KILICHO NYUMA YA WASAFI TV CHA FUNULIWA KAFARA WATAZAMAJI EV PASCHAL CASSIAN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • *#0766998994 #0788871769 #

Комментарии • 111

  • @omegamchaki6696
    @omegamchaki6696 11 месяцев назад +7

    Mungu azidi kukutunza mtumishi wa Mungu huwa nabarikiwa sana sana nikikufuatilia....kupitia wewe sijawahi kujutia wokovu ...najengekea kiimani kila iitwapo leo...

  • @MeshackDaniely
    @MeshackDaniely 3 месяца назад

    Sijuwi nisemaje pascal mtumishi wamungu mungu akubaliki sanaaaaaaaaaaaaaa 🙏🙏🙏 asante sana nitakufatilia maisha yangu yote ilu nipone kwajina layesu mungu akulinde akupe maisha utuokoe na uziokoe familia zetu nakupenda sana mtumishi wamungu kwasababu unaihubili kweli yamungu ubalikiwe mchungaj ubalikiwe sana sana sana sana yesuuuuuuu mpe maisha marefu anusulu vizazi vyetu kwanjia yainjili asante sana sana sana sana ameeen kubwaaaaaaaaaaaaa

  • @Kabendera-s1w
    @Kabendera-s1w 2 месяца назад

    Mutumishi wa Mungu ubarikiwe Mungu akuzidishiye Neema ya kuishi na akulinde

  • @Jus378
    @Jus378 10 месяцев назад +3

    Ninakuelewa sana Mtumishi.Mungu Anakutumia vyema sana usiwe kama shusho anayejiita mtumishi na kumbe ni kahaba wa diamond

  • @NdayiTitia
    @NdayiTitia 11 месяцев назад +3

    Napenda sana mahubiri yako yamenibadilisha sehemu kubwa sana.... Wewe ni Mtumishi umeitwa ili utufumbuwa macho ya kiroho...... achana nahao wengine wanatumikia ndoto zao hawajaitwa na Mungu hata...
    Nimeona mmoja hapa Kenya anajiita mtumishi wa Mungu.. Mwanzoni niliona kama anaongea kweli nikamufuatiliya.... Badae nikaona ameposti kipindi kimoja.. Anapingana na Watumishi akiwemo PASCHAL CASSIAN MTUME MALI YA BWANA NAWENGINE.. Nikatama nikamusikiliza kipindi hicho sikumuelewa... Namshukuru Mungu badae nikaona kipindi kingene ameposti akiwa anamtetea MAKENZI huyu aliye sababalisha vifo vyawatu wengi hapa Kenya ati MAKENZI ni mtumishi wa Mungu ametumwa kabisa na Mungu eti wamwache wasipo mwacha Kenya itapata shida maana Mungu amekasilika sana wanamtesa mtumishi wa Mungu naye ametumwa na Mungu... Nikasema huyu anampinga PASCHAL Cassian alafu anamkubali MAKHENZI nikasema basi huyu ni shetani mwenyewe sasa ninaye mufuatilia... Nahapo nikakoma kufuatilia watumishi wengine ovyo ovyo. Kwahio Mtumishi wa Mungu endelea kutufumbuwa macho ya kiroho.
    Mungu aendelee kukuvuviya nguvu za kiroho zaidi, na azidi kukutenga na roho ya uoga maana ukweli wako unatusaidia sana wengi. Umebarikiwa sana.

  • @MGALILAYABillionaire
    @MGALILAYABillionaire 11 месяцев назад +8

    Mungu atusaidie sana maana mambo ni mengi, majaribu pande zote duniani... Wakristo wajiepushe sana na mafundisho potovu...
    Ni kawaida kwa mtu kuwa dhaifu, au kuwa na uhasi ndani yao, au kukosa uwazi juu ya mapenzi ya Mungu au njia yao ya kutenda. Lakini katika hali yoyote, lazima tuwe na imani katika kazi ya Mungu, na tusimkane Mungu... tusimame imara katika Bwana...
    Vituko vinavyoendelea mitandaoni ni maovu tu... na ndio watu wengi wanafuatilia ni kuwaombea mungu awakomboe wasiangamie.
    Mungu akubariki sana mtumishi kwa kazi njema unayofanya.... zidi kuwatoa wengi gizani...

