SIMBACHAWENE AMCHANA LIVE MPINA / ZUNGU AFURAHIA MAJIBU YAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 апр 2024

Комментарии • 151

  • @amosmerama3680
    @amosmerama3680 11 дней назад +1

    Pole bundle kwa kusikiliza ngonjera za simbachawene

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 15 дней назад +6

    Simbachawena hana Gb za kumjibu mpina

  • @peterkerenge9207
    @peterkerenge9207 15 дней назад +6

    Bravo raisi,nimesugua bench miaka 3 hakuna kazi,2019-2021,mama kaingia madarakani akaruhusu ajira,tukaanza piga interview mpaka nikapata kazi.Mungu akubariki sana.Endelea kuajiri mama wapo wengine mtaani wanakutegemea sana

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd 15 дней назад +2

      kwaiy watu wote wanepata kazi nchi au mpaka sasa ivi2 kuna mamilion ya watu nchini hawana ajila wala kibaluwa wewe unachekesha sana

    • @jalaryababilasi1562
      @jalaryababilasi1562 14 дней назад

      Acha kuongea huo ujinga kwa watu weny akili

    • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
      @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 14 дней назад

      Umeshiba huwez mujal mwenye njaaa

    • @yohanakananika3586
      @yohanakananika3586 13 дней назад

      ​@@ScopionScopion-zj9cdhakuna nchi ambayo watu wote wanajira

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 11 дней назад +1

    Wananchi tunamwelewa sana Mpina. Hamu ya kila mtu ni kujibiwa hoja yake

  • @franksabas6339
    @franksabas6339 15 дней назад +8

    Hujamjibu Mheshimiwa Mpina - umejibu mambo ambayo hajauliza

    • @joojombi2341
      @joojombi2341 15 дней назад

      Kwani hapo anayajibu maswali???? Hembu tumia akili dogo. Tafuta clip alojibiwa

    • @joojombi2341
      @joojombi2341 15 дней назад

      Kumbe huna masikio wee kwani heading hujaisoma na mbna majibu kapewa. Wacha kupotosha umma dogo. Bangi hizo mbaya

    • @BONGOINMOTION
      @BONGOINMOTION 13 дней назад +1

      Sema fedha Kwa kiswahili

  • @JosephYagodoka
    @JosephYagodoka 15 дней назад +3

    Mpina upo sawa kabisa wambie ukweli2 usiwaogope sisi watanzania tupo pamoja na ww kiongozi shupavu

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 15 дней назад +6

    Jibu hoja acha porojo

  • @suleimansuleiman5498
    @suleimansuleiman5498 14 дней назад +1

    Hongera sana Mhe Waziri Simbachawene

  • @dorothtobias8053
    @dorothtobias8053 14 дней назад +1

    Big up Baba ! Piga mwingi.

  • @elizabethmwakalinga2125
    @elizabethmwakalinga2125 15 дней назад +3

    Big up monsieur Simbachawene. I support the idea of uniting families. Merci beaucoup.

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 15 дней назад +2

    Unawaangusha Wagogo. JERRY SLAHA BADO ANAWAKINBIZA. HAKAMATIKI. SLAHA ASINGEKUBALI KIKOKOTOI

  • @jewelmabhenga4742
    @jewelmabhenga4742 15 дней назад +10

    Huyu simbachawene ameshindwa kulea hata mtoto wake analewa mpaka anakamatwa na trafik ovyo

    • @daudimaembe3360
      @daudimaembe3360 15 дней назад +1

      Kulea ni kazi,usije ukamcheka mwenziyo

    • @geofreykasinda1895
      @geofreykasinda1895 14 дней назад +1

      We daud maemba , mtoto umleavyo ndivyo akuavyo au unajisaulisha

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 14 дней назад

      Malezi kitu kingine acha kuelekeza lawama kwa wengine Jitathmini Wewe na familia yako je muko sawa
      Katika Kila kitu

    • @daudimaembe3360
      @daudimaembe3360 12 дней назад

      Nia ya wazazi huwa ni watoto wao kuwa na tabia njema.Lakini mtoto anaweza kuzaliwa na asili fulani ambayo haidhibitiki,vile vile anaweza kuwa shaped na jamii anamoishi.

