Neno la Mungu | “Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe II” Sehemu ya Tano

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 фев 2019
  • Iliyopendekezwa:
    Maneno ya Mungu ya Kila Siku: Kuingia Katika Uzima
    • Maneno ya Mungu ya Kil...
    Filamu za Injili
    • Filamu za Injili
    Ushuhuda wa Maisha ya Kanisa
    • Ushuhuda wa Maisha ya ...

Комментарии • 77

  • @user-xd3io4bf3f
    @user-xd3io4bf3f 5 месяцев назад

    Amen Amen 🙏

  • @atienomaurine8854
    @atienomaurine8854 9 месяцев назад

    Amina, naomba Mwenyewe Mungu anipe imani kama ya Ayubu 🙏🙏

  • @justinlungunya8959
    @justinlungunya8959 Год назад +1

    Najiisi kufarijika kupitiya ukweli huu, Hata nipite katika ziki na mateso mengi tunayoyapitiya kwa sasa, naomba unichiye ngu eh mwenyezi Mungu...

  • @sophiamlote4424
    @sophiamlote4424 3 года назад +3

    Ee Nafsi yangu na vyote vilivyomo ndani yangu vikuhimidi Mungu wangu katika Jina la Yesu🙏

  • @yoelimchome5879
    @yoelimchome5879 3 года назад +2

    Hadithi hii imensogeza hatua moja mbele kiiman kwa msaada wa mungu tunashinda majaribu

  • @janethpascal5562
    @janethpascal5562 3 года назад

    Asante kwa mafundisho mazur

  • @fredrickfuraha3081
    @fredrickfuraha3081 3 года назад +9

    Jina la bwana lihimidiwe milele na milele 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @justinlungunya8959
    @justinlungunya8959 Год назад

    Asante

  • @sandeligate388
    @sandeligate388 3 года назад +2

    Mungu atupe imani kama ya Ayubu

  • @youngothmany4665
    @youngothmany4665 3 года назад +1

    Yote na vyote vitapita,lkn neno la Mungu halitapita kamwe.bali litaishi milele na milele amina.ubarikiwe mtumishi wa Mungu.

  • @elizabethmisoka4340
    @elizabethmisoka4340 3 года назад +2

    Mungu kwa kweli wewe ni mungu Jina lako litaendelea kusifiwa milele na milele amina 🙏🏾

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 3 года назад +1

    Asante kwa mafundisho kupitia mtumishi wa Mungu Ayubu.Atukuzwe Mungu milele

  • @sabathdaychannel2985
    @sabathdaychannel2985 3 года назад +8

    Eee Mwenyezi Mungu naomba unipe Imani Kama ya Ayubu niende katika ya haki

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 3 года назад

      Mungu afanyiwe wepes japo sio kilahisi kwa Dunia yasasa nisamehe kama nimekwaza 😁

  • @masatuadolfu8691
    @masatuadolfu8691 3 года назад +1

    amina

  • @lemonlifes8515
    @lemonlifes8515 3 года назад +2

    Nashukuru kwa maubiri. Jina la Baba wetu Mungu libarikiwe kupitia jina la mwana wake Yesu Kristo

  • @dorcasseruhere6875
    @dorcasseruhere6875 3 года назад +1

    Mwenyezi Mungu atuepushe Na misiba kwajinatla Yesu Zab 118:17.18 sitkufa mpaka niyashudie matendoymakuu ya bwana. nimekuumiza Sana lakini sikukuacha ufe. Mwenyewezi Mungu epusha vifo kwa Tanzania yetu Amen Mungu anajua maisha yetu tusijisumbue kwa jambo lolote

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 года назад

    Mungu anitakase na kwaneema kuwa na lmani ya Ayubu

  • @jopumunga4699
    @jopumunga4699 3 года назад +3

    Tujifunze kumtafuta Mungu tukiwa bado tunamda

  • @lovelytwins9159
    @lovelytwins9159 3 года назад +4

    Ewe mola wangu kaa ndani yangu nami ndani yako. Niepushe na dhambi nikutumainie wewe pekee maana bila wewe sitaweza chochote. Ninusuru na dhambi.

