UNABII WATIMIA KWA MATHA KIZAZAZI CHA NYOKA EV PAACHAL CASSIAN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • #0766998994 #call0688199370 #

Комментарии • 142

  • @NeemaHand
    @NeemaHand 12 дней назад +9

    Hakika hayo ni ya kweli...na watu wameondoka kwenye uwepo wa MUNGU watu wanakimbizana na utandawazi..hakika Mungu uturehemu ...

  • @anosiatamilindi3681
    @anosiatamilindi3681 2 дня назад

    Ubarikiwe zaidi mtumishi CASSIAN yeyeote anayeona mahubiri yako kinyume hana Mungu wa kweli ndani yake maana ni dhahiri kabisa unatumiwa na Mungu wa kweli

  • @Crabtree1844
    @Crabtree1844 12 дней назад +5

    Ewe Mwenyezi Mungu tusamehe. Naomba kwa jina la Yesu, tusamehe.

  • @Mwasame_Official1
    @Mwasame_Official1 11 дней назад +3

    Nina jambo kwako mtumishi wa mungu pascal. ,ungelitafuta jina lingine ,,usiite kuna nuru gizinii ,,tafakari sana juu ya hili la kuna nuru gizani???halitosis sawa mtumishi wa mungu .

    • @AthumaniAlly-t7x
      @AthumaniAlly-t7x 10 дней назад +4

      Mm nilivyoelewa ni kuwa hata ktk nyakat hiz tulizonazo ambazo ni kama Giza Bado IPO nuru yaan watu kuifahamu kweli na kukombolewa

  • @leonilabrethrenwoshipers9791
    @leonilabrethrenwoshipers9791 9 дней назад +2

    Watumishi wa Mungu, waimbaji wa nyimbo za injuli, wote hao wanahitaji MAOMBI yetu. Tusiache kuwaombea ili warejee kwenye MSINGI WA NENO LA UZIMA. Tusipende huduma zao tukasahau kuwabeba kwa MAOMBI. Wako vitani.
    Watu enzi za agano la kale walivyoacha kuinua mikono ya Mtumishi wa Mungu
    Yoshua 17:11-16
    Tuwabebe watumishi wa Mungu kwa maombi wanashambuliwa mno. Wanaanza vizuri lakini kati ya safari wanakutana na mapambano makali. Ni wachache wanaofaulu kwa kujiombea maana hatuwaombei.
    Tuombeane Yakobo 5:16
    Mungu Atutie nguvu sote. Unyakuo wa kanisa teule u karibu sana. Amen

  • @IsakaKiyalo-s3v
    @IsakaKiyalo-s3v 12 дней назад +1

    Amina mtumishi wa mungu ubarikiwe yesu wangu nimuabuduye akulunde kusiwepo na nguvu yeyote ya adui ya kukutisha mungu akupe ulinzi kwa damu ya yesu kristo

  • @CharlesMhudzi-q9g
    @CharlesMhudzi-q9g День назад

    Ubarikiwe mtumishi endelea kupiga injili

  • @christianmwasakogo5579
    @christianmwasakogo5579 2 дня назад

    🎉uvaaji wa namna hiyo ni ukahaba hata kama wajione ni wa kiroho kiasi gani,ni sawa uchi tu Ole wao kwa ujeuri wao mpyuto unakuja

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9z 12 дней назад +3

    Mungu atusamehe sana kwa hali inayoendelea kanisani na duniani kote.
    Katika kizazi hiki aliye na afadhali ni yule Mungu alimwandaa aghali tumboni mwa mama. Kutoka 2000 aisee wacha tu waliozaliwa kwa wingi ni majini waliovaa umbo la wanadamu.
    Yesu akakibatiza kizazi cha nyoka....hawana aibu, wako sawa kwa lolote wanalolifanya hawasikii kabisa. Mungu atusaidie sana.
    Mungu akubariki sana na azidi kukufunulia siri za mbinguni zaidi ya yote akuepushe na mipango ya maadui.

