UKIKUTA MWANAMKE HANA BIKIRA HUYO SIYO MKE WAKO| DAMU YA BIKIRA NI AGANO LA NDOA, HAKUNA MWENYE MKE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 июл 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 371

  • @dennismbote4771
    @dennismbote4771 20 дней назад +17

    Huyu Mzee simkubali hata kidg lakn katika hili yuko sahihi 100% kabisaaaa

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 14 дней назад +4

    Daah basi mimi sijapata mke wa ujana wangu maana wote ninaokutana nao ni ndoo😂😂😂😂

  • @nelsonleonard6768
    @nelsonleonard6768 20 дней назад +33

    Halafu kwenye hii post nimegundua akina dada ndo wamekuwa wakali sana sijui kwann😂😂😂😂😂😂

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t 20 дней назад +1

      😂😂😂😂

    • @abuum3760
      @abuum3760 19 дней назад

      😂😂😂😂

    • @ELIZABETH-uz6dv
      @ELIZABETH-uz6dv 18 дней назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @user-id8ys3lg5d
      @user-id8ys3lg5d 18 дней назад

      Janga la wadada wengi 😂😂😂❤

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 17 дней назад +2

      Sio wakali ila Kwa kuwa hizo bikra hawajitoi wenyewe ,basi pia jamii iwafundishe vijana wakiume kujiheshimu na kuwaheshimu dada zao

  • @ayoubmtumishi50
    @ayoubmtumishi50 20 дней назад +30

    Ni kweli kabisa mke wa ujana ni uliyemtoa ubikra. Someni katika kisa cha Amnoni na Tamari.

    • @engineerjuma9876
      @engineerjuma9876 20 дней назад

      Umetoa bikira bint wa mtu kwa ridhaa ya nani? Ninyi wakilisto hamjui nini ZINAA

    • @blessingcharles-lc1rr
      @blessingcharles-lc1rr 20 дней назад

      Kwahiy waliobakwa na baba zao waolewe nao

    • @AlexAward-gg6lu
      @AlexAward-gg6lu 19 дней назад

      Da a nimejikuta nipo kwenye wakati mgumu baada ya kusikilza habar za Nikita Yan nmevurugwa ngoja npambane mpaka npate Nikita wake Zang wore na wabwaga

    • @vicentmtiro6927
      @vicentmtiro6927 19 дней назад

      Kwani unadhani walioana??

    • @ELIZABETH-uz6dv
      @ELIZABETH-uz6dv 18 дней назад

      ​@blessingcharles-lc1rr 😂😂😂😂😂

  • @user-eg1mz6vo1d
    @user-eg1mz6vo1d 20 дней назад +10

    Kweli kabisaaa Mzee that's why I appreciate you 🙏 umeongea ukweli mtupu yaaahni umetishaaa sanaaaa

  • @user-wz3ne2kc3o
    @user-wz3ne2kc3o 19 дней назад +5

    Kweli kabisa japo jamii ya sasa haitaki kusikia ukweli huu pongezi kwako na elimu hii irudishwe na iwekwe msimamo kabisa

  • @djnizoh
    @djnizoh 20 дней назад +11

    For sure

  • @JulianaMaimu
    @JulianaMaimu 20 дней назад +5

    Mmmmh jamani pastor huyo kagusa mahali patam. Nimempenda Sana huyo pastor amenikumbusha jamani tukilelewa na Mama yetu alivyokuwa anatufundisha

  • @ngoyabaraka8143
    @ngoyabaraka8143 19 дней назад +3

    Ni sahihi Sasa unakuta mwanaume kaoa mke, bikra kaikosa pia mimba ya kwanza kaikosa, mtoto wa kwanza kamkosa, mechi inanza mbili bila au moja bila ndo wake wetu wa Sasa gen z😅

  • @DavidNdaha
    @DavidNdaha 20 дней назад +9

    Kiukweli alie towa Bikra nikweli ndo mme wake Ila changamoto

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 20 дней назад +5

    Wadangaji na walioa wasiokuwa bikra wamepanic sana, lakini ata ww unayefurahia kwakuwa bikra usijimalize sema tu Ahsante mungu alafu kausha, maana siku hizi znatengenezwa mtaani

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 19 дней назад +3

    Ni ukweli ubikira ni agano. Hilo ni kweli. Na kutairi mtoto ni agano moja hatari sana. Mungu tusaidie.
    Wazee wetu walitairi vijana. Sasa tunawapeleka kwa watu tusiowajua wanatairi watoto wanaingia nao maagano. Mungu tusaidie.
    Unashangaa mtoto anakuwa. Na tabia za ajabu.

