Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
HII NDIO SIRI YA MWAFRIKA INAYOTISHIA USALAMA WA WAZUNGU HUWEZI KUAMINI
HTML-код
- Опубликовано: 17 дек 2019
- HII NDIO SIRI YA MWAFRIKA INAYOTISHIA USALAMA WA WAZUNGU HUWEZI KUAMINI
Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE www.youtube.com...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
/ tricodmedia
LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
/ tricod-skills-11524157...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
/ tricodskills
#wapagani
#waisraelweusi
#freemason
MATAMBIKO 10 YA FREEMASON KWENYE VIDEO YA ALIKIBA MEDIOCRE Hii ni zaidi ya DIAMOND PLATMUZ
ruclips.net/video/hXY4VTUIn2U/видео.html
Jamaan mi binafsi naumia sana na malengo ya wazungu, Akijitorea mmoja wetu, tuna shindwa kutoa ushilikiano, mfano mzur n Gaddafi, hebu tuyafanyie kazi mawazo y akina Nyerere, yaan Afrika tuwe kitu kimoja, vinginevyo tuta henyeka vizaz hadi vizaz.
Ndio haiwezekani Teena maana asaivi utandawazi mwingi awezi kutuelewa
This is the truth about us my fellow brothers and sisters who are Africans 😭😭we are lost please share this video to all Africans ✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿
Asante kwa masomo yako ila mtu anae soma bibilia kila siku na kuiyelewa anajua wazi kua African's dio wateule wa MUNGU kipenzi chao. Hadam alikua mweusi ukisoma kitabu cha E Volume 6 utapata all story na ukichanganya na kusoma bibilia utakua na ufaham zaidi wa kujua shida ya mzungu ni wivu mahana ana jua ufalume wa mbingu ni wa African na hichi ya hahadi ni ya African's na Yesu alisha lipa deni msalabani tunangoja kihama tu kila mtu alipewe ujira wake MUNGU wetu sie kingeungeu aliweka hahadi taifa dongo dilo litatawala mbinguni na Yesu pia alisema eri ngamia kuingia katika tudu la shidano kuliko tajiri kuingia ufume wa mbinguni wazungu ni waongo kupita kiasi na vita yao na MUNGU itaedelea hata Israel wameivamia na kuweka bedera yao ile bendera ya Israel sio ya wana wa Israel ni ya wazungu kaburi la Yesu ukifika hapo utapata ma kaburi mawili na ulizi mkali uko hapo mlangoni na walizi hao ni wazungu ukifika hapo like watu uwonyeshwa sio la Yesu uwonyeswa kaburi la Yule tajiri alie. Peana mahali Yesu azikwe na watu bila kujua usujudu mzim bali sio Yesu iyo ni siri yao lakini ole wao siku yaja wana wa Israel wata nyakua mahali pao na uzao wa wazungu kuwangamizwa na inchi ya hahadi tutaishi milele
Natamani unielekeze nikasome kitabu gani ktk Bible inayoonyesha Adam alikua mweusi.
Myriz Jotokali pia hakuna sehemu inayo onyesha kama wa israel ni weupe
@@thestar_tz nenda kwa ramani ya dunia angalia mipaka na bonde na mipaka ya bahari na ujifuze kusoma bibilia mwazo hadi mwisho utajua mahana bibilia iko wazi mipaka yake na inaonyesha wazi adam alikua mweusi mahan makazi yake yalikia African labuda wewe usomi vitabu vinavio usu dunia ilivio umbwa na miliki za wanadam na una uzoefu wa kusoma bililia au kuran
Niruhusu ni changie kwenye comment yako kwa lugha ya kingereza. Thanks for insight. The Hiburu/hebrew Holy Scriptures states very clear who are the children of Is'ra-el and their genealogy. And also the genealogy of the gentiles, these are the descendants of Ja'pheth and Ham Genesis 10. The land of Kanaan/Canaan is in Afrika. Kanaan/canaan is a black man, his brothers are Kush/Cush is the progenitor of E'thiop-ian, Misiri/miz'raim/E-gyp't is the progenitor of E-gyp'tian and Phut/putt is the forth brother of Kanaan/canaan and of these four brothers are sons of Ham and all are black people clearly you can see Cush/ Kush the father of E'thiop-ian is a BLACK man so is hhis brothers...Genesis 10.
