ASKOFU DKT SHOO: KIFO CHA MCH. KANTATE NI DHORUBA "ALIGUSA MAISHA YA WENGI KWA UTUMISHI WAKE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Mkuu wa Dayosisi ya kaskazini Dkt. Frederick Shoo ameongoza ibada ya mazishi ya Mch. kantate ambaye alifariki kwa ajali mwishoni mwa Juma lililopita
    Akitoa neno faraja wakati wa mahubiri yake Askofu alisema Kanisa nimeondokewa na Mtumishi wa Mungu, kifo chake kimesababisha machozi mengi
    "Ni vigumu kuamini kuwa Mchungaji Munisi katika umri mdogo ametwaliwa kutoka kwetu" alisema Dkt. Shoo

Комментарии • 3

  • @janelyatuu1135
    @janelyatuu1135 Месяц назад

    Pole sana mchungaji moshi mungu akawe faraja kwako na watoto na familia nzima pole sana kaka

  • @janelyatuu1135
    @janelyatuu1135 Месяц назад

    Baba asikofu mungu akutunze baba yetu

  • @janelyatuu1135
    @janelyatuu1135 Месяц назад

    Usharika wangu wa kisamo poleni sana washarika wote wa kisamo mtaa wangu wa kichunguni mungu akawe faraja kwenu poleni sanaa