VITA KALI WAZIRI SIMBACHAWENE, AJIBU MASHAMBULIZI KWA MPINA "AMESEMA KUNA UFISANDI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 апр 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 231

  • @user-qy4gb1kn4z
    @user-qy4gb1kn4z Месяц назад +6

    hakuna waziri mzigo kama.huyu

  • @innomishamo8277
    @innomishamo8277 Месяц назад +7

    Simbachawene unatupanga Acha Mapambio jibu hoja za mpina

  • @user-gj9zq9ez6p
    @user-gj9zq9ez6p Месяц назад +5

    Acha siasa mpina iz the best

  • @Marwa_Jackson
    @Marwa_Jackson Месяц назад +11

    Tunaomba ujibu hoja za mpina,.. achana na mapambio,.. hauwezi kuficha maovu kwa kutaja mazuri yaliyofanyika

  • @michaelmlugu5654
    @michaelmlugu5654 Месяц назад +10

    Wewe mgogo mwenzangu hujamuelewa mpina msukuma mtani wako juu ya elimu mbona watoto wako huwapeleki ktk shule hizo pesa hazijaliwa? Je makonda hajasem a raise anatukanywa mbona hufafanui

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps Месяц назад +4

    wewe Simba Chawene Mwizi tu unatetea ujinga,hongera Mpina kwa kuweka mambo hadharani

  • @humphreynyiti516
    @humphreynyiti516 Месяц назад +4

    Acha shangwe jibu hoja za mwanaume mpina

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 Месяц назад +7

    Siasa tuuuuuuuuu

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 Месяц назад +7

    Jibu hoja acha siasa

  • @mtangag774
    @mtangag774 Месяц назад +7

    ila hapa hajajibu hoja za mpina bado

  • @paulnsabi3779
    @paulnsabi3779 Месяц назад +6

    utawala bora;jibu hoja/mapungufu ya utekelezaji wa viongozi usielweshe job description/rensposbility
    kele/rensposbility

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Месяц назад +10

    Mpina yuko sahihi sana

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Месяц назад +4

    We chawele hujamuelewa mpina vizuri, shida yenu hampendi kukosolewa, pole yako, endeleeni tu kusifia wakati huku kwetu watoto wetu wanasoma wakiwa chini ya mti, hawajawahi kujua darasa wala ubao, mkiambiwa mnakasirika,

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Месяц назад +3

      Ameelewa, ila Hana majibu😂😂

  • @wahurumasibale6155
    @wahurumasibale6155 Месяц назад +1

    Mpina is correct. Waziri umeshindwa kupangua hoja muhimu alizowasilisha Mpina. Labda kwa kuwa mteule ni lazima utetee serikali hata kama mambo hayako sawa.

  • @deoluma1706
    @deoluma1706 Месяц назад

    Namkubali sana mpina.

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 Месяц назад +1

    Mgogo jibu hoja!Usizikimbie hoja!

  • @user-ti8fn1wn1w
    @user-ti8fn1wn1w Месяц назад +4

    Pumbavu mwiz wew

  • @saimonphinias3014
    @saimonphinias3014 Месяц назад +8

    Mpina nahoji Kuna ufisadi jibu, mpina anasema Kuna kutokuheshimiana kuanzia ngazi za juu Hadi chini, siyo unacho kijibu unajibu pumba tu jibu hoja siyo unayo jibu eti na wewe waziri nonsense 😢😢😢

  • @user-po6nj7hn4w
    @user-po6nj7hn4w Месяц назад +3

    Mpina big up

  • @user-dn8dg2rl2q
    @user-dn8dg2rl2q Месяц назад +6

    Hujaelewa anachosema mpina uliza wasomi kwanza

  • @user-qe6xc4nm8u
    @user-qe6xc4nm8u Месяц назад +2

    Jibu hoja Kwanza majaliwa yupo yupo hapo

  • @damiansagara842
    @damiansagara842 Месяц назад +1

    Jibu hoja.

  • @davidmsemo8892
    @davidmsemo8892 Месяц назад +4

    Mbona hujibu hoja??

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Месяц назад +2

    Anatumika na ...........

  • @ernestkaji9640
    @ernestkaji9640 Месяц назад +2

    Aisee Simbachawene hauko serious na kazi uako

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 Месяц назад +2

    Jibu hoja....
    Yes, the state is weak.
    Jibu hoja ndugu waziri badala ya wholesale answers!!!

