MARTIN LUTHER MUASI ALIEANZISHA DHEHEBU LA LUTHERANI, WAKATOLIKI WALIMLAANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024

Комментарии • 128

  • @epmzmusifiwar6694
    @epmzmusifiwar6694 Год назад +4

    From UGANDA 🇺🇬 To Tanzania 🇹🇿 Justin Sheed 🔥🔥🔥

  • @fredimpare-mq4uo
    @fredimpare-mq4uo Год назад +3

    Ni kweli Dr Martini Luther amelisimamia neno la Mungu na kuyatafuta mapenzi ya Mungu Hakua muasi

  • @meshakinjege8912
    @meshakinjege8912 Год назад +5

    Martin Luther hakuasi kabisa ila alisimamia haki. Kanisa Katoliki ndilo lililoasi sheria za Mungu kwa kuanzisha mafundisho na utaratibu ambao haiwezekani kuuthibitisha katika Biblia.

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 Год назад +12

    Ukituletea uasi wa martin lutha tuletee na uasi wa Romani catholic na kuinuka kwa upapa uliotesa watu na kuuwa wakristo kwa kuwachoma moto na mateso mengine mengi ya kikatili. Ili twende sawa

  • @furahaanthony2100
    @furahaanthony2100 Год назад +1

    I'm so proud of you Cuzo, Twende kaziiii💃🔥

  • @timothmwakakusyu4563
    @timothmwakakusyu4563 Год назад +4

    Mwenye haki ataishi Kwa imani

  • @user-ot2io4cy6w
    @user-ot2io4cy6w Год назад +3

    Me nilidhani Martin Luther King Jr. Ni Mtoto wa Martin Luther kumbe alipewa jina na Baba yake tu kama kumuenzi

  • @talibameir372
    @talibameir372 Год назад +1

    Asante sana umbi langu umelifanyia kazi

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 Год назад

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu MWAMINI YESU na Uokoke na Ulithi uzima WA MILELE.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @malcomxlumumba
    @malcomxlumumba 8 месяцев назад

    Nakuelewa sana bro pamoja na ANNANIS EDGAR hata Nafikiri jisi nitaanza niwe kama nyinyi

  • @AndongwisyePanja-nr8rb
    @AndongwisyePanja-nr8rb Год назад +1

    Keli Martin Luther ndiye lnjinia aliyelikarabati upya kanisa la Mungu

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Год назад +4

    Ukiona dini imeanzishwa na mtu hiyo si dini ndio maana unakuta nyumba ya ibada mchungaji anaweka picha zake nyumba ya ibada ni nyumba ya mungu Ukiona mchungaji anaweka picha zake kanisani ujue hiyo biashara yake

    • @RehemaJonas-ui2qs
      @RehemaJonas-ui2qs Год назад

      Kuna tofauti ya dini na dhehebu 😊

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад

      @@RehemaJonas-ui2qs dini ni njia ya kumuabudu mungu moja kwa moja bila dini huwezi kwenda kwa mungu wako zehebu ni sehemu ya dini iliyo farakana na kila mtu akaanzisha dini yake ndio maana ukitizama zehebu kila zehebu lina history yake nani kaanzisha na dini ndio muongozo mzima wa maisha yako dini inakufundisha kila kitu kwa mfano dini ya uislamu inatufundisha kabla hujaingia chooni kuna duwa ya Kuomba kabla hujalala kuna duwa kwa sababu unalala ila hujui km utaamka aw laa je ukristo kuna kuongozo wa maisha nje ya Biblia

    • @petertabitha287
      @petertabitha287 Год назад

      Usiwe jua jua kutofautisha dini na madhehebu mbona nyie dini uislam ila mna Sunni,shia nk kasome elimu ya dini usikurupuke

    • @petertabitha287
      @petertabitha287 Год назад

      Ukisoma katika Quran yenu baada ya kifo cha mtume paliibuka ushindane mumfate nani waliomfata abubakar mbona Sie hatusemi

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад +1

      @@petertabitha287 nipe andiko linalo sema hivyo

  • @sebastianmichael4031
    @sebastianmichael4031 Год назад +2

    Islamu ni njia ya upotovu tu, mwamini yesu mpate ondoleo la dhambi zenu, hatimaye muingie mbinguni.

