#UKIJUA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 128

  • @HappinessAhia-ey1lq
    @HappinessAhia-ey1lq 5 дней назад

    Haki ya Yesu kaa ndani yangu niombalo nipate.
    Naomba utawa wa kiroho Ee Yesu wangu kwa watoto,kwa mume wangu kwa wazazi wangu na kwangu ndugu zangu wote.
    Naomba utawala wa kiroho katika kazi ya mikono yangu hapa Washington zaidi roho mtakatifu tawala katika process zote za uhamiaji.
    Fungua milango yote Jehova.
    Kwa jina la Yesu amen.

  • @dorisimgeni3936
    @dorisimgeni3936 26 дней назад

    Aminaa pastor ninabarikiwa sana na Naomba Mwenyez Mungu akanisikie maombi yangu nibadilike kimwili na kiroho pia nia yang nifike makao ya Amani kwa Baba

  • @EnaellaNiyongabire
    @EnaellaNiyongabire 4 месяца назад +2

    Amina tena Amina mimi ni mtoto Wa Mungu nimebalikiwaaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @FKk-q3k
    @FKk-q3k 2 месяца назад

    Ameen mungu akubariki

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline2751 4 месяца назад +2

    Amen!❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @LucyJack-ks4xp
    @LucyJack-ks4xp 3 месяца назад

    May God please you pastor, you have been a blessing to me and my family.

  • @TherezaMajumbi-eu1st
    @TherezaMajumbi-eu1st 4 месяца назад +17

    Ee Mungu mwingi wa neema na rehema endelea kumlinda mtumishi wako na kila baya lililokusudiwa kwake Ili aendelee kulihubiri neno lako

  • @MwaminiAlly-n4w
    @MwaminiAlly-n4w 4 месяца назад

    Baba mungu nitamshukuru daima Asante mchungaji kwa hili somo ubarikiwe nimejifunza kitu kwenye hili somo maana maombi yangu mara nyingi huwa narudia naomba kiunyonge saingine huwa ata nimelala naomba kisahau sahau Asante mungu kwa kuniskilizisha hili somo

    • @lifeofvicky91
      @lifeofvicky91 4 месяца назад

      Andika Mungu kwa herufi kubwa huyo mwengine ni shetani

  • @EphrahimMnyiwa
    @EphrahimMnyiwa 4 месяца назад

    Mungu akubariki m2mishi wangu

  • @luciasteven3314
    @luciasteven3314 4 месяца назад

    AMEN ❤ NAOMBA MSAADA JAMAN KITABU SIRI Y MAOMBI YALIOJIBIWA NAKIPATA WAP PLZ. NAOMBA MSAADA NIELEKEZENI NIPO DAR TEGETA

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi8945 4 месяца назад +1

    Amen Amen Amen

  • @phylismutinda4530
    @phylismutinda4530 4 месяца назад

    Mchungaji mungu na akubariki sana

  • @LawrenceWanjala-to9hi
    @LawrenceWanjala-to9hi 4 месяца назад

    Pasta ,,napenda mahubiri yako,,,mungu akusaidie

  • @SarahMasika-vc2hp
    @SarahMasika-vc2hp 4 месяца назад

    Mungu akubariki

  • @blandinanoah461
    @blandinanoah461 4 месяца назад

    AMINA 🙏🙏🙏🙏

  • @donaldsalim5488
    @donaldsalim5488 4 месяца назад

    Following from voi.

  • @blandinanoah461
    @blandinanoah461 4 месяца назад

    Amina 🙏🙏

  • @Ungwamissi
    @Ungwamissi 4 месяца назад

    Amennn🙏🏾🖤

  • @periskemunto4133
    @periskemunto4133 4 месяца назад +2

    Pastor maombi na mahubiri yako yameniinua katika kiwango hiki had kiingine am in Saudi 🇸🇦 huwa naweka earphone kwa masikio naweka kofia ili hawa watu wasione alafu naifungulia mahubiri yako na simu naiweka kwa room bora kuzikiza kuliko kuwatch uchumbe unifikie

