FAHAMU NGUVU YA UTAKASO || PASTOR GEORGE MUKABWA || 18/02/2024
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- PASTOR GEORGE MUKABWA - SENIOR PASTOR - JESUS RESTORATION CENTER (JRC), MWANZA, TANZANIA.
Unaweza Tuma Sadaka yako kwenda ;
- M-Pesa Lipa Namba : 5252176
- MPESA number : +255 753 333 008 (Jina : George Stephen Mukabwa)
- KCB Bank Acc : 3300692938 (Jina : JESUS RESTORATION CENTER)
Gospel Teachings for soul winning Purpose.
Asante sana mtumishi. Mungu akuinue sana sana.Uwe juu tu wala hutakuwa mkia. Wabarikiwe watoto,make na wazazi,pia huduma yako
Mungu akubariki sana Pastor. Napata vitu vya maana sana. Mungu azidi kukuinua na kukuweka mahali pa juu wewe na familia yako,huduma na kanisa lako.
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu maubiri yako imenipatilisha sana 🙏
Asante pastor nimebarikiwa nanibebadilisha maisha
Amen pastor mungu akubriki hili neno la leo naona kubdilshwa ❤❤❤❤🎉🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌
Nimebarikiwa nakukuwakiroho sana nikiwa Burundi mngu azidi kukuinuwa
Amen amen amen 💖🙏🙏
Ujumbe wa Leo umeniguza sana ,mungu anitie nguvu zaidi niishi katika neno lake! 🙏🙏🙏
My k😊
Nabarikiwa naahubiri yenye kibal nahuishwa siku Hadi siku
Amen Amen
Mungu ututakase kabisa
Mungu ni mwema njamani kutupa waubiri na waimbaji wote keenye mtandao amem bwana. Yesu mzururi ❤❤🎉🎉🎉🌹🔥🔥🔥🔥🔥🥰❤️🤲🙏🏼🙏🏼🙏🏼👏👏🙌🏼🙌🏼🔥🔥🔥
Harrelluyah Jehova uzidi kubariki mchunganji Na Neema Kwa Wingo.mafundisho yake inatupatia uzima wako❤❤❤❤Asante yesu
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤OH MY goodness Peophet
Hakika leo naona wazi wazi kuwa Mungu amesema nami na kunijibu maswali yangu na shida zangu zote..
Mtumshi Mungu azidi kukuinua siku kwa siku na kukuonekania na kukutumia kama chombo kutushibisha ..
Barikiwa
Mungu wa mbingu na nchi akubariki mtumishi wa Mungu
Amen ubarikiwe Paston George, kwa neno nzuri la Mungu nimebarikiwa sana.
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu,ninabarikiwa sana na mafundisho yako,Mungu aendelee kukutumia.
Bwana Yesu Asifiwe sana na wafwatilia kutoka Marekani na Mungu wa Milele akuinue sana ili kizazi hiki kimejaa uvivu na kutaka nipe nipe tu kisikie sauti ya Mungu watu wajue kanuni za Mungu.
Nimebarikiwa sana namtukuza Mungu WA mbinguni kwajili ya mtumishi
Asante pastor,kuanjia leo najitakaza Kwa bwana,nataka niishi maisha ya kumpendeza mungu🙏🙏
❤
Akika huu ujumbe ni wangu , pastor Asante Kwa ukuuleta Kwa wakati mzuri GOD bless you 🙏❤️..... following from Saudi Arabia pastor kumbuka wenye tuko mbali , maombi ya Hana natamani kujiunga Niko Kwa kikudi Cha REBECCA pls nifahamishe.
Nakufuatilia kutoka Kenya naomba utukufu wa Mungu kwa maisha yangu. God bless you man of God❤
🙏
Amen Asante mtumishi nimebarikiwa naiona neema ya Bwana i'm watching frm kahama shinyanga
barkiwa sana mtumishi unatupe neno lilo fresh MUNGU azidi kuzidisha kwako😊
Amen Amen ....Asante sana mtumishi mungu ainuliwe milele na milele
Ameen mtumishi mungu azidi kukujali uzima na afya nabarikiwa sana
Amen pastor George MUNGU akubalk na kukuinua Zaid 🙏
Nabarikiwa na neno hili, hakika Mungu anasema na roho zetu
Amen Mungu akubariki mtumishi tunabarikiwa
Amen pstr forever be blessed and may God continue relevating you to higher mount
Amina mtumishi wa Mungu
Barikiwa sana mtumishi wa MNGU
Nimebarikiwa sana na neno la mungu ❤❤❤❤ sunday
Ameen and Ameen Our God is powerful be blessed more pastor am really blessed with ur Service may the lord lifted you more up
Hallelujah AMEN thank you my God
For Enabling me to Reach today 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante mtumishi najifunza kila leo balikiweni sana
Mungu akubariki
Amen God bless all 🙏🏼💐🌹🎉🎉😊💞🌹
Ayo maubili niyakwangu mungu akubalikisana
Amen 🙏 ,kwa ushujumbe huu muhimu ,be blessed
I'm blessed always by your msg pastor
Amen papa
❤❤❤❤Ameeen
Powerful doctrine
Natamani dunia ikuelewe
Ameni ameni
Amen and amen I'm very blessed with teaching, more blessings in Jesus mighty name pastor 🙏🙏
Nimechelewa ila nafatilia neno zuri muno
Tunaomba kutumiwa namba ya sadaka kwa tulio mbali.
pasita kiukweri unatubariki naitwa pauro kutoka uganda
Nimebarikiwa sana,Niko Kenya nitatuma sadaka zangu aje ?
0722578776.George.
Ubarikiwe sana mchungaji tatizo nalopata ni ya matoleo yangu,hazifanyi hizo ,ntatumaje sadaka?
Uko wapi?.
0753333008.George.
Tikiti ni nini?
Woter melon
🍉 hii ndo tikiti
Judith it is watermelon
😂😂😂😂😂mfungo ina mjaribu kweli
Amen 🙏 🙏 🙏
Amen
Ameeeeeeeeeeen
Amen baba
Amen 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen Amen
Amen Amen
Amen
Amen