    • @user-ii1qk9xn9z
      @user-ii1qk9xn9z 12 дней назад

      @@SamweliKayanda mathayo 7:16 mtawatambua kwa matendo yao. Je, watu huchuma zabibu katika miti ya miiba, au tini katika mbigili?......

    • @SamweliKayanda
      @SamweliKayanda 12 дней назад

      @@user-ii1qk9xn9z Nimekosea sms yangu Mtumishi wa Mungu hiyo wapi sikkusudia bali lengo langu kusema Bibila inasema mtawatambua kwa Matendo yao.

    • @SamweliKayanda
      @SamweliKayanda 12 дней назад

      @@user-ii1qk9xn9z Nimekosea sms yangu Mtumishi wa Mungu sikkusudia bali lengo langu kusema Bibila inasema mtawatambua kwa Matendo yao

    • @SamweliKayanda
      @SamweliKayanda 12 дней назад

      @@user-ii1qk9xn9z Kunawatu wanaweka ushabiki kwenye hamna na ushabiki Mungu anakuona mtu akipotea njia ambiwe watu wanafumbia ujinga wanataka kupendwa Mungu anawaona sijui kutokusoma Biblia

    • @user-ii1qk9xn9z
      @user-ii1qk9xn9z 12 дней назад

      @@SamweliKayanda masikio wanayo hawasikii unabii wa Isaya unatimia na macho lakini hawaoni.

  • @BemiBj
    @BemiBj 4 дня назад

    Aksanti kwa nyimbo inatujenga zaidi.mungu atutendeye muujiza pamoja.

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495 12 дней назад +5

    Nilimuomba Mungu anipe watoto wawili wawe wa jinsia yeyote nitashukuru. Mungu kajibu maombi yangu, ila kwa leo najiongelesha kua, kwa nini Mungu hakunipa watoto hawa wawe vijana. Maana nikimwangalia msichana, twatoshana, hata wengi wajua ni dadangu na kijana ndie mwanangu.
    Tuwatunze na kuwalea kwa malezi ya dini. Tukiwaachilia, wataharibika na watakua wanajisi wa kisayikolojia vile ninavyoona.
    Mungu atusaidie.

    • @AnethSwila-tw9mv
      @AnethSwila-tw9mv 12 дней назад

      Namwinua MUNGU aliyenipa watoto wakiume wanne wakike mmoja

    • @AshanaomyMwakimwagile
      @AshanaomyMwakimwagile 7 дней назад +1

      kwenye kuharibika hakuna jinsia. Jinsia yeyote inaweza kuharibika, Kikubwa ni kupata Neema ya Mungu. Yaan ile Neema kuu ya kuwalea watoto vema na pia utunzaji wa Mungu juu ya watoto kutokana na mazingira ya nje na utandawazi. Ni NEEMA ya Mungu tu inahitajika.

    • @RehemaMtono
      @RehemaMtono 6 дней назад

      ​@@AshanaomyMwakimwagileamen mwana wa MUNGU inamaana ss wenye watoto wakike je tumlaum MUNGU? mbona wakiume wanakuwa mashoga nahao je kwaupande wakuwalea watoto nikumuomba MUNGU tu aweke ulinzi kwa watoto wetu BWANA asipoulinda mji aulindae afanya kazi bure

    • @ShukuruJema
      @ShukuruJema 4 дня назад

      Nenda kwa Mwamposa

    • @RehemaMtono
      @RehemaMtono 4 дня назад

      @@ShukuruJema kufanya nini kwa mwamposa?

  • @ericmastaki1244
    @ericmastaki1244 День назад

    Mungu ataipandisha ma dhabahu yake ju, maana nikazi yake Mungu.

