FIMBO YA AJABU: INATIBU MAGONJWA, INAFICHUA SIRI, WANAUME 5 HAWAWEZI KUIZUIA, ANAYEMILIKI ASIMULIA..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • FIMBO YA AJABU: INATIBU MAGONJWA, INAFICHUA SIRI, WANAUME 5 HAWAWEZI KUIZUIA, ANAYEMILIKI ASIMULIA..
    MAAJABU! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia 'FIMBO' ya Ajabu inayomilikiwa na kijana, Nurdin Muhidin Dongo (19), yenye uwezo wa kufanya mambo makubwa ya kushangaza ikiwemo kutibu maradhi mbalimbali, kufichua siri za mtu, lakini nguvu iliyonayo ni kubwa kiasi kwamba wanaume wanne walioshiba hawawezi kuizuia...
    Akizungumza na Global TV, Kijana Nurdin, amesimulia jinsi alivyoipata Fimbo hiyo akiwa na umri wa miaka tisa....
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 205

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 3 года назад +5

    Mashaa allah tabarakallah

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 3 года назад +6

    Mashallah

  • @qwqw1665
    @qwqw1665 2 года назад +1

    Nakupenda sana ww kaka mana unahofu ya alla 🙏🙏🙏🙏

  • @mwanaumejasiri3835
    @mwanaumejasiri3835 3 года назад +1

    MAASHA ALLAH

  • @sheisgodorait5721
    @sheisgodorait5721 3 года назад +4

    Allah akubariki na azidi kukupa nuru zaidi

  • @zamzamzam3920
    @zamzamzam3920 3 года назад +2

    MaalnshaAllah

  • @deejaymustaphar2544
    @deejaymustaphar2544 3 года назад +1

    ningependa sheikh amwaagize fimbo kupaa angani, iwainue juu

  • @rayamuhene5246
    @rayamuhene5246 3 года назад +14

    Jamani muwe waelewa huu sio unabii nikuonyesha uwepo wa allah

    • @khalidsalmin7682
      @khalidsalmin7682 3 года назад

      Qurani inatosha kujua ALLAH S.W yupo pamoja na dunia angalia na vilivyo tuzunguka lakini hii bakora swali langu huyu kijana kapewa na majini ama weye unahisi nani walioenda kumuekea...ama nani kampa hapo hata yeye mwenyewe hajui inamaana ni majini hao...kwa mujibu wa kidesturi majini wanaweza kufanya mambo kama hayo...

    • @shantellemwanakombo3703
      @shantellemwanakombo3703 3 года назад +3

      @@khalidsalmin7682 ingekuwa ni majini isingelewana ma Quran na isingeamrishwa kwa jila la Mwenyenzi Mungu ikafanya

    • @khalidsalmin7682
      @khalidsalmin7682 3 года назад

      @@shantellemwanakombo3703 kueni makini sana nyie mitume walipewa miujiza na mtume alipewa na miujiza yake kwa maana bakora ulikua ni muujiza wa NABII mussa a.s kutoka kwa ALLAH S.W wapo hata baadhi ya masheikh wengi tu wanatumia majini na wanafanya mambo kuliko hayo swali langu ni moja tu hiyo bakora yeye mwenyewe hajui inapotoka pili mtume Muhammad S.A.W ni wa mwisho na ashakamilisha kila kitu na miujiza aliotuachia mtume Muhammad S.A.W ni quran tu sasa tokea aondoke MTUME MUHAMMAD S.A.W maswahaba wote wasipewe maajabu kama haya na ALLAH S.W aje apewe kijana huyu mbona haingii ata akilini fikirini vizuri jamani majini wana vitimbi kila aina na wanadanganya sana wanaadamu na hayo mambo yashatokea sehemu mbalimbali hivyo hiyo bakora ina utatanishi kwenye mawazo kwasababu haiwezi kujieleza haizungumzi vipi tukifuate kitu kisichoongea wakati quran ipo nijibu sasa...