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 Месяц назад +2

    Simbachawene mungu anakuona ujajinu hoja za mpina unapiga siasa hapo rejea yeye anataka majibu ya hayo

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 Месяц назад +3

    Mpina kumbe ni level ya juu sana, ila ipo haja ya kujenga hoja na kuweka majibu ya mambo aliyoyatolea mifano.

  • @pastorgodsonjohn8562
    @pastorgodsonjohn8562 Месяц назад +3

    Yaani mawaziri kama hawa usitegemee maendeleo au mabadiriko ktk nchi swali limeulizwa kimantiki limejibiwa kisiasa

  • @JamesKapela-pt6gc
    @JamesKapela-pt6gc Месяц назад +2

    Kazi kuteteana unataka watu wasizungumze nchi imekuwa inapuuza katiba inapuuza mmekuwa wezi wabila woga.Mpina yuko sawa.

  • @onelovetz7935
    @onelovetz7935 Месяц назад +3

    Vibaraka niwengi Sana kwamba Magufuli hakufanya kitu demokrasia ya vibaraka tu Ni kerere tu wananchi wanalia

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 Месяц назад +1

    Jibu swali unarukaruka

  • @user-ym5kf1gd9t
    @user-ym5kf1gd9t Месяц назад +4

    Ingawa hapina hajamdharau Mh. Dr Samia Suluhu Hassan amehoji Ufisadi na kutokuchulia kwa hatua, ktk mengi aliyohoji hakuna jibu hata moja lilitplewa.

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Месяц назад +2

      Ndo mawaziri tulionao sasa😓😓

  • @user-qm3dd9wb1v
    @user-qm3dd9wb1v Месяц назад +3

    Tunaishi vizuri kwa amani aliyotuachia baba wa taifa lakini viongozi inatakiwa mjibu hoja za mweshimiwa mpina

  • @PatrickChasama
    @PatrickChasama Месяц назад +1

    Kwahy mpina kuwakosoa mnakasilika, mpina simama imara tetea wanyonge achana na huyo mboga saba

  • @MsafiriKadege
    @MsafiriKadege Месяц назад

    Kweli kabisa hiyo ni sahihi watu wameuwawa ovyo mtaani tunawataka wakina mpina wengi sanaaa humo bungeniii mpinaaaaaa mbeleeeeeeeeee maisha marefuuuuu kwako

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v Месяц назад +3

    Acha mpina ashike shavu kama kukata tamaa kwa kuwa anajua watu alionao bungeni ni felia too mucha..

  • @salmaheri971
    @salmaheri971 Месяц назад +3

    Tatizo la viongozi wetu huwa kusifia tu huuni ugonjwa mkubwa Sana kutengeneza mradi siyo hoja hoja hapa ni ufisadi kwenye hiyo miradi kwanni usijikite hapo

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Месяц назад +1

    Mmmmh

  • @kashiririrkaasongwisye9487
    @kashiririrkaasongwisye9487 Месяц назад +1

    Mwanafunzi kajitungia swali kwenye chumba cha mtihani bado kafeli

  • @goodlucknnko5493
    @goodlucknnko5493 Месяц назад +2

    Hizo hoja ni Bora zikajibiwa Kwani wananchi wa kawaida wanataka majibu, siyo siasa

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t Месяц назад +3

    Acha story kwani Mpina amesema hamuheshimu Rais

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 28 дней назад

    Wew mgogo njoo usimamie shule, JIBU HOJA,

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur Месяц назад +5

    Je Hela haziibwi?

  • @MashambaNderema
    @MashambaNderema Месяц назад +3

    Mbona mnaweka siasa

  • @TwahaMpakani-pn4ov
    @TwahaMpakani-pn4ov Месяц назад +3

    Kwa hiyo unacho taka kutuambia hakuna wizi mkubwa?unataka kutuambia nin watanzania wanaakili bwana acheni kuburuza watu

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 Месяц назад +2

    Mpina,ujumbe umefika,tulia.

