TOFAUTI YA KANISA LA ORTHODOX NA ROMANI KATOLIKI NA FIGISU ZILIZOWAVURUGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 дек 2022
  • КиноКино

Комментарии • 196

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Год назад +14

    🙊Najivunia allahmdulillah

  • @lordorcas9344
    @lordorcas9344 5 месяцев назад +2

    Mi na FUNGULIWA ha Siri za Mungu Baba Mimi Ni Njo Mara y’a Kuanza Ku sikiya Maana y’a Ndefu murefu WOWWW ? Thanks Shalom

  • @dorothysamwel2466
    @dorothysamwel2466 6 месяцев назад +2

    Kanisa LA kweli tutalikuta mbingun dunian tutabaki kuzozana2 sisi sote tunamuabudu Mungu mmoja hafai kugombana. Imani pekee yatosha.from Roman Catholic

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m 5 месяцев назад +1

      Si kila kanisa linakupeleka Mbinguni. Ujue tu hivo.

  • @Beautiful-Place
    @Beautiful-Place Год назад +27

    Nimeipenda hilo kanisa la Orthodox🙏

  • @JacquelineModest-mh3bm
    @JacquelineModest-mh3bm 7 месяцев назад +2

    Mungu atusaidie maana wakati tulionao ni mgumu sana Bwana awabariki, (mathayo 1-28) imeeleza namna ya kutuongoza katik hata tulionao

  • @Omrankasiga
    @Omrankasiga 3 месяца назад +2

    Karibuni wakirsto wote duniani hawajuwi nini maana ya bibilia. Maana ya bibilia ni kitabu sio jina. Nyinyi wakilirsto eleweni bibilia ni kigiriki sio kiswahili wala sio kizungu

  • @ivethtimotheo7452
    @ivethtimotheo7452 Год назад +5

    Asante ila ila kanisa la masharik na la magharibi, ni moja isipokuwa uongoz.kila kitu ni sawa.

  • @raphaeldinyu427
    @raphaeldinyu427 Год назад +5

    Tofauti yao ni maisha ya useja , mbaya zaidi watu wengi hawajui Nini maana ya maisha useja.

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m 5 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂😂🎉🎉

  • @yuventmpiru7738
    @yuventmpiru7738 Год назад +13

    Tunaoielewa Orthodox ndo tunaombaga Russia ishinde vita ileeeeeeeeeeeee

    • @martinmartinadriantedei4926
      @martinmartinadriantedei4926 Год назад +2

      Wakatoliki wapo juu hapo.

    • @paulrwechungura4284
      @paulrwechungura4284 Год назад +2

      Ishinde au iache vita, ndo nasema mpo tu madhebu ayo, hayana muelekeo wa imani

    • @mwakatundujr1674
      @mwakatundujr1674 Год назад +1

      Orthodox ipo Ukraine, Russia, Greek na maeneo mengi. Unataka ishinde Vita, kwani hiyo ni Vita iliyoitishwa na Mungu???

  • @user-xw9dq2dn8c
    @user-xw9dq2dn8c 4 месяца назад +1

    Wako vizuri

  • @hikupskikons8914
    @hikupskikons8914 Год назад +3

    iko vizuri

  • @BlessedGikaria
    @BlessedGikaria 3 месяца назад +1

    All are welcome to the Orthodox church we are many we have the Russian, creek and more others

