MAOMBI YA KUTOKA KWENYE NYAKATI NGUMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza.
    Maarifa ya Ki-Mungu
    @SIRI ZA BIBLIA
    www.sirizabiblia.com
    +255 758 708 804
    linktr.ee/siri...
    Instagram Account
    / siri_za_biblia
    SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
    M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
    CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

Комментарии • 288

  • @user-dw7tp6uc2b
    @user-dw7tp6uc2b 14 дней назад +1

    Wapendwa tuzidi kumtegemea Mungu, Maana tunaishi nyakati ngumu ya vita ya kiroho, ila wapendwa Mungu anatutia moyo ,akisema vita si yenu bali vita niya Mungu, atakama unashida kubwa mwambie Yesu ndie mponyaji wako na mimi.

  • @AnnaMalugu
    @AnnaMalugu 14 дней назад

    Mungu unisaidie mimi na familia yangu baba uikumbuke Tanzania na wagonjwa wote

  • @BarekeTumaini
    @BarekeTumaini Месяц назад

    Mungu utuhokowe Mimi nafamilia yangu utufungulie safari yetu iyo fungwa myaka mingi tukifikiliwa watesi wanainuka nakuziwia mungu tukombowe mungu wangu

  • @hopemakinda3048
    @hopemakinda3048 2 месяца назад

    Mungu naomba unisaidie ktk mapito yote uwe nami naomba unisamehe pale nilpokukosea Mjngu wangu

  • @rosejustine
    @rosejustine 2 месяца назад +2

    Mungu ni mwema tuko pamoja madhabahuni

  • @khadijamwenda1851
    @khadijamwenda1851 Год назад +15

    Wapendwa katika bwana naombeni maombi yenu mkisimana kuomba msinisahau napitia magumu sana, nimefilisiwa na majini pesa zangu nyingi mno wakisema watanipa zao unaweza kuona ni ajabu ila story ndefu Akili ilifungwa hata family nilikuwa siikumbuki kabisa ni miaka 4 na miezi 5 ya mateso sasa ni miezi 2 nimeokoka ila wakajuwa na wakasema wataniua na family yangu nikirud tu Tanzania na kwasababu nimeachna ila naamini Mungu yupo ataniokoa,naomba mnisinisahu tafadhali kwenye sala zenu

    • @kefrenbaraka
      @kefrenbaraka 6 месяцев назад +2

      Mungu hata kuacha uangamie

    • @user-ij6jj6hl9r
      @user-ij6jj6hl9r 6 месяцев назад +1

      Amen naregesha vitu vyangu vyote ambavyo shetan alininyang'ana

    • @skilindaissa5441
      @skilindaissa5441 6 месяцев назад +1

      Usiogope Mungu yupo hatajibu maombi yko.Amini Tu.

    • @skilindaissa5441
      @skilindaissa5441 5 месяцев назад +1

      Usiogope Mungu yupo hatajibu maombi hatafanya njia pasipo njia 🙏

    • @user-kj4ik9bo5o
      @user-kj4ik9bo5o 4 месяца назад +2

      Kama Mungu aishivyo utaishi maisha mapya ,ikiwa bado upo duniani na dunia inachangamoto nyingi sana hivyo Kila changamoto unayopewa unaweza kukabiliana nayo jipe moyo omba sana ,funga sana Kila mlango uliofungwa utafunguliwa kwa jina la yesu

  • @annnjeri4121
    @annnjeri4121 3 месяца назад +1

    Amen Mungu azidi kutushindania

  • @eveabasi2469
    @eveabasi2469 Год назад +2

    Mungu naomba uguse maisha ya baba yangu Richard apone ugonjwa wa kupooza awe huru kupitia ibada ya leo

  • @OrestaLuambano-bh8gp
    @OrestaLuambano-bh8gp Год назад +8

    Ee Bwana YESU mponye mama yangu cancer.🙏🏾🙏🏾🙏🏾

    • @kefrenbaraka
      @kefrenbaraka 6 месяцев назад +1

      Mungu uishie milele naomba umponye mama Huyo popote alipo,si Kwa ajili yetu bali kwa utukufu wa jina lako.

