BWANA ATAWAPIGA ADUI ZAKO MBELE YAKO // MAOMBI
HTML-код
- Опубликовано: 20 май 2023
- Kumbukumbu la Torati 28:7
BWANA atawafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako; watakutokea kwa njia moja, lakini watakimbia mbele yako kwa njia saba.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Napokea nyota angu ilikua imeimbiwa nairudisha kwajina la yesu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mungu anisaidie
Navunja njia za adui katika maisha yangu Kwa damu ya yesu Mimi ni mtu mpya siyo yule wa zamn tena
🙏🙏🙏 Mungu ndo amekuleta kutufindisha uzima huu barikiwa sana
Bwana Mungu naomba niwaone na niwajue maadui zangu
Pigana na adul zangu kwajina la yesu🔥🔥🔥🔥
Asante mtumishi wa mungu hata mm nijiuliza maisha yangu jinsi inavyioendelea
I loveeeee your spritual teachinggg be blesssed man of God
Amen mungu atupiganiye
Amen, mtumishi
Ameeeen🎉🎉🎉🎉
Amen
mwenyezi mungu ampe mke wangu mapacha👏👏👏👏
Amén 😭😭😭😭😭😭😭naumia kwao sababu ni kama ni mm nimekua naongelewa mungu rengesha mausiano yangu in Jesus name amen 🙏🙏🙏
Mungu pambana na adui zangu
Maadui zangu washindwe in Jesus name
Niliona madui after this prayer 🙏 🙌
Amina mpendws wangu ni mm kabisa watu wameharibu kazi na mahusiano yangu nipo nahangaika namshukuru mungu kunionyesha marduk zangu Naomba mungu anipe moyo wa subra na moyo wa uvumilivu
BWANA akiwa upande wetu ni nani aliye juu yetu, Amen. Ni kweli Innocent ,hatupo salama adui anatuwinda kila sekunde ,kila saa tusimame vizuri mno na kwa moyo wa dhati na huyu Mungu, tusiposimama na huyu Mungu ,tukamweka pembeni tumekwisha.ushuda wa hili Somo ninao. 🙏🙏
Amen❤
amen
Amina mtumishi
Njia zote zinazopitisha magonjwa kwenye ulimwengu wa roho njia zote naziba kwa Jina la Yesu vikao vinavyofanyika zidi yangu vivunjike
Amen Mtumishi Barikiwa Sana
Mungu atusaidie kujua siri za Mungu 🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mwenyezi Mungu Akuzidishie ujuzi Wakutufundisha Hayo yako Kwangu
Ameeni nikweli mtumishi
Asante Yesu kwa hili somo...barikiwa pastor ukweli tunajiuza na hatujui...twaomba neema Mungu wetu. Amen Amen Lord Amen
Asante sana mtumishi wa mungu ... thanks God
Amen in jesus name
Oii pasta waombee watoto wangu
Amen Amen 🙏
Ameen ameeen kabsa mtumishi wa MUNGU utunze na MUNGU❤❤🙏🙏🙏🙏
Amen hayo ndio nnayoyapitia naomba mungu anisaidie
Pastor hayo ndio nayopitia maishan mwangu
Mungu nisaidie sana
Kila jambo linaharibika
Ee Yesu nisaidie sana
Ameni 🙏
Amina
Amen amen.nina Ramani sana kuwatambua Kwa Jina la yesu.mungu afungue macho YA Rohoni Na masikio YA Rohoni ili n weze kuwaona Na kwatambuwa.
Amen Mtumishi unayo zungumza ndo ninayo pitia uniombee Mtumishi 🙏🙏🙏
amen. asante yesu sifa kwa yesu.
asante sna mtumishi wa mungu.
Amen❤
Najiona ni mimi kabisa Ee mungu naomba unisaidie 🙏
You are part of my blessing
Glory to God
Niukweli Mungu atusaidie 🙏🙏🙏🙏
Amen🙏
Nakuelewa
Ameeen
Amen barikiwa kw ajili y kutundisha neno laMungu❤🎉
Mtumishi niombee changamoto katika mahusiano
😢😢nimefikwa kuzungukwa mambo yangu
Nimekuelewa sana pastor
Mungu simama nami pamoja na familia yangu 🙏🙏
Ameen God is good ❤💯🙏🙏🙏
Ameen
Ee Mungu naomba unisaidie kwenye hiki kipindi kigumu ninachokipitia
Napokea afya yangu
Amina sana nashukulu kwa mafundisho
❤❤amen
Eeh Mungu nisaidie kukaa uweponi mwako maana Kuna vitu vizuri, ninakopita ww wajua Imani yangu kwako ipo siku nitakuwa salama kutoka kwenye nguvu za Giza, naamini Nuru yang'aa gizani Wala Giza halikuiweza
YESU.sifiwe.nakufataga.sana.nina.furahia.unisaidie.namawombi.kwa.juu.saa.moya.nrarabira.kuwomba.nashikwa.na.usingizi.munisayidie.kuniombeya
Amen Amen Pastor 🙏🙏
Amen mungu atatenda
Asante
Amen amen thank you JESUS 🙏🙏nifundishe kunyamaza YESU wangu
Ubarikiwe xana utokapo na uingiapo pastor
Amen Amen and Amen
AMEN 🙌🙏
Ameni
Be blessed,the man of GOD
AMEN 🙏🙏
Amen god is good 🙏🙏
Amen 🙏🏻
Amen Mtumishi wa Mungu🙏
Napokea pesa zangu zilizopotea katika jina LA yesu kristo
Napokea mzee wangu Jose makao mwelu arudi kwa boma,,kupitia kwa hii maombi mtoto wangu Mathew fundi arudi nyumbani
Amen 🙌🙌
Emeeeen
Amen ameen
Amen and amen 🙏
Amen 🙏 🙏 🙏
Pastor praise God..Kuna swali tu naomba unisaidie sababu nimeota Mara mbili nikianika manguo Mara ya Tatu nikapata wengine wakiosha Manguo nisaidie inamaanisha..
Ameeeeeen
Nakata mnyororo unaopokea matatizo kwenye familia yangu
Ameen ameeen
Amen,Lord🙏🙏♥️
Amen ameeen 🙏🙏
It's true man of God
Glória deus amém
🙏🙏
Baba mume. wangu ananitesa analala nje anakunywa pombe nakulala huko
Nikweli mtumshi hata Mimi tatizo langu linajirudia
Baba Mbona ni mm sijawahi kufurahi katika mausino mateso kujiludia naitwa Catherine Gabone
Hi pole wewe ni dada angu Mimi naitwa Etropia Gabone wa karagwe
🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲🤲🧎♂️🧎♂️🧎♂️
Anastanzia luvanga natakanifunguliwe nammi matatizo lakuachwa nakiuchumi nifunguliw
Katika jina la yesu naharibu nguvu za kichawi kwajina la yesu christo🔥🔥🔥🔥🔥
Baba pia mm napia pagum kila nikipata mchumba hatutimiz malengo naomba uniombee naitwa estr.
Bwana Mungu naomba niwaone na niwajue maadui zangu
Amen
Amina mtumishi
Njia zote zinazopitisha magonjwa kwenye ulimwengu wa roho njia zote naziba kwa Jina la Yesu vikao vinavyofanyika zidi yangu vivunjike
Amen mungu usimame nami
Mungu pigana na adui zangu
Amen 🙏