  • @DotoS12
    @DotoS12 3 дня назад

    Ubarikiwe pastor kw n

  • @Pendopasilika
    @Pendopasilika 12 дней назад +10

    Mh!! Martha huyo mwee tena me nlimpenda dah kabadilika kabisa mhuuuuu dunia imeisha watoto wetu wamepotea wanavaa hizo hizo nguo ni wakati wa kumlilia MUNGU kwa ajili ya watoto dah moyo unauma tunao hao mabinti Ee MUNGU Baba tusaidie ubarikiwe baba

    • @happinesskwamboka1540
      @happinesskwamboka1540 12 дней назад +2

      Am also shocked about Martha na nilikua nampenda hata nyimbo zake woi nashangaa tu

    • @lorenahomondi1293
      @lorenahomondi1293 12 дней назад +2

      ​@@happinesskwamboka1540Martha is God's chosen

    • @JOSEPHNKUNDA
      @JOSEPHNKUNDA 12 дней назад +2

      These are the last days, let us be vigilant in praying

    • @lorenahomondi1293
      @lorenahomondi1293 12 дней назад +1

      @@JOSEPHNKUNDA even if it's the last days.. it's good to pray and confirm from God rather than just calling God's servant kisasi cha nyoka😔 let's not grieve the holy spirit

    • @MaryShirima-yw3kp
      @MaryShirima-yw3kp 12 дней назад +2

      ​@@lorenahomondi1293soma alama za nyakati, mtumishi wa MUNGU anaenda jimu🤔🤔 macho ya ROHONI yanahitajika

  • @user-es4jv6pb8x
    @user-es4jv6pb8x 11 дней назад +1

    Hongera Sana Mtumwa wa BABA pole nikakutumie hela ya maji

  • @GivenessJohnson
    @GivenessJohnson 4 дня назад

    Duuh Martha jmn nakupenda sana naomba uache hayo mavaz jmn napenda sana nyimbo zako

  • @DaudBuhimila
    @DaudBuhimila 6 дней назад

    Ewe mwenyezi Mungu wasaidie wachungaji wayaone haya na wapate kuyakemea pia na sisi washirika tujisimamie na kutambua tuliembeba ndani yetu yaani yesu kristo.Wakristo wa kweli huonywa mara moja tu na mabadiliko ya matendo ya kristo huanza kutokea kwao wala hawatoi lawama juu ya maonyo ya Mungu . Lakini leo inatisha nakuogofwa washirika tukionywa tumekuwa tukizozana na wachungaji hasa vijana wakiume na wakike

  • @kwayaapostólica
    @kwayaapostólica 12 дней назад

    Wewe tumishi Mungu alibariki sana kazi i siyo wewe mwenyewe ni Mungu mwenyewe ndani yako

  • @BemiBj
    @BemiBj 4 дня назад

    MUNGU atusaidiye sana.okovu ni mali.mungu akubariki mtumishi wamungu.

  • @odettenzeyimana6278
    @odettenzeyimana6278 12 дней назад

    Barikiwa sanaa mtumishi wa Mungu,umeongea,kweri Dunia yiko mwisho,kila mtu nikutazama,mwenyewe

  • @DanielNasibu
    @DanielNasibu 12 дней назад +1

    Mtumishi mungu akubaliki na aendelee kukutia nguvu🙏🙏

  • @KimaduKakiya
    @KimaduKakiya 12 дней назад +1

    Ameni mtumishi bwana akubariki sana

  • @FideleMakemwa
    @FideleMakemwa 5 дней назад

    mungu akubariki n'a akufunike kwa damu ya Yesu kristo

  • @TuswegeMshani
    @TuswegeMshani 7 дней назад

    Tuko pamoja mtumishi mungu aendelee kukutumia kama chombo

  • @JosephMurhulaDieume-k5r
    @JosephMurhulaDieume-k5r 11 дней назад

    Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana, lakini Kuna wa toto wa kike wacha Mungu siyo wote ambao wameshindikana.

