UNAPOCHOKA,NANI ANAKUBEBA KATIKA MAOMBI?? // MUHIMU SANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • MATENDO 12
    1 Karibu wakati huohuo, mfalme Herode alianza kuwatesa baadhi ya Wakristo.
    2 Alimuua kwa upanga Yakobo, ndugu yake Yohane.
    3 Alipoona kuwa kitendo hicho kiliwapendeza Wayahudi, aliendelea, akamkamata Petro. (Hiyo ilifanyika wakati wa sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu).
    4 Baada ya kutiwa nguvuni, Petro alifungwa gerezani, akawekwa chini ya ulinzi wa vikundi vinne vya askari wannewanne. Herode alikusudia kumtoa hadharani baada ya sikukuu ya Pasaka.
    5 Basi, Petro alipokuwa gerezani, kanisa lilikuwa linamwombea kwa Mungu kwa moyo.
    Malaika anamtoa Petro gerezani
    6 Usiku, kabla ya siku ile ambayo Herode angemtoa Petro hadharani, Petro alikuwa amelala kati ya askari wawili. Alikuwa amefungwa minyororo miwili, na walinzi walikuwa wanalinda lango la gereza.
    7 Ghafla, malaika wa Bwana akasimama karibu naye na mwanga ukaangaza kile chumba cha gereza. Malaika akamgusa ubavuni akamwamsha akisema, “Ondoka upesi!” Mara ile minyororo iliyomfunga mikono ikakatika na kuanguka chini.
    8 Malaika akamwambia, “Jifunge mshipi wako, vaa viatu vyako.” Akafanya hivyo. Kisha huyo malaika akamwambia, “Vaa koti lako, unifuate.”
    9 Petro akamfuata nje lakini hakujua kama hayo yaliyofanywa na huyo malaika yalikuwa ya kweli; alidhani alikuwa anaota ndoto.
    10 Walipita kituo cha kwanza cha ulinzi na cha pili, halafu wakafika kwenye mlango wa chuma wa kuingilia mjini. Huo mlango ukawafungukia wenyewe, nao wakatoka nje. Wakawa wanatembea katika barabara moja na mara yule malaika akamwacha Petro peke yake.
    11 Hapo ndipo Petro alipotambua yaliyotukia, akasema, “Sasa najua kwa hakika kwamba Bwana amemtuma malaika wake akaniokoa mikononi mwa Herode na kutoka katika mambo yale yote watu wa Israeli waliyotazamia.”
    Maarifa ya Ki-Mungu
    @SIRI ZA BIBLIA
    www.sirizabiblia.com
    +255 758 708 804
    linktr.ee/siri...
    Instagram Account
    / siri_za_biblia
    SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
    M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
    CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

Комментарии • 2,6 тыс.

  • @edithaabel7858
    @edithaabel7858 Год назад +6

    Asante mtumishi wa Mungu hakika neno hili limeyagusa maisha yangu, nami nimepokea maombezi haya na asante sana Mungu akubariki na madhabahu hii idumu daima katika kutukomboa🤲🙏

  • @termankalendo1439
    @termankalendo1439 Год назад +10

    Nawapenda sana watumishi wamungu.munatutia moyo kila wakati God bless you always

    • @ElinuruKaaya-fz1vi
      @ElinuruKaaya-fz1vi 5 месяцев назад

      Asante nashukuru kwa maombi y jioni hii yameribiki sana ubarikiwe

  • @bitihaywajean3563
    @bitihaywajean3563 Год назад +8

    Amen mtu wa Mungu, kwa Imani yote yawezekana

  • @KombeJustine
    @KombeJustine 2 месяца назад +2

    Praise the Lord! Ninahitaji maombi yako mtumishi wa Mungu

  • @AnnaChambo-m4c
    @AnnaChambo-m4c Месяц назад +1

    Asante mtumishi, namshukuru Mungu kuniunganisha katika madhabahu hii amen

  • @Mr.HassanHussen
    @Mr.HassanHussen 6 месяцев назад +5

    Mimi nataka Mungu anisaidie kuiokoa familia yangu ilio katika maisha magumu na vita vya waovu amina🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @herielizakayonyari71
    @herielizakayonyari71 Год назад +4

