LIVE: MAOMBI YALIYOBEBA MAJIBU YETU // KUFUNGUA MBINGU
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Mathayo 18:20
Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao.
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Ee mungu nataka nipone kichwa kuvuma na nipone presha na nifunguliwe kiuchumi na nizidiwe na wateja na nibadirishe maisha yangu nataka niwe na maendereo na nimakize madeni na pia nijenge kiurai na watoto wangu wafanikiwe kwenye mihangaiko yao na nataka nipate mtu sahii wa kunipa sapota kwenye biashara zangu na taka nipate mtaji mkubwa kwenye biashara zangu mungu naomba nijibu maombi yote niyokuomba katika jina la yesu🙏🏼
Mungu wangu wa mbinguni naomba niepushe na roho ya kucheleweshwa uniepushe na roho ya usingle mother nakataa katika jina la Yesu kristo alie hai, naomba uinue roho ya maombi juu yangu Mungu wangu neno lako likawe kiu na njaa maishani Mwangu.
Mungu wangu.naomba baraka ktk maisha yangu unifungulie vifingo vya mapepo wabaya unipe mtaji niweze kumiliki biashara kubwa . Amen
Ninaomba. Mungu anitoe kwenye madeni na Mungu aikomboe ndoa yangu iliyoingiliwa na mwanamke suzy aamuachie mume wangu, namm Mungu anipe moyo wa kumsamehe mume wangu, Mungu atuwezeshe kumaliza ujenzi tulionao, na watoto wangu wasome wafikie viwango vya juu naomba uchumi wetu ufunguo iwe na Mungu a niwezeshe kupata biashara kubwa .
MUNGU AKUFANYIE WEPESI DADA ANGU, APIGANE NAO WANAO PIGANA NAWE.
Nisaidie mungu wangu familia yao inipoke kwa furaha na uluma mm pamoja na uzao wangu
Mungu nisaidie nijufungue salama amina
Naksikia ktsoka qatar
Ameeerrrn
Ee mungu wangu naomba unisaidie kufungua ukoo wangu katika minyororo ya laana tuondolee roho ya umasikini,roho ya kukataliwa nikutanishe na watu sahihi bwana kanimilikishe vitu vya thaman kwa jina la yesu kristo nikawe msaada kwa watu wanaohitaji msaada bwana oooh jesus niinue naikataa roho ya umasikini utajiri,maarifa akili na ujuzi vikadumu ndani yangu na roho wa hekima akajazwe ndani yangu ee bwana kwa damu ya yesu kupitua maombi haya yanaenda kutimia kuazia sasa thank u jesus
Yesu wangu naomba unibariki tumbo langu nionyeshe jia baba 🙏🏻🙏🏻
Yesu wngu naomba unibariki nishinde majalibu ya dunia tizma maadui walivyo mizunguko wnasubili anguko langu na familia yangu bwana yesu nishinde mkono usiache bwana usiniache majaribu yamekuwa mengi niko mbele yako bwana usiku usiniache yesu wangu bariki kazi ya mikono yangu bariki familia yangu na mtoto wangu unibariki aweze kufanya mtihani wa kidato cha nne vizuri mpe ushindi yesu wangu maadui wamekuwa wengi wanataka kuangamiza maisha yangu Mungu simama nami bwana kila ninacho kufanya hakiendi bwana tenda miujiza kwangu bwana
nakusikia vizuri mtumishi naomba uponyaji katika afya yangu
nahitaji afya mtumishi nakusikia vizuri