  • @KenvesKabwe-k9e
    @KenvesKabwe-k9e 7 дней назад

    Umbarikiwe mutumishi Pascal cassian

  • @JosesphatSiringi
    @JosesphatSiringi 4 дня назад

    Dunia imefika,ukingoni pastor,watu wanastahili kurekebika

  • @Mwasame_Official1
    @Mwasame_Official1 11 дней назад +1

    Mimi sijawahi kumpenda huyu Martha mwaipacha tangia aanze uimbaji wake,, ndani yake hakuwamo mungu alinza na ubinafsi kwa uimbaji wake na kujisifu,, kujiinua,,akawatharau maiduguri zake wa kambo,, akajiona ni yeye tuu ,,,badala ya kumsifu mungu anajisifu yeye mwenyewe 😢😢😢ole wake kuifanyia kazi ya mungu chakula cha tumbo 😢😢

  • @michaelevarist5518
    @michaelevarist5518 12 дней назад +2

    Nikwelii kabisaa yaaan

  • @user-lf5ee3ok8f
    @user-lf5ee3ok8f 4 дня назад

    Uenda angesema tutoke katika Giza Nuru iangaze

  • @GodfreyMakala
    @GodfreyMakala 12 дней назад

    Kweli kaka Mungu akubarik sana Mungu atuponye

  • @JzjQj
    @JzjQj 5 дней назад

    Mungu tusame na utupe mawono 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @warshatissa7128
    @warshatissa7128 7 дней назад +1

    Saidie ewe bwana yesu

  • @ShukuruJema
    @ShukuruJema 4 дня назад

    Madhabahu imejaa mapicha picha na makochi na mito ya marangi rangi

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 2 дня назад

    Lakini nyinyi wakristo na wachungaji wenu mmewaruusu wanawake wenu waje uchi makanisani ili mfanye nao zinaa mnadai Mungu haangalii mavazi hata ukiwa uchi sawa tu

  • @JzjQj
    @JzjQj 5 дней назад

    Mungu sayidiya wa toto wetu wukujuwe mungu wetu

  • @BarakaJosephmolell
    @BarakaJosephmolell 6 дней назад

    God bless you 🙏🙏

  • @jannetteanzemo3280
    @jannetteanzemo3280 12 дней назад

    Mungu tuhurumie sisi wanawake tuuone ufalme wa mbinguni

  • @fredymbilinyi6323
    @fredymbilinyi6323 12 дней назад

    Tusilaumu wanawake tumlaumu shetani, anae leta maovu, kuhusu watoto jinsia, sio kweli, vijana wakike na wakiume wote wanatumiwa na shetani vijana wanavuta madawa yakulewa. Panya rord majambazi, lakini niwapongeze wanawake makanisani ndio wanao ongoza kwa wingi na niwatumishi wazuri tangi enzi za yesu, wanawake msivunjike moyo mtumikieni Mungu

  • @DaudBuhimila
    @DaudBuhimila 6 дней назад

    Dunia hii inatisha nakuogofwa nguo za kulalia zimekuwa za kuvaa makanisani hasa kwa vijana wanaotumika madhabahuni na kuhudumu inatisha nakuogofwa maana baadhi ya wachungaji hawakemei 😢 😢

  • @MargarethMtokambali
    @MargarethMtokambali 9 дней назад

    Martha ulianza vizuri na watu walikupenda na mimi nikiwepo imekuwaje¡!!!!!!!

  • @johnlightmkose4723
    @johnlightmkose4723 12 дней назад

    MTUMISHI MUNGU AKUBARIKI SANA KWA KAZI NJEMA SANA
    NI UKWELI MTUPU

  • @JoshuaMathias-g4q
    @JoshuaMathias-g4q 5 дней назад

    Kweli kabisa kizaz Cha sasa kimekua Cha nyoka

  • @orverfredy2694
    @orverfredy2694 12 дней назад

    Mungu akusimamie tusije anza kukuona kwenye mikutano pamoja nao.. mimi ni mmoja ya watu walio acha kwenda kanisani sababu makanisa yamekuwa ndani ya System ambayo haipendezi nafsi yangu😭😭😭Mungu naomba hii iwe sehemu ya kweli 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

