LIVE: MAOMBI YA UKOMBOZI KWA WOTE WALIOVIKWA VAZI LA AIBU
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Mwanzo 40:23
Lakini huyo mkuu wa wanyweshaji hakumkumbuka Yusufu, alimsahau.
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Asante Bwana Yesu naomba upon yani katika magonjwa yote yanayonikabili na pili kufunguliwa katika nguvu ya uchumi na kuondolewa kwa roho ya madeni. Asante Bwana Yesu kwa uponyaji wa nguvu na mitego yote za adui. Amen
Amen 🙏🙏 nifunguliwe kwa mathibau ya ukoo ki family Mama na Baba ata niliko olewa e mungu ni ponye si mangojwa matatizo ya mwile nime choka kila siku vitu tofauti kwenyi mwili we nimechoka usinipite mungu nakuitaji
Nisaidie Ee YESU niondolee Roho ya Aibu kwenye masomo yangu
Eeee yesu kristo niondoree aibu yangu pamoja na familia yangu kwa jina la yesu kristo niondoree mateso kwangu niondoree kira mipango ya giza kwa jina la yesu kristo
Ee Yesu niondolee vazi la aibu Mimi na familia yangu. Amen
Ahsante Yesu kwa Ukombozi wako.
Katika Jina la YESU Muujiza wangu ukatimie
Nirudishie mume wangu Mungu wangu Uniondolee maisha ya Aibu
Ee mwenyezi Mungu nakuomba unikumbuke mimi na familia yangu kwenye maisha yangu ,na uturinde dhidi ya maadui waovu 🙏🏿🧎.
Naomba Mungu aokoe familia yangu imujuwe, Mungu anipe haja ya moyo Wangu.
Peke yangu siwezi baba, 😢nisaidie baba, BWANA YESU NISAIDIE kupitia Mtumishi wako , nimechoka madeni yamenitinga nafedheheka😢baba nisaidie nimekukimbilia nakuhitaji baba😭
Asante BWANA YESU naomba MUNGU amfungue Mume wangu ktk majukumu yake ya kulea familia
Naomba Mungu ukamfungue Mume wangu amelazwa hospital maututi kwa presha Mungu wangu fungua nakataa roho ya mauti
Asante Yesu kwenye kichomi Nina amini kimeondoka kati kajina la Yesu
Ehh, Yesu Kristo nakosa nizungumze namna gani, niondolee aibu na fedheha juu yangu na uzao wangu, nikumbuke mimi Naomi katika yote. Sikia kuomba kwangu nashindwa kutamka😢😢😢😢
Kiukweli Mimi.nimechoka na hii roho ya vazi hili la haibu
Mungu mwema naomna Unijalie moyo wa sala nikae nyumbani mwako milele
Wamenipagia magonjwa naharibu
Ninaomba kwajina la yesu kiristo mwana wa Nazareth alie hai baba wa mbingun na mungu wangu Nina omba uniokoe na huu msiba mzito nilio nao nisiaibike usimwache mt anae kutumainia apate aibu bwana wewe unaweza na unajibu kwa wakati Nina Amini Amina🙏🙏
Eeeh Yesu nakushukuru sana kwaajili ya familia yangu na uzao wangu naomba ulinzi na damu yako takatifu ikawafunike na kuwatetea watoto wangu pamoja na Mume wangu naomba pia ulinzi wa kazi yangu na uchumi wa familia yangu. Amen
Asant mtumishi kwa maombiyako mungu akupe guvu kila siku uzidi kutuombeya naamini kupitia aya maombi ninaimani mungu ata tends🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ee Mungu Naomba uiondolee family yangu roho ya vazi la aibu na fedheha na Kila maneno yote mabaya yaliyonenwa juu ya family yangu na ukoo wangu
Asante yesu naomba uanze namimi asubui yaleo
Niko hapa Bwana unikomboe leo Yesu 🙏
Nashukuru Mungu mtumishi.niliskia kichefuchefu ulipokuwa ukiomba
Ee yehova mungu ulie umba mbingu na dunia nikumbuke nikohapa nakungoja wewe mungu wangu ❤❤
