HISTORIA YA NABII ADAM SEHEMU YA 1/2 Animation

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Histotia hizi zina lenga kuelimisha vijana wetu wanao chipukia kujua Hidtoria za mitume wao wema na historia byengine zenye mazingatio. Aidha zimepitiwa kwa uangalifu mkubwa katika kuhakikisha kila maelezo yanatokana na dalili. Tuna omba Subscribe, ushare u like na kucoment ili tuweze kupata taaraifa ili kuqeza kuendeleza video kama hizi.

Комментарии • 29

  • @Balaka-b6l
    @Balaka-b6l 6 дней назад +2

    Nikweli walikuwepo kabla

  • @djoe8266
    @djoe8266 22 дня назад +2

    Naomba kujua kama majini waliishi duniani kabla ya kuubwa kwa adam naona kama kuna hadithi mbili tofauti moja ilivyo ubwa dunia hadi siku ya kuubwa adam inaonyesha ndani ya juma moja vilifanyika hivo vitu sasa majini waliishi dunia ip

    • @historiazakweli
      @historiazakweli  17 дней назад

      @@djoe8266 Majini walitangulia Kuishi Duniani. Baada ya kuaswi na kufanya ufisadi wakatolewa dalili ni aya ya Quran
      أتجعل فيها من يفسد فيها ويسفك الدماء ونحن نسبح بحمدك ونقدس لك.
      Maana. Je mola wetu unataka kuleta katika Ardhi viumbe ambavyo watakuja kufanya ufisadi na kumwaga damu na sisi tuna utukuza utajo wako. Maana yake Walisha kuja viumbe waka mwaga damu kabla ya wanadamu ambao ni majini.

  • @nurumasha
    @nurumasha 19 дней назад +1

    Yani ktk watu hawajielewi ni wakristo ndo mana mnapelekeshwa na mapastor wenu kwa kukosa maarifa

    • @historiazakweli
      @historiazakweli  17 дней назад +1

      @@nurumasha Ni kweli ndugu yangu ila tuna majukumu mimi na wewe kama waisilamu kuwa elekeza Ndugu zetu In shaa Allah.

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 Месяц назад +2

    Adam alikua Nabii lini ? Na huo unabii alipewa na Nani? Na toka lini Nabii anafanya zambi hizi akili za kimsikitisikiti sijui mnazitoa wapi

    • @danteanton8411
      @danteanton8411 Месяц назад

      ????????🙄🤔🤔

    • @historiazakweli
      @historiazakweli  Месяц назад

      Adam. Alikuwa Nabii alipo shushwa ulimwenguni akawa ndio mtume/Nabii kwa watoto wake na kizazi chake hadi pale alipo kufa.

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 Месяц назад

      @@historiazakweli unaelewa maana ya nabii au mtume? Au unaongea Ty huo unabii alimfanyia Nani ? Na huo utume aliufanya Kwa kina Nani? Naomba jibu

    • @historiazakweli
      @historiazakweli  Месяц назад +2

      Asante kwa kujibu. Utume alipewa na Mungu baada ya kushushwa Duniani. Na yeye akawa mtume wa kwanza kwa umma alio kuwa akiishi nao kwa wakati wake ni watoto wake na kizazi chake. Adam alipata muongozo wa kiroho kutoka kwa muumba wake (Mungu) Baadae walifwatie Mitume wengine akiwemo Nuhu na Musa (Moses) @@francisjoseph1074

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 Месяц назад

      @@historiazakweli Nani alikwambia kua Nuhu alikua mtume andiko gani au Mussa ? Nipe ushahidi wa kimaandiko , Enzi ya mitume , ni Agano jipya wala hakuna Nabii huko

  • @alexapolinaly4755
    @alexapolinaly4755 22 дня назад

    Huuu niuongo uongo mtupu

    • @historiazakweli
      @historiazakweli  17 дней назад +1

      @@alexapolinaly4755 Huu ni ukweli. Ndugu yangu Historia ya Adamu kwa wakristo na waidilamu haina tafauti dana labda kidogo mno.

    • @user-rh7un2mh1q
      @user-rh7un2mh1q День назад

      @@alexapolinaly4755 ukweli UPI!?