    • @leoncefabiano7138
      @leoncefabiano7138 12 дней назад

      We uko wapi ndg

    • @PatrickMathias-cs9qc
      @PatrickMathias-cs9qc 12 дней назад +1

      Tafuta kanisa la kiroho uende

    • @aviosilona316
      @aviosilona316 12 дней назад

      Hakuna kabisa watu wajiombee tuu nakusaidia yatima ​@@PatrickMathias-cs9qc

    • @Gospel434
      @Gospel434 12 дней назад +1

      Usipo tafuta mahali sahih utapotea

    • @aviosilona316
      @aviosilona316 12 дней назад

      @@Gospel434 kupotea kivipi?Mtu mwenye anajielewa hizi Enzi heri kujiombea na kufanya mapenzi ya Mungu sadaka ununulie chokora chakula utakuwa na amani sana kuliko mtu anaye enda kanisani mimi sahii ni 4years nina amani sana

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 12 дней назад +1

    Niko njiapanda. Hakuna kanisa sahihi ya sisi kwenda. Hasa upande
    wa mavazi.

    • @tatubenson9039
      @tatubenson9039 6 дней назад

      Mwaya...Mungu anaangalia moyo hao wanaovaa manguo makubwa ndo wachafu Kama nn

  • @JosephMurhulaDieume-k5r
    @JosephMurhulaDieume-k5r 11 дней назад

    Amen Mtumishi.

  • @BemiBj
    @BemiBj 4 дня назад

    Ila wanaanza kutuhubiri hakuna mbingu.

  • @EstherOdindo-s4i
    @EstherOdindo-s4i 4 дня назад

    Na wakuache.ukiwaambia ukweli ni eti wanataka wakusime ili waendeleze upuzi....waambie.TELL THEM.WAKUPELEKE KWENYE UKO WANAJUA NA HAKUNA KILE WANAJUA. SEMA YOTE.

  • @marthapauline2022
    @marthapauline2022 12 дней назад +1

    Amen amen 🙏🙏

  • @DaudBuhimila
    @DaudBuhimila 6 дней назад

    Hakika hizi ni nyakati za mwisho macho yangu ya sitaajabu matendo ya watu waliondani ya kristo wanakengeuka

  • @MargarethKitalu
    @MargarethKitalu 9 дней назад

    Nilipo mwona Martha Mwaipaja ameanza kuvaa vimini nikajua neno limetia kuwa mtawajua kwa matendo.

  • @SophiaMogitu
    @SophiaMogitu 12 дней назад +1

    Unasema kweli hata kanisani hapafai sasahivi

  • @EstherChadi-xe7se
    @EstherChadi-xe7se 12 дней назад +1

    Amen Amen

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 8 дней назад

    Ukweli usemwe tupone Yesu wangu tuokoe tunaangamia Yesu

  • @NesiasJastin
    @NesiasJastin 5 дней назад

    Piga kelele usiache uwahubiri watu makosa yao

  • @katebatya9211
    @katebatya9211 11 дней назад

    mtumishi hiyo picha ulioweka hapo ya watoto watatu umekosea, they're sisters, ni wana wa Nameless na Wahu raia wa nchi ya kenya..

  • @NeemaShibu
    @NeemaShibu 11 дней назад +1

    Huyu n ufagio wa chuma 6.6kvews ila hawawezi like 🤣🤣🤣

  • @Priscakeneth
    @Priscakeneth 7 дней назад

    Yaan martha kiukwe nilikuwa nampenda sana ila kitu kimoja anafel mtumishi wa mungu ni taa sasa anapovaa viguo vya kuishia kwenye magoti nikwamba hana tofauti na madada poa yaani maana yake yuko sokon wapenzi kuvaa nguo fupi siyo ndiyo uzuri hapana

  • @Jowarilili-q5p
    @Jowarilili-q5p 2 дня назад

    Amem ila Ata wa kiume ni anguko pia amem wakike kwa nn 🙄

  • @ChristophKito
    @ChristophKito 7 дней назад

    Asante sana 🇨🇩🇨🇩

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 12 дней назад +4

    Kwa HIYO WANAWAKE ni kizazi Cha SHETANI?