  • @user-kq7mp8qz9e
    @user-kq7mp8qz9e 20 дней назад +5

    Kwahiyo kunawajanja kutoa bikra ndio jazi yao nasisi wengine hatujawahi kktana nabikra basi shida

  • @user-hj8sc7jv5m
    @user-hj8sc7jv5m 19 дней назад +1

    Ni kweli mm nilitafuta mke mwenye bikira nilikuwa siamini kuoa mwanamke asiye na bikira atakuwa mke sahihi. Naamini mwanamke uliembikiri hawezi kukusahau maishani kamwe hata mfanyaje

  • @dancemoves4
    @dancemoves4 20 дней назад +11

    😂😂😂😂Oscar anasema huwenda sisi wengine. Hatujawahi kukutana na watu wenye ujana mnaujua ujana nyie😂😂😂😂

  • @user-ly2tv5og1n
    @user-ly2tv5og1n 20 дней назад +8

    Wasichana wajichunge Bikra zao, ni muhimu.

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 17 дней назад

      Na wanaume pia ,kwani hao wadada wanajitoa wenyewe hizo bikra?

  • @MeshackKamenya
    @MeshackKamenya 20 дней назад +6

    Ni sahihi kabisa mzee wa upako

  • @HkidKapinga
    @HkidKapinga 20 дней назад +5

    Ndo maana hata yusuph alitaka kumuacha mariam kwa siri, baada yakugundua mariam mjamzito,akijua bikira imetolewa na mtu nwingine,hadi malaika alipompa go ahead

    • @danieljohn6904
      @danieljohn6904 18 дней назад

      Kama ni hivyo sasa mbna alimuoa..?usidanganywe hayo ni mambo ya kale kabla ya Yesu mwenyewe mfalme wa ulimwengu soma 2Wakorintho5:17-19 na Yohana 3:1-7

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 19 дней назад +2

    Yani hii kitu ya agano achana nayo. Haya issue yakutairi watoto ni agano. Yani watoto walitakiwa watairiwe na wazee wa kanisa. Tunapeleka watoto kutairiwa wanaingia maagano na watu wasiowajua.
    Haya mambo ni magumu sana .

  • @jafethleonard5821
    @jafethleonard5821 20 дней назад +2

    True

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 20 дней назад +3

    Huyo dada mtangazaji alivyo dakia juu kwa juu na kuseama"Basi yabidi turudiane na ma X wetu"yaelekea bado unamfikiria X wake

  • @neemajames5137
    @neemajames5137 20 дней назад +7

    Uko sahihi kabisa

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 3 дня назад

    Ni kweli sana, Bikira ni dhamana, amepewa mwanamke, hivyo atakaye mpa akala huyo ndiyo mumewe.
    Utakapo muoa wewe siku ya kiama ujuwe atadai mke wake na hivyo utamlipa ndiyo uwe naye.

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 20 дней назад +2

    Huyo mtangazaji wa kike imemuuma sana mpaka kaamua kubadilisha maada maana bikra alitolewa kitambo na jamaa hajamuoa maskini inauma mpaka kaamua kubadilisha maada kaenda kwenye idadi kubwa ya wanawake kwenye makanisa
    Aliyoyaongea Mzee wa Upako Yote kuhusu Bikra, dhambi, Agano la damu yote ni kweli

  • @user-vb7vw2jr7d
    @user-vb7vw2jr7d 19 дней назад +4

    Nisawa shida nikupita gari kubwa halafu wewe upite na bajaji au na pikpiki ndio migogoro inaanzia hapo

  • @maclean7727
    @maclean7727 День назад

    Mzee umeongea hekima sana, lakini, umechelewa tumeshakosea, hatujui tufanyaje, maana hawa wanawake hawatuheshimu kabisa, nao ni vichwa vya familia.