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Месяц назад +2

    Mpina kakuuliza jambo zuri unajibu hovyohovyo tu kwisha habari mtani

  • @JumaDea
    @JumaDea Месяц назад +1

    Bado hujajibu

  • @user-zc2ms4wl6r
    @user-zc2ms4wl6r Месяц назад +3

    Mkasimamie wale

  • @jacksonsawe2301
    @jacksonsawe2301 Месяц назад +3

    Acha siasa aibu yako

  • @justinemagige1439
    @justinemagige1439 Месяц назад +3

    Majibu mbona hayafati utaratibu wa mswali alivyoyasoma,angeanza na kimoja kimoja ningemwelewa

  • @joelyngomuo7441
    @joelyngomuo7441 Месяц назад +1

    Chawa anakata mawimbi tumechoka vihoja kwenye hoja nzito

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 Месяц назад +2

    Kumbe huelewi alichosema mpina

  • @judicateurassa7817
    @judicateurassa7817 Месяц назад +7

    Mpina big up sana tu

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 Месяц назад +3

    nchi haichezewi kilasiku mnapewa hesabu za pesa zinazoibwa iyo miradi yote inaenda ovyo kabisa angekuepo Hayati Magufuli alie ianzisha miradi yote ingekua imeisha unasifia Serikali wananchi wanalia kilakitu kimekua bei juu wananchi wameamka huwezi kuwadanganya Mpina tunaendelea kukuombea dhidi ya watethiwako.

  • @user-pd7cu2pg7y
    @user-pd7cu2pg7y Месяц назад +2

    Mpina yuko sahihi serikali hii imekopa t 30 kwa miaka mitatu hiyo sio kawaida

  • @hoseazakayo3779
    @hoseazakayo3779 Месяц назад +1

    Wenye Akili kubwa ndo watamwelewa mheshimiwa Mpina

  • @mokeya
    @mokeya Месяц назад +3

    Tatanyooshana tu 2025
    Unaongea tu kwasabab upo hapo
    Hapo humkosoi mpina bali unakosoa taarifa za CAG .
    Maana % kubwa ya maneno ya mpina yalikuw ni report ya CAG

  • @mwailubihamisi3462
    @mwailubihamisi3462 Месяц назад +3

    Haya majamaa yanoyopiga makofi yanajielewa kweli?

  • @BarakaWiliam-hx9nk
    @BarakaWiliam-hx9nk Месяц назад +1

    Hivi unajielewa kweli umeelewa hoja za mpinaa unajiongelea pumbaaaa

  • @MhlMoshi-iv1gc
    @MhlMoshi-iv1gc Месяц назад

    Wezi

  • @mejamiela7436
    @mejamiela7436 Месяц назад +2

    Huyu nae vp mbn hajibu hoja??

  • @user-ns7zc8se7w
    @user-ns7zc8se7w Месяц назад +1

    Nahisi mama yetu amemuelewa mpina

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 Месяц назад +1

    Jibu swal kwan ufisadi haupo

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 Месяц назад +2

    Wanaompa PhD wana interest zao!!!!

  • @kirariwilanya1850
    @kirariwilanya1850 Месяц назад

    Hujajibu hoja za Mpina

  • @mus2sandege
    @mus2sandege Месяц назад +1

    Acha siasa Mh jibu hoja

  • @SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz
    @SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz Месяц назад +1

    Tanzania 🇹🇿 haiko stable

  • @Ambwene
    @Ambwene Месяц назад

    Mpina is the best 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 Месяц назад +2

    Kama hoja ya mpina imejibiwa kwa ukali wa bila point na hao ndio watu wanawapigia debe kuwapa madaraka makubwa zaidi ya hayo basi tuna kazi ya kufanya

  • @user-le7cc9zk4d
    @user-le7cc9zk4d Месяц назад +1

    2025 sijuwi

  • @danielkanso
    @danielkanso Месяц назад +2

    Hivi mheshimiwa anajibu hoja ama ame leta hoja nyingine??

  • @mussamasaba8020
    @mussamasaba8020 Месяц назад +1

    hahaaa kujib hoja ni kz sana.

