LIVE: TAMBUA NGUVU YA KINYWA CHAKO KIROHO // DAY 19
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Mithali 13:2-3
Mtu atakula mema kwa matunda ya kinywa chake; Bali nafsi ya mtu haini itakula jeuri. Yeye alindaye kinywa chake huilinda nafsi yake; Bali afunuaye midomo yake atapata uharibifu.
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Amen , navufa maneno mabaya yote tuliyo nenewa tangu ku zaliwa mpaka leo na maneno tulio nenea wengine wengine kwa jina la yesu ya vutwe kwa jina la yesu.
Amen mtumishi Mungu akupe nguvu na maisha mema ili tuweze kupokea chakula Cha kiroho naami Mungu ni mwema wenye wingi wa baraka nami natamka Kwa damu ya yesu kristo vikwazo vyote vilivyopo katka maisha yangu vikateketee na nikawe na baraka tele
ameni ameni mungu atutangulie
Natamka kufanikiwa mwaka huu Hadi mahadui washangae katika jina la yesu🙏🙏
Ameen..natamka baraka na mafanikio katika maisha yangu yote .kuanzia leo hii na kwa siku zote .. napokea kibali kwa jina la yesu Ameeeen ameen
Natamka kurudishiwa vyote vilivyo nyakuliwa na ibilisi amen
Natamka kurudishiwa vyote vilivyo nyakuliwa na ibilisi,,, amen 🙏
KWA JINA LA YESU KRISTO 🔥 🔥🔥🔥🔥🔥🙇♀️🙇♀️🙇♀️🙇♀️🙌🙌
Ameen natamka baraka na mafanikio katika maisha yangu yote kuanzia leo hii na kwa siku zote napokea kibali kwa jina la YESU
Amen .BWANA YESU .ninakata maneno maovu kwa kinywa changu
Mungu nimechoka na shida katika ndoa yang.Natamkia ndoa yangu ibarikiwe
Mungu wa rehema nakuomba,usinipite YEHOVA,sikia na kwangu baba nakuomba ufungue watt wangu maarifa na hekima,wewe ndio unapeana baba naomba kwa imani
Mm sio wa kawaidaaa nitakiriii uzimaaa katikati ya chochote nachopitiaaa God is good this preaching.issss goood so powerful
YESU huu mwaka husinipite niskie kilio na mahitaji ya moyo wsngu
Asante bwana yesu kwakua ni mwema kwetu🙏❤
Natamka uzima kwenye Kila eneo la maisha yangu uzao wa tumbo langu familia yangu wazazi wangu kaka zangu dada zangu wadogo zangu na familia zao kazi zetu mifugo tukutumikie wewe ndoa zetu mashamba uzima kwenye fahamu tuondolee roho za aibu na fedheha madeni umasikini kudharauliwa kejeli kuonewa tumechoka
Mungu aniongoze kwenye ili
Mungu nakutumainia natubu mbele zako baba nisameheee
Nimepona yesu biashara zangu zimefunguka watt wangu wamefunguka yote ni kwa jina la yesu
Naitwa Rehema mimi ni mbarikiwa, mi ni tajiri, mi ni napokea ndoa njema yenye kumpendeza Mungu.
Asante mtumishi WA mungu
Kwa mafundisho yako B blessed
Amen nafuta maneno mabaya yote nilio nenewa Toka kuzaliwa kwangu ninafuta kwa damu ya yesu kristo
Asante YESU wangu 🙌🙌🙌
Yesu aniponye magonjwa yote anifungue kiafya nakiuchumi
Najiunganisha na madhabahu hii Mungu anipe nauli nirudi nyumbani
Unasikika vizuri mutumishi wamungu jinalabwanalibarikiwe
Ameni
Amen amen mtumishi wangu
Nakupata vizuri Sana mtumishi
Najitamkia baraka tele, na mwaka huu ukawe wenye mafanikio kwangu pamoja na familia yangu,nikaongezeke kiroho,kiafya,kiuchumi na nikapokee kibali kutoka kwako eeeh Mungu wangu
kwa jina la Yesu Amen
Ameen Ameen Natamka kesho yangu ni nzuri
kazi nyumba n watoto
Na tamka ushindi kila sehemu ya maisha yangu kwa mwaka huu nina pokeya haja ya moyo wangu kwa imani
Natamkia kijana wangu kazi
Yesu huu mwaka usiishi bila kupokea mume Alie sahihi
Amina barikiwa mtumishi
Mungu nisaidie shetani ananiletea usingizi wakati wa kipindi kwann
bwana asifiwe .mtumishi wa mungu naomba unisaindie kwa maombi juu mm nimeshidwa kuomba kabisa naskia nataka kuomba lakini nikienda kuomba nashidwa nayamaza tu mm ni mtu wamungu naomba usaidizi kwako mtumishi🙏🙏🙏🙏🙏
Bwana asifiwe mimi ni rose mdoe kutoka kimara stop over mungu akubariki
Natamka mafanikio kwenye maisha yangu
Bwana mungu nisikiye na mimi
Usinipite yesu 🙏 nsaidie n mimi
Yes lord usinipite bwana nakusikia mtumishi mm kwashia leo mm ni mshindi ndio bwana nataka baraka nyingi nyingi kutoka kwa bwana na pesa nyingi nyingi🫰🫰 kutoka kwa bwana na neema yako bwana na nyumba zuru na gari zuri yes bwana🤲🤲🤲 na kaka yangu abate kazi amelia sana himetoza sasa bwana wazazi wangu ali yahumasikini hizhe yes lord dada zangu mashule wawe na akili mzuri na familia yangu uwe mwalimu wao bwana ndio bwana🤲🤲🤲🤲🙏🙌 nipokee katika jina la yesu yes lord
Whatsapp
Asante Mungu kwakunipa ushindi
Mungu naomba umponye rafiki yangu pendo awe na afya njem ten na aweze kulea mtt wake .
