MAOMBI YA KUTOKA KWENYE NYAKATI NGUMU
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Wapendwa tuzidi kumtegemea Mungu, Maana tunaishi nyakati ngumu ya vita ya kiroho, ila wapendwa Mungu anatutia moyo ,akisema vita si yenu bali vita niya Mungu, atakama unashida kubwa mwambie Yesu ndie mponyaji wako na mimi.
Mungu unisaidie mimi na familia yangu baba uikumbuke Tanzania na wagonjwa wote
Mungu utuhokowe Mimi nafamilia yangu utufungulie safari yetu iyo fungwa myaka mingi tukifikiliwa watesi wanainuka nakuziwia mungu tukombowe mungu wangu
Mungu naomba unisaidie ktk mapito yote uwe nami naomba unisamehe pale nilpokukosea Mjngu wangu
Mungu ni mwema tuko pamoja madhabahuni
Bella
Wapendwa katika bwana naombeni maombi yenu mkisimana kuomba msinisahau napitia magumu sana, nimefilisiwa na majini pesa zangu nyingi mno wakisema watanipa zao unaweza kuona ni ajabu ila story ndefu Akili ilifungwa hata family nilikuwa siikumbuki kabisa ni miaka 4 na miezi 5 ya mateso sasa ni miezi 2 nimeokoka ila wakajuwa na wakasema wataniua na family yangu nikirud tu Tanzania na kwasababu nimeachna ila naamini Mungu yupo ataniokoa,naomba mnisinisahu tafadhali kwenye sala zenu
Mungu hata kuacha uangamie
Amen naregesha vitu vyangu vyote ambavyo shetan alininyang'ana
Usiogope Mungu yupo hatajibu maombi yko.Amini Tu.
Usiogope Mungu yupo hatajibu maombi hatafanya njia pasipo njia 🙏
Kama Mungu aishivyo utaishi maisha mapya ,ikiwa bado upo duniani na dunia inachangamoto nyingi sana hivyo Kila changamoto unayopewa unaweza kukabiliana nayo jipe moyo omba sana ,funga sana Kila mlango uliofungwa utafunguliwa kwa jina la yesu
Amen Mungu azidi kutushindania
Amen
Mungu naomba uguse maisha ya baba yangu Richard apone ugonjwa wa kupooza awe huru kupitia ibada ya leo
Ee Bwana YESU mponye mama yangu cancer.🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Mungu uishie milele naomba umponye mama Huyo popote alipo,si Kwa ajili yetu bali kwa utukufu wa jina lako.
😢😢Mungu usimpite mama yetu
Eee Mungu wangu,unaujua uchungu uliko ndani yangu,niondolee kudharauliwa,umaskini,machozi na manjozi,nibariki Mungu wangu kupitia madhabahu haya,AMINA
Amen nahisi kubarikiwa mungu yu pamoja nami
Ameen baba mungu akuzidishie nguvu uzidi kutubaliki
Mungu anisaidie another hapa nilipo
Wapendwa naombeni mniombee naandamwa na roho ya madeni kila nikilipa yanakuja sijui yanatoka wapii nmechoka jamani😢 Ee Mungu nisaidie mimi😢
Pole utapita mm nilipitia hayo na sasa n8na unafuu
Mungu nimwema sana Ameni
Amen pastor,ni ukweli kabisa hata mimi nimepitia maneno mengi'karibu nichoke na Mungu wangu,but kuanzia leo nimepata nguvu ya kusonga mbele na kidogo ambacho nimepaki nacho kwa imani.niombee pastor Mimi ni Dorah Alfayo kutoka malava kenya.
Mungu naomba unihurumie napitia wakati mgumu muda huu na uchungu mwingi
Mungu naomba ukanipe kazi,
Hapa mtumishi wa Mungu umeniongelea mm toka mwanzo hadi mwsho
Asante Yesu kwa maombi haya kweli unachunguza moyo wa mwanadamu. Asante mtumishi kwa maombi haya maana yote umenena ndio ninayapitia kwa sasa
Unapo zuru wengine yesu usinipite kupitia kwa mathabao ya siri za biblia naomba amani, kibali na timizo la moyo wangu amen.
Leo niko hapa naona haya maombi yanavy nitoa kwa Jina la Yesu Mungu akubariki Mtumishi
Baba MUNGU pokea sadaka yangu ya shukrani madhabahu hapa,,
Usiniache Ee Mungu wa mbinguni unisikie mfalme
Ee. Baba. Mungu. Naomba. Uniondolee. Maumivu. Makali. Ninayopata. Kupitia. Madonda. Ya. Tumbo. Naomba. Niponye.