    • @user-vn5eg2mz3y
      @user-vn5eg2mz3y 2 месяца назад

      😢😢Mungu usimpite mama yetu

  • @RuthBochere-nm5fi
    @RuthBochere-nm5fi 4 месяца назад +1

    Eee Mungu wangu,unaujua uchungu uliko ndani yangu,niondolee kudharauliwa,umaskini,machozi na manjozi,nibariki Mungu wangu kupitia madhabahu haya,AMINA

  • @joyce-jj5jv
    @joyce-jj5jv 3 месяца назад

    Amen nahisi kubarikiwa mungu yu pamoja nami

  • @user-bh2iv2go1o
    @user-bh2iv2go1o 6 месяцев назад

    Ameen baba mungu akuzidishie nguvu uzidi kutubaliki

  • @DoraTemba
    @DoraTemba 16 дней назад

    Mungu anisaidie another hapa nilipo

  • @khadayetha4453
    @khadayetha4453 3 месяца назад +1

    Wapendwa naombeni mniombee naandamwa na roho ya madeni kila nikilipa yanakuja sijui yanatoka wapii nmechoka jamani😢 Ee Mungu nisaidie mimi😢

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 3 месяца назад

      Pole utapita mm nilipitia hayo na sasa n8na unafuu

  • @user-cy1zv6qn8r
    @user-cy1zv6qn8r 6 месяцев назад

    Mungu nimwema sana Ameni

  • @dorahalfayo355
    @dorahalfayo355 5 месяцев назад

    Amen pastor,ni ukweli kabisa hata mimi nimepitia maneno mengi'karibu nichoke na Mungu wangu,but kuanzia leo nimepata nguvu ya kusonga mbele na kidogo ambacho nimepaki nacho kwa imani.niombee pastor Mimi ni Dorah Alfayo kutoka malava kenya.

  • @estermkoma4246
    @estermkoma4246 24 дня назад

    Mungu naomba unihurumie napitia wakati mgumu muda huu na uchungu mwingi

  • @user-pi1pw7oh7d
    @user-pi1pw7oh7d 10 месяцев назад

    Mungu naomba ukanipe kazi,

  • @user-fu7zx8qd4g
    @user-fu7zx8qd4g 4 месяца назад

    Hapa mtumishi wa Mungu umeniongelea mm toka mwanzo hadi mwsho

  • @anastanciaomusula3738
    @anastanciaomusula3738 Год назад +4

    Asante Yesu kwa maombi haya kweli unachunguza moyo wa mwanadamu. Asante mtumishi kwa maombi haya maana yote umenena ndio ninayapitia kwa sasa

  • @aspetabwire-bh1nn
    @aspetabwire-bh1nn 5 месяцев назад +1

    Unapo zuru wengine yesu usinipite kupitia kwa mathabao ya siri za biblia naomba amani, kibali na timizo la moyo wangu amen.

  • @monicamandai3875
    @monicamandai3875 6 месяцев назад

    Leo niko hapa naona haya maombi yanavy nitoa kwa Jina la Yesu Mungu akubariki Mtumishi

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад +5

    Baba MUNGU pokea sadaka yangu ya shukrani madhabahu hapa,,

  • @agnesminde4081
    @agnesminde4081 11 месяцев назад

    Usiniache Ee Mungu wa mbinguni unisikie mfalme

  • @DianaAbel-j9w
    @DianaAbel-j9w Месяц назад

    Ee. Baba. Mungu. Naomba. Uniondolee. Maumivu. Makali. Ninayopata. Kupitia. Madonda. Ya. Tumbo. Naomba. Niponye.

