Wewe mgogo mwenzangu hujamuelewa mpina msukuma mtani wako juu ya elimu mbona watoto wako huwapeleki ktk shule hizo pesa hazijaliwa? Je makonda hajasem a raise anatukanywa mbona hufafanui
We chawele hujamuelewa mpina vizuri, shida yenu hampendi kukosolewa, pole yako, endeleeni tu kusifia wakati huku kwetu watoto wetu wanasoma wakiwa chini ya mti, hawajawahi kujua darasa wala ubao, mkiambiwa mnakasirika,
Mpina is correct. Waziri umeshindwa kupangua hoja muhimu alizowasilisha Mpina. Labda kwa kuwa mteule ni lazima utetee serikali hata kama mambo hayako sawa.
Mpina nahoji Kuna ufisadi jibu, mpina anasema Kuna kutokuheshimiana kuanzia ngazi za juu Hadi chini, siyo unacho kijibu unajibu pumba tu jibu hoja siyo unayo jibu eti na wewe waziri nonsense 😢😢😢
Kweli kabisa hiyo ni sahihi watu wameuwawa ovyo mtaani tunawataka wakina mpina wengi sanaaa humo bungeniii mpinaaaaaa mbeleeeeeeeeee maisha marefuuuuu kwako
Tatizo la viongozi wetu huwa kusifia tu huuni ugonjwa mkubwa Sana kutengeneza mradi siyo hoja hoja hapa ni ufisadi kwenye hiyo miradi kwanni usijikite hapo
nchi haichezewi kilasiku mnapewa hesabu za pesa zinazoibwa iyo miradi yote inaenda ovyo kabisa angekuepo Hayati Magufuli alie ianzisha miradi yote ingekua imeisha unasifia Serikali wananchi wanalia kilakitu kimekua bei juu wananchi wameamka huwezi kuwadanganya Mpina tunaendelea kukuombea dhidi ya watethiwako.
Tatanyooshana tu 2025 Unaongea tu kwasabab upo hapo Hapo humkosoi mpina bali unakosoa taarifa za CAG . Maana % kubwa ya maneno ya mpina yalikuw ni report ya CAG
Kuna kipindi ukikir ukweli.ndio kujitathimin. Sio kila saa ni uchawa uchawa kurekebisha ayoo na kuwa strong zaid ni kukubali Baadhi ya mapungufu wals hakuna mkamilifu viongoz dhaifu wakijidai ni wazalendo thabit.wanapiga rushwa tuu Mikopo ya chuokikuu wa baadhi.ya watu Watu kibao wameikosa shuken chin muone Juu ya yote serikali inapambana na kujitahid hakuna binadam mkamilifi mia kwa mia Idumu Tanzania
hakuna waziri mzigo kama.huyu
Simbachawene unatupanga Acha Mapambio jibu hoja za mpina
Acha siasa mpina iz the best
Tunaomba ujibu hoja za mpina,.. achana na mapambio,.. hauwezi kuficha maovu kwa kutaja mazuri yaliyofanyika
Wewe mgogo mwenzangu hujamuelewa mpina msukuma mtani wako juu ya elimu mbona watoto wako huwapeleki ktk shule hizo pesa hazijaliwa? Je makonda hajasem a raise anatukanywa mbona hufafanui
wewe Simba Chawene Mwizi tu unatetea ujinga,hongera Mpina kwa kuweka mambo hadharani
Acha shangwe jibu hoja za mwanaume mpina
Siasa tuuuuuuuuu
Jibu hoja acha siasa
ila hapa hajajibu hoja za mpina bado
utawala bora;jibu hoja/mapungufu ya utekelezaji wa viongozi usielweshe job description/rensposbility
kele/rensposbility
Mpina yuko sahihi sana
We chawele hujamuelewa mpina vizuri, shida yenu hampendi kukosolewa, pole yako, endeleeni tu kusifia wakati huku kwetu watoto wetu wanasoma wakiwa chini ya mti, hawajawahi kujua darasa wala ubao, mkiambiwa mnakasirika,
Ameelewa, ila Hana majibu😂😂
Mpina is correct. Waziri umeshindwa kupangua hoja muhimu alizowasilisha Mpina. Labda kwa kuwa mteule ni lazima utetee serikali hata kama mambo hayako sawa.
Namkubali sana mpina.
