NDOTO KATIKA UHALISIA - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • KANISA LA REALITY OF CHRIST MINISTRY (ROC) LIPO SINZA MORI DAR ES SALAAM LINAONGOZWA NA WATUMISHI WA MUNGU PASTOR SUNBELLA KYANDO
    UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
    Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
    Like our Facebook: / therealityof. .
    Follow our Instagram: / realityofch. .
    Subscribe our RUclips: www.youtube.co....
    #sunbellakyando #pastorsunbellakyando #pastorjohnsembatwa #realityofchrist

Комментарии • 39

  • @nanyoraireuben8807
    @nanyoraireuben8807 5 месяцев назад +12

    Reality mmepata neema kubwa sana kuna wakat nataman ningekua naish jiran nisingekosa ibada hata mojaa👏👏👏👏👏👏

  • @starluzenja9861
    @starluzenja9861 5 месяцев назад +6

    Napenda sana anavyochambua biblia na anavyofundisha.Mungu akubariki sana Mtumishi.
    Looking forward to the other teachings about nafsi na roho

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 4 месяца назад +1

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @veronicakazungu2395
    @veronicakazungu2395 5 месяцев назад +4

    Mumejaliwa na neema kubwa saana itunzeni hiyo neema.

  • @samuelisemwile3371
    @samuelisemwile3371 3 месяца назад

    Shalom!
    You are my spiritual father

  • @chichiherself5698
    @chichiherself5698 5 месяцев назад +3

    ”Hivi ndivyo vizazi vya Yakobo. Yusufu, aliyekuwa mwenye miaka kumi na saba, alikuwa akichunga kondoo pamoja na ndugu zake; naye alikuwa kijana pamoja na wana wa Bilha, na wana wa Zilpa, wake wa baba yake. Yusufu akamletea baba yao habari zao mbaya. Basi Israeli akampenda Yusufu kuliko wanawe wote, maana ni mwana wa uzee wake, akamfanyia kanzu ndefu. Ndugu zake wakaona ya kuwa baba yao anampenda kuliko ndugu zake wote, wakamchukia, wala hawakuweza kusema naye kwa amani.“
    ‭‭Mwa‬ ‭37‬:‭2‬-‭4‬ ‭SUV‬‬
    3:38

  • @kamfwaerick415
    @kamfwaerick415 4 месяца назад

    You are a True Servant of God. That's all..!!!!

  • @PatrickMugambi24
    @PatrickMugambi24 4 месяца назад +1

    Very powerful .Nahitaji connection na mchungaji .Niko Kenya.Nahubiri pia

  • @stellagwimo3115
    @stellagwimo3115 5 месяцев назад

    Asante kwa mafundisho mazuri Bishop wangu. Mafuta ya ualimu yazidi kutupa maarifa.

  • @GloriaJapheth
    @GloriaJapheth 3 месяца назад

    Barikiwa sana babah

  • @HaikaFoya-m5r
    @HaikaFoya-m5r 5 месяцев назад +2

    Asilimia 70 ni ndoto (mwilini) 20% nafsi 10% rohoni hii ni ajabu sana. Aksante kwa ufahamu yaani naona jinsi watu wengi wanavyokimbizana ma ndoto za mwilini.

  • @chichiherself5698
    @chichiherself5698 5 месяцев назад +2

    Mwili
    ”Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno.“
    ‭‭Mhu‬ ‭5‬:‭3‬ ‭SUV‬‬
    22:47

  • @abelchegekimani3735
    @abelchegekimani3735 5 месяцев назад +1

    More GRACE

  • @drvidah7030
    @drvidah7030 5 месяцев назад

    Blessed is Pastor Sunbella Kyando

  • @franciswillfred9763
    @franciswillfred9763 4 месяца назад

    So Powerful 🔥

  • @JemaMbwilo
    @JemaMbwilo 5 месяцев назад

    Nashukuru sana amen

  • @Joserine-kw7sg
    @Joserine-kw7sg 4 месяца назад

    Mwanza ngapi ariye sikia anisaidiye Amina

  • @catherineayako693
    @catherineayako693 5 месяцев назад +1

    Blessing 😊

  • @Neema-wy4mh
    @Neema-wy4mh 5 месяцев назад

    Amen. Blessing

  • @NickierNduche
    @NickierNduche 4 месяца назад

    Mwanzo 37:2-4

  • @happinessakim2679
    @happinessakim2679 4 месяца назад

    🙌🙏🙏🙏

  • @godlovewarwa
    @godlovewarwa 5 месяцев назад +1

    MUNGU AZIDI KUKUINUA MTUMISHI

  • @nellyshivere4267
    @nellyshivere4267 4 месяца назад

    hivi tutajua aje ndoto za ukweli, manake naona umekataa ndoto zote

  • @ElviskKogo
    @ElviskKogo 4 месяца назад +1

    Pastor naomba uniambie kuhusu hii ndoto yangu ...... niliota nikiwa nimenunua samaki watatu kisha nikagawa miwili nikabaki na moja je? Hii ni ndoto ya aina gani

    • @lubegajosia973
      @lubegajosia973 4 месяца назад

      Unahuduma Gani .

    • @NoelaPendo
      @NoelaPendo 3 месяца назад

      Naomba munieke kwa group la maombi

  • @upendolaizer4775
    @upendolaizer4775 5 месяцев назад +4

    Mimi nimekuwa nikiota navua samaki wakubwa na hii ndoto imekuwa ikijirudia

    • @starluzenja9861
      @starluzenja9861 5 месяцев назад

      Samaki mara nyingi ni positive dream
      .Depending with the context can mean utajiri as in provision
      Zingatia mazingira ya ndoto na uulize roho mtakatifu akusaidie.

    • @salimjulio7421
      @salimjulio7421 5 месяцев назад +1

      Au pia unatakiwa uwe mtumishi wa Mungu

    • @danamickle9739
      @danamickle9739 5 месяцев назад

      Utatajrka

    • @bensonnjenga6436
      @bensonnjenga6436 4 месяца назад

      Go Evangelism, you will win many souls for Christ

    • @upendolaizer4775
      @upendolaizer4775 4 месяца назад

      @@bensonnjenga6436 Amen

  • @JanethNdalu
    @JanethNdalu 5 месяцев назад

    Naomba namba ya huduma