Look for the early maps of the world. Go to youtube link of truthunveil777...watch and learn.
Wayaudi si waafrika. Kuna waafrika waliungana na waislamu na wazungu katika hicho kitendo
Maandiko yanasema Mungu anaabudiwa kwa Roho na kweli bila kujua ukweli huwezi kumwabudu Mungu so bila mtu mweusi kujua ukweli wa historia yake hawezi kumwabudu Mungu wa kweli na ndo mana waafrika maisha yao yamekuwa ya shida na tabu sababu hawajui historia yao wamemuacha Mungu wao na kumwabudu Mungu wa watu weupe.Angalia wachina wanavyopanda kwa kasi ni sababu walikataa miungu ya mataifa mengine
Kweli kabisa
Hahahahaha kweli kabisa
We still need to research more because not all African traditions were reflecting the will of the most High,for those traditions were some of the reasons we were rejected and punished(idolatry).
The Chinese by all standards are atheists and the progress and success you see ,could be deceptive.
Satan rewards his own as well.
The terms God,Lord,mungu,bwana,Jesus etc are pagan ,utilised by all religions including the masons.
Nice bro that's true i need your video more bro I'm American but i no swahili
Can we please work on how to interpret this, so that it can reach all blacks all over the world?😭
Kwl kabisa😂😂watu wachache tunao jielewa ndy tunajijua black is ever thing😍😋
Sio kwamba umekosa kiela cha kikalolaiti🤣?
Ni kweli kabisa, waisrael wako Afrika, si hao weupe watudanganyo, ndio maana biblia inasema nitawarudisha nyumba ya Israeli ilotawanyika. Let's come together in love and make our African good place.
Sawasawa kaka together as one
Thanks for the love
Kweli kabisa waisrael wako nyuma ya mto nile ukisoma zephania 3:9~
Kuna sehemu katika bibie imeandikwa kwamba mataifa yatakanyaga Israel na kudai kuwa wao ndio wayahudi kumbe ni sinagogi la shetani
Nguvu moja mpk kieleweke
mimi ni mkenya from canada ,very nice bro waambiye yote
I love this bother you are woke. continue spreading the truth
Thanks
Mjinga uamini kila neno
Jifunze kusoma vitabu vya dini sio kuckiliza mitazamo ya watu RUclips
Soma kitabu chako cha dini, you tube itakuponza we semaga truth truth hivohivo
In this age of information ignorance is a choice
Inaelimisha basi nipe like za 254
Tunaendelea kujifunza ngoja nikupe like
Hello Alasham
@@sallasmartin1626 kweli
@@sallasmartin1626 poa
Pokeya ya ela yote
God created us all in His own image Black, White, Yellow, Red, Brown, We are all children of God and we are precious to Him. We belong to one race HUMAN RACE. The fact is all Human beings are guilty of discriminating and hating each other based on their colour, tribe etc. Even you where you come from there is that group of people that you look down upon and believe that you are better than them based on their tribe, country, colour etc.
Asante ni nzuri kwa kweli, tuwafundishe watoto wetu
Utafiti wako haujitetei vyema, kwani umeufanya ukiwa na mkasi na gundi mkononi. Umekata usichokitaka, na umeunganisha ulichokipenda na kukidhania ndiyo sahihi. Ndugu, unafanya maisha yawe ya changamoto sana kwa wapendao kusoma watafiti wazalendo!
