MAOMBI YA KUMFUNGUA MUME WAKO - MWL. ISAAC JAVAN
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- Haya ni maombi maalum kwa mwanamke aliyeolewa ambaye anapitia mambo yafuatayo:-
1. Mume wake ana mahusiano nje ya ndoa.
2. Mume wake ametelekeza familia.
3. Mume wake ametoka kwenye nafasi yake kama mume na kama baba wa familia.
Lengo la maombi haya ni kufungua vifungo vya kiroho ambavyo nyuma yake kuna mtu au watu. Mungu anapotaka kufanya jambo kwenye maisha, anatumia mtu. Shetani pia anapotaka kuharibu jambo, anatumia mtu. Kuna mtu au watu ambao shetani anawatumia kuharibu ndoa. Zipo ndoa zilizovunjika kwa sababu ya watu ambao shetani aliwatumia. Zipo familia zilizopoteza muelekeo na maono ya ki-Mungu kwa sababu kuna mtu au watu waliotumiwa na shetani kupitisha uharibifu. Ni maombi yetu ya kwamba maombi haya yafanyike msaada kwako, na Mungu aliye hai, kwa jina la YESU afanye urejesho kwenye ndoa yako.
Unapofanya maombi haya, simamia mstari huu, "Basi alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe" [MARKO 10:9].
MUHIMU!
Usiombe maombi haya kwa mazoea! Omba kwa kumaanisha. Pata eneo lenye utulivu, paza sauti yako mbele za BWANA. Haya ni maombi ya vita, kwa hiyo omba kwa kumaanisha, usikae kimya katikati ya maombi. Hakikisha unapambana kwa ajili ya mume wako. Ukiona machozi yanatoka, usizuie, endelea. Mahali pa kukemea, kemea. Mahali pa kuamuru, amuru. Mungu anaenda kufanya kitu kikubwa kwa utukufu wa jina lake.
Mungu akubariki. Mshirikishe na mwanamke mwingine ambaye anaweza akanufaika na maombi haya.
TAFADHALI FUATA MAELEKEZO
BWANA YESU asifiwe. Haya maombi ni maalum kwa mwanamke aliyeolewa. Haya maombi si kwa ajili ya wachumba. Haya si maombi kwa ajili ya watu wanaoishi pamoja lakini hawajafunga ndoa. Haya ni maombi ya wanawake ambao wamefunga ndoa mbele ya madhabahu ya BWANA.
Lengo la kuweka maombi haya ni kuwasaidia wanawake wanaopitia changamoto kwenye ndoa zao waweze kuomba na kumuona Mungu akiwatendea jambo. Tunashauri, jenga tabia ya kusimama wewe kama wewe kumuombea mume wako. Usijidharau. Amini ukiomba Mungu anasikia.
Maono ya Channel hii ni kuwasaidia watu wafike mahali ambapo wanaweza wakajiombea wao wenyewe, na ndiyo maana tunaweka muongozo wa namna ya kuomba. Tamani kujua kuomba. Tamani kusimama wewe kama wewe mbele za BWANA kwa ajili ya ndoa yako. Tamani kuwa muombaji, kwa sababu inawezekana. Ng'ang'ana na YESU na atakujibu mwanangu.
Na wale ambao.wameachana na mume akaoa tena.
Kama unamchumba Ako ila kashikiliwa uko je haupasw kuyaomba
Kama ni mchumba angu ila Kuna mwanamke kamshikilia kichaw je spaswi kuomba
@@magdalenesyombua8085 Unaweza kuomba mwanangu
@@festodivule6555 haya maombi ni kwa ajili ya wanandoa mwanangu.
