Neno la Mungu | “Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe II” Sehemu ya Tano
HTML-код
- Опубликовано: 21 фев 2019
- Iliyopendekezwa:
Maneno ya Mungu ya Kila Siku: Kuingia Katika Uzima
• Maneno ya Mungu ya Kil...
Filamu za Injili
• Filamu za Injili
Ushuhuda wa Maisha ya Kanisa
• Ushuhuda wa Maisha ya ...
Amen Amen 🙏
Amina, naomba Mwenyewe Mungu anipe imani kama ya Ayubu 🙏🙏
Najiisi kufarijika kupitiya ukweli huu, Hata nipite katika ziki na mateso mengi tunayoyapitiya kwa sasa, naomba unichiye ngu eh mwenyezi Mungu...
Ee Nafsi yangu na vyote vilivyomo ndani yangu vikuhimidi Mungu wangu katika Jina la Yesu🙏
Hadithi hii imensogeza hatua moja mbele kiiman kwa msaada wa mungu tunashinda majaribu
Asante kwa mafundisho mazur
Jina la bwana lihimidiwe milele na milele 🙏🙏🙏🙏🙏
Asante
Mungu atupe imani kama ya Ayubu
Yote na vyote vitapita,lkn neno la Mungu halitapita kamwe.bali litaishi milele na milele amina.ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
Mungu kwa kweli wewe ni mungu Jina lako litaendelea kusifiwa milele na milele amina 🙏🏾
Asante kwa mafundisho kupitia mtumishi wa Mungu Ayubu.Atukuzwe Mungu milele
Eee Mwenyezi Mungu naomba unipe Imani Kama ya Ayubu niende katika ya haki
Mungu afanyiwe wepes japo sio kilahisi kwa Dunia yasasa nisamehe kama nimekwaza 😁
amina
Nashukuru kwa maubiri. Jina la Baba wetu Mungu libarikiwe kupitia jina la mwana wake Yesu Kristo
Mwenyezi Mungu atuepushe Na misiba kwajinatla Yesu Zab 118:17.18 sitkufa mpaka niyashudie matendoymakuu ya bwana. nimekuumiza Sana lakini sikukuacha ufe. Mwenyewezi Mungu epusha vifo kwa Tanzania yetu Amen Mungu anajua maisha yetu tusijisumbue kwa jambo lolote
Mungu anitakase na kwaneema kuwa na lmani ya Ayubu
Tujifunze kumtafuta Mungu tukiwa bado tunamda
Ewe mola wangu kaa ndani yangu nami ndani yako. Niepushe na dhambi nikutumainie wewe pekee maana bila wewe sitaweza chochote. Ninusuru na dhambi.
Nampenda sana MUNGU kila nisomapo au kusikia hadithi za watumishi wake naona ajabu sana na hekima za juu sana
Mungu niokowe
Amina
Mungu unirehemu na kuniondolea maovu yote, namagonjwa yote
Mungu tusaidie tuwe mfano
Wa ayubu ili mpenzi yako yatendeke juu yetu
Ameen Bwana wa majeshi Tumche mola atupiganie na shetani tukaze mwendo sana bila kuchoka
Ee mungu nirehemu
Amen
Hakika Mungu ni mweza wa yote..
Amina
Asante kwa kutuletea simulizi
Nimeipenda tubadilike
Asante sana kwa mafundisho
Hujambo, rafiki mpendwa, mimi ni Mkristo wa Kanisa la Mwenyezi Mungu, ninafurahia kukutana nawe!
Ikiwa ungependa kujua zaidi, tafadhali usisite kuwasiliana na mimi na tunaweza kuwa na mjadala zaidi pamoja!⬇️Ubarikiwe!
youtu.be/addme/cgN9zEYJtwoVuwjn8PmkIiZmJt0HtQ
Napenda Sana elimu hii ya MUNGU.
Hello, Adam Mwaihojo! Seen from your comment, you are a person who likes to listen to God’s words. I would like to recommend you watch this list of Daily Words of God: ruclips.net/p/PLGDyAm4Ie4Hw7KaxLCGxgZ-k8XVV-0o-Y
These are the words that God expresses in the last days, which can help you understand God and His work and bring you closer to God. If there are any questions, feel free to join our group and we will answer you in time.
WhatsApp: api.whatsapp.com/send?phone=+254-700-427-192
mungu ni mwema kila wakati....asante kwa neno zuri lenye kulenga kuokoa roho zetu
Ahsante kwa mafundisho
Kweli tupewe imani kama ayubu
Bwana Ni Bwana milele Amina
Ni kweli
Asante na Mungu awabarki sna
Jina la bwana libalikiwe milele na milele
Thanks
Asante sana kwa neno
nzur sana
Ayubu
Amen 🙏
Mungu nisaidie mdhambi Mimi, niweze kukupendeza.😭🙇
Ynoo
ughhdeeqi
Asnte kwa neno
AMEN
Be blessed bro
Nimefurai somo,,, Asante
Asante sana ukamilifu wa ayub
Halo Josse Runyei , asante kwa maoni yako.
Kama ungetaka kujua zaidi, tunawakaribisha kutembelea tovuti yetu.
sw.godfootsteps.org/gods-work-gods-disposition-and-god-himself-ii.html#sw=Hebu%20tuone%20kama%20Ayubu%20alimtosheleza%20Mungu%20na%20kupendwa%20na%20Mungu.
@@kanisalamwenyezimungu asante sana
Asante sana.
Asante sana
Ila kwa Dunia hi sina uhakika, kumbe karne ya ngapi hi, naile karne Yakima ayubu ilikuwa karne ya ngapi
Watoto walifariki wote wakati wa jaribu. Lak8ni baadaye aliwapata wengine kama sikosei. Maana tunaambiwa aliposhinda jaribu alirudishiwa mara dufu.
😍😍😍
Amen
Utamanyile
Asante sana yangu ni swali ni vyema kutoa zaka ya kuteketeza?
Nani kama ayubu
Ast nina.swali.kisha.jaribuyo.ya Ayubu Mucha mungu.alipewa watoto .gapi.tena?
Ukisoma kitabu cha Ayubu sura ya 42 mustari wa 12 mpaka 17 yaani Job 42: 12-17. Kisha kujaribiwa Ayubu alizaa vijana 7 wasichana 3 Jemimah, Keziah na Karen-Happuch. Ayubu ni Mharabu . Ibrahim alikuwa Mkaldayo baadaye alibadirika na kuwa myahudi.
Nina swali ni vibaya kutembea na mtenda dhambi?
Nani kama ayubu??
Hello, Adam Mwaihojo! Siku hizi kuna watu wachache sana wanaoogopa Mungu na kuepuka maovu kama Ayubu. Pointi nzuri kutoka kwa matendo ya Ayubu ndio tuweze kufuata mfano wake kuwa mtu anaye mwogopa Mungu na kuepuka maovu.
@@kanisalamwenyezimungu barikiwa Sana Kanisa la Mungu nataman kuabudu nanyi.
Niajabu kabisa
Amina
Job a man of faith
Asante