Mung naomb nisaidie kil nilichochang kirejee maadui ni weng san naomb pigan nao wanaopigan nam.mung
Hitaji langu. Ufahamu wa neno la Mungu. Ulinzi wa Mungu ktk familia yangu. 🙏
Yesu kristo nakuomba unisamehe dhambi naomba nisaidie uniokoe na maadui zetu na naomba ukawape pigo usiku huu waanguke na wateketee kwa jina la yesu kristo ... Mme wangu baraka. Akafunguliwe usiku huu naakapokee uponyaji
Eee Mungu wambinguni naomba Baba warehema umkomboe Mtoto wangu wakwanza ache pombe inayomtesa kwamdamrefu umsaidie namtotowangu wamwisho apate chuo umpunguzie maumivu yaroni kwaajili amefeli chuo nisaidie Mimi niweze kuomba niunganishe naroho mtakatifu niwemtii mbelezako umonye mdogo alie pooza kuanzia kiunoni kwennda chini uikoe familia yangu yote ikutambue wewe Ameeni
Asante Sana mtumishi nabarikiwa Sana namaombi
Amen Mungu akubarki sana Apostle
EEH MUNGU UNISAMEHE BABA YANGU kwa dhambi zote, uniponye magonjwa ya ngozi NA unipe afia nzuli baba nateseka namagonjwa, tena uonekane kwa watoto wangu mahari wapo
Naamini kwa jina la YESU kristo amen
Ee Yesu naomba nitendee miujiza ili niamkapo asubuhi niweze kulipa madeni yangu yote. Amina
Bwana yesu naomba nisaidie nipate mume sahihi na mwenyewe hofu na Mungu, nipate uzao mazuri, ukombozi wa familia, kuongezeka kiimani, kuongezeka kiuchumi, kuongezewa watu wa kunisapoti, Naomba yesu mkumbuke mdogo wangu benadeta ktk maisha yake, yesu naomba mkumbuke mdogo wangu frank ili afanikiwe kwenye maisha yake. Yesu mkumbuke na baba yang kwenye maisha yake mpe afya njema na amani. Amen.
Amina mtumishi wa mungu Nipo pamoja nawe usiku huu
Naomba mungu unisaidie usiniache nakataa maisha ya ufukara kumcha bwana ni chanzo cha maarifa bali wapumbavu wanao dharau hekima na adhabu nikiamini ipo siku utatenda jambo ni kwaajili ya familia yangu amen naitwa jesca niko iraq asante sana mtumishi wa mingu
Yesu naomba unibariki nishinde majaribu,uiokoe ukoo wangu,familia yangu kwenye roho za umaskini,naomba unitimizie hitaji la moto wangu,NAMI naamini napokea kwa jina la yesu amen
Mathabahu ya achawi inanitesa saana mungu ni shuhulikia na kusihi babaa Ee Mungu wangu
Nakupata vyema,Ni ombi langu kuwa hoja zangu zote zatimilika Sasa hivi katika jina kuu LA yesu Kristo Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen Ee Mungu naomba uniepushe na Magonjwa unijarie Afya njema Mungu wangu pigan nao wanaopigan Nami
Mwenyezi MUNGU amsaidie mama yangu mguu wake na bamkubwa wangu akapone tumbon lake na mdogo wangu kifua kikuuu vyote vikaponywe Kwa Damu ya YESU bamkubwa mdogo wangu na mama angu wpone Kwa jina la YESU 🙏🙏🙏
Mungu uishie milele,wajua machozi yangu na huzuni yangu.naomba unitimizie mipango yangu mwez huu.unapo kumbuka wengne NAMI nikumbuke mungu.usiache maadui zangu wajiinue juu yangu.nipe kibari mbele za watu.naamini huu ni muda muafaka wa kugeuza huzuni yangu kuwa furaha.
