MAOMBI YA KUVUNJA NGUVU ZA GIZA by Innocent Morris

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • MAOMBI YA KUVUNJA NGUVU ZA GIZA by Innocent Morris
    Innocent Morris
    +255652796450 (WhatsApp)
    Instagram Page: holyspiritconnect
    Facebook Page: Holy Spirit Connect
    Instagram Link:
    / holyspiritconnect
    Facebook Link:
    / holyspiritconnect
    RUclips Link:
    / holyspiritconnect

Комментарии • 684

  • @ruthmshereja3976
    @ruthmshereja3976 Год назад +7

    Mtumishi omba Kwa ajili yangu, nilipimwa nikaambuwa presha Iko juu sana, ilihali sijawahi ugua , ninakataa hii roho ya magonjwa, nguvu za giza zinazotumwa kupitia magonjwa ninazifuta na kuzikataa Kwa Jina la Yesu.

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty 5 месяцев назад

      Pia hii save sara sikiliza ukijisikia ivyo ruclips.net/video/S1MH6O5R2R4/видео.htmlsi=nOI7-eFFc9bYeOyJ

  • @gracewilliam7463
    @gracewilliam7463 3 месяца назад +2

    Ubarikiwe sana hakika umekuwa baraka katika siku ya leo kwangu nilikuwa najickia vibaya kazin lkn baada ya maombi nikatapika mapovu tu nw nipo vzr namshukuru Mungu kwa ajili yako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jacklineombasa4963
    @jacklineombasa4963 7 месяцев назад +3

    Amen amen amen amen amen amen amen katika jina la yesu ,, kwa damu ya yesu kristo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jacklinemagere1796
    @jacklinemagere1796 Год назад +6

    Najiungamisha na Maombi haya kwajina la YESU 🙏 napokea Amen

  • @florencekwayu7194
    @florencekwayu7194 3 месяца назад +1

    Nguvu zaGiza simeshidwa kwa Damu yesu ubarikiwe Mnoooo kujitoa sadaka kwa Ajili ya wengine

  • @QueenMyovela-sh5ng
    @QueenMyovela-sh5ng 6 месяцев назад +1

    Kwa Damu ya Yesu wakati natamka damu ya yesu ulivokemea roho za nyoka nilimuwekea mkono mtoto akaaza kutambaa kama nyoka na alikuwa anatamka niache niache ahsante najua umemfungua Yesu

  • @Faines-qj1nt
    @Faines-qj1nt 3 месяца назад +1

    Ameen ameen mtumishi wa mungu nimebalikiwaa na maomb yako endelea kutuombea hasa wajawazitoo wamama sisi

  • @catherinebuluma4386
    @catherinebuluma4386 Месяц назад +1

    Na Mungu akubariki mtumishi wa Mungu Mimi ni mkenya sikujui lakin ulinisaidi

  • @judithnaliaka972
    @judithnaliaka972 6 месяцев назад +3

    Amen 🙏 🙏 mtumishi nimepokea uponyaji na kufunguliwa kupitia kwa hii maombi

  • @MaryKaula
    @MaryKaula 6 месяцев назад +3

    Kwakweli nimepata uponaji Kwa ajili ya maombi yako,mungu akubariki mtumishi

  • @amisimuhindovatsikire1707
    @amisimuhindovatsikire1707 Год назад +1

    Asante sana mutumishi wa mungu tumepona kwa damu ya yesus kristo minasema amen amen

  • @rebeccahungu4879
    @rebeccahungu4879 7 месяцев назад +3

    Amen napokea kwa jina la Yesu. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.

  • @MichaelMenson-or6hg
    @MichaelMenson-or6hg Месяц назад

    Asante Bwana Yesu kwa kunieka huru!!Barikiwa mno mno mtumishi wa Mungu,!!!

