UTASAMEHEWA,ILA GHARAMA UTAILIPA // kataa uovu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Rum 6:23
    Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti;
    Maarifa ya Ki-Mungu
    @SIRI ZA BIBLIA
    www.sirizabiblia.com
    +255 758 708 804
    linktr.ee/siri...
    Instagram Account
    / siri_za_biblia
    SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
    M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
    CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

Комментарии • 56

  • @christinestemi1684
    @christinestemi1684 Год назад +2

    Eeh mungu wangu nisamehe dhambi zangu unirehemu nifungue macho zandani nielewe neno lako

  • @sammiechoppah9104
    @sammiechoppah9104 Год назад +1

    Mungu wetu atusaidie kwa kweli...
    😭😭😭😭

  • @mondiseif6705
    @mondiseif6705 Год назад +1

    AMEEEN barikiwa sana mtumishi wa MUNGU

  • @AgnesHillary-js4hd
    @AgnesHillary-js4hd Год назад +1

    Mungu tusaidie

  • @furahamsigala2515
    @furahamsigala2515 Год назад +1

    Ameeeeni àmeni

  • @SoosanOman
    @SoosanOman Месяц назад

    Amen

  • @neymabahat3502
    @neymabahat3502 Год назад +1

    Ameen ameen

  • @florencekwekwe1993
    @florencekwekwe1993 Год назад +1

    AMEN 🙏 asante sana kwa mafundisho mazuri

  • @bihamasoantoinette80
    @bihamasoantoinette80 Год назад +1

    Eee Mungu nikumbuke nami uniwokowe unishike mukono

  • @maorinebarongo7789
    @maorinebarongo7789 Год назад +1

    Amen Amen

  • @MasaiTanzania-c3x
    @MasaiTanzania-c3x Год назад +1

    ameeeeeeeeen

  • @sammiechoppah9104
    @sammiechoppah9104 Год назад +1

    Mtumishi was Mungu kwa kweli Mungu akutunze na akulinde kwa ajili yetu...mafundisho ya Mungu kupitia kwako yananitoa hatua kwenda hatua nyingine.
    Mungu anipe neema kwa kweli kupanda yakiyo mema

  • @sauud2some471
    @sauud2some471 Год назад +1

    Mung u atusamee tuaje thambi 😇😇😇😇❤❤❤

  • @merymarwa2253
    @merymarwa2253 Год назад +2

    Asante kwa mafundisho mazur 🙏🙏

  • @wahidakisingo3588
    @wahidakisingo3588 Год назад +1

    Hakika Mungu ni Mwema,,,Hata kufika leo hii ni kwa Neema yake🙏 Tumtegemee yeye Peke ake kuna Ushindi

  • @sanillah7093
    @sanillah7093 Год назад +1

    Asante nashukululu

  • @ayubumgeyekwa2554
    @ayubumgeyekwa2554 Год назад +1

    Nabarikiwa sana na mafundisho haya. Mungu anisaidie

  • @kabangomatete6101
    @kabangomatete6101 Год назад +1

    Amen 🙏🏽 Asante sana neno hili lime nigusa

  • @MasaiTanzania-c3x
    @MasaiTanzania-c3x Год назад +1

    Tumezarauliwa sana ila yupo musemaji wa mwisho 👏

  • @aimerinamugisho5182
    @aimerinamugisho5182 Год назад +1

    Amen 🙏

  • @yonamwakyusa
    @yonamwakyusa Год назад +2

    Zaburi'103:3:14 >2nyakati:7:14:15 Yoel:2:12:19 matendo:2:37:39 sio na tetea dhambia bali naweka somo vizuri kiujumla dhambi ni mbaya na kama isipotubiwa huleta madhara makukubwa lakini Bwana Yesu alikusamehe na wewe ukidhamuria moyoni kutokutenda maovu wala dhambi tena basi ujue hakuna kinachobakia kwako Bwana Yesu huondoa vyote kikubwa tusirudie dhambi pia fuliza kutenda mema baada yakusamehewa nawewe pia samehe wengine

  • @anesansibert2968
    @anesansibert2968 Год назад +1

    Balikiwa sana

  • @OmanOman-yn2zj
    @OmanOman-yn2zj Год назад +5

    Ameeen ameeen and ameeen 🙏🙏🙏 😢😢EE MUNGU naomba nisaidie nijuwe zaidi njia ya okovu wako ❤❤ MUNGU AKUBARIKI MNO MTUMISHI.🙏🙏🙏🙏

  • @barikimatbishi4193
    @barikimatbishi4193 Год назад +1

  • @AnnOpondo-tf3uf
    @AnnOpondo-tf3uf Год назад +1

    Mafundisho mazuri , yameninguza mahali naomba toba kwa mola

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 Год назад +5

    Amen Ameeeen, Mungu ni mwema kila wakati, na tena ni mwaminifu, tukisimama naye vizuri anatenda. 🙏🙏

