MAOMBI YA KUMFUNGUA MUME WAKO - MWL. ISAAC JAVAN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 881

  • @IsaacJavan
    @IsaacJavan  2 года назад +68

    TAFADHALI FUATA MAELEKEZO
    BWANA YESU asifiwe. Haya maombi ni maalum kwa mwanamke aliyeolewa. Haya maombi si kwa ajili ya wachumba. Haya si maombi kwa ajili ya watu wanaoishi pamoja lakini hawajafunga ndoa. Haya ni maombi ya wanawake ambao wamefunga ndoa mbele ya madhabahu ya BWANA.
    Lengo la kuweka maombi haya ni kuwasaidia wanawake wanaopitia changamoto kwenye ndoa zao waweze kuomba na kumuona Mungu akiwatendea jambo. Tunashauri, jenga tabia ya kusimama wewe kama wewe kumuombea mume wako. Usijidharau. Amini ukiomba Mungu anasikia.
    Maono ya Channel hii ni kuwasaidia watu wafike mahali ambapo wanaweza wakajiombea wao wenyewe, na ndiyo maana tunaweka muongozo wa namna ya kuomba. Tamani kujua kuomba. Tamani kusimama wewe kama wewe mbele za BWANA kwa ajili ya ndoa yako. Tamani kuwa muombaji, kwa sababu inawezekana. Ng'ang'ana na YESU na atakujibu mwanangu.

    • @magdalenesyombua8085
      @magdalenesyombua8085 2 года назад +1

      Na wale ambao.wameachana na mume akaoa tena.

    • @festodivule6555
      @festodivule6555 2 года назад +6

      Kama unamchumba Ako ila kashikiliwa uko je haupasw kuyaomba

    • @festodivule6555
      @festodivule6555 2 года назад +1

      Kama ni mchumba angu ila Kuna mwanamke kamshikilia kichaw je spaswi kuomba

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      @@magdalenesyombua8085 Unaweza kuomba mwanangu

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      @@festodivule6555 haya maombi ni kwa ajili ya wanandoa mwanangu.

  • @freretoms5119
    @freretoms5119 11 месяцев назад +9

    Aya ma ombi niya wana wake pekeyake Ila mimi natumiya nafasi iyi kwa ajili ya muke wangu kipenzi guilaine Tom's popote alipo damu ya yesu imufinike ilete Amani kila Léo kwenyi ndowa yetu na watoto wetu Isaac Tony Ibrahim Tony pamoja na Tatiana Tony watoto wangu wote hawa wazidi ku ishi ki MUNGU katika jina la YESU CHRISTU Amen Amen Amen nawa ombeya wana wake wote waliyo kuwa na ndowa Amani idumu kwenyi ndowa zawo na omba vile vile kwama binti wote ambawo hawaja olewa MUNGU Awa epusha natama za uli mwengu na awape ndowa zenyi kudumu hadi uze narudiya tena MUNGU akubariki ndowa zenyi kudumu Amen Amen Amen 🙏 bila kumu sa Abu ndugu yangu prunelle popote alipo MUNGU amu epushe naki buri natama kwa jina la YESU CHRISTU amu epushe nakila hasira kali namaneno makali kwa jina la YESU CHRISTU Amen Amen Amen 🙏🙏🙏🙏 mtu mishi wa MUNGU Isaac Java MUNGU akubariki sana popote ulipo baba

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  11 месяцев назад +1

      Amen Mungu akubariki na akupe haja za moyo wako. Pokea sawasawa na imani yako

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Год назад +6

    AMINA,NIMEANZA na wewe nimemaliza na wewe Asante Yesu akutetee,mme wangu amenikimbia na anaishi na mwanamk aliepewa taraka,asikii Wala aoni ataki kuniona Ila kwa maombi haya amerudi kwangu,

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад +1

      Amen YESU akutendee makuu na akupe ushindi kwa utukufu wa jina lake takatifu

    • @zabiburashid
      @zabiburashid 6 месяцев назад

      ​@@IsaacJavanhabari baba

  • @surmiseatter73
    @surmiseatter73 Год назад +8

    Leo trh 28/10/2023. Nimesikiliza na kuomba pamoja na wewe Mtumishi..... Kuanzia sasa Nina amini Mumewangu amefunguliwa, sitalia tena. Mumewangu Emma ametoka ktk kifungo..... Asante yesu kwa kumkomboa Mumewangu.... ... Kwa Jina La Yesu ninaenda kuuanza mwezi 11 kwa Amani na vicheko ktk Ndoa yangu...... Kwakuwa Mungu Umekwisha Ijenga upya Ndoa yangu. Nami nakuhaidi SITOKUACHA SIKUZOTE ZA MAISHA YANGU... NITAKUSHUKURU NA KUSHUHUDIA UKUU WAKO KUPITIA NDOA YANGU.........nami pia ninawaombea wanawake wenzengu wote wakafunguliwe leo kwa jina la YESU KRISTO AMEEEEN