Amen and Amen God bless you
pa1 sana tricod wavivu wa kufikir hawatokaa wakuelewe
Asante sana ndugu pamoja sana nakusoma nakusoma
Sasa waafrika mtafanyaje ili wazungu waache kuwanyanyasa ivi Sisi wenyewe tunavo tesana mtaokoka kweli, uchawi, maendeleo hamtaki , ukijenga shida fitina lini ,kusifiya wazungu tu nakuona ngozinyeupe ndio wanastahiki kuwa matajiri , mtu mweusi akiwa ata nayakubadili mboga basi nifrimason , ningekuwa na mamlaka ninge muuwa kila mwanga. Tuombe tu mwishomwema
Hahahahaha kweli
Hata nawazungu wanafanyiana mambo ila2 wao wanaficha
Hiyo sio issue bro
Ni kweli wazungu walituja duniani kuwatesa watu weusi asira waliotoka nayo mbinguni.ilikuja kutuangukia sisi mungu angetusaidia kutujaza maarifa nasi
Waislamu tunampenda sana issa ibnu Maryam mana true kwetu ni Masihi na mtume mtukufu wa ALLAH
Kumbe utumwa uliwnza makarne na makarne kabla kuja kwa Nabii Muhammad, indeed 'truth shall set you free'
Soo tulilaniwa dio mpaka sasa sisi ni watumwa hakuna inch inawapenda watu mweusi kila mahali tunaeda tunathalauliwa chai.....😭😭😭🖤
Ushawahi kumuona Mwarabu ama Mzungu mwenye Jina LA Kiafrika?Ni kwa nini tunang'ang'ania majina yao? Are we lesser people ? Mungu ni yule mmoja aliyeumba mbingu na nchi ila ibada hufanywa kulingana na tamaduni za jamii mbalimbali .Hapa Afrika pia kuna Mungu.God is not only in Asia or Europe.
Mungu wa mbinguni nahakuzindishie amani na ulizi unapo tufundisha hayo amen
Hapo sawa
twajuwa umejengwa na mfalme sulaiman Kwahiyo ulikuwepo kabla, na uislam haumlazimishi wala haujawahi kumlazimisha mtu kuwa mwislam. Na hao walikuwa wakiuzana ni kabla yamtume Muhammad.
Mambo ya uislamu Niya nini
@@apostlesammymutachicfc.3744 Jamani uislam ndio dini ya haki ukiizingatia manake mitume wote walikuwa Islam(walijisalimisha mbele zake Allah)Ila utabisha lkn habari ndio hiyo nimekamilisha kile muislam ameamuriwa kufanya (Non to be worship only Allah)wengine nimifano tu mtachomwa nyinyi kwakuabudu watu ole wao.
@@aminajuma9244 pole Sana, hiyo ni dini gani, dini ya kumwaga damu, dini isiokuwa na masikiyo, ni waislamu WANGAPI wanaoshindwa na mapepo na majini, wakija musaada kwetu,nangoja WENGINE, juzi nimekuwa na imamu sijui wewe unasema nini
Hahahahaha
@@apostlesammymutachicfc.3744 Hahaha wachekesha pastor wazama hizi waongo Kweli potosheni watu tu mtaenda kukaangwa Kama chips tubuni muache kupotosha watu na kusingizia uislam kisa pesa pthooooo, zitawatobokea nyongo hufi bila hujalipa dhambi zako hapa duniani na kila mtu atabeba mizigo take mwenyewe msiseme yesu kafa kwaajili ya dhambi zenyu 🤭🤭🤭🤭can you imagine eti yesu alisulubiwa kwaajili ya dhambi zenyu 🤔🤔🤔🤔ole wenyu Imani yenye kupotoka .
Kazi nzuri
Yeaah mtu mweusi ndio alikua wa kwanza kuumbwa ata huyo yesu sio mzungu kabisaa,,, tena mzungu ni mjanja ataki tujue penye rangi yao nyeupe ilikotokea na kumbe ni yule malaiaka aliemuasi mungu na akarushwa duniani hapo ndipo alianza kuzaa na wanawake duniani na kutoa rangi nyeupe
Hahahahaha kweli kabisa
Kwel kbsa
Hahahaaaaa
Nitakubaliana na wewe kwasababu wazungu walihakikisha wameleta dini kusahaulisha culture Ya Africa
Wapo watao kupinga bro ila unachosema ni kweli kbs
Asante sana
Wazungu asili yao ni uongo daima yani shetani amewatawala sana
@@josephmallyah9832 waongo sana alafu meme nashangaa tunavyo wapapatikia akati wametutesa xn 😢
Wewe ni mpumbavu unapotosha watu wa Mungu! unataka tuuamini ushetani wako freemasons! Huta weza kwa jina la Yesu.