Asante Yesu naamini nimejibiwa kabla ya kujibiwa katika jina la Yesu
Mungu wangu naomba ukafungue kila milango ilofungwa kwa maisha yangu,,Familia yangu,,ukanletee baraka zangu kutoka kwa ulimwengu wa Roho kuja kwa ulimwengu wa mwili,,Nguvu zako BABA yangu zikawe ndani nkapate kushinda kwa maadui zang na Roho mtakatifu akafanye kazi ndani yangu na akanijae BWANA..nkapate ongezeko kiroho ata kimwili katika jina la Yesu
Ee Mungu nikumbuke kazi yangu
Nakupata vizuri sana mtumishi❤ mungu naomba unifunguwe vifungo katka maisha yangu changamoto ninyingi bwana yesu pekeyangu siwezi mungu ingilia kati nyumba yangu babaa ingilia kati kuusu kazi zangu mungu wangu asante yesu asante yesu asante yesu ameen
Asante Mungu kwa lehema yako kufika siku ya leo Mungu hili ni ndo, hitaji langu kwako naomba unisaidie nipate kazi nzuri ili niyashinde majaribu ya shetani
Ea Mungu wangu naomba unifungulie uchumi wangu na biashara yangu ktk jina la yesu na uwabariki watoto wangu
MUNGU wangu nisaidie hitaji langu hili tumaini langu ni wewe tu,wewe tu,wewe tu.Amen
Yesu kristo unapozuru wengine usinipite pamoja na watoto wangu magonjwa biashara uzima in Jesus name I pray
Eeh mungu naomba amani ya moyo Jehova na milango yangu ya baraka ifunguliwe Amen 🙏
Asante mungu kwa ulinzi wako maishani mwangu Asante baba kwa maombi Nina shukuru
Naomba Mungu atubariki kwenye kazi ya mkono yetu tupate ridhiki na atuponye afya zetu Asante Mungu nimepokea 🙌🏿🤲
Mwenyezi Mungu ninue katika nyakati zote iwe giza au Mwanga Mwenyezi Mungu simama nami.
❤❤Mtumishi ninaomba mimi na familia yangu ninaomba utuombee kwa Mungu Baba tumjue zaidi pia ninaomba Muñgu akabariki biashara yangu niweze kufanya mamabo yangu na kumtumikia Mungu pia ninaomba urinzi katka familia yangu atuepushe na laana mikosi ya mababu na ukoo wote zaidi ya yote Mungu ninaomba nikawe baraka kwa watu wote ninaweka watoto wangu katka mazabahu hii ninaomba Mungu uwape akili hekima nasiki zote wakujue wewe na si miungu mingine Mungu ninaomba uponyaji Asante Yesu Mungu nitangulie katka biashhara asanteeee nina Amini Mungu kwako yawezekani niepushe na maraki wabaya nk Amina
Yesu nipe Imani mungu nifungue maisha yangu pamoja na uzao wangu
Naomba Mungu unisaidie nipate kazi Naomba sana Mungu unisaidie Mungu wewe usiye shindwa naomba kazi naomba kazi
Mungu nashukuru kwa vile umenichora kwenye kiganja cha mikono yako, Baba Mungu naomba unipe Neema ya kushinda dhambi, naomba ufungue familia yangu, ukoo wangu, mponye mdogo wangu Nyemo na ugonjwa wa ziwa, Mungu naomba umkee yeye alaye nikipata hela zangu zinaisha kwenye shida badala ya kufanya kazi za maendeleo, Mungu naomba uwasaidie wanafunzi wangu wafaulu kwa viwango vya A na B, Mungu nisaidie biashara zangu zikue zaidi yaani nizidiwe na wateja kila kona, Mungu naomba unipe wafanyakazi wazuri wa biashara ya mgahawa na maduka, Mungu ilinde familia yangu yaani mme wangu, watoto wangu na wote ninaowasaidia wagonjwa, yatima na maskini, Mungu nisaidie niwe na hatma nzuri ya maisha yangu na nipate kibali chako
Eee mungu baba warehema naomba uskie kuomba kwangu mfalime wawa falme yeova sham naomba ukanifungulie milango ya baraka baba wabariki watoto wangu mungu asante yesu asante alfa na omega❤❤
Mungu naomba unitoe katika Hali hii ya umaskini na kudharauliwa mimi na watoto wangu tupate kibali mbele za Mungu
Kuwaunganisha watoto wangu wapendane wasaidiane na kushirikiana vzuri mimi ni mjane Mungu anipe nguvu zaidi niweze kumtumikia vema Mungu akuubariki mtumishi kwa kazi njema unaayoifanya
Mungu nifungulie uchumi wangu ukuekatika viwango vywa juu sana
Shalom tunakupata vizuri Mtumishi ubarikiwe sana kwa utumishi huu
BWANA Yesu,naomba unipiganie,naomba unijibu maombi yangu Bwana ❤❤
Goodmrng, Madhabaoni ya siri za Biblia
"I want to be like Jesus christ inner my heart oh holy spirit take more of me and give me more of your holiness, love, goodness, kindness, fatherlyhood, mercy....