    • @gracengairo6214
      @gracengairo6214 11 месяцев назад +2

      MUNGU akulinde mtumishi unachukiwa kwaukweli unaotoa Mungu atuponye

  • @AnneCherotich-gj9eg
    @AnneCherotich-gj9eg 10 месяцев назад +2

    Jina lake Yesu Kristo lihimidiwe kupitia mahubiri na maono makuu kama haya.
    Zidi kuinuliwa katika viwango ki imani mchungaji.
    Hapa Kenya tunasema Neno la Mwenyezi Mungu lizidi kuendelea

  • @DaniDanda-s6z
    @DaniDanda-s6z 2 месяца назад

    Mungu akubariki mtumishi wa mungu.

  • @ericbadesire9172
    @ericbadesire9172 9 месяцев назад +1

    Mungu akulinde na kukuweka mbali na maadui zako ili mradi neno lienee popote.

  • @AgyMbilinyi
    @AgyMbilinyi 8 месяцев назад +1

    Barikiwa sana mtumishi waambie ukwer

  • @NeemaMwita-vb4xd
    @NeemaMwita-vb4xd 3 месяца назад +1

    Mungu akubaliki sana mtumishi binafsi nimejifunza kitu

  • @mercykasyoka4007
    @mercykasyoka4007 11 месяцев назад +3

    Hamuelewi dunia imepasuka na kuporomoka... yesu yukaribu kufunuliwa jiwekeni tayari
    Ahsante mtumishi kwanza juu ujawah kuwa mwoga kwa neno la mungu

  • @EliyaSimoni-w2m
    @EliyaSimoni-w2m 16 дней назад

    Ubalikiwe mtumishi wa Mungu

  • @erickrao
    @erickrao 10 месяцев назад

    Asante sana appreciate you so much without fear wawache zahovio warudi kwa mungu🇰🇪

  • @saimonkaayanyawacha3836
    @saimonkaayanyawacha3836 10 месяцев назад +1

    Nimekuelewa mungu akubariki

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 11 месяцев назад +7

    Kwanza kama kweli tunataka kuwa na mwisho mwema hatuna budi kujitenga kabisa na entertainment zote za kidunia. Jamani Mbingu ipo na jehanam ipo na vyote ni halisi. Jehanam hata yule unayemchukia huwezi tamani aende huko ni hatari tutaponaje tusipotii !?

  • @joannekesa1835
    @joannekesa1835 11 месяцев назад +1

    Ukweli kabisa mtumishi wa MUNGU ubarikiwe kwa mafunzo mazuri amina

  • @marysarange9187
    @marysarange9187 11 месяцев назад

    True mtumishi Mwenyezi Mungu atusaidie katika Jina Kuu La YesuAmina

  • @immahkisuke1564
    @immahkisuke1564 3 месяца назад +1

    Barikiwa Sana Pascol

  • @jumaluchagula8357
    @jumaluchagula8357 2 месяца назад

    Ukweli mtumishi wa mungu endelea kuelimisha jamii

  • @ShalomPhidosy
    @ShalomPhidosy 8 месяцев назад

    Amen 🙌🙌 ubarikiwe sanaaa

  • @noelmbosa2736
    @noelmbosa2736 11 месяцев назад +3

    Mmmm! tusaidie YAWE pekeyetu hatuwezi,duniani mambo mengi ni hatari sana kwa ajili ya maisha ya mtu kiroho, wapendwa roho mtakatifu awe kiongozi wetu siku zote

  • @ObedyBazirake
    @ObedyBazirake 2 месяца назад

    Bwana yesu kristo asifiwe

  • @WilliamMandwanga
    @WilliamMandwanga 4 месяца назад +1

    Wewe kweli mtumishi wa mungu.atamane unayo ongea nikweli kabisa mptumishi.upoongea yanaingia.kaa nikwei nauzima

  • @neemasanga5333
    @neemasanga5333 11 месяцев назад +1

    NAMSHUKURU MUNGU ANANIPENDA NA KUNIEPUSHA NA MAMBO MENGI YANAYOONEKANA
    MEMA KUMBE KUNA MTEGO
    NYUMA YAKE❤.

  • @KulekatsengeHaruni-sb6qc
    @KulekatsengeHaruni-sb6qc 10 месяцев назад

    Amen ubarikiwe nakupenda sana.