    • @mwanaishamlima2047
      @mwanaishamlima2047 3 года назад

      @@shantellemwanakombo3703 ukimtaja Allah kwa shiriki bila kua na imani sahihi shetani hupenya

    • @samiraamran1890
      @samiraamran1890 3 года назад

      Habari kaka

  • @husnaameen9309
    @husnaameen9309 3 года назад +1

    Hiyo fimbo haijaiyona kuwa dunia inateswa na corona

  • @bravokingtz9073
    @bravokingtz9073 3 года назад +2

    Allah Akbar

  • @nusuratihamisi6524
    @nusuratihamisi6524 3 года назад +1

    Subhannallah

  • @khalidsalmin7682
    @khalidsalmin7682 3 года назад +5

    Sawa kabisa mashaallah umesilimu Alhamdulillah lakini hao waliokuwa wakikuotesha hizo ndoto ni majini kwa mujibu wa dalili hizo hivyo sasa haipaswi weye kutumia fimbo hiyo kama eti ni maajabu hakuna cha ajabu apo hayo mambo wanayo fanya hivyo kwenye hiyo fimbo ni majini hao sasa weye ungeachana nayo hayo mambo ya fimbo kama kuona umepewa maajabu hapana kwasababu ukizungumzia miujiza asaivi waislam tumebakisha Quran tu na mpaka atakapo rudi NAbii ISSA A.S ndipo atakuja na miujiza itokayo kwa ALLAH S.W kwaajili ya watakao amini unaposema neno maajabu yatokanayo na ALLAH S.W basi hata shirki bila ya ALLAH S.W haiwezi kufanyika lakini yeye ALLAH S.W ametukataza hata tusiwe karibu nayo wazo langu madamu umeshaingia kuwa muislamu yatosha quran na sunna za mtume Muhammad S.A.W kuwa tiba na dawa katika desturi ya kawaida na si fimbo kwani kipungua nini kwenye hadi uwe una iamrisha na kuiuliza fimbo shida badala ya kumuuliza ALLAH S.W KWA kumuomba kipi kilichozidi kwenye hiyo fimbo achana na hiyo fimbo soma quran na kufuata hadithi na sunna za mtume Muhammad S.A.W ipasavyo yatosha Alhamdulillah.

    • @kherysamiry6716
      @kherysamiry6716 3 года назад +1

      Ndugu ww huna elimu wala hekima ww ndio unatakiwa usome soma baba ww dini huijuw kabisa

    • @khalidsalmin7682
      @khalidsalmin7682 3 года назад

      @@kherysamiry6716 kheri sijakuelewa apo

    • @tareqhilal6750
      @tareqhilal6750 3 года назад

      Tayb nimekuelewa sana yatakikana asimame katika Quran

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 3 года назад +3

    Jamani hii fimbo Wasaidie wangojwa wa maradhi makubwa jamani kama kasa walipoza mungu uwenda hataleta kheri yake

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 года назад

    SUBHANALAH masha Allah

  • @nambasaashamiah9070
    @nambasaashamiah9070 3 года назад

    Watching from Uganda

  • @dhayondrama9907
    @dhayondrama9907 3 года назад

    ALLAHU AKBAR

  • @theroots2743
    @theroots2743 3 года назад +1

    Hiyo fimbo ipeleke china au marekani ukafanye matibabu ya corona

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi9313 3 года назад

    Takbiiir

  • @rahmabakari8925
    @rahmabakari8925 3 года назад +1

    As alaikum sheigh ninamzeewangu anasumbuliwa na miguu nahitaji nambazako

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi9313 3 года назад +1

    SubhanAllah

  • @omarsaidy2474
    @omarsaidy2474 3 года назад +1

    zama hizi za mwisho tutayaona mengi imani zetu zitatikiswa sana na tutayaona mengi sana ya uwongo kikubwa tu tusimame imara na imani zetu tusiteteleke maana tunakoelekea ni pabaya sana ndugu zangu

  • @mohamedabdullahi3073
    @mohamedabdullahi3073 3 года назад +2

    Subhanallah!! Allah husamehe madhambi mengi lakini sio Shirki kubwa cha kiwango huko. Ndugu Muislamu usipotoshwe na huyu mshirikina mkubwa!!

  • @mohammedrajabu7449
    @mohammedrajabu7449 3 года назад +2

    MaashaaAllah

  • @samsonhaule3647
    @samsonhaule3647 Год назад

    Iyamuru hiyo fimbo iwanyanyue juu miguu isiguse chini, hapo ndipo tutaamini hiyo fimbo.

  • @rexythardy347
    @rexythardy347 3 года назад

    Namba ya sim nurdin

    • @umimohammed1815
      @umimohammed1815 3 года назад

      Assalam aleikum sheikhe nurudini naomba namba yako simu we chukuwa kwangu0712557748nipigie niambie mm shekhe nurudini nipate namba yako kusevu na matatizo yangu

  • @nebulanhiijjj
    @nebulanhiijjj 3 года назад +3

    Mashallah Allah akuweke .sheikh unatibu ?