  • @JacquelineGoda
    @JacquelineGoda 4 месяца назад

    🎉Amina Mtumishi was Mungu nimepona na kufungulia nguvu za kichawi Damu yaYesu imenikomboa barikiwa Sana Mtumishi

  • @salamalupenza5082
    @salamalupenza5082 2 года назад +4

    Mtumishi leo umjua kunisaidia sijalala vidonda vya tumbo vinitesausiku kucha.Damu ya Yesu iliyomwagiki pale kwa ya kutuokoa sisi wanadamu iniokoa sasa na hata milele AMEN

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty 5 месяцев назад

      Vidonda vya tumbo tafuta ndizi mzuzu zile za kijanani chemsha maganda yke kunywa kam chai iansadia

  • @salmangereza5587
    @salmangereza5587 2 года назад +11

    Ubarikiwe baba yangu nimetapika leo mpaka nguvu zikaniishia na tumbo likawaka moto, hakika YESU ni mzuri🙏🙏

    • @vumimartin901
      @vumimartin901 Год назад +3

      Siwezi kulala bila kusikiliza maombi Mungu akulinde asante baba umejifunga vingi nimejifunza kuomba kupitia wewe asant

    • @zawadiz482
      @zawadiz482 Год назад +1

      Ubarikiwe baba yangu nikuwa nasikiya kitu cha nitaba kwenye kichwa nilipo sikiza maombi nilikuwa nasikia moto mwili muzima lakini saa nashukuru nimepona

  • @dtbrare3719
    @dtbrare3719 Месяц назад +1

    I connect my brother espoir on the player !! In Jesus name ❤

  • @ruthmshereja3976
    @ruthmshereja3976 Год назад +1

    Ninafunguliwa Kwa kupitia maombi haya, nimehisi kama Kuna vitu vimetoka usoni, barikiwa mtumishi wa Mungu. Kwani Mungu anakutumia Kwa viwango vya juu sana

  • @sophiamwambambale8314
    @sophiamwambambale8314 5 месяцев назад

    Maombi haya yamesaidia sana kumponya baba yangu siku ya leo, alichanganyingiwa, hakula chochote tangu majuzi lakini nlipoweka haya maombi nikitaja damu ya Yesu Sasa hivi ametulia hapigi kelele na chakula amekula na usingizi amelala, Mungu ni mwaminifu sana. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.

  • @janetshao6423
    @janetshao6423 2 года назад +5

    Mungu akubariki, hakikq nimeshuhudia live namna maombi yalivyo na nguvu haijalishi ni mtandaoni ama kanisani ,nimepona katika Jina la yesu kristo ,hakika maombi ni moto ulao.😇

  • @nisejuma7087
    @nisejuma7087 Год назад +7

    Amen damu ya yesu imefanya ukombozivjuu ya nafsi yangu na mwili wangu jina la bwana lihimidiwe milele na milele aminaa ❤

  • @edinakakulu5321
    @edinakakulu5321 8 месяцев назад +2

    Amen. Jina la Bwana lihimidiwe🙏

  • @ANNANYAMBA
    @ANNANYAMBA 5 месяцев назад +3

    Ahsante mtumishi wa Mungu tumepokea uponyaji❤

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 11 месяцев назад +3

    Damu ya YESU kristo

  • @HappySaimon-r7n
    @HappySaimon-r7n Год назад +1

    Mungu akubariki naamini nimepona Kwa jina la
    Yesu

  • @elizabethminja7861
    @elizabethminja7861 Год назад +3

    asante nimepona kwa damu ya Yesu

  • @KaisonTenesi
    @KaisonTenesi Месяц назад

    Baba ninakuitaji katika usiku huuu naomba ukawe pamoja na Familia yangu

  • @florencekwayu7194
    @florencekwayu7194 13 дней назад

    Nashukuru Mnoooo kwa Maombi yakumani Nimefunguliwa kupitia haya Maomb

  • @friedamkiramweni9500
    @friedamkiramweni9500 2 года назад +21

    Asante kwa kutuombea, Mtumishi wa Mungu. Mungu azidi kukutia nguvu utembee na Yesu Kristo siku zote za maisha yako.