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu YESU akupe amani na akutetee na kukulinda daima. Damu ya YESU inene maneno mazuri kwa ajili yako. Amen

  • @moumou2856
    @moumou2856 Год назад +7

    Eeee mungu wangu narudia tena kwenye haya maombi nina imani yana nguvu sana....Eeee mungu baba asante kwa neema yako...Eeee baba narudia tena mbele zako ninamfukuza mke mwenza alie leta majonzi,machozi na vurugu kwenye ndoa yangu namfukuza naweka ukutu kati yake na mume wangu....Eee Bwana ninakuomba huu mwaka uwe wa mwisho nakataaa uke wenza kwenye ndoa yangu ameeeen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад +3

      Amen Amen YESU akushindie na aiponye ndoa yako kwa utukufu wa jina lake. Damu ya YESU isimame upande wako na kufanya ukombozi wa nafsi kati yako na mume wako. Amani na upendo wa kwanza urudi na YESU awalinde na kuwatunza.

    • @HappyJ-lr9sn
      @HappyJ-lr9sn 8 месяцев назад

      Ameni kipenzi.

    • @HappyJ-lr9sn
      @HappyJ-lr9sn 8 месяцев назад

      ​@@IsaacJavan
      Same to me Pastor

    • @moumou2856
      @moumou2856 8 месяцев назад

      🙏🙏

    • @christinaoyye4059
      @christinaoyye4059 8 месяцев назад

      Amen yaani nimepata nguvu ya ajabu wakati naomba maombi nashukuru sana sasa nasubiri matokeo kwa damau ya yesu

  • @castorkanuti
    @castorkanuti Год назад +23

    Mchungaji Mungu akutumie zaidi nimefanya maombi haya mida ya saa 4 maana mwanaume alikua ameNizimia cm hataki kabisa kuongea na anataka tuachane gafla tu bila Sababu ilikua jpl nikaona Hali inazidi kua mbaya ndo gafla leo RUclips ndo naona maombi hayo nikaomba baada ya maombi sauti ikaniambia kimbia haraka katoe sadaka na sikua na hela nilikua na. Ela. Ya kula tu lakin ilibidi nitimue mbio kwenda kutuma. Saa hizi kapiga sm kwa upole na. Unyenyekevu .Nakushukuru Sana Mungu anaewatumia watu wake

    • @verenasemgen8873
      @verenasemgen8873 Год назад +1

      Amen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen jina la BWANA YESU libarikiwe na kutukuzwa milele. YESU azidi kuwatetea na kulinda ndoa yenu. Amani ya YESU itawale na upendo wa kwanza urudi. Katika jina la YESU

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote

    • @taboochendi8474
      @taboochendi8474 Год назад

      Nasisi ambao tuko kwenye mahusiano natunafuatilia Haya maombi hatutasaidika ju hatujaoana

    • @agnesspaul1866
      @agnesspaul1866 7 месяцев назад

      ❤❤ Aminaaa

  • @RoidaMgaya
    @RoidaMgaya Год назад +3

    Asante kwa maono maana tunapitia changamoto juu ya waume mungu wa mbinguni azidi kukutumia juu ya watu wake ubalikiwe kwa huduma hii.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад +1

      Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote. Damu ya YESU inene mema kwa ajili yako na kukushindia daima 🙏

  • @estermeshack610
    @estermeshack610 Год назад +2

    Ameen Baba namuombea mme wangu aache kunywa pombe na aache kuchelewa kurudi nyumbani.kila siraha iteketee kwa jina la yesu ameeni.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen YESU akutane na haja za moyo wako na akupe ushindi

  • @dorcasasia2819
    @dorcasasia2819 2 года назад +3

    Msamaha ni uponyaji hakika nimemwona Mungu kwa ndoa yangu jina la Bwana Yesu libarikiwe hao maadui wameshindwa kupitia maombi haya be blessed servant of God 🙏🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Amen Amen mwanangu. YESU azidi kukuonekania katika mambo yote. Ubarikiwe sana

  • @macfadyneminja
    @macfadyneminja Год назад +2

    Amen Natii Haya Maombi. Mapenzi yako Mungu na Yatimie Amen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Mungu akubariki sana na kukupa ushindi kwa utukufu wa jina lake takatifu

