Binti Afungishwa Ndoa na Marehemu | USHUHUDA | Rev. Dr. Eliona Kimaro

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025

Комментарии •

  • @MariyaMass
    @MariyaMass 20 дней назад +1

    Duh jamani na mimi nimefungwa makaburi Ee mungu nifungue

  • @kimongemalyawere
    @kimongemalyawere 5 месяцев назад +1

    Kupitia ushuhuda huu Mungu nakuomba sana nifungue mm na familia yangu . Maana kila nifanyacho bado kuna vikwazo .Naomba uondolee haya ninayopitia

  • @hellenmnyazi220
    @hellenmnyazi220 22 дня назад

    Shuhuda zakujenga sana Mungu akubariki sana mtumishi naomba uniombee maisha yangu yamefingwa sioni mwwngaza kabisa

  • @sisterblessed-my9jd
    @sisterblessed-my9jd 5 месяцев назад +3

    Mungu kokote jina langu au majina ya wanafamilia yalipofungiwa au yalipotamkwa kwa ubaya...pakavunjike na kuteketea kwa jina kuu la Yesu Kristo. Madhabahu za giza hazina nafasi na hatma ya maisha yetu. Amen !

  • @estherlemburismollel5901
    @estherlemburismollel5901 6 месяцев назад +10

    Dah, moyi wa mwanadamu ni kichaka unaficha mengi. Asante sana Mchg Dr Kimaro, hakika unatuimarisha na kutufundisha, Kijitonyama kuna dhahabu ya ajabu, msiache ianguke jalalani, ubarikiwe baba, tunakupenda na tunakuombea kila tupatapo wasaa wa kupiga magoti kwa Bwana.

  • @heriethkitururu4401
    @heriethkitururu4401 6 месяцев назад +7

    Mungu nifungue popote nilipofungwa kwa siri ee Mungu

  • @ellykanael7924
    @ellykanael7924 5 месяцев назад +1

    Mungu Baba kupitia shuhuda hiz naomba unifungue vifungo vyovyote nilvyowah kufungwa ktk ulimwengu wa roho na mwili kwa Nguvu ya Damu ya Yesu Kristo Mkomboz wang Ameen

  • @evapendoshilamungaya7759
    @evapendoshilamungaya7759 6 месяцев назад +7

    Mungu atusaidie.Hakika Mchungaji shuhuda ulizotoa,tunahitaji maombi kwenye familia yetu.

  • @FridaMwita
    @FridaMwita 5 месяцев назад +1

    😢Mungu popote nilipofungwa Mimi na ndugu zangu,natamka kwa jina la yesu tumefunguliwa,kama Kuna vyakula vya masgano tulikula,tunajitoa humo kwa damu ya yesu.amina

  • @Celinanakaza
    @Celinanakaza 5 месяцев назад +1

    Mungu akifungua mlango wako hakun binadam anawez kufunga🙏 nifungue sasa bwan kwa kupitia ushud huu

  • @Johnmichael-xp7vs
    @Johnmichael-xp7vs Месяц назад

    Mungu naomba uniponye

  • @praygodSSwai
    @praygodSSwai 6 месяцев назад +5

    amen nimepata kitu kila kitu wakati wa Mungu ukifika akuna wakuzuia amen❤

  • @racheldickson1280
    @racheldickson1280 5 месяцев назад +1

    Eeeeh Mungu naomba popote nilipofungwa mm na familia tunaomba tukafungukiwe kwa jina yesu👏👏👏

  • @deborasimon422
    @deborasimon422 5 месяцев назад

    Amen kwa Jina la Yesu! Natamka kufunguliwa kwa ndoa zetu kwenye familia na roho ya umasikini ituachie

  • @NeemaKimario-ui3ir
    @NeemaKimario-ui3ir 5 месяцев назад

    Jamani ee Mungu wangu na baba yangu naomba na Mimi nifunguliwe popote kwa jina la yesu kristo wa Nazareth

  • @NatovuakiThomas
    @NatovuakiThomas 5 месяцев назад +1

    Haaleluuuuuya
    God is Awesome
    Mungu wa yasiyowezekana🙏

  • @gracerishandumilema278
    @gracerishandumilema278 5 месяцев назад

    Mungu wa mbinguni kupitia huu ushuhuda naomba unipe mume mzuri

  • @yustamkosyange-gb7jl
    @yustamkosyange-gb7jl 5 месяцев назад +1

    Eeee Mungu niwakati wangu sasa . Naomba ukanifungue katika kila kifungo nilichofungwa nisichokijua . Bahraini nchi kavu ziwani kwenye miti na milima na kila sehemu yoyote. Nakataa kwa Jina la Yesu ..