Furahini Mbise umefikiria kwa umakini kweli? Au umeropoka kitu usichojua?
Iko sawa
all the best from Africa,
Ndugu yangu tubia kwa Mungu wako kwa kujaza UONGO. Wapi Uislamu ulienezwa kwa upanga? Iweje Mtume Muhammad SAW aishi na WAYAHUDI na Wakristo Madina? Jeshi gani la Waislamu lilieneza Uislamu Indonesia? M/MUNGU amewakataza Waislamu kulazimisha watu dini. Soma Sura 2 Aya 256. Tofautisha UKRISTO, UYAHIDI na Uzayuni. WAYAHUDI wachache sana ni Wakristo. Pakua Brother Nathanael kwenye You Tube akuelemishe. Wewe ni mfuasi wa Wazayuni sio wa Nabii na Mtume YESU AS. Pole sana.
Paradise ipo Tanzania ndio maana fuvu LA MTU wakale lipo tanzania ,ndiomaana tunaupendo sana ,hatunatabia ya kulipiza visasi .ukienda Serengeti utajua ukweli.
Nikweli lakini sisi wafrika tuamue tuamuke, shinda sisi niwaonga
May God bless black people
Upo vizur bro kwakufatilia mambo nipo sambamba naw big up
Asante sana
big up
Leo mmetuandalia jambo zuri sanaaaa💪👏👏👏
Hi
sana kaka me nakufuatilia sana mungu akubariki sana 🙏
Thanks
Asante sana
msimamo wako ni upi mzee?
tusijivunie kuwa wafuasi wa dini ama itikadi za kigeni..
tujivunie kwa asili za Africa
Hahahahaha sisi waafrika bana
Hawa ni Ajenti wa freemasons kazi yao ni kuwapotosha watu wa Mungu na kudai bible inatufundisha uongo, tuwapuuze hawa watu.
@@furahinimbise1804 huenda hata elimu dinia hana,mataifa alio sema waisraeli walihamia uongo mtupu ,mataifavhayo yalitawaliwa na muarabu,na waisrael hawajawahi kimbilia Africa tangu musa awatoe misri,hajui kwamba walikuwa waarabu walio tawala ndomaana uislamu ukaingia,na anasema lile jumba LA Jerusalem lilikuwa kabisa alafu waislamu walijenga msikiti juu uongo lilejumba lilijengwa na suleman kabla ya yesu na musa kipindi hicho hakukuwa na kanisa ,kanisa limekuja baada ya kristo alianza Paulo kuleta makanisa ambayo yalikuwa wafilipi,rumi,wathethalonike n.k yote hayo ni makabila yapo Israel na palestina, zamani kulikuwa na mahekalu au masinagogi ya kuabudia, yaliyokuwa yakiongozwa na wazee, wasamalia waliabudu kivyao wayahudi kivyao sababu wote walikuwa na namba tofauti ya kuzungumza na mungu wao, alafu watu kama hawa usijisumbue hata kuwa sikiliza sababu chini ya video yake amewatag Freemason angalia maandishi ya blue chini pale,
@@luganoesomu5301 Hayo maandishi ya bluu mbona siyaoni??
The bible is a history of black people....ancient Egyptians n Israelites were dark people..... Tumeanza kufunguka macho....Yesu mwana was Mungu ni MTU mweusi kama sisi....wazungu(Rome) wamedanganya ulimwengu na kubadilisha mambo mengi kwa historia
Kuna some Truth lkn naona mfafanuaji anagusa juu juu. Africans wametokana na Ham mtoto wa mwisho wa Nuhu, lkn Israelites wametokana na Shem....so be wise kdogo. Na haina maana kuwa watoto wa Ham wote ni weusi, mfano akna Kanaani wote ni asili ya kiarabu tu wayebusi, wahiti, wahivi, etc...