  • @NancyLazaroTanzania
    @NancyLazaroTanzania 2 года назад +2

    Amen. Amen. Amen. Mungu wetu ni mwaminifu. Alitenda, ametenda, anatenda na atatenda. Yeye ni yule yule jana, leo na hata milele. Shetani anaenda kuaibishwa kwa Jina la Yesu. Naamini Mungu amejibu maombi kwa jina la Yesu Kristo. Amen.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад +1

      Amen mwanangu YESU anaweza yote. YESU anakupenda. YESU akutane na haja ya moyo wako kwa utukufu wa jina lake. Ubarikiwe sana kwa baraka za milele yote

  • @annethadolph2394
    @annethadolph2394 4 дня назад

    Ninami kwajina la yesu na kwa damu ya yesu nimeikomboa ndoa yangu kwakupitia maombi haya yanayo ubariki moya wangu, 🙏

  • @France-v1x
    @France-v1x 2 месяца назад +1

    Amina baba mume wangu anaroho ya uzizi sana yani wanawake wa nje kila kona had inakatisha tamaa yani hata mipango haitimii hela zote anawagawia michepuko mungu anisaidie mim asikilize kilio chang

  • @LoiceOngachi-j9e
    @LoiceOngachi-j9e Год назад +3

    Amen nakomboa doa yangu Kwa damu ya yesu uadui ulioko kati yangu na mume wangu u kaondoke Kwa damu ya yesu madawa aliyo lishwa ya kiuchawi ukaondoke Kwa tumbo lake katika damu ya yesu na upendo ukarije Kwa damu ya yesu

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen Amen YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake

  • @priscamutheu7350
    @priscamutheu7350 2 года назад +4

    Nimebarikiwa na hayo maombi sana najua Kuna jambo mungu anaenda kutenda amen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Amen mwanangu. YESU akutendee kwa utukufu wa jina lake. Ubarikiwe

  • @kirimiamwakipesile4947
    @kirimiamwakipesile4947 Год назад +1

    Amen Mungu kwa nguvi za Mungu kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu namfungua Mume wangu kwenye vifungo vyote alivyokuwa amefungwa na anarejea sasa na ukuta wa damu ya YESUitatulinda mumi Yeye na mwanetu Katika jina la YESU Kristo lipitalo majina amen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote

  • @marthawilliam-hj9il
    @marthawilliam-hj9il 2 месяца назад

    Amina MUNGU ni mwema atakua sawa mume wangu chuki na mimi itaisha kwa jina la yesu

  • @ritha8110
    @ritha8110 2 года назад +2

    Libarikiwe jina la Bwana Yesu...Ahsante kwa maombi haya.Nimeomba na nitaendelea.Ninaamini Mungu atatutendea soon kwa jina la Yesu.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Amen Amen mwanangu. Zidi kubarikiwa na BWANA YESU. Mungu akutane na haja za moyo wako na akutendee makuu kwa utukufu wa jina lake. Ubarikiwe sana. Amen.

  • @brightnessbajuta9666
    @brightnessbajuta9666 2 года назад +2

    Amen ubarikiwe naamni mume wangu atarudi kwa maombi hay miaka miwili sasa

    • @verenasemgen8873
      @verenasemgen8873 Год назад +1

      Mungu atukumbuke miaka miwili mie miezi 5 naona kama miaka

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      YESU akupe ushindi kwa utukufu wa jina lake

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Mungu akupe ushindi

  • @raelsarange638
    @raelsarange638 3 года назад +8

    Thanks for the good prayer, I will come soon with the testimony in Jesus mighty name Amen 🙏🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  3 года назад

      Amen my daughter may the power of the Holy Spirit minister to you and grant you victory in Jesus name. God bless you forever

    • @magrethmsaky4153
      @magrethmsaky4153 2 года назад +1

      @@IsaacJavan amem

    • @magrethmsaky4153
      @magrethmsaky4153 2 года назад

      Amen

  • @priscahshemkunde7256
    @priscahshemkunde7256 Год назад +2

    Ameeen kubwa mtumishi wa mungu alishaanikimbia na kukata mawasiliano kwa maombi haya naamini mungu amesikia na atarudi kwa jina na kwa damu ya yesu ameeen ubarikiwe Sana mtumishi

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад +1

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele

  • @FurahaShoo
    @FurahaShoo 8 месяцев назад

    Asante Sana muchungaji naamini kupitia maombi Aya tutafanikiwa Sana na kufanya Mambo makubwa kwa jina la YESU,

  • @lilianwambui1325
    @lilianwambui1325 2 года назад +7

    Amen , Amen this was really powerful. I prayed and felt something in the spirit. God is faithful