  • @JanetMihayo
    @JanetMihayo 10 месяцев назад

    Mungu ninaomba unitoe katika nyakat ngum

  • @RachaelMbeyu
    @RachaelMbeyu 4 месяца назад

    Ameen barikiwa sana mungu akuongoze kwa kila jambo

  • @FaidaWilly-du8ts
    @FaidaWilly-du8ts Год назад +2

    Asante yesu wangu,kwa kunitumia mtumishi wako innocent mashauri,ju ya kuachilia neno lako la uzima kwangu.amen

  • @RachelLilanga
    @RachelLilanga 8 месяцев назад

    Eeh mungu nimekwama sijuw ni nini kitatokea kweny kazi yangu mungu mm sijuw hatima yangu kazin maana ninaandanwa sana kazini kwangu nachukiwa na kila mtu natafutiwa sababu ya kufukuzwa kazi nimefika mwisho wa ufahamu wangu baba nivushe nitete baba mwanao

  • @privaushaki7395
    @privaushaki7395 4 месяца назад

    Ee bwana Mungu wayajua mapito yangu nikumbuke utendee haja ya moyo wangu

  • @user-lf4mq6xs1q
    @user-lf4mq6xs1q 10 месяцев назад

    Amin bab naamin kw kushirk katik madhbau hii naamin mung atabadilsh maish yang

  • @user-uc5qr5xb6d
    @user-uc5qr5xb6d 9 месяцев назад

    Amen naomba msada wamaombi

  • @AnneMwinamo
    @AnneMwinamo 3 месяца назад

    Ee bwana unajuwa machungu niliyonayo katika maisha yangu unapozuru wengine usinipite nisikie

  • @user-ly3sv6gr5t
    @user-ly3sv6gr5t 5 месяцев назад

    Mimi ni noelah Munyakazi kutoka congo, papa usini saabu ku maombi ju mina pitiya wakati mugumu sana,vita ina simama sana kwenyi maicha yangu

  • @graceboke4346
    @graceboke4346 6 месяцев назад

    Ee Mungu achia uamsho ndani yangu

  • @SubiraMgeyekwa
    @SubiraMgeyekwa 2 месяца назад

    Aminaa aendelee kutupigania

  • @JaphetJuma-i9m
    @JaphetJuma-i9m Месяц назад

    Mimi Niko Kenya nitatuma sadaka aje mtumishi wa mungu

  • @ZabbiraEdison
    @ZabbiraEdison 24 дня назад

    Mungu akubariki sana sana

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад +3

    Asante MUNGU kwa kunifungua leo

  • @HakizimanaBulos-lo5jr
    @HakizimanaBulos-lo5jr 10 месяцев назад

    Mungu anifunguw kwajina layesu

  • @judithmutio-mp6sn
    @judithmutio-mp6sn 5 месяцев назад

    Amen mungu nionekanie

  • @judithmutio-mp6sn
    @judithmutio-mp6sn 4 месяца назад

    Eeee mungu wangu unajua shida zangu nitendee

  • @FOCUSPETER
    @FOCUSPETER 7 месяцев назад

    Ameen mtumishi wa Mungu

  • @alicethobias932
    @alicethobias932 8 месяцев назад

    Najiungamanisha na madhabahu hii Mungu anitoe hii nchi ya Irak

  • @christinestemi1684
    @christinestemi1684 Год назад +3

    Eeee mungu ponya nafsi yangu niondolee hii kikombe ya mahangaiko ya kazi simama namie hizi nyakati ngumu nipe neema yawezekana kupata nguvu mpya kwa jinalayesu

  • @angelnjiku1979
    @angelnjiku1979 Год назад

    Amina mtumish, be blessed

  • @FeristaJohn
    @FeristaJohn 3 месяца назад

    Mungu nisaidie napitia mambo magum san mungu nisaidie mm

  • @reaganhassan156
    @reaganhassan156 4 месяца назад +1

    Eeh MUNGU,kama ikikupendeza kupitia madhabahu hii,nipatie mke mwema,Amina

  • @GressGress-fd9xl
    @GressGress-fd9xl 2 месяца назад

    Asante mungu naamini utaenda kuniondolea kila nyakati ngumu ninayo pitia nisaidiy bwana asant mungu

  • @user-fz7mt8xs2u
    @user-fz7mt8xs2u 6 месяцев назад

    Ahsant mungu kwa uliv nifungua hakika nmeona Jin's uliv nipigania mungu kutoka katka kifungoo

  • @agnesminde4081
    @agnesminde4081 11 месяцев назад +1

    Mungu wangu Naomba sikio la kusikiliza saudí yako kila secunde ya maisha yangu Baba

