Amen barikiwa Sana mtumishi wa mungu hakika umenitia nguvu Sana nina imani ya kwamba ndoa yangu hii itasimama,na nitamutumikia mungu katika Maisha yangu yote 🙏🏿
Sijaelewa Mungu atakuletea mwanaume au mwanamke mwingne kama utaachwa sijaelewa hapo na Mungu amesemaje mke mmoja na mume moja mpaka kifo sijaelewa mtumishi labda nisaidiwe
Faith is a pillar. Never giver up even in a worse situation. kilichopangwa na Mungu lazima kitokee kwa wale wasiokata tumaini. Amina mtumishi, neema ya Bwana ikutoshe na uzidi kuelimisha ulimwengu.
Hii naona wengi hawajaelewa, ni huyu mke wanaemfahamu aliyekuvumilia kipindi cha kukuuguza ulipopata ajali ndiye amekukimbia au ni mchumba wa awali uliyemchumbia ndiye alikukimbia, ndipo ukampta huyu aliyekuvumilia kipindi cha kukuuguza ulipopata ajali? Labda uje ufafanue zaidi.
*My situation right now😢 I'm asking myself why my parents didn't work hard gor my better life now iam working for my kids and the same time working to take care of my mum . because no property my dad left😢
Kuna siku makonda alikabidhiwa mchango na Mtume MWAMPOSA Tsh m. 10 MIONGONI MWA wagonjwa aliowaombea na wewe ulikuwa ni MMOJA wapo. Unalikumbuka Hili mtumishi? Nami nilihudhulia ibada hiyo. Makonda kukabdhiwa. Mungu akutie nguvu.
Amen barikiwa Sana mtumishi wa mungu hakika umenitia nguvu Sana nina imani ya kwamba ndoa yangu hii itasimama,na nitamutumikia mungu katika Maisha yangu yote 🙏🏿
kazi yako ni nzuri barikiwa
Sijaelewa Mungu atakuletea mwanaume au mwanamke mwingne kama utaachwa sijaelewa hapo na Mungu amesemaje mke mmoja na mume moja mpaka kifo sijaelewa mtumishi labda nisaidiwe
Amina,umenitia moyo kwakweli wa kuto kukata tamaa najua nitashinda katika jalibu ninalo pitia kwa sasa 🙏🙏🙏🙏🙏
Ameen Mtumishi wa Mungu,nakumbuka sn Ulipopitia na Ulipo sasa kwa kweli Acha Mungu Aitwe Mungu Tuuu.kweli Naamini Ni Marufuku Kukata Tamaaa.
Mtumainie bwana mwenye nguvu na hakuna asilo liweza❤
I thank God for ever knowing you Paschal...... Be blessed always 🙏
Pastor p.c.nakuelewa sanaaa na nafuatilia sana ideas zako.❤
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu kwa kunitia moyo naomba mungu anibariki na ndoa ya heshima sitakata tamaa tena🙏
Faith is a pillar.
Never giver up even in a worse situation.
kilichopangwa na Mungu lazima kitokee kwa wale wasiokata tumaini.
Amina mtumishi, neema ya Bwana ikutoshe na uzidi kuelimisha ulimwengu.
Utukufu kwa Mungu juu Mbinguni atukutukuzwe Sanaaaa Yesu Kristo,
Namshukuru Mungu kwaajili Yako P. Cassian
Kweli wewe ni ushuhuda Tosha mtumishi wamungu kabisa mungo akubariki sana amen
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu kwa ushauri mzuri wa kutokukata tamaa
Pole sana kaka Mungu akutetee
Asante YESU, barikiwa kwa ujumbe wa kututia moyo
Ahsante kunitia moyo Baba
Amina ubarikiwe sana mtumishi
Mungu akubariki sana Ev.
Barikiwa mtumish hakika nimepata nguvu mpya 🙏🙏🙏🙏
Hapo umeongea Neno. Kukata tamaa ndo shida kubwa!!!
Sitakata tamaa, ahsante kwa ushauri.
Asante sana mtumishi wa mungu nimejengeka bara bara❤❤
Bibi yupi alietoroka ju tunae. Mjua alivumilia mangumu yote uliyo pitia na mungu amuzidishie niwachache kama yeye
Mungu akulinde na masdui
Usiache uchungu upite bila malipo.umetisha mtumishi
Hii naona wengi hawajaelewa, ni huyu mke wanaemfahamu aliyekuvumilia kipindi cha kukuuguza ulipopata ajali ndiye amekukimbia au ni mchumba wa awali uliyemchumbia ndiye alikukimbia, ndipo ukampta huyu aliyekuvumilia kipindi cha kukuuguza ulipopata ajali? Labda uje ufafanue zaidi.