  • @DavidJosia
    @DavidJosia 15 дней назад +1

    KWAKWELI MIMI HUWA NASHANGAA MWANANCH ANAGUNIA MOJA BARABARANI TANAPA WANAMKAMATA NA KUMNYAN'GANYA HATA KUPEREKA MAHAKAMANI RAKINI MALOLI NA MALOLI YANAPITA HAYAKAMATWI MIMI HUWA SIEREWI KWAKWELI

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 15 дней назад +2

    Ww Simbachawene hujajibu alichokisema Luhaga unaviringisha jibu hoja ya aliyoyasema
    1.Wakimbizi kuteuliwa
    2. Wizi wa fedha SGR
    3.Wizi wa fedha Bwawa la umeme
    4.Viongzi kutokusomana
    5.Matamko ya viongozi waandamizi kila kukicha hadi wengine wanataka kuua taasisi fulani fulani kwa kujinufaisha wao.
    Hayo ndio ulipaswa kujibu hayo majibu yako hayaendani na hoja iliyotolewa

  • @suleymandachi782
    @suleymandachi782 13 дней назад +1

    Huyu Simba chawene alitakiwa akifa achomwe moto Duniani kenge huyu Mpina na majaliwa wanastahili kurudi bungeni wengine wakale walivyotunyang'anya

  • @fadhilimoshi5754
    @fadhilimoshi5754 15 дней назад +2

    Nchi hii niyasadikika kama co kufikirika bunge limekuwa lakupinga ukweli na kutukuza uongo Mbunge pekee mwenye uchungu na nchi ni Mpinaaaa wengineo ni wasukuma siku wapewe mkate Waongoooo

  • @giztony2009
    @giztony2009 13 дней назад +1

    Hamna kitu mbona wananchi wako jimboni wanalalamika ungesaidia hata mtu mmojamoja lakini hata ukipigiwa simu hupokei malalamiko ni mengi sana kila mtu anakulalamikia jimboni kibakwe tofauti na majimbo mengine kwa nafasi zao wanasaidia wananchi wao

  • @bakarikaoneka1080
    @bakarikaoneka1080 15 дней назад +1

    Waziri amejibu hoja vizuri sana

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 15 дней назад +1

    Mpina hana nafasi kukujibu, angepata nafasi hiyo sijui ingekuweje........

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 13 дней назад

    Mpina is lmotion into debeghty but mostly of crush fellow friend will not asepty mpina criticize reality underground into ccm leadership mpina can do that only outside if ccm not inside ccm principal

  • @kenedyochieng155
    @kenedyochieng155 15 дней назад +1

    MH.Simbachawene umeongea point muhimu mnooo serikali inatakiwa ijali Familia ya watumishi ,

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 15 дней назад +1

    Mama kajitahidi sana kwenye mishahara na posho apewe maua yake

  • @user-qv6ug4sc3r
    @user-qv6ug4sc3r 15 дней назад +3

    Jibu hoja za Mpina kaka, acha blah blah jomba

  • @laurentmkolea522
    @laurentmkolea522 13 дней назад +1

    Kilaza au chawa. Jibu hoja za Mpina

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 11 дней назад +1

    Kuteuwana ni kupeana fadhila,watu wengi hawana sifa

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 15 дней назад +1

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @hassaniulende-sp6io
    @hassaniulende-sp6io 14 дней назад

    MAJIBU YA HOJA YA MMBUNGE MWENYE AKILI ILIYOSALIMIKA MH MPINA HAIJAJIBIWA HAPA ,TUNATAKA MAJIBU HAPA ,

  • @franksabas6339
    @franksabas6339 15 дней назад +3

    Anaongea kwa kutumia uzoefu ila hamna kitu hapo hizo.ni ngojera na nyimbo ila vitendo hakuna. Mpina ana hoja na huwezi kuzipangua kwa uwepesi. Uwajibikaji hakuna, ruswa ndio usiseme - kuna vigezo gani mnatumia kuteua nani anampa raisi majina. Jibuni swali mpina - Rais mnamletea watu wabovu wasio na.weledi baada ya muda wanatenguliwa sasa mjibuni Mh Mpina ni nani anampendekezea Raisi majina ya teuzi

  • @peterantony5890
    @peterantony5890 10 дней назад +1

    Kwa hiyo mnakiri kuwa mtangulizi wa mama alikuwa akiwadbulumu wafanyakazi.

