MAOMBI YASIYOSHINDWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 296

  • @GinoraKanga
    @GinoraKanga Месяц назад +2

    Mchungaji mungu akubariki kwa sababu kupitia mafundisho yako nimeona mabadiliko makubwa asantee mtumishi

  • @AicaJulius-fk6ug
    @AicaJulius-fk6ug Год назад +1

    Napenda sana mtumishi mafundisho yk ningekuwa ukomwanza ningeshafika dalasani

  • @Aisha-hg4et
    @Aisha-hg4et 8 месяцев назад +5

    Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu kwani ninachokipata katika mafundisho yako ninaamini nitafika mbali sana na hii ndio ilikuwa kiu ya muda mrefu kupata mafundisho haya asante Mungu kwa kunipa mtumishi wako huyu, barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @RemnantsDisciple
    @RemnantsDisciple 10 месяцев назад +2

    Shalom shalom shalom from qatar doha 🇶🇦🇶🇦🇶🇦

  • @DennisKituyi-b8l
    @DennisKituyi-b8l 2 месяца назад

    Am in Kenya you6 teaching it changing my life

  • @ConsolathaLucas
    @ConsolathaLucas Год назад +1

    Nijifunza mambo muhimu Sana mtumushi mungu akubariki nitaendelea kujifunza kweli hakika mungu anakutumia sawa sawa na kusudi

  • @AGNESNDALIFANYA
    @AGNESNDALIFANYA 2 месяца назад +1

    Nabarikiwa sana na mafundisho yako baba angu natamani namm niwe mwalimu kama ww ili watu wengi wakimbilie kwa YESU AMINA

    • @SuzanaPyanila
      @SuzanaPyanila Месяц назад +1

      Amina nabarikiwa sana na mafundisho yako Mungu alibariki sana mchungaji

  • @TWRWomenofHopeTanzania
    @TWRWomenofHopeTanzania Год назад +1

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. The message is so powerful

  • @judithsilayo1449
    @judithsilayo1449 Год назад

    Mchungaji Mtumishi wa Bwana Mungu akupe siku nyingi za kuishi kwaajili ya kusudi aliloweka ndani yako mafundisho ninamshukuru Mungu sana kwa ajili yako mafundisho yako yamenisaidia sana Mungu akubariki Judith silayo

  • @NoellaBilembano
    @NoellaBilembano 10 месяцев назад

    Ubarikiwe sana mutumishi wa mungu na FURAHA kwa mafudisho. Na sema. Asante

  • @gloryjoseph9779
    @gloryjoseph9779 4 месяца назад

    Asante kwa mafundisho mazuri hakika ufahamu wangu unafunguka mno, ubarikiwe baba,Mungu akutunze kwaajili ya wengi❤❤❤

  • @ibrahimukikwilili4368
    @ibrahimukikwilili4368 9 месяцев назад +1

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu hakika Mungu anakutumia sawa sawa Mungu wa mbinguni Mungu wa lbrahim lsaka na Yakobo asikupungukie akupa mahitaji yako yote uishi miaka mingi mpaka Mungu atimize kusudi lake juu yetu sisi wanadamu nabarikiwa sana na kuinuliwa kwa amani yangu

  • @emeliakatchunga9524
    @emeliakatchunga9524 2 года назад +5

    Asante mtumishi kwa mafundisho haya
    Hasa mimi binafsi nachukua note 4 ,
    Kabla sijatamka kwa kinwa changu Mungu wangu alie sirini amekwisha jua,
    Mungu nisaidie

  • @SylviaNekesa-i7t
    @SylviaNekesa-i7t 10 месяцев назад

    Nimebarikiwa,Mungu akuzidishiye maarifa, Amen 🙏🙏🙏🙏

  • @monicambetwa9301
    @monicambetwa9301 Год назад +2

    Pastor barikiwa Sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri

  • @EstherMgumila
    @EstherMgumila Год назад

    Amen huwa nabarikiwa sana na mafundisho yako Mungu akuinue zaidi

  • @Beatricekanyifasisei-np6ko
    @Beatricekanyifasisei-np6ko 3 месяца назад

    Amen napenda mafundisho yako sana paster ubarikiwe

  • @ErastuC
    @ErastuC 10 месяцев назад

    God's word will never expire,I thank God for His word it has touched me.

