Mchungaji naitwa rehema Godfrey kiukweli kabisa mchungaji nimekufatilia maombi yako yamenisaidia Sanaa kwenye vita, lakni bdo nilikuwa naitaji msaada wako kama inawezekana ni donwlod hayo maombi yawe yananisaidia wakati was usiku maan ninaupizani mkubwa sana waeneo nilipo so sioni mpenyo wamaombi.
Ee Mungu naomba uniepushe na Magonjwa nipo mbali na nyumban unisaidie. Nirudi katik Hali yangu uniepushe na ndoto mbaya ee Mungu usikie kilio changu utege sikio lako kwa maombi yangu😢😢😢🤲🤲🤲
Mtumishi naomba maombi naumwa kichwa ni zaidi ya miaka 5 hospital hawaoni tatizo zaidi ya kunipa dawa za maumivu naamini Mungu wa Bwana wetu Yesu hashindwi
Naomba kuwa huru kuanzia leo Mimi familia yangu kutokakatika vifungo vyote ogunga maisha yetu,faya zeta uchumi wetu ,kazi biashara,na hata katika elimu, Mungu Baba kwa jina la mwanao Yesu Naomba unikumbuke katika haya maombi na katika sala zeta za kila siku,
Mungu Asate Mungu Kwa kutuwezesha kufika apatulipo fikaleo ni kwauwezo wako nihondoleye mbipigamizi vaibirisi vinavyo nipotosha navivyojavyoja Kwa Damu YESU Kristo
Kuanzia leo siko Chini ya ngome yoyote niko Chini ya mamlaka ya Mungu hata mtoto wangu Martin anarejea mkononi mwangu yupo Mungu anayerejesha maana alisema vilivyoliwa na tunutu vitarejea
Asante mungu kwawatu wakounaotmiya kutuombeya katika shida nafalijika Sana maombi haya yananitiya nguvu napata nguvu tena magu nimengi lakini lakini hapa napata msada mungu akutunze
Naomba MUNGU Kupitia Maombi yangu. Nitolee roho hii nikiwa wakati wa machungaji anaomba napatwa na usingizi mkali Sana. Nakemea Hilo pepo kwa jina la Yesu
MUNGU nipiganie mm mana moyo umechoka mungu nisaidie yeyote aliye nidhulumu mungu namleta mbele Yako muone Amal ndoro Kwa chochote alicho nifanyie mm na dadangu😭😭😭🙏🙇🙇
Asante Mungu kwa kwa kunipigania katika vita yangu. Mbariki Mtumishi wako unayemtumia kutukomboa kutoka vifungo mbalimbali vya adui kupitia maarifa Yako.
Nakushukuru sana maana kuna uwepo wa nguvu imeingia kwenye maisha yangu mimi napitia changamoto mbaya sana ktk maisha yangu ni Mungu tu na kwa maombi ninayoomba sana UBARIKIWE sanaaa Mungu aendelee kukutia nguvu ili uendelee kutuombea Amina🙏🙏🙏
Mchungaji naitwa rehema Godfrey kiukweli kabisa mchungaji nimekufatilia maombi yako yamenisaidia Sanaa kwenye vita, lakni bdo nilikuwa naitaji msaada wako kama inawezekana ni donwlod hayo maombi yawe yananisaidia wakati was usiku maan ninaupizani mkubwa sana waeneo nilipo so sioni mpenyo wamaombi.
Ee Mungu naomba uniepushe na Magonjwa nipo mbali na nyumban unisaidie. Nirudi katik Hali yangu uniepushe na ndoto mbaya ee Mungu usikie kilio changu utege sikio lako kwa maombi yangu😢😢😢🤲🤲🤲
Mtumishi naomba maombi naumwa kichwa ni zaidi ya miaka 5 hospital hawaoni tatizo zaidi ya kunipa dawa za maumivu naamini Mungu wa Bwana wetu Yesu hashindwi
Vunja babamilango iliyotengenezwa kwa ajili ya uchumi wangu mungu fungua
Bwana Yesu tusaidie ulimwenguni tunayo dhiki umesema TUSIOGOPE NAMI NAAMINI KABISA AMEEN
Oooo yesss ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Asante mtumishi kwa mafundisho yako mungu azidi kukupa hekima naufunuo ubarikiwe sana tuko pamoja
Naomba kuwa huru kuanzia leo Mimi familia yangu kutokakatika vifungo vyote ogunga maisha yetu,faya zeta uchumi wetu ,kazi biashara,na hata katika elimu, Mungu Baba kwa jina la mwanao Yesu Naomba unikumbuke katika haya maombi na katika sala zeta za kila siku,
Kweli mungu ulimtoa mtumishi wako Inno atufumbue macho mungu weka ulinzi juu yke👏
Naomba Mtumishi unitumie hivo vipengere vya maombi ubarikiwe sana
Eee MUNGU UUUUUUU! Nisamehe uniondolee kila zambi za kuambukizwa
Mm Ni Muislam but I thank Nmefunguliwa kutoka kwenye Mikono ya adui🥺🙏
Utukufu kwa Mungu aliyekuwepo,yupo na atakuwepo🙏🏾🙏🏾
Asante mtumishi wa MUNGU, nimepata kitu hapa.