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 20 дней назад +2

    Nakubali baba , iyo ni kwel kabisa🎉😂

  • @98Maktaba
    @98Maktaba 20 дней назад +3

    Alafu mazee yasikuhuzi bila aibu yanatutoza mahali kuuuubwaa bila kuwaza kuwa yanatupatia chocolate kwenye gazeti shame on them and they are daughters

  • @MagrethMhina
    @MagrethMhina 20 дней назад +2

    Upo sahihi baba sasa inabidi mch kabla hajafungisha ndoa mabint waulizwe na kuwa wakweli kua na bikra wapimwe kama wachumba wanapima hiv barikiwa mabinti wasiwe na vishawishi

  • @Khadija-f7b
    @Khadija-f7b 20 дней назад +5

    Kweli kabisa umeongea mie nashindwa kumsahau mume wangu wa agano keo miaka ishilini ,siko nae lkn namkumbuka mno nitafanya mpango nirusi kwa mume wangu inshallah

    • @AbisaiMwambene-fo9pt
      @AbisaiMwambene-fo9pt 19 дней назад

      Kama huyo aliye kuwa wa kwanza kwako na akaoa Alie bikra ndo anaeishi nae unarudije kwamfano?

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 20 дней назад +1

    Duh! fact sana hii.!! Umetisha sana Yan mafundusho yako yote haya nmeyaelewa

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 19 дней назад +2

    Oscar na baba levo hao wote mliowaowa sio wake zenu, nendeni mkatafute wake zenu😅

  • @davidmangilile3568
    @davidmangilile3568 20 дней назад +7

    Upo sahihi sana %90 ya wanawake wanaolewa wanakuwa wanawake wa watu kwakuwa wanaolewa wakiwa tayali washatumika😅😅😅

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 19 дней назад +1

    Hii issue ya agano . Hasa kutairi. Siku namtairi mtoto nilizimia. Kutairi ni agano la damu. Sasa wakristo tunatakiwa kufanyaje. Haya mambo magumu

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931 20 дней назад +3

    Mtumishi yupo sahih kabisa tunaingiliana tuu kaa wanyama..... Tuoe kihalari bikra

  • @rauncesimwaka1320
    @rauncesimwaka1320 18 дней назад +2

    Mfalme daudi alioa mke wa hulia Kwa hiyo hakua mke

  • @ArobogastMashamba
    @ArobogastMashamba 20 дней назад +2

    Ndo maana kwenye WOKOVU hakuna upenzi/ugirlfriend/uboyfriend...ni uchumba kisha ndoa

  • @mamawadudu48
    @mamawadudu48 20 дней назад +2

    The spirit of confusion is loading.

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 19 дней назад +2

    Imeenda hiyo na wale madada waliojivuavua ndiyo maana ni wakali kwa comment maana mmepigwa na kitu kizito

  • @user-gv2un4jl3m
    @user-gv2un4jl3m 20 дней назад +4

    Oscar mbona kama kazuubaa hajawahi kukutana na kisiki nini? Kisiki ni BIKRA

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 20 дней назад +17

    Ila uko sahihi kabisa mchungaji!

  • @BeatriceBandio-qo6yp
    @BeatriceBandio-qo6yp 14 дней назад

    Ndio baba uo ndio uungu na baraka na nuru ndani ya mwanamke kutoka kwa Mungu

  • @TarimoMangi
    @TarimoMangi 20 дней назад +4

    Bro, Me ni MANGI na saiv a miaka 25,kwa sasa najiandaa kuoa lakini STAKI KABISA KUOA MWANAMKE ASIYE KUA NA BIKRA maana kwanza ntakua nachukua makombo, napia kwa sisi waktisto kuoa mwanamke ambae amesha ungana na wanaume wengine au mwingine kimwili inamadhara makubwa sana KIROHO,inakufanyA usiwe na nguvu kiroho na pia inaondoa baraka kwa watoto wako.