Mgogo jibu hoja!Usizikimbie hoja!
Pumbavu mwiz wew
Mpina nahoji Kuna ufisadi jibu, mpina anasema Kuna kutokuheshimiana kuanzia ngazi za juu Hadi chini, siyo unacho kijibu unajibu pumba tu jibu hoja siyo unayo jibu eti na wewe waziri nonsense 😢😢😢
Mpina big up
Hujaelewa anachosema mpina uliza wasomi kwanza
Jibu hoja Kwanza majaliwa yupo yupo hapo
Jibu hoja.
Mbona hujibu hoja??
Anatumika na ...........
Aisee Simbachawene hauko serious na kazi uako
Jibu hoja....
Yes, the state is weak.
Jibu hoja ndugu waziri badala ya wholesale answers!!!
Simbachawene mungu anakuona ujajinu hoja za mpina unapiga siasa hapo rejea yeye anataka majibu ya hayo
Mpina kumbe ni level ya juu sana, ila ipo haja ya kujenga hoja na kuweka majibu ya mambo aliyoyatolea mifano.
Yaani mawaziri kama hawa usitegemee maendeleo au mabadiriko ktk nchi swali limeulizwa kimantiki limejibiwa kisiasa
Kazi kuteteana unataka watu wasizungumze nchi imekuwa inapuuza katiba inapuuza mmekuwa wezi wabila woga.Mpina yuko sawa.
Vibaraka niwengi Sana kwamba Magufuli hakufanya kitu demokrasia ya vibaraka tu Ni kerere tu wananchi wanalia
Jibu swali unarukaruka
Ingawa hapina hajamdharau Mh. Dr Samia Suluhu Hassan amehoji Ufisadi na kutokuchulia kwa hatua, ktk mengi aliyohoji hakuna jibu hata moja lilitplewa.
Ndo mawaziri tulionao sasa😓😓
Tunaishi vizuri kwa amani aliyotuachia baba wa taifa lakini viongozi inatakiwa mjibu hoja za mweshimiwa mpina
Kwahy mpina kuwakosoa mnakasilika, mpina simama imara tetea wanyonge achana na huyo mboga saba
Kweli kabisa hiyo ni sahihi watu wameuwawa ovyo mtaani tunawataka wakina mpina wengi sanaaa humo bungeniii mpinaaaaaa mbeleeeeeeeeee maisha marefuuuuu kwako
Acha mpina ashike shavu kama kukata tamaa kwa kuwa anajua watu alionao bungeni ni felia too mucha..
Tatizo la viongozi wetu huwa kusifia tu huuni ugonjwa mkubwa Sana kutengeneza mradi siyo hoja hoja hapa ni ufisadi kwenye hiyo miradi kwanni usijikite hapo
Mmmmh
Mwanafunzi kajitungia swali kwenye chumba cha mtihani bado kafeli
Hizo hoja ni Bora zikajibiwa Kwani wananchi wa kawaida wanataka majibu, siyo siasa
Acha story kwani Mpina amesema hamuheshimu Rais
Wew mgogo njoo usimamie shule, JIBU HOJA,
Je Hela haziibwi?
Mbona mnaweka siasa
Kwa hiyo unacho taka kutuambia hakuna wizi mkubwa?unataka kutuambia nin watanzania wanaakili bwana acheni kuburuza watu
Mpina,ujumbe umefika,tulia.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu❤
Mpina kakuuliza jambo zuri unajibu hovyohovyo tu kwisha habari mtani
Bado hujajibu
Mkasimamie wale
Acha siasa aibu yako
Majibu mbona hayafati utaratibu wa mswali alivyoyasoma,angeanza na kimoja kimoja ningemwelewa
Chawa anakata mawimbi tumechoka vihoja kwenye hoja nzito
Kumbe huelewi alichosema mpina
Mpina big up sana tu
nchi haichezewi kilasiku mnapewa hesabu za pesa zinazoibwa iyo miradi yote inaenda ovyo kabisa angekuepo Hayati Magufuli alie ianzisha miradi yote ingekua imeisha unasifia Serikali wananchi wanalia kilakitu kimekua bei juu wananchi wameamka huwezi kuwadanganya Mpina tunaendelea kukuombea dhidi ya watethiwako.