ubalikiwe mtumishi napokea ushindi nakibali chahali yajuu
Asante roho wamungu kwakunishindia vita yangu ya umasikini magonjwa uchungu huzuni mashaka kutokuamini upumbavu ujinga kuchanganyikiwa ukichaa uwaribifu tamaa hisia mbaya 🙏
Asante mungu unanitoa kweny vita biashara yangu kukosa wateja wenye fedha
Nipone mungu na linda mama na. Baba na watoto wagu mungu awapegufu
Asante sana mutumishi wa MWENYEZI MUNGu
Nakaa kinyume na Kila mpango wa haduii USIKU Wa Leo
Asantee mungu kwa kunipigania vita vyangu wakati mwingine hatujui tunapigani vita vya nini mungu nashukuru kwa kunishindia vita vyangu🙏🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏 🙏 Utukufuu kwa mwenyezi Mungu.... .
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu
Amen, Mungu nisaidie nijuwe jinzi ya kufanya vita ya kiroho
Mungu Asate Mungu Kwa kutuwezesha kufika apatulipo fikaleo ni kwauwezo wako nihondoleye mbipigamizi vaibirisi vinavyo nipotosha navivyojavyoja Kwa Damu YESU Kristo
Nimekuwa nyuma sana juu ya net ,bwana nipinganie haijishi ni vita aina gani
Asante mungu kwa kunikomboa sitachoka kukutumikia eeh mungu wangu🙏🙏🙏
Mungu wangu najiungamanisha usiku huu nipate afya
Mngu neem yenye nguvu nkashinde vita vyote aijalishi kubwa kias gan akuna linatakalo shindikan kwako Amna
Amen mtumishi wa Mungu vita ni nyingi lkn yupo Mungu mponyaji watu 😢
Nimejifunza kitu, " vita ya kiroho haipiganwi kimwili" Asante mtumishi wa Mungu.
Mungu wewe ninguzo sitaacha kukutumikia
Bwana kapigane katka vita iliyopo mbele yangu
Ee mungu nakushkuru kwa yote unayonitendea
Ee mungu nakushkuru kwa yote unayonitendea
Ee mungu nakushkuru kwa yote unayonitendea
Mung naomba unipiganie fedhs yang ipatkane na unipe mke sahii
😭😭😭😭😭😭😭muniombe nimechoka mzigo umenilemea
Kuanzia leo siko Chini ya ngome yoyote niko Chini ya mamlaka ya Mungu hata mtoto wangu Martin anarejea mkononi mwangu yupo Mungu anayerejesha maana alisema vilivyoliwa na tunutu vitarejea
Asante mungu kwawatu wakounaotmiya kutuombeya katika shida nafalijika Sana maombi haya yananitiya nguvu napata nguvu tena magu nimengi lakini lakini hapa napata msada mungu akutunze
Damu ya yesu kristu ipite katika maisha yangu , ya familia yangu, kwa biashara zangu na kwa mahusiano yangu 🙏🙏🙏🙏
Namshukuru mungu kw kuona cku hii.ya leo
Namshukuru mungu kw kuona cku hii.ya leo
Asante mungu Kwa kunipigania kwenye vita yangu
Ameeeeeen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙏🙌🙌🙏
Tangu nianze kusikiliza maombi naòna majibu
Asante mungu Kwa kusikia maombi yangu.
Asante yesu kwa kuñipigania vita zangu
Barikiwa sana mtumishi wa mungu Kwa maombi mazuri.