Nafuta ndiyo zote za kushindwa kwa damu ya Yesu Kristo🙏🙏🖐️naamini imekua
Naitwa Anna naomba Mungu anifungue kwenye kila kifungo mimi na uzao na kila vazi la aibu anivue nahitaji uhuru nimtumikie Amina
Asante mtumishi wa mungu mwanangu rlory aliota ndoto akiwa uchi wa nyama naomba maombi kwa ajili yake mimi mama yake bwana uitetee familia yangu isiaibike milele
Eee Bwana Yesu niepushe na mitego yote ya adui na vunja maagano na roho ya kucheleweshwa
Ee mungu naomba unitangulie katika njia zangu ufungue milango yamaisha yangu nanikawe nuru katika family yangu naiman utazidi kuniongoza kwakila Jambo🙏🙏🙏
Mungu naomb unikumbuke nipate Kaz nipo mbele zako mungu nikumbuke
Nakuhitaji Mungu kuliko ninavyohitaji vyote,maana ulinena kua tuutafute kwanza ufalme wa wako na vingine vyote tutazidishiwa🤲🤲
Ee Mungu naomba unifungue macho ya rohon na masikio karama na kipawa uchimi,wa familia nzima na roho za mizimu na uchawi
Ninaomba Mungu anibariki kiushumi anipekibali kwenye kazi yangu na kunipandisha mushahara kwenye kazi tena Ninaitaji Mungu wa bwana yesu Kristo amuponye baba yangu figo Na moyo kwa jina la yesu Kristo wanazareti amen amen amen amen amen amen amen
Niondolee maisha ya aibu Mungu wangu
Yesu niondolee aibu ya kutokuwa na nyumba nyumbani kwetu Moshi mama alifariki baba akaondoka nyumbani kwenda kuishi na mwanamke mwingine tufunguliye nataka ya kujenga katika eneo la nyumbani kwetu tuwezeshe bwana amen
Mungu uliyemwema nipe macho ya rohoni,,nione nakusikia sauti yako
Eee yes kristo niondole fedhea katika maish yangu
Amen Asante yesu kwa kunipa uhai pamoja na familia yng
Yesu..mponye. mwanangu umuokoe Na. Mjaribu. anyopitia shetani ashindwe kwa jina la yesu
Eeh Mungu naomba unibariki na fedha kutoka mashariki magharibi kaskazini na kusini ili na mimi niweze kubariki familia yangu na ndugu zangu
MUNGU anisaidie nahitaji nipate ndoa sahihi mume mwema wa maisha yangu MUNGU anipe kibali cha ndoa Amen
Mtumishi wa Mungu nabarikiwa sana na huduma yako,Mungu akutunze
Naomba kufunguliwa ewe mwenyezi mungu naomba unifungue
Mungu naomba anikumbuke aikombie ndoa yangu mme wangu kaacha familia amfungus arud
Naamini katika Jina la Yesu kupitia maombi ya hizi siku Tatu familia yangu imepata amani kati ya wazazi pamoja na watoto na kutemganizwa na nguvu za Giza.Kaka yangu mdogo amepokea kutii na kuzifuata njia zinazofaa Kwa Jina la YESU KRISTO🙏🙏🙏
Eee mungu najiunganisha na maombi haya yanikombowe naomba ukombozi wako mungu
Yesu kristo naomba unipe mume sahihi kwangu pia nipate na ndoa yabaraka nipe kibari cha ndoa kwa jina la yesu kristo amen
Roho ya wazimu na mtengo kunyongwa kwa kooo kukosa amani mungu Leo naomba unikomboe
Ee Mungu naomba uniondolee vazi la aibu katika familia yetu ,
Nikumbuke na Mimi bwana,,, jibu hitaji la Moyo wangu,, yehova
Ee Bwana Mungu nakuomba uniondolee hili vazi la aibu la kila biashara ninayofanya inaisha nakuniacha na kilio,leo Anza nami Bwana
Mungu nisaidie katika jaribu nayopitia
Ee Yesu unirudishie uchumi na baraka zangu zilizovurugwa na maadui na unipe alie sahihi ktk maisha yangu amen.