    • @lilianwambui1325
      @lilianwambui1325 2 года назад +1

      Mungu wa mbinguni akutende mema mtumishi wa Mungu

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Amen my daughter, to JESUS be the praise and honor. May God meet you at the point of your need for His name's sake. God bless you and keep on praying till you receive it. Amen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Amen mwanangu ubarikiwe pia na BWANA YESU milele yote. Amen Amen

  • @KhadijaKanzige
    @KhadijaKanzige Год назад +1

    Mchungaji mungu akubaliki sana. Aenderee kukutunza Kila wakati naamini mume wangu na Mimi ndoa yetu imerudi katika jina layesu kirstu baba yetu arie hai amen.❤❤

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen jina la BWANA YESU litukuzwe na kubarikiwa milele yote. YESU akupe amani yake na ushindi daima

  • @MpoliaKitainda
    @MpoliaKitainda 11 месяцев назад +1

    Amen natii haya maombi . Mapenzi yako yatimie juu yetu amen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  10 месяцев назад

      Amen YESU akutane na haja ya moyo wako kwa utukufu wa jina lake

  • @glorychristopher629
    @glorychristopher629 10 месяцев назад +1

    Amina asante sana mtumishi wa Bwana Yesu. Hakika ni maombi yenye uvuvio wa Roho Mungu akubariki sana

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  10 месяцев назад

      Amen zidi kubarikiwa sana na BWANA YESU milele

  • @JosphineMwasame
    @JosphineMwasame 4 месяца назад +1

    Asante mtumishi wamungu amen 🙏

  • @angelfelician5389
    @angelfelician5389 Год назад +2

    Amen namkomboa mume wangu aliyeniwekea chuki kwa kusikiliza maneno ya watu

  • @esterminja5414
    @esterminja5414 8 месяцев назад

    Amen 🙏.. Asante kwà maombi Mazur ubarikiwe na tumebarukiwa Sana

  • @GetrudeSwai
    @GetrudeSwai 7 месяцев назад +1

    Kupitia maombi haya ninaamin mume wangu atrurudi kwangu na atanipenda na atanijal mimi pamoja na mtoto amen

  • @bessygakii7087
    @bessygakii7087 3 месяца назад

    Mungu 😭😭😭mukoboe mume wangu Kwa mikono ya familia yake mama na baba yake wasionipenda.uchawi kula uchawi WA chakula,kinywaji mungu naomba umkoboee yesu🙏🙏🙏

  • @veronikasanya2751
    @veronikasanya2751 3 года назад +1

    Amen amen mtumishi mim ninamaumiv makubwa mno mwanaume nimedumu naye kwenye mahusiano takilinab miaka 4 mwezi Kumi na mbili ndo alipaka aende nyumbn kufahamika kosa dogo tu kaniacha Yani kaniacha jamn nashindwa hata kulala mungu anisaidie kweli pekeangu sitaweza

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  3 года назад +2

      YESU akutetee mwanangu na kukutia nguvu. Usiogope, Mungu anakuwazia mema na anayo mipango mizuri na maisha yako.

  • @AnethAlfred-j1p
    @AnethAlfred-j1p 6 месяцев назад

    Nnakushukuru mchungaji kwa Maombi haya Mungu wa Mbinguni akubariki nnaamini mume wangu amekombolewa kwa Damu ya Yesu

  • @kitunganochristine1346
    @kitunganochristine1346 2 года назад +6

    Naamini kupitia mahombi haya mume wangu amefunguliwa tayari kupitia damu ya bwana wetu yesu christo
    Naamini nitarudi tena apa kutowa ushuuda na kumshukuru mungu wangu kwa makuu na mahajabu yenye atanitendea kupitia mahombi haya
    Mungu akubariki sana mtumishi wa bwana na akuhongezeye siku za kuishi wewe na familia yako yote kwa ujumla
    Bwana yesu asifiwe sana

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад +1

      Amen mwanangu, YESU ni mwaminifu, nami ninaamini anaenda kukutendea makuu kwa utukufu wa jina lake. Mungu akubariki na akutane na haa ya moyo wako mwanangu. Amen

    • @kitunganochristine1346
      @kitunganochristine1346 2 года назад

      @@IsaacJavan Amen

    • @bahatimaige6666
      @bahatimaige6666 2 года назад

      Naamini kupitia maombi haya mume wangu amefunguliwa kutoka kwa makahaba na kurudi nyumbani kuleta amani na familia yetu! Amina!

  • @hawakibale5666
    @hawakibale5666 9 месяцев назад +1

    Ubarikiwe sana mchungaji kwa maombi haya ninaqmini nitapokea majibu kutoka kwa bwana juu ya mume wangu na siraha zote naamini zimevunjika kwa jina la yesu atalejea nyumban .