  • @SJSTV-z7k
    @SJSTV-z7k 10 месяцев назад

    Ubalikiwe sana mtumishi wa mungu yaani nafurahi sana

  • @WalterKombe
    @WalterKombe 7 месяцев назад +1

    Mchungaji mungu akuinuwe katika huduma yk nabarikiwa Sana Sana mungu wa mbinguni akuinuwe

  • @priscaputa8442
    @priscaputa8442 2 года назад +2

    Hungera Sana baba unafundisha vizuri Sana mungu akubariki sana

  • @felisternicholaus3281
    @felisternicholaus3281 Год назад

    Jina la Bwana Yesu kiristo libarikiwe sana. Asante Mungu BABA

  • @IreneNasimiyu-c1n
    @IreneNasimiyu-c1n 10 месяцев назад

    Hasande sana my
    God bless you man of
    God

  • @RehemaAhmed-ms5qq
    @RehemaAhmed-ms5qq 6 месяцев назад +2

    Ee bwana yesu naomba umtoe mkwe wangu kwenye mateso makubwa ya maradhi anayoyapitia amina.

  • @yohanachulila1992
    @yohanachulila1992 5 месяцев назад

    Ubarikiwe saaaana Mtumishi wa Baba yetu wa kweli❤🙏.

  • @CatherineMakokha-dg6ws
    @CatherineMakokha-dg6ws Год назад +1

    I just give glory to God for the powerful teaching in spiritual life, more blessings in Jesus mighty name pastor 🙏🙏🙏

  • @Ajege-r9c
    @Ajege-r9c 7 месяцев назад +1

    Mungu akubariki mtumishi nimejifunza sana hakika neno limekuja kwa wakati

  • @beatusdaniel
    @beatusdaniel Год назад

    Napenda sana mahubiri yako mungu akufikishe viwango vy juu San mtumish wa mung

  • @SheilaChebii-g6y
    @SheilaChebii-g6y 11 месяцев назад

    Powerful message, God bless you servant of God.

  • @KarisaSulubu
    @KarisaSulubu 10 месяцев назад

    Nimegushwa sana na neno lako pastor George mukabwa

  • @teresia.rashiddeule4228
    @teresia.rashiddeule4228 2 года назад +1

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu unanifungua sana kwenye ufamu nazidi kumjua Mungu kupitia masomo yako

  • @esthermwiramasika9026
    @esthermwiramasika9026 2 года назад +1

    Asante sana kwa somo hili, nimebarikiwa sana ndani ya somo . Sababu maombi ni uriti wangu

  • @CleedearNicholas
    @CleedearNicholas 8 месяцев назад

    Mungu akubariki Sana Mtumishi mafundisho yako yamenifungua Sana saiz nikiomba napokea kwa Wakat sahihi na nakua na Amani Sana kwa Mungu

  • @edithkyando4900
    @edithkyando4900 8 месяцев назад +1

    Mungu azidi kukutumia Baba Mchungaji. Nimepokea na nitachukua hatua ktk kuomba. Amen

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад +2

    Yesu kristo nipe mtoto wa kiume atakuwa mtumishi wako,,, Appostle kwa utukufu wako

  • @gaelmaombi2570
    @gaelmaombi2570 8 месяцев назад

    Haya mafundisho mazuri kweli barikiwa mtumishi ❤

  • @leahdaniel1117
    @leahdaniel1117 Год назад +1

    Asante YESU KRISTO kwa huruma yako kunipa somo hili asante YESU

  • @neemakamgisha2951
    @neemakamgisha2951 2 года назад +2

    Amen nabarikiwa sn naomba tuwe tunaomba pamoj

  • @محمدمم-م8ي
    @محمدمم-م8ي Год назад +1

    Hongera sana mtumie wa mungu mana kazi unaifanya

  • @denismukabwa2642
    @denismukabwa2642 Год назад +33

    Napenda mafundisho mchungaji. Napenda mafundisho ya kufungua macho jinsi ya kukaa ndani ya Mungu na kuenenda uweponi mwake. Asante sana!

    • @gilsonwanje
      @gilsonwanje Год назад +4

      Napenda mafundisho yake ,je unavitabu ulivyo andika?

    • @pascaladolph5307
      @pascaladolph5307 Год назад +1

      Mafundisho yako yanajitosheleza

    • @Mary-z5i1s
      @Mary-z5i1s 9 месяцев назад +1

      Amen amen and amen 🙏🙏🙏🧎🧎

    • @GeofreyMswima
      @GeofreyMswima 6 месяцев назад

      Ameen

  • @AffectionateCheckeredFla-jx2ph
    @AffectionateCheckeredFla-jx2ph 6 месяцев назад

    Ahsante Bwana yesu kristo kwa neno hii hakika nmepata faida kubwA

  • @maystellakajuna5461
    @maystellakajuna5461 6 месяцев назад

    This is a very powerful teaching, may God continue to bless you and keep you sir Pastor George Mukabwa.