  • @kemalswaleh9527
    @kemalswaleh9527 3 года назад +3

    Mashallah kijana nurdni mungu ndo alikuteuwa mwenyewe ili watu wajue una mungu akuna mungu mwingine wakuabudiwa ila Allah

    • @thelionwomen4970
      @thelionwomen4970 3 года назад

      Akuna jina lenye nguvu dinia kama jina la Jehovah Mungu aliye hai waislamum munajidaganya sana uyo mtoto ni mrozi wa mutumikisha akiwa mdogo uyo ushirikina.

    • @kemalswaleh9527
      @kemalswaleh9527 3 года назад +1

      @@thelionwomen4970 wewe huna uwezo wakumhukumu mwenye kuhukumu ni Allah

  • @hassanimwape2169
    @hassanimwape2169 3 года назад +1

    Habari; Naomba namba zenu tafadhari Nina shida na shekhe ndugu Dongo

  • @rahmatnandule5796
    @rahmatnandule5796 Год назад

    Uko wap

  • @masjidhamzainstitute8890
    @masjidhamzainstitute8890 3 года назад

    Na nyinyi wandishi wa habari kazi mnayo mbele ya Allah

  • @fatmann6341
    @fatmann6341 3 года назад +3

    Mashallah takbiiir

  • @asheracuteahmedi8700
    @asheracuteahmedi8700 3 года назад

    Naomb namb shekhe nurdin dongo kwa matibabu

  • @fatmachiragdin1926
    @fatmachiragdin1926 3 года назад

    Staghfrullah.. this is sihr

  • @Oman-nu2kc
    @Oman-nu2kc Год назад

    Tunaitaji namba zako kaka upo wapi

  • @playstore790
    @playstore790 3 года назад +3

    Km inatibu iyo vimbo mm nna mume wangu anaumwa huu mwaka kadhaa ajapona ashafika kukatiwa viungo alikuwa mzima Sasa Hana mkono namguu taabani Basi km inatibu nisaidiye

    • @minabuelysee8
      @minabuelysee8 3 года назад

      ile fimbo haitibi bali anaetibu ni Allah

  • @antamc5559
    @antamc5559 2 года назад

    Test ya kwanza ikaanze muhimbiri

  • @abdulmalickupete9015
    @abdulmalickupete9015 3 года назад

    Tunaomba namba zake

  • @masjidhamzainstitute8890
    @masjidhamzainstitute8890 3 года назад +1

    Jamani hii siyo sahihi hata kidogo nikiwa na maana ya kwa ni ushirikina mtupu ni njia mpia nyengine itatumiwa kupoteza umma

    • @dimzalajuma2346
      @dimzalajuma2346 3 года назад

      Ukiamin ushirikia hata ukiombewa hutapona ng'o o
      B

  • @RoseRose-qj5pw
    @RoseRose-qj5pw 3 года назад

    Pthooo Mungu sio wakujaribiwa na Mungu haitaji ushaidi ili ajulikane yupo .hell is waiting

  • @z10jrtz47
    @z10jrtz47 3 года назад

    MASHA ALLAH..!

  • @moanamohammed1406
    @moanamohammed1406 3 года назад

    Subhanallah astaghfirullah astaghfirullah astaghfirullah

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 3 года назад +1

    Quran inatosha kuonesha kuwa Allah ni moja na wapekee ni uisilamu ni dini ya haki. Usitudanganye na fimbo yako, ukweli wako unaujuwa mwenyewe.
    Masharifu ishakuwa old fashion
    Imekuja kikombe kwa babu
    Fimbo na mengine yapo nisiyoyajuwa
    Kuwa uyaone.
    Allah tuongoze kunapo hakki.