  • @musamustapher402
    @musamustapher402 4 месяца назад

    Asante mtumishi was Mungu nimepokea uponyaji

  • @nadiachalres
    @nadiachalres Год назад

    AMEEEN MUNGU akubariki sana mtumishi wa MUNGU nimebarikiwa sana

  • @mariamwanga464
    @mariamwanga464 4 месяца назад

    Mungu akutunze mtumishi ninabatikiwa sana na maombi yako

  • @petronillamnyambi7607
    @petronillamnyambi7607 5 месяцев назад

    Naomba uniombee nimelishwa vitu katika ndoto nashindwa kutapika mtumishi liko tumboni nakwenye koo

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty 5 месяцев назад

      ruclips.net/video/S1MH6O5R2R4/видео.htmlsi=nOI7-eFFc9bYeOyJ

  • @LucyFaustine-y6m
    @LucyFaustine-y6m 2 месяца назад

    Amin nimekombolewa kwa jina la yesu kristu

  • @LeilaSpembo
    @LeilaSpembo 2 месяца назад

    Najiunganisha na ww mchungaji mungu akubariki sana naona mafanikio ucku wa leo

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 11 месяцев назад

    Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina

  • @IRERISIMON
    @IRERISIMON 5 месяцев назад

    Mungu akubariki mtumishi wa mungu...Amen

  • @VIJANAWAYESU12
    @VIJANAWAYESU12 Год назад +2

    Asante sana mungu wangu

  • @fainajaffary4070
    @fainajaffary4070 Год назад +2

    Mbona baada ya kusikiliza maombi napiga sana mihayo

  • @yvonneyvonneyvonne
    @yvonneyvonneyvonne Год назад +3

    Amen nimefungwa mpka bwanangu akachukuliwa na mwanamke mwengine 😭😭

  • @milonmilestz4312
    @milonmilestz4312 Год назад +1

    Kwa damu ya yesu

  • @getolamsela1944
    @getolamsela1944 Год назад +1

    Nimemuomba mungu Nikisachi ombi litalo kuwa la pili ndio niombe nalo Mungu kaniletea hili asant Dana YESU

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 11 месяцев назад

    I receive I receive I receive I receive I receive

  • @GlauryHaule
    @GlauryHaule 3 месяца назад

    Nimepona nilikuwa n'a kitu mgongoni n'a kichefuchefu baada ya kurudia rudia maombi nimepona kabisa asante bwana yesu kwa kumtumia mtumishi wako amina

  • @AnnaMalugu
    @AnnaMalugu Месяц назад +1

    Asante yesu

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 11 месяцев назад

    Damu damu damu YESU kristo

  • @MarieKabura
    @MarieKabura 6 месяцев назад

    Mungu mwema nimepona kupitiahiiiisala

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 11 месяцев назад +1

    I receive

  • @AmharmyLaizer
    @AmharmyLaizer 2 месяца назад

    Mtumishi mungu akubarik mungu akufunike kiukwl mm ni sik ya pli Leo nawashwa tu mwli usiku hat nikioga nawashwa tu mda kwnzia saa 8 usiku inakolea saa 12 usik had hat 2 najikuna tu namshukur mungu kw maomb hay naamini ntapona kabsa

  • @omegamathew2399
    @omegamathew2399 Год назад +1

    Nimekombolewa na mitego yote ya Adui Niko Huru kwa Damu Ya Yesu

  • @rhemah1276
    @rhemah1276 Год назад +1

    Mungu atusaidie

  • @RuthMazwazwa
    @RuthMazwazwa Месяц назад

    Asante mtumishi kwa maombi .mungu akubariki

  • @eunicegerminus193
    @eunicegerminus193 Год назад +2

    Nimeondolewa kila pando la kichawi ndani yangu

  • @eunicenyabonyi6514
    @eunicenyabonyi6514 7 месяцев назад

    Roho ya Kunyanyashwa na kutumiwa vibaya iniondokee kwa Jina la yesu. Roho za kupoteza pesa na kupata loss iniondokee kwa jina Yesu. Roho

  • @scholasticasowani2558
    @scholasticasowani2558 2 года назад +1

    Bwana yesu asifiwe mtumishi naomba namba yako mie naitwa mama eric wa masasi nahitaji maombi kwako unahudumu wapi kwa sasa nipo DSM nataka tuongee km itawezekana nije kwenye huduma yako ahsante

