OMBA MAOMBI HAYA KILA SIKU ASUBUHI/IKABIDHI SIKU YAKO KWA MUNGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Mfumo sahihi wa kuomba na kumualika Mungu aitawale siku yako na kukuongoza hatua zako kwa kila jambo utakalolifanya ili lifanikiwe zaidi.
    Hakikisha unamaanisha unapoomba maombi haya,yana nguvu sana na ukiweka imani yako kwa Yesu Kristo utafanikiwa.Muamini yeye tu na utapokea ushindi mkuu

Комментарии • 856

  • @onyangokabasa1988
    @onyangokabasa1988 Год назад +2

    Asante mtumishi umenifunza maombi

  • @sabinaleonce8243
    @sabinaleonce8243 2 года назад +2

    Amina

  • @ashuraibrahim9328
    @ashuraibrahim9328 Год назад +2

    Ame Ame Ame 😋🙇‍♀️🙌💖🤗

  • @edithsyohana.biasharabaota7898
    @edithsyohana.biasharabaota7898 Год назад +1

    Najiungamanisha Mimi na familia yangu afya yangu biashara yangu watoto wangu uniepushe na maadui amin

  • @sofiaoman5901
    @sofiaoman5901 Год назад +1

    BABA Naomba roho mtakstifu aniwezeshe kulisoma Nemo lako na kulitafakari Amen

  • @lisaanthony629
    @lisaanthony629 2 года назад +1

    Asante mungu wangu kwa wema wako kwangu sina cha kukulipa zaidi yakukutuza wewe wangu Amen

  • @rose44ngotee33
    @rose44ngotee33 2 года назад +1

    Hallulya Mungu akutunze mtumishi umenikomboa kwa Maputo ninayopitia umenishika mkono kupitia maombi yako nishindwa vita hasa kazini

  • @marthandomba6664
    @marthandomba6664 Год назад +1

    Tupo pamoja najiungamanisha na watoto Wang u hasa Thomas Haule mungu amfungue Aweze kupata kazi kwa jina la yes u Amina

  • @everlynekidiiga
    @everlynekidiiga Год назад +1

    Ahsante sana kwa maombi na mafundisho unayotufindisha na kutuombea Mungu akubariki na kuzidishie afya njema

  • @floraolotu8063
    @floraolotu8063 Год назад +1

    Naamini Yesu ni mwana wa Mungu alie hai na kupitia neno lake nimekombolewa mm na watoto wangu na familia yangu yote kwa ujumla ktk jina la Yesu Kristu wa Nazareth

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 2 года назад +22

    Najiunganisha na watoto wangu na wajukuu wangu, tufunguliwe utupe afya njema na kutufungua vifungo vyote na unipe ujasiri na unipe nguvu na sauti na unipe daraja, baraka zako na bahati vyote vinifuate ili niweze kuiangalia familia yangu, bila msaada wako, sitaweza ila wewe ulie juu ndie msaada wangu. Amen.

    • @sirizabiblia5276
      @sirizabiblia5276  2 года назад +1

      amen

    • @lisaanthony629
      @lisaanthony629 2 года назад +1

      Amen

    • @whitneywangui7861
      @whitneywangui7861 Год назад

      😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😮😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😮😮😮😮😮

  • @CandyKenya-y1b
    @CandyKenya-y1b Год назад +1

    Nahiunganisha na maombi haya kwadamu ya yesu 🔥🔥🔥🔥

  • @agnesikhamis6496
    @agnesikhamis6496 Год назад +2

    najiuganisha na watoto wangu naomba mungu ukatufungue afya zetu katika jina la yesu🙏🙏🙏 amena

  • @ednajohn6680
    @ednajohn6680 2 года назад +1

    Mungu wangu nitie nguvu niwashide maadui wangu

  • @WinnieJohn-oi7uu
    @WinnieJohn-oi7uu Год назад +1

    Amina kwajina layesu kila adui kazin kwangu Ananda kuaibika nakuanguka chin ktk jina la yesu naunafunika kazn ya kwadamuyako yesu

  • @tatusaid3934
    @tatusaid3934 Год назад +1

    Mungu wangu kupitia maombi aya ni bariki pamoja na Watton wangu

  • @neemacharles9848
    @neemacharles9848 2 года назад +1

    Amen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @naomingoti288
    @naomingoti288 2 года назад +1

    Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU asanteee San kwa maombi

  • @consolataanyambilile-mr5ph
    @consolataanyambilile-mr5ph 5 месяцев назад

    Najunganisha na familia yangu na vizazi vijavyo katika jina la yesu, ameeni

  • @mercykenya437
    @mercykenya437 2 года назад +1

    Amen nimebarikiwa unafanyia wpy huduma

  • @jimangie6197
    @jimangie6197 3 года назад +6

    Àsante mtumishi kutufundisha maombi ya muhimu sana barikiwa sana

  • @elingayamungure6367
    @elingayamungure6367 2 года назад +1

    Amen.nzuri sana.

  • @neemasafari6538
    @neemasafari6538 2 года назад +1

    mungu napokea maombi yangu nifunguliwe

  • @edithsyohana.biasharabaota7898
    @edithsyohana.biasharabaota7898 Год назад +1

    Asante mngu utaimarisha afya yangu sitoaangaika tangu xaxa amin

  • @charlessheshe4440
    @charlessheshe4440 Год назад +1

    Asante mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana Kwa kazi hii unayoifanya ya Mungu. Amina

  • @sabinachimbuvu5409
    @sabinachimbuvu5409 2 года назад +1

    Asante Sana Tunashukuru Mungu Akubariki Kwa Maombi Ya leo Bwana Yesu Nimebarikiwa sana

  • @monicahmwalozi
    @monicahmwalozi Год назад +3

    Najiunganisha pamoja na familia Yangu na vizazi 4 vijavyo 🙏🙏 katika jina la yesu.Amen. Mungu wa mbinguni akubariki mtumishi

  • @annaakinyi9691
    @annaakinyi9691 11 месяцев назад

    Amen hallelujah.... Niombe nirudishie utajiri wangu shetani amenipokonya nyota yangu watoto wake ndiyo wanatumiya mimi nikawa masikini

  • @alindasteven8356
    @alindasteven8356 2 года назад +1

    Ameena l kwajina lamungu baba namwana🙏🙏

  • @mpolenasra4786
    @mpolenasra4786 2 года назад +1

    Asnte mungu wangu Kwa yote sina budii yakusema asnte

  • @marypanwark8132
    @marypanwark8132 Год назад +3

    Amen...Man of God...hakika maombi haya ananitia nguvu kila mara huwa napenda kusikiliza maombi haya ya nguvu...Mungu azidi kukutumia ili uokoe roho za watu...Glory to God...

  • @rweyongezasadoth6591
    @rweyongezasadoth6591 2 года назад +1

    Bwana akutie nguvu mtimishi wa mungu.

  • @fatumakitwara4793
    @fatumakitwara4793 Год назад +1

    Amen 🙏🏽 asante mtumishi wa Bwana Yesu Kristo……maombi haya very effective hata leo Tar 9 mwezi wa 4 mwaka 2023…..mimi hapa nimeomba haya maombi alfajir nilipo rudi kupumzika kidogo nikaona mambo mengi sana na katika hiyo ndoto nikawa naendelea kuomba katika hiyo event mpaka ushindi ukapatikana…..Yesu ni Bwana, hallelujah ❤❤🎉🎉🎉🎉asante Mungu kwa ku mtumia mtumishi wako Innocent M. ipasavyo!!!!!niseme nini!!!🗣️🗣️🧎🏽‍♀️🩸🩸🩸🙏🏽🙏🏽🙏🏽💥💥💥💥💥

  • @zephaniazacharia519
    @zephaniazacharia519 Год назад +5

    Very powerful prayer Amen

  • @rosenbenpa4143
    @rosenbenpa4143 2 года назад +1

    Napokea ktk jina la yesu

  • @zozo8992
    @zozo8992 2 года назад +1

    Amen, kwa maombi. Mungu akubariki.

  • @naomingoti288
    @naomingoti288 2 года назад +1

    Ameen naomba umfungue mtoto wangu ufahamu wake

  • @charleslimo7434
    @charleslimo7434 2 года назад +1

    Asante mungu naaman sasa kwa maombi haya amina

  • @getlove9884
    @getlove9884 2 года назад +1

    I'm blessed kupitia kwa hiii maombi

  • @jameswaititu50
    @jameswaititu50 Год назад +1

    Amen mwenyezi mungu. Pia msamaha.