    • @kelvinjosee-u3e
      @kelvinjosee-u3e 12 дней назад

      Dahhh😢

    • @phakundigervas1360
      @phakundigervas1360 12 дней назад +1

      @@kelvinjosee-u3eakili yako ndogo sana

    • @AnethSwila-tw9mv
      @AnethSwila-tw9mv 12 дней назад +1

      Angalia dhambi ilikuja nani alisababisha samsoni alitolewa macho nani chanzo wanawake usipokuwa na hofu ya MUNGU yani na shetani akalale kwa Yale utakayoyafanya

    • @lorenahomondi1293
      @lorenahomondi1293 12 дней назад

      Sad😢. This is false preacher 😔

    • @user-lc6te2pe2l
      @user-lc6te2pe2l 12 дней назад

      Ni kweli kabisa tuwaombee sana mabinti zetu shetani anawaharibu sana.

  • @MaryShirima-yw3kp
    @MaryShirima-yw3kp 12 дней назад

    Amen ameen🤝🤝🙏

  • @Mchiwalalatz
    @Mchiwalalatz 12 дней назад +1

    Ungeweka picha mbali mbali na si ya huyo dada pekeyake kama vile yeye ndio topic yako
    Amevaa vibaya sawa sijakataa...ila sio sawa yeye kuwa ndio Video cover yako. Waheshimu wenzio basi.

  • @lorenahomondi1293
    @lorenahomondi1293 12 дней назад +1

    Tafadhali achana na Martha huyo ni mtumishi wa mungu😢

    • @SamweliKayanda
      @SamweliKayanda 12 дней назад +1

      Usitetee kilicho potea acha ushabiki Mungu anakuona

    • @israelisponsor8755
      @israelisponsor8755 12 дней назад +1

      Uwe Una akili ndg yangu kwann hufungui macho kwani huoni?

    • @Gospel434
      @Gospel434 12 дней назад +1

      Neno Ra MUNGU tunaona
      Akili puuza
      Kumbukumbu la Torati 22:5
      [5]Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako.

    • @lorenahomondi1293
      @lorenahomondi1293 12 дней назад

      @@Gospel434 wakati bibilia iliandikwa vazi la kike na la kiume vikuwa Kama kanzu zote au sivyo. Hata kwa watati huo Kuna trousers za kike na za kiume

    • @KennedyLyanda-ez1kw
      @KennedyLyanda-ez1kw 11 дней назад

      Wanawake wanadhani kila alieshika Biblia na anahubiri Kanisani ni WA Mungu Satan at work

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz 11 дней назад

    Mtumishi semaukweli haujamuhukumu mtu bali u afundisha jinsi wakilsto tulivyo potoka pia waimbaji walivya iga mambo yautandawazi yakidunia ambayo hayawapac wao kufanya sema tupone

  • @tesfaywanza8032
    @tesfaywanza8032 12 дней назад

    Mungu wangu😢

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 12 дней назад +1

    SASA wakiume watakufaje huku unasema hawazaliwi,?

    • @orverfredy2694
      @orverfredy2694 12 дней назад

      Mungu akusaidie, sikio la ndani lifunguke 😊😊mimi mwenyewe nilikuwa sielewagi kabisa yaani 😂

  • @AliciaRobert-i6o
    @AliciaRobert-i6o 8 дней назад

    Khaaaass😢😢😢😢😢

  • @tatubenson9039
    @tatubenson9039 6 дней назад

    Usihukumu usije ukahukumiwa kikombe unachompimia mwenzio ndio utakachopimiwa....waombeeni watakatifu Kama nyie

  • @user-ro2fl1py6m
    @user-ro2fl1py6m 12 дней назад

    Yesu akutunze Mtumishi

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 11 дней назад +2

    Kuzaliwa kwa watoto wa kike kuna uhusiano gani na shetani?je shetani anaumba mtu au Mungu ndo anaumba,je kuna mbegu zozote zinazotengenezwa kwenye maabara zinazoweza kufanyika mwanadamu?labda mimi niko nyuma ya uelewa lakini ninachojua Mungu wa mbinguni ndiye muumbaji.sula la watoto wakiume kuwa wachache halijaanza leo. Hakuna binadamu anayetengenezwa kwa chembechembe za kimaabara ila wanapandikizwa roho za uasi ili kuiangusha dunia.