    Amen .Amen nashukuru kwa Mungu anavyoktumia tunapata ufaammu wa nano la Mungu na maarifa na nguvu iliyomo ndani ya nani la Mungu 37:41 37:41

  • @zedrickwanjaza5263
    @zedrickwanjaza5263 Год назад +6

    Mtumishi wa mungu akika umeiguza moyo wangu ni zedrick kutoka western Kenya

  • @ntumbagiselle8285
    @ntumbagiselle8285 7 месяцев назад +2

    Amen
    🙏🏽

  • @elizabethwanjiru9543
    @elizabethwanjiru9543 3 месяца назад

    Baba watoto wangu kwa ajiri ya kazi pastor unanibariki sama

  • @hamidarose9019
    @hamidarose9019 4 месяца назад +11

    Bwana yesu asifiwe mtumishi , hakika wewe umetumwa na roho wa mungu , mungu aendelee kunipa kibali cha kuweza kukusikiliza , kwan moyo wangu umechoka sana , nipo ktk gereza lisiloelezeka , naomba msaada wako mtumishi , nazizidi kudidimia kiuchumi , kila nikifanyacho hakuna nachofanikiwa , mm ni wamagonjwa kila kukikucha , roho za kichawi zimenizonga kila sehemu ya maisha yangu , niokoe kwenye hili gereza 🙏🙏

    • @LatifaShabani-jl8ew
      @LatifaShabani-jl8ew 3 месяца назад

      Najua nmechelewa kupata haya main ila nime niko kwenyechangamoto ya familia tangu changamoto ya chini mshikaji kabsa mtu wa kukushika mkononi nmebanwa kwenye kona kabisa

    • @LatifaShabani-jl8ew
      @LatifaShabani-jl8ew 3 месяца назад

      Naomba uongee na mm kwa kina

  • @kawirajoseph8910
    @kawirajoseph8910 Год назад +7

    Mimi ni mjane bwana amekufa juzi nafanya kazi Kwa nguvu dio watoto wangu wasilale badala nihinuke katika kibiasara ina zorota tuu niombee nitoke katika umaskini Amen

    • @AliceBarasa-ko9ul
      @AliceBarasa-ko9ul 5 месяцев назад

      Bwana asifiwe pst ni Alice mim mmoja ninaye pitia mambo mengi sana Sina ndoa usiku silali mchungaji naomba uniweke kwa maombi

    • @DeusdeditMathias
      @DeusdeditMathias 3 месяца назад

      ​@@AliceBarasa-ko9ulMungu akujibu kwa wakati wake

  • @mercychesang9749
    @mercychesang9749 Год назад +5

    Nakusia nikiwa Saudi Arabia nashukuru kwa mafunzo Yako umenifuza mengi mungu hakubariki sana mtumishi wa mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @notburgamlelwa
    @notburgamlelwa Месяц назад

    Asante mtumishi Mungu akubariki

  • @RozinaChami
    @RozinaChami 2 месяца назад

    Asante mtumishi wa MNGU tunakushukuru kwa mafundisho yako

  • @maryamsylivester8662
    @maryamsylivester8662 Год назад +71

    Sina chaguo Naamini umeomba Mengi kwa Ajili yangu kwaniliyokuwa nikiyapitia😭😢 maana Imani yangu Inaniambia Tayari Mungu Amemtuma Malaika wake kwa Ajili yangu Utunzwe na Bwana Yesu Mtumishi wa Mungu Na Ubarikiwe sana Na nitarudi kwaajili ya Ushuhuda kwaatakayoyatenda kwangu 🙏🙏🙏

