Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu kwani ninachokipata katika mafundisho yako ninaamini nitafika mbali sana na hii ndio ilikuwa kiu ya muda mrefu kupata mafundisho haya asante Mungu kwa kunipa mtumishi wako huyu, barikiwa mtumishi wa Mungu
Mchungaji Mtumishi wa Bwana Mungu akupe siku nyingi za kuishi kwaajili ya kusudi aliloweka ndani yako mafundisho ninamshukuru Mungu sana kwa ajili yako mafundisho yako yamenisaidia sana Mungu akubariki Judith silayo
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu hakika Mungu anakutumia sawa sawa Mungu wa mbinguni Mungu wa lbrahim lsaka na Yakobo asikupungukie akupa mahitaji yako yote uishi miaka mingi mpaka Mungu atimize kusudi lake juu yetu sisi wanadamu nabarikiwa sana na kuinuliwa kwa amani yangu
Asante mtumishi kwa mafundisho haya Hasa mimi binafsi nachukua note 4 , Kabla sijatamka kwa kinwa changu Mungu wangu alie sirini amekwisha jua, Mungu nisaidie
MUNGU akubariki mtumishi , hakika kuna jambo roho wa MUNGU ameliweka ndani yako, kwa ajili ya ulimwengu wote na kizazi cha baadae . pokea neema ya kuzidi kuinuliwa zaidi kwa jina la YESU KIRISTO amina.
Pastor John, Mungu akubariki sana akutunze na aendelee kukupa maono makubwa.Baba, tangu nimeanza kufuatilia mafundisho yako ukweli ninamuona Mungu akinibadirisha ninahitaji mafundisho mengi zaidi na vifungu vya maombi vya kusimamia kwa kila maombi nitakayo kuwa nayafanya
1/. Omba kwa Baba Moja kwa Moja . 2/Acha Neno la Mungu limiliki Maombi yako. 3/ Omba kwa Imani , Amini unachokiomba utakipokea. 4/ Chukua Hatua za Kuzaa matunda katika Kuomba kwako. 5/ Ongozwa . Ruhusu Bwana Akuelekeze . Tupate Neema ya kujifunza , points za ibada ! Asante Mtumishi .
Mchungaji mungu akubariki kwa sababu kupitia mafundisho yako nimeona mabadiliko makubwa asantee mtumishi
Napenda sana mtumishi mafundisho yk ningekuwa ukomwanza ningeshafika dalasani
Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu kwani ninachokipata katika mafundisho yako ninaamini nitafika mbali sana na hii ndio ilikuwa kiu ya muda mrefu kupata mafundisho haya asante Mungu kwa kunipa mtumishi wako huyu, barikiwa mtumishi wa Mungu
Shalom shalom shalom from qatar doha 🇶🇦🇶🇦🇶🇦
Shalom shalom 🎉
Am in Kenya you6 teaching it changing my life
Nijifunza mambo muhimu Sana mtumushi mungu akubariki nitaendelea kujifunza kweli hakika mungu anakutumia sawa sawa na kusudi
Nabarikiwa sana na mafundisho yako baba angu natamani namm niwe mwalimu kama ww ili watu wengi wakimbilie kwa YESU AMINA
Amina nabarikiwa sana na mafundisho yako Mungu alibariki sana mchungaji
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. The message is so powerful
Mchungaji Mtumishi wa Bwana Mungu akupe siku nyingi za kuishi kwaajili ya kusudi aliloweka ndani yako mafundisho ninamshukuru Mungu sana kwa ajili yako mafundisho yako yamenisaidia sana Mungu akubariki Judith silayo
Ubarikiwe sana mutumishi wa mungu na FURAHA kwa mafudisho. Na sema. Asante
Asante kwa mafundisho mazuri hakika ufahamu wangu unafunguka mno, ubarikiwe baba,Mungu akutunze kwaajili ya wengi❤❤❤
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu hakika Mungu anakutumia sawa sawa Mungu wa mbinguni Mungu wa lbrahim lsaka na Yakobo asikupungukie akupa mahitaji yako yote uishi miaka mingi mpaka Mungu atimize kusudi lake juu yetu sisi wanadamu nabarikiwa sana na kuinuliwa kwa amani yangu
Asante mtumishi kwa mafundisho haya
Hasa mimi binafsi nachukua note 4 ,
Kabla sijatamka kwa kinwa changu Mungu wangu alie sirini amekwisha jua,
Mungu nisaidie
Nimebarikiwa,Mungu akuzidishiye maarifa, Amen 🙏🙏🙏🙏
Pastor barikiwa Sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri
Amen huwa nabarikiwa sana na mafundisho yako Mungu akuinue zaidi
Amen napenda mafundisho yako sana paster ubarikiwe
God's word will never expire,I thank God for His word it has touched me.