  • @Akinyisafi
    @Akinyisafi Год назад +1

    Amen Amen 🙏 🙌 MUNGU NISAIDIE 🧎‍♀️🧎‍♀️🧎‍♀️

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 3 месяца назад

    Ameni ni mengi ambayo nimekosea kwa wanadamu na kwa MUNGU OLE WANGU MM ASANTE KWA UJUMBE MZURI

  • @LovenessLucas-tc9eo
    @LovenessLucas-tc9eo Год назад +1

    Amen Dady, MUNGU hadhihakiwi ee MUNGU nirehemu.

  • @AnastaziaVicentMatogoro
    @AnastaziaVicentMatogoro Год назад +1

    Amen nikweli kabisa

  • @emilypatrick5509
    @emilypatrick5509 Год назад +1

    Amen amen 🙏🙏MUNGU naomba ROHO ya upendano ikae ndani yangu nifanye mapenzi yako

  • @alicemwaka3762
    @alicemwaka3762 Год назад +1

    Emeeeen Asante sana mtumishi nimependa hayo mahubiri

  • @aminakesi3740
    @aminakesi3740 Год назад +1

    Ameeen

  • @DianaDiaaa-w9o
    @DianaDiaaa-w9o Год назад

    🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️👍👍

  • @dorothychilembo-py7bo
    @dorothychilembo-py7bo Год назад +1

    Ubarikiwe mtumishi Asante kwa somo zuri mengi sikuyajua🙏

  • @liddydeSalt4773
    @liddydeSalt4773 Год назад +2

    Amen 🎉and Amen 🙏

  • @marymaria6544
    @marymaria6544 Год назад +1

    Amen amen.mungu tusaidie ukatuepushe Na uovu,maana binadamu hatuko kamili Ila ww tu baba wambinguni.

  • @jenniferpallangyo6123
    @jenniferpallangyo6123 Год назад +1

    Ameeen ameen

  • @OresterKaguo
    @OresterKaguo 5 месяцев назад

    Mtumishi hata mimi baada ya kuumwa sana nilienda kwa doctor wa miti shamba lakin nilichokiona kule Mungu anisamehe ule ni uganga harasi mpaka nikajuta sana kuwa haya yote ni ugonjwa na maumivu makali mpaka nilipokosea roho iliniuma sana imani ikaanza kushuka mpaka sasa kuomba imekuwa shida kwangu

  • @mweshmwesh1841
    @mweshmwesh1841 Год назад +1

    ASANTE KWA MAFUDISHO MAZURI MAY GOD BLESS YOU 🙏🙏

  • @pilishabani6928
    @pilishabani6928 Год назад +2

    Amen barikiwa Mtumishi wa mungu kwakuendelea kutufunza neno la mungu ❤️❤️🙏

  • @Jastus100
    @Jastus100 Год назад +2

    Mtumishi tunalipaje tena gharama wakat Mungu anasema akisamehe anasahau kabisa tunawakuwa watoto wake sasa hizo gharama tena zinakujaje/ au usipoomba msamaha ndo utalipa?
    Naomba kueleweshwa hapo

    • @sirizabiblia5276
      @sirizabiblia5276  Год назад +1

      kama hujapata msamaha, hujaomba msamaha..lakini pia kuna mavuno mengine utayapata tu kutokana na tabia zetu, mfano unashiriki mahusiano kabla na ukipata ujauzito au magonjwa ni lazima japo Mungu atakuwa amekusamehe ila kuna vitu utavuna tu

    • @Jastus100
      @Jastus100 Год назад

      @@sirizabiblia5276 ahsante nimeelewa

  • @marykisiangani2470
    @marykisiangani2470 Год назад +1

    Amen amen

  • @felistawambua5615
    @felistawambua5615 Год назад +1

    Amen

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Год назад +1

    Ameeen

  • @shanihamisi4215
    @shanihamisi4215 Год назад +1

    Amen🙏🙏

  • @WilliamNamende-pc9ku
    @WilliamNamende-pc9ku Год назад +1

    Amen

  • @vanmohd9614
    @vanmohd9614 Год назад +1

    Amen

  • @RoroRoserororo
    @RoroRoserororo Год назад +1

    Amen

  • @Lya-pl3vk
    @Lya-pl3vk Год назад

    Amen amen

  • @jacklinemusau4744
    @jacklinemusau4744 Год назад +1

    Amen

    • @rasheliediwelo6232
      @rasheliediwelo6232 Год назад +1

      Amen MUNGU anisaidie kushinda na kulinda kile nilicho pewa