    • @harrietmukhemba7680
      @harrietmukhemba7680 Год назад

      Amen Amen ubarikiwe sana mutumishi wa mungu

    • @renfridakomba7499
      @renfridakomba7499 Год назад +2

      Bwana Yesu asifiwe, nipo ktk mahusiano ambayo sio sahihi ila nashindwa kutoka naomba niombee niweze kutoka

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Год назад +1

      ​​@@renfridakomba7499
      Omba Toba kwa kuingia kwenye hayo mahusiano
      Halafu Anza kujitoa Kwa kutumia damu ya Yesu, FUTA Kwa damu ya Yesu km umeingizwa kwenye maagano yyt usiyoyajua
      Zaburi 51,Isaya 1:18......tubu
      Halafu Kiri ,sema nafutaa Kwa damu ya Yesu haya mahusiano

    • @leontinaaugustine4337
      @leontinaaugustine4337 Год назад +1

      Mtumishi naomba maombi Kwa ajili ya changamoto yandoa nimarayakwanza kutuma ombihili la ndoa nilikuwanikiomba nawewekupitia yutyubu naomba msaada Kwa hili

    • @peninabensonpen870
      @peninabensonpen870 Год назад +1

      Bwana yesu asifiwe mtumishi wa Mungu roho ya talaka iondoke kwa familia yetu niombee mtumishi wa Mungu

  • @mariabasso7466
    @mariabasso7466 Год назад +5

    Bwana yesu asifiwe mtumishi naomba uniombee mambo yangu yamefungwa kila nitakachokifanya hakionekani,na natamani mungu anijalie mume wangu nifunge ndoa

  • @mbusuromwita4724
    @mbusuromwita4724 Год назад +4

    Amen naomba Mungu anitoe kwenye gereza la magonnjwa yote ktka mwili wangu na familia yetu na ukoo wetu ,gereza la madeni yasiyoisha , ,naamini Maombi haya yatafungua Kila kitu

  • @Salama-b6h
    @Salama-b6h 24 дня назад

    Asante sana Mtumishi wa Mungu.

  • @GetrudeMasale
    @GetrudeMasale 3 месяца назад

    Asante kwa neno na mafundisho hayo Mungu akubariki sana

  • @furahazero6559
    @furahazero6559 Год назад +4

    Acha Mungu anifungulie njia nyepesi nitoke hapa EE Mungu wayakobo Niko mbele Zako msalabani Na nyenyekea unitangulie unifinike Na damu ya mwanao yesu Christo Amen

    • @omegashuma6584
      @omegashuma6584 Год назад

      Nimimi mtumishi nipo chini sana kiuchumi nahotaji mtu anibebe kiroho

    • @victorwesamba2520
      @victorwesamba2520 Год назад

      😢😢😢😢😢😢😢 Mungu nikumbuke na family yangu roho yavumasikini nimekataa roho ya ugovi Kwa mausianovyangu aut😢😢😢

  • @MasaiTanzania-c3x
    @MasaiTanzania-c3x Год назад +4

    Thank you Lord

  • @aksamsemwa5302
    @aksamsemwa5302 Год назад +4

    Ameeen napokea uchumi mzuri, elimu, watoto, afya njema, kwa jina la Yesu

    • @lilianmagava6854
      @lilianmagava6854 Год назад +1

      Mungu anitoe kwenye magumu ninayopitia

    • @zawadsimon7940
      @zawadsimon7940 Год назад

      Eemungu nakuomb uniepushe n watu wabay kwenyefamiliy yang amina

    • @lidyanapegwa8154
      @lidyanapegwa8154 Год назад

      Ni kweli kabisa nahitaji mtu atakayenisaidia juu ya Afya yangu na afya za familia yangu