Mungu ninaomba unitoe katika nyakat ngum
Ameen barikiwa sana mungu akuongoze kwa kila jambo
Asante yesu wangu,kwa kunitumia mtumishi wako innocent mashauri,ju ya kuachilia neno lako la uzima kwangu.amen
Eeh mungu nimekwama sijuw ni nini kitatokea kweny kazi yangu mungu mm sijuw hatima yangu kazin maana ninaandanwa sana kazini kwangu nachukiwa na kila mtu natafutiwa sababu ya kufukuzwa kazi nimefika mwisho wa ufahamu wangu baba nivushe nitete baba mwanao
Ee bwana Mungu wayajua mapito yangu nikumbuke utendee haja ya moyo wangu
Amin bab naamin kw kushirk katik madhbau hii naamin mung atabadilsh maish yang
Amen naomba msada wamaombi
Ee bwana unajuwa machungu niliyonayo katika maisha yangu unapozuru wengine usinipite nisikie
Mimi ni noelah Munyakazi kutoka congo, papa usini saabu ku maombi ju mina pitiya wakati mugumu sana,vita ina simama sana kwenyi maicha yangu
Ee Mungu achia uamsho ndani yangu
Aminaa aendelee kutupigania
Mimi Niko Kenya nitatuma sadaka aje mtumishi wa mungu
Mungu akubariki sana sana
Asante MUNGU kwa kunifungua leo
Mungu anifunguw kwajina layesu
Amen mungu nionekanie
Eeee mungu wangu unajua shida zangu nitendee
Ameen mtumishi wa Mungu
Najiungamanisha na madhabahu hii Mungu anitoe hii nchi ya Irak
Eeee mungu ponya nafsi yangu niondolee hii kikombe ya mahangaiko ya kazi simama namie hizi nyakati ngumu nipe neema yawezekana kupata nguvu mpya kwa jinalayesu
Amina mtumish, be blessed
Mungu nisaidie napitia mambo magum san mungu nisaidie mm
Eeh MUNGU,kama ikikupendeza kupitia madhabahu hii,nipatie mke mwema,Amina
Asante mungu naamini utaenda kuniondolea kila nyakati ngumu ninayo pitia nisaidiy bwana asant mungu
amin🙏
Ahsant mungu kwa uliv nifungua hakika nmeona Jin's uliv nipigania mungu kutoka katka kifungoo
Mungu wangu Naomba sikio la kusikiliza saudí yako kila secunde ya maisha yangu Baba
Niombee sana baba mungu anakusia sana niombee haja ya maitaji yangu nitakushukuru baba ktk jina la yesu kristu
Amen mtumishi wa Mungu, haya yote ndio ninayapitia niko mbali na Jamii yangu but nashukuru Mungu mafundisho yako yamenisaidia sana
Asante Mungu naomba unitoe kwenye nyakati ngumu Amen
Amina mtumishi ❤❤❤❤
Ni kweli mtumishi umewekwa ili univushe nimekwama kila eneo Mungu nisaidie
Amina🙏🏼🙏🏼
Asante Bwana Yesu siku hii ya leo.
Nashukuru pastor Kwa mafunzo yako Hakika nimepitia lkn Wacha nipaki na yesu pekee
Mungu nope mwazopya nimechoka moyo wangu umekuwa mzigo
Wapendwa nahitaji mshaanda nipate kusimama imara kiwokovu nitoke kwa mashinda yanayo niandama maishani mwangu nateseka sana Akh 💔 mandoto ya wafu pamoja na majini na pamoja na sauti za kishetani zikiniandama yaani zakunikosha mwelekeo kimani, mm mtumishi ata nijaribu kusimama kwa wokovu siwezi mpaka nipate matunda juu ya kushumbuliwa na mapepo wachafu, mm mtumishi sina mwanzo wala mwisho yaani sina anything ata nyumba na kaa ya kupewa chakula mpaka nipewe, yaani mm sina kibali ya kazi kabisa nikienda kutafuta kazi sipati kazi yaani sina bahati kabisa maishani mwangu, 💔💔💔 Jina langu ni Joel. Kwetu nyumbani niliusha shamba langu pesa ikaisha sasa sina shamba sina pilot sina anything sina bibi sina watoto sina mbele wala nyuma sina tumaini lolote lile maishani mwangu niombeeni please mateso yamekuwa mengi magumu sana Akh 💔💔💔💔💔💔
Baba yetu uliye juu mbinguni naomba uniunganishe Na group hii nzuri yako ya maombi Nayua ni wewe umeisimamisha imara ndio usaidie watu wako kufitia kwao, Baba, Amen Bwana wetu Yesu Kristo unaposhuru wengine Usipite Bwana pia unifungue maisha yangu Isaiah 54: 17 Peter 5:9 Psalms 97: 3 Psalms 46 Psalms 35 Psalms 91:3