Mchungaji Mungu akutumie zaidi nimefanya maombi haya mida ya saa 4 maana mwanaume alikua ameNizimia cm hataki kabisa kuongea na anataka tuachane gafla tu bila Sababu ilikua jpl nikaona Hali inazidi kua mbaya ndo gafla leo RUclips ndo naona maombi hayo nikaomba baada ya maombi sauti ikaniambia kimbia haraka katoe sadaka na sikua na hela nilikua na. Ela. Ya kula tu lakin ilibidi nitimue mbio kwenda kutuma. Saa hizi kapiga sm kwa upole na. Unyenyekevu .Nakushukuru Sana Mungu anaewatumia watu wake
Amen
Amen jina la BWANA YESU libarikiwe na kutukuzwa milele. YESU azidi kuwatetea na kulinda ndoa yenu. Amani ya YESU itawale na upendo wa kwanza urudi. Katika jina la YESU
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
Nasisi ambao tuko kwenye mahusiano natunafuatilia Haya maombi hatutasaidika ju hatujaoana
❤❤ Aminaaa
Leo trh 28/10/2023. Nimesikiliza na kuomba pamoja na wewe Mtumishi..... Kuanzia sasa Nina amini Mumewangu amefunguliwa, sitalia tena. Mumewangu Emma ametoka ktk kifungo..... Asante yesu kwa kumkomboa Mumewangu.... ... Kwa Jina La Yesu ninaenda kuuanza mwezi 11 kwa Amani na vicheko ktk Ndoa yangu...... Kwakuwa Mungu Umekwisha Ijenga upya Ndoa yangu. Nami nakuhaidi SITOKUACHA SIKUZOTE ZA MAISHA YANGU... NITAKUSHUKURU NA KUSHUHUDIA UKUU WAKO KUPITIA NDOA YANGU.........nami pia ninawaombea wanawake wenzengu wote wakafunguliwe leo kwa jina la YESU KRISTO AMEEEEN
Amen mwanangu YESU akupe amani na akutetee na kukulinda daima. Damu ya YESU inene maneno mazuri kwa ajili yako. Amen
Aya ma ombi niya wana wake pekeyake Ila mimi natumiya nafasi iyi kwa ajili ya muke wangu kipenzi guilaine Tom's popote alipo damu ya yesu imufinike ilete Amani kila Léo kwenyi ndowa yetu na watoto wetu Isaac Tony Ibrahim Tony pamoja na Tatiana Tony watoto wangu wote hawa wazidi ku ishi ki MUNGU katika jina la YESU CHRISTU Amen Amen Amen nawa ombeya wana wake wote waliyo kuwa na ndowa Amani idumu kwenyi ndowa zawo na omba vile vile kwama binti wote ambawo hawaja olewa MUNGU Awa epusha natama za uli mwengu na awape ndowa zenyi kudumu hadi uze narudiya tena MUNGU akubariki ndowa zenyi kudumu Amen Amen Amen 🙏 bila kumu sa Abu ndugu yangu prunelle popote alipo MUNGU amu epushe naki buri natama kwa jina la YESU CHRISTU amu epushe nakila hasira kali namaneno makali kwa jina la YESU CHRISTU Amen Amen Amen 🙏🙏🙏🙏 mtu mishi wa MUNGU Isaac Java MUNGU akubariki sana popote ulipo baba
Amen Mungu akubariki na akupe haja za moyo wako. Pokea sawasawa na imani yako
Asante mtumishi wamungu amen 🙏
AMINA,NIMEANZA na wewe nimemaliza na wewe Asante Yesu akutetee,mme wangu amenikimbia na anaishi na mwanamk aliepewa taraka,asikii Wala aoni ataki kuniona Ila kwa maombi haya amerudi kwangu,
Amen YESU akutendee makuu na akupe ushindi kwa utukufu wa jina lake takatifu
@@IsaacJavanhabari baba
tumeomba pamojja NAONA USHINDI MKUBWA KWA NGUVU ZA MUNGU
Amen zidi kupokea ushindi, kibali na neema. Ubarikiwe na BWANA YESU
Mchungaji tufanyie video ya maombi ya mahusiano yaliovunjika( a broken relationship) kindly
Amen Mungu akubariki. Yatapatikana hivi karibuni
Asifiwe yesu bishop naoba ushauri kutoka kwako kwa sababu mm nime changaniykiwa mume wangu amenisaliti na mwanamke mwengine nilivo juwa nika muliza akakubali makosa yake anasema nimsamee hata rudia tena lakini mm inaniuma sana sija mkosea bona anisaliti mm aliaza kunidarau aliacha kunijali kube alikuwa na mwanamke mwengine aki na huyo mwanamke pia amenioba msamaa aka sema atamacha mume wangu 😭😭
Pole mwanangu kwa yote unayopitia kwenye ndoa yako. Ninaelewa umeumizwa na moyo wako umevunjika kutokana na yote yaliyotokea kwenye ndoa yako. Lakini, huu si mwisho wa ndoa yako, bado Mungu anakuwazia mema. Nakushauri, umsamehe mume wako kwa sababu ameshatubia makosa yake. Muombe Mungu akutie nguvu ya kusimama tena na kusahau yaliyopita ili muweze kusonga mbele. Lakini anza kutumia maombi kama silaha yako kuu kwa ajili ya ulinzi na ustawi wa ndoa yako. YESU anakupenda. Usiogope.