    • @lidyanapegwa8154
      @lidyanapegwa8154 Год назад

      Natamani Mungu anitie kwenye gereza la magonjwa mm pamoja na familia yangu

  • @AnjelaKavishe
    @AnjelaKavishe 3 месяца назад

    Asante mtumishi kwa maombi yako yamenijenga

  • @RoseMjosh
    @RoseMjosh Месяц назад

    Bwana Yesu asifiwe Mtumishi Mungu, nashukuru kwa hayo maarifa ya neno. Naamini Mungu nami anaenda kunitoa katika gereza mateso

  • @PeterKimathi-w1e
    @PeterKimathi-w1e Год назад +6

    Pastor ubarikiwe sana wewe MUNGU amekutumia kusaidia maisha yangu na maisha ya wengine asante sana

  • @josykogei7647
    @josykogei7647 Год назад +4

    Natamani kufunguliwa nielewe neno la mungu pia kupokea uponyaji

  • @stevelebanon8231
    @stevelebanon8231 Год назад +4

    Kweli kabisaa ninahitaji mtu wakunisaindia kwa maombi 😢..kwa ajiri ya doa yangu 😢🙏

  • @ElimwangaSule
    @ElimwangaSule Месяц назад

    Asante mtumishi wa mungu hakika umenipa matumaini ya kumjua mungu.mungu akubariki

  • @Christina-dz7ff
    @Christina-dz7ff 3 месяца назад

    Aminaa 🙏🙏 mungu akubariki mtumishi wa mungu

  • @martherteresa8108
    @martherteresa8108 Год назад +4

    Ningependa mungu aniondolee gereza la kupendana na wanaume wa wenyewe ,anipariki na ndoa yangu mwenyewe ,anibariki na kifedha 😢🤲🙏

  • @celinaduka3346
    @celinaduka3346 Год назад +5

    Naomba msaada wa Mungu anitoe katika gereza ya Magonjwa, Madhabahu ya kutofanikiwa ,kukosa Amani katika maisha yangu Mungu afungue familia yangu katika mateso.. Amen

    • @matildakilufi7739
      @matildakilufi7739 Год назад

      Amina 🙏🏽
      Naomba Mungu aniondolee roho ya mauti kwenye familia yangu, magonjwa ya kufanana ya akili yaliyofatilia watoto wangu waliotangulia mbele za haki, yasiendelee kwenye vizazi vijavyo vya uzao wa tumbo langu
      Nahitaji mtu wa kusimama na mimi kwenye maombi.
      Mungu akubariki sana Mtumishi 🙏🏽

    • @espesifa5661
      @espesifa5661 Год назад

      Amina mimi na zarauliwa saaanaaa na mme wangu kwajili ya wamalaya mpaka hameniacha mimi na watoto na hameenda kuhishi nao bali ni mengi saaaaaaaanaaaa

    • @akhanntahena2544
      @akhanntahena2544 Год назад

      '

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 Год назад +4

    Mtumishi uliyoyaongea yote haya ndio ninayopitia mimi, naamini kupitia maombi haya MUNGU atafanya jambo jipya kwenye maisha yangu 😭😭😭😭😭😭😭 naweza kuwa na furaha siku 2 mwezi nalia Mungu nisaidie

  • @jonakax
    @jonakax 9 месяцев назад

    Asante aasnta mutumishi mungu akubariki.

  • @ZachariaMkumbo
    @ZachariaMkumbo 7 месяцев назад

    Asante mtumish wa MUNGU Kwa maombi Yako ulichokitamka kimekuwa kwangu Kwa jina YESU MWOKOZI WETU AMEN

  • @miriamisaya3878
    @miriamisaya3878 Год назад +4

    AMEEEN AMEEEN AMEEEN 🙏🏼

    • @deborahkelvin4528
      @deborahkelvin4528 Год назад

      Shalom Mtumishi Ni kweli kabisa Mimi na Watoto wangu tunamuhitaji MUNGU maana Mimi Ni Mama Mimi na Watoto wangu tuna matatizo makubwa Ni kweli tunahitaji Maombi ya nguvu