    • @abdullah-eq3lt
      @abdullah-eq3lt 3 года назад

      quran ni muujiza wa Allah kwa mtume muhammad kwhio hakun ten miujiza baada ya mtume kuondok dunuan ila makarama bado yapo kwa waja wema wa Allah kwahio hio fimbo ni makarama kapewa kijana usimhusudu bure mwenzio

  • @afrabiakisope6743
    @afrabiakisope6743 3 года назад +1

    Muogopeni Allah mtu Kama uyoo habari zake msizieneze jamii ikapotea fimbo ya ajabu ni ya nabii Mussa ambayo imetajwa katika qur ani

    • @jumaramadhani1486
      @jumaramadhani1486 3 года назад

      Yan mimi nachukia Mungu anisamehe kama nakosea huu ni upotoshaji wa hali ya juu nadhan bakwata watoe tamko kuhusu hiyo fimbo isiwe ni jambo linalowaweka watu biz nakukubali eti ina maajabu wangeichukua tu waitupe waone kama kuna lolote litatokea

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta6813 3 года назад

    Msiba huu🍇🍎🍎🍨🍧🍧🍰🍦🍦🍦🍎🍇🍇🍨🍧🍧🍧🍰🍰🍉🍉🍉🍎🍇🍇🍇

  • @dechaggagirl1614
    @dechaggagirl1614 3 года назад +1

    Yalaa🙄🙄🙄

  • @controlTheoryChamps
    @controlTheoryChamps 3 года назад +3

    Kwanini usingemwachia mtangazaji aibebe peke yake?

  • @hamjanikera1234
    @hamjanikera1234 3 года назад +1

    Allah atuongoze kwenye njia ya haki.Hii zama tutaona mengi tu binadamu kumkosoa Allah

    • @kijikomuhammad2557
      @kijikomuhammad2557 3 года назад

      tumche allah allah akuongoe huyo na mimi alafu huyo jamaa ametoka katika ukristo ameingia huku nae anawapoteza watu imani zao ewe Allah tuongoe

  • @bimlatyjuma4494
    @bimlatyjuma4494 3 года назад

    Mimi bana ninacho taka kupona matatizo yangu, maswal fimb ya uchaw ya mung atajua she dongo. Mbona wakina mwaposa wanajiita manabii na zama za manabii zimeisha lakin wat wanaenda kufata uzima tu mpaka waislamu na makanzu wanaenda. Hvyo muhimu uzima wachawi nimewachoka jmn

  • @husnaameen9309
    @husnaameen9309 3 года назад

    Mbona Kuna Pete umevaa?

  • @abdullmalik7847
    @abdullmalik7847 3 года назад

    Subhanallah 254

  • @mamakealizecha9391
    @mamakealizecha9391 3 года назад +2

    Kama inatibu tupatieni namba tuje tusaidike na sie

  • @mbozibukuru2592
    @mbozibukuru2592 3 года назад +2

    Ingelikuwa ni wa Cristo mngesema sana niatari kumbe ni wote tunataka maajabu

  • @rickythobby
    @rickythobby 2 года назад

    Aende nayo muhimbili kama vp kma inaponya tutaona co vdeo za kuhojiana youtube.

  • @prosperkonokono9385
    @prosperkonokono9385 Год назад

    sasa si uende mahospitalini ukaponye watu ?tunataka tuone madawa yanaeksipaya kwa kukosa wagonjwa

  • @joycemotela505
    @joycemotela505 3 года назад +7

    Kama ni uchawi yy ndo anajua na mungu wake

  • @godlovemasamakibatandu2092
    @godlovemasamakibatandu2092 3 года назад +2

    ikatibu corona hiyo fimbo,siku hizi wasukuma ni mataperi na kiswahili chao cha ushamba

  • @rahemaiddi7344
    @rahemaiddi7344 3 года назад

    Mashaallah huenda ikawa Allah amekutumia kama chombo uje kutusaidia hio ndio imani yangu na muomba Allah akuzidishie kwasaba tumerongwa vya kutosha,time hangaika vyakutosha,na tumelia vya kutosha

  • @sofiasetu4162
    @sofiasetu4162 3 года назад

    Naomba namba ya shekh , natoka Kenya

  • @nasramohammed6716
    @nasramohammed6716 3 года назад

    Atakaejitibu na hiyo fimbo ajue kuwa kashajiingiza kwenye ushirikina namaanisha utakuwa ushamshirikisha mungu mana anaetibu maradhi ni Allah pekeyake

  • @rashidsanga4092
    @rashidsanga4092 3 года назад

    Move,zilizo,tafisiliwa

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 3 года назад +2

    Hayo ni mazingaombwe au Magic

  • @liliankemuma9475
    @liliankemuma9475 3 года назад +2

    Hilo ni jini sio fimbo halali,ndio maana ukaslimishwa

    • @hashimmohamed3215
      @hashimmohamed3215 3 года назад

      Nakubaliana nawe kuwa hilo ni jini linaloendesha hiyo fimbo. Kwa kuwa uislamu unatambua uwepo wa majini basi hilo jini limetumia hila kumsilimisha huyo kijana ili lijifiche kwenye kivuli cha uislam.

