏
Mungu ni mungu tu
Mungu atabakikuwa mungu tu
Kumbe uyo farao alikua kabishi hivyo looooh alikua anamjaribu Mungu sana aise
Habali mwenye hii channel naomba anitafute whatsap number 0745096845
Point of collection Aaron si yeye alikua na fimbo ni musa
haka kafarao kakorofi
Nomakweli
Aiseeee alkua balaa
men
Je ni halali mwananchi kuchangishwa hela ya mwenge?
God is powerful
Sikutaka kucoment falao nimgumu jaman utakuta MTU unampa mtoto ilojina Lisa liko kwenye biblia bola umpe umbarut
😂😂😂😂😂😂
Sauti yako aina mashiko
Hakuna mtu aliyekuwa na roho ngumu kama ya huyu farao wa Misri. Lkn nadhani umeona jinsi Mungu alivyo na nguvu. Tumtumikie Mungu kwa roho na kweli kwasababu ni mwaminifu kwetu sisi wana wake. Amen.
Alijisahau kuwa nae aliumbwa na mungu tuache kiburi mbele za bwana
Amen
Farao alivuka mipaka sanaa! Lakini Mungu alimwonyesha kua yeye ndo ana nguvu zisikuepo kwa kiumbe yeyote..
Amina
Ndo ayo tunayopat saiz, tumrudie mungu maan yumemchukiza sana, amin
❤
Hili ndilo neno labwa jina la bwna lihimidiw
Amen mungu akuzindishie kwakutowaneno nizuri
Lokendo Lokendo Hata dunia ya Leo wenye roho za farao wapo ni mafundisho binadamu atambue Mungu yupo Rabi tuepushe na mitihani hii mizito
safiiii! kwa neno
Sio kwa ugumu huo wa moyo daaah,farao kiboko
Amen
Acheni Mungu aitwe
Mungu 🙏
Mungu ni mkuu
Hv wanaodislike video hii nao ni wakina farao au
Si visasiri tu ivooo
Hakuna awezaye kushindana na Mungu
Kweli farao alikuwa na roho ngumu sana
Kumbe NDO maana tuna mioyo migumu kumbe ni UZAO was farao eemungu tupe MWISHO mwema
Jamani farao na mapigo yooote ila bada tu karoho kake bado kagumu
nzuri sana
Mungu ni mungu 2
Amina Sana .
Amina 🙏🙏
Mungu ni mungu tu
Mungu atabakikuwa mungu tu
Kumbe uyo farao alikua kabishi hivyo looooh alikua anamjaribu Mungu sana aise
Habali mwenye hii channel naomba anitafute whatsap number 0745096845
Point of collection Aaron si yeye alikua na fimbo ni musa
haka kafarao kakorofi
Nomakweli
Aiseeee alkua balaa
Amen
men
Je ni halali mwananchi kuchangishwa hela ya mwenge?
God is powerful
Sikutaka kucoment falao nimgumu jaman utakuta MTU unampa mtoto ilojina Lisa liko kwenye biblia bola umpe umbarut
😂😂😂😂😂😂
Sauti yako aina mashiko
Amen
Amen