LIVE: MAOMBI YA KUKUMBUKWA NA MUNGU // ASUBUHI YAKO YAJA
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2023
- Zab 56:3
Siku ya hofu yangu nitakutumaini Wewe;
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Naomba Baba unikumbuke na familia yangu usinipite Yesu kristo
Mungu wajua kuketi na kuondoka kwangu tena umelifaham wazo langu toka mwanzo🙏🏽🙏🏽🙏🏽 hakuna mwingine zaidi yako. Hakuna wa kulingana nawe🙏🏽🙏🏽 Matendo yako kwangu ya ajabu sana. Amen
Ameen mtumishi asb yangu inakuja
Mimi nitasimama katika zamu yangu kwa uwezo wa Mungu katika jina la Yesu nipate kujjibiwa haja ya moyo wangu
Eeeh Bwana tafadhali naomba uyakumbuke maombi yangu na unikumbuke mimi na familia yetu katika jina la Yesu Amen
Ubarikiwe nabarikiwa Sana na maombi yako Muñgu awe nawe daima akulinde akuponye na kila kitu asanteeee Yesu
❤❤ Asanteeee Muñgu Baba wa Mbinguni kutuamsha salaama najiungamsnisha katika mazabahu hii Mimi na familia yangu popote walipo Ñaamin Muñgu unawaona na omna ulinzi wako Ubarikiwe mtumishi wa Muñgu
Najiuganisha na madhabahu ya bwana mungu nikubuke kwa uzao wangu nakataa magojwa nakataa roho ya mauti kwa watoto wangu kwa kazi yangu kwa masomo ya watoto wangu mungu wakubuke katika jina la yesu kristo amen
Napokea kufunguliwa mimi na familia yangu na kupata ulinzi wa Mungu katika jina la Yesu
Mwenyezi Mungu naomba unisaidie nivuke hapa nione asubuhi yangu
🎉amen kwa jina lako Mungu napokea asubui yaja napokea Amani ,Baraka,Upendo asubui ikawe ya tofauti akika wewe ni Mungu muweza wa vyote peke ako wa stahili Matendo yako ni ya ajabu❤ Futa machozi yangu 😢 akuna mwingine wewe Mungu wa wastahili nijibu aja ya moyo wangu Mungu wangu
Najiunganisha nami kwenye maombi haya kufunguliwa familia yangu uchumi wangu watoto wangu
Amina na mim naomba Mungu anapo gusa wengini aniguse anijibu maombi yangu Amina
MUNGU. Najiunganisha Mimi Na Mamaangu Monica Bibi yangu baba naomba ukanene juu yao ukapite Kwenye Miyoyo yao uwaponye baba ugojwa unao wasumbua. Nijibu na Mimi ombi langu baba naomba mwanaume sahihi kwenye Maisha yangu baba😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante Mungu Kwa siku hii ya 27 ni Kwa Neema tuu Asante Yesu
Amen, sitabaki kama nilivyo bali nitavushwa na kuketishwa pamoja na wakuu. Asubuhi yangu yaja, tena haitakawia, no matter what, Ninavukaaa, Amen
Asante YESU kwajili ya mafundisho naomba roho mtakatifu anisaidie kuelewa neno la MUNGU
Asubuhi hii iwe ya mafanikiwe kiuchumi komboa faamilia yangu amina
Asante sana Mungu kwa imani na uvumilivu, najua asubuhi yangu inakuja, Amen
Bwana naombq unifungue kimwili na kiroho,ufungue familia yang ,ndoto zang, kwa jina la Yesu kristo amina
My morning is coming 🙌 Amen Amen Umri umeenda lakini Mungu tu Ndie anapeana baraka Thank you God 😊 🙏
Kwa Mungu hakuna umri mkubwa mkumbuke Ibrahim na sara
Najifungamanisha na maombihaya eemungu ukayasikie maombiyangu nisaidie mungu
Asante Mungu kwa siku hii yaleo kunijalia uzima na afya mimi ja familia yangu
Najiunganisha na ibada hii mafundisho na maombi asubuhi hii ya Leo, nikabarikiwe ma Mungu akanitoe katika magumu ninayoyapitia na madeni niliyonayo, na changamoto nyingi ninazozipitia na watoto wangu. Kuna changamoto zinajirudia nashindwa kupiga hatua, naomba mungu akanione asubuhi ya Leo na kuniondolea magumu ninayopitia, nakataa magonjwa na mauti zote katika maisha yangu na watoto wangu, Amen
Amen wewe Ni mungu mweza yote baba rejesha vyote adui alibeba.najiunganisha na madhabahu haya amen
Najiunganisha na maombi pamoja na mafundisho haya Mungu unikumbumbuke maombi yangu ili cku yangu iwe kama nilivyoiombea, Asante Mungu
nakufata vizurisana bwana yesu akulinde kwenye mazabahu ili upate kutupatiya neno lakutujenga ili tupate kubadirika katika maisha yetu