Your are a Unique Almighty God, open our heart to knw you better oh my lord God, locate me in your mercy and your favor we're victorious having you my God on my side
Thank you Jesus christ for the salvation of our souls and lives ❤❤❤🙏🙏🙏🙌🙌👏💯💯
Bwana Yesu asifiwe. Leo usiku nilikosa mtandao kabisa. Lakini shetani ameshindwa narudia maombi tena. Ubarikiwe mtumishi
Mungu naomba unipe roho mtakatifu na imani kubwa ktk jina la Yesu
Ee Mwenyezi Mungu asante kwa kuniungamanisha kwa maombi naomba damu ya mwanao Yesu kristo ikawafunike familiya yangu ikavinje hila za maadui baba naomba wanangu wakarudi kwenye ndoa zao baba
Ee Yesu Kristo nakuomba unisaidie uniondolee roho ya kiburi,majivuno,usengenyaji,uongo,tamaa,izinzi,uasherati,roho ya kisasi,unafiki, na roho zote mbaya zilizopo ndani yngu 🙏
Asante Yesu najua utanitendea Leo ktk jina la Yesu
Amen japo nimechelewa ila nashukuru Mungu kwa kunijalia neema yakuskiza audio hii ninaloomba ni Mungu aikumbuke familia yangu afungue kila milango ilofungwa nguvu zote zagiza zilizo tumwa na kujituma kusambaratisha familia yangu zikapokee kushindwa tukafunguliwe na kuekwa huru, mama akapokee uponyaji na akabariki familia yangu ikawe ya baraka biashara yangu ikanawiri kila kiingiapo na nitokapo niwe wa baraka atusaheme tulipokisea na atusongeshe karibu naye zaidi ya jana atushindie vita za kiroho na za kimwili.... Amen 🙏
Mungu naomba unibariki namwenza mwema atakaye nipenda nakutebereya ndani yaamurizako sikumingi nikisubiyiya kwakuwa wame ninvujamoyo niwengi munguwangu nakumba mwenza anayejaa roho mutakatifu na kukutumikiya na anayejaa hakiri nahekima mwenye atakufuraisha namimi piya anifiraishe siku zote zamaisha yetu yote E Mungu wangu nisaindiye nimechoka mimi siweze nikubuke masia nanini unipariki nadowa takatifu nikubukemwana nimengi bwanayesu niungani she naye mwanayesu
Asante yesu 🙏🙏🙏🙏 maovu yote ya shetani ya shindwe
Amen mtumishi wa Mungu Bwana akubariki sana sana
Nakupata vizuri naomba kuanza upya pia kuishinda hii roho yakushindwa na ife katika jina la YESU
Mungu awabarki wanangu awajarie kufauru mitihani yap
Amen 🙏🙏naomba mungu unikumbuke ktk hitaji langu la kutafuta kazi pamoja unitete ktk ndoa ninayoiingia maana maadui wamesimama kunitenganisha n mchumba wangu kwa maneno ya uongo mungu naomba unisaidie kupitia madhabahu hii 🙏
Ee mungu naomba unifungue vifungo vinavyo zuia maisha yangu kusonga mbele kwa mume wangu na watoto wangu,naomba mungu nipe rehema Yako baba,naomba unipe roho ya maombi sitaki kuyumbayumba,naomba nipe hekima na busara kwa maisha yangu,naomba niwe msindi sitaki kuwa mshindwa kwa jina la yesu kristo mwana wa mungu aliye hai.