    • @charleszakayo2977
      @charleszakayo2977 11 дней назад

      Skiliza kwanza kwa Makin ndoo upatee kuuliza anaposema jambo lazma alifafanue kwa vifungu vya NENO la mungu.

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 11 дней назад

      @@charleszakayo2977 usinifanye mjinga nimesikiliza wala sijakurupuka kukomenti hapa,hakuna andiko linalodhibitisha kuwa kizazi cha kike cha sasa kina kinatokana na mchanganyiko wa chembechembe za kimaabara,msitulishe ujinga hapa kuna andiko Yesu alisema kizazi cha nyoka wana wa majoka na Yohana mbatizaji alilisema ila si kwamba kilizaliwa na shetani hapana kilikuwa kizazi chenye kupenda ushetani kuliko Mungu.hacha kupotosha

    • @CLAUDMWAKALASYA
      @CLAUDMWAKALASYA 6 дней назад

      Unapokoment kitu uwe umemuelewa mtu ndipo umkosoe mtu amesema mabinti wengi wanawaza uchafu tu wamekuwa majent wakubwa saiz wanao tembea uchi sio wakiume

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 6 дней назад

      @@CLAUDMWAKALASYA hata wewe mwenyewe hujui nini unakomenti,maana ulichokiandika na ninilichokosoa ni vili tofauti,mtumishi kasema shetani amepandikiza roho ya kuzaliwa watoto wa kike ili atimize mpango wake,akasema pia waliowengi wamechanganywa na mbegu zilizotoka maabara ambazo shetani ndo kazipanda ndo maana mabinti wako uchi,na ushetani mwingi.nami nimekataa kwa comment yangu hapo juu.nakushauri wewe rudia kusikiliza na kuisoma koment yangu.

  • @marystephen499
    @marystephen499 12 дней назад

    Mtumishi kushukwa ni vibaya

  • @JosephMwakisu
    @JosephMwakisu 12 дней назад

    Njoo

  • @Mchiwalalatz
    @Mchiwalalatz 12 дней назад

    Sasa kwann cover ya video yako umemuweka Martha ....kwa Martha ndio content ya hii video napeelimu ya Mungu lakin sipendi mtu asie weka cover iliyobeba uhalisia wa video yake

  • @CharlesDaudi-u6w
    @CharlesDaudi-u6w 12 дней назад +1

    Amina

  • @fredymbilinyi6323
    @fredymbilinyi6323 12 дней назад

    Wanawake nikizazi cha nyoka mbona na wewe umeoa mwanamke ulimtoa wapi au mbingu gani?

  • @user-jr5fv1yd1o
    @user-jr5fv1yd1o 12 дней назад +1

    𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒂𝒕𝒖𝒔𝒂𝒊𝒅𝒊𝒆 𝒔𝒂𝒏𝒂 ❤❤
    𝒌𝒂𝒔𝒔𝒊𝒂𝒏 𝒎𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒂𝒌𝒖𝒕𝒖𝒎𝒊𝒆 𝒌𝒂𝒕𝒊𝒌𝒂 𝒗𝒊𝒘𝒂𝒏𝒈𝒐 𝒗𝒚𝒂 𝒋𝒖𝒖 𝒔𝒂𝒏𝒂❤❤

  • @KimaduKakiya
    @KimaduKakiya 12 дней назад

    Ameni mtumishi bwana akubariki sana

  • @BemiBj
    @BemiBj 4 дня назад

    Ila wanaanza kutuhubiri hakuna mbingu.

  • @michaelevarist5518
    @michaelevarist5518 12 дней назад +1

    Nikwelii kabisaa yaaan