  • @user-oe1cg6tw7y
    @user-oe1cg6tw7y 9 месяцев назад +1

    Niombee sana baba mungu anakusia sana niombee haja ya maitaji yangu nitakushukuru baba ktk jina la yesu kristu

  • @carolinejbaile817
    @carolinejbaile817 Год назад +5

    Amen mtumishi wa Mungu, haya yote ndio ninayapitia niko mbali na Jamii yangu but nashukuru Mungu mafundisho yako yamenisaidia sana

    • @jafetpatrick9132
      @jafetpatrick9132 9 месяцев назад

      Asante Mungu naomba unitoe kwenye nyakati ngumu Amen

  • @NepayaMayombe
    @NepayaMayombe 9 месяцев назад

    Amina mtumishi ❤❤❤❤

  • @user-pq7nn3ed4u
    @user-pq7nn3ed4u 11 месяцев назад

    Ni kweli mtumishi umewekwa ili univushe nimekwama kila eneo Mungu nisaidie

  • @imeldakassoga6332
    @imeldakassoga6332 8 месяцев назад

    Amina🙏🏼🙏🏼

  • @JoanTheonest-dt5hm
    @JoanTheonest-dt5hm Год назад +2

    Asante Bwana Yesu siku hii ya leo.

  • @carolinekageha1884
    @carolinekageha1884 10 месяцев назад

    Nashukuru pastor Kwa mafunzo yako Hakika nimepitia lkn Wacha nipaki na yesu pekee

  • @tausamon5844
    @tausamon5844 Год назад

    Mungu nope mwazopya nimechoka moyo wangu umekuwa mzigo

  • @user-wq8wi4uv9l
    @user-wq8wi4uv9l 24 дня назад

    Wapendwa nahitaji mshaanda nipate kusimama imara kiwokovu nitoke kwa mashinda yanayo niandama maishani mwangu nateseka sana Akh 💔 mandoto ya wafu pamoja na majini na pamoja na sauti za kishetani zikiniandama yaani zakunikosha mwelekeo kimani, mm mtumishi ata nijaribu kusimama kwa wokovu siwezi mpaka nipate matunda juu ya kushumbuliwa na mapepo wachafu, mm mtumishi sina mwanzo wala mwisho yaani sina anything ata nyumba na kaa ya kupewa chakula mpaka nipewe, yaani mm sina kibali ya kazi kabisa nikienda kutafuta kazi sipati kazi yaani sina bahati kabisa maishani mwangu, 💔💔💔 Jina langu ni Joel. Kwetu nyumbani niliusha shamba langu pesa ikaisha sasa sina shamba sina pilot sina anything sina bibi sina watoto sina mbele wala nyuma sina tumaini lolote lile maishani mwangu niombeeni please mateso yamekuwa mengi magumu sana Akh 💔💔💔💔💔💔

  • @user-wq8wi4uv9l
    @user-wq8wi4uv9l 28 дней назад

    Baba yetu uliye juu mbinguni naomba uniunganishe Na group hii nzuri yako ya maombi Nayua ni wewe umeisimamisha imara ndio usaidie watu wako kufitia kwao, Baba, Amen Bwana wetu Yesu Kristo unaposhuru wengine Usipite Bwana pia unifungue maisha yangu Isaiah 54: 17 Peter 5:9 Psalms 97: 3 Psalms 46 Psalms 35 Psalms 91:3
    Amen amen Muniombee nafitia mateso magumu sana sina kazi sina any yakusema naweza kutengemea nikitafuta kazi , naota ndoto za wafu mara nakizama kwenye maji yako na matope ndani yake. Yaani Simo refu na liko Na maji iko na matope mangi ndani yake, Nahitaji mshaanda wa maombi nimekaa jobless kutoka mwaka wa 2018

  • @GraceNamulindwa-rk2ei
    @GraceNamulindwa-rk2ei Месяц назад

    Mtumishi wa mungu naomba uniombee hata mimi nina hilo tatizo la kulala wakati wa kuomba.Naitwa Neema meena naishi uganda