Usinipite YESU nsaidie n mimi
Nimesumbuliwa na roho ya hofu na woga miaka mingi,ila Kwa sasa natamka ushindi na mafanikio Kwa jina lipitali majina yote YESU KRISTO,.
HALLELUJAH usinipite mwokozi
Emungu wangu unajua napitia katika maumivu makari sana naomba ingilia kati
Aminaa 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 🙏🏾 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Asante YESU
Yesu naomba usinipite ukumbuke maombi yangu kumbuka machozi yangu nifute machozi yangu nope haha ya moyo wangu nisitawishe nifanye mkuu katka hii dunia niwe nyota chochote nitakacho fanya nifanikiwe unipe neema na baraka zako fungua milango zotee za baraka katka maisha yangu nijbu maombi yangu mwaka huu uwe mwaka wa mafanikio kwangu Asante mungu
Naomba unisamehe EeMungu kwa Matamuko mabaya ninayoyatamuka
Emen 🙏🙏. Asante yesu🙏🙏
Najitamkia baraka kwa familia yangu
Asante Yesu unupozuru wengine usinipete unisikie ninaomba
Mungu wangu yasikie maombi yangu niondolee aibu na uniheshimishe niondolee kudhrauliwa na univishe vazi la hekima uirudishe furaha yangu pamoja na nyumba yangu na familia yangu yote uzitimize ndoto zangu tuishi maisha mema yanayo kupendeza na kila hatua tutakayo piga tuuone mkono wako usituache Ee Mungu bola wewe hatuwezi
usinipite Yesu ninaomba
Hallelujah. Maneno ya kinywa changu yatawaliwe nawewe bwana.
Mungu fatwa maneno yote yaliyotamkiwa ndoa yangu,watoto wangu na maisha yangu
Asante yesu
Ndio Bwana 🙏
Mungu naomba uniinulie watu sahihi wa kunisaidia nitoke kwenye maisha magumu 🙏
Najitamkia Mimi ni mzima wa afya na nimepokea uzm kwa nzia leo
Mimi ni mshindo nitashinda na zaidi ya kushinda nafanikiwa katka kila jambo
Mimi.Julie ni Best designer na Mwalimu Bora for future
Mm ni wa thamani
God God God thankyouuuuuuu❤😊
Kwa jina la yesu christo mm ni Tajiri wa ajabu na fela tele
Amen
natamka ushindi natamka kufanikiwanatamka watoto wangu kufanikiwa natamka kupona Marathi yamacho mimi ni mpambanaji me ni jasiri
Amen 🙏🙏🙏🙏
Yesu huu mwaka husinipite niskie kilio na mahitaji ya moyo wsngu😢
Amina Amina
Amina sana
Yesu nena neno moja juu ya maisha yangu amen
Natamka mm nimepona udhaifu wote unaonisumbua, natamka nitaolewa na mtu sahihi alieandaliwa na Bwana,nitajenga nyumba yangu Kwa uwezo wa Mungu, nitalea watoto wangu katika maadili mema Kwa mamlaka ya damu ya Yesu! Mungu wangu wewe hujawahi kushindwa nishike mkono Ee Elshadai 🙏🙏🙏
Natamka mimi ni mfanya biashara mkubwa Geita naenda kukutanishwa na wakuu naenda kuwapa msaada wale wote walionidharau mimi ni muheshimiwa naenda kukaa meza moja na wakuu
Natamka kwa kuamini mwanangu ni geniouse atakua anaongoza grad A kuanzia vidudu mpaka PHD
Natamka leo kupata wateja kwenye biashara yangu ya nguo za ndani nauza laki na 20
Asante Yesu kwa uhai 🎉
Natamka kwa Iman yangu leo ni siku yangu ya BARAKA katika biashara yangu
Kila ninalolitamka bwana ukae pamoja nami likawe lanheri kwangu
Usinipite mwokozi
natamka kupokeya mshaara double
Naimiliki march kwa uweza wako YESU Kristo
natamka kuhishi makusudiyangu sawasawa ginsi MUNGU alinikusudiya
Baba naomba unisadie kila walio tamk mabaya ya batilishe yakawe mema kwangu
Bwana usinipite mwokozi ninakuitaji nakitazama kitichako Cha rehema na ngoti napiga kwako nisamehewe
Natamka sasa nakwenda kupata mume mwema
natamkakuwa financially stable
nataka mke arudi kwsngu
Nataka nipe mkataba wa mwaka mzima nataka nikutane na watu sahihi katika masomo kazini nataka nikubalike kila seheme hr anikubali katika ajira anipemkataba wa mwaka mzima nataka niongezewe mshahara
Ninatamka kwa IMANI ya kua Nita kua na mahusiano makubwa na MUNGU mwaka huu, Ninatamka kwa IMANI yakua nitapona hapa kwenye koo, Ninatamka kwa IMANI yakua nitafauru NECTA Niliyo ifanya, In the name of JESUS Amen amen.
Mchungaji naomba huyo mwimbaji wahiyo nyimbo nina haja nawe
Ninatamka kuanzia sasa nahita mrudishe mmewangu namuhitaji arudi tulee watoto nakuomba badilisha moyo wake
Mungu nizaidie nitamke maneno ya liyo ya maana katika kinywa changu,nikatamke maneno ya baraka yakuleta manufaa na mafanikio yaliyo bora katka maisha yangu na uzao wangu,natamka ushindi kwa mafanikio yangu na mipango yangu ya biashara
Amen