Huwa nabarkiwa sana na maombi Yako Kwan Huwa yanagusa mahtaj yangu Moja Kwa Moja km nilishakusimulia mapto yangu barkiwa sana pasta
Neema yako Bwana Yesu...Mungu wangu ije inisaidie nisikie sauti ya roho mtakatifu...inisaidie kutulia kwenye uwepo wake
kwa jina la Yesu naamini nimekombolea kutoka kwenye magonjwa yote na magereza nilizofungiwa.Amen
Ee bwana ukaonekanesasa katika maisha yangu natamuka kukombolewa sasa kwaadamu yayesu nakombowa uchumi wangu nakombowa maishayangu
Yesu Nakuomba uanze na mimi niondoleeee hiii aibu ya kutumikishwa na kuhusisha na mambo ya Giza kupitia vya kula vinywaji vya Giza Nisaidie Yesu kwenye hichi kipengele
Baba kuhusu ile kesi cma mza nakuachia utende muujiza wako Yesu ushindi ni wangu
Mungu naomba uniondolee aibu ya ndoa ,aibu ya mtaji na aibu ya ndoto mbaya
Bwana yesu Niko papa,najiunganisha na mazabau iyi,niponye, unifunguwe, vile unafunguwa,
Na jikonekiti na maombi ya nayoendelea muda huu mungu akayaguse maishangu akanifungue na vifungo vyote vya Giza nilivyotupiwa na kufungiwa na ninao wajua na niso wajua Yesu niguse Leo na unifungue Mimi na watoto wangu Raymond na Rayfred,mungu usimamena watoto wangu huko waliko wanikumbuke na kurudi kwangu tena ,ni mm Anthony Robert Riwa.Ameen
Ee Mungu fungua milango ya baraka neema kibali afya Mimi pamoja na familia yangu nitie nguvu mfalme 😢ili niweze kufanya kazi kwa weledi,ukaondoe Kila mpango wa aduni ulioandaliwa kwenye maisha yangu pamoja na familia yangu,nafuta kwa damu ya yesu Amen
Eeh bwana niondolee vazi la aibu na fedheha...kwangu na hata uzao wangu walitaka niteseke walitaka niaibike lkny walisahau napendwa na bwanaaa maadui yote yao hayatakuja kunitimiaa najitamkia uhai kwenye maisha yangu bwana niongozeeeee
Mimi jeneroza mungu naomba uniondolee aibu ya kila aina ya kuhaibishwa
Baba nashukuru kwa kunivua vazi la aibu mimi na watoto wangu umetupa heshima ktk ndoa mahusiano,ajira,biashara baba tuondolee aibu
Yese wangu mwambie kwangu nifue vazi la kukatarifa na kuto kukubarika nieshimishe mungu wangu nieshimishe mume wangu na watoto wangu kwa ujumla live vazi aibu na fedhea tenda baba ponya uchumi wetu mungu wangu
Katika Jina la Yesu, nakataa roho ya magonjwa, kifua Cha ghafla ,nyayo zangu na zikombolewe popote nilipokanyaga, bacteria walipotokea na wanyamaze Sasa, Hali ya baridi kwenye miguu yangu, uchumi wangu ulipo fichwa naufichua Kwa Jina la Yesu kristo 🤲🤲🙏
Eee mungu naona aibu kuja hata mbele zako maana leo natubu kesho nakosea aky mm najiona ovyo sana mungu wangu nisaidie baba
Ninazuia zawadi zozote zitakazoletwa kwa ajili ya kutengeneza aibu kwenye sherehe za wanangu hazitafanukiwa ktk jina la Yesu Amen
Mungu niko apa mbele zako kwa jili ya maitaji yangu. Usi ni pite Leo baba sema Kitu. Amen !
ee mungu naomba ulizi wako unilinde mimi na familia yangu univuwe vazi la aibo dani yangu na familia yangu uniepushe nashinda zote unifunike na damu ya yesu kristo
Hee Mungu wangu katika madhabau ya mtumishi wako, naomba ukombozi kwaajili ya mume wangu David kazana bwana ukatende jambo, akombolewe kupitia madhabau ya mtumishi wako.
Anzana mm bwana uniponye mkono wangu bwana unaoniuma bwana unipefaraja ktk magumu ninayopitia bwana na Yesu usikie kilimo changu baba,ni Anthony Robert Riwa. Ameen
Nisaidie Mungu nifutie haibu yangu juu ya watoto wangu na katika mausiano yangu na watu wengine nikumbuke Bwana
Amen , Damu ya Yesu kombowa mimi na kizazi changu tufunikwe kwa kwa damu ya yesu.