    • @TarimoMangi
      @TarimoMangi 20 дней назад +2

      Kwahiyo mzee ameongea ukweli 100%

    • @AwardHakimu
      @AwardHakimu 20 дней назад +2

      Upo sawa hizo takataka ambazo hazina bikra weka kushoto Mimi mwenyewe naoa bikra Bora nilipe mahali kubwa lakini nioe bikra

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 17 дней назад +1

      Basi hakikisha na wewe hufanyi kabla ya ndoa ,Kwa sababu pia ukristo haujaruhusu mwanaume kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa

    • @TarimoMangi
      @TarimoMangi 17 дней назад

      Me ni mkweli kaka, maana ukristo hauturuhusu kusema uongo

    • @TarimoMangi
      @TarimoMangi 17 дней назад

      Amen kaka

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 20 дней назад

    Weweeeee mzeeer usituvurugee hapa bwanaa😮

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 8 дней назад

    Oscar amehuzunika sana..inaonyesha hajawahi kupata mke Bikra

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 20 дней назад +1

    Mzee uko sawa kwaushahidi huu ndomana vitabu vya M/MUNGU vimekaza kuzini tabia ya kuzini ndoimeleta watu kuowa wasichana wasio bikra

  • @shau78
    @shau78 20 дней назад +3

    ni kweli kabisa mchungaji anavyosema. lakini mimi kama mkristo naamini kwenye kutubu dhambi na kumuomba Mungu abadilishe pale palipokosewa. na Mungu hashindwi kitu. Mwanamke alietunza bikra mpaka akaolewa, kisha akazini baada ya kuolewa hana haki kuliko mwanamke aliekutwa hana bikra (hata kama alikuwa dada poa), lakini akatubu kwa dhati na kutulia na mume wake.

  • @robertsongola6034
    @robertsongola6034 20 дней назад +3

    Leo umesema kweli

  • @iddylumbila7399
    @iddylumbila7399 20 дней назад +1

    Umeongea ukweliofichwa kwa muda mrefu na viongozi wa dini, na ukumbuke ukweli unauma kwahyo tegemea kupata comment za waliomia na waliojifunza, kama umeumia dislike na kama umejifunza hapa chini.

  • @user-qf9uj2oc1b
    @user-qf9uj2oc1b 19 дней назад +1

    Walio wengi tunaukataa ukweli baada yakujikuta tumekosea ila mzee anaongea ukweli

  • @bechubechuissa8965
    @bechubechuissa8965 20 дней назад

    Kweli mzee wa upako

  • @vero57
    @vero57 20 дней назад +4

    Bwana aliye nitoa bikira sijui yuko wapi ??? Hata siku hiyo ni kama alinibaka maana nilikua sielewi kitu 😂😂😂

  • @user-tu9zm1jh3n
    @user-tu9zm1jh3n 13 дней назад

    Mmmh

  • @vero57
    @vero57 20 дней назад +2

    NA NYIE WANAUME JEE??? BIKIRA?????? PANDE MBILI HAPO TUNAOGELEA?????😂😂

  • @user-oz8mc7mz7z
    @user-oz8mc7mz7z 18 дней назад

    Zitatengenezwa sana

  • @gilbertbidimbuka9104
    @gilbertbidimbuka9104 13 дней назад

    Huyu mzee kuna kongamano liliandaliwa akakimbia harafu anasema ajibiwe hoja wakati kaalikwa ili aje natuhuma zake juu ya Ukristo akakimbia.
    Sasa ushauri wangu kwenu watangazaji waalikeni na wachungaji wengine waje wa mjibu hoja huyu mzee ambaye Ni mhuni tu asiyeijuwa Biblia

  • @abdulkilihindi7725
    @abdulkilihindi7725 20 дней назад

    Hhh,,hili zee kwel somi

  • @jonasfrank1758
    @jonasfrank1758 19 дней назад

    Baba mchungaji kwa mafundisho unayotoa, hiki kituo inabd kifanye arrangement na wewe atleast kila week uwe na dk zako 15-20 kwa ajili ya mafundisho