Ubalikiwe sana mtumishi wa mungu yaani nafurahi sana
Mchungaji mungu akuinuwe katika huduma yk nabarikiwa Sana Sana mungu wa mbinguni akuinuwe
Hungera Sana baba unafundisha vizuri Sana mungu akubariki sana
Balikiwa mtumishi
Ameni
Amen amen ubarikiwe tena zaidi ulivyo Mungu akuweke ju sana
Jina la Bwana Yesu kiristo libarikiwe sana. Asante Mungu BABA
Hasande sana my
God bless you man of
God
Ee bwana yesu naomba umtoe mkwe wangu kwenye mateso makubwa ya maradhi anayoyapitia amina.
Ubarikiwe saaaana Mtumishi wa Baba yetu wa kweli❤🙏.
I just give glory to God for the powerful teaching in spiritual life, more blessings in Jesus mighty name pastor 🙏🙏🙏
Mungu akubariki mtumishi nimejifunza sana hakika neno limekuja kwa wakati
Napenda sana mahubiri yako mungu akufikishe viwango vy juu San mtumish wa mung
Powerful message, God bless you servant of God.
Nimegushwa sana na neno lako pastor George mukabwa
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu unanifungua sana kwenye ufamu nazidi kumjua Mungu kupitia masomo yako
Asante sana kwa somo hili, nimebarikiwa sana ndani ya somo . Sababu maombi ni uriti wangu
Mungu akubariki Sana Mtumishi mafundisho yako yamenifungua Sana saiz nikiomba napokea kwa Wakat sahihi na nakua na Amani Sana kwa Mungu
Mungu azidi kukutumia Baba Mchungaji. Nimepokea na nitachukua hatua ktk kuomba. Amen
Yesu kristo nipe mtoto wa kiume atakuwa mtumishi wako,,, Appostle kwa utukufu wako
Haya mafundisho mazuri kweli barikiwa mtumishi ❤
Asante YESU KRISTO kwa huruma yako kunipa somo hili asante YESU
Amen nabarikiwa sn naomba tuwe tunaomba pamoj
Hongera sana mtumie wa mungu mana kazi unaifanya
Napenda mafundisho mchungaji. Napenda mafundisho ya kufungua macho jinsi ya kukaa ndani ya Mungu na kuenenda uweponi mwake. Asante sana!
Napenda mafundisho yake ,je unavitabu ulivyo andika?
Mafundisho yako yanajitosheleza
Amen amen and amen 🙏🙏🙏🧎🧎
Ameen
Ahsante Bwana yesu kristo kwa neno hii hakika nmepata faida kubwA
This is a very powerful teaching, may God continue to bless you and keep you sir Pastor George Mukabwa.
Very powerful massage 🙏🙏🙏🙏
Asante mtumishi wa Mungu Kuna kitu nimejifunza.Mungu Akubariki sana
Barikiwa mtumishi kwa mafundisho ahsante
Imenifungua sana. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Amen Asante mtumishi wa Mungu.Mungu azidishe neema juu yako
MUNGU akubariki mtumishi , hakika kuna jambo roho wa MUNGU ameliweka ndani yako, kwa ajili ya ulimwengu wote na kizazi cha baadae . pokea neema ya kuzidi kuinuliwa zaidi kwa jina la YESU KIRISTO amina.
As ante sana mtumishi wa Mung u ubarikiwe❤
Oh alelua nilikukua zijielewi kuhusu maombi yakufunga sasa nimepata njia
Asante sana kwa Somo Hili zuri mno.Mungu akubariki Sana sana.Asante sana Mchungaji
Asante sana Pastor.