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 3 года назад +1

    Nampenda sana MUNGU kila nisomapo au kusikia hadithi za watumishi wake naona ajabu sana na hekima za juu sana

  • @kakulesaasitapatrick4856
    @kakulesaasitapatrick4856 3 года назад

    Mungu niokowe

  • @kazimirially9808
    @kazimirially9808 3 года назад

    Amina

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 года назад

    Mungu unirehemu na kuniondolea maovu yote, namagonjwa yote

  • @godfreymalo932
    @godfreymalo932 3 года назад +1

    Mungu tusaidie tuwe mfano
    Wa ayubu ili mpenzi yako yatendeke juu yetu

  • @adammjomba7112
    @adammjomba7112 3 года назад

    Ameen Bwana wa majeshi Tumche mola atupiganie na shetani tukaze mwendo sana bila kuchoka

  • @butondojoseph6998
    @butondojoseph6998 3 года назад

    Ee mungu nirehemu

  • @adammjomba7112
    @adammjomba7112 3 года назад

    Amen

  • @eliassamson617
    @eliassamson617 3 года назад

    Hakika Mungu ni mweza wa yote..

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 3 года назад +4

    Asante kwa kutuletea simulizi

  • @marcusmsigwa8942
    @marcusmsigwa8942 3 года назад

    Nimeipenda tubadilike

  • @edwardshio4840
    @edwardshio4840 5 лет назад +6

    Asante sana kwa mafundisho

    • @gracelee8738
      @gracelee8738 5 лет назад +3

      Hujambo, rafiki mpendwa, mimi ni Mkristo wa Kanisa la Mwenyezi Mungu, ninafurahia kukutana nawe!
      Ikiwa ungependa kujua zaidi, tafadhali usisite kuwasiliana na mimi na tunaweza kuwa na mjadala zaidi pamoja!⬇️Ubarikiwe!
      youtu.be/addme/cgN9zEYJtwoVuwjn8PmkIiZmJt0HtQ

    • @adammwaihojo1671
      @adammwaihojo1671 3 года назад

      Napenda Sana elimu hii ya MUNGU.

    • @kanisalamwenyezimungu
      @kanisalamwenyezimungu  3 года назад +1

      Hello, Adam Mwaihojo! Seen from your comment, you are a person who likes to listen to God’s words. I would like to recommend you watch this list of Daily Words of God: ruclips.net/p/PLGDyAm4Ie4Hw7KaxLCGxgZ-k8XVV-0o-Y
      These are the words that God expresses in the last days, which can help you understand God and His work and bring you closer to God. If there are any questions, feel free to join our group and we will answer you in time.
      WhatsApp: api.whatsapp.com/send?phone=+254-700-427-192

  • @erickpasence5837
    @erickpasence5837 3 года назад

    mungu ni mwema kila wakati....asante kwa neno zuri lenye kulenga kuokoa roho zetu