  • @joerystiven776
    @joerystiven776 4 месяца назад

    Umenifumbua machiyakiroho

  • @princessmbusiro
    @princessmbusiro 5 дней назад

    nina swali hapo umesema ukienda sehemu kwa mfano kazin kwa mara ya kwanza kuna mamlaka iko hapo kiroho isiyoonekana na kabla sijakanyanga au kukaa natakiwa nimiliki ufalme uliopo sasa ninasawali la kijinga kabisa ila nataka nielewe nahitaji kupata nguvu hizo za YESU nzipataje na nitahisije kama ninazo nisaidie

  • @ruthezra2327
    @ruthezra2327 4 месяца назад +10

    Mungu anatupenda sana ingawa tulipotezewa hili pendo kupitia vitisho ...ila Mungu amekutumia mchungaji kutuleta Tena karibu naye..

  • @TabizaAa
    @TabizaAa 4 месяца назад +5

    mbona nabarikiwa jamani 🙏🙏🙏 Mungu akuzidishie mhubiri aki❤❤❤❤❤

  • @faustermtavangu8212
    @faustermtavangu8212 4 месяца назад +4

    Asante Yesu kwa mafundisho yako kupitia mchungaji nimepona mambo mengi sana sana .kwa sasa naomba wanangu wapate uzazi salama Mungu awaondolee vifungo vya kila aina.

  • @justinamusyoka4986
    @justinamusyoka4986 3 месяца назад +1

    Kwa nini picture za mwanzo zaonyesha wazungu?
    Watu wa Biblia ni weusi wa Africa sio wazungu.
    They lied to us ...brainwashed us.

  • @samuelLoyanai
    @samuelLoyanai 4 месяца назад +17

    napenda mafundisho yako Sana Niko turkana kenya mahali mafuta imegunduliwa.naitwa Samuel estoo

    • @Mamas-06k
      @Mamas-06k 4 месяца назад +2

      Man of God, tukuomba Killa neno lako unalo litamka, ututamkie na kitabu chenyewe, tujisomee pia sisi, tufundisha na wengine hawako Kwa mtandao, tunakupenda sana frm taveta border kenya.tuonekanie Kwa hilo

  • @neemasamwel8968
    @neemasamwel8968 3 месяца назад +3

    Mungu Mtakatifu wa Bwana Yesu Kristo nakushukuru sana sana kwa neno lako

  • @rechaelnjeri3299
    @rechaelnjeri3299 4 месяца назад +7

    Nabarikiwa nikiwa saudi Arabia ❤❤❤

  • @GetrudeMachimu
    @GetrudeMachimu Месяц назад +1

    Baba wa mbinguni nashukuru kwa uhai huu nashukuru kwa familianyangu Baba wa mbinguni mwigi wa rehema na neema mwingi wa hasira naomba kufunguliwa kwangu kiuchumi kiafya nguvu za giza na kufunguliwa kwa mchumba wangu aweze kurejesaha upendo amani furha afunguliwe fahmu zake leo akpige simu kwa jina la Yesu Baba kwako tulitoka kwako tunaishi naomba unisaidie😢

  • @princessmbusiro
    @princessmbusiro 5 дней назад

    ubarkiwe mchungaji kwa somo zuri limenibariki sana na MUNGU anibadilishe

  • @HappinessAhia-ey1lq
    @HappinessAhia-ey1lq 5 дней назад

    Pastor unanisaidia vile Niko ughaibuni,siko peke yangu bali haki ya Yesu inanilinda.
    Barikiwa mtumishi

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb 2 месяца назад +1

    Amen nabarikiwa na mafundisho haya na kila ninaposikiliza mahubiri yako mtumshi na zidii kuongezeka kiroho na pia kiimani hakika Mungu wa mbinguni akubariki na pia akulinde siku zote

  • @SoosanOman
    @SoosanOman 22 дня назад

    Amen Asante Mungu kwa neema yako na upendo wako kwa kunilinda nifanye nikujue zaidi uniepushe na maovu 🤲🤲

  • @KakulungeMbwambo
    @KakulungeMbwambo Месяц назад

    Baba yangu wa mbinguni akunyime mengine ila asikusahau katika ufalume wake wa mbinguni