    • @deborahkelvin4528
      @deborahkelvin4528 Год назад

      Tunapitia magumu Nina Mtoto wangu yupo Ujermani na ndio Msaidizi wa hatma yangu kafukuzwa kazi haya na mdogo wake kaolewa Mume wake pia kafukuzwa kazi wote Hawa wanawatoto nahuyu mdogo wake alikua amefungu Saloon lakini Wateja hakuna haya na mdogo wao wa mwisho nae pia Hana kazi inayoeleweka Mimi Mama sasa Niko njia panda kote naona Giza Mtumishi Naomba msaada wa Maombi

    • @deborahkelvin4528
      @deborahkelvin4528 Год назад

      Namshukuru Sana MUNGU Kwa Maombi haya Roho Mt ameyaleta kwaajili yangu na familia yangu Asante Roho wa MUNGU

    • @hildakahaso849
      @hildakahaso849 Год назад

      Naomba kufunguliwa katika pingu na minyororo pamoja na watoto wangu na mume wangu na jamii yangu yoote madhabahu ya ukoo kuteseka katika masomo yao naomba Mungu atukumbuke ameen

    • @hildakahaso849
      @hildakahaso849 Год назад

      Gereza ya mashetani magonjwa umaskini,madeni,ndoa uzinzi naomba kufunguliwa,masomo ya watoto wangu,huduma ya mtoto wangu

  • @emohsteve2186
    @emohsteve2186 Год назад +4

    AMEN 🙏🙏

    • @rehemakiteu
      @rehemakiteu Год назад

      Naomba Mungu aguse maisha yangu

  • @adelasumaili8149
    @adelasumaili8149 Год назад +4

    Namimi naitaji msahada wamaombi kwashida ninazo pitiya katika maisha yangu mimi nilikuwa napenda sana kusoma neno la mungu naku funga siku moja moja nakuhenda ibadani kila ifikapo Sunday lakini kwasasa Sina hamu tena yaku soma neno lamungu nakwenda ibadani amu imenitoka kabisa lakini namshukuru mungu sana kwaku kuleta wewe mtu mishi wake ambaye maombi yako inayo patiya watu nguvu zakusimama imara bila kukata tamaha naamini iposiku kwaimani yangu nita funguliwa milango Asante sana na mungu aku bariki Amina 🙏🙏🙏🙌🙌

    • @lwambamiriam586
      @lwambamiriam586 Год назад

      Mimi ni maman miriamu Niko apa kongo naitaji maombi maisha yangu ikokatika jifungo jyagiza Mimi pamoja namume wangu

    • @adnesadnes8268
      @adnesadnes8268 Год назад

      Amen amen

    • @adnesadnes8268
      @adnesadnes8268 Год назад

      Hatamm nahitaji MTU wakunibeba n mefungu sana

    • @adnesadnes8268
      @adnesadnes8268 Год назад

      N mm Mtumishi niko Lebanon napitia changamoto sana nilikuja mwezi wakumi namoja lakini bass aliye nitoa kenya akanirejesha kwa office nimekua napitia shida mm nahitaji kurudi kenya plz nmeomba sana hatanakosa chakuomba tena nahitaj msada nrudi kenya sina msada wowote naomba

    • @blandinathomas4519
      @blandinathomas4519 Год назад

      Najua Mungu kupitia mtumishi wako, utafungua vifungo vyote katk maisha ya familia yangu na biashara yangu itakuwa kiuchumi

  • @NeimahNeimah
    @NeimahNeimah Месяц назад

    Asante mtumishi kwa neno hili nina imani litanisaidia maana nlkofika n mbal

  • @AnnaAmosi-xd9ok
    @AnnaAmosi-xd9ok 6 месяцев назад

    Amina napokea

  • @MarieMakiwa-f9j
    @MarieMakiwa-f9j 7 месяцев назад

    Amen Asante mungu kwa kunitumia mtumishi wako

  • @WANANZENGOCMG
    @WANANZENGOCMG 9 месяцев назад

    Asante mtumishi nimepokea

  • @JoyceMorogoro
    @JoyceMorogoro Месяц назад

    Mungu akubariki kwa mafundisho niombee Mungu anipe Kibali na anitumie apendavyo

  • @Aminafatuma-wb6th
    @Aminafatuma-wb6th 4 месяца назад

    Asante mtumishi kwaneno nzuri ninahitaji msahadaa was maombi.

