Mungu kokote jina langu au majina ya wanafamilia yalipofungiwa au yalipotamkwa kwa ubaya...pakavunjike na kuteketea kwa jina kuu la Yesu Kristo. Madhabahu za giza hazina nafasi na hatma ya maisha yetu. Amen !
Dah, moyi wa mwanadamu ni kichaka unaficha mengi. Asante sana Mchg Dr Kimaro, hakika unatuimarisha na kutufundisha, Kijitonyama kuna dhahabu ya ajabu, msiache ianguke jalalani, ubarikiwe baba, tunakupenda na tunakuombea kila tupatapo wasaa wa kupiga magoti kwa Bwana.
Mungu Baba kupitia shuhuda hiz naomba unifungue vifungo vyovyote nilvyowah kufungwa ktk ulimwengu wa roho na mwili kwa Nguvu ya Damu ya Yesu Kristo Mkomboz wang Ameen
😢Mungu popote nilipofungwa Mimi na ndugu zangu,natamka kwa jina la yesu tumefunguliwa,kama Kuna vyakula vya masgano tulikula,tunajitoa humo kwa damu ya yesu.amina
Eeee Mungu niwakati wangu sasa . Naomba ukanifungue katika kila kifungo nilichofungwa nisichokijua . Bahraini nchi kavu ziwani kwenye miti na milima na kila sehemu yoyote. Nakataa kwa Jina la Yesu ..
Ndio maana Mimi siku za sikukuu haka siendi popote haya kama Sina cha kupoka ugali wangu dagaa mchele tembele langu maji yangu ya baridi aka nina amani
Duh jamani na mimi nimefungwa makaburi Ee mungu nifungue
Kupitia ushuhuda huu Mungu nakuomba sana nifungue mm na familia yangu . Maana kila nifanyacho bado kuna vikwazo .Naomba uondolee haya ninayopitia
Shuhuda zakujenga sana Mungu akubariki sana mtumishi naomba uniombee maisha yangu yamefingwa sioni mwwngaza kabisa
Mungu kokote jina langu au majina ya wanafamilia yalipofungiwa au yalipotamkwa kwa ubaya...pakavunjike na kuteketea kwa jina kuu la Yesu Kristo. Madhabahu za giza hazina nafasi na hatma ya maisha yetu. Amen !
Dah, moyi wa mwanadamu ni kichaka unaficha mengi. Asante sana Mchg Dr Kimaro, hakika unatuimarisha na kutufundisha, Kijitonyama kuna dhahabu ya ajabu, msiache ianguke jalalani, ubarikiwe baba, tunakupenda na tunakuombea kila tupatapo wasaa wa kupiga magoti kwa Bwana.
Mungu nifungue popote nilipofungwa kwa siri ee Mungu
Mungu Baba kupitia shuhuda hiz naomba unifungue vifungo vyovyote nilvyowah kufungwa ktk ulimwengu wa roho na mwili kwa Nguvu ya Damu ya Yesu Kristo Mkomboz wang Ameen
Mungu atusaidie.Hakika Mchungaji shuhuda ulizotoa,tunahitaji maombi kwenye familia yetu.
😢Mungu popote nilipofungwa Mimi na ndugu zangu,natamka kwa jina la yesu tumefunguliwa,kama Kuna vyakula vya masgano tulikula,tunajitoa humo kwa damu ya yesu.amina
Mungu akifungua mlango wako hakun binadam anawez kufunga🙏 nifungue sasa bwan kwa kupitia ushud huu
Mungu naomba uniponye
amen nimepata kitu kila kitu wakati wa Mungu ukifika akuna wakuzuia amen❤
Eeeeh Mungu naomba popote nilipofungwa mm na familia tunaomba tukafungukiwe kwa jina yesu👏👏👏
Amen kwa Jina la Yesu! Natamka kufunguliwa kwa ndoa zetu kwenye familia na roho ya umasikini ituachie
Jamani ee Mungu wangu na baba yangu naomba na Mimi nifunguliwe popote kwa jina la yesu kristo wa Nazareth
Haaleluuuuuya
God is Awesome
Mungu wa yasiyowezekana🙏
Mungu wa mbinguni kupitia huu ushuhuda naomba unipe mume mzuri
Eeee Mungu niwakati wangu sasa . Naomba ukanifungue katika kila kifungo nilichofungwa nisichokijua . Bahraini nchi kavu ziwani kwenye miti na milima na kila sehemu yoyote. Nakataa kwa Jina la Yesu ..