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 11 месяцев назад +4

    True

  • @KhadijaMwakambinda
    @KhadijaMwakambinda 9 месяцев назад

    Mungu azidi kukulinda mtumishi maana somo unalotupa ni watumishi wachache wanaoweza kujitosa na kuongea,🙏

  • @Erishaernest-ik3kk
    @Erishaernest-ik3kk 11 месяцев назад

    Mtumishi mungu ukubariki sasa kwa mafunuo ya mambo ya dunia hii na azidi kukufunuria mengi iri sisi tuzidi kujuwa nasi tuweze kujiepusha nayo> nabarikiwa sana na mafundisho yako kwa sababu yanatuweka uweponi mwa mungu wetu

  • @consolatarogers1142
    @consolatarogers1142 10 месяцев назад +1

    Mungu akutunze siku zote

  • @EmmanuelMikael-in1ej
    @EmmanuelMikael-in1ej 11 месяцев назад +3

    Sauti ya mtu aliae nyikani.nakufatilia sana kaka

  • @SelemwambaFrancis
    @SelemwambaFrancis 10 месяцев назад

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @ElishaMwinuka-w4k
    @ElishaMwinuka-w4k 10 месяцев назад

    Ee Mungu katika Kristo Yesu tupiganie Kwa hili. Mlinde na huyu mtumishi wako mwinjilisti Pascal Kasian

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 9 месяцев назад

    Na kwa kweli umepitia MAENEO mengi ktk ulimwengu huu, na ndo maana data nyingi unazo, ubongo wako unabeba viingi, hongera na kumbukumbu unazo pia hurudii rudii! Pongezi kwa muumba wako kabisa. AMEEN.

  • @aloyceJiles
    @aloyceJiles 11 месяцев назад

    Mungu akubariki sana sana nima ombi yangu

  • @Neema-m6s
    @Neema-m6s 10 месяцев назад +1

    Hakika ww ni mtumishi wa Yesu Bwana aendelee kukulinda na kukupaka mafuta ya Roho mtakatifu kila siku.

  • @janethKamazima
    @janethKamazima 11 месяцев назад +2

    Wana mwaga roho za kutosha,ushoga,uzinzi,usagaji kila aina ya roho hizi nyimbo zina achilia,zina kausha na kuuwa watu kiroho watu wa rohoni kiukweli tukiwaangalia hawa wasanii tunaona shetani mzima mzima ndani yao

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 10 месяцев назад

      Haswa kabixa kabixa ni makuhaani,mawakala

  • @Pendopasilika
    @Pendopasilika 11 месяцев назад +2

    Ni kweli baba wanawake hawaoni shida kuonyesha maungu Yao shetani ameteka fahamu zao wanatembea vitovu pasipo kuogopa siku hizo wasichana hawaogopi hata wazazi wao MUNGU atusaidie katika kizazi hiki kilicho potoka

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495 11 месяцев назад

    Dunia inazidi kuwa tambara mbovu. Asante kwa uelimisho.

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula 11 месяцев назад

    Mtumishi nimerejea tena Kwa mda kiasi nimekua out but am back sema kweli mwenye siko asikue barikiwa nawe pia

  • @DeboraNeno-s5o
    @DeboraNeno-s5o 6 месяцев назад +1

    Kweliii kabisa Mtumishi tunapotea sana jamani tunaangamia vibaya

  • @jeanlouisangelina4654
    @jeanlouisangelina4654 10 месяцев назад

    Nakupata mtumishi Mungu akulinde

  • @anasialauwo4922
    @anasialauwo4922 11 месяцев назад

    Nakupenda sana mtumishi wa MUNGU

  • @gahungubertin1214
    @gahungubertin1214 11 месяцев назад +1

    Yaani mutumishi nakuombea tena nakupenda bure,nikiingiya tuu RUclips, cha kwanza nachotafuta ni mafundisho yako...Mungu akutunze

  • @swai.edentv5273
    @swai.edentv5273 11 месяцев назад +2

    Kweli kabisa

  • @belinamwambeleko370
    @belinamwambeleko370 11 месяцев назад

    Kweli kabisa .asante mtumishi wa mungu

  • @janethKamazima
    @janethKamazima 11 месяцев назад

    Mtumishi Bwana akupe nguvu zaidi

  • @BarakaPeter-r4x
    @BarakaPeter-r4x 7 месяцев назад

    Sema ukweli baba mungu akutunze

  • @mpesastatements2265
    @mpesastatements2265 11 месяцев назад

    Enda mbele baba tuko pamoja tutashinda Niko kenya nakuelewa sana

  • @CharlesMisungwi-f8t
    @CharlesMisungwi-f8t 2 месяца назад

    Kipimo.cha muhubiri wakweli wa. Mungu ni uleutitili wamafundisho yashetani nawahusika wamahubiri hayo kujitanua nakujisifu ilihali wachungaji wa kweli kama akinapaschal autanzania tuna miamoja au Hawafiki kumi nafatiliasana wachungaji nawanaojiita manabiinamitume sipatijibu kama wanamuwakilisha Mungu wokovu ni njianyembamba kama ville akinapaschal walivyowachache hongelasana evangelistic kutupa kweli yaMungu.