  • @RachelJosiah-x1u
    @RachelJosiah-x1u 2 месяца назад +1

    Mungu akutie nguvu zaidi na zaidi katika utumishi aliokuitia

  • @WiliburodJoseph
    @WiliburodJoseph 3 месяца назад

    Pasita wewe hunapatikanapi pole nakazi yamungu ila hubalikiwe namba yasimu

  • @AnnaSamwel-ww6nk
    @AnnaSamwel-ww6nk Месяц назад

    Kiukweli nabarikiwa na na
    Jisikia utulivu wa nafsi na moyo

  • @dianapeter9311
    @dianapeter9311 23 дня назад

    Pr naomba unisaidie naomba kwa ajili ya baba anaumwa Sana🙏🙏

  • @mgtanzania9834
    @mgtanzania9834 Месяц назад

    Nimejifunza mengi sana, ubarikiwe pastor

  • @josephngigi4211
    @josephngigi4211 4 месяца назад +3

    Amen blessed prince, brother in one palace kingdom of the holy almighty living God hareluyah I'm following you in Qatar.

  • @SaudaBavakure
    @SaudaBavakure 4 дня назад

    Asatesana.nakufutiriyasan

  • @melodiusmwango8362
    @melodiusmwango8362 4 месяца назад +2

    Pastor ubarikiwe atassi tuko Pali tuko na jangamoto ya mandeni tuombe pastor ubarikiwe

  • @rebaccaewoi8882
    @rebaccaewoi8882 4 месяца назад +2

    Napendwa na babangu jila lake ni MUNGU🙏🙏

  • @maguyngoa8271
    @maguyngoa8271 Месяц назад

    Sauti ni mbaya sana svp

  • @PaulMakona
    @PaulMakona 2 месяца назад +1

    Amina mungu akuongezee neema mtumishii❤❤❤❤

  • @AyubuTheogene
    @AyubuTheogene 3 месяца назад +1

    Mahubiri yakonikonayasikiriz niko Burundi naomba mufundishohay yakae moyonikwang Mungu anifumbuwe maconion

  • @Mathias-yi5bo
    @Mathias-yi5bo 4 месяца назад +1

    Mungu akubariki pastor ❤ hakika nimebarikiwa sana na kupitia mahubir na maombi haya Mungu naomba amponge rafiki yang anasumbuliwa na ampe afya njema kupitia mfungo huu nlofunga cku ya leo AMEN 🙏🙏🙏🙏

  • @HappinessAhia-ey1lq
    @HappinessAhia-ey1lq 5 дней назад

    Amen pastor.

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 2 месяца назад

    Mathayo 7:7

  • @MarimaAlez-kc5rj
    @MarimaAlez-kc5rj 4 месяца назад +1

    nashukuru kwamugiza wababa yangu baba nakushukuru kwajina ra yesu Kirito nahamini tena nà hamini

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 2 месяца назад

    Yohana 15:7

  • @JuliaAdhiambo-e8e
    @JuliaAdhiambo-e8e 9 дней назад

    Amen

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 2 месяца назад

    Luka 11:1

  • @benaharuna-bo1sf
    @benaharuna-bo1sf 4 месяца назад +1

    Asante mung mkuu kw kinitendea mamb makuu na ya ajabu ushukiriwe mile na milele amen

  • @mlishohadija6923
    @mlishohadija6923 4 месяца назад +1

    Amen and Amen Mungu akubariki PR nabarikiwa na mafundisho mazuri Mungu azidi kukufunulia zaidi 🙏🙏

  • @SarahNamwila-ec7el
    @SarahNamwila-ec7el 2 месяца назад

    Amen amen amen

  • @devothasimbi6495
    @devothasimbi6495 4 месяца назад +1

    Nimebarikiwa na nimejifunza kitu kinaenda kubadirisha maisha yangu umekuwa mbaraka mkubwa kwangu Mungu akuzidishie palipopungua ubarikiwe tena na tena nakufuatilia nikiwa Ufaransa

  • @MarimaAlez-kc5rj
    @MarimaAlez-kc5rj 4 месяца назад +1

    mungu nakushukuru kwabaraka urizo nibariki kwanzia leo Hadi mirere baba asnte kwajina ra yesu kristo Amen

