MAOMBI YA KUVUNJA NGUVU ZA GIZA by Innocent Morris
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- MAOMBI YA KUVUNJA NGUVU ZA GIZA by Innocent Morris
Innocent Morris
+255652796450 (WhatsApp)
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
RUclips Link:
/ holyspiritconnect
Mtumishi omba Kwa ajili yangu, nilipimwa nikaambuwa presha Iko juu sana, ilihali sijawahi ugua , ninakataa hii roho ya magonjwa, nguvu za giza zinazotumwa kupitia magonjwa ninazifuta na kuzikataa Kwa Jina la Yesu.
Pia hii save sara sikiliza ukijisikia ivyo ruclips.net/video/S1MH6O5R2R4/видео.htmlsi=nOI7-eFFc9bYeOyJ
Ubarikiwe sana hakika umekuwa baraka katika siku ya leo kwangu nilikuwa najickia vibaya kazin lkn baada ya maombi nikatapika mapovu tu nw nipo vzr namshukuru Mungu kwa ajili yako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen amen amen amen amen amen amen katika jina la yesu ,, kwa damu ya yesu kristo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Najiungamisha na Maombi haya kwajina la YESU 🙏 napokea Amen
Nguvu zaGiza simeshidwa kwa Damu yesu ubarikiwe Mnoooo kujitoa sadaka kwa Ajili ya wengine
Kwa Damu ya Yesu wakati natamka damu ya yesu ulivokemea roho za nyoka nilimuwekea mkono mtoto akaaza kutambaa kama nyoka na alikuwa anatamka niache niache ahsante najua umemfungua Yesu
Ameen ameen mtumishi wa mungu nimebalikiwaa na maomb yako endelea kutuombea hasa wajawazitoo wamama sisi
Na Mungu akubariki mtumishi wa Mungu Mimi ni mkenya sikujui lakin ulinisaidi
Ameen
Amen 🙏 🙏 mtumishi nimepokea uponyaji na kufunguliwa kupitia kwa hii maombi
Kwakweli nimepata uponaji Kwa ajili ya maombi yako,mungu akubariki mtumishi
Asante sana mutumishi wa mungu tumepona kwa damu ya yesus kristo minasema amen amen
Amen
Amen napokea kwa jina la Yesu. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
Asante Bwana Yesu kwa kunieka huru!!Barikiwa mno mno mtumishi wa Mungu,!!!
🎉Amina Mtumishi was Mungu nimepona na kufungulia nguvu za kichawi Damu yaYesu imenikomboa barikiwa Sana Mtumishi
Mtumishi leo umjua kunisaidia sijalala vidonda vya tumbo vinitesausiku kucha.Damu ya Yesu iliyomwagiki pale kwa ya kutuokoa sisi wanadamu iniokoa sasa na hata milele AMEN
Vidonda vya tumbo tafuta ndizi mzuzu zile za kijanani chemsha maganda yke kunywa kam chai iansadia
Ubarikiwe baba yangu nimetapika leo mpaka nguvu zikaniishia na tumbo likawaka moto, hakika YESU ni mzuri🙏🙏
Siwezi kulala bila kusikiliza maombi Mungu akulinde asante baba umejifunga vingi nimejifunza kuomba kupitia wewe asant
Ubarikiwe baba yangu nikuwa nasikiya kitu cha nitaba kwenye kichwa nilipo sikiza maombi nilikuwa nasikia moto mwili muzima lakini saa nashukuru nimepona
I connect my brother espoir on the player !! In Jesus name ❤
Ameen
Ninafunguliwa Kwa kupitia maombi haya, nimehisi kama Kuna vitu vimetoka usoni, barikiwa mtumishi wa Mungu. Kwani Mungu anakutumia Kwa viwango vya juu sana
Maombi haya yamesaidia sana kumponya baba yangu siku ya leo, alichanganyingiwa, hakula chochote tangu majuzi lakini nlipoweka haya maombi nikitaja damu ya Yesu Sasa hivi ametulia hapigi kelele na chakula amekula na usingizi amelala, Mungu ni mwaminifu sana. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
Mungu akubariki, hakikq nimeshuhudia live namna maombi yalivyo na nguvu haijalishi ni mtandaoni ama kanisani ,nimepona katika Jina la yesu kristo ,hakika maombi ni moto ulao.😇
AMEN AMEN
Amen damu ya yesu imefanya ukombozivjuu ya nafsi yangu na mwili wangu jina la bwana lihimidiwe milele na milele aminaa ❤
Amen. Jina la Bwana lihimidiwe🙏
Ahsante mtumishi wa Mungu tumepokea uponyaji❤
Damu ya YESU kristo
Ameen
Mungu akubariki naamini nimepona Kwa jina la
Yesu
asante nimepona kwa damu ya Yesu
Ameen
Baba ninakuitaji katika usiku huuu naomba ukawe pamoja na Familia yangu
Nashukuru Mnoooo kwa Maombi yakumani Nimefunguliwa kupitia haya Maomb
Asante kwa kutuombea, Mtumishi wa Mungu. Mungu azidi kukutia nguvu utembee na Yesu Kristo siku zote za maisha yako.