  • @neemalambo9790
    @neemalambo9790 9 месяцев назад

    Nakukubali mnoo kwa kuwa ulitoka huko unajua kila kitu

  • @hasanygodda9242
    @hasanygodda9242 10 месяцев назад

    Amina mtumishi

  • @DANIELMWAMKINGA
    @DANIELMWAMKINGA 8 месяцев назад

    Thanks sana

  • @rachelkihaka9204
    @rachelkihaka9204 10 месяцев назад

    Ee Mungu naomba nifikishe mwisho mwema ili niuone ufalme wa mbingu nami niimbe pamoja na malaika hao wanne wenye uhai na watakatifu wengine

  • @rafikiyangu34
    @rafikiyangu34 11 месяцев назад +1

    😭😭😭😭😭😭😭happy for what you are doing
    Don’t stop but then we should not hate evil doers

    • @KennedyLyanda-ez1kw
      @KennedyLyanda-ez1kw 15 дней назад

      Pray for them but don't join unrighteous men in doing evil

  • @WilliamMandwanga
    @WilliamMandwanga 4 месяца назад

    Mwenye TV mwenywe aeleweki.kama wakuzim

  • @RemmyKazumba
    @RemmyKazumba 2 месяца назад

    Aminaumenib 12:24 adirisha

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 11 месяцев назад +1

    Shetani anaitumia fedha kama silaha ya kuiangamiza dunia. Mimi hujiuliza shetani hajawahi kuumba chochote na Hana kitu chochote cha kumpa mwanadamu isipokuwa vile vilivyoumbwa na Mungu ambavyo sisi tulipewa tuvimiliki. Imagine tajiri kama Reginald Mengi pamoja na umaarufu wake yuko wapi leo huo utajiri wake unamsaidia nini hivi Sasa? Nimetoa mfano tu ingawa sijui kama naye alikuwa na mkataba na Ibilisi

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 10 месяцев назад

    Yes sir

  • @raymondwatsonvideosclip5177
    @raymondwatsonvideosclip5177 11 месяцев назад +2

    jamani hii hatari

  • @PeterJonathan-c8k
    @PeterJonathan-c8k 6 месяцев назад

    Umenena kweli mtumishi, ni wasafi kidogo wa mavazi wachafu wa nafsi,< nafsi wameuza kwa shetani>

  • @DedieuFereza
    @DedieuFereza 6 месяцев назад

    Uyo msani ni shetani wa kuzimu BWANA ATUSAIDIYE KWELI

  • @NathanielJeksta
    @NathanielJeksta 4 месяца назад

    Kweri kabisa

  • @loveneskasanga4186
    @loveneskasanga4186 9 месяцев назад +1

    Acha kifatilia ya watu fata yoko,Yako yamekushinda😂😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 5 месяцев назад

      😂😂😂😂😂 kweli alafu huyu jamaaa ni kigeugeu😅😅😅😅

    • @MnanilaMrsmnanila
      @MnanilaMrsmnanila 5 месяцев назад +1

      Pole Sana,huyu ni mtumishi wa Mungu ukimfatilia utapona

    • @neemamsanga253
      @neemamsanga253 2 месяца назад

      karibu nuruni utaelewa MUNGU akusaidie 🙏🙌

  • @mwambakibucheche1119
    @mwambakibucheche1119 10 месяцев назад

    Ee Mungu utunusuru waja wako.

  • @JacoboBonifas
    @JacoboBonifas 11 месяцев назад +1

    Hakika MUNGU azidi kukulinda

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah 5 месяцев назад

    Muda ni mchache mambo ni mengi

  • @jovettedenise2591
    @jovettedenise2591 11 месяцев назад

    Amen

  • @cristinarashid1245
    @cristinarashid1245 11 месяцев назад

    Ameen

  • @nenolauzima5281
    @nenolauzima5281 10 месяцев назад +1

    Tatizo watu tumeshikwa ufahamu hatuelewi hatusikii

  • @jastinmkoba
    @jastinmkoba 10 месяцев назад

    Leo 🤝🤝🤝😳

  • @Elishaponde
    @Elishaponde 11 месяцев назад +1

    ameni kk utukufu kwamngu wetu

  • @DeboraNeno-s5o
    @DeboraNeno-s5o 9 месяцев назад

    MUNGU Atusaidie Mtumishi

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 11 месяцев назад

    Nikweli baba sema tupone

  • @damasioadrianosalendi6871
    @damasioadrianosalendi6871 11 месяцев назад

    Vipi kuhusu vaimba kwaya ntunsikilize nani?