  • @liberathaaugustine472
    @liberathaaugustine472 4 месяца назад

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu nimejifunza mengi nawaombea watoto wangu uwafunike Kwa dam ya yesu naamini mungu ni mwema ktka maisha yangu bariki biashara zetu bwana yesu asante mungu.

  • @monicamgwasa
    @monicamgwasa Месяц назад

    Amina mchungaji Mungu azidi kukubari umebarikiwa uzidi kubarikiwa natamani niwe mwombaji wa viwango vya juu Nisaidie kuniombea

  • @DorcasKindamba
    @DorcasKindamba 5 месяцев назад

    Asante pastor naomba Mungu anisaidieneema niliopoteza ya maombi na magumu ya magonjwa ninayopitia familia yangu ikombolewe na isimame ktk imani nanisimame ktk huduma aliyonipa mungu,Asante kwasababu bwana atatenda

  • @zakayomwashilindi-cf5kh
    @zakayomwashilindi-cf5kh 2 месяца назад

    Barikiwa mtumishi wa Mungu hakika Mungu ni mwema kila siku Mungu akuongezee mwaka 10000000 ❤❤❤❤

  • @mgayafenk
    @mgayafenk 6 месяцев назад

    Amina sana

  • @liberathaaugustine472
    @liberathaaugustine472 4 месяца назад +1

    Asante mtumish wa mungu unipe nguvu ya kukutambua wewe mungu wangu ukani itie ñguvu ukatuponye na magonjwa yote.ktk familia yangu nakuomba bwana yesu ukatupe afya njema na familia yangu.

  • @Victoria-bv6xu
    @Victoria-bv6xu 2 месяца назад

    Nimepokea msimu mpya wa kucheko kipya tena Amina💞😘👏 God bless prophet 😘

  • @VeledianaKalolo
    @VeledianaKalolo Месяц назад

    Mtumishi Umekuwa baraka katika maisha yangu me napita sana katika gereza la magonjwa Mungu anikumbuke leo

  • @evampuya-mp9vf
    @evampuya-mp9vf 5 месяцев назад

    Ameen mtumishi wa mungu

  • @aaronmuasya3025
    @aaronmuasya3025 9 месяцев назад

    Asante sana mtumishi wa mungu,hili neno limekuwa baraka kwangu ! Naomba mtumishi usimamame NAMI,Niko kwa kifungo Cha biashara ya madeni na hasara na gereza la umasikini laana za kutofaulu!

  • @DonathaAfrican
    @DonathaAfrican 9 месяцев назад

    Amina

  • @GladysOngera-ep4yg
    @GladysOngera-ep4yg 7 месяцев назад

    Asante mtumishi wa Mungu,mtumishi wa Mungu,niombee ulevi Kwa familia Na Kcurse Kwa familia kutoka Kwa mababu zetu

  • @SylviaKibaba
    @SylviaKibaba 3 месяца назад

    Nilisimamishwa job bila sababu naitaji mungu anisaidie Asante ndungu.