  • @olphanyamweya3154
    @olphanyamweya3154 Год назад +1

    Very powerful massage 🙏🙏🙏🙏

  • @justojaredi9578
    @justojaredi9578 2 года назад +1

    Asante mtumishi wa Mungu Kuna kitu nimejifunza.Mungu Akubariki sana

  • @zuwenahamud9152
    @zuwenahamud9152 2 года назад +1

    Barikiwa mtumishi kwa mafundisho ahsante

  • @marthayoshua4318
    @marthayoshua4318 Год назад

    Imenifungua sana. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu

  • @marycharlesndulila5061
    @marycharlesndulila5061 2 года назад +1

    Amen Asante mtumishi wa Mungu.Mungu azidishe neema juu yako

  • @JoshuaNasari
    @JoshuaNasari 8 месяцев назад +3

    MUNGU akubariki mtumishi , hakika kuna jambo roho wa MUNGU ameliweka ndani yako, kwa ajili ya ulimwengu wote na kizazi cha baadae . pokea neema ya kuzidi kuinuliwa zaidi kwa jina la YESU KIRISTO amina.

  • @Zamdaswahibu
    @Zamdaswahibu 7 месяцев назад

    As ante sana mtumishi wa Mung u ubarikiwe❤

  • @BenjaminSimiyu-v4n
    @BenjaminSimiyu-v4n 6 месяцев назад

    Oh alelua nilikukua zijielewi kuhusu maombi yakufunga sasa nimepata njia

  • @christinamsoka
    @christinamsoka 2 года назад

    Asante sana kwa Somo Hili zuri mno.Mungu akubariki Sana sana.Asante sana Mchungaji

  • @judithrugambuka6321
    @judithrugambuka6321 7 месяцев назад

    Asante sana Pastor.
    May God bless you

  • @atunophola3527
    @atunophola3527 Год назад

    Ameniii barikiwa sana mtumishi

  • @reubenbegashe2066
    @reubenbegashe2066 Год назад

    Umewaanda Watu ktk Maombi Omba Mtu wa Mungu unawaondoa Watu kwenye Uwepo na hawatafiatilia mahubiri Yako yanakosa hitimisho

  • @anniafredrick8925
    @anniafredrick8925 9 месяцев назад

    Be blessed man of God, unanibariki sana na mafundisho yako.

  • @agnesmutangilimutangili873
    @agnesmutangilimutangili873 7 месяцев назад

    Am blessed with the message ,may the Lord give you strength and Grace to be used by God. May the Lord anable me to grow through this

  • @ShabaniJeremie
    @ShabaniJeremie 6 месяцев назад +1

    Virement homme de dieu mungu akubariki sana

  • @jacqueskatembo1923
    @jacqueskatembo1923 9 месяцев назад

    Aksante sana kwa mafundisha Baba ubarikiwe na Mungu,

  • @TangaJulienne
    @TangaJulienne 5 дней назад

    Baba jambo mungu akupe ujasiri

  • @monicahmichael-y9y
    @monicahmichael-y9y 3 месяца назад

    Asante kwa mafundisho mana Kuna pahali navika mtumishi

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 10 месяцев назад

    Mtu wa Mungu asante kwa mafundisho haya Yanaleta utukufu wa jina lako

  • @penny6643
    @penny6643 11 месяцев назад +3

    Ubarikiwe mushungaji

  • @upendojubilate9072
    @upendojubilate9072 Год назад

    Ubarikiwe sana Dady napenda mafundisho yako Kila nikikusikiliza napata hatua zaidi ndani ya BWANA

  • @VeronicaMtega
    @VeronicaMtega 11 месяцев назад

    Mungu aibariki na kuinua huduma yake ndani yako,nabarikiwa sana.

  • @juhudijotham1051
    @juhudijotham1051 2 года назад +1

    Mungu akulinde Zaidi mtumishi hakika mafundisho Ni mazuri mno.

  • @naomimbele8500
    @naomimbele8500 Год назад +1

    Thank you Lord we are blessed

  • @nurupilla1901
    @nurupilla1901 Год назад +1

    Hakika mb zangu haziendi bule asante Yesu nime jifunza nimeelewa

  • @veronicaalex2709
    @veronicaalex2709 2 года назад +2

    Nakupenda mtumishi mafundisho yako yamenijenga sana katika maisha yangu MUNGU akubariki Sana azidi kukutunza.