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад

      Amen Mungu akubariki na akushindie katika yote

  • @HadijaAmiri
    @HadijaAmiri 7 месяцев назад

    Kupitia maombi hy naamini mume wangu atarud nyumbani na tutapendana Kama zamani....Amen

  • @تراثوالسياحة
    @تراثوالسياحة 8 месяцев назад

    Asante yesu kwa ajili ya mtumishi wako nilkiuwa nimemchukia sana mume wangu kupitia haya maombi naona furaha ba upendo vinarejea hatutaachana kwa jina la Yesu

  • @waleedbahar5275
    @waleedbahar5275 6 месяцев назад

    Amen MUNGU akubariki sana mtumishi Kwa maombi

  • @beautymgowela4919
    @beautymgowela4919 Год назад +1

    Amina mtumishi barikiwa sana naamini kupitia haya maombi mungu atatenda atamfungua mume wangu huu ni mwaka wa nne amenikimbia hataki mawasiliano na mimi hata kuniona hataki

    • @christinamasero6967
      @christinamasero6967 Год назад +1

      Kwajina la yesu namfungua Mmewangu Ili niweze kupata kibari kwake nitendee

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen Amen YESU anaweza yote na anaenda kukushindia kwa utukufu wa jina lake takatifu. Ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen YESU akutane na haja ya moyo wako na akutendee sawasawa na uaminifu wake. Ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote

  • @anithatairo75
    @anithatairo75 2 года назад +2

    Kwa jina la yesu damu ya yesu inanena mema Ameen kwajina la yesu nmefunguliwa mung n mwema naiman yeye n muweza sana

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Amen mwanangu, ubarikiwe na BWANA YESU na uzidi kutembea kwenye ushindi

  • @MecktridaSungo
    @MecktridaSungo 11 месяцев назад +1

    Bwana yesu asifie mungu naomba umufungulie mme wangu mungu nisaidie

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  11 месяцев назад

      Amen YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake

  • @lucianziku841
    @lucianziku841 2 года назад

    Asante Yesu naona Sasa nimekuwa mwepesi ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele

  • @elizabethallen5258
    @elizabethallen5258 2 месяца назад

    Nimeanza kufanya haya maombi usiku jana, naimani Mungu amefanya kitu kwenye ulimwengu wa roho.... ubarikiwe Mtumishi wa Mungu

  • @priskywangui6529
    @priskywangui6529 2 года назад +6

    Amen Amen.So powerful and believing that it will change my husband

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Amen my daughter, may Jesus change your husband and heal your marriage for His name's sake. God bless you

    • @winiwill
      @winiwill Год назад +1

      Bwana Yesu asifiwe Asante naamini nimemfungua mme wangu Kwa jina la Yesu

  • @NatureMfinanga
    @NatureMfinanga 6 месяцев назад

    Ameen barikiwa mtumishi kupitia haya maombi Mungu anaenda kinishangaza

  • @BernadethaLutobola
    @BernadethaLutobola Год назад +1

    Nina kila sababu ya kuku shukulu mtumish kwan umenipanujaaili wa kuikomboa nafai ya mume wangu nimefukah sana kushuliki haya naomba naomba mwenyez Mungu asinipungukie kwa kila nilichoo kiomba Ktk jina lake yesu kristu Aimen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen jina la BWANA YESU litukuzwe milele yote. Nashukuru sana kwa yote ambayo Mungu amekufanyia. YESU azidi kukutetea na kukupigania daima. Ubarikiwe sana

  • @SarahAmani-he8qf
    @SarahAmani-he8qf 9 месяцев назад +1

    Namkomboa mume wangu kwa damu ya yesu nashukuru sana mtumishi wa mungu Nina Imani ndoa inarnda kuwa na amani

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад

      Amen Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU. Mungu akupe haja za moyo wako

    • @SarahAmani-he8qf
      @SarahAmani-he8qf 9 месяцев назад +1

      Amina baba

  • @judithkabyazi1471
    @judithkabyazi1471 3 года назад +3

    UBARIKIWE SANA MTUMISHI WA MUNGU NAAMINI KUPITIA MAOMBI HAYA NDOA NYINGI ZITAFUNGUKA AMEN

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  3 года назад

      Amen mwanangu jina la BWANA YESU libarikiwe sana. Mungu akubariki, endelea kufuatilia mafundisho na maombi tunayoweka kwenye channel hii