Mpina yuko sahihi serikali hii imekopa t 30 kwa miaka mitatu hiyo sio kawaida
Wenye Akili kubwa ndo watamwelewa mheshimiwa Mpina
Tatanyooshana tu 2025
Unaongea tu kwasabab upo hapo
Hapo humkosoi mpina bali unakosoa taarifa za CAG .
Maana % kubwa ya maneno ya mpina yalikuw ni report ya CAG
Haya majamaa yanoyopiga makofi yanajielewa kweli?
Ahahahhaaaaaa aaaaaaa
Hivi unajielewa kweli umeelewa hoja za mpinaa unajiongelea pumbaaaa
Wezi
Huyu nae vp mbn hajibu hoja??
Nahisi mama yetu amemuelewa mpina
Jibu swal kwan ufisadi haupo
Wanaompa PhD wana interest zao!!!!
Mikatabaaa
Hujajibu hoja za Mpina
Acha siasa Mh jibu hoja
Tanzania 🇹🇿 haiko stable
Mpina is the best 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪
Kama hoja ya mpina imejibiwa kwa ukali wa bila point na hao ndio watu wanawapigia debe kuwapa madaraka makubwa zaidi ya hayo basi tuna kazi ya kufanya
2025 sijuwi
Akili kichwani
Hivi mheshimiwa anajibu hoja ama ame leta hoja nyingine??
hahaaa kujib hoja ni kz sana.
Kuna viongoz wa ccm wenye kujielew alaf kuna wale wafata upepo ni kusifia ujinga tu
Aliogundua ubadhilifu so mpina anataka hatua zichukuliwe kwa wahusika nasikusifia miladi ambayo inahujumiwa na wachache
Chaweneee huna hojaaa kama paleeeeeeee huna. Nenooo mjombaaa anguuu
Jibu hoja sio
Ww umemuelewa mpina ,nadeni vp kama umejenga kwakukopa mkopo usio lipika
Sasa kama kwa mwezi nchi inakusanya mapato hadi tilioni moja kwa mwezi kumbe tunaweza kujiendesha wenyewe bila kukopakopa
Hueleweki waziri jibu hoja
Huyu ana ongea nini? Mbona anaongea pumba?
huwezi kumuelewa
MPINA JUUUUUU!!!!!!!! WEW NENDA KIBAKWE KATATUE MATATIZO YA KWENU, NDIO HII NI FELT STATE,
Jibu hoja mbona unaongea pumba naona maneno ya mpina yame waingia
inamaana wanainchi wanawavumilia nawizi nao acha kutupanga
Tanzania nchi yangu ila watanzania jamani shida
Yuko njee ya mada ya mpina.
Na mbona hausemi kuuzwa kwa bandari elim hiyo kuna mtoto wa kiongozi yeyote wa juu anasoma shule ya kata huna hoja yoyote
Simbachawene bana😂😂😂
Ww SS tunataka majibu sahihi sio kapeni
Swali vigogo ndani ya nchi niwengi mbona hawakamatwi ?
Tumeshawazoea ukweli ni shida na sijui kwa nn ham taki ukweli
Waziri Lipuuuuzi😢
Aliyoyasema Mpina ulitaka ayasemee wapi nawahuska nisisi wananch
Anajibu hoja?
Umejibu vizur kisiasa lakini haujajibu hoja za mpina
Kuna kipindi ukikir ukweli.ndio kujitathimin.
Sio kila saa ni uchawa uchawa kurekebisha ayoo na kuwa strong zaid ni kukubali
Baadhi ya mapungufu wals hakuna mkamilifu viongoz dhaifu wakijidai ni wazalendo thabit.wanapiga rushwa tuu
Mikopo ya chuokikuu wa baadhi.ya watu
Watu kibao wameikosa shuken chin muone
Juu ya yote serikali inapambana na kujitahid hakuna binadam mkamilifi mia kwa mia
Idumu Tanzania
Mpina yupo sahihi sana, CAG amebaini ubadhirifu mkubwa wa fedha. Hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa. Waziri Simbachawene unatupanga tu baba, msikilize sana mpina, alafu wabunge wanapiga makofi, kweli!. Inasikitisha sana wabunge wetu.
Soma coment hufai kuwakwenye wizala hiyo
SIASA BHANA.... SIASA!! DUU. TANZANIA hatuna viongozi. Mangungu nae apewe uwaziri 😂😂😂