Asante YESU kwajili ya mafundisho naomba roho mtakatifu anisaidie kuelewa neno la MUNGU
Mungu wangu nisaidie nitoke kwenye ndoto changu ambazo shetani ananiletea usiku nimechoka Mungu wangu nisaidie
Naomba MUNGU Kupitia Maombi yangu. Nitolee roho hii nikiwa wakati wa machungaji anaomba napatwa na usingizi mkali Sana. Nakemea Hilo pepo kwa jina la Yesu
Ameen. Napokea kwa Imani. Kwa jina la Yesu Moto upite kote kwenye family yangu upite kwenye hofisi yangu kwajina. La yesu. Nikutanishwe na watu sahihi
Kupitia maombi haya mungu nifulie njia.
Ameni vita hii itembee nakukomboa ndoa yangu🙏
TUMAINI LETU NA MSAADA PIA MTETEZI WA VITA YETU KIROHO HATA KIMWILI PIA TENA NA WANAO TETA NASI BWANA YESU
Amina
Amina
asante kwa maombi ya vita ubarikiwe n'a mungu
Damu ya yesu itufunike ktk masala haya ya giza
Mtumishi naomba maombi mtoto wangu anaumwaa😢
Imekaa sawa mno maombi ni vita kama wakristo tungefanya vita namna hii shetani asingepata nafasi na mungu angetenda mambo makuBwa sana kwetu ❤❤
Damu yayesu nifunike
Nategemea kupata kitu kutoka kwako mfalme
Asante yesu wangu kwaukombozi 😭😭😭😭🙏🙏🙏
Asante yesu wangu kwaukombozi
Asante mungu wangu kwa kunipingania vita Kali sana.
Mimi sijapata hivyo vipengele vya maombi ya vita
Amina
Amina,ninaamini hata nguvu zikaongeke
Amina 🙏
Ufalme wa Mungu uzidi kutamalaki duniani na mbinguni
Amen mtumishi wa Mungu Mungu atusaidie
Damu ya yesu ifunike maisha yangu na mume wangu na watoto wangu na familia yangu
Mungu niludishie mausiano yangu🤲
Asante Mungu wangu kunifungua
Asante mungu kwa siku hii ya leo na Asante pia kwa kunifikisha hapa nilipo amina Asante mtumishi
Nguvu ya Mungu iponye kazi yangu
Kaka.asnte.sana. Amina 👏👏👏
Haribu kila kitu kwangu na familia yangu
Barikiwa sana mtumishi🙏
MUNGU nipiganie mm mana moyo umechoka mungu nisaidie yeyote aliye nidhulumu mungu namleta mbele Yako muone Amal ndoro Kwa chochote alicho nifanyie mm na dadangu😭😭😭🙏🙇🙇
Ndoto za kivita nazivinja kwa Jina La Yesu
Amen. Nitumicnge na Mimi maombi
Asante Yesu Kristo
Damu ya yesu ituokoe eeh mungu
1:11 azate ubarikiwe
Amina❤
Nakushukuru jehova❤
Ameen mtumishi wa Nungu
Ameni ameni Wana wamungu
Asante Yesu kwa ukombozi kwa maisha yangu pamoja na familia yangu na watoto wote wa Siri za Bibilia ❤❤❤
Neema ya mungu itusaidie
Asantee Bwana yesu kwa maomb ya kumpiga shetan, tunaomba pia uzd kubarik. Mtumish wako uliemleta kwetu. Kwaajili ya kutufundisha nano lako
Imeni
Damu ya yesu ifunike family yangu ifunike kazi yangu
pokea uponyaji
ubarikiwe mtumishi
Asante Bwana Yesu
Asante YESU
Asante YESU
Ameen
Nimebarikiwa sana
Asante Mungu kwa kwa kunipigania katika vita yangu. Mbariki Mtumishi wako unayemtumia kutukomboa kutoka vifungo mbalimbali vya adui kupitia maarifa Yako.
Asante baba ulie mbinguni kwakutuletea mtumishi wako kutuokoa tuliotekwa nashetani AMINA
Amen
Amen
Amen
Nakushukuru sana maana kuna uwepo wa nguvu imeingia kwenye maisha yangu mimi napitia changamoto mbaya sana ktk maisha yangu ni Mungu tu na kwa maombi ninayoomba sana UBARIKIWE sanaaa Mungu aendelee kukutia nguvu ili uendelee kutuombea Amina🙏🙏🙏
Samahani kaka mimi naitwa Angela mimi nina shida naweza kupata namba yako tafathali 😢
Naomba nifike kanisani kwako tafathali😢