    • @floramkumbo3991
      @floramkumbo3991 3 года назад

      Nina la bwana libarkiwe

  • @beatricedonald2710
    @beatricedonald2710 3 года назад +1

    Mchungaji huwa unanibariki sana sana na mafundisho yako. Nakufatiliaga mguu kwa mguu. Mungu akubariki sana baba.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  3 года назад

      Amen Amen Mungu akubariki sana kwa kufuatilia mafundisho tunayoweka kupitia Channel hii. Mungu akutane na haja za moyo wako na BWANA akupiganie na kukushindia katika mambo yako yote

  • @FabiolaKibena-e7d
    @FabiolaKibena-e7d Год назад +1

    Mungu naomba umfungue mume wangu apate kazi na riziki za kutosha uwafungue mabosi zake wote waweze kumpatia kazi

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen YESU akutendee makuu kwa utukufu wa jina lake

  • @AisiaMoshi
    @AisiaMoshi 6 месяцев назад

    Asante kwa maombi haya mungu akubariki Sana amen

  • @RoseRuben
    @RoseRuben 10 месяцев назад +1

    Amen, nimepokea kwa jina la yesu kristo,❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  10 месяцев назад

      Amen Amen ubarikiwe sana

  • @doricekika6455
    @doricekika6455 Год назад +1

    Amina! Asante Yesu Mungu umetenda

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote

  • @wivinendege
    @wivinendege 3 года назад +3

    AMEN UBARIKIWA BABA YANGU MTUMISHI ISAAC.MUNGU AMESIKIYA MAOMBI YETU 👏🤝🤝🤝✊✊✊♥️♥️♥️

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  3 года назад

      Amen Amen mwanangu, Mungu akubariki kwa baraka za milele

    • @michaelfocus1515
      @michaelfocus1515 24 дня назад

      Asante sana kwa maombi mazri

  • @victoryndugutse296
    @victoryndugutse296 5 месяцев назад

    Amina amina amina amina umbarikiwe mtumi shiwangu

  • @annamlay6192
    @annamlay6192 11 месяцев назад +1

    Asante sana Mtumishi wa Mungu nahisi nilikuwa na mzigo mzito sana lakini nimeutua

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  11 месяцев назад

      Amen YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake

  • @millyandiva1657
    @millyandiva1657 2 года назад +2

    Amen 🙏,nakomboa ndoa yangu kwa damu ya yesu 🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen Mungu akubariki kwa baraka za milele

  • @lugresiamamy5674
    @lugresiamamy5674 2 года назад +2

    Namsamehe mume wangu Mara Saba sabini na shetana Hana mamlaka na ndoa yangu in Jesus name

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU

    • @lugresiamamy5674
      @lugresiamamy5674 2 года назад +1

      @@IsaacJavan Amen

    • @christinayohana585
      @christinayohana585 2 года назад +1

      Damu ya yesu ikanene mema ndoa yangu ikawe kama mwanzo

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      @@christinayohana585 Amen mwanangu, YESU akushindie

  • @janemothama2387
    @janemothama2387 6 месяцев назад

    Amen God do miracles I trust in you

  • @BakariSemboko
    @BakariSemboko Год назад +1

    kupitia maombi hay naomba ndoa yangu ikawe nafurah kuanzia leo amin

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen Amen YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake takatifu

  • @SophiaSanga
    @SophiaSanga Год назад +1

    Amina mume wangu maombi haya yakufungue wewe ni hekalu la bwana 1 kor 3:16

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen YESU akuonekanie na kukushindia kwenye ndoa yako. Amani na upendo wa kwanza urudi kwenye ndoa yako. Damu ya YESU ikushindie. Ubarikiwe na BWANA YESU milele yote

  • @SophiaMfinanga-e9z
    @SophiaMfinanga-e9z 2 месяца назад +1

    Nimeingia Leo na nimefanya maombi haya naamini mungu atatenda na atarejesha Tena

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 месяца назад

      Amen, YESU akutendendee makuu kwa utukufu wa jina lake

    • @SophiaMfinanga-e9z
      @SophiaMfinanga-e9z 2 месяца назад +1

      Napokea kwa jina la yesu

  • @NatashapraizzyPraizzy-p7u
    @NatashapraizzyPraizzy-p7u 6 месяцев назад

    Amen mtumishi tumebarikiwa🙏

  • @pilirashidi5450
    @pilirashidi5450 2 года назад +1

    Asante mtumishi nisaidie maana ndoa imezama nimedhulumiwa haki yangu tulifungua mirad akaweka msichana mdogo wa kusimamia kwakuwa nimbali kamuweka ndani Kama mke msaada mtumishi.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад +1

      Mwanangu hakuna ambo la kumshinda Mungu. Endelea kuomba na BWANA YESU atakushindia, usiogope!

