Haki ya Yesu kaa ndani yangu niombalo nipate. Naomba utawa wa kiroho Ee Yesu wangu kwa watoto,kwa mume wangu kwa wazazi wangu na kwangu ndugu zangu wote. Naomba utawala wa kiroho katika kazi ya mikono yangu hapa Washington zaidi roho mtakatifu tawala katika process zote za uhamiaji. Fungua milango yote Jehova. Kwa jina la Yesu amen.
Aminaa pastor ninabarikiwa sana na Naomba Mwenyez Mungu akanisikie maombi yangu nibadilike kimwili na kiroho pia nia yang nifike makao ya Amani kwa Baba
Baba mungu nitamshukuru daima Asante mchungaji kwa hili somo ubarikiwe nimejifunza kitu kwenye hili somo maana maombi yangu mara nyingi huwa narudia naomba kiunyonge saingine huwa ata nimelala naomba kisahau sahau Asante mungu kwa kuniskilizisha hili somo
Pastor maombi na mahubiri yako yameniinua katika kiwango hiki had kiingine am in Saudi 🇸🇦 huwa naweka earphone kwa masikio naweka kofia ili hawa watu wasione alafu naifungulia mahubiri yako na simu naiweka kwa room bora kuzikiza kuliko kuwatch uchumbe unifikie
nina swali hapo umesema ukienda sehemu kwa mfano kazin kwa mara ya kwanza kuna mamlaka iko hapo kiroho isiyoonekana na kabla sijakanyanga au kukaa natakiwa nimiliki ufalme uliopo sasa ninasawali la kijinga kabisa ila nataka nielewe nahitaji kupata nguvu hizo za YESU nzipataje na nitahisije kama ninazo nisaidie
Asante Yesu kwa mafundisho yako kupitia mchungaji nimepona mambo mengi sana sana .kwa sasa naomba wanangu wapate uzazi salama Mungu awaondolee vifungo vya kila aina.
Man of God, tukuomba Killa neno lako unalo litamka, ututamkie na kitabu chenyewe, tujisomee pia sisi, tufundisha na wengine hawako Kwa mtandao, tunakupenda sana frm taveta border kenya.tuonekanie Kwa hilo
Baba wa mbinguni nashukuru kwa uhai huu nashukuru kwa familianyangu Baba wa mbinguni mwigi wa rehema na neema mwingi wa hasira naomba kufunguliwa kwangu kiuchumi kiafya nguvu za giza na kufunguliwa kwa mchumba wangu aweze kurejesaha upendo amani furha afunguliwe fahmu zake leo akpige simu kwa jina la Yesu Baba kwako tulitoka kwako tunaishi naomba unisaidie😢
Amen nabarikiwa na mafundisho haya na kila ninaposikiliza mahubiri yako mtumshi na zidii kuongezeka kiroho na pia kiimani hakika Mungu wa mbinguni akubariki na pia akulinde siku zote
Mungu akubariki pastor ❤ hakika nimebarikiwa sana na kupitia mahubir na maombi haya Mungu naomba amponge rafiki yang anasumbuliwa na ampe afya njema kupitia mfungo huu nlofunga cku ya leo AMEN 🙏🙏🙏🙏
Nimebarikiwa na nimejifunza kitu kinaenda kubadirisha maisha yangu umekuwa mbaraka mkubwa kwangu Mungu akuzidishie palipopungua ubarikiwe tena na tena nakufuatilia nikiwa Ufaransa
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Asante sana Baba yangu Mungu Jehovah Muhumbaji wangu kwa mamlaka ya kiuchumi,afya ya Roho na mwili na upendeleo wako kwa family yetu na kunipa mke na familia yangu.Nakushukuru kwa jina la Yesu Kristu Amina
i have a testimony i listened to this nd i listened and followed nd i prayed and i was answered my prayer that i was praying for years and praise to GOD FOR EVERYTHING PASTOR BE BLESSED FOR THE WORD OF GOD I BELIEVE ND TRUST IN GOD IN ALL MY LIFE
Haki ya Yesu kaa ndani yangu niombalo nipate.