  • @WiliburodJoseph
    @WiliburodJoseph 3 месяца назад

    Naitwa sitaniley pasita MUNGU wambinguni AKUBALIKI nimejua jinsi yakuomba

  • @MELIANAMAIRARYA-fr4xc
    @MELIANAMAIRARYA-fr4xc 3 месяца назад

    Pastor ubarikiwee sana kwa mafundisho yako mazuri, mm naomba uniombee niweze kuhudumu, maana nimepangiwa kuhudumu ila siwezi

  • @TlaeeLeonce
    @TlaeeLeonce Месяц назад

    Mungu akulinde na kukuepusha na mitego yote ya mwovu zaburi 91:3

  • @gideonlazaro3290
    @gideonlazaro3290 2 месяца назад

    Kuna muda nasikia kutokwa na mazoezi yananitoka,ahsante Mungu kunishndia dhambi iliyokuwa inanisumbua muda mrefu

  • @BrianJoseph-j2x
    @BrianJoseph-j2x 4 месяца назад

    0:19 😢😢😢😢❤🙏

    • @BrianJoseph-j2x
      @BrianJoseph-j2x 4 месяца назад

      Nabarikiwa sana, napatanguvu kupitia mafundisho yako, Mungu akupe maisha marefu🙏

  • @EnockMASABO
    @EnockMASABO Месяц назад

    Kadili nilivyokusikia mahubiri yako ndivyo nilivyobadirika kihakili❤

  • @aliaaliamint8545
    @aliaaliamint8545 3 месяца назад

    Bwanangu yuko na hio Roho yakutozaa sijui tumsaidieje ,,Ubarikiwe sana mtumishi kwa mafundisho mazuri

  • @hbdina
    @hbdina 4 месяца назад +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿Asante sana Baba yangu Mungu Jehovah Muhumbaji wangu kwa mamlaka ya kiuchumi,afya ya Roho na mwili na upendeleo wako kwa family yetu na kunipa mke na familia yangu.Nakushukuru kwa jina la Yesu Kristu Amina

  • @LightnessMsollah
    @LightnessMsollah 4 месяца назад

    ubarikiwe saana mtumishi kwa kaz ya bwana🙏🙏

  • @maureenkahito6227
    @maureenkahito6227 4 месяца назад +2

    i have a testimony i listened to this nd i listened and followed nd i prayed and i was answered my prayer that i was praying for years and praise to GOD FOR EVERYTHING PASTOR BE BLESSED FOR THE WORD OF GOD I BELIEVE ND TRUST IN GOD IN ALL MY LIFE

  • @TeddyPaul-h4k
    @TeddyPaul-h4k 4 месяца назад

    ❤pastor mmbaga unanibariki sana ... Mungu azidi kukuinua ili uinue wengine ...

  • @justinenangabo4843
    @justinenangabo4843 4 месяца назад

    Good preachings, mm ni Nangabo Justine nafuatilia ibaada yako ni nzuri inagusa mioyo ya watu namm pia, very good,

  • @ZawadiItaji
    @ZawadiItaji 4 месяца назад

    Pasta nachukuru kwafundisho ila naomba musaada wamaombi kwamajina nizawadi naishi congo

  • @theresearcheronlinetv3649
    @theresearcheronlinetv3649 4 месяца назад

    MUNGU abariki kazi hii ya Ufalme wake;
    Tuzidi kuandaliwa kwa Uzima wa Milele

  • @janethgreysonmakengomakeng4145
    @janethgreysonmakengomakeng4145 4 месяца назад

    Nabarikiwa Sana na Mafundisho yako Mchungaji Mmbaga Ubarikiwe Sana

  • @laridistrict4710
    @laridistrict4710 4 месяца назад

    nabarikiwa naomba somo liwe downloadable ili nisikilize baadaye vizuri

  • @NailejilejIressa
    @NailejilejIressa 4 месяца назад

    Namshukuru Mungu kwa ajili ya mafundisho yako, naona Mungu anaongea na mimi kupitia mafundisho.

