JAMANI AMKENI TAYALI SIRI IPO WAZI KIFO CHAJA KWETU EV PASCHAL CASIAN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • #0766998994 #call0688199370 #

Комментарии • 466

  • @petermochengo8647
    @petermochengo8647 2 месяца назад +17

    Unabii huu sio watumishi wengi wanauelewa Mungu akubariki sana bro this massage is so powerful

  • @Jacksonswai685
    @Jacksonswai685 2 месяца назад +22

    Ukweli ni huu amini nawambia saut aitojirudia tena masikioni mwako usiposikia ujumbe huu ukaufanyia kazi utalia na kusaga meno, emen mungu akutie nguv mtumishi

  • @PhilomeneMugara
    @PhilomeneMugara Месяц назад +2

    Amen. Ile Jo kweli Mungu akutiye nguvu,

  • @AnjelaTemu
    @AnjelaTemu 2 месяца назад +12

    Mchungaji Mungu akubariki sana sana unasaidia kuukomboa ulimwengu, watu tunapotoshwa na watumishi wa uongo paka tunakosa tumaini kabisa ila wewe ndie mtumishi wa Mungu wa kweli, unaesema ukweli na kufichua Siri nzito zilizifichika za manabii wa uongo nakupenda sana mtumishi na naikubali sana kazi Yako Mungu akuzidishie Maisha marefu yaliyojaa neema nyingi Ili uzidi kuikomboa Dunia 🙏🙏🙏

    • @LuftansahMahmoud
      @LuftansahMahmoud 2 месяца назад

      Na huyu pekee ndo anasemaga ukweli hao wengine wanatafta hela na miujiza ya uongo😢😢😢😢

    • @MosesMushashi
      @MosesMushashi 19 дней назад

      ubarikiwe utalipwa fanya kwa zamu yako ubarikiwe sana mungu ata kuacha

  • @AyoubMajuto
    @AyoubMajuto 3 месяца назад +49

    Nitaingia MBINGUNI kwa kishindo, hata Dunia nzima irudinyuma mimi siwezi...nampenda YESU KRISTO PEKEE ndani ya moyo wangu....kisu kipite shingoni, lakini MBINGUNI niingie...Dhambi ndiyo kizuizi cha Mwanadamu kwenda mbinguni, kuwa mtakatifu sana mpendwa ...1petro 1:15-16, waebrania 12:14...

  • @RebekaJohn-tl8ip
    @RebekaJohn-tl8ip Месяц назад +2

    Mungu aendelee kukuinua zaidi BABA

  • @SafielMsuya-d2k
    @SafielMsuya-d2k 2 месяца назад +7

    Amina mtumishi wa Mungu, unayoyafundisha yanaendana kabisa na anayofundisha mtumishi wa Mungu mwakasege, mfano kuna lile somo la....(mpe Mungu moyo wako auandae kwa yanayokuja)...Mwenye sikio na asikie,Mungu atusaidie,,Wa Kristo wenzangu tuamke

  • @Khadija-f7b
    @Khadija-f7b 3 месяца назад +6

    Amina mtumishi wa MUNGU Asante Kwa ukweli huo wahubiri wengi hawahubiri hii enjili ya kweli, mwenyezi mungu akutunze Amina

  • @emmanuelmataro4273
    @emmanuelmataro4273 2 месяца назад +9

    Ni vizur usimame kwenye kweli ingia sabato ili uwe sawa na mitume na mtumishi halali wa mungu

  • @MGALILAYABillionaire
    @MGALILAYABillionaire 3 месяца назад +13

    Mungu aturehemu sana. Tayari inaendelea na iko wasi ni Mungu atutie nguvu watakatifu wote duniani tusimame katika kweli yake tusimuasi Mungu.
    Yote aliyotabiri Bwana Yesu yametimia.
    Mungu awe pamoja nawe mtumishi kwa kazi hii nzuri.