  • @agnesminde4081
    @agnesminde4081 10 месяцев назад

    Amina mtumishi

  • @dieudonnemarcel
    @dieudonnemarcel Год назад +3

    Kweli papa hataa nami njia ninazo pitia Wenda kuna mda hataa kuomba niko nashindwa ajili ya Za madeni,uaminifu na zambi za uzinifu na maisha ya my famille ajakaa sw Ndio maana sina raha hata kuomba nashindwa kuwa sw ila naomba mnisaidie kwa maombi yenu 😢😢😢

    • @Ldm7846
      @Ldm7846 Год назад

      Mungu akushindie katika Jina la Yesu🙏🙏

  • @JaphetJuma-i9m
    @JaphetJuma-i9m Месяц назад

    Amen amen amen

  • @furahamichael6047
    @furahamichael6047 2 месяца назад

    Amina

  • @shamsamramba7921
    @shamsamramba7921 Год назад +1

    Najiungamanisha na mazabahu hii ya Siri za bibilia, Mungu nitoe kwenye nyakati ngumu katika jina la yesu😢😢🙏

  • @judithmutio-mp6sn
    @judithmutio-mp6sn 10 месяцев назад +1

    Amen mtoto wangu atatembea kwa jina ya yesu

  • @biannapiter554
    @biannapiter554 Год назад

    Nami nimejiunga kumwabutu kwa kufunga nakuomba nchungaj niongoze🙏

  • @graceboke4346
    @graceboke4346 6 месяцев назад +1

    Najiunganisha na madhabahu ya Siri za biblia ya Mungu aliye hai amen

  • @zawadiwambura9188
    @zawadiwambura9188 6 месяцев назад

    Mungu komboa familia yangu yote

  • @adkajisi4536
    @adkajisi4536 Год назад +1

    Mungu niokoe kupitia madhabahu hii napita wakati mgumu Sana katika masomo yangu.Yesu niokoe, amen

    • @ruthtito4699
      @ruthtito4699 Год назад

      Napitia magumu Sana Mungu naomba unisaidie Yesu naomba usikie kumba kwangu nisaidie kumba mtumishi maombi ya wengi yananguvu

  • @janetkanongo3265
    @janetkanongo3265 Год назад +1

    Ameen Neno La Mungu Ndio Uhai Maishani Wetu🙏

  • @luciageorge292
    @luciageorge292 8 дней назад

    Amen sana mtumishi wa Mungu aniongeze kweny uchache hakika pesa nyingi zmepotea lkn ilobaki naamini itanifikisha mahali safi kabisa nakumbuka kuna siku mama alikuwa anatafta 5000 tu ya mtaji na nilimpa saiv imemsogeza mahali je mm ambaye nina laki 3 haitanifikisha mahali? Mungu ni mwaminifu sana nitafika

  • @mutakoalphonsine3240
    @mutakoalphonsine3240 Год назад

    Asante sana mtumishi

  • @user-lq6mg6fh3y
    @user-lq6mg6fh3y Год назад +1

    Najuwa BWANA unaweza Kwan lisilowezekana kwa mwanadam kwako wwe yawezekana sikia kilio changu BWANA 😢😢😢.......🙏🙏🙏

  • @kulwamihayo
    @kulwamihayo Год назад +2

    amina mungu ni mwema tupo pamoja kwenye mazabahu

    • @marykisiangani2470
      @marykisiangani2470 Год назад

      Amen amena? Asante mungu wangu kwa kuzidivkunipigania, naomba ili uweze kuniondoa katika hizi nyakati ngumu za kimaisha

  • @GraceNamulindwa-rk2ei
    @GraceNamulindwa-rk2ei Месяц назад

    Napitia wakati mgumu sana ktk maisha yangu

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 5 месяцев назад

    Mungu ninakuomba umfanyie muujiza na umponye Ama ,please please God i am down on my knees begging you please 😢, Mungu tuhurumie kwa afya ya Ama.