Eeee mungu wangu narudia tena kwenye haya maombi nina imani yana nguvu sana....Eeee mungu baba asante kwa neema yako...Eeee baba narudia tena mbele zako ninamfukuza mke mwenza alie leta majonzi,machozi na vurugu kwenye ndoa yangu namfukuza naweka ukutu kati yake na mume wangu....Eee Bwana ninakuomba huu mwaka uwe wa mwisho nakataaa uke wenza kwenye ndoa yangu ameeeen
Amen Amen YESU akushindie na aiponye ndoa yako kwa utukufu wa jina lake. Damu ya YESU isimame upande wako na kufanya ukombozi wa nafsi kati yako na mume wako. Amani na upendo wa kwanza urudi na YESU awalinde na kuwatunza.
Ameni kipenzi.
@@IsaacJavan
Same to me Pastor
🙏🙏
Amen yaani nimepata nguvu ya ajabu wakati naomba maombi nashukuru sana sasa nasubiri matokeo kwa damau ya yesu
Hello pastor bwana yesu asifiwe Mm naitwa secilia Akenyan ..nlikua nakutafuta whatsapp
Amen mwanangu, unaweza kuwasiliana nasi kwa njia ya WhatsApp kupitia namba ya simu +255 745 76 45 72
Nashukuru umenifundisha kuomba nimejua kunena kwa lugha leo
Mungu akubariki sana. YESU azidi kukuonekania. Karibu pia uungane nasi kwa maombi ya kila siku na kusoma biblia. Mungu akikupa nafasi, unaweza kuungana nasi kupitia link hii:
youtube.com/@NenoLaSiku?si=4ZlJKyvQA1Z_cqoZ
Joseph makao mwelu nakuita urudi kwa nyumba
YESU akupe haja ya moyo wako kwa utukufu wa jina lake
Pastor nikumbuke kwa maombi mme wangu amepotezwa na ulevi na wanawake niombee
Amen YESU akupe haja ya moyo wako kwa utukufu wa jina lake
Naweza kumuombea mme wangu tuliyeacha nae ila mm Bado nampeda yy hanipedi
Mlifunga ndoa?
Thanks for the good prayer, I will come soon with the testimony in Jesus mighty name Amen 🙏🙏
Amen my daughter may the power of the Holy Spirit minister to you and grant you victory in Jesus name. God bless you forever
@@IsaacJavan amem
Amen
Damu ya yesu inene mema leo Kwa erinest anitoea block atume ela mtoto nampenda
Damu ya YESU inene mema kwa ajili yako na kukushindia katika yote
Nimejiungamanisha mtumishi lkn utanisaidia niongee na wewe maana shida ya mume wangu ht humu haimo ila Kuna shida
Mungu akubariki na akutane na haja za moyo wako
Kwakumfungua,mumewangu,kwa,damu,yasu
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele
Nimepokea ushindi kwa jina la yesu🙏🙏🙏🙏
Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa Mungu naomba kupitia maombi haya Mungu akubariki ndoa kwa jina la Yesu kristo 🙏🙏
Amina
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amen MUNGU akubariki sana mtumishi Kwa maombi
Asante kwa maono maana tunapitia changamoto juu ya waume mungu wa mbinguni azidi kukutumia juu ya watu wake ubalikiwe kwa huduma hii.