  • @Jesusisaking1
    @Jesusisaking1 3 месяца назад +10

    Nakupenda kaka Yangu ,God bless you❤

  • @AllanKabuga-k2d
    @AllanKabuga-k2d 2 месяца назад +1

    Mungu akubariki sana binafs nakufuatilia sana pastel pascal ubarikiwe

  • @DieudonneDutsisi-k8c
    @DieudonneDutsisi-k8c 2 месяца назад +2

    Mungu wangu abariki sana tena sana Mtumishi kwa kweli dunia yote watu wangeishi neno hii kabla kanisa kunyakuliwa!

  • @Khadija-f7b
    @Khadija-f7b 3 месяца назад +24

    Mwenyezi mungu akutunze mtumishi wa MUNGU Asante Kwa ukweli huo wahubiri wengi hawahubiri hii enjili,❤

    • @luciadominik1626
      @luciadominik1626 3 месяца назад +5

      Sasa mtumishi umesema utatuambia wanatukamataje lakini hujaseama sabb tumejisajili mtandaoni

    • @carolinelema8689
      @carolinelema8689 2 месяца назад

      MTUMISHI TUFANYE NINI ? WATOTO WATAPONAJE?

  • @imeldamwinyi3141
    @imeldamwinyi3141 2 месяца назад +1

    Hmm.. Hallelujah Glory!😢😢
    Kwakweli Yatupasa Kama Kanisa Tushikamane Sana ibilisi Asipate Nafasi Kwa Jina La YESU!

  • @HarshBwiru
    @HarshBwiru 2 месяца назад +1

    Ameen.mtumishi wa Mungu wape watu kwel ya Mungu na utakiwa umefanya sehemu yako

  • @JohnAmani-f1y
    @JohnAmani-f1y 2 месяца назад +2

    Neema ya mungu iwe juuyako mtumishi wa mungu tupo vijana wenye kutamani kuujuwa ukweli mungu akupandishe viwango nasi tupate kuelewa zaidi k.t.k jina la yesu

  • @GustaveAbedi-td9yv
    @GustaveAbedi-td9yv 2 месяца назад +5

    Ubarikiwe mutumishi wa Mungu au nom de Jésus Christ de Nazareth 🇨🇩🇨🇩

  • @magnibrondi3152
    @magnibrondi3152 2 месяца назад +2

    Mungu azidi kukubariki.ayo njo mahubiri tunayo itaji kwa sasa. Abari za baraka zinesha tuchosha🙏🙏

  • @SophiaThadei-hx4wd
    @SophiaThadei-hx4wd 2 месяца назад +2

    Mungu akubariki Sana kwakusema ukweli, uwe na umli mlefu Mungu akutumie zaidi

  • @jamesmgonda
    @jamesmgonda 2 месяца назад +8

    Safi
    Sanamu ya mnyama -umoja au muunganiko wa makanisa
    Alama ya mnyama-jumapili

  • @Kabendera-s1w
    @Kabendera-s1w 2 месяца назад +1

    Ubarikiwe mutumishi wa Mungu Tuna kufata vizuri saana

  • @sianagodson3690
    @sianagodson3690 3 месяца назад +6

    Mungu akutunze Mtumishi..nakufuatilia sn, mafundisho Yako,tunaomba Mungu akuwezeshe utuandalie Somo la Jinsi ya kulishinda Hilo pambano,tufanye nini kama wakristo,na ikitokea tangazo la dini Moja,tupo makanisani, tufanye nini?tutaabudu wap? tunaomba utuandalie Jinsi ya kulishinda Hilo pambano la mwisho.
    SoMo la la tangazo la kifo kwa Wacha Mungu limenifungua macho,kweli inaogopesha Mungu tusaidie tu

  • @PaulinGabriely
    @PaulinGabriely Месяц назад +1

    Amina. Mtumishi
    Kwasasa. Hatujui. Ninani. Ndiye. Sahihi. Wote. Mnafundisha. Kuhusu. Mungu

  • @Jamalabdala-k1b
    @Jamalabdala-k1b 2 месяца назад +1

    Nakukubali sana pasta ,,,,,nakupata inchini mozambiq

  • @Pendo-r6k
    @Pendo-r6k 3 месяца назад +2

    Nakuelewa sana mtumish wa Mungu,Ubarikiwe Kwa ujumbe huuu

  • @SundayEugen
    @SundayEugen 2 месяца назад +1

    Mtumishi wa Mungu Mungu akubariki aweke ulizi juuyako maana maaduwi niwengi unavofichuwa Siri hizo Mungu akubariki na Mungu atufikishe salama huku tuendako!