  • @SalmaAs-wl5bn
    @SalmaAs-wl5bn Год назад

    Asante kwa mafundisho mazuri Mungu akubariki

  • @user-qb7ej8cp5y
    @user-qb7ej8cp5y 6 месяцев назад

    Ni kweli kabisa mtumishi

  • @ndahabonaimanajeanclaude7092
    @ndahabonaimanajeanclaude7092 10 месяцев назад

    Mungu mwema

  • @kenmutethiamutethia8851
    @kenmutethiamutethia8851 Год назад +3

    Amen 🙏🏼🙏🏼 Mama yangu atapona Kwa njina la Yesu 🙏🏽

  • @AnneWambasi
    @AnneWambasi 11 месяцев назад

    Amen mam yangu atapona

  • @jennifernduku-bz8ot
    @jennifernduku-bz8ot Год назад

    Asante mutumishi,Mungu nimbandilishe niweze kupata nguvu mpya.

    • @NeemaMateleka
      @NeemaMateleka 7 месяцев назад

      Neema ya mungu itembee na we milele

  • @eveabasi2469
    @eveabasi2469 Год назад +1

    Asante bwana yesu kwa kunifungua

  • @adolphinemuswamba1059
    @adolphinemuswamba1059 Год назад

    Kweli mtumishi ,kupitia magumu ninayo na watoto wangu ,nakosa nguvu ya maombi kama mwanzo

  • @Josemlowe
    @Josemlowe 5 месяцев назад

    Emungu simama Nami katika wakati huu mgumu ninao upitia

  • @official-daniel-daniellatw5654
    @official-daniel-daniellatw5654 11 месяцев назад

    🙏 🙏 🙏 Amen

  • @user-tn5vb1zj4h
    @user-tn5vb1zj4h Год назад +1

    MUNGU naomba kunitoa katika hii hali ngumu ya ugonjwa wa figo nikiwa Saudi Arabia kunipea sauti ilio mjia nabii Hezekiah kupitia nabii Isaya 👏👏 Isaya 38: 1......🙏🙏🙏

    • @Ldm7846
      @Ldm7846 Год назад

      Amina utapoa in Jesus name 🙏🙏

    • @user-tn5vb1zj4h
      @user-tn5vb1zj4h Год назад +1

      @@Ldm7846 AMEM .🙏🙏🙏

  • @DoraTemba
    @DoraTemba 16 дней назад

    Hii Mungu atafanya

  • @kyarose609
    @kyarose609 10 месяцев назад

    Mungu Baba naomba unitoe kwenye nyakati ngumu katika maisha yangu,katika kazi yangu..nakuomba pia uitoe familia yangu kwenye nyakati ngumu na katika kazi zao uzilinde ,, AMINA 🙏🙏

  • @user-py3qf8ig7u
    @user-py3qf8ig7u Год назад +1

    Amina Amina nimeelewa mtumish huwa Kuna kitu kinaniamsha usiku lakin nasinzia Sana ubarikiwe mtumishi sana

  • @RizikiSalva-eg6li
    @RizikiSalva-eg6li 11 месяцев назад +1

    Amen mutumishi

  • @GraceNamulindwa-rk2ei
    @GraceNamulindwa-rk2ei Месяц назад

    Nimekuwa mtu wa madeni nimekata Tamaa ya maisha

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 5 месяцев назад

    Mungu nivushe kipindi hiki kigumu kwenye ndoa, shetani yupo kazini, watesi wetu wameinuka, baba tunakutegemea sana, wewe ndio kimbilio letu baba, naamini kabisa watajaribu lakini hawataweza, Mungu tutetee Amen

  • @user-xl4jb2gs7v
    @user-xl4jb2gs7v 11 месяцев назад

    Ameen

  • @gloryshayo7634
    @gloryshayo7634 10 месяцев назад

    Asante yesu kwakunitetea kwenye biashara yangu leo nimeono mkono wako ukitenda mambo makuu na makubwa kazin kwangu leo. Naomba uwapigania watoto wangu kielimu waweze kufanya vizur masomo yao

  • @lisakuingwa7337
    @lisakuingwa7337 5 месяцев назад

    Yesuuuu usinipiteeee 👏🙏Msaada wa karibu ni ww nafsi yangu yakuangalia ww bwanaaa usiniacheeee 😭roho mtakatifu pita kwenye maisha yangu pia nakuhitaji

  • @biannapiter554
    @biannapiter554 Год назад

    Kumwabudu mungu