Bwana asifiwe"Naitaj Nipate uwezo wakusimamisha ujenzi WA nyumba yangu kwazia na mwezi kwa jina la yesu amen 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏
Naomba Munguawakomboe watoto wangu kiuchumi,afya ndoa vifungo vya miungu ya ukoo pia anisaidie kuhitimishi utumishi wangu wa kazi kama alivyoniandalia.Mungu ukaniponye maradhi yanayonisumbua tangu 2010
Eeeh mungu mwenyezi naomba ulizi juu ya maisha yangu pamoja na watoto wangu nimeangaika ya kutosha naomba upigane nao wanao pigana nami ninaomba ulifungulie njia nipate kumjengea mama yangu nyumba mungu naomba unikumbuke na mimi nimechoka na mangaiko
Mungu naomba njia zifunguke kwa maisha yangu ,naomba unibariki na kazi inaenifaa, unipe maisha ya kupendeza,watoto wangu wapite mtiani magojwa yakaishe mwili wangu upone Asante bwana
Asante MUNGU wangu kwa siku ya leo, eeh MUNGU nikumbuke unigeuziye jina la utumwa, nipate kuleya watoto wangu uriyonipa 😭😭🇧🇮🇸🇦
UBALIKIWE sana muchungaji wa MUNGU gupitia kwa MAOMBI haya 👏👏
Nakupata vzr,naomba mungu anifungue mimi pamoja na familia yangu mungu tuponye magonjwa tunaomba ulinzi wako nahitaji maisha mapya eeeh mungu wangu....anglia moyo wangu
Naomba mungu aniondolee usingle mother nilionao nahitaji mume mwema wa maisha yang awe anamjua mungu ajue wajibu wake awe mweny kujielewa kiakili napokea kubarikiwa
Yesu nifungue kutoka kwenye vifungo vya giza. Amen
Mungu naomba nipate biashara yangu kwa jina la yesunapokea
Amen naitaji mungu atulinde mimi na watoto wangu
Nakupata vizuri nipo Kenya ubarikiwe sana mtumishi
Mungu anisaidie kwenye biashara yangu Mwezi huu nimuone Mungu katka biashara yangu
Ee Mungu nifungue katika magonjwa nivushe na hofu nipe amani,nguvu na unipe kibali kufanikiwa katika usaili wangu wa kazi nifanikiwe,,,,niachie katika vifungu vya maadui nikinge na kila baya lolote, naomba toba katika makosa yangu yote AMINA
Natoma Mungu akomboe ufaham wangu nakaziyangu pamoja na mahusiano yangu
Leo nina Imani kabisa nitashinda katika mapito haya… yakusingiziwa juu yangu naomba Neema yako….Amini
Ee Mungu namuombea mume wangu akakujue wewe peke yako, watoto wangu, uzao, kazi, na huduma yngu kiroho nikakue na kuongezeka katika Imani Amen
Mungu msaidie Mjukuu wangu aliyeoko chuo ,aweze kupata mkopo na awe kichwa asiwe mkia tena
Naomba Mungu aniponye mguu na watoto wangu wapate kazi
Asante Yesu wewe ni mwema sana unakwenda kusikia maimbi yangu
Naomba uwafungue, watot wangu , darasan, wakawe vichwa na sio mkia , mungu , ninaomba uniskie🙏🙏🙏
Naomba Mungu akumbuke watoto wangu wapewe ulinzi kwenye Maisha yao wawe wanamtumania Mungu kwa kila jambo.