  • @agnessally7513
    @agnessally7513 9 месяцев назад

    Ameen🙏 Nabarikiwa Sana Na Mafundisho Yako Mtumishi

  • @dianabonareri4294
    @dianabonareri4294 Год назад

    Barikiwe sana, unazidi kunijega kiroho

  • @WiliamYusuph
    @WiliamYusuph 5 месяцев назад

    Ooooo ubarikiwe saana mtumishi wamungu kwaneno raushindi,

  • @nurumuzei964
    @nurumuzei964 2 года назад +2

    Napenda mahubiri yako sana mungu akubariki tena sana

  • @TrizaMwegoha-bk8mm
    @TrizaMwegoha-bk8mm 11 месяцев назад +3

    Mafundisho yananitoa mbali sana

  • @MuningaSion
    @MuningaSion 10 месяцев назад +1

    Asante nchungaji kwa neno hili kubwa

  • @nyankindiabdallah4902
    @nyankindiabdallah4902 2 года назад +1

    Ubarikiwe mtumishii kwa mafundisho yako mazuri

  • @EstherWaikani-df6tn
    @EstherWaikani-df6tn 11 месяцев назад

    Mungu asiye shidwa kamwe akumbariki nimebarikiwa sana kujiya nguvu mupiya

  • @AngelMasunzu
    @AngelMasunzu Год назад +2

    mungu akubariki mchungaji sana...nmebarikiwa

  • @joycemwasote2959
    @joycemwasote2959 Год назад +1

    Pastor John, Mungu akubariki sana akutunze na aendelee kukupa maono makubwa.Baba, tangu nimeanza kufuatilia mafundisho yako ukweli ninamuona Mungu akinibadirisha ninahitaji mafundisho mengi zaidi na vifungu vya maombi vya kusimamia kwa kila maombi nitakayo kuwa nayafanya

    • @EligadiMlay
      @EligadiMlay Год назад

      Hakika mungu ni mwema mafundisho mazuri sana

  • @edinahmasea1603
    @edinahmasea1603 Год назад +1

    Pastor asante sana umeguza roho yangu sana barikiwa and may God's will be done on us in Jesus Name Amen Amen and

  • @phylisselebwa4716
    @phylisselebwa4716 Год назад

    Amen,,mafundisho mzuri sana,barikiwa sana

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 10 месяцев назад

    Alelluyah alelluyah blessed ❤❤

  • @JACINTAANGWENYI
    @JACINTAANGWENYI 6 месяцев назад

    Glory to God 🙏🙏🙏

  • @GraceFrancis-xi2ru
    @GraceFrancis-xi2ru Год назад

    Asante kunifundisha kurudisha roho ya maombi

  • @alexmtimbi4083
    @alexmtimbi4083 Год назад +2

    Baba ubarikwe kwa mafundisho mazuri

  • @msafirishio3012
    @msafirishio3012 Год назад

    Barikiwa sana na maombi yako mtumishi

  • @tinaprecious
    @tinaprecious Год назад

    Amen pastor ubarikiwe sana

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 Год назад +1

    Amen Ameeeen nabarikiwa sana na mafundisho pastor.

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 3 месяца назад

    Ujumbe mzuri Sana novina hiyo wangeitoa watu wajue

  • @eliyammari6382
    @eliyammari6382 Год назад +1

    Ubarikiwe pastor kwa mafundisho ya msingi sana kwa waamini

  • @NATHANITMAKESE
    @NATHANITMAKESE Год назад

    Haleluya haleluya mtumishi ubarkiwe sana kwa mafundisho mazur

  • @rosemichael7287
    @rosemichael7287 5 месяцев назад +6

    1/. Omba kwa Baba Moja kwa Moja . 2/Acha Neno la Mungu limiliki Maombi yako. 3/ Omba kwa Imani , Amini unachokiomba utakipokea. 4/ Chukua Hatua za Kuzaa matunda katika Kuomba kwako. 5/ Ongozwa . Ruhusu Bwana Akuelekeze . Tupate Neema ya kujifunza , points za ibada ! Asante Mtumishi .

  • @gracemulinga66
    @gracemulinga66 9 месяцев назад

    Hakika Mungu akutumie zaidi,na utufundishe kuishi kikristo

  • @mariamabdallah6774
    @mariamabdallah6774 2 года назад +1

    Barikiwa sana mtumish

  • @josephinegagai
    @josephinegagai 9 месяцев назад

    👏👏👏👌👌👌👍👍👍 maelezo yako hunifanya nielewe kindani mchungaji,Mungu akubariki,uishi maisha marefu.

  • @josephwawuda3204
    @josephwawuda3204 Год назад

    Ameen mtumishi mungu akubari sana kwa ujumbe wako

  • @RabidiMwakatapa
    @RabidiMwakatapa 7 месяцев назад

    Mungu aendelee kukutunza mtumwa wa mungu aliye hai

  • @MwasangwaleJobina
    @MwasangwaleJobina 11 месяцев назад

    Baba ubarikiwe Kwa neno zuri naona kufunguliwa

  • @EuphrasiaNtawatawa
    @EuphrasiaNtawatawa Год назад +2

    Hakika wewe ni zaidi ya pastor,ni mwalimu.

  • @fatemajohn3195
    @fatemajohn3195 Год назад +2

    Ameen Baba ubarikiwe sana kwa mafudisho yako mazuri

  • @bettywangari6854
    @bettywangari6854 8 месяцев назад

    God bless you Pastor