UTASAMEHEWA,ILA GHARAMA UTAILIPA // kataa uovu
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Rum 6:23
Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti;
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Eeh mungu wangu nisamehe dhambi zangu unirehemu nifungue macho zandani nielewe neno lako
Mungu wetu atusaidie kwa kweli...
😭😭😭😭
AMEEEN barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
Mungu tusaidie
Ameeeeni àmeni
Amen
Ameen ameen
AMEN 🙏 asante sana kwa mafundisho mazuri
Eee Mungu nikumbuke nami uniwokowe unishike mukono
Amen Amen
ameeeeeeeeen
Mtumishi was Mungu kwa kweli Mungu akutunze na akulinde kwa ajili yetu...mafundisho ya Mungu kupitia kwako yananitoa hatua kwenda hatua nyingine.
Mungu anipe neema kwa kweli kupanda yakiyo mema
Mung u atusamee tuaje thambi 😇😇😇😇❤❤❤
Asante kwa mafundisho mazur 🙏🙏
Hakika Mungu ni Mwema,,,Hata kufika leo hii ni kwa Neema yake🙏 Tumtegemee yeye Peke ake kuna Ushindi
Asante nashukululu
Nabarikiwa sana na mafundisho haya. Mungu anisaidie
Amen 🙏🏽 Asante sana neno hili lime nigusa
Tumezarauliwa sana ila yupo musemaji wa mwisho 👏
Amen 🙏
Zaburi'103:3:14 >2nyakati:7:14:15 Yoel:2:12:19 matendo:2:37:39 sio na tetea dhambia bali naweka somo vizuri kiujumla dhambi ni mbaya na kama isipotubiwa huleta madhara makukubwa lakini Bwana Yesu alikusamehe na wewe ukidhamuria moyoni kutokutenda maovu wala dhambi tena basi ujue hakuna kinachobakia kwako Bwana Yesu huondoa vyote kikubwa tusirudie dhambi pia fuliza kutenda mema baada yakusamehewa nawewe pia samehe wengine
ubarikiwe
Amen nawe pia.
Balikiwa sana
Ameeen ameeen and ameeen 🙏🙏🙏 😢😢EE MUNGU naomba nisaidie nijuwe zaidi njia ya okovu wako ❤❤ MUNGU AKUBARIKI MNO MTUMISHI.🙏🙏🙏🙏
❤
Mafundisho mazuri , yameninguza mahali naomba toba kwa mola
Amen Ameeeen, Mungu ni mwema kila wakati, na tena ni mwaminifu, tukisimama naye vizuri anatenda. 🙏🙏
Amen Amen 🙏 🙌 MUNGU NISAIDIE 🧎♀️🧎♀️🧎♀️
Ameni ni mengi ambayo nimekosea kwa wanadamu na kwa MUNGU OLE WANGU MM ASANTE KWA UJUMBE MZURI
Amen Dady, MUNGU hadhihakiwi ee MUNGU nirehemu.
Amen nikweli kabisa
Amen amen 🙏🙏MUNGU naomba ROHO ya upendano ikae ndani yangu nifanye mapenzi yako
Emeeeen Asante sana mtumishi nimependa hayo mahubiri
Ameeen
🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️👍👍
Ubarikiwe mtumishi Asante kwa somo zuri mengi sikuyajua🙏
Amen 🎉and Amen 🙏
Amen amen.mungu tusaidie ukatuepushe Na uovu,maana binadamu hatuko kamili Ila ww tu baba wambinguni.
Ameeen ameen
Mtumishi hata mimi baada ya kuumwa sana nilienda kwa doctor wa miti shamba lakin nilichokiona kule Mungu anisamehe ule ni uganga harasi mpaka nikajuta sana kuwa haya yote ni ugonjwa na maumivu makali mpaka nilipokosea roho iliniuma sana imani ikaanza kushuka mpaka sasa kuomba imekuwa shida kwangu
ASANTE KWA MAFUDISHO MAZURI MAY GOD BLESS YOU 🙏🙏
Amen barikiwa Mtumishi wa mungu kwakuendelea kutufunza neno la mungu ❤️❤️🙏
Mtumishi tunalipaje tena gharama wakat Mungu anasema akisamehe anasahau kabisa tunawakuwa watoto wake sasa hizo gharama tena zinakujaje/ au usipoomba msamaha ndo utalipa?
Naomba kueleweshwa hapo
kama hujapata msamaha, hujaomba msamaha..lakini pia kuna mavuno mengine utayapata tu kutokana na tabia zetu, mfano unashiriki mahusiano kabla na ukipata ujauzito au magonjwa ni lazima japo Mungu atakuwa amekusamehe ila kuna vitu utavuna tu
@@sirizabiblia5276 ahsante nimeelewa
Amen amen
Amen
Ameeen
Amen🙏🙏
Amen
Amen
Amen
Amen amen
Amen
Amen MUNGU anisaidie kushinda na kulinda kile nilicho pewa