  • @MakameAbdallah-wn3hc
    @MakameAbdallah-wn3hc 13 дней назад +1

    Mm nilimsikia Mpina akizungumza mambo kijumla jumla na kwa clip niliyoisikia wala hakutoa mfano na miongoni mwa mambo aliyokuwa akiyaeleza ni wakati wa uongozi wa kipenzi chake chawa wake.
    Alichokisema Mhe. Simba Chawene kuwa Mhe. Mpina ana lake jambo (ajenda) lkn m muda utafika na utaongea tuombe uhai na uzima.
    Mama Kizimkazi piga kazi.
    Wewe ni mti wenye matunda kupopolewa mawe ni lazima.
    Msema kweli mzee Yussuf Makama aliwahi kusema kwa kutumia nahau wale mbumbu akina mie wakakuza mambo na kusema eti amekufuru.
    Naunga mkono maneno yake Mhe Rais Dr. Mama Samia ni mzuri hufi

  • @JosephYagodoka
    @JosephYagodoka 15 дней назад +1

    Hiivi kwani taifa hili linatumia lunga ya kingereza?au kiswahili

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 15 дней назад +1

      Kiswahili ndugu, hao bado ni watumwa wa mangaribi 😅😅😅😅😅😅

  • @franksabas6339
    @franksabas6339 15 дней назад +2

    Kwenye Elimu bure tulia sikilizeni wazazi wana malalamiko

  • @user-bv1jd6qw7z
    @user-bv1jd6qw7z 14 дней назад +1

    Waziri Anatetea Huku Akijuwa Aliyosema MPINA Kuwa Niyakweli Taarifa Za CAG Za Ubadhilifu Wa Pesa Za Uma Hakuna Hatuwa zilizo Chukuliwa . Kulingana Kunaitafuna Nchi

  • @user-fw8ut5se1k
    @user-fw8ut5se1k 16 дней назад +1

    Happy kwenye kusoma some ulochaguwa nakupa Mia filmia

  • @user-li2cy1st6o
    @user-li2cy1st6o 15 дней назад

    Jamani wenza waishi p amoja

  • @mathewbundu235
    @mathewbundu235 14 дней назад +1

    Mbona kama Mpina mwenyewe anasinzia😂😂

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 14 дней назад +1

    Sijamuelewa kabisa kamaliza bando langu tu

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 13 дней назад +1

    Kama hizo fedha ni nyingi y kukopa hovyo,,,tuwe makini hao west ukiona wanatoa taarifa zipo kimpango cjui na mpokeaji unampango hilo lako

  • @omariramadhan4813
    @omariramadhan4813 14 дней назад +1

    Mbona sikuelewi majibu yako kuhusiana na hoja za mpina

  • @JoktanKivali-nn9du
    @JoktanKivali-nn9du 15 дней назад

    Unafiki2 kila k2 mnasifia raise na penye Amna umevaa miwani but nothing angarieni huduma za jamii maneno mengi vitendo zero

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 15 дней назад +2

    Mikopo vyuo vikuu watoto wetu wamekosa urasimu vby Sana wala hupaswi kuliongelea ongea na wanachuo ndio utapatamajibu usiongee vitu ambavyo ww unaletewa takwimu ktk makaratasi ingia field uone wanachuo wanavyoteseka acha propaganda

  • @user-to8iy2ky8z
    @user-to8iy2ky8z 14 дней назад +1

    Mimi hadi ninapo andika taarifa hii serikali haijanilipa arias ya mienzi mitano kuanzia Novemba 2017 hadi March 2018.pia nimepunchwa mafao yangu kwasababu serikali haijalipa michango ya hiyo miezi mitano PSSSF hadi leo.Pamoja na Psssf kuwandikia barua serikali kulipa michango hiyo ili Psssf inIfanyie mahesabu yangu kwa kwangu cha mshahara cha GTS F.Sasa unaposema umewalipa watumishi wote sikuelewi labda watumishi waliokaribu.Kumbuka mimi nimestaafu tarehe 10/02/2022 hadi leo nanyanyasika kwa kutonilipa haki zangu. Ukitaka ushahidi wa hichi ninachokilalamikia kwa vielelezo vya kimaandishi
    Kama unajali haki za watumishi nitafute Nitakushuru kwani uzoefu mtu wachini akimtaka kiongozi wa juu hampati ila kiongozi wa juu akimtaka kabwela kama mimi rahisi kumparak.

  • @paulsibu5770
    @paulsibu5770 14 дней назад +1

    Mpina anajielewa, Tatizo viongozi wetu hawapendi kuambiwa ukweli

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 15 дней назад

    Rais simbachawene🎉

  • @user-ui3jn1hg3l
    @user-ui3jn1hg3l 15 дней назад

    Swala LA miradi ni LA hayati magufuli Hugo ndo mwenye miradi hiyo yote

  • @edwardmakonge6951
    @edwardmakonge6951 15 дней назад

    mhh daa majibu ya waziri simba yako jumla jumla,hakujibu hoja moja moja.