    • @woah.africa99
      @woah.africa99 Год назад +1

      Yesu pia muislam kwa hiyo ww umewafata hao wanayo pingana na kuzidisha na kupunguza mandiko ok

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Год назад

      Kwahiyo wewe huna dhambi

    • @woah.africa99
      @woah.africa99 Год назад +1

      @@Catherine-mh8sw unaongea nn tunalo ongea ni dini tumesema uislam ndio Dini ya mitume wote hata ukifatilia mitume wote utajua hakuna binadam hana dhambi kwa hiyo utubu kwa mmungu wa ukweli hata hao mana bee walisali kwa kumuomba mmungu

    • @woah.africa99
      @woah.africa99 Год назад

      Mbingu na ardhi vyote vitashikana sasa umeshikilia mbinguni ww sema badae ndio kuna pepo , isa atakuruka hao pastors kila siku wanawambia yesu hajaingia kanisani ww unamfata nani wakati yesu alingia masinagogi misikiti , mana bee wote ni waislam huezi kuwatenganisha mana bee wa mmungu mmoja ukawapeleka ulaya wapi never hata ulienda jesrusalemuta utaona misikiti ya ibrahim na isihaka yena kumeandikwa juu lugha za warabu ndugu ukoloni yesu hasema fini ukirsto bada yake ndio ikaja ila ibrahim ndio alie jenga al kabah na kacha uislam ipi dini ya ukweli ?? No rome wa uk wala usa mijizi wameifanya biashara sasa hv wanasilim kila siku wazungu ujue wanamfata ibrahim sasa dini ya ukweli

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Год назад

      @@woah.africa99 usipende kujibu usichokijuwa

  • @johnshirima6176
    @johnshirima6176 Год назад +6

    Tuambie izo hoja 95 za lutha

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 Год назад

    Kuasi shetani ni Wajbu Wa kila shujaa Wa imani usikubali kupotezwa kwa kisingizio cha kanisa bila neno la mungu

  • @user-pd8gx8ff6w
    @user-pd8gx8ff6w Год назад +1

    Nexit time naomba tujulishe kuhusu jamii au kabila zilizotoweka au kupotea duniani ( lengo kujua usa inaweza angamiza black au african generation based in history

  • @godwillmanyaki7816
    @godwillmanyaki7816 Год назад

    Hello
    Naomba utupatie story ya Dr. Nandipha na Thabo besta wale waalifu waliokamatwa Arusha.

  • @hakizajeremie1918
    @hakizajeremie1918 Год назад

    Thanks 🙏 that's good

  • @Nashon967
    @Nashon967 Год назад

    Mkuu na weza pata historia ya Helen. G. White

  • @raphaelsiumbu9439
    @raphaelsiumbu9439 5 дней назад

    ⚫🔵🟣🔴⚫🔵🟣🔴🟢⚫🔵🟣
    UAS SIO NENO BAYA
    Ukiwa mshirika wa shetani, unaweza kumwasi shetani

  • @musamateru5786
    @musamateru5786 Год назад +2

    Tupe hizo hoja 95 za huyu mwanaume,sasa twende kazi

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 Год назад

    Kingine watu wanachokosea.. Ni kwamba kuna tofauti kati ya padre Martini Luther aliyekuwa padre wa Kanisa Katoliki wa shirika la mtakatifu agustino. Na pia yupo Martini Luther king huyu ni Mmarekani mweusi aliyekuwa anapigania haki za watu weusi kule nchini Marekani.

  • @washingtonv199
    @washingtonv199 Год назад +2

    😂😂😂 na chakushangaza hata hilo kanisa lake mwenyewe limekuja kupoteza mwelekeo nakuwa chombo cha wachumia tumbo

    • @RehemaJonas-ui2qs
      @RehemaJonas-ui2qs Год назад

      Sawa😊

    • @ErenestFabian
      @ErenestFabian 7 месяцев назад

      Hapo ndo napata picha ndomaana sshv yamekuwa mengi wanajigawa tu kama njungu dah🙆🙏

  • @ErenestFabian
    @ErenestFabian 7 месяцев назад

    Je ikiwa martin aliweka hoja zake hakukua na majbu ya kumpa ili asiendelee kueneza anacho kifikilia na kuharbu utaratibu wa dini, iliyo mlea

  • @govankayugwa-to2er
    @govankayugwa-to2er Год назад

    Ivi kwani watu tunaangalia dini au tunanamwangalia Mungu?

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 Год назад +1

    l kanisa linalouwa na kuteka nyala

  • @hassanpashua
    @hassanpashua Год назад

    Kwa hio inaama yesu alijui hilo kanisa limeanzishwa sio hakuna dini hapo

  • @fabianlucas3594
    @fabianlucas3594 Год назад +1

    Good work
    Sasa twende kazi.

  • @guccij6236
    @guccij6236 Год назад +1

    Mimi nilisikia jamaa aliona waroma wanaabudu Sanam ndo akawakana kuanzisha dhehebu la rutheran

    • @AbelCharles-co6qb
      @AbelCharles-co6qb Год назад

      Hyo n mojawapo ya hoja zake 99...

    • @SANGTINAGODETRUDMAKONYOLA
      @SANGTINAGODETRUDMAKONYOLA Месяц назад

      Hapana alichosema msimuliaji nisahihi hata vitabu vyetu vya hishoria ya Lutheran church vinaeleza hivyo

  • @hatibuiddi4163
    @hatibuiddi4163 Год назад

    Kaka ww fundi sana

  • @sebastianmichael4031
    @sebastianmichael4031 Год назад

    Leta hadharani hizo Hoja tisini na tano. Huyo alikuwa mtengeneza njia kweli kweli kama yule yohana na Eliya.