  • @dorcasobanya
    @dorcasobanya Год назад

    my god katika jina la yesu

  • @betymgaya-p9l
    @betymgaya-p9l 7 месяцев назад

    Damu ya yesuuuuuuuuu toka pepo namini nimefunguliwa kwa damu ya yesuuuuu kristooooooo tooooooka

  • @beatricechepkurui9161
    @beatricechepkurui9161 Год назад +1

    Amen 🙏 i receive in Jesus name this message is ready to me that everyone hear this message is blessed today forever amen 🙏 thanks so much for this pay

  • @leonardobulalu
    @leonardobulalu Год назад +1

    Damu Yesu Kristo ikawe uchungu mke wangu aliyepitiliza kujifungua akajifungua sasa Kwa damu Yesu Kristo

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 5 месяцев назад

    Kwa damu ya Yesu Nafunguka huyu mtu anayetesa maisha yangu ashindwe kwa jina la Yesu

  • @AlicePhabian-fu4xw
    @AlicePhabian-fu4xw Год назад

    Damu ya yesu tenda muijiza

  • @esnatmartin
    @esnatmartin Год назад +1

    Kwa damu ya yesuiuu

  • @salmakitsao2708
    @salmakitsao2708 2 года назад +1

    Asante mtumishi Wa mngu Mahali ulipopunguza Mungu akujazie nimeshkuru Kwa maombi yamenifungua ssa nko guru ubarkiwe

  • @EdithNdune
    @EdithNdune 5 месяцев назад

    Amen mtumishi wa mungu ubarikiwe

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 5 месяцев назад

    AMEN IN JESUS NAME AMEN 🙏

  • @jaileskyangu4260
    @jaileskyangu4260 2 года назад +1

    Ameen Asante Mtumishi Kwa Maombi wakati unaomba nilijawa na nguvu kuanza kunena kwa Lugha hakika ilikaa mdomoni mwangu Kwa mda mrefu bila kukoma

  • @Gervas-jd9wo
    @Gervas-jd9wo 5 месяцев назад

    Naamin mtumishi wa mungu.

  • @veronicafideris3834
    @veronicafideris3834 2 года назад +1

    Damu yayesu inanguvu kubwa amina mtumish

  • @MaryKaula
    @MaryKaula 6 месяцев назад

    Asante mtumishi nilikua sijitambui lakini baada ya maombi yako ,nimetambaa kama nyoka ,nanikageuka kama malikia wa baharini nikarudi baharini,napia nimetapika vitu hata sijui ni nini vitu nimetapika vinakaa damu,asante sana Kwa maombi,kwani kanisa lako liko wapi

  • @mkungawakiroho859
    @mkungawakiroho859 3 месяца назад

    Asante YESU kwa ushindi

  • @alkleintje6090
    @alkleintje6090 5 месяцев назад

    Asante Yesu, mimi nilianza kutapika wakati umesema koo, nimepona Katika Jina la Yesu Kristo.

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 11 месяцев назад

    Damu damu damu yesu

  • @catherinebuluma4386
    @catherinebuluma4386 Месяц назад +1

    Kupitia Kwa hii maombi Kuna wakati nilikua Mungojwa sana Kwa miaka mi will siku Moja nikasema acha nisikize haya maombi Ivo dio nilipona mbaka sai Niko sawa na nilikua nimetesaka sana

  • @viviankimaro7881
    @viviankimaro7881 11 месяцев назад +1

    Ameen

  • @naomimbise-zp1xm
    @naomimbise-zp1xm Год назад

    Amen nilikua naumwa xna kichwa Yesu amenitendea ahsante mtumishi wa MUNGU 🙏 ubarikiwe

  • @RachelJustin-qd6gb
    @RachelJustin-qd6gb 8 месяцев назад

    Amina ubalikiwe baba asante mungu

  • @abbasbakary3491
    @abbasbakary3491 2 года назад +3

    Baba nimedondoka nipo hoi aminaaaa

  • @beatricejohn1100
    @beatricejohn1100 2 года назад +1

    Ubarikiwe mno,,,namshukuru MUNGU nilikuwa na Hali isiyoelezeka MUNGU ni mkuu nmepokea upongaji.