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 15 дней назад +1

    Watumishi wapo ktk ajira zao kutokana na ujuzi wao, siyo kwa hisani ya mtu yeyote akiwemo Rais, hivyo, kuwalipa stahiki zao siyo hisani bali ni wajibu wa Serikali.

  • @user-ur8xy2ld5p
    @user-ur8xy2ld5p 15 дней назад

    Jambo jema kabisa, ila watumishi bado wanalia sana na kikokoto

  • @cymioncassian4846
    @cymioncassian4846 14 дней назад +1

    Mradi wa nyerere Unatusaidia nini wakati Umeme ni changamoto kwetu? Halafu mnampgia makofi why?

  • @JosephYagodoka
    @JosephYagodoka 15 дней назад +1

    Tunataka ya kusoma sio ya kupewa

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 15 дней назад +1

      Lizombi linapelekwa pelekwa na wazungu 😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @cymioncassian4846
    @cymioncassian4846 14 дней назад +1

    Sikumbuki enzi ya magufuli alikua Waziri wa nini huyo jamaa?

  • @JosephYagodoka
    @JosephYagodoka 15 дней назад +1

    Inatakiwa muwe wakweli sio kuficha ukweli

  • @rahimsadru-ct4ot
    @rahimsadru-ct4ot 14 дней назад +1

    Bado hakuna mtu wa kumjib mpina hoja zake,,ukimjib hoja zake maana yake unakupuyanga na kuaibika

  • @estherwigfall2558
    @estherwigfall2558 14 дней назад +1

    nchi inauzwa binadamu tunauzwa na
    wapiga makofi mnaelewa ?????

  • @albertshelukindo9877
    @albertshelukindo9877 14 дней назад +1

    Kalala😂

  • @YohanaKitegelo-eb5gs
    @YohanaKitegelo-eb5gs 14 дней назад +1

    Jibu hoja acha siasa

  • @omariramadhan4813
    @omariramadhan4813 14 дней назад +1

    Kuna wizi,waziri mkuu anatoa maamzi awatekelezi maamuzi ya waziri mkuu jibu hoja hizo kwanza

  • @user-ui3jn1hg3l
    @user-ui3jn1hg3l 15 дней назад

    Siyo kweli mnasabu zenu aidha kwaajili ya uchaguzi tu

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 13 дней назад

    Majibu yako mh hayaendani na hoja ya mh mpina tuambie kwa nini maagizo ya mh waziri Mkuu hayatekelezwi i, kwanini chalamila, Mabeyo, makonda, na mkuu wa majeshi hawaja hojiwa kwa tuhuma walizo towa .unaacha kujibu hayo unaongelea habari za mh Rais

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 13 дней назад +1

    INAFIKIRISHA SANA....HIVI KWELI MH. WAZIRI AMEJIBU IPASAVYO MAUDHIA YA MH. MBUNGE MPINA?

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 14 дней назад

    HUJAJIBU HOJA ZA MPINA

  • @moseskita4251
    @moseskita4251 15 дней назад

    Safi sana mh. Waziri kwa swala la kuwalipa watumishi wanaoidai serikali

    • @charleslukumai7875
      @charleslukumai7875 15 дней назад +1

      Swali, ni je, kweli watalipwa? Wastaafu wengi wamefariki hawajalipwa madai yao. Ngonjera kama "uchaguzi utakuwa huru na haki". Katiba mpya na bora, ndiyo dawa ya haya yote.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 15 дней назад

      ​@@charleslukumai7875hiyo ni danganya toto uchaguzi unakuja 😅😅😅😅😅

  • @user-ui3jn1hg3l
    @user-ui3jn1hg3l 15 дней назад

    Wala LA miradi ni LA hayati magufuli

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 14 дней назад +1

    MPINA YUKO SAHIHI KWA NINI MKAGUZI MKUU WA SERIKALI HRIPOTI YAKE HAIFANYIWI KAZI WATU WANAPOTEZA PESA HAIJULIKANI MRADI INAFANYWA LKN NA WIZI UPO NDANI YAKE UFISADI UPO TUMEJAALIWA UTULIVU NA AMANI NDIO DIRA LKN UKWELI HAUTAKIWI

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 15 дней назад +2

    Jamani tatizo kubwa mtu anavyoongea ninyi mko huko ndani lkn mambo huku kwa Jamii ni mengi Sana mabaya fanyeni tafiti msifanye mapambano .miradi hii yote fedha nyingi zimepigwa usiongee mafanikio peke yake ww waziri mbona husemi zimepigwa sh. Ngapi?