  • @sammywanje2686
    @sammywanje2686 2 года назад +7

    Asante BWANA,,, ninakushukuru ewe mwenyezi MUNGU Mfalme wa mbingu na nchi utupaye uzima, chakula na utupaye kulala na kuamka, nazidi kukuomba uniondolee mizigo hii ya magonjwa na umaskini, nimeomba haya katika Jina kuu takatifu la YESU CHRISTO mkombozi wetu, aamen

  • @dominiclakson6968
    @dominiclakson6968 2 года назад +1

    Amina napoke kwajina la yesu namyi nimbalikiwa wabwana mung wang

  • @sunivasixmund5739
    @sunivasixmund5739 2 года назад +1

    Amen mtumishi wamungu

  • @mishikilibaijara5768
    @mishikilibaijara5768 2 года назад +1

    Amen 🙏 nshukuru mungu kwa maombi

  • @FatumaJuma-ss6eo
    @FatumaJuma-ss6eo Год назад +1

    Asante yesu kwa kuwa muaminifu kwny maish yangu nashukuru kwa kila jambo amen

  • @therezawanzagi804
    @therezawanzagi804 2 года назад +1

    Amen, napokea

  • @joramoscar7274
    @joramoscar7274 2 года назад +1

    Nimebarikiwa Sana na ujumbe huu

  • @adelambaye1298
    @adelambaye1298 Год назад +1

    Asante kwa maombi haya yenye upako barikiwa Sana mtumishi

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Год назад

    Nimepokea ktk jina la yesu juu ya kibali Cha kazi biashara elimu afya juu yangu na watoto wangu na ndugu zangu dada kaka zangu ukoo mnzima marafiki majirani kufunguliwa ameen

  • @telesphoryphocusy3032
    @telesphoryphocusy3032 2 года назад +1

    Napokea upako kwajina la yesu

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 2 года назад +1

    Amina ubarikiwe na wewe

  • @priscaonesmo1416
    @priscaonesmo1416 2 года назад +1

    haya ni zaidi ya Maombi ,thank you sana sana

  • @happinessmaeda5748
    @happinessmaeda5748 4 месяца назад

    Mungu utabaki kuwa Mungu na ahadi zako juu ya maisha yetu kama neno lako lisemavu ni kweli na upendo wako baba haupomiki. Nasimamia Zaburi 23 na Zaburi 121. Wanijua kuliko ninavyojijya, bariki familia yangu na uzao wa tumbo langu, bariki watoto wafanikiwe katika kupata riziki ya kila siku, mali na shughuli zao za maendeleo zifanikiwe iwa ajili ya utukufu wako. Linda wajukuu zangu, wape afya njema na makuzi yao yasitetereke, wakuzwe kwakujua wewe. Ame

  • @japharsijaona9395
    @japharsijaona9395 2 года назад +1

    Amina mungu akupariki

  • @yvonneerasto3934
    @yvonneerasto3934 2 года назад +1

    Nimebarikiwa Amen🙏

  • @leticiajohn3114
    @leticiajohn3114 2 года назад +4

    Mungu mbariki mpenzi wangu mawazo yetu yatimie mungu wangu nisaidie nime potea nime jaribu pengine hila nime jua kwako ndiyo pakamilofu mungu wangu nisaidie

  • @لنلو-ث7م
    @لنلو-ث7م 2 года назад +3

    Mungu baba namwana narohoro mutakatifu akuzidishiye baraka tele .kwamaobi unatuombeya hakika tumefarijika kwajina la yesu Amen