  • @huldermsuya7904
    @huldermsuya7904 3 года назад

    Ahsante kwa mafundisho

  • @epiphaniapatrice7289
    @epiphaniapatrice7289 3 года назад

    Kweli tupewe imani kama ayubu

  • @kambonasanga8264
    @kambonasanga8264 3 года назад

    Bwana Ni Bwana milele Amina

  • @epiphaniapatrice7289
    @epiphaniapatrice7289 3 года назад

    Ni kweli

  • @jamesmungereza6893
    @jamesmungereza6893 3 года назад

    Asante na Mungu awabarki sna

  • @beatricemanyamba770
    @beatricemanyamba770 3 года назад

    Jina la bwana libalikiwe milele na milele

  • @msafirikandonga1105
    @msafirikandonga1105 3 года назад

    Thanks

  • @Jodrey1
    @Jodrey1 4 года назад +2

    Asante sana kwa neno

  • @vaambamusic7065
    @vaambamusic7065 3 года назад

    nzur sana

  • @ayubuleskarkorosmolel3563
    @ayubuleskarkorosmolel3563 3 года назад

    Ayubu

  • @victoriousblessedmom4343
    @victoriousblessedmom4343 3 года назад

    Amen 🙏

  • @sikujuahassan3983
    @sikujuahassan3983 3 года назад

    Mungu nisaidie mdhambi Mimi, niweze kukupendeza.😭🙇

  • @danielamos8460
    @danielamos8460 4 года назад +1

    Asnte kwa neno

  • @54plus41
    @54plus41 3 года назад

    Be blessed bro

  • @irenejecinta6104
    @irenejecinta6104 3 года назад

    Nimefurai somo,,, Asante

  • @josserunyei9681
    @josserunyei9681 3 года назад

    Asante sana ukamilifu wa ayub

    • @kanisalamwenyezimungu
      @kanisalamwenyezimungu  3 года назад +1

      Halo Josse Runyei , asante kwa maoni yako.
      Kama ungetaka kujua zaidi, tunawakaribisha kutembelea tovuti yetu.
      sw.godfootsteps.org/gods-work-gods-disposition-and-god-himself-ii.html#sw=Hebu%20tuone%20kama%20Ayubu%20alimtosheleza%20Mungu%20na%20kupendwa%20na%20Mungu.

    • @josserunyei9681
      @josserunyei9681 3 года назад

      @@kanisalamwenyezimungu asante sana

  • @mosesarchevec8404
    @mosesarchevec8404 4 года назад

    Asante sana.

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli2661 3 года назад

    Ila kwa Dunia hi sina uhakika, kumbe karne ya ngapi hi, naile karne Yakima ayubu ilikuwa karne ya ngapi

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 3 года назад +1

    Watoto walifariki wote wakati wa jaribu. Lak8ni baadaye aliwapata wengine kama sikosei. Maana tunaambiwa aliposhinda jaribu alirudishiwa mara dufu.

  • @irenejoseph5925
    @irenejoseph5925 3 года назад +1

    😍😍😍

  • @allymamlo252
    @allymamlo252 3 года назад

    Utamanyile

  • @ericmusyoka4511
    @ericmusyoka4511 4 года назад +2

    Asante sana yangu ni swali ni vyema kutoa zaka ya kuteketeza?

  • @esterpaul7697
    @esterpaul7697 3 года назад +1

    Nani kama ayubu

  • @desirechibichabene1096
    @desirechibichabene1096 3 года назад +2

    Ast nina.swali.kisha.jaribuyo.ya Ayubu Mucha mungu.alipewa watoto .gapi.tena?

    • @kabuletepierre7506
      @kabuletepierre7506 3 года назад

      Ukisoma kitabu cha Ayubu sura ya 42 mustari wa 12 mpaka 17 yaani Job 42: 12-17. Kisha kujaribiwa Ayubu alizaa vijana 7 wasichana 3 Jemimah, Keziah na Karen-Happuch. Ayubu ni Mharabu . Ibrahim alikuwa Mkaldayo baadaye alibadirika na kuwa myahudi.

  • @elizabethmisoka4340
    @elizabethmisoka4340 3 года назад

    Nina swali ni vibaya kutembea na mtenda dhambi?

  • @adammwaihojo1671
    @adammwaihojo1671 3 года назад

    Nani kama ayubu??

    • @kanisalamwenyezimungu
      @kanisalamwenyezimungu  3 года назад +1

      Hello, Adam Mwaihojo! Siku hizi kuna watu wachache sana wanaoogopa Mungu na kuepuka maovu kama Ayubu. Pointi nzuri kutoka kwa matendo ya Ayubu ndio tuweze kufuata mfano wake kuwa mtu anaye mwogopa Mungu na kuepuka maovu.

    • @adammwaihojo1671
      @adammwaihojo1671 3 года назад

      @@kanisalamwenyezimungu barikiwa Sana Kanisa la Mungu nataman kuabudu nanyi.

    • @alinepascalin8777
      @alinepascalin8777 3 года назад

      Niajabu kabisa

  • @pascalmgina
    @pascalmgina 3 года назад

    Amina

  • @mosesmoses1429
    @mosesmoses1429 3 года назад

    Asante