  • @bulukasanguyan
    @bulukasanguyan 15 дней назад +8

    Kati ya mawaziri wa Ovyo Sana ni pamoja na Simba chawene kwahyo kama Rais a apendwa inje lakini hapendwi ndani ya inchi yake itasaidia Nini? Kwa kifupi watanzania tufanye maamzi sahihi 2025 ili kuondokana na viongozi mzigo katika inchi yetu

    • @cymioncassian4846
      @cymioncassian4846 14 дней назад

      Yan tunalazimishwa tusema ndio kwa kila jambo kutoka kwao Eti rais amewapandisha vyeo wafanya kazi daahh hivi wanatuonaje?

  • @erasmichuwa4049
    @erasmichuwa4049 14 дней назад +1

    Kwani amekosea wapi kutoa mawazo yake ili kuondoa sintofahamu iliyopo kwenye jamii

  • @user-kw5pb9dd7p
    @user-kw5pb9dd7p 15 дней назад

    Poleni

  • @user-rn2dl8cf4t
    @user-rn2dl8cf4t 13 дней назад +1

    MIFUMO MIFUMO SEREKALI INAWEKA KUWA BORA ,HADI LINI?DAWA NI KATIBA BORA YA WANANCHI.TUPATE KATIBA PENDEKEZWA YA TUME YA WARIOBA HII NDIYO INA MIFUMO BORA YA UTAWWLA."NOTE"A PRESIDENT CAN NOT BE PART OF MAKING A COUNTRY'S CONSTUTION AS LIKE WE SEE NOW.

  • @robertlubhungira1160
    @robertlubhungira1160 15 дней назад

    Well said

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k 12 дней назад +1

    Mpina ni poyoyo uspste taabu ata kumjibu uyu ata ubunge akushnda na anajua awez kushnda 2025 anataka nchi ilud kama kwa mwenda zake agudue arud bungeni kimagumashi

    • @piusrweyemamu3900
      @piusrweyemamu3900 10 дней назад

      Sio "mwenda zake" ni Mhe. Rais John P. Magufuli Rais wa awamu ya 5

  • @mozejcs9160
    @mozejcs9160 14 дней назад +1

    Miongoni mawaziri wa ovyo kabisa na wapuuuzi ni huyu jamaa! Ni miongoni mwa watu wanaohisi wa hati miliki ya hii nchi! Ovyo kabisa

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 15 дней назад +1

    Mbona sasa hajajibu hoja za mpina ni kweli Rais anafanya kazi kubwa zinazoonekana lakini kama sio ufisadi zingekuwa kubwa zaidi

  • @hassanadam2708
    @hassanadam2708 16 дней назад +1

    Nimemkubali simbachawenye sana.

  • @JosephYagodoka
    @JosephYagodoka 15 дней назад +1

    Shahada ya kupewa sio niuzembe wa kusoma kwanini ww uweunapewa shahada 2?

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v 16 дней назад +2

    Huyu ni tumbo zaidi sio akili

  • @2003hintay
    @2003hintay 15 дней назад +2

    Sambaza walimu wa kike waliojazana mijini hasa Dar es Salaam waende mikoani. Shule za Dar zimejaa walimu wa kike tu shule Moja wanaume utakuta wako 2au3 ndo maana ufanisi wa usomeshaji umepungua hawakai madarasani mda mwingi wanakaa nje ya madarasa hata wakati wa kipindi. Wanaweka meza kabisa utawakuta wamejaa huko kuongea

  • @user-om4et5ll6j
    @user-om4et5ll6j 12 дней назад +1

    wana kaa muda mrefu ? hujajibu ? simba unajibu siasa eti mikopo ya wanafunzi wakati mikopo pasua kichwa, sasa unasema CAG anatoa taarifa ya uongo.

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 15 дней назад +1

    Hivi hapo unashindwa kuelewa inakuwaje pesa ya serikali eti mkurugenzi hawezi kulipa hii unaonekana kuna kuto kuwajibika Kwa uongonzi mikoani wapo tu utadhani wapo kustalehe na shida kubwa ya nchi.

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 15 дней назад

    Hivi udakatari wa heshima ni sifa au kudangaywa

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 15 дней назад

      😂,afadhali na wewe unaelewa.kwa sababu hatuelewi daktari wa kweli na hao wa heshima

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 15 дней назад

      Kudanganywa upuuzi mtupu😅😅😅😅😅

  • @user-su6xu7ks7m
    @user-su6xu7ks7m 14 дней назад +1

    SSH HAJACHAGULIWA NA WANANCHI. NI KIPINDI CHA AWAMU TANO CHA MAGUFULI NA SIYO SSH.