Pastor niombee miguu inaniuma sana na inafura
Mungu naomba unipe nguvu niweze kuitimiza Ndoto zangu
Maradhi yananizonga lakini Niko na Imani kwako nitapona na nitatimiza Ndoto zangu🙏🙏🙏🙏
Eee bwana nimesonga mbelezako bwana uniponye mwiliwangu bwana unitakase babayang Na utakase hata familia yangu eebwana tazama ujana wangu paka uzee Wangu usiniache baba 🤲🙏 emeeeen
Eee mungu naomba mabadiliko kwa ya maisha yangu n'a kwa familiya yangu. Na anipatiye mwisho muzuri kuliko mwanzo
Bwana yesu niondoe katika haibu hii ya jini mahaba yakuaribu vyanzo vyangu vya uchumi na kuaribu mausiano yangu
Amina ata mm nimeota nimetoka nje uchi kabisa napika mswaki sina abari watu wananiona ila sioni chochote mungu wangu nisaidie baba nipo apa
Ee bwana yesu Najiungamanisha na maombi haya ya UKOMBOZ Katika madhabahu hii.mungu komboa kibali changu Cha uimbaji komboa familia yangu komboa uchumi wangu komboa mafanikio yangu komboa mafanikio yangu komboa elimu ya watoto wangu yusrah na samia.miliamu,Ezekiel,Timotheo, Komboa na uzao wangu kwa damu ya yesu kwa jina la yesu AMENI
Kwa Jina la YESU Alie Hai najifungua kwenye mitego ya adui
Napokea ukomboz Kwa Jina la YESU
Nakataa muendelezo wa mateso ktk maisha yangu watoto wangu biashara zetu ajira za watoto wangu mahusiano ya wanangu tunajitenganisha na hiyo mipango iwarudie wenyewe ktk jina la Yesu
Eeh mungu Naomba 😢😢ondoa roho ya aibu ndani yangu juzi nimeota Niko uchi jmn hili somo linanihusu 😢😢😢na ninaaamini nimepona kwa jina la yesu adui hana nafasi ndani yangu tena na roho ya aibu haitonipata tena
Bwana yesu anikumbuke n nisimame nijae roho mtakatifu pia uchungu unitoka toka kaka yangu amefariki niliumia sana
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa Mungu akubariki nimeokoka nampenda yesu haikuwa rahisi na baada kupitia kipindi kigumu ndipo Mungu aliamua kunionyesha maisha ya mme wangu amefungwa katika nguvu za Giza na alinitoa sadaka nikiwa na mimba ya miezi Saba lakini Mungu nimwema aliniponya mpaka Sasa Mimi ni mzima na mwanangu mzima ana miaka tisa Sasa namshukuru Sana Mungu Kwa kuniweka hai mpaka saa naomba unikumbuke kwenye maombi ananizuia kusiliza neno la Mungu wala mahubiri hata maombi Huwa naenda tu ki nguvu namuona Mungu Sana Kwa sababu maisha yangu ni ya maombi Kwa sababu najua Niko vitani ombi langu Kwa Mungu amtoe Giza amlete Kwa yesu naitwa pendo Niko tabora ubarikiwe
Naomba yesu nitoe kwenye iaibu mm na watoto wangu 1:00:34
Ahst kwa ibada hii,, Mungu kasimame mwenyewe
Asante Yesu kwa kua nami unaenda kuniketisha high table ✨️ 🎉 nakushukuru kwa baraka hiyo ya ndoa kwa wanangu Baba pokea sifa na utukufu
Mwenyezi Mungu niondoe kwenye vazi la aibu katika maisha yangu🙏
Mungu nivue vazi la aibu nipate kibali Cha kupata mme mwema,na biashara yangu iinuke ameni🙏
Eee Bwana tuondolee Aibu kwa familia yangu na vizazi vetu kwa jina yesu 😢
Bwana niko hapa naku itaji🙏🙏🙏
Bwana asifiwe pastor
Nakataa maangaiko kwenye maisha yangu na uzao wangu kwajina la Yesu
naomba mungu anisaidie nipate mtaji
Eeh yesu nakuomba unisaidie! Sina mwigine ila wewe 😢usinipite Jehovah
Eeee Mungu akusii uniondoleye na aibi katika maicha yangu kwani nimeonelewe sana nisaisiye eee baba
Tenda miujiza bwana juu ya shingo yangu inaniuma nimekuja kwako bwana mimi mwanao naomba uniponye na unisamehe makosa nyangu yote ntakase kuanjia sasa nkochini yasalaba wako Yesu ni hurumie ee Mungu nahitaji uponyaji wako naamini umeyasikia maombi yangu napokea uzima tokakwako Yesu amen 🙏🙏
Asanteh Yesu 🙏
Mungu nisaidie fungua milango yangu