  • @happyngonde2923
    @happyngonde2923 5 месяцев назад

    Natanganza kufunguliwa kwa Gibons na family yake Kwa DAMU ya YESU

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 11 месяцев назад

    AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏 napokeya Kwa jina la YESU kristo amen

  • @MarryMarandu-r3s
    @MarryMarandu-r3s 15 дней назад

    mungu akutunze baba

  • @ErastoChami-jk5um
    @ErastoChami-jk5um 4 месяца назад

    Dam ya yesu mimi erasto

  • @anachocletrobert5473
    @anachocletrobert5473 8 месяцев назад

    Kwa dam ya yesu kristo

  • @sofhiatomasi5013
    @sofhiatomasi5013 2 года назад +1

    Ubarkiw naomba uniombee sana mtumishi naitwa Sophia kidenya nimetoka kufiwa namtoto wangu siku sinyingi mazingira yautata

  • @EdithNdune
    @EdithNdune 5 месяцев назад

    Amen mtumishi wa mungu

  • @nanapega3908
    @nanapega3908 2 года назад +1

    Bwana yesu ni fungue naguvu za kichawi zisizo taka kuniachilia yesu ni hurumiye mimi

  • @nanapega3908
    @nanapega3908 2 года назад +3

    Damu ya yesu inanguvu sana

  • @sharonshanny3574
    @sharonshanny3574 2 года назад +2

    Amen nimefunguliwa hakika nahitaji number yako nimetapika nyama ata sielewi hakika mungu nimwema mtumishi.🙏🙏🙏🙏🙏

  • @sophiasophia6500
    @sophiasophia6500 Год назад +1

    Amen pastor mm nilikuwa sijuwi kuomba hakini unafanya nimehase kujiwa kidogo kidogo najua Mungu hatafanya kitu juu yangu nijuwa kuomba

  • @leonardytarzantarzan481
    @leonardytarzantarzan481 10 месяцев назад

    Amen Nimeuona Mkono wa yesu amefunguliwa mke Wangu Alikuwa kafungwa na majini kwa miezi 6 ubalikiwe mtumishi

  • @IreneMsile
    @IreneMsile Год назад +1

    Asante kwakutuombea nipo hospital nimelazwa nimeota ndoto yaajabu hadi imeniamsha ubarikiwe sana ❤

  • @marryceline
    @marryceline 4 месяца назад

    Nimefunguliwa mungu akubariki

  • @josephinamaembe2926
    @josephinamaembe2926 Год назад

    Nmeona kiu kinatoka mwilini mwangu kimeanza miguun ad kichwan nmekuwa mwepesi ubarikiwe sana ahsante sana mtumishi hakika nimeona miujiza Amen🙏🏻

  • @AnchaPascoal-le9cr
    @AnchaPascoal-le9cr Год назад

    Naomba babayangu apone Kia jina ya yesu Cristo amém

  • @NaomiBinamunguKabate-gr6sv
    @NaomiBinamunguKabate-gr6sv Год назад

    Asante yesu🙏🙏🙏

  • @MariaManase-q6h
    @MariaManase-q6h 5 месяцев назад

    Napokea asante mtumishi

  • @omegamathew2399
    @omegamathew2399 Год назад

    Naamini na napokea uponyaji na kutoka kwenye vifungo vya adui kwa Jina lipitalo majina yotee Mtumishi Mungu wa mbinguni akubariki

  • @oscarjanuary1620
    @oscarjanuary1620 Год назад +2

    Asante sana mchungaji hakika damu ya yes inatenda

  • @JEREMIALYIMO
    @JEREMIALYIMO 5 месяцев назад

    Mungu ni mwaminifu nimeona nguvu yake na kupokea uponyaji. Mungu akulinde mtumishi

  • @Emmanuela_pius
    @Emmanuela_pius 2 года назад +43

    Mungu akubariki mtumishi nlikuwa hoi baada ya maombi nimepona ..hello from Norway 🇳🇴🇳🇴