  • @ErastoKibassa
    @ErastoKibassa 2 месяца назад +3

    Tuamke jamni , tuwaombee Watumishi wa Mungu kama hawa wanatufungua sana

  • @JuliaLumande-r4p
    @JuliaLumande-r4p 2 месяца назад +7

    Piga kelele askari wa bwana ❤❤🙏🙏🤝

  • @PatrickKalinga-xm8ke
    @PatrickKalinga-xm8ke 2 месяца назад +1

    Ubarkiwe sana pastor

  • @benjaminlaurian5545
    @benjaminlaurian5545 Месяц назад +1

    This is the fact
    God bless you

  • @BeatriceMirasano
    @BeatriceMirasano 2 месяца назад +2

    Mwenyezi MUNGU akutie nguvu mtumishi wake, maana watumishi wengi hawalijui hili japo kuwa MUNGU mwenyewe amesema sana na wateule wake!... Huu sio muda Wa kuangalia dini wala dhehebu, sikiliza ujumbe na kuufanyia kazi muda umekwisha.

  • @ZackaliaMlawa
    @ZackaliaMlawa 2 месяца назад +3

    Mungu akubariki sana mtumishi

  • @emmanuellupiga
    @emmanuellupiga 2 месяца назад +1

    Ubarikiwe mtumishi kwa kweli hizi
    ipo vita ya ibaada nani aabudiwe kati ya Mungu na. Shetani
    Tunakoelekea na harakati zishaanza ni kwamba jumapili inaenda kutangazwa kuwa siku maalum ya ibaada na ni lazima ukibisha kifo kinakuhusu
    Kwann ni lazima: kuna siku ya ibaada ambayo Mungu aliiweka kwetu sisi wanadamu nayo bili kuficha ni jumamos ndiyo siku inayomtukuza Mungu wa mbinguni na kumtambulisha kuwa ndiye muumbaji wa mbingu na nchi
    Kwa sababu ibilis naye anataka aabudiwe ameweka siku yake kwa wanadamu ambayo ni jumapili na mpaka sasa taratibu zinaendelea jumapili kuwekwa rasmi ni lazima uabudu katika siku hiyo hutaki kifo
    Lengo ni kuitoa sabato ya kweli inayomtukuza mungu na kubakiza inayomtukuza ibilisi
    Hizi agenda sasa ni kutafuta sababu mfano kuna agenda juu ya uchumi
    Kwamba eti watu wanakuwa na siku nyingi za kupumzika hawafanyi kazi hivyo uchumi unashuka iwekwe sasa siku moja ili watu wafanye kazi
    Ila ukweli sio hoja ni namna tu wapate kukubalika na habari yao ya kusimika jumapili kama siku ya ibaada na nyuma ya hili yupo ibilisi mwenyewe kwa kutumia mawakala wake hasa kanisa katoliki kwa uongozi wa papa.

  • @DismondIsmael
    @DismondIsmael 3 месяца назад +2

    Eee Mungu uturehemu Na umlinde mtumishiwako na mabaya yote na umpeujasiri wa kufunua sirihiii iliwatu watubu Na kukujua Yesu,uliyeMungu.

  • @HelenaMasele-ug3hi
    @HelenaMasele-ug3hi 2 месяца назад +1

    Mungu azidi kukutumia katika kutuelimisha na kutufundisha neno la Mungu

  • @Celestineshikuku-i4x
    @Celestineshikuku-i4x 3 месяца назад +7

    Mimi ninacho kijuwa ni tunaisha nyakati za mwisho. Yesu christo yu mlangoni

  • @SikuzaniJeremiahMwasinyanga
    @SikuzaniJeremiahMwasinyanga 2 месяца назад +1

    Mungu azidi kukutunza Asante Kwa ujumbe mzuri.

  • @DainesKanenile
    @DainesKanenile 2 месяца назад +2

    Barikiwa Sana Mungu tuhurumie

  • @bwiremgonya1394
    @bwiremgonya1394 2 месяца назад +1

    Ahsante sana mtumishi.
    Mambo hayo yamehubiriwa sana na wasabatho(SDA).ila wengi hawakutilia maanani.
    Time will tell.