  • @nadinekatungu6987
    @nadinekatungu6987 4 месяца назад

    Asante kwa mahubiri mtumishi wa mungu abarikiwe ,mungu atuwezeshe kujua kitambulisho chetu

  • @GrinaSanga
    @GrinaSanga 2 месяца назад

    Mungu akubariki utokapo na uingiapo Mchungaji

  • @luciasteven3314
    @luciasteven3314 4 месяца назад

    AMEN ❤ NAOMBA MSAADA JAMAN KITABU SIRI Y MAOMBI YALIOJIBIWA NAKIPATA WAP PLZ. NAOMBA MSAADA NIELEKEZENI NIPO DAR TEGETA

  • @MtejaWangu
    @MtejaWangu 3 месяца назад

    Mungu akulinde na kukuhekimisha zaidi pastor

  • @lucianyerembe5691
    @lucianyerembe5691 2 месяца назад

    Itoshe kusema ubarikiwe Pr.

  • @IrineoyaruOyaru
    @IrineoyaruOyaru 3 месяца назад

    Amina nabarikiwa sana pasig Mingu na Akullide sana

  • @linethowire7031
    @linethowire7031 3 месяца назад

    Nabarikiwa nikiwa Mwanza Kirumba,asante Pastor kwa neno..Mungu azidi kukutumian kama chombo...

    • @dagradaonlinetv
      @dagradaonlinetv 3 месяца назад

      I am so blessed directly from d
      Dodoma Almighty God protect you, pastor

  • @MerCi-yl5tq
    @MerCi-yl5tq 4 месяца назад

    Napenda mafundisho yko sana nko Saudia , Ubarikiwe sana nautukumbke kwa maombi Amen Amen and amen 🙏

  • @OdiliaJumbe
    @OdiliaJumbe 3 месяца назад +2

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu mahubiri yako yamenisaidia sana mungu azidi kukutumia kwa ufalme wake

  • @waltergekone3879
    @waltergekone3879 4 месяца назад +1

    AMEN

  • @NancyJoshua-d9o
    @NancyJoshua-d9o 4 месяца назад

    Amen pastor nimepokea.Mungu akubariki🙏🙏🙏💎💎

  • @priscaminayo2724
    @priscaminayo2724 4 месяца назад

    Mimi Ni mtoto Wa Mungu, kila mema Na kila jema Ni langu 🙏.

  • @elizabethmwambai480
    @elizabethmwambai480 4 месяца назад

    Ni mimi hapa pastor niombee ubarikiwe Qatar from Kenya

  • @eunicenyandiko1389
    @eunicenyandiko1389 4 месяца назад

    Barikiwa mtumishi wa Mungu,kwa fundisho nzuri Amina ❤❤🎉🎉

  • @justinenangabo4843
    @justinenangabo4843 4 месяца назад

    Justine nangabo nikiwa nairobi, kenya

  • @RuthNabwire-zw8op
    @RuthNabwire-zw8op 4 месяца назад

    Mungu akulinde Kwa kazi nzuri pastor

  • @MaddieMoreno-i7i
    @MaddieMoreno-i7i 4 месяца назад

    Mungu Ahsante Kwa kila jambo 🙏🏽

  • @SixGenge
    @SixGenge 3 месяца назад +2

    Amina pastor Bwana amesema nami leo!!! Ubarikiwe Sana na Bwana ww na familia yako

  • @esterngalilwamartine6877
    @esterngalilwamartine6877 4 месяца назад

    Mungu akutumie zaidi na zaidi ❤❤nabarikiwa sana

  • @emanueleugen921
    @emanueleugen921 4 месяца назад

    Pastor unaoeleweka sana mungu akubriki sana

  • @deborahtengan207
    @deborahtengan207 4 месяца назад

    AMEN IM BLESSED,MIMI NI MTOTO WA MUNGU NA KILA JEMA NI LANGU🙏🙏

  • @ElvinaLuvuno-d7u
    @ElvinaLuvuno-d7u 4 месяца назад

    Amen Amen Amen 🙏🙏🙏 ubarikiwe mchungaji

  • @omankadara6418
    @omankadara6418 4 месяца назад

    Amina pasita ubarikiwe sana Mungu akubariki mno

  • @JaneMakokha-bm1xd
    @JaneMakokha-bm1xd 4 месяца назад

    Amen... Barikiwa mchungaji

  • @RahimaShujaa
    @RahimaShujaa 4 месяца назад

    Mimi ni mtoto wa Mungu napendwa