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote. Damu ya YESU inene mema kwa ajili yako na kukushindia daima 🙏
Asante mtumishii 🙏🙏🙏
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Kupitia maombi haya ndoa yangu ikafunguliwe sasa
Amen , Amen this was really powerful. I prayed and felt something in the spirit. God is faithful
Mungu wa mbinguni akutende mema mtumishi wa Mungu
Amen my daughter, to JESUS be the praise and honor. May God meet you at the point of your need for His name's sake. God bless you and keep on praying till you receive it. Amen
Amen mwanangu ubarikiwe pia na BWANA YESU milele yote. Amen Amen
Nimebarikiwa na hayo maombi sana najua Kuna jambo mungu anaenda kutenda amen
Amen mwanangu. YESU akutendee kwa utukufu wa jina lake. Ubarikiwe
Mngu naomba mme wangu aje
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
Amina amina amina amina ❤
Thanks pastor
God bless you
Nmepokea
Amen YESU akutendee makuu kwa utukufu wa jina lake takatifu
Blood above all
Amen to JESUS be the praise and glory. God bless you
Nafugua ufaham wako
YESU akupe ushindi mkuu mwanangu. Ubarikiwe sana
Amen Amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU kwa baraka za milele
Amen 🙏
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
Naomb mungu umlind na kumfungua mume wang kifungon na malengo tutimize bila kipingamiz na amini imekua asante mungu
Amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
Mungu akubariki mtumishi kwa maombi haya
Amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Amen
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
Amen
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
Amina
Amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Msamaha ni uponyaji hakika nimemwona Mungu kwa ndoa yangu jina la Bwana Yesu libarikiwe hao maadui wameshindwa kupitia maombi haya be blessed servant of God 🙏🙏
Amen Amen mwanangu. YESU azidi kukuonekania katika mambo yote. Ubarikiwe sana
Namini katika haya maombi mume wangu alinitenga na kuishi na mwana muke mwengine atarudi kwangu mana sijui hata anapoishi
Amen
Amen Mungu akubariki kwa baraka za milele
Aaa
Mungu akubariki mwanangu
Ameeen barikiwa mungu akutunze
Ameen
Amen ubarikiwe kwa baraka za milele yote
Asante kwa maombi haya mungu akubariki Sana amen
Amen mtumishi tumebarikiwa🙏
Mungu akutunze baba na kukuinua kwa viwango vingine
Amen nakomboa doa yangu Kwa damu ya yesu uadui ulioko kati yangu na mume wangu u kaondoke Kwa damu ya yesu madawa aliyo lishwa ya kiuchawi ukaondoke Kwa tumbo lake katika damu ya yesu na upendo ukarije Kwa damu ya yesu
Amen Amen YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake
Amina amina❤
Amen Amen.So powerful and believing that it will change my husband
Amen my daughter, may Jesus change your husband and heal your marriage for His name's sake. God bless you
Bwana Yesu asifiwe Asante naamini nimemfungua mme wangu Kwa jina la Yesu
Kupitia maombi haya ninaamin mume wangu atrurudi kwangu na atanipenda na atanijal mimi pamoja na mtoto amen
Ameen Baba namuombea mme wangu aache kunywa pombe na aache kuchelewa kurudi nyumbani.kila siraha iteketee kwa jina la yesu ameeni.
Amen YESU akutane na haja za moyo wako na akupe ushindi
Niko kwa maombi mume wangu Frank nakuitisha urudi kwa ndoa yetu na huyo kavuna amekuweka akuachilie kwa damu ya yesu na urudi nyumbani katika NJINA lA YESU.DAMU YA YESU INENE REHEMA.
Amen Amen mwanangu, YESU akutane na haja ya moyo wako na aiponye ndoa yako kwa utukufu wa jina lake takatifu
@@IsaacJavan AMEN
Amen
Mungu akubariki mchungaji
Mchungaji niombe sana
Amen in Jesus Christ Name Amen Amen.
Amen God do miracles I trust in you
Bwana asifiwe 🙏🙏
Amen BWANA YESU asifiwe
Amina amina amina amina umbarikiwe mtumi shiwangu
Ameni
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Naamini kupitia mahombi haya mume wangu amefunguliwa tayari kupitia damu ya bwana wetu yesu christo
Naamini nitarudi tena apa kutowa ushuuda na kumshukuru mungu wangu kwa makuu na mahajabu yenye atanitendea kupitia mahombi haya
Mungu akubariki sana mtumishi wa bwana na akuhongezeye siku za kuishi wewe na familia yako yote kwa ujumla
Bwana yesu asifiwe sana
Amen mwanangu, YESU ni mwaminifu, nami ninaamini anaenda kukutendea makuu kwa utukufu wa jina lake. Mungu akubariki na akutane na haa ya moyo wako mwanangu. Amen
@@IsaacJavan Amen
Naamini kupitia maombi haya mume wangu amefunguliwa kutoka kwa makahaba na kurudi nyumbani kuleta amani na familia yetu! Amina!