Mungu ninajiunganisha na maombi haya nikafunguliwe mimina familia yangu amina pia uchumi wangu ukaongezeke wateja wakanizidie amina mwanangu Lillian apate mume sahihi pia uchumi
Nimeguswa sana na masomo Yako naomba mungu anisaidie katika mahali nilipo
Najiunganisha na madhabahu .Damu ya Yesu ikanene juu ya watoto wangu,ndoa yangu na familia yangu.Naunganisha mtoto wa kwanza Evans ambaye ameingilia ulevi na madhabahu. damu ya Yesu ikamnenee
mungu nataka niaze na wew kila unaponipa pumzi lako oh bwana tends ajambo baba
Ameeni najiungamisha na maombi haya ya asubuhi naomba mungu ukanitowe katika vita yesu ukanipitishe kwenye magumu katika jina layesu
Baba Mungu nyoosha mkono wako unifute machozi ,nakuombaaaaà
Naomba kuwa pamonja namungu nisiondoke Kwake,naakuwe pamonja nami mungu nisaindie
Amen Mungu usinipite namie uniguse kupitia mazabao hii nione muujiza baba yangu
Bwana yesu asifiwe mutumishi wamungu naomba uniombee nafika mailing nakatatamaa sijuu kwanini nakatama
Najiungamanisha na Madhabahu hii, Ee Mungu ukayajue Maombi yangu yapokee na kuniponya , namkaribisha uwepo wa Roho Mtakatifu mahali hapa ,
Pokea. Maombiii yangu baba. Umrii unaenda. Baba. Nahitaji kuwa na family. Kuwa. Na Mwenza wangu. Tuzae watoto 🙏🙏🙏
Aijalishi nayapitia mangapi namini asubui yangu yaja eeh mungu usinipiti natembea na hi neno asubui yaja Amen😭😭🙏
Najiunganish na madhabahu hi maombi yangu yakakumbukwe na hasubuhi yangu ifike kwa jina la yesu kristo
Cku ya Leo ikawe ya baraka na mafanikio katika maisha yangu.muujiza mkubwa unitokee Leo hii katika jina la yesu
Ombea mzee wangu abadilike akue mkristo kamili
EE mungu wangu inua Imani yangu nikujue zaidi, niondolee aibu na fedhea iliyoko mbele yangu
Amen hakika nmepokea Kwa damu ya Yesu asubuhi yangu inakuja hakika najiungamanisha na hii madhabahu usiku huu amen 🙏🙏🙏
Najiungamanisha Mungu na maombi niwezeshe kuzishinda dhambi.
Hakika hufananishwi na chochote BWANA. 🙋🙋🙋🙋Utabaki kuwa Mungu Maishani Mwangu. 🙌🙌🙌.
Naomba tumwombee mwanangu uponyaji anaenda hospitali leo kutibiwa BWANA YESU AMPONYE
Najiunganisha na mathabau ya mungu mimi na watoto wangu wote mungu tusaidie pamoja na kakangu
Hooo! Mtumishi wa MUNGU wa Mazabao ya SIRI ZA BIBLIA Mungu akubariki sana uishi maisha marefu ili uendelee na kaz yai kutupa vitu vinavyo gusa maisha YETU
Nikumbukea hasubuh ya Leo kweny maisha yangu na biashara yangu
Asante mtumishi wa mungu mahubiri yangu yanazidi kuinua imani yangu sikatii tamaa kamwe hata km napitia kwrnye magumu naaminimungu hataniacha Ubarikiwe
Eee, Mungu wa Mazabao ya SIRI ZA BIBLIA naomba uniokowe unitowe katika mateso
Naomba nijue maombi iletayo mtabibu nifundishe mtumishi wa Mungu.najiunga leo
@Baba .Mungu unapowadhuru wengine Yesu wangu Naomba usinipite Naomba unitete .,
Najiugamanisha maombi asubuhi hii naomba mungu unisaidie niweze kukujua neno lako na nimalize siku hii ya Leo salama asante mungu Kwa kunifikisha mm na watoto wangu na family yangu asante mungu Kwa Neema yako 🤲🙏🙏🙏🙏🙏
Kila kitu kigumuvktkt maisha yangu Asubuhi Yangu inakuja Asante Mungu asubuhi Yangu inakuja
Naomba mungu anikumbuke mm na familia yangu
Najiunganisha na. Maombi haya Pamoja na mafundisho Haya MUNGU ukanikumbuke na mimi. Asubhi hii ya Leo naomba ukanijibu na maombi yangu were Bwana 🙏🙏
Najiungamanisha na maombi haya damu ya yesu inifunike na baraka zake zinimminikie
Najiunganisha kwenye maombi yangu ya Leo naomba mwanangu Lillian apate mume sahihi pia uchumi wangu ukaongezeke wateja wakanizidie amina
Ubarikwe mtumishi wa Mungu naendelea kukutumani Mungu Wangu
Yesu kumbuka watoto wangu wasio na kazi Napokea kazi zao kwani nakutumaini wewe Daima
Asante mungu asubuhi yangu yaja yenye balaka amen
N@jiunganisha na maombi pamoja na mafundisho mungu kumbuka maombi Yang