  • @NaomyDaudi
    @NaomyDaudi 8 месяцев назад +1

    ameen mtumishi nashukuru kwa mafunzo yako barikiwe san baba ,naomba uniombee niweze kuwa na ujasiri wakati wa kuomba maana kila nikiomba najawa na wasiwasi pleaz mtu wa mungu nahitaji maombi yako pia sometime nashindwa kusoma biblia nikichukua bliblia nafunua then najikuta nimesinzia naomb mtumishi uniombee

  • @MmMm-tt1wi
    @MmMm-tt1wi 8 месяцев назад +1

    nataka msaada ktk maombi🙏🙏🙏

  • @DamarisMuia-w5i
    @DamarisMuia-w5i 27 дней назад

    Bwana yesu asifiwe mtumishi wa mungu naomba ukanishike mkono kwa ajili ya kazi ygu na ndoa

  • @JoyceJoyce-m4x
    @JoyceJoyce-m4x 6 месяцев назад

    Ooooooh Asante yesu,mtumishi Naomba nitoke katika gereza la laana na maagano ya ukoo n umaskin mtumishi Sina wa kusimam badala yangu ni mungu Sina mtu wa kukwamby aniombee mungu ukubariki mtumishi

  • @salamasalama1428
    @salamasalama1428 6 месяцев назад

    😢😢 amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @salomemrembo7482
    @salomemrembo7482 6 дней назад

    Muchungaji..nashukuru mungu kukujuwa ..🙏

  • @gfcgghh9138
    @gfcgghh9138 5 месяцев назад

    Amen amen, barikiwa zaidi ❤❤❤

  • @gracerashidi-z8u
    @gracerashidi-z8u 8 месяцев назад

    Asante mutumishi kwafunzo lako nzuri mungu aku bariki mimi natamani mungu anivushe kwamambo ambayo nina yapitiya

  • @RisperKemunto-dq1zn
    @RisperKemunto-dq1zn 7 месяцев назад

    Mungu akubari mtumishi wa mungu niko na shida kumbwa sana katika maisha yangu vitu zinatembea kwa mwili alafu naota ndoto ya mauti

  • @نيجي-ن1د
    @نيجي-ن1د 4 месяца назад

    Amina kwa damu ya Yesu Kristo

  • @MwavitaOngea
    @MwavitaOngea 3 дня назад

    Mungu akumbariki sana baba umbarikiwe tunambarikiwa namafundisho pia maombi 🎉🎉🎉🎉

  • @tabithamugure9920
    @tabithamugure9920 Месяц назад

    Wao Mungu akumbaliki pia nimesaindika sana

  • @faisalali8550
    @faisalali8550 Месяц назад

    Asante sana mtumichi wamungu nagufuatiria sana kwamafundicho mazulia Mungu akubariki sana mimi lengo langu naomba Mungu ainuwe nguvu niew sana sana muombaji na kuwa nahisi nimekwama lakini Mungu asikie ombilangu kabix ni inuke tena

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 8 месяцев назад

    Amen Amen papa

  • @muhondomusabuli1590
    @muhondomusabuli1590 4 месяца назад

    Amen amen mtumishi wamungu bwana asifiwe sana asante❤.

  • @PatrickThomas-s5y
    @PatrickThomas-s5y 2 месяца назад

    Amina mtumishi nahitaji kuombeewa kwa habari ya familia yangu

  • @EVALISTERABEDNEGOITUNDA
    @EVALISTERABEDNEGOITUNDA 4 месяца назад

    Amina Amina Mungu ni mwaninifu

  • @blandinakimbe8910
    @blandinakimbe8910 7 месяцев назад

    Asante MUngu

  • @Josephine-u7y
    @Josephine-u7y 6 месяцев назад

    Asante sana mtumishi wa mungu yote uliongea ninanyapitia maisha maishani wangu pamoja na watoto wangu Hali ngumu sana ninaomba niombee pamoja na watoto wangu Hali ya umasikini kudharauliwa

  • @minzaharuni2820
    @minzaharuni2820 9 месяцев назад

    Amina napokea uponyajinkwa jina la yesu

  • @Zubeda-h1m
    @Zubeda-h1m 8 месяцев назад

    Asante sana mtimishi wangu kwa mafundisho naona leo kwangu ni siku ya neema ubarikiwe sana naomba unisaidie kwa maombi mtumishi wangu