  • @agathalyamuya9358
    @agathalyamuya9358 2 года назад +1

    E Mwenyez mungu nirehemu navunja kila roho ya nguvu za giza juu yangu

  • @elizabethnaih5455
    @elizabethnaih5455 2 года назад +1

    Naamina nimesha funguliwa kwa maombi haya AMEN

  • @yassintaibrahim24
    @yassintaibrahim24 2 года назад +1

    Ameen 🙏🙏🙏
    Ubarikiwe Saana 🙏🙏🙏

  • @estherkusaga2628
    @estherkusaga2628 2 года назад +1

    Mungu azid kukuinua brother,

  • @ufunuolaboratory
    @ufunuolaboratory Год назад +3

    Ubarikiwe sana ndugu mashauri kwa vifungu vizuri kwa ajali yetu sisi tulio fungwa...asante mungu baba kwa mtumishi wako mashauri tunapo endelea na mafungu haya baba mungu zidi kutufungua kutoka vifungo hivi alivyo tulivyo fungwa na nguvu za giza ,vya ogonjwa katika familia yangu watoto wangu kurudishwa nyuma kimasomo ,nipe nguvu nilio ipòteza na omuonekano rudisha hata baraka uliozo niandalia munguo wangu niohurumie yesu wangu kwa mateso nayo pitia kwa mda mrefu amina.

  • @KamiyattiNamusisi
    @KamiyattiNamusisi Месяц назад

    Asante mungu baba kwakufanya nikuamin kwel unaweza baba wayatima naimani nahili litapita kwadamu yayesu kristo Hakuna linaloshindikana kwako baba naomba unapowazuru wemgine namim isinipite

  • @stellast4946
    @stellast4946 2 года назад +1

    Eeeeeeeh mungu wangu fungua minyororo ya shetani asubui ya Leo Amina

  • @francisonyango1796
    @francisonyango1796 2 года назад +1

    Mungu nisaidie sijielewi maishani mwangu
    Amen

  • @DianaFavour-r3d
    @DianaFavour-r3d 8 месяцев назад

    Amen amen najiunganisha Mimi na familia yangu na ndugu zangu na mambo yangu yotee na Kila kituu changuu na wadogo zangu wotee na ukooo wangu wote na kwa baba na mama Mimi na kazii yangu na uwepo wa familia yangu yotee 🙏🙏🙏

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 11 месяцев назад

    Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina napokeya Kwa jina la YESU kristo

  • @magretngonyani5217
    @magretngonyani5217 2 года назад +1

    Eee mungu naomba ukawe ngao kwa familia yangu ukawe mlinzi kwa mtoto wangu nimekukimbilia wew ilinisiaibike milele

  • @sophie777-t8w
    @sophie777-t8w 11 месяцев назад

    Naomba kupitia maombi hii nikombolewe Kwa Jina la yesu Kristo ..Mme wangu Na watoto wangu wakombolewe Kwa Jina la yesu Kristo Amen.

  • @joharsalum4096
    @joharsalum4096 2 года назад +1

    Napokea kwa jina la yesu

  • @everirene6295
    @everirene6295 2 года назад +1

    Amen na balikiwa sana

  • @SinganoOthman-fn9xf
    @SinganoOthman-fn9xf 4 месяца назад

    Amina mtumish wa mungu nimebarkiwa sana namaombi yako mungu akutie nguvu na afya tele uzidi kutufundisha tumujuwe mungu

  • @sarahyusuph3269
    @sarahyusuph3269 2 года назад +1

    AMEEEEN 🙏 🙏 EE MUNGU UTUONGOZE MAARIFA YA KIMUNGU ZAIDI🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nizselyluka2096
    @nizselyluka2096 2 года назад +3

    Amina,🤲🤲 yote yawe yangu.

  • @tinnermswaki1533
    @tinnermswaki1533 2 года назад +1

    Amen asante nimebarikiwa

  • @agnesmgina2232
    @agnesmgina2232 2 года назад +1

    Amina mtumishi

  • @verenaisskimambo5783
    @verenaisskimambo5783 2 года назад +1

    Asante sana mtumishi mungu akubariki kwa kutufundisha kusali

  • @prettyalecky6914
    @prettyalecky6914 Год назад +1

    Napinga roho ya uoga na wasi wasi katika jina la YESU kristo 🙏🙏🙏

  • @fauziajoseph643
    @fauziajoseph643 Год назад +1

    Bwana jesu nikafunguliwe pamoja na familia yangu watoto wangu, damu ya jesu ikatusingile .

  • @fauziajoseph643
    @fauziajoseph643 Год назад +1

    Amen in jesus name, wanao niinukia bwana nimewaweka mkononi mwako juu siwesi mbila wewe mungu wangu.

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 5 месяцев назад

    Najiungamanisha na Madhabahu hii mimi na uzao wangu kwa jina la YESU, mwana wa Mungu aliyehai. Nimebarikiwa sana.