  • @hantiayman3994
    @hantiayman3994 16 дней назад +7

    Hoja yako Simbachawene kwamba Rais anaheshimika nje ndio kigezo cha maendeleo sio sahihi. wanaomsifia huko nje na kumpa udaktari wa heshima huenda ndio wananufaika na mali zetu lkn cc wenyewe hali ni mbaya. sababu uliyoitoa kumjibu Mpina ni dhaifu na imekaa kichawa zaidi kuliko uhalisia. 😢

    • @jizzotheking9238
      @jizzotheking9238 15 дней назад +1

      Malizia kwa kusema kuwa ni njia ya kujipendekeza, na hao wanaojipendekeza ni kutetea matumbo yao

    • @PhilipoMwita-ge2oj
      @PhilipoMwita-ge2oj 15 дней назад

      Watu huku ikiingia TRA kulipa Kodi unatoka unalia machozi kwani hii nchi siwalisema niyawanyonge kwanini mnatunyonga na Kodi zenu simuuze madhahabu jaman amakweli mama ameupiga mwingi

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 15 дней назад +1

    Mlihusika kuwanyima watumishi haki zao kwa kipindi hicho leo unajitokeza kusifu kwa mdomo ule ule. Kumbe ukimwibia mtu mwaka huu na ukamrudishia mwakani una haki ya kujimwambafai kifua mbele??

  • @danielmwandenga5369
    @danielmwandenga5369 14 дней назад

    Mh umeanza vizuri ila sio majibu yake ayo , we sema watu hawauwawi hamna ufisadi , mbon ueleweki mh ajauliza hayo bna unajishusha heshima yako mkuu duuu elimu inahitajika wew ilibidi ubishane na c a g wakikup makaratasi sijui utajib nn tena , jibu maswali ulio ulizwa hata mimi nilikuwa nakupnda kw hoja zako lkn kwa hyo majibu siwezi kukubaliana nawew jibu swali mpina ajasem nchi aijakuwa uchumi wake bil uo ufsadi ingekuwa zaid y apo nenda shule mh

  • @henrymjema1685
    @henrymjema1685 16 дней назад +2

    Yani malipo ya watumishi eti ni huruma za Rais😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 15 дней назад +1

      Ujinga gani huu jamani, katiba mpya ndio suluhisho ya upuuzi huu

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 15 дней назад

    Wenza kukaa pamoja ni very important

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla8183 16 дней назад +3

    "Serikali haitaki dhuruma!!"?? Kikokotoo kipya kilicho anzishwa na Serikali hiyo hiyo SIO Dhuruma kwa Wastaafu??

    • @anwarkashaga3573
      @anwarkashaga3573 15 дней назад +1

      Kilianzishwa awamu ya tano ila mama Samia na serikali yake kwanza karuhusu majadiliano na kwa uwezo wa jaalia mama atatoa maamuzi yatakayo konga nyoyo za wastaafy

    • @stephenndagalla8183
      @stephenndagalla8183 15 дней назад

      @@anwarkashaga3573 Mchakato wa Kikokotoo ulianza awamu ya 4, baada ya iliyokuwa mifuko wa wafanyakazi (PSPF, NSSF, LAPF na EPF) kufilisiwa na Serikali kwa kuchukua fedha za wachanguaji/wafanyakazi na kuwekeza ktk miradi mblmbli (mojawapo ni ujenzi wa UDOM). Mwaka 1998, Oktoba, baada ya kuwa msuada imepitishwa Bungeni na kusainuwa na Rais, tayari kwa urekelezwaji, JPM (RIP) aliahirisha utekelezi na kuagiza Kikokotoo kipitiwe upya na utekelezwsji uanze mwaka 2023. Mara tu baada ya JPM kufariki, Kikokotoo kilianza kutumika pasi na kukipita upya.km alivyoagiza JPM. Jiulize ni kwa nn hakikupitiwa upya na kwa nn kilianza haraka kutumika Mars tu ya kufa JPM. Hivyo ni vzr kutafiti kupata uhakika wa jambo kabla ya kuja hewani?

  • @nizwaoman8378
    @nizwaoman8378 15 дней назад

    Owongo mtupu

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 14 дней назад

    mawaziri mnapokua mnaongea na kupigiana makofi jueeni kua wananchi kwakua hatuna wakumlili na kututetea ata wakisimama watu wenye uchungu kama Mpina wanashambuliwa na kujaribu kumfumba mdomo ila acha tuendelee kumlilia Mungu kwakua yeye ndie muumba tunaamini hatuwezi kuangamia kilakitu kiko juu CAG anawambia upotevu kilasiku yote hamyaoni.