  • @ElidaimaKweka
    @ElidaimaKweka 6 месяцев назад +2

    Amina mchungaji huu ushuhuda ni wa familia yangu Mungu utufungue

  • @AdelinaDidas-es3gn
    @AdelinaDidas-es3gn 5 месяцев назад

    Aaaaaaaaamen Mungu naomba ukatutendeee Kwa wakati sahihi mabintiiiii na wajukuuu wote👏👏👏👏

  • @MerisaBaruani-yd4lf
    @MerisaBaruani-yd4lf 6 месяцев назад +3

    Ubarikiwe baba Kwa ushuhuda kupitia ushuhuda huu umenifungua sana

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 5 месяцев назад

    Mwenyezi Mungu popote lilipofungiwa jina langu likafunguliwe kwa jina la Yesu

  • @AgnesJosephBikwato
    @AgnesJosephBikwato 5 месяцев назад

    Kwakweli mchungaji Nakupenda mimi siyo mshilika wako lakini mafundisho yako yananibaliki mno barikiwa sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @hffh7717
    @hffh7717 6 месяцев назад +3

    Wacha.mungu atutie nguvu uendelee kutubilia na kuzaidia roho zetu

  • @SaraAssey
    @SaraAssey 5 месяцев назад

    Aminaaa mtumishi mungu akubariki sana

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 5 месяцев назад

    Amen ❤❤ 🙏 Yesu Kristo ni njia kweli na uzima

  • @janejohn1083
    @janejohn1083 5 месяцев назад

    Ameni NAMI mwanangu afunguliwe

  • @priscadryton9596
    @priscadryton9596 5 месяцев назад

    Asante kwa ushuhuda baba nimefunguliwa

  • @TheodonsiaJoel
    @TheodonsiaJoel 5 месяцев назад

    mungu atusaidie huo ushuda umenigusa sana.

  • @fridafaith9533
    @fridafaith9533 4 месяца назад

    GLORY TO GOD

  • @divinehaibei9801
    @divinehaibei9801 5 месяцев назад

    Hallelujah kwa Yesu

  • @esnathshop7780
    @esnathshop7780 5 месяцев назад

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @Sophie-u6e
    @Sophie-u6e 6 месяцев назад +1

    Napenda sana mahubiri yako nakufuatilia kutoka Kenya

  • @KanadeMrangu
    @KanadeMrangu 6 месяцев назад +2

    AMEN ❤❤❤❤❤HALELLUYA YESU NI BWANA WA MABWANA🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @dainamswimege3832
      @dainamswimege3832 6 месяцев назад

      Kwakweli ushuhuda huu umenifikisha mbali Kuna vitu nimejifunza

  • @paulsibu5770
    @paulsibu5770 5 месяцев назад

    Ushuhuda wa pili unatesa familia nyingi sana

  • @EliasLukumai-te6wz
    @EliasLukumai-te6wz 5 месяцев назад

    Mungu, atukuswe aameeen mm, nmefunguliwa, mtumishi

  • @sarahandrew8009
    @sarahandrew8009 6 месяцев назад +1

    Mungu atusaidie

  • @ZukraMakoko-y2s
    @ZukraMakoko-y2s 19 дней назад

    Amen.babap

  • @emmanueltillya2017
    @emmanueltillya2017 6 месяцев назад +5

    Mchungaji Kimaro mahubiri yako yananibariki sana.

  • @naeema8155
    @naeema8155 6 месяцев назад

    Mungu ni muaminifu sana akisema ndio hakuna wakupinga

  • @SuzanLyatuu
    @SuzanLyatuu 5 месяцев назад

    Mungu fungua uzao wangu popote walipofungiwa

  • @upendomlelwa57
    @upendomlelwa57 5 месяцев назад +3

    Mungu anikumbuke na mimi nipate mme sahihi kupitia ushuhuda huu

  • @AgnesJosephBikwato
    @AgnesJosephBikwato 5 месяцев назад

    Eee Mungu tunakuomba usituache 🙏🙏🙏🙏😭😭

    • @joycemeela8595
      @joycemeela8595 5 месяцев назад

      Naomba Mungu afungue watoto wangu

  • @JELSONMAUKI
    @JELSONMAUKI 6 месяцев назад

    Hyu pastor ni 🔥🔥🔥. YESU anaishi ndani ake

  • @lissajeruto5373
    @lissajeruto5373 5 месяцев назад

    I love U 3 God bless you man of God

  • @emes602
    @emes602 5 месяцев назад +2

    Ushuhuda wa mwisho ndio unasumbua familia yangu.

    • @FridaMwita
      @FridaMwita 5 месяцев назад

      Hata mm my,watu wanajua kitesa wengine,tuwafundishe watoto wetu wasipende kulakula dah