I love this serious since we are not sleeping
Nikweli tuamke
Ulipoanza kutia Dini hapo ndo umekosea... ukristo uislamu.
Mungu atusaidiye kweli nimejuwe mengi sana kweli
Saafi sana!!!!!!
nakuumga mkono ndugu yangu kabisa mana mtume Mohammad SWALLAHU WALEHI WASALAM katika hadithi alikutana na YESU mwana wa maariam mtukufu Nabii wa ALLAH akionekana akiwa na uso mweusi na nywere ndefu pamoja na sura yake ilikuwa na nuru na wakati huo alikuwa akiwa amelala ktk msikiti wa kwanza ulojengwa na nabii lbrahimu Alei salam...
ila AQSWA ni msikiti aliokuwa akiswali yesu na sahaba wake pamoja na waumini wa kiislamu kila (Sabato ) maana yake ni siku ya Saba (ijumaa) ...katika msikiti huo ndipo ulijengwa na nabii suleiman kwa msaada wa Viumbe mbali mbali aliokuwa akiwatumikiaha kutokana na hekma alopewa na ALLAH Mwenyezi mkuu...
22: abraham hakuzaliwa kanaani alizaliwa uru wa wakaldayo.kanaani ni nchi ya ahadi alioambiwa na mungu kua atampa.
Ni kweli aisee
fact ...ni true
Afu kwanin sikuizi unatuchelewesha sana kutupa habari mkuu nini shida ndugu yetu jose
Saiv ntajitahidi kwenda na muda ndugu
Ones the truth will be out bro all this alter will be down those people they no they cannot bring the truth out because it will be there end, became we were not people to play with our GOD his angry with as but HE promise to bring as back to our fights again and all will be okay cause His the one who put as in this and HE will be the one to redeem HIS people.
Vremment, inaleta uzini, Mungu wetu n'a Mungu wa mababu zetu atukumbuke
Tafadhali acha kuuongelea uisilamu maana ujui chochote kile na in BIBILIA zima na kitabu chochote kile uwezi pata seemu imeandikwa ukilisito ni dini bali ni jina la yesu na paka kesho akuna padil alie thibitisha ukilisito ni dini
Ukristo sio Dini
USHIRIKA NA MUNGU KUPITIA ALICHO FANYA MSALABANI!!
Imani tu basi ila wote tumeyakuta kupitia mafundisho ndio ukajua na kuamini je mwanzo ulikuwepo? Acha kila mtu aamini anachujua ni uhakika ila ukipiga hesabu ya umri wako ni wazi kuwa huna uhakika wa yale unayoyajua iwe mazuri kwako au mabaya mfano siku ya kuzaliwa kwa mtu huambiwa na wazazi walio mzaa au ndugu walioshuhudiwa lakini itategemeana kama je ni hakika? Au mzazi alisahau. Na ndipo mtoto hujiamini kile alichoambiwa. Mimi binafsi naamini ila simlaumu mtu yeyote maana wote tumeyakuta tu
Ningetaka kujua hiyo torati ilioandikwa kwa chuma inaweza kupatikana au la!,maana kila siku mm huaga ninahisi mashaka makubwa mno kuusu hivi vitabu vya dini tunavyo vitumia kwa sasa
Hakuna mashaka yeyote kwa maandiko tulonayo bali kuwa na shaka na tofasri za walimu wa sasa. Tafuta kujaa Roho ya Mungu ili uijue kweli na sisi ni Wana wa Mungu na sio wana wa wazungu, ko kwa vyovyote hatuwezi kanusha ukweli wa Mungu kwamba si vyote tuvijue
Kujua Mussa ni mweupe au mweusi hakutakupunguzia kitu bali jua tu kwamba Mungu si Katili bali yeye hutaka memaa haki. Tafuata sana uso wa Mungu ajue mapenzi yake
Nilikua kujua mambo haya mika mitatu sasa but when trying to tell our people the truth they always say clour haimati.