  • @HusenNdwata-yb6nw
    @HusenNdwata-yb6nw Месяц назад

    Kuna viongoz wa ccm wenye kujielew alaf kuna wale wafata upepo ni kusifia ujinga tu

  • @MsanangoMwalabu-rx1oo
    @MsanangoMwalabu-rx1oo Месяц назад +1

    Aliogundua ubadhilifu so mpina anataka hatua zichukuliwe kwa wahusika nasikusifia miladi ambayo inahujumiwa na wachache

  • @MsafiriKadege
    @MsafiriKadege Месяц назад

    Chaweneee huna hojaaa kama paleeeeeeee huna. Nenooo mjombaaa anguuu

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Месяц назад

    Jibu hoja sio

  • @user-zc2ms4wl6r
    @user-zc2ms4wl6r Месяц назад +3

    Ww umemuelewa mpina ,nadeni vp kama umejenga kwakukopa mkopo usio lipika

  • @ConfusedClogShoes-jq2tt
    @ConfusedClogShoes-jq2tt Месяц назад +1

    Sasa kama kwa mwezi nchi inakusanya mapato hadi tilioni moja kwa mwezi kumbe tunaweza kujiendesha wenyewe bila kukopakopa

  • @philipombwambo1980
    @philipombwambo1980 Месяц назад

    Hueleweki waziri jibu hoja

  • @niubility5745
    @niubility5745 Месяц назад +7

    Huyu ana ongea nini? Mbona anaongea pumba?

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 28 дней назад

    MPINA JUUUUUU!!!!!!!! WEW NENDA KIBAKWE KATATUE MATATIZO YA KWENU, NDIO HII NI FELT STATE,

  • @user-tn7ic2ky3i
    @user-tn7ic2ky3i Месяц назад +3

    Jibu hoja mbona unaongea pumba naona maneno ya mpina yame waingia

  • @user-zc2ms4wl6r
    @user-zc2ms4wl6r Месяц назад +2

    inamaana wanainchi wanawavumilia nawizi nao acha kutupanga

  • @SlogaDaud
    @SlogaDaud Месяц назад +1

    Tanzania nchi yangu ila watanzania jamani shida

  • @RobsonGodsonLyimo
    @RobsonGodsonLyimo Месяц назад

    Yuko njee ya mada ya mpina.

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Месяц назад +2

    Na mbona hausemi kuuzwa kwa bandari elim hiyo kuna mtoto wa kiongozi yeyote wa juu anasoma shule ya kata huna hoja yoyote

  • @nobeziguguya8936
    @nobeziguguya8936 Месяц назад

    Simbachawene bana😂😂😂

  • @abrahamsamweli-wg8ck
    @abrahamsamweli-wg8ck Месяц назад

    Ww SS tunataka majibu sahihi sio kapeni

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378 Месяц назад +2

    Swali vigogo ndani ya nchi niwengi mbona hawakamatwi ?

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t Месяц назад

    Tumeshawazoea ukweli ni shida na sijui kwa nn ham taki ukweli

  • @rwehumbizajonathan8689
    @rwehumbizajonathan8689 Месяц назад

    Waziri Lipuuuuzi😢

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t Месяц назад +1

    Aliyoyasema Mpina ulitaka ayasemee wapi nawahuska nisisi wananch

  • @eliaschipanda2006
    @eliaschipanda2006 Месяц назад +1

    Anajibu hoja?

  • @King_186
    @King_186 Месяц назад

    Umejibu vizur kisiasa lakini haujajibu hoja za mpina

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 Месяц назад +2

    Kuna kipindi ukikir ukweli.ndio kujitathimin.
    Sio kila saa ni uchawa uchawa kurekebisha ayoo na kuwa strong zaid ni kukubali
    Baadhi ya mapungufu wals hakuna mkamilifu viongoz dhaifu wakijidai ni wazalendo thabit.wanapiga rushwa tuu
    Mikopo ya chuokikuu wa baadhi.ya watu
    Watu kibao wameikosa shuken chin muone
    Juu ya yote serikali inapambana na kujitahid hakuna binadam mkamilifi mia kwa mia
    Idumu Tanzania

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 Месяц назад

    Mpina yupo sahihi sana, CAG amebaini ubadhirifu mkubwa wa fedha. Hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa. Waziri Simbachawene unatupanga tu baba, msikilize sana mpina, alafu wabunge wanapiga makofi, kweli!. Inasikitisha sana wabunge wetu.

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 Месяц назад +1

    Soma coment hufai kuwakwenye wizala hiyo

  • @emlongetcha88
    @emlongetcha88 Месяц назад

    SIASA BHANA.... SIASA!! DUU. TANZANIA hatuna viongozi. Mangungu nae apewe uwaziri 😂😂😂