  • @monicamatimbwi7810
    @monicamatimbwi7810 2 года назад +1

    Asante kwa upendo wako kwetu
    Amina

  • @ednakimario2689
    @ednakimario2689 2 года назад +1

    Katika maombi Haya nimetakasika ubarikiwe sana

  • @harrietmukhemba7680
    @harrietmukhemba7680 2 года назад +3

    Asante mutumishi wa mungu kwa kunifundisha verses za Biblia 🙏🙏🙏 ubarikiwe sana🙏🙏🙏

  • @sh7rorsh7ror95
    @sh7rorsh7ror95 Год назад +1

    Amen mchungaji mwenyezi Mungu akulinde nawe pia ubarikiwe nawe Kamara vile unavyo tuombea tubarikiwe kuanzia mwanzo Hadi mwisho

  • @fidesbernard4835
    @fidesbernard4835 2 года назад +1

    Asante sana kwa kuniinua kiroho barikiwa sana

  • @PiliSelemani-yr3dr
    @PiliSelemani-yr3dr 2 месяца назад

    Baba Mungu Uliye hai Naomba uponyaji Wako Niweze kupona kikohozi Maana bila Wewe Mimi Sio Kitu.Ameen

  • @frankmartin9202
    @frankmartin9202 2 года назад

    Ubarikiwe Sana kwa huduma Mungu tuangalie sisi wanao dhidi ya Maadui wa Aina yoyote washindwe katika damu ya yesu kristo mwanao amen

  • @mariamchengula3447
    @mariamchengula3447 2 года назад

    Asante mtu wa mngu tunaomba uwendele kutuimalisha kimaombi napata amani sana Amen 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jamesisimba8904
    @jamesisimba8904 2 года назад +1

    Mungu akupe wepesi mtumishi uzidi kutufungua milango amen

  • @omaryabdallah6669
    @omaryabdallah6669 7 месяцев назад

    Mim Judith Najiungamanisha na maombi haya asubuh hii mim pamoja na familia yangu na watoto wangu nakazi za mikono yangu na afya ya mume wangu naelimu ya watoto wangu na wazazi wang katka jina la yesu kwa damu ya yesu amen

  • @EsterMallya-y4j
    @EsterMallya-y4j 6 месяцев назад

    Najiungamanisha mimi na watoto wangu pamoja na ndugu zangu katika asubuhi ya Leo kwakila nitakapopita mungu tembea nasi bila wewe hatuwezi aminaaa

  • @salmaselfy2064
    @salmaselfy2064 2 года назад +1

    Nimefungua familia yangu watoto wangu mme wangu, nimetoka katka njia ya minyororo na vifungo vy kishetan amn

  • @thedemystifier5480
    @thedemystifier5480 2 года назад +1

    Naomba uandae somo kuhusu nafasi ya miguu katika ulimwengu wa roho na katika mafanikio ya mtu.

  • @marylnemshai5959
    @marylnemshai5959 2 года назад

    Amen Amen, sifa na utukufu umurudie yeye aliye juu Amen 🙏

  • @tasianasilivesta2549
    @tasianasilivesta2549 2 года назад +1

    Asante mtuz umenifuza mengi mungu akutienguvu

  • @ruthmosesmasanja6502
    @ruthmosesmasanja6502 Год назад +1

    Mungu nisaidie Mimi na uzao wa tumbo langu tuwe waombaji. Maombi haya yana nguvu sana

  • @RachaelRunyange
    @RachaelRunyange Год назад

    Najiungamanisha na maombi yaha mungu abariki familia yangu
    Na kuitoa katika giza Ameen

  • @imanitizo6911
    @imanitizo6911 2 года назад

    Amen naamin nimepokea uponyaji Kwa jina la yesu 🙏🙏🙏

  • @fediskalume4712
    @fediskalume4712 Год назад +1

    Mungu ndiwe kilakitu kwangu naomba 🙏 unisaidie uniepushe namabaya yote uaimbishe maaduizagu usiniache Wala kunipungukia usiufiche uso wako kwangu eeeeh mungu 🙏 unisaidie nisiangamie neno lako litimie kwangu 😭😭🙏🙏 naomba jinsi upendavo wewe ameni 🙏🙌