Huyo alikuwa yule mwanamke wakwanza
Mungu nisaidiye kuwa Imani kama hii kaka paschal sitakata tamaa
Ninapokuona namuona Mungu lakini pia namuona Mh. Makonda daah Mungu ni mwema sana. Mke gani katoroka mbona alivumilia magumu yale jamani🥰🥰
Nimekuelewa sana,Mungu akubariki sana
Mungu azidi kukubariki
sijaelewa maana somo linasema sababu za mke wangu kukimbia alafu ndani ya somo nikutiana Moyo tu kulikoni kwani
Tunis maumivu Kama kazi.big Up mtumishi
Kama umeweza kuishi mbali na wazazi wako.
Utashindwa vipi kuishi kwa ajil ya mke au mme kakuacha wakat mmekutana ukubwan
Ubarikiwe sana
Waaaaau this is nice . Watching from Qatar
Jamani Pascal Cassian,niliyekuwa namwona Msimbazi Centre miaka hiyo? Ee Mungu nakushukuru maana hamna kukata tamaa kweli.
Wow amen amen and aki najaribu God bless
Mungu amupe zamiri ya kukuomba msamaha
Nashukuru sana kwakunitia moyo
Kwa mara ya kwanza leo najua kuhusiana na 7up
Namimi aiseeee
Umenena vyema Mtumishi
Nakuelewa saaaana EV Paschal Cassian.....Napenda saana Kazi zako Kakangu. Mungu akubariki saaana Kaka.
Ubarikiwe mtumishi.
Lipa ubaya kwa wema hiyo point naipenda mbarikiwa sana papaa
Mungu Haku bariki
Ujumbe mzuri sana
Amen amen Iam beautiful 🎉
Nakuelewa Sana Pascal
Barikiwa kwakunitia moyo
Kufa kupo tu,...'' Weka kiitikio bado Mungu hajaamua'' Swala siyo kujikatia tamaa..
Amina Amina natiwa nguvu
Mungu azidi kikupigia na kukuinua hatua nyingine zaidi.
YESU AKUTETEE MTUMISHI NA ZAIDI HUDUMA YAKO IZIDI KUINULIWA.
Mungu yupo nawe
Sifa na utukufu ni kwa Mungu mkuu
Amina,mtumishi,
Nikweri mungi akumbariki
Hakika haitatokea siku nikate tamaaa
Yeye mwenyewe bado hajatoka huko
Ubalikiwe mtumishi
kama ayubu,,,Kwa Imani alishinda wakina mtemani waliongea hakujal
Amen sana
Angalau umejiongelea hujawaponda watumish
*My situation right now😢
I'm asking myself why my parents didn't work hard gor my better life now iam working for my kids and the same time working to take care of my mum . because no property my dad left😢
Kuna siku makonda alikabidhiwa mchango na Mtume MWAMPOSA Tsh m. 10 MIONGONI MWA wagonjwa aliowaombea na wewe ulikuwa ni MMOJA wapo. Unalikumbuka Hili mtumishi? Nami nilihudhulia ibada hiyo. Makonda kukabdhiwa. Mungu akutie nguvu.
Amena mungu akuongezae
Living testimony
Ubarikiwe mtumishi nimejifunza kitu
Vizuri san
Ameeeeeeen ameeen
Amen
Wewe mtu siyo wa kawaida
Hapa ndo Huwa wananichanganya watumishi ktk biblia hakuna kuoa tena labda mmoja wa Wana ndoa afariki......
🤔mungu azidi kukulinda kaka
Amen amen🙏 🙏 🙏 🙏
amen
Acha ujinga bana sasa kama ameona humufai tena chakufanya akae kwenye moto nikipi we naye
Amen🙏🙏🤝
Amen🎉🎉🎉
AMEN AMEN
Ameeeeeeen
Siwezi ku jikatia tamah ao kuikatia tamaha jambo lolote
✌️👍🙏.
Mbona hakukimbia ulipokua na pipe mtumishi uongo dhambi
Sasa uongo wake uko wapi huwezi jua yote
Kasema mke wake wa kwanza hata hajawa maarufu. Nahisi baadae alikuja kuoa mke mwingine. Muwe mnasikiliza na kuelewa vizuri
Naomba whatsapp nr pstr
Ubarikiwe sana
Amen
Amen Amen 🙏
Amen
Amen
Amen