  • @blessedggithinji6192
    @blessedggithinji6192 2 месяца назад +2

    Jesus Christ am with you always 🇰🇪🙋🏼‍♀️💃🎤iwill never betray you Jesus forever🇰🇪🙋🏼‍♀️💃🎤

  • @laurentbulabo5002
    @laurentbulabo5002 2 месяца назад +2

    Mtumishi huyu anaifundisha iliyokweli, neno halisi la Mungu, Mungu peekee anamlinda

  • @mako331
    @mako331 2 месяца назад +7

    Ndio maana ninapoona wakristo wamejazana kwenye mikutano ya kina Mwamposa ninalia kwamba njaa ya neno ni kubwa sana. Watu wanafuata udanganyifu wa miujuza, njia ya upotevu ni pana na ni wengi waipitayo njia ya mbinguni ni nyembamba waipitao ni wachache

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495 3 месяца назад +1

    Mwenyezi Mungu atusaidie tunapoishi katika hii dunia ya dhiki.
    Mungu azidi kukutumia ili kufanyika jicho pevu kuerevusha ulimwengu.

  • @dolyjinemongare8787
    @dolyjinemongare8787 2 месяца назад +1

    Nakuunga mkono hakika..maana ni watu wengi wasioweza kufasili habari za mnyama... asante MTUMISHI WA MUNGU ALIYE HAI...
    ALIYE NA SIKIO NA ASIKIE AMBAYO ROHO
    AYAMBIA MAKANISA

  • @SiLVIARAJAB
    @SiLVIARAJAB 2 месяца назад +1

    Kiukweli twapaswa kulisoma neno na sio kusomewa wengi wao tunapenda kuaminishwa miujiza kuliko kufuata njia ya kweli na uzima

  • @FrolaRobinson
    @FrolaRobinson 3 месяца назад +3

    God bless you

  • @BenardPaul-t4x
    @BenardPaul-t4x 2 месяца назад +3

    Mungu wa mbingu na nchi akutuze ili uendelee kupiga kazi ya mhubiri

  • @DominicaUggy-em8vc
    @DominicaUggy-em8vc 3 месяца назад +1

    Jamani! Mungu akulinde kaka angu. Nakufatilia tangu BSS 2009. Lkn Mungu amekuinua kwa namna ya ajabu sana.

  • @JacksonMakuta
    @JacksonMakuta 2 месяца назад +1

    Mungu akusaidie sana na akulinde na maadui hata wanao kukashifu kwenye hizi comment Mungu awafunue sana

  • @JohnAmani-f1y
    @JohnAmani-f1y 2 месяца назад

    Neema ya mungu iwe juu yako mtumishi wa mungu tupo vijana tunao tamaani kuwelewa haya mungu akupandishe viwango nasi tupate kuelewa zaidi k.t.k jina la yesu

  • @rosemushi-kb7dj
    @rosemushi-kb7dj 26 дней назад

    Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu

  • @AnnaMwailenge-hy3xg
    @AnnaMwailenge-hy3xg 2 месяца назад +1

    Barikiwa sana mtumishi wamungu 🙏

  • @MichaelWallace-sz7mu
    @MichaelWallace-sz7mu 2 месяца назад

    Amen mtumishi wa Mungu,nakuelewa unacho hubiri.Hakika mwisho ndio huu.

  • @Calvin-h9c
    @Calvin-h9c 2 месяца назад +3

    Mungu nirehemu mimi ,,niweze kukukuta mbingun

  • @BeatriceRobi-j5q
    @BeatriceRobi-j5q 3 месяца назад +4

    inambindi tukae kwa maombi na tuwe na Imani na tumutumikie muumba wetu

  • @OmarKhairalla-tx6sv
    @OmarKhairalla-tx6sv 2 месяца назад +1

    Amen be blessed man of God

  • @ChristianLife-cc9sx
    @ChristianLife-cc9sx 2 месяца назад

    Kuna wakati nahisi Yesu alisharudi
    Ila sasa nikijiona nipo humu na mimi 😢 huwa naogopa sana.
    Tupambane sana sana maana kuumbe kwa upande mwingine utajiri wa wasiomjua Mungu ni sawa na kumwaga maji katika Gunia....
    Hata na mataifa makubwa!