  • @ElimwangaSule
    @ElimwangaSule Месяц назад

    Bwana asifiwe mtumishi wa mungu mimi naomba maombi kwa ajili ya watoto wangu kuhusu Elimu wafanikiwe Amin

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 7 месяцев назад

    Ameeeeeen ameeeeeen pstr barikiwa sanaaaana

  • @Mwx-zd4ov
    @Mwx-zd4ov 2 месяца назад

    Amen. Mtumishi naomba unisaidie kwa hiyo hali napitia

  • @bumijaguraidy1106
    @bumijaguraidy1106 6 месяцев назад

    Mtumishi Mashauri Mungu akubariki sana katika huduma yako na hitaji mtumishi unishike mkono nivuke

  • @DeogratiasEmanuel
    @DeogratiasEmanuel 4 месяца назад

    Mungu akubariki mtumishi wa mungu

  • @julianarichard920
    @julianarichard920 23 дня назад

    Mungu wangu ninahitaji Mtu kama msaada wangu katika maisha yangu na familia yangu

  • @EmunguPaul
    @EmunguPaul 3 месяца назад

    Nashukurukwaufariji muchungaji laneno mungu akuinueju Sana nikonakufata APA Congo mji wa tenke Jimbo la Katanga asante kwaneno

  • @FlorenceObed
    @FlorenceObed 2 месяца назад

    Bwana yesu asifiwe mtumishi. Naomba ukomboz wa Familia yangu biashara yangu.umaskin. Maden. Watoto wangu.

  • @lilianmoshi2245
    @lilianmoshi2245 7 месяцев назад

    Amina nikatoke kwenye hivyo vifungo kwa kina la YESU

  • @alindaalinda4897
    @alindaalinda4897 6 месяцев назад

    Ubarikiwe sana baba

  • @MercylineGetuma
    @MercylineGetuma 9 месяцев назад

    Amen Asante Mtumishi yote hayo najua Mungu nami atanionekania yaniondokee😭

  • @tumpedaudi6681
    @tumpedaudi6681 5 месяцев назад

    AHSANTE YESU

  • @MussashilindeLichard
    @MussashilindeLichard 4 месяца назад

    Amin tunashukur mtumishi wa mung kwa neno hill mungu atusaidie amen mungu atufungulie milango ya amina

  • @AnithaJoseph-yr1mg
    @AnithaJoseph-yr1mg 7 месяцев назад

    Mtumishi Mungu akubariki, natamani Mungu anivushe ndoa katika ndoa yangu

  • @mercyndunge7119
    @mercyndunge7119 7 месяцев назад

    Amen nashuku kwa uu unjumbe naomba msaada wa maombi ya mbiashara yangu

  • @SesiliaNyakunga
    @SesiliaNyakunga 5 месяцев назад

    Amina as mtumish wa bwana

  • @Bridgit-py5ku
    @Bridgit-py5ku 7 месяцев назад

    I thank God for you God bless you so much biashara yangu inaendelea na kumalizika sasa nahitaji msaada wa mungu 🙏

  • @BetinaMandi
    @BetinaMandi 5 месяцев назад

    Ameeen

  • @SaidiMasimango
    @SaidiMasimango 5 месяцев назад

    Amen,nimefungwa kwanjia nyingi mimi na watoto wangu ,zaidi madeni,mahitaji haijibiwe.Gereza la umaskini,madeni kushindwa kulipa, watoto kutopata kazi,

  • @khainzajoan9602
    @khainzajoan9602 6 месяцев назад

    Amina amen amen 🙏 🙌

  • @pychenJamescommercial-qr9vv
    @pychenJamescommercial-qr9vv 7 месяцев назад

    asante mutumishi kwa mafundisho

  • @mamaabanijacob9011
    @mamaabanijacob9011 9 месяцев назад

    Asante mtumishi kwa maombi yako nimebarikiwa sana naomba uniombee napitia ktk changamoto za magonjwa