  • @DeboraNeno-s5o
    @DeboraNeno-s5o 6 месяцев назад

    Maskiniii

  • @JedidaNdutuu-ys3lx
    @JedidaNdutuu-ys3lx 6 месяцев назад

    N kwel kabisa, watu wajue ukwel

  • @pendoshaban1010
    @pendoshaban1010 11 месяцев назад

    Mchungaji endelea kupiga vita

  • @barakamachard1944
    @barakamachard1944 9 месяцев назад +1

    Tufanye kazi jamani umasikini huleta uongo 😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 5 месяцев назад +1

      Kweli 😂😂😂😂😂😂

    • @neemamsanga253
      @neemamsanga253 2 месяца назад

      ukiwa nuruni utaelewa,,, MUNGU akusaidie

  • @MariamLulao-im3bf
    @MariamLulao-im3bf 9 месяцев назад

    🙏🙏

  • @BrightonemediaTz
    @BrightonemediaTz 11 месяцев назад

    🎉🎉

  • @GuillaumeLumande-j3d
    @GuillaumeLumande-j3d 11 месяцев назад

    Ni hatari kweli 🤔

  • @Mteulefrancic10
    @Mteulefrancic10 10 месяцев назад

    Twende tuondoke safar ya mbinguni

  • @SimaobenditoSimao
    @SimaobenditoSimao 11 месяцев назад

    Mimi niende kanisa gani??

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 11 месяцев назад

      Njoo msikitini

    • @MnanilaMrsmnanila
      @MnanilaMrsmnanila 5 месяцев назад

      Mtafute Mungu na uende mahali sahihi ambako hawatumii Maji wala mafuta ila jina la Yesu ndilo linalo hubiliwa na kutukuzwa Tu mpendwa wangu

  • @mercycharlesmsiagi1756
    @mercycharlesmsiagi1756 11 месяцев назад

    Kwan kuangalia TV ni zambi au kuwa na TV n zambi ni eleweshen

    • @neemamsanga253
      @neemamsanga253 2 месяца назад +1

      sio dhambi inategemea na unacho tazama dada🙏

    • @KennedyLyanda-ez1kw
      @KennedyLyanda-ez1kw 15 дней назад

      Tv inatumika kuendeleza aganda ya Shetani

  • @mariamwakabuta1034
    @mariamwakabuta1034 9 месяцев назад

    Wewe nawe umechaguliwa na mwenyezi mungu wetu, inanikumbusha wakati wa kambalage nyerere alikuwa ataki wananchi wake waone vidoe na wakati wa pombe magifuri alikemea wote waocheza uchi....

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 9 месяцев назад

    WENGI WAPE! BASATA IPOGO SIYO! HABARI NA UTANGAZI, UTAMADUNI, VIJANA NK , TUOMBEANE MEMA TUFIKE PAZURI MUNGU APATE UTUKUFU WAKE DAIMA! WASAFI NA DINI!

  • @ferdinandmlacha1123
    @ferdinandmlacha1123 11 месяцев назад +2

    Wewe mwenyewe fake unaonekana tu

  • @DeusdeditMichael
    @DeusdeditMichael 11 месяцев назад

    MAANA YAKE NI KWAMBA, WALE AMBAO NI WACHAFU NA MACHUKIZO; HAO KULE KUZIMU WANAPEWA JINA LA WASAFI.
    LAKINI WALE AMBAO NI WATAKATIFU, KULE KUZIMU, SHETANI ANAWAPAJINA LA WACHAFU.
    HIYO NDIYO TAFSIRI YAKE

  • @MeshackDaniely
    @MeshackDaniely 3 месяца назад

    Sijuwi nisemaje pascal mtumishi wamungu mungu akubaliki sanaaaaaaaaaaaaaa 🙏🙏🙏 asante sana nitakufatilia maisha yangu yote ilu nipone kwajina layesu mungu akulinde akupe maisha utuokoe na uziokoe familia zetu nakupenda sana mtumishi wamungu kwasababu unaihubili kweli yamungu ubalikiwe mchungaj ubalikiwe sana sana sana sana yesuuuuuuu mpe maisha marefu anusulu vizazi vyetu kwanjia yainjili asante sana sana sana sana ameeen kubwaaaaaaaaaaaaa

  • @LAMECKSHEDRACK
    @LAMECKSHEDRACK 3 месяца назад

    Kweli kabisa