  • @gatekanene5753
    @gatekanene5753 Год назад

    Sasa twende kazi baba

  • @princegerard4704
    @princegerard4704 Год назад +1

    SABATO itabakia Kuwa Dini Bora na ya kweli kwa WAKRISTO wote duniani 🙏🙏 Mungu awape Nguvu na Maarifa wa kuutambua ukweli

    • @machachehardware5975
      @machachehardware5975 Год назад

      🤣🤣🤣🤣😳nidhehebu nalo

    • @martedimohamed6327
      @martedimohamed6327 Год назад

      Jumamosi iyo

    • @GreysonMheni-ln9rm
      @GreysonMheni-ln9rm Год назад

      Sabato siyo Dini,ni sehemu ya madhehebu ya kikristo

    • @ulimbagakipole559
      @ulimbagakipole559 Год назад

      Sabato nayo imegawanyika ubora wake uko wapi?. Wasabato wote wanamkubali Dkt Martin Luther.

    • @OnesphoryJKMboya
      @OnesphoryJKMboya Год назад +1

      Kwanza wasabato sio wakristo,ujue hivyo,umewahi kuona majengo ya kisabato yana misalaba!?
      Kama hakuna misalaba basi ninyi wasabato ni wayahudi na kuwa Bado mnasubiria Kristo,aje

  • @ibrahimemmanuel110
    @ibrahimemmanuel110 Год назад

    mmmmh lete na ya wesley

  • @budaboss990
    @budaboss990 Год назад +2

    Good job, my friend ❤

  • @peteramasi2524
    @peteramasi2524 Год назад +1

    He was ex-communicated by the Law of Jesus Christ given to Peter the Apostle. He was locked here on Earth and in Heaven. He was deprived of all authorities given to him on the day of ordination. He became a normal man, unable to celebrate a Holy Mass. Nothing good was expected from him. He brought division against the command of Jesus to unite.

  • @henrylugendo280
    @henrylugendo280 Год назад +1

    Safi sana jastin

  • @HalfaSaid-vl6ki
    @HalfaSaid-vl6ki Год назад

    Naona story imeleta malumbano ya dini kla mtu anatetea chale 😀

  • @mtukwaomwenyewe1815
    @mtukwaomwenyewe1815 Год назад

    Tuwe makini na watu wanao taka kuli potosha kanisa kwa kujiita majina ya watakatifu kumbe sio

  • @bonkeysimon4619
    @bonkeysimon4619 Год назад

    Hakuna mtu atakaye mwona MUNGU kwa tiketi ya dhehebu kubwa wala dogo,HIVYO KAMA UNATAKA KWENDA MBINGUNI MWAMINI YESU EPUKANA NA UOVU WA KILA NAMNA

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 Год назад +1

    Ziko katika vitabu vyake mbalimbali

  • @benedictomb
    @benedictomb Год назад

    Luther alikuwa na Pupa ya madaraka, mungu ana utaratibu wake. Justin nyinyi kina lutherani munapo towa hizi story munakosea sana kwani tunauona wazi upande munao uegemea

    • @noelimori4621
      @noelimori4621 Год назад

      Jibu hoja kaka au leta swali ?

    • @bethkatunx7677
      @bethkatunx7677 Год назад

      Hill kanisa lenye kuuwa na kuteka watu linamwaki
      Lisha nani ? Duniani? Jamani hebu tulejee maandiko kisasi ni cha bwana hatujatumwa kuuwa Bali kuwaombea wanaotuudhi

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 Год назад

    SASA TWENDE KAZIIIIII

  • @guccij6236
    @guccij6236 Год назад

    Mungu mmoja dini tofauti

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад +1

      Dini moja tu uislamu hizo nyengine biashara dini itaanzishwa na mtu

    • @daslamonline4665
      @daslamonline4665 Год назад +1

      Mungu Mmoja yupi

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Год назад

      @@daslamonline4665 Jehovah

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад

      @@daslamonline4665 mungu mmoja aliye umba mbingu na ardhi hajazaa wala hajazaliwa halali wala hachoki wala hana mfano wake

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад

      @@adkajisi4536 alikuwa kazi si ndogo kufikiria jina la bwana mungu kuliita jehova na majina mengi kupunguzwa na kubadilishwa hivyo ndio biblia inavyo sema kwa mujibu wa biblia jehova ni jina walilo tunga

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍.

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 Год назад

    Ndio Martin Luther aliasi upagani wa katoliki ili aitafute kweli ya neno la MUNGU

  • @wachimara
    @wachimara Год назад +1

    Wajinga ndo waliwao

    • @iconramar9366
      @iconramar9366 Год назад

      Kabisa kanisa aliwezi kuasi bila watu