Naomba utawa wa kiroho Ee Yesu wangu kwa watoto,kwa mume wangu kwa wazazi wangu na kwangu ndugu zangu wote.
Naomba utawala wa kiroho katika kazi ya mikono yangu hapa Washington zaidi roho mtakatifu tawala katika process zote za uhamiaji.
Fungua milango yote Jehova.
Kwa jina la Yesu amen.
Aminaa pastor ninabarikiwa sana na Naomba Mwenyez Mungu akanisikie maombi yangu nibadilike kimwili na kiroho pia nia yang nifike makao ya Amani kwa Baba
Amina tena Amina mimi ni mtoto Wa Mungu nimebalikiwaaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤
Ameen mungu akubariki
Amen!❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
May God please you pastor, you have been a blessing to me and my family.
Ee Mungu mwingi wa neema na rehema endelea kumlinda mtumishi wako na kila baya lililokusudiwa kwake Ili aendelee kulihubiri neno lako
Mafundisho haya yameniokoa
Baba mungu nitamshukuru daima Asante mchungaji kwa hili somo ubarikiwe nimejifunza kitu kwenye hili somo maana maombi yangu mara nyingi huwa narudia naomba kiunyonge saingine huwa ata nimelala naomba kisahau sahau Asante mungu kwa kuniskilizisha hili somo
Andika Mungu kwa herufi kubwa huyo mwengine ni shetani
Mungu akubariki m2mishi wangu
AMEN ❤ NAOMBA MSAADA JAMAN KITABU SIRI Y MAOMBI YALIOJIBIWA NAKIPATA WAP PLZ. NAOMBA MSAADA NIELEKEZENI NIPO DAR TEGETA
Amen Amen Amen
Mchungaji mungu na akubariki sana
Pasta ,,napenda mahubiri yako,,,mungu akusaidie
Mungu akubariki
AMINA 🙏🙏🙏🙏
Following from voi.
Amina 🙏🙏
Amennn🙏🏾🖤
Pastor maombi na mahubiri yako yameniinua katika kiwango hiki had kiingine am in Saudi 🇸🇦 huwa naweka earphone kwa masikio naweka kofia ili hawa watu wasione alafu naifungulia mahubiri yako na simu naiweka kwa room bora kuzikiza kuliko kuwatch uchumbe unifikie
Ameee
Umenifumbua machiyakiroho
nina swali hapo umesema ukienda sehemu kwa mfano kazin kwa mara ya kwanza kuna mamlaka iko hapo kiroho isiyoonekana na kabla sijakanyanga au kukaa natakiwa nimiliki ufalme uliopo sasa ninasawali la kijinga kabisa ila nataka nielewe nahitaji kupata nguvu hizo za YESU nzipataje na nitahisije kama ninazo nisaidie
Mungu anatupenda sana ingawa tulipotezewa hili pendo kupitia vitisho ...ila Mungu amekutumia mchungaji kutuleta Tena karibu naye..
mbona nabarikiwa jamani 🙏🙏🙏 Mungu akuzidishie mhubiri aki❤❤❤❤❤
Asante Yesu kwa mafundisho yako kupitia mchungaji nimepona mambo mengi sana sana .kwa sasa naomba wanangu wapate uzazi salama Mungu awaondolee vifungo vya kila aina.
Kwa nini picture za mwanzo zaonyesha wazungu?
Watu wa Biblia ni weusi wa Africa sio wazungu.
They lied to us ...brainwashed us.
napenda mafundisho yako Sana Niko turkana kenya mahali mafuta imegunduliwa.naitwa Samuel estoo
Man of God, tukuomba Killa neno lako unalo litamka, ututamkie na kitabu chenyewe, tujisomee pia sisi, tufundisha na wengine hawako Kwa mtandao, tunakupenda sana frm taveta border kenya.tuonekanie Kwa hilo
Mungu Mtakatifu wa Bwana Yesu Kristo nakushukuru sana sana kwa neno lako
Nabarikiwa nikiwa saudi Arabia ❤❤❤
Baba wa mbinguni nashukuru kwa uhai huu nashukuru kwa familianyangu Baba wa mbinguni mwigi wa rehema na neema mwingi wa hasira naomba kufunguliwa kwangu kiuchumi kiafya nguvu za giza na kufunguliwa kwa mchumba wangu aweze kurejesaha upendo amani furha afunguliwe fahmu zake leo akpige simu kwa jina la Yesu Baba kwako tulitoka kwako tunaishi naomba unisaidie😢
ubarkiwe mchungaji kwa somo zuri limenibariki sana na MUNGU anibadilishe
Pastor unanisaidia vile Niko ughaibuni,siko peke yangu bali haki ya Yesu inanilinda.