Naombeni msaada sielewi hii kwa sababu nikiwaza Africa nabakia juu juu ty hv kama kweli Bible anasema Africa [ Egypt] kama kwel ilimliki watumwa ni kipi kiliwafanya wapolomoke hadi wakatawaliwa wao
Uislamu uusome utauelewa usiangalie waislamu soma uislamu hayo unayoyasema yanapandikizwa ndani ya familia fulani kuuchukia uislamu tunayajua hayo
Ok
Vipi kaka
Gud content.
Kwanini tuwekewe ushaidi sis ina bidi tunganganize tuujue ukweli adi hizi za madini
Twafaa sisi wafrika tuwe kitukimoja natuamuke ubaya twaweza haza kitu tukiwawengi lakini watuwaache wengine pekee wajiondoe
Hizi ni riwaya za wazungu na waarabu kwa masilahi Yao binafsi juu ya Africa, ukiisoma historia ya FARAO utajua kila kitu juu ya Ufala wa weupe ila AFRICA tukijitambua najua weupe watatukoma Sana, Qur'an ni copy ya rumi au Roma kuna vitu vichache ambavyo waliongeza na kupunguza
Kiufupi waafrika turudi nyuma kwenye asili yetu
kwelii kabisaa
Hakika kitu pekee tunachohitaji kujua ni Mbingu ipo pia jehanam ipo na kila mtu atapale kulingana na maisha yake na Mungu wake kama biblia isemacho
Nakukubali Mwamba Arakati Nzuli
Soma vizuri maandiko bro na uchunguze history ya Rome upya. Paul hakuwa mwanzilishi wa kabisa la Roma, chunguza history vizuri utaelewa nachomaanisha. Ingia maktaba tafuta history ya Rome na ya council of Nicea (Constantine) utaelewa nachomaanisha usiseme Paul kaanzisha Roman Catholic. Paul alikuwa Myahudi Kama alivokuwa yesu na nitumie wake
Nimeipenda sana hadithi hii,
Kaka uko vizuri
Yote ni kweli kabisa tunataseka kwasababu ya adhabu aliyotupa Mungu
Adam na hawa walikuwa watu weusi asante sana ndugu
Masihi black is coming very soon
Ukitaka kujua zaidi mfollow Dr. Ray hagins utajua ubatilisho wa maandiko kwenye bible
Binadamu wote chimbuko lake ni adam ndio kiumbe wa mwanzo kuumbwa ktk ulimwengu akaja hawa na wakazaliwa watu na mpaka leo binadamu tunasema babaetu ni adam na ukitaka kujua binadamu ilikuaje wakatoka weusi naweupe soma qur an utajua kila kituh usiwalishe watu michanga Mzee baba itawapalia 🚩🚩🚩
Chanzo cha kuwa mweupe na mweusi kipo sema original watu wote walikua weusi lakini kwanini wanaficha ukweli wao kitabu chako kimekuja badae kabisaaaa
@@TricodMediaQuraan ni kitabu kinachofafanua ukweli kutoka kitabu Cha zabur, Torah, na injil nikweli kimekuja baada y a zote na ndio Allah akateremsha hiyo Quraan iliyo sahihi manake vitabu vilivyotangulia vimewekwa kalamu ya uwongo....
@@aminajuma9244 sasa tuambie quran inasema adam alikuwa mweusi au mweupe
Basi ata huyo adam na Eve wote walikua weusi yaani mtu wa kwanza kuumbwa alikua mweusi so usijaribu kudanganywa ati rangi nyeupe ndio jicho la mungu wala usidhani ety mzungu ni mjinga kumfanya mwafrika slave hadi wa Leo shida yao ni wanataka kutumaliza ili siri isiwai kujulikana mwanzo chunguza kabila za watu weupe wanavofanya watu weusi ndio utajua yalio nyuma ya pazia
@@silaswilliammakashi3227 😂😂😂😂 ndio atuambie sass hapo,,, msa mwenyewe alieandika kitabu cha torati alikua mweusi yaani shida ya mwafrica nikubabaikia tu rangi nyeupe but da truth is the first person to be created was dark Ata hii rangi nyeupe ni kizazi cha Lucifer the fallen angle na ndio maana mtu mweupe hana huruma kabisa kwa mwengine
Kinacho nishangaza sana ni kwamba watakatifu ni wazungu tuu na picha za yesu na mungu niza wazungu tuu lakini picha ya shetani niya mtu mweusi 🙆😭😭
Leo umenikuna mzee baba nimesabklaib kwa heruf kubwa na kukoment pia
Adam na Eva waliishi Tz baada ya kufukuswa kutoka shamba LA Eden.