  • @JELSONMAUKI
    @JELSONMAUKI 3 месяца назад +5

    Hii tumesoma chuo kabksa tena ilkuwa second Year first semester 😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮

  • @elianamartin6987
    @elianamartin6987 2 месяца назад

    Mungu akulinde mtumishi wa mungu hakika napenda wimbo wako fremason nabalikiwa sana

  • @Blessing_uk
    @Blessing_uk 2 месяца назад +1

    Samahani..mtumishi wa mungu nisamehe kama ntakukosea niushauritu na pia mungu naomba anisamehe pia .unajua kunawachungaji feki wanatumia lugha yaupole hadi wanajikta wamejaza watu kwenye makanisa yao..unaonaje mtumishi wa mungu ukipungza ukali fanya kama unazngmza kwa lugha ya upole nahsi itakuwa njia nzri yakuwaenezea watu ukwer wa mungu wetu alie hai maan naona manabii wauongo wanatumia lugha laini kuwashawishi watu nahsi na ww ungetumia hyo lugha lain nahsi wengi ujumbe ungefka kwa watu weng zaid..nisamehe lkn kama ntakua nimekukosea mtumishi nia yngu nataka huu ukwer uwafkie watu weng kwa haraka..niushauritu mtumishi wangu..

    • @ConfusedFrog-lc9db
      @ConfusedFrog-lc9db 2 месяца назад

      Wewe shidaako ni nini,unasikiliza sauti ama unasikiliza ujumbe?

    • @ONGEZATHAMANI
      @ONGEZATHAMANI 2 месяца назад +1

      Yeye ni mwinjilisti,wao ni wachungaji.Na isitoshe Kila Mtu anawito wake

    • @AnaMeshack
      @AnaMeshack 2 месяца назад +1

      Hakuna ulele mama kwenye kazi ya Mungu kwa nyakati hizo ni za mwisho bro tumefika mbali 😢😢

    • @JordanRichard-vq6zz
      @JordanRichard-vq6zz 2 месяца назад

      Brooo yesu ajaja kuleta ulegevu maana siku akirudi atawatenganisha wake na wasiowake kama mchungaji anavyowabagua kondoo na mbuzi. We tambua anaeongea ni roho wa Mungu ndani yake juu ya uasi uliokithiri hivyo, sio kinyonge maana Mungu sio mnyonge na mbinguni hakitaingia kinyonge.ubarikiwe.

  • @TujifunzeWote.-zq9nz
    @TujifunzeWote.-zq9nz 2 месяца назад +17

    Sasa kama unayajua hayo mzee sasa kwanini umefungua kanisa lako wakati sanamu ya mnyama ni jumapili alafu bado na wewe umefungua kanisa lako, tafikili na ni Mungu, nenda sabato kwa mujibu ya ufunuo, nenda kwa wasabato ndio utapona, acha unafki wakati unajua unachokifanya na kijacho unakijua sababu umesoma ufunuo au kanisa lako ndio la masalia na utume wao.

    • @chikwela
      @chikwela 2 месяца назад +4

      Hakika sabato ni njema sana. Hata Quran inasema tuikumbuke siku ya jumosi

    • @RehemaEvarist
      @RehemaEvarist 2 месяца назад

      Unauhakika na unachokisema au umekalilishwa?

    • @RehemaEvarist
      @RehemaEvarist 2 месяца назад

      Nitafute tufundishane umuhimu wasiku ya jumapili nakwanini tunaabudu jumapili.