  • @allykk1459
    @allykk1459 17 дней назад

    Mara nyingi anasema kweli nimependa sana

  • @danieljohn6904
    @danieljohn6904 18 дней назад

    #Hii ni saa ya kuambiana UKWELI kama Kuna mwenye Hekima mmoja Asome
    2Wakorintho 5:17-19. Na
    Yohana 3:1-7.
    Mtu anadanganya UMA tena kwenye Media kweli waongo wapo na wengi wanawafata nitajie andiko bas hayo Yalimalizwa na Yesu mwenyewe....By Man of God (Taifa kubwa) na waandishi na nyie mnakubali jmn poleni sana#

    • @maclean7727
      @maclean7727 День назад

      Huu ni uongo YESU alitukomboa kwenye dhambi, hakuna kubadilisha agano la ndoa. Kama ingekuwa hivyo mabinti wasingekuwa wanazaliwa na bikra.

    • @maclean7727
      @maclean7727 День назад

      Hakuja kubadilili agano la ndoa, alikuja kutukomboa na dhambi.

  • @Elybwayz
    @Elybwayz 20 дней назад +16

    Na alietoa bikira zaidi ya 1 wote wakezake😅

  • @georgebataze6625
    @georgebataze6625 20 дней назад +3

    Hii issue sounds very real. Ndio maana ndoa nyingi hazieleweki. 😅 men tunaishi na wake za watu😂. Nafikiri shetani kafanikiwa sana eneo hili ndio maana tunakubali sote kuwa ndoa za siku hizi miyeyusho. Ukimpata mwanamke wa ujana wako na ukadumu nae, inaheshima sana maana unaujasiri kuwa wewe ndie uliefungua njia hata hisia mbovu mbovu unakuwa huna. 😂😂😂. Leo hii unakuta wapenzi hawapati ladha yenyewe kabisa mara huyu anakibamia mara huyu pana sana, kumbe size tofauti zimepita😂. Sasa men wanaanza kuruka ruka ili kukidhi haja zao, hii sio kwamba shetani kashinda kwenye eneo hili?

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 17 дней назад

      Ikiwa wewe ( men) sio bikra ,unataka upate mke bikra kutoka wapi?

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 17 дней назад

      Nyie bikra zenu mnazitolea wapi ? Kama ni Kwa hao mabinti basi sahau kupata mke bikra

    • @georgebataze6625
      @georgebataze6625 17 дней назад

      @@emmadora7848 niipate kwako

    • @georgebataze6625
      @georgebataze6625 17 дней назад

      @@emmadora7848 fafanua vizuri bikra ya mwanaume iko vp wakati akibarehe tu na akiota ndoto nyevu anamaliza.!! Bikra inapatikana kwa jinsia ya kike

    • @georgebataze6625
      @georgebataze6625 17 дней назад

      ​@@emmadora7848ikiwa baba yako alikuonya usifanye ujinga mpaka pale utakapo olewa harafu wewe ukapuuza na ukadanganywa kosa nilanani?

  • @gilbertbidimbuka9104
    @gilbertbidimbuka9104 13 дней назад

    Mimi nasema kuwa huyu mzee siyo Mkristo na haujui Ukristo kabisa niko tayari hata mniite hapo kwenye kipindi nimjibu huyu mzee na hata nisimame naye tujibiane mimi na yeye

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 13 дней назад

      Umepigwa nini? Kula kiporo hicho hukupata bikira. Mzee yuko vizuri 100%. Hapana cha kujibu hapo Mkristo ni mke mmoja ukiona ushatombwa au ushatomba na zaidi ya mtu mmoja wewe sio Mkristo!

  • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
    @Mahershalalhashbazi-kf6xi 16 дней назад

    Chief Mwantebe leo kasema iliyo kweli

  • @iamdisciple_tz
    @iamdisciple_tz 20 дней назад +8

    Bora ata umeongea hii maada nilikua nawambia mmenipambanisha wenyewe wananambia mfungwa achagui gereza. Waludishe tu mahali zangu wachukue Toto rao

    • @BarakaProtas
      @BarakaProtas 20 дней назад +1

      😂😂 fata mahari umepigwa

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t 20 дней назад

      Kuna ndoa imekufa😂😂😂😂😂

  • @reganpaul8542
    @reganpaul8542 15 дней назад

    Mzee hapa hekima imajaaa chief

  • @Docantz
    @Docantz 16 дней назад

    Mzee ametusha 🎉

  • @HamadiMzee-ut9bq
    @HamadiMzee-ut9bq 19 дней назад

    Now days kunamatukio mengi wengine utolew bikla kwa kulazimishwa yan kubakwa achen kashifa nyinyi

  • @user-zn7yp4cp1e
    @user-zn7yp4cp1e 16 дней назад

    Oscar Oscar unapenda story kama izi

  • @dioclesrweramila7926
    @dioclesrweramila7926 20 дней назад +1

    Malaki 2:14
    [14]Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu BWANA amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako.

    • @danieljohn6904
      @danieljohn6904 18 дней назад

      Ukimgonga mwanamke bikra ndiyo amekuwa mke nakataa huko ni kuzin tena ni dhambi kama dhambi zingine unatakiwa kuelewa soma 2wakorintho5:17-19 na Yohana 3:1-7

    • @edwinmbunda6709
      @edwinmbunda6709 17 дней назад

      ​@@danieljohn6904Huwezi bishia biblia ndugu....

  • @SylivesterKilunga
    @SylivesterKilunga 20 дней назад +1

    Mtumishi umenena

  • @neemajames5137
    @neemajames5137 20 дней назад +1

    Jamani msitukane Masihi wa Bwana ndivyo biblia inavyosema.

  • @AwardHakimu
    @AwardHakimu 20 дней назад

    Walokole wanaongoza kwa uzinzi unakuta kwaya nzima ni wapenzi watupu hovyo sana

  • @vero57
    @vero57 20 дней назад +1

    Wanaume sasa leo wamepata kichwa, wasio na bikira sio mkeo khaaa hiii kali, kwahivyo wafanywe nini wasio na bikira watupwe ??? Tuta zindi kuzalauriwa 😮😮

  • @MobsFundisimu
    @MobsFundisimu 19 дней назад

    Nikuelewa sana

  • @kibosniper5219
    @kibosniper5219 20 дней назад

    Hahahah mimi nimetoa bikira san watot wa watu afu ikawaga nikiwatoa wanapendan na wengin da dini hizi mungu aje tuokoa man tunadanganywa.hata mimi niliamin kumtoa bikr mwanamke ni wangu bt haijawah tokea kwanz akishatolew tu ndo wanakua malaya kisenge

    • @user-cp2do9pd5k
      @user-cp2do9pd5k 19 дней назад +1

      @@kibosniper5219 omba Toba sana ndugu maana utakufa mbaka uone watoto wako wakiumizwa

  • @SilasNdaisabha-gx8jo
    @SilasNdaisabha-gx8jo 20 дней назад +1

    Faini naitakaaa

  • @eminenceboy8386
    @eminenceboy8386 16 дней назад

    Mm huyu mzee waupako naanza kumuelewa kidog kidog😂

  • @pastadandan3569
    @pastadandan3569 20 дней назад +10

    Kuna wengine tangia awe kijana mpaka amezeeka hajawahi kubahatika bikra hata Moja

    • @ELIZABETH-uz6dv
      @ELIZABETH-uz6dv 18 дней назад

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 17 дней назад

      Sasa kosa la nani ? Anayetangatanga kuhatibu mabinti za watu au hao mabinti?😂😂😂😂

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 16 дней назад

      ​@@ELIZABETH-uz6dv😂😂😂😂😂😂😂

    • @pastadandan3569
      @pastadandan3569 16 дней назад

      @@ELIZABETH-uz6dv Eliza wewe

    • @pastadandan3569
      @pastadandan3569 16 дней назад

      @@emmadora7848 hakuna mwenye kosa hapo

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 20 дней назад

    MTU anangangana mke wangu mke wangu upuuz tu umemkuta nayo

  • @UfahamuwaKristo
    @UfahamuwaKristo 19 дней назад +1

    Au ndo maana ndoa nyingi za leo zina migogoro sana

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 13 дней назад

    Hivi mzee waupako umepatwa nanini?