  • @merchadestibagwile4261
    @merchadestibagwile4261 6 месяцев назад

    Mungu akubariki sana baba Kimaro

  • @FraisonishombeIlima
    @FraisonishombeIlima 6 месяцев назад

    Mchungaji mungu akupe maisha marefu mafundisho Yako yanijenga sana

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 5 месяцев назад

    Ameen❤❤❤

  • @elianaarsen9942
    @elianaarsen9942 6 месяцев назад

    Mungu ni mwema

  • @MwanjiNzala-mo5ni
    @MwanjiNzala-mo5ni 5 месяцев назад

    Mungu hashindwi na chochote

  • @rosemarykimath9337
    @rosemarykimath9337 6 месяцев назад

    Wachaga Wana haya mambo sana Mungu atusaidie

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 6 месяцев назад

    Acheni Mungu aitwe Mungu

  • @AgathaSumbwe
    @AgathaSumbwe 5 месяцев назад

    AMEN

  • @JoanofficialMedia
    @JoanofficialMedia 5 месяцев назад +1

    Ameen, Asante

  • @ernestbutagalala
    @ernestbutagalala 6 месяцев назад

    Ubarikiwe baba

  • @davidkilajaga8842
    @davidkilajaga8842 6 месяцев назад

    Amen hallelujah 👏👏👏

  • @getrudaleonard8323
    @getrudaleonard8323 6 месяцев назад +3

    Baba angu ahsante kwa neno na ushuhuda wa kweli

  • @MerisaBaruani-yd4lf
    @MerisaBaruani-yd4lf 6 месяцев назад

    Amina baba

  • @miriamalute1540
    @miriamalute1540 6 месяцев назад

    Ameen

  • @kessiae2378
    @kessiae2378 6 месяцев назад

    ❤❤amen

  • @CastoryKapinga-nb7ht
    @CastoryKapinga-nb7ht 6 месяцев назад

    MUNGU NI MKUU HALLELUJAH

  • @nellychissi1634
    @nellychissi1634 5 месяцев назад

    Hallelujah Glory....jamani jamani vyakula hivi ni vyakuombea maana ni mlango jamani

  • @MariyaMass
    @MariyaMass 20 дней назад

    Mwenye no ya huy mchungaji naombeani

  • @Frosita
    @Frosita 6 месяцев назад

    AISEEE

  • @MariyaMass
    @MariyaMass 20 дней назад

    Hushuuda huu kiukweli naimani ntafunguliwa

  • @linnetmbotto7212
    @linnetmbotto7212 6 месяцев назад

    Mwanadamu!!!!! Bora ufuge Simba anaweza akawa mwema kwako kuliko Mwanadamu.

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 5 месяцев назад +1

      Ndio maana Mimi siku za sikukuu haka siendi popote haya kama Sina cha kupoka ugali wangu dagaa mchele tembele langu maji yangu ya baridi aka nina amani

  • @esnathshop7780
    @esnathshop7780 5 месяцев назад

    😢😢😢

  • @praygodSSwai
    @praygodSSwai 6 месяцев назад +1

    yaani ndugu au rafiki ndo watu wabaya mtu anakukaribisha unajua ni mwema kumbe anataka kukuangamiza Mungu atusaidie

  • @dainamswimege3832
    @dainamswimege3832 6 месяцев назад

    Bwana akubariki

  • @upendomlelwa57
    @upendomlelwa57 5 месяцев назад

    Hilo neno linifungue na mimi mahali nilipo fungwa

  • @jessicamasepo8320
    @jessicamasepo8320 6 месяцев назад

    MUNGU atutetee.

  • @AgonzaKahembe
    @AgonzaKahembe 6 месяцев назад

    Amen

  • @philmonnem7294
    @philmonnem7294 6 месяцев назад

    Ehe MUNGU mwema kumbuka Rehema uturehemu 😢

  • @veronicathomas9422
    @veronicathomas9422 5 месяцев назад

    Hii wachaga wanayo sana ss tulizaliwa tukapewa mama aliyekufa

  • @happinessmchome9101
    @happinessmchome9101 5 месяцев назад

    Jamani naombeni namba za huyu baba, anisaidie kwa maombi, niko canada. Please

  • @edinakatalaiya8773
    @edinakatalaiya8773 5 месяцев назад

    Yaani nasikiliza mpaka machozi yananitoka

  • @RehemaKisunga
    @RehemaKisunga 6 месяцев назад

    Jamani kama mnajua namba ya mchungaji naombani

  • @CostaziaMathew
    @CostaziaMathew 4 месяца назад

    Natamani nipate namba yako

  • @EzekielTimoth
    @EzekielTimoth 5 месяцев назад

    BABA MTUMISHI NAOMBA NIOMBEE NA FAMILIA YANGU MKE ALIWAKIMBIA WATOTO KISA SINA UCHUMI MKUBWA KUPITIA MAHUBILI YAKO NAFARIJIKA PASTER KIMALO

  • @GaspalMgassa
    @GaspalMgassa 5 месяцев назад

    Namimi nitatoboa kumbe

  • @MariyaMass
    @MariyaMass 20 дней назад

    Yani hii ndo mm kabisa sina mume wala mtoto miaka 40 jmn

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 5 месяцев назад

    Wachaga hao

  • @TakeAshot-sw2jn
    @TakeAshot-sw2jn 6 месяцев назад +1

    Amen

  • @JanethFaustino-v8b
    @JanethFaustino-v8b 5 месяцев назад

    Amina Amina

  • @witnessjohnphilip665
    @witnessjohnphilip665 5 месяцев назад

    Ameen

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 2 месяца назад

    Amina baba