Mwanadamu wa kwanza waliishi tz
Hahahahahahahhh uwiiiii
Hahahahaha
Abdur Rohman
Ni kweli skull ya kwanza ya binadamu iligundduliwa oldvai Gorge lakini hakuna ushahidi kwamba mwadamu wa kwanza alikuwa mweusi
S
Nc
Third view
You may bro
Follow this guy Khalid Mohammed
Ukitaka kujua ukweli mfuatiliye huu khalid
Mimi nahitaji wale waganga hodari turudishe mali yetu
Hyo ndo siraa 2liobk nayo
Mtu na asiwadanganye maandiko husema injili ingehubiriwa hata kama kwa chuki na unafiki ko wazungu hata hivo walikuwa katika kutimiza maandiko na pamoja na hayo maandiko hayataji rangi wala kabila lolote hapa duniani bali huku kubakana ni kwa vile tuko na chuki zetu binafsi.
Duh naamini Africa ni neema
Samahani kuna waliomshika Yesu kabla ya ukristo wa Roma, tena wlinshika Mungu kweli, pia Mimi siamini kama binadamu alianza na nyani
Wazungu yaani mashetani hata magonjwa wametuleyea ili wauze madawa yao .lakn siku zao zimeisha ndo maana wamekimbia mtaliban masikiniii!
Jamani mm cjuw ki2 ila napenda iwe hivo mungu 2saidie 2ijue kweli hii Ameni
Human evolution
Evolution ndo ushuzi wenyewe
Niatari
Wasukuma=wana wa israel
Jamaa hajui kutangaza kanipotezea mudah tu....
Unapotosha sana hasa unaposisitiza dini ya Uislam ilienezwa kw upanga
Na UTUMWA pia!!!
Bado hujaweza kueleza vizuri asili ya mwanadmu. Unajtahidi lakini. Ni kweli Mungu alimuumba mtu mweusi, lakini mtu mweupe aliumbwa na nani? Kwa nini wazungu wanawachukia waafrika vizazi hata vizazi? Kwa nini wazungu wanaficha asili ya mwaafrika na wanataka kumwangamiza kwa gharama yoyote? Soma historia ya YAKUB, huyu ndiyo aliyetengeneza mzungu... Kwa dhumuni gani? Ilikuwa ni kulipa kisasi. Na hapo majibu yote utayapata. So acha kudakia dakia vitu juu juu kwa stories za mtaani. Go deep.
Nashukuru sana kwa hiyo Marsha huru
Imekaaa pw san
Hii naona mahali pengi watu wanashea,huenda kuna ufukunyuku wenye kufungua akili zetu,tusubiri na tuone,
Kingine ukisoma hizi ukalink na zile za kina enki sjui annunaki, ha ha haa usipokaa sawa utajikuta huamini kitu,,,
Hahahahaha kweli kabisaa
@@dignapaccoh8221 stay put huwezi,kuwa mjinga nalo ni tatizo elewa tu sio lazima uamini,kuwa tu na taarifa inatosha
Edgar uko wapi,?
Ukweli
Umetudanganya kusema ati mwafrica alianza tanzania uongo
Sio yeye ...Dk Leakey ambaye ni mzungu ndiye aliyevumbua fuvu la mwanadamu wa kwanza pale Olduvai Gorge pale Arusha Tanzania na ndio ukweli wenyewe
True story
Nimecheka sana,eti tuliibikua kwa kimbunga,dahhh ukweli mtupu ila wazungu wamezunguka ubongo wetu😢