Nakushukulu kwa maombi yako kupitia maombi haya mme wangu anafunguka naamini anafunguka mngu akubaliki amee
Amen mwanangu. YESU akutane na haja ya moyo wako. Ubarikiwe sana
Mtumishi ubzrikiwa sana kwa maombi haya naombanukupigie
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amen mtumishi
Mungu akubariki sana baba
Ameeni barikiwa
Amen Natii Haya Maombi. Mapenzi yako Mungu na Yatimie Amen
Mungu akubariki sana na kukupa ushindi kwa utukufu wa jina lake takatifu
Mim ckufunga ndoa ila alitoa mali nakunipeleka kwao nikaishi nae miaka 6 badae akawa mzinzi sana nikagundua anamahusiano na dada mmoja nika mfata yule dada ila alichofanya yule dada akajitolea mali akaendesha arusi wakafunga ndoa na alifanya makusudi kunikomoa je huyo si mume wangu?
Hapana mwanangu. Mume ni yule uliyefunga naye ndoa.
Amina baba nashukuru🙏🙏🙏🙏🙏
@@ezekiakaminyoge5198 Amen mwanangu ubarikiwe na YESU
Ubarikiwe sana na bwana kwa maombi mazuri 🙏
Amen Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
@@IsaacJavan Amen 🙏
Amen ubarikiwe kwa maombi mazuri
Naitaji kuawasiliana nawe
@@wazirichiduo52 Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Asifiwe yesu dady asante kwa maombi haya mungu akubariki sana🙏🙏🙏🙏🙏
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU akutendee makuu
Libarikiwe jina la Bwana Yesu...Ahsante kwa maombi haya.Nimeomba na nitaendelea.Ninaamini Mungu atatutendea soon kwa jina la Yesu.
Amen Amen mwanangu. Zidi kubarikiwa na BWANA YESU. Mungu akutane na haja za moyo wako na akutendee makuu kwa utukufu wa jina lake. Ubarikiwe sana. Amen.
AMEN UBARIKIWA BABA YANGU MTUMISHI ISAAC.MUNGU AMESIKIYA MAOMBI YETU 👏🤝🤝🤝✊✊✊♥️♥️♥️
Amen Amen mwanangu, Mungu akubariki kwa baraka za milele
Amen namkomboa mume wangu aliyeniwekea chuki kwa kusikiliza maneno ya watu
Amen YESU akupe ushindi
This prayer is powerful
Amen may God meet you at the point of your need
Ameeen kubwa mtumishi wa mungu alishaanikimbia na kukata mawasiliano kwa maombi haya naamini mungu amesikia na atarudi kwa jina na kwa damu ya yesu ameeen ubarikiwe Sana mtumishi
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amen. Amen. Amen. Mungu wetu ni mwaminifu. Alitenda, ametenda, anatenda na atatenda. Yeye ni yule yule jana, leo na hata milele. Shetani anaenda kuaibishwa kwa Jina la Yesu. Naamini Mungu amejibu maombi kwa jina la Yesu Kristo. Amen.
Amen mwanangu YESU anaweza yote. YESU anakupenda. YESU akutane na haja ya moyo wako kwa utukufu wa jina lake. Ubarikiwe sana kwa baraka za milele yote
Ameen
Ameeeeeen
Amen
Ameen
Amen
Amen🙏🙏🙏
Namushukulu Mungu kwaajili yako maana nilikuwa nahangaika niombeje ili niweze kuludiana naye na tuweze kusameheana makosa yetu naomba Mungu akutunze na kuku tumia zaidi ikikupendeza naomba kuongea na wewe
Amen ubarikiwe na BWANA YESU. Mungu akushindie na damu ya YESU inene mema kwenye maombi yako.
Amen🙏
Amen
Amen
Amen mungu akubarik past maana kusema ukweli kupitia maombi haya ndoa yangu imepone mungu akuweke mika elf na aendelee kukupa maarf il tuendele kupna amn
Amen mwanangu, ubarikiwe sana, na BWANA YESU azidi kukutendea makuu kwa utukufu wa jina lake
Amen
Amen
Amen
Namkomboa na mume wangu kwa roho zote chafu zinazo mfwatilia
Amen YESU akupe ushindi mkuu
Amen ubarikiwe naamni mume wangu atarudi kwa maombi hay miaka miwili sasa
Mungu atukumbuke miaka miwili mie miezi 5 naona kama miaka
YESU akupe ushindi kwa utukufu wa jina lake
Mungu akupe ushindi
Naikomboa ndoa yangu kwa damu ya yesu dawa zote alizowekewa zikaharibike zivunjike tupendane kama mwanzo
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Mtumishi Mungu akubariki kwa maombi yako najua mine wangu atafunguliw
Amen Amen Damu ya YESU ikupambanie na kukupa ushindi