Martin Luther hakuasi kabisa ila alisimamia haki. Kanisa Katoliki ndilo lililoasi sheria za Mungu kwa kuanzisha mafundisho na utaratibu ambao haiwezekani kuuthibitisha katika Biblia.
Ukituletea uasi wa martin lutha tuletee na uasi wa Romani catholic na kuinuka kwa upapa uliotesa watu na kuuwa wakristo kwa kuwachoma moto na mateso mengine mengi ya kikatili. Ili twende sawa
Ukiona dini imeanzishwa na mtu hiyo si dini ndio maana unakuta nyumba ya ibada mchungaji anaweka picha zake nyumba ya ibada ni nyumba ya mungu Ukiona mchungaji anaweka picha zake kanisani ujue hiyo biashara yake
@@RehemaJonas-ui2qs dini ni njia ya kumuabudu mungu moja kwa moja bila dini huwezi kwenda kwa mungu wako zehebu ni sehemu ya dini iliyo farakana na kila mtu akaanzisha dini yake ndio maana ukitizama zehebu kila zehebu lina history yake nani kaanzisha na dini ndio muongozo mzima wa maisha yako dini inakufundisha kila kitu kwa mfano dini ya uislamu inatufundisha kabla hujaingia chooni kuna duwa ya Kuomba kabla hujalala kuna duwa kwa sababu unalala ila hujui km utaamka aw laa je ukristo kuna kuongozo wa maisha nje ya Biblia
@@Catherine-mh8sw unaongea nn tunalo ongea ni dini tumesema uislam ndio Dini ya mitume wote hata ukifatilia mitume wote utajua hakuna binadam hana dhambi kwa hiyo utubu kwa mmungu wa ukweli hata hao mana bee walisali kwa kumuomba mmungu
Mbingu na ardhi vyote vitashikana sasa umeshikilia mbinguni ww sema badae ndio kuna pepo , isa atakuruka hao pastors kila siku wanawambia yesu hajaingia kanisani ww unamfata nani wakati yesu alingia masinagogi misikiti , mana bee wote ni waislam huezi kuwatenganisha mana bee wa mmungu mmoja ukawapeleka ulaya wapi never hata ulienda jesrusalemuta utaona misikiti ya ibrahim na isihaka yena kumeandikwa juu lugha za warabu ndugu ukoloni yesu hasema fini ukirsto bada yake ndio ikaja ila ibrahim ndio alie jenga al kabah na kacha uislam ipi dini ya ukweli ?? No rome wa uk wala usa mijizi wameifanya biashara sasa hv wanasilim kila siku wazungu ujue wanamfata ibrahim sasa dini ya ukweli
Nexit time naomba tujulishe kuhusu jamii au kabila zilizotoweka au kupotea duniani ( lengo kujua usa inaweza angamiza black au african generation based in history
Kingine watu wanachokosea.. Ni kwamba kuna tofauti kati ya padre Martini Luther aliyekuwa padre wa Kanisa Katoliki wa shirika la mtakatifu agustino. Na pia yupo Martini Luther king huyu ni Mmarekani mweusi aliyekuwa anapigania haki za watu weusi kule nchini Marekani.
Kwanza wasabato sio wakristo,ujue hivyo,umewahi kuona majengo ya kisabato yana misalaba!? Kama hakuna misalaba basi ninyi wasabato ni wayahudi na kuwa Bado mnasubiria Kristo,aje
He was ex-communicated by the Law of Jesus Christ given to Peter the Apostle. He was locked here on Earth and in Heaven. He was deprived of all authorities given to him on the day of ordination. He became a normal man, unable to celebrate a Holy Mass. Nothing good was expected from him. He brought division against the command of Jesus to unite.
Luther alikuwa na Pupa ya madaraka, mungu ana utaratibu wake. Justin nyinyi kina lutherani munapo towa hizi story munakosea sana kwani tunauona wazi upande munao uegemea
Hill kanisa lenye kuuwa na kuteka watu linamwaki Lisha nani ? Duniani? Jamani hebu tulejee maandiko kisasi ni cha bwana hatujatumwa kuuwa Bali kuwaombea wanaotuudhi
@@adkajisi4536 alikuwa kazi si ndogo kufikiria jina la bwana mungu kuliita jehova na majina mengi kupunguzwa na kubadilishwa hivyo ndio biblia inavyo sema kwa mujibu wa biblia jehova ni jina walilo tunga
From UGANDA 🇺🇬 To Tanzania 🇹🇿 Justin Sheed 🔥🔥🔥
Ni kweli Dr Martini Luther amelisimamia neno la Mungu na kuyatafuta mapenzi ya Mungu Hakua muasi
Na angeendelea kuishi waluter wangebatiza Kama Kristo
Martin Luther hakuasi kabisa ila alisimamia haki. Kanisa Katoliki ndilo lililoasi sheria za Mungu kwa kuanzisha mafundisho na utaratibu ambao haiwezekani kuuthibitisha katika Biblia.
Ukituletea uasi wa martin lutha tuletee na uasi wa Romani catholic na kuinuka kwa upapa uliotesa watu na kuuwa wakristo kwa kuwachoma moto na mateso mengine mengi ya kikatili. Ili twende sawa
Umenena
Ukweli unawauma nyie😅
@Meshack_Nyandongo Limekushuka 😂😂😂😂
Ukweli haupingwi kwa kutengeneza uongo
Ukweli unawauma Lutheran, wakaamua na jina la huyu aliyesaliti ndio kiwe jina la kanisa lao
I'm so proud of you Cuzo, Twende kaziiii💃🔥
Mwenye haki ataishi Kwa imani
Me nilidhani Martin Luther King Jr. Ni Mtoto wa Martin Luther kumbe alipewa jina na Baba yake tu kama kumuenzi
Asante sana umbi langu umelifanyia kazi
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu MWAMINI YESU na Uokoke na Ulithi uzima WA MILELE.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Nipe maana ya kuokoka
Nakuelewa sana bro pamoja na ANNANIS EDGAR hata Nafikiri jisi nitaanza niwe kama nyinyi
Keli Martin Luther ndiye lnjinia aliyelikarabati upya kanisa la Mungu
Ukiona dini imeanzishwa na mtu hiyo si dini ndio maana unakuta nyumba ya ibada mchungaji anaweka picha zake nyumba ya ibada ni nyumba ya mungu Ukiona mchungaji anaweka picha zake kanisani ujue hiyo biashara yake
Kuna tofauti ya dini na dhehebu 😊
@@RehemaJonas-ui2qs dini ni njia ya kumuabudu mungu moja kwa moja bila dini huwezi kwenda kwa mungu wako zehebu ni sehemu ya dini iliyo farakana na kila mtu akaanzisha dini yake ndio maana ukitizama zehebu kila zehebu lina history yake nani kaanzisha na dini ndio muongozo mzima wa maisha yako dini inakufundisha kila kitu kwa mfano dini ya uislamu inatufundisha kabla hujaingia chooni kuna duwa ya Kuomba kabla hujalala kuna duwa kwa sababu unalala ila hujui km utaamka aw laa je ukristo kuna kuongozo wa maisha nje ya Biblia
Usiwe jua jua kutofautisha dini na madhehebu mbona nyie dini uislam ila mna Sunni,shia nk kasome elimu ya dini usikurupuke
Ukisoma katika Quran yenu baada ya kifo cha mtume paliibuka ushindane mumfate nani waliomfata abubakar mbona Sie hatusemi
@@petertabitha287 nipe andiko linalo sema hivyo
Islamu ni njia ya upotovu tu, mwamini yesu mpate ondoleo la dhambi zenu, hatimaye muingie mbinguni.
Yesu pia muislam kwa hiyo ww umewafata hao wanayo pingana na kuzidisha na kupunguza mandiko ok
Kwahiyo wewe huna dhambi
@@Catherine-mh8sw unaongea nn tunalo ongea ni dini tumesema uislam ndio Dini ya mitume wote hata ukifatilia mitume wote utajua hakuna binadam hana dhambi kwa hiyo utubu kwa mmungu wa ukweli hata hao mana bee walisali kwa kumuomba mmungu
Mbingu na ardhi vyote vitashikana sasa umeshikilia mbinguni ww sema badae ndio kuna pepo , isa atakuruka hao pastors kila siku wanawambia yesu hajaingia kanisani ww unamfata nani wakati yesu alingia masinagogi misikiti , mana bee wote ni waislam huezi kuwatenganisha mana bee wa mmungu mmoja ukawapeleka ulaya wapi never hata ulienda jesrusalemuta utaona misikiti ya ibrahim na isihaka yena kumeandikwa juu lugha za warabu ndugu ukoloni yesu hasema fini ukirsto bada yake ndio ikaja ila ibrahim ndio alie jenga al kabah na kacha uislam ipi dini ya ukweli ?? No rome wa uk wala usa mijizi wameifanya biashara sasa hv wanasilim kila siku wazungu ujue wanamfata ibrahim sasa dini ya ukweli
@@woah.africa99 usipende kujibu usichokijuwa
Tuambie izo hoja 95 za lutha
je kanisa anglikani liliasisiwa na nani?
Kuasi shetani ni Wajbu Wa kila shujaa Wa imani usikubali kupotezwa kwa kisingizio cha kanisa bila neno la mungu
Nexit time naomba tujulishe kuhusu jamii au kabila zilizotoweka au kupotea duniani ( lengo kujua usa inaweza angamiza black au african generation based in history
Hello
Naomba utupatie story ya Dr. Nandipha na Thabo besta wale waalifu waliokamatwa Arusha.