  • @enoskatila5565
    @enoskatila5565 16 дней назад +1

    Kapotea hoja huyu kujibu hoja

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878 16 дней назад +2

    Amejibu hoja?😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 15 дней назад +1

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅 mpuuzi sana 😅😅😅😅😅😅

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z 15 дней назад

    Hata wakoloni walijenga hivyo vitu,na bado tukawafukuza wacheni longolongo,nyerere hakua na PHD za kupewa.na tulisoma bure na matibabu bure.

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 15 дней назад

    Asante sana simbachawene kwa kumnyoosha huyo mpina

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 15 дней назад

    Mbona wewe bado uko pamoja na kwamba huna uwezo

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 15 дней назад +1

    mama kafanya kazi kubwa mana tunaish kwa amani hakuna vita mimi namuomba asigombee tena amuachie majaliwa awe rais wazili mkuu awe makonda wazili wa Mambo ya ndani awe chalamila

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 15 дней назад +1

      Jifunze kuandika kwanza

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd 15 дней назад +1

      hahaaaa Nijifunze kuandika kwani Naomba kazi au ww unataka kunipa Nini mpaka Nikuandikie vizuli

  • @user-cy6me3vo3g
    @user-cy6me3vo3g 16 дней назад +1

    Unaongea nn ww? Ww ni jipu

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla8183 16 дней назад +2

    Utaratibu wa ajira kufuatia kubadili taaluma/karia, ulioelezwa na Mhe Waziri Simbachawene ni wa kizamani sana. Eti "...mwl wa s/msingi, ajiendeleze ili akafundishe sekonari...". Huo ni mtazamo wa kizamani na usio iendeleza taaluma husika. Nchi za wenzetu, kila ngazi ya Elimu inajitosheleza kwa watumishi wake kuwa na kiwango cha juu zaidi cha Elimu. Elimu ya awali/msingi, mtumishi anajielimisha hadi shahada ya uzamivu (PhD, Basic Ed.), vivyo hivyo kwa ngazi nyingine. Sio eti "...mwl wa msingi ajiendeleze kitaaluma ili akafundishe sekondari...". Bado tuna mwendo mrefu sana kuboresha mfumo na kiwango cha taaluma ya Ualimu nchini, kwa mtzmo wa Mhe. Waziri.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 16 дней назад

      Wakati mwingine tunafanya makosa kulinganisha mataifa mengine na letu. Hadi sasa sifa za kuwa Mbunge ni kujuwa kusoma na kuandika hivyo ni kosa watu fulani kumuona kuna mtu anawafaa usitake lazima awe na academic rank fulani. Tuliosoma elimu ya Msingi hadi O' level 1990s hatukumuona Mwalimu mwenye Digrii darasani. Hivi sasa wapo wengi sana lakini Elimu yao ni ndogo sana ni changamoto. Hivyo Waziri yupo sahihi, wapo Walimu wengi waliofikia elimu za juu ingawa walitoka Sekondari na Division 4, hii ilitokana na mazingira ambayo bado yapo.

    • @stephenndagalla8183
      @stephenndagalla8183 16 дней назад

      @@hajihassan5433 Kutojilinganisha na nchi nyingine ni kujidanganya. Elimu ni taaluma ya Kidunia (Universal). Vinginevyo Watz wanaendelea kubaki nyuma kielimu na kushindwa kuajirika Kimataifa. Miaka ya 1990 (wkt uko O-level), wenzetu ktk vyuo vikuu vyao tayari kulikuwa na kozi za Ualimu ngazi ya Awali/Msingi hadi PhD Basic Edn na anarudi kufundisha shule za Awali na Msingi. Analipwa vzr pia mafao mazr, sawa au hata kumzidi wa Sekondari. Pia Elimu ya Sekondari, kuna hadi PhD Sec Edn. Elimu ya Watu wazima kuna hadi PhD Adult Edn. Hii ulikuwepo pia ktk Elimu ya Ufundi, nk. Wote hao na ngazi za taaluma/Ujuzi wao wanafundisha ktk ngazi stahiki za Elimu. Kusema kuwa Wazr yuko sahihi "eti Mwl wa Msingi akijiendeleza kielimu, akafundishe Sekondari...", ni fikra MGANDO SANA. Suala la idadi kubwa ya wasomi kutoajirika, ni zao la UBOVU WA ELIMU na KUTOKUWEPO MIPANGO MIZR YA SOKO LA AJIRA. Ajira SIO lzm mhitimu aajiriwe, Elimu aliyoipata imfanye aweze kujiajiri na pia kuajiri wengine.