Asanteee mtumishi wa mungu
Amieeee
Asante mtumishi was Mungu nimepokea uponyaji
AMEEEN MUNGU akubariki sana mtumishi wa MUNGU nimebarikiwa sana
Mungu akutunze mtumishi ninabatikiwa sana na maombi yako
Naomba uniombee nimelishwa vitu katika ndoto nashindwa kutapika mtumishi liko tumboni nakwenye koo
ruclips.net/video/S1MH6O5R2R4/видео.htmlsi=nOI7-eFFc9bYeOyJ
Amin nimekombolewa kwa jina la yesu kristu
Najiunganisha na ww mchungaji mungu akubariki sana naona mafanikio ucku wa leo
Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina
Mungu akubariki mtumishi wa mungu...Amen
Asante sana mungu wangu
Mbona baada ya kusikiliza maombi napiga sana mihayo
Ni maroho machafu yanakuwa yanatoka
@@holyspiritconnect Asante sana
wewe kama mm nimepiga miayo sana na kutapika.
@@rashidijuma1794 pole sana
@@fainajaffary4070 asante
Amen nimefungwa mpka bwanangu akachukuliwa na mwanamke mwengine 😭😭
Mungu atafanya njia
Amina I receive in Jesus name
Kwa damu ya yesu
Ameen
Nimemuomba mungu Nikisachi ombi litalo kuwa la pili ndio niombe nalo Mungu kaniletea hili asant Dana YESU
Ameen ameeen
I receive I receive I receive I receive I receive
Nimepona nilikuwa n'a kitu mgongoni n'a kichefuchefu baada ya kurudia rudia maombi nimepona kabisa asante bwana yesu kwa kumtumia mtumishi wako amina
Asante yesu
🙏🙏🙏
Damu damu damu YESU kristo
Mungu mwema nimepona kupitiahiiiisala
I receive
Mtumishi mungu akubarik mungu akufunike kiukwl mm ni sik ya pli Leo nawashwa tu mwli usiku hat nikioga nawashwa tu mda kwnzia saa 8 usiku inakolea saa 12 usik had hat 2 najikuna tu namshukur mungu kw maomb hay naamini ntapona kabsa
Nimekombolewa na mitego yote ya Adui Niko Huru kwa Damu Ya Yesu
Ameen
Mungu atusaidie
Ameen
Asante mtumishi kwa maombi .mungu akubariki
Nimeondolewa kila pando la kichawi ndani yangu
Ameen
Roho ya Kunyanyashwa na kutumiwa vibaya iniondokee kwa Jina la yesu. Roho za kupoteza pesa na kupata loss iniondokee kwa jina Yesu. Roho
Bwana yesu asifiwe mtumishi naomba namba yako mie naitwa mama eric wa masasi nahitaji maombi kwako unahudumu wapi kwa sasa nipo DSM nataka tuongee km itawezekana nije kwenye huduma yako ahsante
0652796450 (WhatsApp)
Mungu wambinguni akubariki sana mutumishi na akupe nguvu munene
my god katika jina la yesu
Damu ya yesuuuuuuuuu toka pepo namini nimefunguliwa kwa damu ya yesuuuuu kristooooooo tooooooka
Amen 🙏 i receive in Jesus name this message is ready to me that everyone hear this message is blessed today forever amen 🙏 thanks so much for this pay
Damu Yesu Kristo ikawe uchungu mke wangu aliyepitiliza kujifungua akajifungua sasa Kwa damu Yesu Kristo
Ameen
Kwa damu ya Yesu Nafunguka huyu mtu anayetesa maisha yangu ashindwe kwa jina la Yesu
Damu ya yesu tenda muijiza
Kwa damu ya yesuiuu
Ameen
Asante mtumishi Wa mngu Mahali ulipopunguza Mungu akujazie nimeshkuru Kwa maombi yamenifungua ssa nko guru ubarkiwe
Amen mtumishi wa mungu ubarikiwe
AMEN IN JESUS NAME AMEN 🙏
Ameen Asante Mtumishi Kwa Maombi wakati unaomba nilijawa na nguvu kuanza kunena kwa Lugha hakika ilikaa mdomoni mwangu Kwa mda mrefu bila kukoma
Naamin mtumishi wa mungu.