    • @roidysimchimba7103
      @roidysimchimba7103 2 месяца назад +2

      ​@@RehemaEvaristsabato ya kweli iko moyon mwako fullstop

    • @DatiusExavely
      @DatiusExavely 2 месяца назад +5

      Wewe unayeshika siku uko mbali na Ufalme wa Mungu haujapata sabato ya kweli, Sabato ya siku ya wana wa Israeli waliopewa sababu ya kupewa ni hapa Kumbu la Torati 5:12-15 sasa wewe umetoka Misri ya kimwili? Ndio maana wa shika siku walimuuwa Yesu kwamba anavunja sabato, Isaya walitabiri kuwahusu Isaya 28:8-13 walimkataa sabato ya kweli, sikia Bwana wa Sabato alivyosema Pumziko unahipata wapi na raha 11:28-30 :Hii ndio ilitimia Matendo 2:1-4 Wagarati 4:8-11 si inasema vyema kuhusu washika siku, na je Wakolosai 2:16-17 Kanisa la Laodikia ni kipofu mno ni wajuaji Ni ngumu Mungu kuwasaidia, Yesu amefungiwa nje hamumtaki anajaribu kubisha ili aingie ndani ya kanisa mnakataa 3:20. lakini walio wake wataisikia Sauti yake Ufunuo 10:7 sauti inahita 22:16-17.

  • @laliaelulu1815
    @laliaelulu1815 Месяц назад +1

    Nasisi tulioko nchi za magharibi 😢😢 miaka mi tatu ijayo tutajipanga kurudi Ma kwetu!

  • @HellenaMky
    @HellenaMky 3 месяца назад +5

    Nikweli umehubiri ukweli kabisa. Lskini papa analenga. Kuziangusha. Amri yasabato ya mungu. Ndyo maana jumapili ndoameiweka iwe ibada yake. Kwahyo waeleze watu jumapili niarlama ya mnyama. Usifumbie hilo watu waondoke babeli.

    • @sarahmaro215
      @sarahmaro215 3 месяца назад +2

      Shenanigans hasumbuliwi na siku, anachotafta shetani ni kumuangusha mtu yule ambaye anamwabudu MUNGU ktk roho na kweli tu.

    • @sarahmaro215
      @sarahmaro215 3 месяца назад

      Shetatani hasumbuliwi......

    • @HellenaMky
      @HellenaMky 3 месяца назад

      @@sarahmaro215 pengine kwa mtazamo wako ndoulivyo. Ilashetani anaakili kuliko ujuavyo. Hujiulizi kwa Nini kanisa katholiki. Liko juu kuliko biblia. Kanisa ndolinaamri. Kuliko amri za MUNGU. Hamjiulizi. Hamuoni. Ebu fungueni. Macho wapndwa. Kama mtasari jumapili. Hamtakua natatizo. Lakini wake watakao ikataa hyo jumapili. Watauwawa. Kwanini iwelazima jumapili nasi jumatatu. Hujiulizi?

    • @christopherkaroli9365
      @christopherkaroli9365 3 месяца назад +1

      Ninyi mna shida kwani siku ina shida gani? Siku zote ni za Mungu hatuzuiliwi kumwomba Mungu siku yoyote isipokuwa tu awe Mungu wa kweli na kubudu katika roho

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 3 месяца назад +4

      Biblia inasema kwenye mathayo 5:8-10 "wenye moyo safi watamuona Mungu", na si watakao abudu siku ya jumapili au jumamosi. Hali yako ya moyoni ya kumuamini Yesu kristo na hali yako ya utakatifu ndo itakayo kupeleka Mbinguni.

  • @jovettedenise2591
    @jovettedenise2591 3 месяца назад +3

    Mungu utusayidiye tumarize safari ya ya kwenda mbinguni salama🎉🎉🎉

  • @AdinanSalim-s1p
    @AdinanSalim-s1p 2 месяца назад

    Daaaah!!!!htr sana

  • @AlbertRukeba
    @AlbertRukeba 2 месяца назад +1

    Asante mtumishi wa Mungu. Kuhusu iyi simu ambayo lazma kila mtu awe nayo,tufanye je, ili tusiingizwe ao tusiwe kwenye système hiyo?