Asante Mungu nukusikia kutoka Kigali Rwanda 🇷🇼
Mungu naomba.watoto wangu ufahm wao shuleni.nami pia nipate ndoa na kazini nibali sehemu moja
Yes wangu naomba unibariki nishinde majaribu ya dunia tizma waona nizunguka wananisubiri ni anguko langu familia yangu bwana yesu nishinde mkono usiache bwana mm niko na shida pastor ya kichwa cha nisubuwa kweli cha tamba mududu hata kulala ni shida naomba uniombe pastor
Mungu anirejeshe kwenye njia nilikua nikiomba sasa sina iyo nguvu tena mungu anitie nguvu tena naomba kwa jina lake anirehemu
Mungu wangu neno lako likawe kiu na njaa maishani Mwangu niwe nguvu za kukuabudu katika roho na kweli niepushe na roho ya usingle mother nakataa roho ya kucheleweshwa katika jina la Yesu kristo alie hai.
Baba warehema hitaji langu kwako ni mzaliwa wangu wakwanza anateswa na ulevi ulio mpelekea Hadi kufukuzwa kazi Hana makazi anaishi kama ndege mungu umsaidieAmeeni
Tunasikilizana vizuri kwa jina la yesu Amen 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏
Yesu wangu naomba nipate hela kwa miujiza yako popote pale leo nipate kulipa madeni yangu ambayo yananikosesha Amani. katika jina la Yesu
Mungu.aniponye.ugonjwa.wangu.na.anionekanie.kwa.watoto.wangu.abadilishe.hItalian.yangu
Mungu naomba unipe kibali cha wokovu ndani ya maisha yangu na unifungilie milango ambazo adui alifunga, Asante Sana mtumishi
Naomba Bwana uniponye magonjwa yote kwa jina la Yesu.
Eeeh mungu asante kwa kibali pekee naomba usikie maombi yangu naomba unisaidie kunifungua vifungo vyote nilivyofugwa naomba nifungue njia ya kujifungua, nijifungue salama nijifungue kwa njia ya kawaida, roho ya oppression naikataa kwa damu ya yesu naamin mungu utatenda na nitajifungua kawaida na salama naomba usikie maombi yangu ezzh mungu
Yesu wangu bariki marifa yangu kwa jina la yesu na onekana katoka matokeo yangu
Eeee Mungu naomba uweze kunionyesha mume sahihi kwangu pia unifungurie mirango ya mafanikio yangu pia unirindie mwanangu kwa kira hari Mungu kwa jina la yesu kristo amen
Bwan yesu asifiwe mchungaji naomba uniombee mama na family yangu naomba mdogo wangu Denison aweze kuajiliwa jeshin naomba ufungue family yangu roho ya kushundwa ,roho zakuto pata kazi naomba uniombee mchungaji Amin
Yesu wangu naomba unisaidie juu ya mipango yangu na ndoto zangu baba naomba sana uweze kunitimizia hitaji la moyo wangu baba nikumbuke na mm
AMEN, Namshukuru MUNGU kwa maombi haya.
Mungu aniumbie roho safi iliyotulia ndani yangu na aifungue nyota yangu, nilipwe madeni yangu yote
Mungu atengeneze hatima nzuri juu yangu, juu ya ndoa yàngu akanitendee, juu ya kujenga nyumba yangu Bwana akatende, ongezeko juu ya uchumi wangu, masomo ya watoto wangu wakawe vichwa na Si mkia, Bwana aniponye juu ya kifua na kikohozi Cha muda mrefu kiniachie Kwa Jina la Yesu kristo 🤲🙏
Mungu naomba unisamehe dhambi zangu najua. Nimefanya mengi kwa siku wa Mungu wangu nisamehe Mungu naomba uweze kunitoa mahari apa nimechoka kuishi maisha haya yasiyo nafuraha mungu nirpushe na ndoto mbaya kwa jina la yesu kristo niondoree aibu katika maisha yangu mungu usinipite
Mungu niponye na magonjwa wewe unaenisimamia ktk afya yangu rekebisha afya yangu