Asante mungu kwa kunifungua katika kifungo kwa naiona nuru kwenye giza nene
Naomba umwombee mumewangu anaumwa anaitwa colmani mushi
Baba iyi mafundisho ni yangu naomba munisaidiye sana na maobi yenu aksanti bwana yesu asifiwe
Amina mtumishi wa mungu naomba mungu akaingilie katika magumu ninayopitia
Mungu anatenda
Najiungamisha na madhabahu ya siri za bibLia Mkono wa Mungu na damu ya yesu ikanibariki katika kazi yang niweze kuongezewa mshhara,familia yang ikawe na furha wazazi wang awajalie afya njema na upendo utamalaki kweny maisha yao ,wadog zangu shulen wawe vichwa wasiwe mkia mpenz wang mungu amjlie katika biashara zake amuongezeh kipato zaid ya kile anachopata sasa mwenyez mungu aniponyee ugonjwa unaonisumbua kwan unanikosesha @mani Eee mungu kanijalie ,kanibariki kabla ya Mwaka huu kuisha 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏Amen
Asubuhi yangu inakuja ,my morning is coming in name of Jesus 🙏🙏Amen🙌🙌🙏🙏🙏
Amen amen amen,my morning is coming in Jesus name 🙏🏽
Namshuru sana Mungu Kwa namna anavyokuongoza na jinsi anavyozudi kujinua juu yetu maana hata sasa anatenda kwetu aminaa
Napokea asubuhi yangu iliyo njema kwa jina la Yesu Kristo
Amina MUNGU anapobariki wengine NAMI anikumbuke awabariki pia nanyi nyote umu ndani Asante pasta innocent.mimi ni mgeni odi umu ndani
Amen Mungu nikumbuke mimi nauzaowatumbo langu watoto wangu wapata wabwana wapate mandowa kwadamu yesu wapate visa sa Canada na esthere apate cotrat yafasianafanyiya kazii Tunaitajimusaada yamaombi Mungu a bariki kazi yamikono yangu
Naomba kibali Cha kazi Cha uzao wangu mungu nikubuke kila aibu basi mungu niogoze wewe mungu wangu nikunuke siku ya leo
Ee MUNGU wangu nikumbuke
Najiungamanisha na Maombi haya asubuhi hii🙏
My morning is coming in Jesus name Amen 🤲🤲🙌🙌🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki mtumishi unanena niliyopitia kweli yesu ndio njia pekee
Asubuhi yangu inakuja
My morning is coming. In Jesus name 🙏🙏🙌
Na muonba mungu usiku muchana akainikoboe nadamu iliyo mwangika musalabani hakumwangika bure pale msalambani ili kutusafisha Dhabi zetu amen
Nashukuru sana kwakujifuz mtumishi niombee namm naitaji Mungu akah kwenye maisha yangu
Asubuhi yangu inifikie kwa jina la YESU
Mungu wangu anajua mapito yangu ila Asubuhi Yangu yajaaa
Asubui yangu hunikumbuke mungu wangu 🙏🙏🙏🙏
Naomba mungu anikumbuke na kazi nzuri.
Najiungamanisha na ibada ya asubuhi MUNGU naomba utembee NAMI siku ya leo
Baba nabarikiwa sana na hekima yako mtu wa mungu
Najiugamaisha na MAOMBI pamoja na mafundisho haya MUNGU
Amen mungu nikubuke na mm hapa pamoja na family yangu 😢😢🙏🙏
Najiungamanisha na madhabahu hii Asante Yesu kristo
Yesu nisahidiye miminauzao watumbolangu yesu wangu patiya watoto mandowa wapemavisa y’a Canada naesther visa y’a ubeljiji nakuomba yesu tusaidiye saidiauzaowatumbo langu
Najiungamanisha Baba usininipite unapozuru ŵengine ktk family uchumi nakukujua zaidi ndio kiu yangu kuu
Ee Mwenyezi Mungu nikumbuke na Mimi niweze kupata ndoa nipate mwenza wa maisha
Nko ndan ya madhabahu mm na familia YANGU in JESUS MIGHT NAME
Asubui yangu inakuja in Jesus name amen
Najiunganisha na maombi haya mafundisho haya mungu akumbuke maombi yangu ili asubuhi hii ikawe na utukufu wa mungu naelekea kwenye biashara yangu na mengine yote afungue
Najiunganisha na maombi pamoja na mafundisho haya MUNGU akakumbuke maombi yangu ili asbhi yangu ikawe yenye utukufu wa MUNGU
Amen 🙏🙏🙏
Nimebarikiwa na neno la mungu
Asante Mungu naomba nikujue zaidi
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu shusha balaka kwa watu ote 🙏🙏🤍
Nakushukuru mungu wangu kila tuamkapo bwana unatupa nguvu mpya na kutupa mafundisho mazuri ya kututia nguvu tuamkapo
My morning is coming i believe my father ❤❤