Amina mchungaji huu ushuhuda ni wa familia yangu Mungu utufungue
Aaaaaaaaamen Mungu naomba ukatutendeee Kwa wakati sahihi mabintiiiii na wajukuuu wote👏👏👏👏
Ubarikiwe baba Kwa ushuhuda kupitia ushuhuda huu umenifungua sana
Mwenyezi Mungu popote lilipofungiwa jina langu likafunguliwe kwa jina la Yesu
Kwakweli mchungaji Nakupenda mimi siyo mshilika wako lakini mafundisho yako yananibaliki mno barikiwa sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Wacha.mungu atutie nguvu uendelee kutubilia na kuzaidia roho zetu
Aminaaa mtumishi mungu akubariki sana
Amen ❤❤ 🙏 Yesu Kristo ni njia kweli na uzima
Ameni NAMI mwanangu afunguliwe
Asante kwa ushuhuda baba nimefunguliwa
mungu atusaidie huo ushuda umenigusa sana.
GLORY TO GOD
Hallelujah kwa Yesu
Ubarikiwe sana mtumishi
Napenda sana mahubiri yako nakufuatilia kutoka Kenya
AMEN ❤❤❤❤❤HALELLUYA YESU NI BWANA WA MABWANA🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kwakweli ushuhuda huu umenifikisha mbali Kuna vitu nimejifunza
Ushuhuda wa pili unatesa familia nyingi sana
Mungu, atukuswe aameeen mm, nmefunguliwa, mtumishi
Mungu atusaidie
Amen.babap
Mchungaji Kimaro mahubiri yako yananibariki sana.
Mungu ni muaminifu sana akisema ndio hakuna wakupinga
Mungu fungua uzao wangu popote walipofungiwa
Mungu anikumbuke na mimi nipate mme sahihi kupitia ushuhuda huu
Eee Mungu tunakuomba usituache 🙏🙏🙏🙏😭😭
Naomba Mungu afungue watoto wangu
Hyu pastor ni 🔥🔥🔥. YESU anaishi ndani ake
I love U 3 God bless you man of God
Ushuhuda wa mwisho ndio unasumbua familia yangu.
Hata mm my,watu wanajua kitesa wengine,tuwafundishe watoto wetu wasipende kulakula dah
Mungu akubariki sana baba Kimaro
Mchungaji mungu akupe maisha marefu mafundisho Yako yanijenga sana
Ameen❤❤❤
Mungu ni mwema
Mungu hashindwi na chochote
Wachaga Wana haya mambo sana Mungu atusaidie
Acheni Mungu aitwe Mungu
AMEN
Ameen, Asante
Ubarikiwe baba
Amen hallelujah 👏👏👏
Baba angu ahsante kwa neno na ushuhuda wa kweli
Amina baba
Ameen
❤❤amen
MUNGU NI MKUU HALLELUJAH
Hallelujah Glory....jamani jamani vyakula hivi ni vyakuombea maana ni mlango jamani
Mwenye no ya huy mchungaji naombeani
AISEEE
Hushuuda huu kiukweli naimani ntafunguliwa
Mwanadamu!!!!! Bora ufuge Simba anaweza akawa mwema kwako kuliko Mwanadamu.
Ndio maana Mimi siku za sikukuu haka siendi popote haya kama Sina cha kupoka ugali wangu dagaa mchele tembele langu maji yangu ya baridi aka nina amani
😢😢😢
yaani ndugu au rafiki ndo watu wabaya mtu anakukaribisha unajua ni mwema kumbe anataka kukuangamiza Mungu atusaidie
Bwana akubariki
Hilo neno linifungue na mimi mahali nilipo fungwa
MUNGU atutetee.
Amen
Ehe MUNGU mwema kumbuka Rehema uturehemu 😢
Hii wachaga wanayo sana ss tulizaliwa tukapewa mama aliyekufa
Jamani naombeni namba za huyu baba, anisaidie kwa maombi, niko canada. Please
Yaani nasikiliza mpaka machozi yananitoka
Jamani kama mnajua namba ya mchungaji naombani
Natamani nipate namba yako
BABA MTUMISHI NAOMBA NIOMBEE NA FAMILIA YANGU MKE ALIWAKIMBIA WATOTO KISA SINA UCHUMI MKUBWA KUPITIA MAHUBILI YAKO NAFARIJIKA PASTER KIMALO
Namimi nitatoboa kumbe
Yani hii ndo mm kabisa sina mume wala mtoto miaka 40 jmn
Wachaga hao
Amen
Amina Amina
Ameen
Amina baba