Amen amen Muniombee nafitia mateso magumu sana sina kazi sina any yakusema naweza kutengemea nikitafuta kazi , naota ndoto za wafu mara nakizama kwenye maji yako na matope ndani yake. Yaani Simo refu na liko Na maji iko na matope mangi ndani yake, Nahitaji mshaanda wa maombi nimekaa jobless kutoka mwaka wa 2018
Mtumishi wa mungu naomba uniombee hata mimi nina hilo tatizo la kulala wakati wa kuomba.Naitwa Neema meena naishi uganda
Amina mtumishi
Kweli papa hataa nami njia ninazo pitia Wenda kuna mda hataa kuomba niko nashindwa ajili ya Za madeni,uaminifu na zambi za uzinifu na maisha ya my famille ajakaa sw Ndio maana sina raha hata kuomba nashindwa kuwa sw ila naomba mnisaidie kwa maombi yenu 😢😢😢
Mungu akushindie katika Jina la Yesu🙏🙏
Amen amen amen
Amina
Najiungamanisha na mazabahu hii ya Siri za bibilia, Mungu nitoe kwenye nyakati ngumu katika jina la yesu😢😢🙏
Amen mtoto wangu atatembea kwa jina ya yesu
Nami nimejiunga kumwabutu kwa kufunga nakuomba nchungaj niongoze🙏
Kumwabudu mungu
Najiunganisha na madhabahu ya Siri za biblia ya Mungu aliye hai amen
Mungu komboa familia yangu yote
Mungu niokoe kupitia madhabahu hii napita wakati mgumu Sana katika masomo yangu.Yesu niokoe, amen
Napitia magumu Sana Mungu naomba unisaidie Yesu naomba usikie kumba kwangu nisaidie kumba mtumishi maombi ya wengi yananguvu
Ameen Neno La Mungu Ndio Uhai Maishani Wetu🙏
Amen sana mtumishi wa Mungu aniongeze kweny uchache hakika pesa nyingi zmepotea lkn ilobaki naamini itanifikisha mahali safi kabisa nakumbuka kuna siku mama alikuwa anatafta 5000 tu ya mtaji na nilimpa saiv imemsogeza mahali je mm ambaye nina laki 3 haitanifikisha mahali? Mungu ni mwaminifu sana nitafika
Asante sana mtumishi
Najuwa BWANA unaweza Kwan lisilowezekana kwa mwanadam kwako wwe yawezekana sikia kilio changu BWANA 😢😢😢.......🙏🙏🙏
amina mungu ni mwema tupo pamoja kwenye mazabahu
Amen amena? Asante mungu wangu kwa kuzidivkunipigania, naomba ili uweze kuniondoa katika hizi nyakati ngumu za kimaisha
Napitia wakati mgumu sana ktk maisha yangu
Mungu ninakuomba umfanyie muujiza na umponye Ama ,please please God i am down on my knees begging you please 😢, Mungu tuhurumie kwa afya ya Ama.
Asante kwa mafundisho mazuri Mungu akubariki
Ni kweli kabisa mtumishi
Mungu mwema
Amen 🙏🏼🙏🏼 Mama yangu atapona Kwa njina la Yesu 🙏🏽
Amen mam yangu atapona
Asante mutumishi,Mungu nimbandilishe niweze kupata nguvu mpya.
Neema ya mungu itembee na we milele
Asante bwana yesu kwa kunifungua
Kweli mtumishi ,kupitia magumu ninayo na watoto wangu ,nakosa nguvu ya maombi kama mwanzo
Emungu simama Nami katika wakati huu mgumu ninao upitia
🙏 🙏 🙏 Amen
MUNGU naomba kunitoa katika hii hali ngumu ya ugonjwa wa figo nikiwa Saudi Arabia kunipea sauti ilio mjia nabii Hezekiah kupitia nabii Isaya 👏👏 Isaya 38: 1......🙏🙏🙏
Amina utapoa in Jesus name 🙏🙏
@@Ldm7846 AMEM .🙏🙏🙏
Hii Mungu atafanya
Mungu Baba naomba unitoe kwenye nyakati ngumu katika maisha yangu,katika kazi yangu..nakuomba pia uitoe familia yangu kwenye nyakati ngumu na katika kazi zao uzilinde ,, AMINA 🙏🙏
Amina Amina nimeelewa mtumish huwa Kuna kitu kinaniamsha usiku lakin nasinzia Sana ubarikiwe mtumishi sana
Amen mutumishi
Nimekuwa mtu wa madeni nimekata Tamaa ya maisha
Mungu nivushe kipindi hiki kigumu kwenye ndoa, shetani yupo kazini, watesi wetu wameinuka, baba tunakutegemea sana, wewe ndio kimbilio letu baba, naamini kabisa watajaribu lakini hawataweza, Mungu tutetee Amen
Ameen
Asante yesu kwakunitetea kwenye biashara yangu leo nimeono mkono wako ukitenda mambo makuu na makubwa kazin kwangu leo. Naomba uwapigania watoto wangu kielimu waweze kufanya vizur masomo yao
Yesuuuu usinipiteeee 👏🙏Msaada wa karibu ni ww nafsi yangu yakuangalia ww bwanaaa usiniacheeee 😭roho mtakatifu pita kwenye maisha yangu pia nakuhitaji
Kumwabudu mungu