May God bless you
Ameniii barikiwa sana mtumishi
Umewaanda Watu ktk Maombi Omba Mtu wa Mungu unawaondoa Watu kwenye Uwepo na hawatafiatilia mahubiri Yako yanakosa hitimisho
Be blessed man of God, unanibariki sana na mafundisho yako.
Am blessed with the message ,may the Lord give you strength and Grace to be used by God. May the Lord anable me to grow through this
Virement homme de dieu mungu akubariki sana
Aksante sana kwa mafundisha Baba ubarikiwe na Mungu,
Baba jambo mungu akupe ujasiri
Asante kwa mafundisho mana Kuna pahali navika mtumishi
Mtu wa Mungu asante kwa mafundisho haya Yanaleta utukufu wa jina lako
Ubarikiwe mushungaji
Ubarikiwe sana Dady napenda mafundisho yako Kila nikikusikiliza napata hatua zaidi ndani ya BWANA
Mungu aibariki na kuinua huduma yake ndani yako,nabarikiwa sana.
Mungu akulinde Zaidi mtumishi hakika mafundisho Ni mazuri mno.
Thank you Lord we are blessed
Hakika mb zangu haziendi bule asante Yesu nime jifunza nimeelewa
Nakupenda mtumishi mafundisho yako yamenijenga sana katika maisha yangu MUNGU akubariki Sana azidi kukutunza.
Nkwel mafundisho yake yakipekee
Mungu akubariki sana apostole
Ameen🙏 Nabarikiwa Sana Na Mafundisho Yako Mtumishi
Barikiwe sana, unazidi kunijega kiroho
Ooooo ubarikiwe saana mtumishi wamungu kwaneno raushindi,
Napenda mahubiri yako sana mungu akubariki tena sana
Mafundisho yananitoa mbali sana
Asante nchungaji kwa neno hili kubwa
Ubarikiwe mtumishii kwa mafundisho yako mazuri
Mungu asiye shidwa kamwe akumbariki nimebarikiwa sana kujiya nguvu mupiya
mungu akubariki mchungaji sana...nmebarikiwa
Pastor John, Mungu akubariki sana akutunze na aendelee kukupa maono makubwa.Baba, tangu nimeanza kufuatilia mafundisho yako ukweli ninamuona Mungu akinibadirisha ninahitaji mafundisho mengi zaidi na vifungu vya maombi vya kusimamia kwa kila maombi nitakayo kuwa nayafanya
Hakika mungu ni mwema mafundisho mazuri sana
Pastor asante sana umeguza roho yangu sana barikiwa and may God's will be done on us in Jesus Name Amen Amen and
Amen,,mafundisho mzuri sana,barikiwa sana
Alelluyah alelluyah blessed ❤❤
Glory to God 🙏🙏🙏
Asante kunifundisha kurudisha roho ya maombi
Baba ubarikwe kwa mafundisho mazuri
Barikiwa sana na maombi yako mtumishi
Amen pastor ubarikiwe sana
Amen Ameeeen nabarikiwa sana na mafundisho pastor.
Ujumbe mzuri Sana novina hiyo wangeitoa watu wajue
Ubarikiwe pastor kwa mafundisho ya msingi sana kwa waamini
Haleluya haleluya mtumishi ubarkiwe sana kwa mafundisho mazur
1/. Omba kwa Baba Moja kwa Moja . 2/Acha Neno la Mungu limiliki Maombi yako. 3/ Omba kwa Imani , Amini unachokiomba utakipokea. 4/ Chukua Hatua za Kuzaa matunda katika Kuomba kwako. 5/ Ongozwa . Ruhusu Bwana Akuelekeze . Tupate Neema ya kujifunza , points za ibada ! Asante Mtumishi .
Hakika Mungu akutumie zaidi,na utufundishe kuishi kikristo
Barikiwa sana mtumish
👏👏👏👌👌👌👍👍👍 maelezo yako hunifanya nielewe kindani mchungaji,Mungu akubariki,uishi maisha marefu.
Ameen mtumishi mungu akubari sana kwa ujumbe wako
Mungu aendelee kukutunza mtumwa wa mungu aliye hai
Baba ubarikiwe Kwa neno zuri naona kufunguliwa
Hakika wewe ni zaidi ya pastor,ni mwalimu.
Ameen Baba ubarikiwe sana kwa mafudisho yako mazuri
God bless you Pastor