  • @abelsteven3189
    @abelsteven3189 2 года назад

    Haya ndio utakuta ni yale majini mazuri, yaliyo sikia Koran yakasilimu.

  • @MtilahBlog
    @MtilahBlog 3 года назад +2

    Nimeangalia video zake nyingi,nimegundua huyo jamaa aliyevaa kanzu nyeupe ameshika fimbo yupo kila video.Means yupo nae na ndiye anaechezesha hiyo Fimbo .Hakuna muujiza wala nn hapo.

    • @zuhuraadinani8819
      @zuhuraadinani8819 3 года назад

      Nauyo askali polisi alikua na nani alipo anguka nae angalia vzr

    • @sebastiankimendo8333
      @sebastiankimendo8333 3 года назад

      hata mi nmeona hcho ktu hyo jamaa yupo kila video af ye haojiwi ye ndo anaendesha hyo fimbo

  • @SalumNasekapppn
    @SalumNasekapppn 3 года назад

    Asalaam alaikum twaitaji nambayake shkh kifimbo

  • @tauhidakhamis717
    @tauhidakhamis717 3 года назад

    Naombeni no ya hyu kijana mwnye fimbo n mm ntk kutibiwa

  • @marysellawanza2315
    @marysellawanza2315 3 года назад

    Nipe no. Ya huyu kijana mtangazaji

  • @rahemaiddi7344
    @rahemaiddi7344 3 года назад +1

    Subhann Allah mungu akihifadhi kipaji chako,naomba unifanyie dua na mm Nina matatizo,maji na yangu Rehema idd

  • @fatmafatoom6553
    @fatmafatoom6553 3 года назад

    Dah nusu vifume vidondoke dah fimbo inatabia mbaya iyo

  • @zulfazuberi7795
    @zulfazuberi7795 3 года назад

    Kwakweli
    Ni
    Maajabu

  • @fatmafatoom6553
    @fatmafatoom6553 3 года назад

    Ndiyo nnss kudhalilisha vidume

  • @furahajonas7425
    @furahajonas7425 3 года назад +2

    Jini hilo

  • @leahchoyo7580
    @leahchoyo7580 3 года назад

    Kaka Mimi Ni Lea choyo nasumbuliwa na mapepo siku nyingi hebu nisaidie nilikuwa sikujui lakini Leo nimekuona mtandaoni wote Ni wa kwa luhumbika Mimi baba yako mzee choyo

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 года назад

    Huyo alikuwa ni Shetani wa Kijini alikuwa akikutokea ndotoni. " akikujieni mtu faski na neno/jambo lake mchunguzeni mtu huyo" " hawatokuwa radhi Makafiri na Manaswara mpaka mfuate Mila zao". But all in all, East and West Islamu will remaining the Best.

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 3 года назад

      Ndugu ktk imani kasome dini halafu ndiyo uandike na kutoa ushauri, si busara kueleza usichokuwa na elimu nacho. Je Hidhiri alikuwa ni nani?! Mtume, Nabii au muislam wa kawaida?! vipi kuhusu aliyokuwa akiyafanya mpaka Nabii Mussa (A.S) akawa anamuuliza maswali kwa mshangao?! je aliyoyafanya yametokana na masheitwani wa kijini au Mwenyezi Mungu?!, pia kuhusu visomo vya Ruqya vinavyosomwa sasa na baadhi ya watu wa makundi fulani ktk dini, je wapi imethibiti Mtume Muhammad (S.A.W) alisoma Ruqya kwa utaratibu huu na wakati anasoma aya za Qur'an alizipangilia kama hivi zinavyosomwa sasa kwa kunyofoa nyofoa aya?! Zaidi utagundua haya yamewekwa na baadhi ya watu fulani kwenye dini watu ambao wanapingana na watu wengine waliowatangulia ambao nao pia waliweka utaratibu kama huu wa namna ya kuwasomea watu!! Kujua nani yupo sahihi na nani hayupo sahihi inahitaji elimu. Tusikurupuke, kukosoa dini sio kitu cha mchezo!!