Barikiwa mtumishi
Amen nabarikiwa na mafundisho haya na kila ninaposikiliza mahubiri yako mtumshi na zidii kuongezeka kiroho na pia kiimani hakika Mungu wa mbinguni akubariki na pia akulinde siku zote
Amen Asante Mungu kwa neema yako na upendo wako kwa kunilinda nifanye nikujue zaidi uniepushe na maovu 🤲🤲
Baba yangu wa mbinguni akunyime mengine ila asikusahau katika ufalume wake wa mbinguni
Mungu akutie nguvu zaidi na zaidi katika utumishi aliokuitia
Pasita wewe hunapatikanapi pole nakazi yamungu ila hubalikiwe namba yasimu
Kiukweli nabarikiwa na na
Jisikia utulivu wa nafsi na moyo
Pr naomba unisaidie naomba kwa ajili ya baba anaumwa Sana🙏🙏
Nimejifunza mengi sana, ubarikiwe pastor
Amen blessed prince, brother in one palace kingdom of the holy almighty living God hareluyah I'm following you in Qatar.
Asatesana.nakufutiriyasan
Pastor ubarikiwe atassi tuko Pali tuko na jangamoto ya mandeni tuombe pastor ubarikiwe
Me 2
Napendwa na babangu jila lake ni MUNGU🙏🙏
Sauti ni mbaya sana svp
Amina mungu akuongezee neema mtumishii❤❤❤❤
Mahubiri yakonikonayasikiriz niko Burundi naomba mufundishohay yakae moyonikwang Mungu anifumbuwe maconion
Habari
@@RachelJosiah-x1u Safi.naombo nambayako.yawhasatspp
@@RachelJosiah-x1u kunagitabu natak
Mungu akubariki pastor ❤ hakika nimebarikiwa sana na kupitia mahubir na maombi haya Mungu naomba amponge rafiki yang anasumbuliwa na ampe afya njema kupitia mfungo huu nlofunga cku ya leo AMEN 🙏🙏🙏🙏
Amen pastor.
Mathayo 7:7
nashukuru kwamugiza wababa yangu baba nakushukuru kwajina ra yesu Kirito nahamini tena nà hamini
Yohana 15:7
Amen
Luka 11:1
Asante mung mkuu kw kinitendea mamb makuu na ya ajabu ushukiriwe mile na milele amen
Amen and Amen Mungu akubariki PR nabarikiwa na mafundisho mazuri Mungu azidi kukufunulia zaidi 🙏🙏
Amen amen amen
Nimebarikiwa na nimejifunza kitu kinaenda kubadirisha maisha yangu umekuwa mbaraka mkubwa kwangu Mungu akuzidishie palipopungua ubarikiwe tena na tena nakufuatilia nikiwa Ufaransa
mungu nakushukuru kwabaraka urizo nibariki kwanzia leo Hadi mirere baba asnte kwajina ra yesu kristo Amen
Naitwa sitaniley pasita MUNGU wambinguni AKUBALIKI nimejua jinsi yakuomba
Pastor ubarikiwee sana kwa mafundisho yako mazuri, mm naomba uniombee niweze kuhudumu, maana nimepangiwa kuhudumu ila siwezi
Mungu akulinde na kukuepusha na mitego yote ya mwovu zaburi 91:3
Kuna muda nasikia kutokwa na mazoezi yananitoka,ahsante Mungu kunishndia dhambi iliyokuwa inanisumbua muda mrefu
0:19 😢😢😢😢❤🙏
Nabarikiwa sana, napatanguvu kupitia mafundisho yako, Mungu akupe maisha marefu🙏
Kadili nilivyokusikia mahubiri yako ndivyo nilivyobadirika kihakili❤
Bwanangu yuko na hio Roho yakutozaa sijui tumsaidieje ,,Ubarikiwe sana mtumishi kwa mafundisho mazuri
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Asante sana Baba yangu Mungu Jehovah Muhumbaji wangu kwa mamlaka ya kiuchumi,afya ya Roho na mwili na upendeleo wako kwa family yetu na kunipa mke na familia yangu.Nakushukuru kwa jina la Yesu Kristu Amina
ubarikiwe saana mtumishi kwa kaz ya bwana🙏🙏
i have a testimony i listened to this nd i listened and followed nd i prayed and i was answered my prayer that i was praying for years and praise to GOD FOR EVERYTHING PASTOR BE BLESSED FOR THE WORD OF GOD I BELIEVE ND TRUST IN GOD IN ALL MY LIFE
❤pastor mmbaga unanibariki sana ... Mungu azidi kukuinua ili uinue wengine ...