    • @pilirashidi5450
      @pilirashidi5450 2 года назад

      Asante mtumishi 🙏🏼

  • @kayitarecharles6993
    @kayitarecharles6993 2 года назад +1

    Roho unavyo wafunguwa wengine nami pia unigusi napokea kufunguliwa kwa jina la Yesu Amen 🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU

  • @serahnthamba2097
    @serahnthamba2097 Год назад +2

    Amen 🙏 hii Niko na chakamoto napitia mangumu sana juu ya mumw qangu

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад +1

      Pole mwanangu kwa yote unayopitia kwenye ndoa yako. Nakuombea ushindi. Endelea kufanya maombi haya na YESU atakufungua na kukupa amani kwenye ndoa yako. Ubarikiwe sana na BWANA YESU

    • @serahnthamba2097
      @serahnthamba2097 Год назад +1

      @@IsaacJavan Amen najua nitakuwa mshidi

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      @@serahnthamba2097 Amen Amen hallelujah

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 5 месяцев назад

    Mungu akubariki mtumishi kwa maombi haya

  • @enjomahenge9127
    @enjomahenge9127 2 года назад +1

    Amina mtumishi hakika bwana anajibu maombi ubarikiwe mtumishi wa mungu 🙏🙏🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Amen Amen jina la YESU lisifiwe na kutukuzwa sana. Ubarikiwe mwanangu

  • @AdelaAbinel
    @AdelaAbinel 3 месяца назад

    Naamini mme wangu amesha fungunguliwa ametekwa na kahaba mwezi sasa naamini atardi sasa naanza mwezi wa 11 kwa furaha maana ali nitelekeza na ujauzito na wtt atardi sasa Ameen

  • @RachelElori-ud5bi
    @RachelElori-ud5bi Год назад +1

    Naamini Mungu atatenda muujiza juu ya Mahusiano yangu yalio kufa yanaenda kulejeshwa sasa na kuwa ndoa Takatifu

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele

  • @LovenessMwakatobe
    @LovenessMwakatobe 20 дней назад

    Ameeeeeeen asantee mtumishi wa mungu

  • @kabibipea3062
    @kabibipea3062 Год назад +4

    Asifiwe yesu bishop naoba ushauri kutoka kwako kwa sababu mm nime changaniykiwa mume wangu amenisaliti na mwanamke mwengine nilivo juwa nika muliza akakubali makosa yake anasema nimsamee hata rudia tena lakini mm inaniuma sana sija mkosea bona anisaliti mm aliaza kunidarau aliacha kunijali kube alikuwa na mwanamke mwengine aki na huyo mwanamke pia amenioba msamaa aka sema atamacha mume wangu 😭😭

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад +1

      Pole mwanangu kwa yote unayopitia kwenye ndoa yako. Ninaelewa umeumizwa na moyo wako umevunjika kutokana na yote yaliyotokea kwenye ndoa yako. Lakini, huu si mwisho wa ndoa yako, bado Mungu anakuwazia mema. Nakushauri, umsamehe mume wako kwa sababu ameshatubia makosa yake. Muombe Mungu akutie nguvu ya kusimama tena na kusahau yaliyopita ili muweze kusonga mbele. Lakini anza kutumia maombi kama silaha yako kuu kwa ajili ya ulinzi na ustawi wa ndoa yako. YESU anakupenda. Usiogope.

  • @kizadorcas3321
    @kizadorcas3321 2 года назад +2

    Amen haya maombi yamenisaidia sana tena sana Mungu awaongezee akili na hekima zaidi

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Amen mwanangu, zidi kubarikiwa na YESU azidi kutenda makuu kwenye maisha yako kwa utukufu wa jina la YESU. Amen Amen

  • @julietknight6270
    @julietknight6270 Год назад +1

    Amina, Amina. Asante sana Mtumishi.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote

  • @BethsaidaMacrean
    @BethsaidaMacrean 5 месяцев назад

    Naomb mungu umlind na kumfungua mume wang kifungon na malengo tutimize bila kipingamiz na amini imekua asante mungu

  • @maureenshinavuli2381
    @maureenshinavuli2381 Год назад +1

    Thanks pastor

  • @aishanasri7561
    @aishanasri7561 3 года назад +1

    Ubarikiwe Sanna kwamaombi yako yenyengu nakunipa ujasili naamin yesu atajib amina

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  3 года назад

      Amen Amen mwanangu, ubarikiwe na BWANA YESU

  • @agenithaleonard6804
    @agenithaleonard6804 2 года назад +1

    Amee ubalikiwe kpitia maombi yako kuanzia sasa mme wangu atafunguliwa mngu akubaliki sana amee🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Amen mwanangu, YESU akutendee makuu kwa utukufu wa jina lake