  • @vibes6446
    @vibes6446 Год назад +20

    Ethiopia ndo tupo wengi orthodox

  • @epmzmusifiwar6694
    @epmzmusifiwar6694 Год назад +2

    Frome Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Год назад +3

    kumbe orthodox ni kanisa zuri la kusali sheria zake ni nzuri sana

  • @a.j.m9740
    @a.j.m9740 Год назад +8

    Orthodox ni waaminifu sanaa

    • @teddytedy248
      @teddytedy248 5 месяцев назад +2

      Uaminifu ni wa mtu mmoja mmoja si wa jumla

    • @teddytedy248
      @teddytedy248 5 месяцев назад +2

      Uaminifu ni wa mtu mmoja mmoja si wa jumla

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 4 месяца назад +2

      Uaminifu ni wako wewe au mtu binafsi

  • @maxjoel8514
    @maxjoel8514 Год назад +4

    Kweli kabisa

  • @lordorcas9344
    @lordorcas9344 5 месяцев назад +1

    Acsenti ndimi mpu pendwa 👍🙏

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 Год назад +4

    Nilichogundua tofauti Ni uongozi tu dhehebu Ni moja hilo hilo

  • @bernadvincent6608
    @bernadvincent6608 Год назад +2

    👏👏👏

  • @karimistephen2792
    @karimistephen2792 Год назад +18

    I love Orthodox Church

  • @neemasamwel8968
    @neemasamwel8968 Год назад +2

    👏👏

  • @zuberiimamumhina5164
    @zuberiimamumhina5164 Год назад +2

    wa kwanz

  • @reginamukama7333
    @reginamukama7333 Год назад +1

    Imani inatosha

  • @NoelullyMwakabengaMwakab-ex7ji
    @NoelullyMwakabengaMwakab-ex7ji 8 месяцев назад +3

    Dini ya kweli ni Islam zilizobaki bisnes na miyeyusho

  • @livinuskamugisha5296
    @livinuskamugisha5296 Год назад +6

    Asante sana basi naomba historia ya kardinali wa kwanza mwafrika

  • @Yeshuatv729
    @Yeshuatv729 Год назад +6

    Safi Sana, watu wajue kuwa ukatoliki siyo dini ya mitume Bali Ni dini ya makaisari

    • @mrdramatz4481
      @mrdramatz4481 Год назад +2

      Acha Upumbavu

    • @Yeshuatv729
      @Yeshuatv729 Год назад +1

      @@mrdramatz4481 wewe mbona hujaacha upumbavu?

    • @sarafinafranci8481
      @sarafinafranci8481 Год назад +1

      Huna hakiri kabisa msemaji mwenyewe in muongo.

    • @Yeshuatv729
      @Yeshuatv729 Год назад +1

      @@sarafinafranci8481 wewe mwenyewe mbona huna akili kwanini unanilaumu Mimi tu

    • @merinachalinze6455
      @merinachalinze6455 Год назад +1

      Kaisar si ndo wewe

  • @allysaidlyambange4500
    @allysaidlyambange4500 5 месяцев назад +1

    Hivi nikweli Roma no mafreeemason au

  • @vulrevictiore8324
    @vulrevictiore8324 Год назад +6

    Nime elewa sasa twende kazi

  • @bestoking5003
    @bestoking5003 Год назад +2

    Broo fanya video kuhusu legend of the seeker tujue kiundani

  • @badboe2738
    @badboe2738 Год назад +1

    Good

  • @tawiso_online_tv.
    @tawiso_online_tv. 3 месяца назад +2

    We ni muoethodox acha usee

  • @restitutanjau2585
    @restitutanjau2585 Год назад +2

    Sijaelewa

  • @exprodigitaltechtv5571
    @exprodigitaltechtv5571 Год назад +3

    Orthodox ni Waroman pure😅😅😅

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 Год назад +5

    Tupia mambo cz tuna mb zakutosha na hatunabpa kuzipeleka

  • @stellah3844
    @stellah3844 Год назад +13

    Leo ndo nimejua orthodox ni kanisa la kweli mwanzo tulikua tunaambiwa wanasali freemason Duh tena nilisafr kwenda mkoan kwetu nkakutana na kituo kiaitwa hivyo nkauliza wakasema hilo ni kanisa la Mafreemason na wanagawa pesa🤭🙌Ahsante Justin Shedy

    • @hassanbilali1697
      @hassanbilali1697 Год назад

      Endelea kubaini ukweli

    • @stevenkaaya2483
      @stevenkaaya2483 Год назад

      Amna kitu yotee yaleyale kasolo jina 2

    • @paulrwechungura4284
      @paulrwechungura4284 Год назад +1

      Kanisa ni Moja katoliki la mitume, mengine ni madhehebu

    • @jeanmuzaliwa9023
      @jeanmuzaliwa9023 Год назад

      @@paulrwechungura4284 subiri Yesu arudi ndio utajuwa kama ahujuwi,soma andiko ilo,Isaya 8:20,ufunuo 14:12!

    • @paulrwechungura4284
      @paulrwechungura4284 Год назад

      @@jeanmuzaliwa9023 kanisa ni moja katoliki la mitume
      Wakatoliki ndo waliandika biblia
      Ata soma Korani aya 99 utaelewa

  • @alouisejohn7752
    @alouisejohn7752 Год назад +3

    Roman is the best

  • @lamecksebyiga1630
    @lamecksebyiga1630 Год назад +10

    JUSTIN NAITWA LAMECK SEBIGA, ILA MBONA NIMEKUOMBA MUDA TU UTUTENGENEEE VIDEO KUHUSU HISTORIA YA WATURUKI NA KABILA LA WA KAI MBONA HUJATUTENGENEZEA??

    • @TALLUBOY
      @TALLUBOY Год назад +1

      Watuluki ni waslam uyu jamaa
      Hatoweza kuadithia ipasavyo

  • @mackbelkisala6600
    @mackbelkisala6600 Год назад +4

    Kwanini umeweka green na red kwenye cover pitcher

  • @paulebby1877
    @paulebby1877 Год назад +2

    This is the church

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️🙏

  • @kipyegontitus145
    @kipyegontitus145 Год назад +3

    Story about why waisraeli hawaamini ukiristo na bibilia inaongea Sana kuhusu Israel naitwa Titus toka kenya

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 7 месяцев назад +3

    Wachangiaji karibu wote hawajui maana ya kanisa wanashindwa kutofautisha dhehebu na kanisa. Kwa mujibu wa biblia kanisa ni mtu aliye amini kisha akampokea Yesu moyoni mwake kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake. Dhehebu halina sehemu katika ufalme wa Mungu linatumika kama usafiri wa kukupeleka katika ufalme. Na siyo kila gari itakufikisha mengine yameshajichokea, mengine hata safari ya mbinguni yalishabadili route. Msafiri ndiye anawajibika kuchunguza gari sahihi kumfikisha aendako

  • @babuloliondo74
    @babuloliondo74 Год назад +5

    aaaaaaaaa acha ncheke kwanza izi dini zakutengenezwa kazikweri kweri

  • @xhampoza_25
    @xhampoza_25 Год назад +5

    Mimi naitwa Justine shed sasa twende kazi

  • @reginamukama7333
    @reginamukama7333 Год назад +1

    Aha kumbe

  • @kalziidazamba2862
    @kalziidazamba2862 Год назад +11

    Eeeeeh mm binafsi nilikuwa nawaza kuomba video ya namna hii shida yangu nilitaka kujua utafauti wa izi dini..... kazi nzuri sana brother Justin...🇲🇿😃😃

    • @marrypius576
      @marrypius576 Год назад +3

      Sio dini ni dhehebu😇😇😇

    • @kalziidazamba2862
      @kalziidazamba2862 Год назад

      @@marrypius576 lakini mm sio mtanzania kiswahili chenyewe napapasa tu kwaiyo kukosea ni kawaida kwa kila binadamu my sister 😃😃

  • @lumumbasembuli7807
    @lumumbasembuli7807 Год назад +8

    Mimi ni muOrthodox, ni kanisa halisi na lakweli kabisa. Hakuna uhuni uhuni wala usanii.. nalipenda sana kanisa langu, japo tuna itwa mafreemason

  • @dennismwazumbo
    @dennismwazumbo Год назад

    🇰🇪✌️👍🙏

  • @eulambiusmlugu967
    @eulambiusmlugu967 Год назад +1

    Umejitahidi kueleza vizuri lakini kuna vitu umepotosha. Hakuna kitu kinachosema Papa hakosei kitu. Soma kuhusu Pope Infallability pengine ndio ulichotaka kueleza

    • @user-oq7jw6kp6w
      @user-oq7jw6kp6w 2 месяца назад

      Kabxa yaani 😂😂 pia kuhusu kiongozi wa RC ni Papa afu Orthodox ni Yesu kristo hapa sijamuelewa kbx , Jesus Christ is the head of the church

  • @fredkasabai675
    @fredkasabai675 Год назад +1

    😱😱😱fred

  • @nmedardbenedicto5544
    @nmedardbenedicto5544 6 месяцев назад +1

    Historia hiyo umeitoa wapi wewe mwongo sana acha kuwapotesha watu kwa usilolijua

    • @David-im8fw
      @David-im8fw 19 дней назад

      Hebu leta ya kwako ya ukweli

  • @zuberiimamumhina5164
    @zuberiimamumhina5164 Год назад +4

    bro una nichangny ck hiz imekuw hat pumzik kwa ck una achia hat 5 punguz kas mzee had nyngne zna tupit

    • @user-oq7jw6kp6w
      @user-oq7jw6kp6w 2 месяца назад

      Na sio hivyo tu eti mkuu wa kanisa katoliki ni Papa afu Orthodox ni Yesu Kristo, duuuuuh hapa napo ni shida

  • @manyakuulaompondelo4419
    @manyakuulaompondelo4419 Год назад +1

    Hapo kwenye Papa hakosei, rudi ukasome vizuri. Hakuna fundisho la hivyo. Kuna maneno muhimu umeyaacha na umepotosha fundisho hilo. Seems like source ya habari hii umeitoa kwa wa orthodox

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 5 месяцев назад +1

    Hiii media ina tabia za uwongo sana..kihistoria ni ni kwamba kanisa katoliki la mashariki ni muungano wa makanisa 23 ya kiothodox yaliyoungana na kanisa katoliki la magharibi baada ya mafarakano yaliyotokea mwaka 1054..tofauti iliyopo kati ya kanisa katoliki la magharibi na kanisa katoliki la mashariki ni ya kiutamaduni na mavazi ya kikuhani ..lakini kanisa ni moja lenye umoja na baba mtakatifu wa Roma kama mkuu wa kanisa katoliki duniani...hivyo patriarika wa kanisa katoliki la mashariki ni askofu kama askofu wengine akimwakilisha baba mtakatifu katika Eneo lake la kichungaji.....kwa taarifa hizi fupi nawasihi viongozi wa media hii waache mara moja tabia za uwongo na uchochezi na unafiki unaolenga kwa makusudi kupotosha ukweli kuwa uwongo.....( Nawashauri wakristo wakatoliki kuwa makini na media hii yenye tabia ya kueleza uwongo na kuinyonga historia ya kweli)...Amina.

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 Год назад

    so we here just for luvule f goes to

  • @epicart3351
    @epicart3351 Год назад

    Justin video unazosema tuendelee kuangalia hapa bongofasta uwe unazilink tuendelee kuzifuatilia

  • @joycepatofondo
    @joycepatofondo Месяц назад

    Yote hakuna dalili ya kumuamini Yesu maana Imani ndio kila kitu sio sanamu ya msalaba wala ya mariam

  • @joelfotunatus856
    @joelfotunatus856 Год назад +1

    Orthodox na Christian tunajuwa haya madhehebu yote yaliletwa na wazungu wa ulaya magaribi yaan ukristo na ulaya mashariki bara la Asia ambayo ndio hiyo orthodox mimi naona hii dini niyakweli.

    • @sikitu8957
      @sikitu8957 Год назад

      Orthodox ndo Ukristo halisi

  • @sayshabani6350
    @sayshabani6350 Год назад

    Hhhhhhhhh ila jmn hizi dini

  • @damymzuri9989
    @damymzuri9989 Год назад

    Kulikuwa na mpapa xio maskofu, luis 2 alikuwa ni papa

  • @amosbendiliba
    @amosbendiliba 8 месяцев назад

    Jamani eee kalibuni kanisani kama upo sehemu ambapo hamna kanisa la orthodox nitafte kupitia email yangu hapo tukuletee hutuma

    • @maskgirls1048
      @maskgirls1048 5 месяцев назад

      Hujaandika email

    • @user-oq7jw6kp6w
      @user-oq7jw6kp6w 2 месяца назад

      Tanzania lipo sehemu gan maana huwa nalitafuta lakini sijawahi kuona

  • @merinachalinze6455
    @merinachalinze6455 Год назад

    Papa ni mkuu wa maaskofu lkini kusema akosei ni uongo ajasemwa ivyo

  • @raymondonyona.2736
    @raymondonyona.2736 4 месяца назад

    Nahisi Orthodox wako Sahihi zaidi ya Wakatoliki juu ya Imani y Kiimani ya Kikristu.

  • @ulayaraymund6255
    @ulayaraymund6255 Год назад +1

    Mbona tanzania akuna dini ya osodox

    • @br.samwelmparange4986
      @br.samwelmparange4986 Год назад +1

      Lipo kabisa la ORTHODOS pale DAR

    • @ainesymsofu6537
      @ainesymsofu6537 Год назад

      Walianziaha makanisa mengi tuu hasa mkoa WA iringa ila yamekufa kwakuwa hakuna waumi

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 Год назад +2

    Wote wahuni tu

  • @mariaalmack3686
    @mariaalmack3686 Год назад

    Shedddddd

  • @tamranadiya2962
    @tamranadiya2962 Год назад

    Bado haja fafanua vyema kuhusu Orthodox

  • @ainesymsofu6537
    @ainesymsofu6537 Год назад +1

    Othordox wote rudini roman Catholic

  • @costasendama113
    @costasendama113 Год назад +1

    Mwongo sana wewe, hata hujui chochote, umewakamata ambao hawajui. Rudi darasani tena usipotoshe watu.

    • @dancanmaingi661
      @dancanmaingi661 Год назад

      Soma historia vizuri ama uliza makasisi kuhusu Orthodox na watakwambia hivi hivi

  • @francevincent748
    @francevincent748 Год назад +1

    Sasa nisali kanisa gani broo kwasababu mnanichangsnya

    • @africa7479
      @africa7479 Год назад +1

      nenda kasali msikitini hutochanganyikiwa

    • @roberttagaya9098
      @roberttagaya9098 Год назад

      Hata huko misikitini napo ni shida tu. Kuna wasun na wale wengine na kila mmoja anaamini ktk maswaiba wake. Hivyo ni shagarabara.

    • @user-oq7jw6kp6w
      @user-oq7jw6kp6w 2 месяца назад

      Yaaani angalia palipo na amani ya moyo, mengine siasa tuu

  • @mwambalachrispus5675
    @mwambalachrispus5675 Год назад

    Nahamia orthodontist

    • @user-oq7jw6kp6w
      @user-oq7jw6kp6w 2 месяца назад

      Ni kanisa katoliki la mitume yaani Orthodox katoliki, hata hvyo inaruhusiwa kusali kikubwa tuu ni imani ya kikristo tena ya mitume,mm ni Roman catholic lakini nawakubali sana hawa ndugu zetu pia kwa sababu sehemu ninapoishi hakuna kanisa la Orthodox lakini kuna la RC ko nasali huko pia, ila kwa mengine yaliyobaki hasa ambayo imani zao si za mitume sitawahi, proudly Apostolic faith ☦️✝️

  • @kbmhd
    @kbmhd Год назад +1

    hakuna kanisa linaloitwa roman catholic church, back kwenye source zako dig deeper kanisa katoliki halijawahi kuitwa roman catholic. unaongea vitu kama mlevi

  • @DARUBINIYAUNABII538
    @DARUBINIYAUNABII538 Год назад +1

    BADO HAWAKO KWENYE MSINGI WA KWELI.📢🤝 ISAYA 8:20 Na waende kwa sheria na ushuhuda ; ikiwa hawasemi sawasawa na neno hili , bila shaka kwa hao hapana asubuhi .🤝 YOHANA 14:15 Mkinipenda , mtazishika amri zangu .🤝 1YOHANA 2:4 Yeye asemaye , Nimemjua , wala hazishiki amri zake , ni mwongo wala kweli haimo ndani yake .

  • @ibrahimrajabu1113
    @ibrahimrajabu1113 Год назад +5

    Roman Catholic ikuja miaka 300 bada ya yesu kuondoka, othodox ndo kanisa ka mwanzo

  • @Pascal21Dasilva
    @Pascal21Dasilva Год назад +1

    Yeah naitwa Pascal toka Kenya
    Leta video kwa nini waisraeli hawaamini ukristo na wao ndio wako kwa biblia

  • @charleslaw2191
    @charleslaw2191 Год назад +2

    Hapo kwenye mamulaka ya papa umedaganya na hakuna sehemu yyote kanisa cathoric linasema papa hakosei

  • @marleymarmay7130
    @marleymarmay7130 Год назад

    Orthrodox imee anzishwa na nan?

  • @alphacassian9484
    @alphacassian9484 Год назад +2

    NAOMBA UTULETEE VIDEO KUHUSU ANNUNAKI NA CHIMBUKO LAO NA UHUSIANO WAO NA ADAM

  • @costasendama113
    @costasendama113 Год назад

    Nani kakwambia kuwa papa ndo kichwa cha kanisa? Unatumia hisia zako, nani kakwambia kuwa maaskofu na mapadre siyo wadhambi?

    • @user-oq7jw6kp6w
      @user-oq7jw6kp6w 2 месяца назад

      Yaani hapa serious kachemka leo kanisani Padri kasema "msisiseme mbn padri anafanya hivi basi na mm nifanye , sisi ni magarasha tuu,mtazameni Yesu Kristo, tena huenda hata Padri akawa mdhambi kuliko hata muumini,ko tumtazame Yesu na sio viongozi wa dini " asome kuhusu Pope infallibility ataelewa

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 Год назад +17

    Orthodoxe ndio dini halisi nawaelewaga sana hawanaga mambo yajinga kama wengine kama ushoga nak...

    • @vanemmy6043
      @vanemmy6043 Год назад

      Nimekuwa siwajuwi orthodox, nazani afrika apo Hawa jama

    • @robertamsini1256
      @robertamsini1256 Год назад +1

      @@vanemmy6043 Ethiopia wapo njo kwawo Sana

    • @joramgabriely4924
      @joramgabriely4924 Год назад +2

      Hata Tanzania mbona wapo Tu

    • @mgenirasimi7771
      @mgenirasimi7771 Год назад +1

      @@vanemmy6043 wapo wengi sana na kiongoz wao alikuja mwezi wa nane kama sikosei

    • @paulebby1877
      @paulebby1877 Год назад

      Hawa wamenyooka

  • @gerrardoboo4278
    @gerrardoboo4278 Год назад

    Roman Catholic sio kanisa la Kwanza
    Sio kanisa la kritu( Christian Church)
    Roman Catholic church is devilish church ( yaani Kanisa la kishetani)
    Roman Catholic ndio wauwaji wakubwa wa wakrisrtu

    • @sarafinafranci8481
      @sarafinafranci8481 Год назад +2

      Hujielewi pole yako?

    • @damasdaxzm1313
      @damasdaxzm1313 Год назад

      Don't judge ...ulikuwepo ?

    • @damasdaxzm1313
      @damasdaxzm1313 Год назад

      Usihukumu kwa kuliita devil church broo ,kumbuka kanisa lako halikufikishi mbinguni ,mchungaj wako hakufkishi popote ...keep on moving forward ,all the best

    • @stellamathias1114
      @stellamathias1114 Год назад +1

      @@damasdaxzm1313 iman yako ndo itakupeleka mbingun

    • @stellamathias1114
      @stellamathias1114 Год назад

      @@damasdaxzm1313 iman yako ndo itakupeleka mbingun

  • @JoshuaOgola-df4jj
    @JoshuaOgola-df4jj 11 месяцев назад

    Sabato ndiyo kanisaa

  • @thenextmvp8568
    @thenextmvp8568 Год назад +5

    Kwani hao wanao omba video awana midoma na akili ya kwenda kusoma au

  • @lamecksebyiga1630
    @lamecksebyiga1630 Год назад

    JUSTIN NAITWA LAMECK SEBIGA, ILA MBONA NIMEKUOMBA MUDA TU UTUTENGENEEE VIDEO KUHUSU HISTORIA YA WATURUKI NA KABILA LA WA KAI MBONA HUJATUTENGENEZEA??

  • @lamecksebyiga1630
    @lamecksebyiga1630 Год назад

    JUSTIN NAITWA LAMECK SEBIGA, ILA MBONA NIMEKUOMBA MUDA TU UTUTENGENEEE VIDEO KUHUSU HISTORIA YA WATURUKI NA KABILA LA WA KAI MBONA HUJATUTENGENEZEA??

    • @omaryalhaj3139
      @omaryalhaj3139 Год назад

      Punguza alam hyo kwenye clip jaman alam inasikika kuliko hata maongezi punguza uwe unaweka kidogo kwa mbali

  • @lamecksebyiga1630
    @lamecksebyiga1630 Год назад

    JUSTIN NAITWA LAMECK SEBIGA, ILA MBONA NIMEKUOMBA MUDA TU UTUTENGENEEE VIDEO KUHUSU HISTORIA YA WATURUKI NA KABILA LA WA KAI MBONA HUJATUTENGENEZEA??