  • @user-wx9or8rw4n
    @user-wx9or8rw4n 16 дней назад

    Ndo mana tumeambiwa tuowane kabla ya kuingiliana.ndo mana dharau nyingi.

  • @confredsangija
    @confredsangija 14 дней назад

    mzee wa punyeto leo yuko kwenye masuala ya dini,,,,basi si ungeuliza na kuhusu punyeto na chama cha wapiga pu kama kipo kihalali?>

  • @zuberikamote2078
    @zuberikamote2078 19 дней назад

    Kwhyo mimì frida kaniambia nyumba hii tufame nihame kweli maananyasije yakatokea makubwa

  • @reginaaloyce4055
    @reginaaloyce4055 14 дней назад

    Nna swali hao wanaotoa hzo bikra ni kina Nan?

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 19 дней назад

    Wengi hawana wake kwa kweli😂😂😂😂

  • @gilliansiara3324
    @gilliansiara3324 16 дней назад

    Huyo mwanaume yeye ni bikra,

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 18 дней назад

    IMEEENDAAAA HIYO TAYARI!!!!, BONGE LA SOMO !!!

  • @user-vk4mv8vs7c
    @user-vk4mv8vs7c 20 дней назад

    Hadisi za abunuasi
    Asome alama za nyakati

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 День назад

    Kimsingi akili ni moyo..

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 19 дней назад

    KWA KWELI MI NISHAKUTANAGA NA BIKRA MMOJA TUU

  • @henrymjema1685
    @henrymjema1685 20 дней назад +1

    Huu ni ukweli unaouma

  • @user-wx9or8rw4n
    @user-wx9or8rw4n 16 дней назад

    Njoo upose ....zipi nyingiiiiiii

  • @lightforafricatv3122
    @lightforafricatv3122 20 дней назад

    Sasa mwanaume akiwatoa ubkira wanawake 10 , wote watakuwa wake zake kibiblia pia? Wakiseme wajitokeze kwake itakuwaj?

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 20 дней назад +1

    Na ukikutana na mume co bikira pia ujue co mume wako ( Namaanisha mwanaume pia kuna mtu aliyeanza naye mapenzi wanawake mpoooo!)

    • @maclean7727
      @maclean7727 День назад

      Mwanaume mmoja anaweza kutoa bikra hata tano, hao wote ni wake zake kwa mujibu wa agano la damu.

    • @maclean7727
      @maclean7727 День назад

      Lakini mwanamke mmoja hawezi kutolewa bikra na wanaume wawili, ila mmoja tu.

    • @maclean7727
      @maclean7727 День назад

      Na hiyo ndo maana kwenye agano la kale wanaume walikuwa wanaoa mke zaidi ya mmoja, lakini kwa mwanamke haikuwezekana.

  • @user-ce2xg9wt4s
    @user-ce2xg9wt4s 10 дней назад

    Kama umechanganyikiwa achana naye

  • @jamesraphaelmdima4729
    @jamesraphaelmdima4729 4 дня назад

    Kwa mujibu wa Biblia alitakiwa kupigwa mawe hadi kufa.

  • @MwljofreyChitta
    @MwljofreyChitta 19 дней назад

    Hakika .kimaandiko upo sahihi.

  • @AbisaiMwambene-fo9pt
    @AbisaiMwambene-fo9pt 19 дней назад

    Je na mwanamke au msichana alietolewa bikra na aliekuwa mme wa mwanamke mwingine panakaaje hapo ki bibilia?

    • @Brandpeople
      @Brandpeople 19 дней назад +1

      Umekubalije kumpa Bikra yako Mme wa Mtu kwanza???