  • @mozaummy327
    @mozaummy327 3 года назад

    Siamini kabisa

  • @leahchoyo7580
    @leahchoyo7580 3 года назад

    Hebu nisaidie mapepo kweli au uonevu tu

  • @gradjackson9168
    @gradjackson9168 3 года назад +1

    Njee naweza kupat now na yuyo mweny vimb naitaj anitbu

  • @muniramunira401
    @muniramunira401 3 года назад +4

    tupenamba zake kunamtu anaumwa

  • @jarofclay6458
    @jarofclay6458 3 года назад

    Venye corona ilakuja hawa wateule sijui manabii where are yu to safe the world instead of myths

  • @joycemsuya1508
    @joycemsuya1508 3 года назад

    Sasahivi unapatikana wapi

  • @sarahmaganga7073
    @sarahmaganga7073 3 года назад

    Tunaomba uje maeneo yacharinze ututibu marazi ukifika nitafute

  • @ashatanzanian7559
    @ashatanzanian7559 3 года назад

    😂😂😂we mtangazaji umeniacha hooi mwisho eti ayo ndo ya musa aise nimecheka sana2 daa😁😁ebu naomba namba zake na mm kunaswari nimuurize

  • @fubub3595
    @fubub3595 3 года назад

    Yani fimbu lazima iguswe njo ina pata ngufu , peke yake ayi fanyi ?

  • @faisalmohamed727
    @faisalmohamed727 3 года назад

    Ushirikina mtupu hata aya aliyotaja haitetei upuzi wake, anaeponya ni MUUMBA tuu japo twatumia madawa kama sababu nisawa na kufanya kazi ila mtowa riski ni MOLA, wachavuzi wa dini laana za ALLAH ziwateremkie.

  • @salimselemani6117
    @salimselemani6117 3 года назад

    mashallah tunaomba aje na tanga

  • @innomushi5994
    @innomushi5994 3 года назад

    Hiyo sio fimbo ni majini hayo

  • @wangonamuhange8218
    @wangonamuhange8218 3 года назад

    Uchawi unaendelea imani iyo ndo maala pake

  • @saudaahmed6818
    @saudaahmed6818 3 года назад +1

    Honzo mtupu huyo mwenye kanzu anasukuma wengine

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293 3 года назад

    Inalillahi wainaillahi rajiun kwani hiyo fimbo ni ya mtume musa lol

  • @masjidhamzainstitute8890
    @masjidhamzainstitute8890 3 года назад +1

    Yote hayo mpaka Allah atake utapotea

  • @allysalim759
    @allysalim759 3 года назад +1

    mwenye kibaraka shee ndio anapeleka fimbo anakotaka msicheze na dini usitufanye waislam wajinga video zote lazima ashike na yeye hiyo fimbo?

  • @mankasoka7988
    @mankasoka7988 3 года назад

    Huyu nurdini a napatikana wapiii

  • @abdulazizal-mazroui3363
    @abdulazizal-mazroui3363 3 года назад

    Asalam aleykum naomba number ya huyu kijana tafadhali

  • @thelionwomen4970
    @thelionwomen4970 3 года назад

    Ni kweli ni uchirikina walimutumia akiwa mdogo saaana utshawi kubwa

    • @daiay4128
      @daiay4128 3 года назад

      Mbona hujaweka namba yako ya cm tutakupata vp

  • @crisantomagido8873
    @crisantomagido8873 3 года назад +2

    Hahahaha

  • @marcntwari4012
    @marcntwari4012 3 года назад

    Ushindwe kwajina ya yesu

  • @playstore790
    @playstore790 3 года назад

    Asalàm alaykm

    • @abdullmalik7847
      @abdullmalik7847 3 года назад

      Waaleikum salaam warahmatullah wabarakatu

  • @cheupecheu5481
    @cheupecheu5481 3 года назад

    Inna lilah waina illaihim rajyun jamani waislam dini tunaipeleka wapi mambo mengine tunatia aibu kwa tamaa za kidunia unayoo ongea mengine ni uongo mtupu na ni ushikina tu hiyo fimbo ni fix tu hamna kitu apo ila daawa jitahidi kulingania kalima ya lailaha ila Allah

  • @jadihamad681
    @jadihamad681 3 года назад

    Naomba number yako yacm

  • @salamamohammed5446
    @salamamohammed5446 3 года назад +2

    Uongo mtupu una macho yak vile da inalllah wanaillilah lajiuni allah tuongoz ktk njia ilinyoook ishaalah allah