Damu yayesu inanguvu kubwa amina mtumish
Asante mtumishi nilikua sijitambui lakini baada ya maombi yako ,nimetambaa kama nyoka ,nanikageuka kama malikia wa baharini nikarudi baharini,napia nimetapika vitu hata sijui ni nini vitu nimetapika vinakaa damu,asante sana Kwa maombi,kwani kanisa lako liko wapi
Asante YESU kwa ushindi
Asante Yesu, mimi nilianza kutapika wakati umesema koo, nimepona Katika Jina la Yesu Kristo.
Damu damu damu yesu
Kupitia Kwa hii maombi Kuna wakati nilikua Mungojwa sana Kwa miaka mi will siku Moja nikasema acha nisikize haya maombi Ivo dio nilipona mbaka sai Niko sawa na nilikua nimetesaka sana
Ameen ameeen
Ameen
🙏🙏🙏
Amen nilikua naumwa xna kichwa Yesu amenitendea ahsante mtumishi wa MUNGU 🙏 ubarikiwe
Ameen
Amina ubalikiwe baba asante mungu
Baba nimedondoka nipo hoi aminaaaa
Ubarikiwe mno,,,namshukuru MUNGU nilikuwa na Hali isiyoelezeka MUNGU ni mkuu nmepokea upongaji.
Natanganza kufunguliwa kwa Gibons na family yake Kwa DAMU ya YESU
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏 napokeya Kwa jina la YESU kristo amen
mungu akutunze baba
Dam ya yesu mimi erasto
Kwa dam ya yesu kristo
Ubarkiw naomba uniombee sana mtumishi naitwa Sophia kidenya nimetoka kufiwa namtoto wangu siku sinyingi mazingira yautata
Ameen
Amen mtumishi wa mungu
Bwana yesu ni fungue naguvu za kichawi zisizo taka kuniachilia yesu ni hurumiye mimi
Damu ya yesu inanguvu sana
Amen nimefunguliwa hakika nahitaji number yako nimetapika nyama ata sielewi hakika mungu nimwema mtumishi.🙏🙏🙏🙏🙏
WhatsApp Number: +255652796450
Amen pastor mm nilikuwa sijuwi kuomba hakini unafanya nimehase kujiwa kidogo kidogo najua Mungu hatafanya kitu juu yangu nijuwa kuomba
Ameen
Amen Nimeuona Mkono wa yesu amefunguliwa mke Wangu Alikuwa kafungwa na majini kwa miezi 6 ubalikiwe mtumishi
Asante kwakutuombea nipo hospital nimelazwa nimeota ndoto yaajabu hadi imeniamsha ubarikiwe sana ❤
Ameen. Nitakuombea
Nimefunguliwa mungu akubariki
Nmeona kiu kinatoka mwilini mwangu kimeanza miguun ad kichwan nmekuwa mwepesi ubarikiwe sana ahsante sana mtumishi hakika nimeona miujiza Amen🙏🏻
Naomba babayangu apone Kia jina ya yesu Cristo amém
Asante yesu🙏🙏🙏
Napokea asante mtumishi
Naamini na napokea uponyaji na kutoka kwenye vifungo vya adui kwa Jina lipitalo majina yotee Mtumishi Mungu wa mbinguni akubariki
Asante sana mchungaji hakika damu ya yes inatenda
Ameen
Mungu ni mwaminifu nimeona nguvu yake na kupokea uponyaji. Mungu akulinde mtumishi
Mungu akubariki mtumishi nlikuwa hoi baada ya maombi nimepona ..hello from Norway 🇳🇴🇳🇴
Ameeeeen yo
Amen
Ameeen
Ameni niko na shida na mkono bt najua mungu ashaniponya ameni glory be to God be blessed
Mungu akubaki mtumishi Glory Comoro vorovoro