  • @JacksonJosephQamunga
    @JacksonJosephQamunga 2 месяца назад

    God bless your man(mtumishi wako)

  • @hildakilale7313
    @hildakilale7313 21 день назад

    Aminaa Mungu nisaidie

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 3 месяца назад +6

    KAMWE ROBOT HALITAFANANA NA MWANADAMU. ROBOT MBAKA ULIPTOGRAM, LAKINI MWANADAMU HANA LIMITI. YU HURU KWA LOLOTE

  • @nestorypesambili7341
    @nestorypesambili7341 3 месяца назад

    Amen, ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @KolestaMkamati
    @KolestaMkamati 3 месяца назад

    Asante sana kwamahubili mazur waliompaya kristo nadhani mnselewa

  • @willysam3346
    @willysam3346 2 месяца назад +1

    Manyama - ni utawala
    Joka- ni shetani
    Alama ya Manyama - ni siku tofauti na siku Mungu aliyoichagua kufanya ibada (ibada ya uongo)

    • @BoazDillu
      @BoazDillu 2 месяца назад

      Imeandikwa wapi

    • @BoazDillu
      @BoazDillu 2 месяца назад

      Korona iljpokukaj mkasema ni 666 ,barcode nazo mkasema ni 666 😂,haha sasa hayo mnayo sema yameandikwa wapi ko korona imeisha 666 wapi imeenda?
      Ufalme wa Mungu ni.fumbo zito

  • @LUKASDAUD-q6w
    @LUKASDAUD-q6w 2 месяца назад

    Kuhubiri unahubili lakini wewe nawe unaisujudia sanam ya mnyama bado upo kundi hilo tuuuh fanya uamuzi wewe kwaajili ya neema uliyo pewa na Bwana ukweli unao uchaguzi niwako usiwendeele kudanganya watu ingali unajua utakinywea kikombe chaazabu Bwana akubariki ufanyapo maamuzi 🙏🙏🙏

  • @ااا-ح9م
    @ااا-ح9م 2 месяца назад

    Mungu a kubariki mtumishi wa mungu,huu ni ukweli mtupu.aliye na sikio na asikie

  • @John.F.lazaro
    @John.F.lazaro 2 месяца назад

    Mungu akubariki sana mtumishi 🙏🙏🙏

  • @SaimonmsimbegeMwakajonga-wt6rr
    @SaimonmsimbegeMwakajonga-wt6rr 2 месяца назад

    Kamanda wayesu hongera sana nakuelewa

  • @EdnaAdammsyani
    @EdnaAdammsyani 2 месяца назад

    Amina mungu atusahidie maana tayari tumeshaanza kuyapitia

  • @ZachariaGidion
    @ZachariaGidion 2 месяца назад

    Amen begakwabega mtumish wa mungu❤

  • @user-servodeJesus
    @user-servodeJesus 3 месяца назад

    Glória Deus!, estamos juntos servo de Jesus amém 🎉🎉🎉.

  • @YusuphuMashimila
    @YusuphuMashimila 16 дней назад

    Wew mwenyewe kua muisram acha kelele mungu haabudiwi hivyo

  • @neemachaula6112
    @neemachaula6112 2 месяца назад

    Ubarikiwe sana mt nakuelewe sana

  • @salimajosephine1673
    @salimajosephine1673 2 месяца назад

    Barikiwa tu saana mtumishi wa Mungu

  • @hellaskarras1567
    @hellaskarras1567 3 месяца назад

    Mh ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu

  • @FelixMikao
    @FelixMikao 2 месяца назад

    Baba tufundishi tupone asa kwa Aya tumeanguka sanaaa😭😭😭 usiache🙏🙏🙏🙏

  • @hildegardchafwila5076
    @hildegardchafwila5076 Месяц назад

    Hata ikijifunga dunia ni mpango wake wafundishe tu watu wamgeukie Mungu sio kuwatisha.