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 11 месяцев назад +1

    Ameeeeeen ameeeeeen pstr barikiwa sanaaaana niombee sana

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  10 месяцев назад

      Amen YESU akushindie kwa utukufu wa jina lake takatifu

  • @elvinantangeki9907
    @elvinantangeki9907 3 года назад +2

    Mtumishi Mungu akubariki kwa maombi yako najua mine wangu atafunguliw

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  3 года назад

      Amen Amen Damu ya YESU ikupambanie na kukupa ushindi

  • @angelymahenge9276
    @angelymahenge9276 3 года назад +2

    Mungu akubariki mno mtumishi wake kupitia maombi haya na uona mkono wa mungu🙏🙏🙏

  • @angelymahenge9276
    @angelymahenge9276 3 года назад +1

    Amina mtumishi ubarikiwe mno Asante kwa maombi haya🙏🙏🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Amen mwanangu, ubarikiwe na BWANA YESU milele

  • @verenasemgen8873
    @verenasemgen8873 Год назад +2

    Mtumishi ubzrikiwa sana kwa maombi haya naombanukupigie

  • @AminaBaraka-p8n
    @AminaBaraka-p8n Год назад +1

    Amena. Ubarikiwe mtumishi wa mungu

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele

  • @scholasticajulius7222
    @scholasticajulius7222 Год назад +1

    Ameen Mtu wa Mungu nami napokea leo ushindi huu

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen Amen YESU akutendee makuu kwa utukufu wa jina lake

  • @magrethmarco89
    @magrethmarco89 Год назад +1

    Amen...Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen ubarikiwe pia na BWANA YESU milele yote

  • @AliceAlice-ol5zv
    @AliceAlice-ol5zv 2 года назад +2

    Asifiwe yesu dady asante kwa maombi haya mungu akubariki sana🙏🙏🙏🙏🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад +1

      Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU akutendee makuu

  • @mgdleenknzo9297
    @mgdleenknzo9297 2 года назад +1

    Amen pastor naamini maombi haya yatafungua ndoa yangu irudi kama zamani

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele yote

    • @mgdleenknzo9297
      @mgdleenknzo9297 2 года назад

      @@IsaacJavan Amen

  • @RechoKaponda
    @RechoKaponda Год назад +1

    Ubarikiwe mtumishi wamunga napokea na Mume wanga naamini amefungukaAmen.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu, YESU akuonekanie na akupe ushindi na amani kwenye ndoa yako

  • @RehemaHamani-xr1lq
    @RehemaHamani-xr1lq Год назад +1

    Ameeni nakomboa ndoa yangu Kwa damu ya yesu

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen Amen damu ya YESU ikushindie

  • @reokadiajames583
    @reokadiajames583 2 года назад +1

    Navunjangome zinazonifalakanisha na mume wangu nilazihalibu kwa jina la Yesu Amen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen YESU akupe ushindi mkuu

  • @MeryMbaga-y4n
    @MeryMbaga-y4n 5 месяцев назад

    Mungu akutunze baba na kukuinua kwa viwango vingine

  • @victoryndugutse296
    @victoryndugutse296 5 месяцев назад

    Amina amina amina amina ❤

  • @MeryMbaga-y4n
    @MeryMbaga-y4n 5 месяцев назад

    Ameeen barikiwa mungu akutunze

  • @pendomwaringa7597
    @pendomwaringa7597 4 месяца назад

    Nimepokea ushindi kwa jina la yesu🙏🙏🙏🙏

  • @merrykisu
    @merrykisu Год назад +1

    Najiungamanisha kwenye maombi haya mungu anisaidie

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele. YESU akupe ushindi

  • @UpendoMinja-dh9kh
    @UpendoMinja-dh9kh Год назад +1

    Asante yesu kwa ukomboz wa ndoa yangu

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen YESU akupe ushindi mkuu

  • @JanethUrasa-qs5ot
    @JanethUrasa-qs5ot 9 месяцев назад +1

    Amina namwomba Mungu mume wangu aache kunywa pombe

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад

      Amen YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake

  • @MaryWangare-yc7qw
    @MaryWangare-yc7qw 3 месяца назад

    Amen Glory to God 🙏🙏😭😭😭😭🙏🙌🙌

  • @eveandrew7096
    @eveandrew7096 2 года назад +1

    Wow, Mume wangu, na mtumishi wa MUNGU.. endelea kuwa baraka kwa wengi.. nakuombea baba..

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад +1

      Amen mama ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote