MKE WANGU ALINI KIMBIA EV PASCHAL CASSIAN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • #0766998994 #call0688199370 #

Комментарии • 95

  • @ClaireMakotswi
    @ClaireMakotswi 2 дня назад

    Amen barikiwa Sana mtumishi wa mungu hakika umenitia nguvu Sana nina imani ya kwamba ndoa yangu hii itasimama,na nitamutumikia mungu katika Maisha yangu yote 🙏🏿

  • @EdmundMkombwe
    @EdmundMkombwe 4 месяца назад +5

    kazi yako ni nzuri barikiwa

  • @zabronbarosha2271
    @zabronbarosha2271 4 месяца назад +5

    Sijaelewa Mungu atakuletea mwanaume au mwanamke mwingne kama utaachwa sijaelewa hapo na Mungu amesemaje mke mmoja na mume moja mpaka kifo sijaelewa mtumishi labda nisaidiwe

  • @NaomiSanga-p5y
    @NaomiSanga-p5y 3 месяца назад +3

    Amina,umenitia moyo kwakweli wa kuto kukata tamaa najua nitashinda katika jalibu ninalo pitia kwa sasa 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @dorcasdavid2247
    @dorcasdavid2247 3 месяца назад +3

    Ameen Mtumishi wa Mungu,nakumbuka sn Ulipopitia na Ulipo sasa kwa kweli Acha Mungu Aitwe Mungu Tuuu.kweli Naamini Ni Marufuku Kukata Tamaaa.

  • @blessingsgeneral93
    @blessingsgeneral93 4 месяца назад +5

    Mtumainie bwana mwenye nguvu na hakuna asilo liweza❤

  • @roselyneezekiel
    @roselyneezekiel 4 месяца назад +3

    I thank God for ever knowing you Paschal...... Be blessed always 🙏

    • @jameskilowoko7153
      @jameskilowoko7153 3 месяца назад

      Pastor p.c.nakuelewa sanaaa na nafuatilia sana ideas zako.❤

  • @pascalinamukui8400
    @pascalinamukui8400 3 месяца назад +1

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu kwa kunitia moyo naomba mungu anibariki na ndoa ya heshima sitakata tamaa tena🙏

  • @MGALILAYABillionaire
    @MGALILAYABillionaire 4 месяца назад +2

    Faith is a pillar.
    Never giver up even in a worse situation.
    kilichopangwa na Mungu lazima kitokee kwa wale wasiokata tumaini.
    Amina mtumishi, neema ya Bwana ikutoshe na uzidi kuelimisha ulimwengu.

  • @re.emmanuelmdoe3345
    @re.emmanuelmdoe3345 4 месяца назад +1

    Utukufu kwa Mungu juu Mbinguni atukutukuzwe Sanaaaa Yesu Kristo,
    Namshukuru Mungu kwaajili Yako P. Cassian

  • @FhDg-mg1gn
    @FhDg-mg1gn 4 месяца назад +2

    Kweli wewe ni ushuhuda Tosha mtumishi wamungu kabisa mungo akubariki sana amen

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 3 месяца назад +1

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu kwa ushauri mzuri wa kutokukata tamaa

  • @FaithHozza
    @FaithHozza 4 месяца назад +2

    Pole sana kaka Mungu akutetee

  • @AidaRaphael
    @AidaRaphael 3 месяца назад +1

    Asante YESU, barikiwa kwa ujumbe wa kututia moyo

  • @AnnaKanje-tw2rz
    @AnnaKanje-tw2rz 3 месяца назад +2

    Ahsante kunitia moyo Baba

  • @FortinaLyaumi-br1ze
    @FortinaLyaumi-br1ze 3 месяца назад +1

    Amina ubarikiwe sana mtumishi

  • @robertnkaragano298
    @robertnkaragano298 3 месяца назад +1

    Mungu akubariki sana Ev.

  • @scolarjapheth3249
    @scolarjapheth3249 2 месяца назад

    Barikiwa mtumish hakika nimepata nguvu mpya 🙏🙏🙏🙏

  • @AmisseMwenetombwe
    @AmisseMwenetombwe 4 месяца назад +3

    Hapo umeongea Neno. Kukata tamaa ndo shida kubwa!!!

  • @EricMaingi-f8b
    @EricMaingi-f8b 3 месяца назад +1

    Sitakata tamaa, ahsante kwa ushauri.

  • @NTEMI-OBURUDANI
    @NTEMI-OBURUDANI 4 месяца назад +3

    Asante sana mtumishi wa mungu nimejengeka bara bara❤❤

  • @Janetyjanety-sj5gw
    @Janetyjanety-sj5gw 2 месяца назад +1

    Bibi yupi alietoroka ju tunae. Mjua alivumilia mangumu yote uliyo pitia na mungu amuzidishie niwachache kama yeye

  • @TuzabacarBacar
    @TuzabacarBacar 28 дней назад

    Mungu akulinde na masdui

  • @NaomiAlai
    @NaomiAlai 4 месяца назад +3

    Usiache uchungu upite bila malipo.umetisha mtumishi

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 3 месяца назад +11

    Hii naona wengi hawajaelewa, ni huyu mke wanaemfahamu aliyekuvumilia kipindi cha kukuuguza ulipopata ajali ndiye amekukimbia au ni mchumba wa awali uliyemchumbia ndiye alikukimbia, ndipo ukampta huyu aliyekuvumilia kipindi cha kukuuguza ulipopata ajali? Labda uje ufafanue zaidi.

  • @SuzyMuhando-yf8do
    @SuzyMuhando-yf8do 4 месяца назад +7

    Mungu nisaidiye kuwa Imani kama hii kaka paschal sitakata tamaa

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 3 месяца назад +2

    Ninapokuona namuona Mungu lakini pia namuona Mh. Makonda daah Mungu ni mwema sana. Mke gani katoroka mbona alivumilia magumu yale jamani🥰🥰

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub 4 месяца назад

    Nimekuelewa sana,Mungu akubariki sana

  • @jovettedenise2591
    @jovettedenise2591 4 месяца назад +1

    Mungu azidi kukubariki

  • @Mfunzo
    @Mfunzo 3 месяца назад +4

    sijaelewa maana somo linasema sababu za mke wangu kukimbia alafu ndani ya somo nikutiana Moyo tu kulikoni kwani

  • @NaomiAlai
    @NaomiAlai 4 месяца назад

    Tunis maumivu Kama kazi.big Up mtumishi

  • @MsekwaLoli
    @MsekwaLoli 3 месяца назад +5

    Kama umeweza kuishi mbali na wazazi wako.
    Utashindwa vipi kuishi kwa ajil ya mke au mme kakuacha wakat mmekutana ukubwan

  • @StahimiliMohele
    @StahimiliMohele 4 месяца назад +1

    Ubarikiwe sana

  • @benadatemumelo8884
    @benadatemumelo8884 3 месяца назад

    Waaaaau this is nice . Watching from Qatar

  • @JacquelineMamboya-we8on
    @JacquelineMamboya-we8on 3 месяца назад +2

    Jamani Pascal Cassian,niliyekuwa namwona Msimbazi Centre miaka hiyo? Ee Mungu nakushukuru maana hamna kukata tamaa kweli.

  • @elizabethmwinzi342
    @elizabethmwinzi342 4 месяца назад

    Wow amen amen and aki najaribu God bless

  • @bibishemartha4378
    @bibishemartha4378 4 месяца назад +2

    Mungu amupe zamiri ya kukuomba msamaha

  • @RozaliaSanka-kv5dy
    @RozaliaSanka-kv5dy 2 месяца назад

    Nashukuru sana kwakunitia moyo

  • @Mathias-yi5bo
    @Mathias-yi5bo 3 месяца назад +6

    Kwa mara ya kwanza leo najua kuhusiana na 7up

  • @Stanley-vh6nz
    @Stanley-vh6nz 4 месяца назад +2

    Umenena vyema Mtumishi

  • @erickmpangala1814
    @erickmpangala1814 3 месяца назад +1

    Nakuelewa saaaana EV Paschal Cassian.....Napenda saana Kazi zako Kakangu. Mungu akubariki saaana Kaka.

  • @VivianMkumbo
    @VivianMkumbo 4 месяца назад

    Ubarikiwe mtumishi.

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula 4 месяца назад

    Lipa ubaya kwa wema hiyo point naipenda mbarikiwa sana papaa

  • @ButoyiMuseya
    @ButoyiMuseya 4 месяца назад

    Mungu Haku bariki

  • @FaustineTz
    @FaustineTz 3 месяца назад

    Ujumbe mzuri sana

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 3 месяца назад

    Amen amen Iam beautiful 🎉

  • @janemhangomhango5841
    @janemhangomhango5841 3 месяца назад

    Nakuelewa Sana Pascal

  • @Sangaligospel
    @Sangaligospel 4 месяца назад

    Barikiwa kwakunitia moyo

  • @ayoubmhagule248
    @ayoubmhagule248 Месяц назад

    Kufa kupo tu,...'' Weka kiitikio bado Mungu hajaamua'' Swala siyo kujikatia tamaa..

  • @apostleelisha2994
    @apostleelisha2994 4 месяца назад

    Amina Amina natiwa nguvu

  • @agnessndabhalu
    @agnessndabhalu 4 месяца назад +1

    Mungu azidi kikupigia na kukuinua hatua nyingine zaidi.

    • @agnessndabhalu
      @agnessndabhalu 4 месяца назад

      YESU AKUTETEE MTUMISHI NA ZAIDI HUDUMA YAKO IZIDI KUINULIWA.

  • @AlfredJoseph-xx1nh
    @AlfredJoseph-xx1nh 4 месяца назад

    Mungu yupo nawe

  • @wilkisteregesa4845
    @wilkisteregesa4845 4 месяца назад

    Sifa na utukufu ni kwa Mungu mkuu

  • @TwitikeMwakyonde
    @TwitikeMwakyonde 3 месяца назад

    Amina,mtumishi,

  • @azizafrancine301
    @azizafrancine301 4 месяца назад +1

    Nikweri mungi akumbariki

  • @directorwilly
    @directorwilly 4 месяца назад +1

    Hakika haitatokea siku nikate tamaaa

  • @PurityJohn-if4ei
    @PurityJohn-if4ei 3 месяца назад

    Yeye mwenyewe bado hajatoka huko

  • @EzekielMwakipesile
    @EzekielMwakipesile 4 месяца назад

    Ubalikiwe mtumishi

  • @neemamsanga253
    @neemamsanga253 2 месяца назад

    kama ayubu,,,Kwa Imani alishinda wakina mtemani waliongea hakujal

  • @sautiyamunguduniani4620
    @sautiyamunguduniani4620 4 месяца назад +1

    Amen sana

  • @HalimaNgenzi
    @HalimaNgenzi 2 месяца назад

    Angalau umejiongelea hujawaponda watumish

  • @ABIGAIL67-tria
    @ABIGAIL67-tria 4 месяца назад

    *My situation right now😢
    I'm asking myself why my parents didn't work hard gor my better life now iam working for my kids and the same time working to take care of my mum . because no property my dad left😢

  • @ANYELWISYEGODWIN
    @ANYELWISYEGODWIN 2 месяца назад

    Kuna siku makonda alikabidhiwa mchango na Mtume MWAMPOSA Tsh m. 10 MIONGONI MWA wagonjwa aliowaombea na wewe ulikuwa ni MMOJA wapo. Unalikumbuka Hili mtumishi? Nami nilihudhulia ibada hiyo. Makonda kukabdhiwa. Mungu akutie nguvu.

  • @azizafrancine301
    @azizafrancine301 4 месяца назад

    Amena mungu akuongezae

  • @BarakaSenior
    @BarakaSenior 4 месяца назад +1

    Living testimony

  • @FelistaFloriani
    @FelistaFloriani 4 месяца назад

    Ubarikiwe mtumishi nimejifunza kitu

  • @ParimeloNgarim
    @ParimeloNgarim 3 месяца назад +1

    Vizuri san

  • @MTEULEWAMUNGUTV
    @MTEULEWAMUNGUTV 3 месяца назад

    Ameeeeeeen ameeen

  • @maxmiletz4563
    @maxmiletz4563 26 дней назад

    Amen

  • @JaphetMwaipaja
    @JaphetMwaipaja 3 месяца назад

    Wewe mtu siyo wa kawaida

  • @abelsonda4486
    @abelsonda4486 2 месяца назад

    Hapa ndo Huwa wananichanganya watumishi ktk biblia hakuna kuoa tena labda mmoja wa Wana ndoa afariki......

  • @JuliaLumande-r4p
    @JuliaLumande-r4p 4 месяца назад

    🤔mungu azidi kukulinda kaka

  • @christinephilip5043
    @christinephilip5043 4 месяца назад

    Amen amen🙏 🙏 🙏 🙏

  • @DevotaMlelwa-l1i
    @DevotaMlelwa-l1i 2 месяца назад

    amen

  • @AdamJonas-sx4mi
    @AdamJonas-sx4mi 3 месяца назад

    Acha ujinga bana sasa kama ameona humufai tena chakufanya akae kwenye moto nikipi we naye

  • @QueenNyondo-h1m
    @QueenNyondo-h1m 4 месяца назад

    Amen🙏🙏🤝

  • @magneticofficialtz
    @magneticofficialtz 4 месяца назад

    Amen🎉🎉🎉

  • @LucyMerchiorly
    @LucyMerchiorly 4 месяца назад

    AMEN AMEN

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 4 месяца назад +1

    Ameeeeeeen

  • @nonveroniquejohn
    @nonveroniquejohn 2 месяца назад

    Siwezi ku jikatia tamah ao kuikatia tamaha jambo lolote

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 4 месяца назад

    ✌️👍🙏.

  • @floraflora9490
    @floraflora9490 4 месяца назад

    Mbona hakukimbia ulipokua na pipe mtumishi uongo dhambi

    • @RebeccaNashon
      @RebeccaNashon 4 месяца назад

      Sasa uongo wake uko wapi huwezi jua yote

    • @estherkinyaga5172
      @estherkinyaga5172 3 месяца назад +1

      Kasema mke wake wa kwanza hata hajawa maarufu. Nahisi baadae alikuja kuoa mke mwingine. Muwe mnasikiliza na kuelewa vizuri

  • @legendCopy
    @legendCopy Месяц назад

    Naomba whatsapp nr pstr

  • @StahimiliMohele
    @StahimiliMohele 4 месяца назад

    Ubarikiwe sana

  • @PonsSalimu
    @PonsSalimu 2 месяца назад

    Amen

  • @germainndayishimiye8684
    @germainndayishimiye8684 4 месяца назад

    Amen Amen 🙏

  • @jeanettegloria6244
    @jeanettegloria6244 2 месяца назад

    Amen

  • @EvangelisteMireilleMITAMBA
    @EvangelisteMireilleMITAMBA 4 месяца назад

    Amen

  • @Mwinjilist-samson
    @Mwinjilist-samson 4 месяца назад

    Amen