Neno la Mungu | "Kazi ya Mungu na Kazi ya Mwanadamu" (Sehemu ya Kwanz)
HTML-код
- Опубликовано: 21 окт 2018
- Iliyopendekezwa:
Maneno ya Mungu ya Kila Siku: Kuingia Katika Uzima
• Maneno ya Mungu ya Kil...
Filamu za Injili
• Filamu za Injili
Ushuhuda wa Maisha ya Kanisa
• Ushuhuda wa Maisha ya ...
Asante Mungu umekuja kuhukumu ili utuokoe tueze kukamilika na kutakaswa upotovu wetu🙏🙏
Mungu atujalie kumjuwa Roho Mtakatifu na kazi zake
Amina.Tunabarikiwa Sana.
Kazi ya Roho Mtakatifu daima ni nzuri kwetu. Nina hakika Wakristo wa uongo hawawezi kufikia hilo.
Roho Mtakatifu anatufanyia kazi kulingana na msimamo wetu, na ikiwa hatutafuatilia kikamilifu, bado tutaachwa. Asante Mungu! Inasaidia kuelewa umuhimu wa kufuata ukweli!
Haijalishi jinsi Roho Mtakatifu anavyofanya kazi kwa mwanadamu, mali ya mtu haiwezi kubadilishwa, kwa hivyo hakuna mtu anayeweza kusema ukweli! Hata hivyo, hatuwezi kumwona mtu kama Mungu kuabudu !!!
🙏🙏🙏😭😭😭Amee
mungu anatosa maisayagu amenitowa mbari namupeda yesu
Amina
ujumbe wa thamani sana, sijawahi kusoma kitabu chochote cha kiroho ambacho kinaweza kufafanua kazi ya Roho Mtakatifu kwa uwazi, inaweza kunisaidia kuelewa ukweli.
mungu ni mwema
Amen, barikiwa na bwana
Yesu Christo unihurumie nisaidiye nikamilishwe nawe.
Asante Mungu! Ni ombi letu Mungu akuongoze kuelewa zaidi kazi ya Mungu! Katika siku za mwisho, Mungu hutafuta kondoo wake kwa njia ya kunena maneno. "Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu" na wale wote ambao wanaweza kuelewa sauti ya Mungu ni kondoo wa Mungu, wanawali wenye busara. Bwana Yesu alisema, "Kondoo wangu huisikia sauti yangu, nami nawajua, nao wanifuata" (Yohana 10:27). "Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami" (Ufunuo 3:20). Kwa hivyo, wale ambao hukaribisha kurudi kwa Bwana wote hukubali na kutii kuonekana na kazi ya Bwana kwa njia ya kusikia sauti ya Bwana na kutambua maneno ya Bwana kuwa ni kweli. Wao ni watu ambao kweli wamenyakuliwa mbele ya Mungu. Kama ungependa, unaweza kuacha anwani yako kwa ajili ya majadiliano zaidi. Au unaweza kuwasiliana nasi kupitia (bro Boke's Whatsapp +254705984210 facebook.com/dnyaboke2 sis Corazon's Whatsapp +254713832273) kujua zaidi kuhusu kazi mpya ya Mungu na kufuata nyayo zake Mungu.
Ninafurahi sana kusikia wanazungumza juu ya jinsi ya kuwaambia kiini cha kazi ya Mungu na kazi ya mwanadamu. Sasa watu wengi wamewadanganya kuwa Kristo kuwadanganya wengine, mimi daima nina hofu ya kudanganywa na kufuata njia mbaya. Video hii inisaidia kuwa na ufahamu, siwezi tena hofu!
☺☺☺☺☺
Amen
Ewee mungu tusamehe
Esther Mwanasiti Jésus-Christ est mon sauveur
Bwana niongize