Thanks 🙏 that's good
Mkuu na weza pata historia ya Helen. G. White
⚫🔵🟣🔴⚫🔵🟣🔴🟢⚫🔵🟣
UAS SIO NENO BAYA
Ukiwa mshirika wa shetani, unaweza kumwasi shetani
Tupe hizo hoja 95 za huyu mwanaume,sasa twende kazi
Google kwako ina kazi gani?
Kingine watu wanachokosea.. Ni kwamba kuna tofauti kati ya padre Martini Luther aliyekuwa padre wa Kanisa Katoliki wa shirika la mtakatifu agustino. Na pia yupo Martini Luther king huyu ni Mmarekani mweusi aliyekuwa anapigania haki za watu weusi kule nchini Marekani.
😂😂😂 na chakushangaza hata hilo kanisa lake mwenyewe limekuja kupoteza mwelekeo nakuwa chombo cha wachumia tumbo
Sawa😊
Hapo ndo napata picha ndomaana sshv yamekuwa mengi wanajigawa tu kama njungu dah🙆🙏
Je ikiwa martin aliweka hoja zake hakukua na majbu ya kumpa ili asiendelee kueneza anacho kifikilia na kuharbu utaratibu wa dini, iliyo mlea
Ivi kwani watu tunaangalia dini au tunanamwangalia Mungu?
l kanisa linalouwa na kuteka nyala
Kwa hio inaama yesu alijui hilo kanisa limeanzishwa sio hakuna dini hapo
Good work
Sasa twende kazi.
Mimi nilisikia jamaa aliona waroma wanaabudu Sanam ndo akawakana kuanzisha dhehebu la rutheran
Hyo n mojawapo ya hoja zake 99...
Hapana alichosema msimuliaji nisahihi hata vitabu vyetu vya hishoria ya Lutheran church vinaeleza hivyo
Kaka ww fundi sana
Leta hadharani hizo Hoja tisini na tano. Huyo alikuwa mtengeneza njia kweli kweli kama yule yohana na Eliya.
Sasa twende kazi baba
SABATO itabakia Kuwa Dini Bora na ya kweli kwa WAKRISTO wote duniani 🙏🙏 Mungu awape Nguvu na Maarifa wa kuutambua ukweli
🤣🤣🤣🤣😳nidhehebu nalo
Jumamosi iyo
Sabato siyo Dini,ni sehemu ya madhehebu ya kikristo
Sabato nayo imegawanyika ubora wake uko wapi?. Wasabato wote wanamkubali Dkt Martin Luther.
Kwanza wasabato sio wakristo,ujue hivyo,umewahi kuona majengo ya kisabato yana misalaba!?
Kama hakuna misalaba basi ninyi wasabato ni wayahudi na kuwa Bado mnasubiria Kristo,aje
mmmmh lete na ya wesley
Good job, my friend ❤
He was ex-communicated by the Law of Jesus Christ given to Peter the Apostle. He was locked here on Earth and in Heaven. He was deprived of all authorities given to him on the day of ordination. He became a normal man, unable to celebrate a Holy Mass. Nothing good was expected from him. He brought division against the command of Jesus to unite.
Safi sana jastin
Naona story imeleta malumbano ya dini kla mtu anatetea chale 😀
Tuwe makini na watu wanao taka kuli potosha kanisa kwa kujiita majina ya watakatifu kumbe sio
Hakuna mtu atakaye mwona MUNGU kwa tiketi ya dhehebu kubwa wala dogo,HIVYO KAMA UNATAKA KWENDA MBINGUNI MWAMINI YESU EPUKANA NA UOVU WA KILA NAMNA
Hv yesu Ninani,🤔
Pia mungu ni nani
Ziko katika vitabu vyake mbalimbali
Luther alikuwa na Pupa ya madaraka, mungu ana utaratibu wake. Justin nyinyi kina lutherani munapo towa hizi story munakosea sana kwani tunauona wazi upande munao uegemea
Jibu hoja kaka au leta swali ?
Hill kanisa lenye kuuwa na kuteka watu linamwaki
Lisha nani ? Duniani? Jamani hebu tulejee maandiko kisasi ni cha bwana hatujatumwa kuuwa Bali kuwaombea wanaotuudhi
SASA TWENDE KAZIIIIII
Mungu mmoja dini tofauti
Dini moja tu uislamu hizo nyengine biashara dini itaanzishwa na mtu
Mungu Mmoja yupi
@@daslamonline4665 Jehovah
@@daslamonline4665 mungu mmoja aliye umba mbingu na ardhi hajazaa wala hajazaliwa halali wala hachoki wala hana mfano wake
@@adkajisi4536 alikuwa kazi si ndogo kufikiria jina la bwana mungu kuliita jehova na majina mengi kupunguzwa na kubadilishwa hivyo ndio biblia inavyo sema kwa mujibu wa biblia jehova ni jina walilo tunga
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍.
Ndio Martin Luther aliasi upagani wa katoliki ili aitafute kweli ya neno la MUNGU
Wajinga ndo waliwao
Kabisa kanisa aliwezi kuasi bila watu