  • @esterkanudachandaruah6619
    @esterkanudachandaruah6619 2 месяца назад

    MUNGU 🙏 atusikie maombi yetu 🙏🙏maana paspo yeye sisi peke etu Hatuwezi

  • @ErnestSaileni
    @ErnestSaileni 2 месяца назад

    Mungu akubaliki mtumishi wa mungu

  • @SmilingFuchsiaFlower-jl7dg
    @SmilingFuchsiaFlower-jl7dg 2 месяца назад

    Mungu akubariki niwachache wakuongoza ninekuelewa bro

  • @jamesboka-kk9rv
    @jamesboka-kk9rv 2 месяца назад

    twambie baba tupone🎉 Mungu azidi kukuimalisha kwa mafundisho mazuri🎉🎉

  • @ElizaphanKamando
    @ElizaphanKamando 2 месяца назад +1

    Umesoma vitabu vya neno la Mungu na unaujua ukweri, nakuomba ujitahd ktk hiyo kwer iliyo ndani yako, kiini cha hii vita ni sabatho ya Mungu, shetani anaipinga sabatho ya Mungu ndio maana anawafany watu kuabudu jumapili, hivo nakusihi ujiunge na kundi la watu wanaoitunza sabatho, maana jumapili ikija kutangazwa waliojua kwer rehema kwao itakuw imefungwa, na wale ambao hawakujua wanaosali jumapili watapata nafas ya kujua ukwer na kugeuka, hivo pambano linailenga sabatho

    • @stelinanyila9893
      @stelinanyila9893 2 месяца назад

      Amina Sana

    • @stelinanyila9893
      @stelinanyila9893 2 месяца назад

      SHETANI HAHANGAIKI NA CHOCHOTE ILA SOMA UFUNUO 12:17 Utagundua kuwa anapamana na kanisa linalozitunza sabato na sheria zote pia went ushuhuda was YESU KRISTO. Yaani wanaomuamini huyu yesu

    • @ElizaphanKamando
      @ElizaphanKamando 2 месяца назад

      @@stelinanyila9893 ndio yan tujitahid kuwafany watu kuw wanafunz wa yesu vita inaelekea mwisho

  • @MauloChunga
    @MauloChunga 2 месяца назад +5

    Huyu ni kanisa gni mbona Kam msabato

    • @regnaldymambaly9880
      @regnaldymambaly9880 2 месяца назад +1

      wewe una angalia kanisa badala ya kuangalia ukweli anao usema kanisa halikusaidii kitu

    • @user5-nh3gs
      @user5-nh3gs 2 месяца назад +1

      Kabisa saiz ni kusimama na Ile kweli, mambo Yako spidi Sana , umoja wa manabii uko motooo makongamano Kila ski vikao na wachungaji wetu hawajui Nini lipo nyuma ya pazia😭😭 Mungu utusaidie njia n nyembamba iendayo uzimani

    • @stelinanyila9893
      @stelinanyila9893 2 месяца назад

      ​@@regnaldymambaly9880 kanisa ndio litakalo waweka sawa na ndio maana bilblia inasema YESU ALILIFIA KANISA SIO haikusea ukweli HVYOOOO KANISA NDILO HUBEBA UKWELI kalitafte hilo kanisa

  • @bebysheni-gf1zf
    @bebysheni-gf1zf 2 месяца назад

    Waache tu wawatume masanam inshallah washindwe na walegeee Kwa nguvu za mungu

  • @doricemrema2177
    @doricemrema2177 29 дней назад

    Dunia Iko mwishoniii,,,amkeni amkeni

  • @angelitapaulo
    @angelitapaulo 2 месяца назад +1

    Kitu cha muhimu sana kulinda moyo wako na tukiacha yale yote ya Dunia

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤Mungu akubariki

  • @weremamediaproduction8583
    @weremamediaproduction8583 2 месяца назад

    Hongera sana mtumishi wa Mungu

  • @emmanuellupiga
    @emmanuellupiga 2 месяца назад +1

    Mpango wa ibilisi ni kutaka aabudiwe hivyo anaenda kinyume na Mungu kwa kila jambo
    Mungu alisema ndoa ni kati ya mwanaume na mwanamke
    Shetan yeye hata mme na mme wanaweza oana
    Mungu alisema ibaada ni siku ya saba
    Shetani yeye hata siku ya kwanza ya juma ni sawa tu
    So tuko vitani na vita ni kati ya wema na uovu ni kuchagua upande ni wapi usimame kwa Mungu au kwa shetani

  • @RitaLameck
    @RitaLameck 2 месяца назад

    Yesu tusaidie tunaomba nguvu zako turemu huku chini ya jua,roho wako mtakatifu atufundishe,

  • @VictoriaMusso-o2u
    @VictoriaMusso-o2u 2 месяца назад

    Ubarikiwe mtujmishi wa Mungu