    • @aloycemruma6552
      @aloycemruma6552 16 дней назад

      Haya.majamaa yanajipangia mishahara .mikubwa hayawezi. Kuuona msiba ya wafanyakazi kama Afya maasikari mbunge anapewa. V x kiinuaa mgongo miaka. 5 ndio maana hawataki kusitafu kiinuaa mgongo Kila miaka 5 nyie mna zambi kubwa kuliko shetani

    • @zanzibamjimpya17
      @zanzibamjimpya17 15 дней назад

      tumia akili kutoa mawazo si kutumia ukoloni majibu yako ni kwamba ndiyo maana mtu anahitimu mpaka diploma anashindwa kujiajili hata kutengeneza ndala hajui, na hizo elimu za zamani ndizozimeleta mfumo huo swali je hiyo elimu ya zamani imesadia vip kutuvusha hasa kwenye swala zima la ufundi usikalili kusoma makaratasi na kufaulu mtihani jiukize mwanao anaweza vip kubuni, kutengeneza na kuanzisha mradhi na akausimamia

    • @stephenndagalla8183
      @stephenndagalla8183 15 дней назад

      @@hajihassan5433 Wkt uko O-level nchi za wenzetu ktk vyuo vikuu tyri kulikuwepo na shahada hadi PhD Basic Edn na anarudi kufundisha shule za Awali/Msingi. Analipwa vzr au zaidi ya yule wa Sekondari. Ktk elimu ya Sekondari kulikuwepo pia PhD Sec Edn. Ktk EWW kulikuwepo hadi PhD Adult Edn, ilokuwa hivyo kwa ngazi nyingine za Elimu. Kila mhitimu kwa kiwango cha taaluma yk anafundisha ktk ngazi stahiki. Kusema Wazr yuko sahihi eti "...Mwl wa Msingi akijiendeleza kielimu akafundishe Sekondari..." ni fikra mgando. Watz wataendelea kutoweza kuajirika nje ya nchi. Elimu ni taaluma ya Kidunia (Universal). Wasomi kutoajirika ni zao la UBOVU WA ELIMU na KUTOKUWEPO MIPANGO MIZR YA SOKO LA AJIRA. Mhitimu anapoelimika vzr anaweza kujiajiri na pia kuajiri wengine. Kukumbatia mtazamo wako na Waziri, hakutakuwa na tija kwa taaluma ya Elimu na Taifa kwa ujumla.

  • @2003hintay
    @2003hintay 15 дней назад +1

    Mpina anautaka uwaziri aloushindwa kuutumikia, Ana chuki binafsi Kama mchawi.

    • @zanzibamjimpya17
      @zanzibamjimpya17 15 дней назад +1

      mchawi ni wewe yeye kauliza swali

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 15 дней назад +1

      Machawa hayasahauliki mpina kauliza swali kosa lake ni lipi mchawi ni wewe

  • @anwarkashaga3573
    @anwarkashaga3573 15 дней назад +1

    Haya ndio majawabu kwa wabunge wanaotumika na madhalimu wa taifa letu, nilidhani wanatumiwagwa wa upinzani tu kumbe hata ma CCM menzetu yapo yanayotumika hovyo kama Mpina.... looooh laanakum

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 15 дней назад +1

      Wewe unayemtukana mpina ni mpumbavu, raisi kupendwa nje ndani hapendwi ndio sifa, na wastaafu kulipa mafao yao ni haki na sio hisani ya Samia jinga sana wewe, wametumikia taifa kwa ujuzi , moyo, na nguvu zao leo kiserikali la Samia linawangonga na kuwawekea kikokoto

    • @anwarkashaga3573
      @anwarkashaga3573 15 дней назад +1

      @@MiriamAbdallah Mbona unatukana sasa, yaani hata mwl. Wako wa darasa la pili hakukusaidia?? Hujui kipi hapo, wewe humpendi Rais Samia sababu kawabana wadhalim pamoja na sera za dikteta uchwara wenu. Huyo Mpina ni Pungu tu. Anatapatapa kwa kukosa uwaziri. Hana ajualo. Na kwaushabiki maandazi kama wako nakuhakikishia anapotea kisiasa kabisaaa.

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 15 дней назад

    Huyo Mpina ni fatani mkubwa na mchonganishi kupita maelezo kwakweli ndo maana Magufuli alimtupilia mbali Uwaziri

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 15 дней назад

      Hujitambui 😂😂😂😂😂 bagaaaaa😂😂😂😂 mpina yuko vizuri kati ya
      wabunge wanaojuwa wajibu wa ni mpina, chawa mkubwa sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