Good preachings, mm ni Nangabo Justine nafuatilia ibaada yako ni nzuri inagusa mioyo ya watu namm pia, very good,
Pasta nachukuru kwafundisho ila naomba musaada wamaombi kwamajina nizawadi naishi congo
MUNGU abariki kazi hii ya Ufalme wake;
Tuzidi kuandaliwa kwa Uzima wa Milele
Nabarikiwa Sana na Mafundisho yako Mchungaji Mmbaga Ubarikiwe Sana
nabarikiwa naomba somo liwe downloadable ili nisikilize baadaye vizuri
Namshukuru Mungu kwa ajili ya mafundisho yako, naona Mungu anaongea na mimi kupitia mafundisho.
Asante kwa mahubiri mtumishi wa mungu abarikiwe ,mungu atuwezeshe kujua kitambulisho chetu
Mungu akubariki utokapo na uingiapo Mchungaji
AMEN ❤ NAOMBA MSAADA JAMAN KITABU SIRI Y MAOMBI YALIOJIBIWA NAKIPATA WAP PLZ. NAOMBA MSAADA NIELEKEZENI NIPO DAR TEGETA
Mungu akulinde na kukuhekimisha zaidi pastor
Itoshe kusema ubarikiwe Pr.
Amina nabarikiwa sana pasig Mingu na Akullide sana
Nabarikiwa nikiwa Mwanza Kirumba,asante Pastor kwa neno..Mungu azidi kukutumian kama chombo...
I am so blessed directly from d
Dodoma Almighty God protect you, pastor
Napenda mafundisho yko sana nko Saudia , Ubarikiwe sana nautukumbke kwa maombi Amen Amen and amen 🙏
Ubarikiwe mtumishi wa mungu mahubiri yako yamenisaidia sana mungu azidi kukutumia kwa ufalme wake
AMEN
Amen pastor nimepokea.Mungu akubariki🙏🙏🙏💎💎
Mimi Ni mtoto Wa Mungu, kila mema Na kila jema Ni langu 🙏.
Ni mimi hapa pastor niombee ubarikiwe Qatar from Kenya
Barikiwa mtumishi wa Mungu,kwa fundisho nzuri Amina ❤❤🎉🎉
Justine nangabo nikiwa nairobi, kenya
Mungu akulinde Kwa kazi nzuri pastor
Mungu Ahsante Kwa kila jambo 🙏🏽
Amina pastor Bwana amesema nami leo!!! Ubarikiwe Sana na Bwana ww na familia yako
Mungu akutumie zaidi na zaidi ❤❤nabarikiwa sana
Pastor unaoeleweka sana mungu akubriki sana
AMEN IM BLESSED,MIMI NI MTOTO WA MUNGU NA KILA JEMA NI LANGU🙏🙏
Amen Amen Amen 🙏🙏🙏 ubarikiwe mchungaji
Amina pasita ubarikiwe sana Mungu akubariki mno
Amen... Barikiwa mchungaji
Mimi ni mtoto wa Mungu napendwa