Bravo raisi,nimesugua bench miaka 3 hakuna kazi,2019-2021,mama kaingia madarakani akaruhusu ajira,tukaanza piga interview mpaka nikapata kazi.Mungu akubariki sana.Endelea kuajiri mama wapo wengine mtaani wanakutegemea sana
Nia ya wazazi huwa ni watoto wao kuwa na tabia njema.Lakini mtoto anaweza kuzaliwa na asili fulani ambayo haidhibitiki,vile vile anaweza kuwa shaped na jamii anamoishi.
KWAKWELI MIMI HUWA NASHANGAA MWANANCH ANAGUNIA MOJA BARABARANI TANAPA WANAMKAMATA NA KUMNYAN'GANYA HATA KUPEREKA MAHAKAMANI RAKINI MALOLI NA MALOLI YANAPITA HAYAKAMATWI MIMI HUWA SIEREWI KWAKWELI
Ww Simbachawene hujajibu alichokisema Luhaga unaviringisha jibu hoja ya aliyoyasema 1.Wakimbizi kuteuliwa 2. Wizi wa fedha SGR 3.Wizi wa fedha Bwawa la umeme 4.Viongzi kutokusomana 5.Matamko ya viongozi waandamizi kila kukicha hadi wengine wanataka kuua taasisi fulani fulani kwa kujinufaisha wao. Hayo ndio ulipaswa kujibu hayo majibu yako hayaendani na hoja iliyotolewa
Nchi hii niyasadikika kama co kufikirika bunge limekuwa lakupinga ukweli na kutukuza uongo Mbunge pekee mwenye uchungu na nchi ni Mpinaaaa wengineo ni wasukuma siku wapewe mkate Waongoooo
Hamna kitu mbona wananchi wako jimboni wanalalamika ungesaidia hata mtu mmojamoja lakini hata ukipigiwa simu hupokei malalamiko ni mengi sana kila mtu anakulalamikia jimboni kibakwe tofauti na majimbo mengine kwa nafasi zao wanasaidia wananchi wao
Mpina is lmotion into debeghty but mostly of crush fellow friend will not asepty mpina criticize reality underground into ccm leadership mpina can do that only outside if ccm not inside ccm principal
Anaongea kwa kutumia uzoefu ila hamna kitu hapo hizo.ni ngojera na nyimbo ila vitendo hakuna. Mpina ana hoja na huwezi kuzipangua kwa uwepesi. Uwajibikaji hakuna, ruswa ndio usiseme - kuna vigezo gani mnatumia kuteua nani anampa raisi majina. Jibuni swali mpina - Rais mnamletea watu wabovu wasio na.weledi baada ya muda wanatenguliwa sasa mjibuni Mh Mpina ni nani anampendekezea Raisi majina ya teuzi
Mm nilimsikia Mpina akizungumza mambo kijumla jumla na kwa clip niliyoisikia wala hakutoa mfano na miongoni mwa mambo aliyokuwa akiyaeleza ni wakati wa uongozi wa kipenzi chake chawa wake. Alichokisema Mhe. Simba Chawene kuwa Mhe. Mpina ana lake jambo (ajenda) lkn m muda utafika na utaongea tuombe uhai na uzima. Mama Kizimkazi piga kazi. Wewe ni mti wenye matunda kupopolewa mawe ni lazima. Msema kweli mzee Yussuf Makama aliwahi kusema kwa kutumia nahau wale mbumbu akina mie wakakuza mambo na kusema eti amekufuru. Naunga mkono maneno yake Mhe Rais Dr. Mama Samia ni mzuri hufi
Waziri Anatetea Huku Akijuwa Aliyosema MPINA Kuwa Niyakweli Taarifa Za CAG Za Ubadhilifu Wa Pesa Za Uma Hakuna Hatuwa zilizo Chukuliwa . Kulingana Kunaitafuna Nchi
Mimi hadi ninapo andika taarifa hii serikali haijanilipa arias ya mienzi mitano kuanzia Novemba 2017 hadi March 2018.pia nimepunchwa mafao yangu kwasababu serikali haijalipa michango ya hiyo miezi mitano PSSSF hadi leo.Pamoja na Psssf kuwandikia barua serikali kulipa michango hiyo ili Psssf inIfanyie mahesabu yangu kwa kwangu cha mshahara cha GTS F.Sasa unaposema umewalipa watumishi wote sikuelewi labda watumishi waliokaribu.Kumbuka mimi nimestaafu tarehe 10/02/2022 hadi leo nanyanyasika kwa kutonilipa haki zangu. Ukitaka ushahidi wa hichi ninachokilalamikia kwa vielelezo vya kimaandishi Kama unajali haki za watumishi nitafute Nitakushuru kwani uzoefu mtu wachini akimtaka kiongozi wa juu hampati ila kiongozi wa juu akimtaka kabwela kama mimi rahisi kumparak.
Watumishi wapo ktk ajira zao kutokana na ujuzi wao, siyo kwa hisani ya mtu yeyote akiwemo Rais, hivyo, kuwalipa stahiki zao siyo hisani bali ni wajibu wa Serikali.
Majibu yako mh hayaendani na hoja ya mh mpina tuambie kwa nini maagizo ya mh waziri Mkuu hayatekelezwi i, kwanini chalamila, Mabeyo, makonda, na mkuu wa majeshi hawaja hojiwa kwa tuhuma walizo towa .unaacha kujibu hayo unaongelea habari za mh Rais
Swali, ni je, kweli watalipwa? Wastaafu wengi wamefariki hawajalipwa madai yao. Ngonjera kama "uchaguzi utakuwa huru na haki". Katiba mpya na bora, ndiyo dawa ya haya yote.
MPINA YUKO SAHIHI KWA NINI MKAGUZI MKUU WA SERIKALI HRIPOTI YAKE HAIFANYIWI KAZI WATU WANAPOTEZA PESA HAIJULIKANI MRADI INAFANYWA LKN NA WIZI UPO NDANI YAKE UFISADI UPO TUMEJAALIWA UTULIVU NA AMANI NDIO DIRA LKN UKWELI HAUTAKIWI
Jamani tatizo kubwa mtu anavyoongea ninyi mko huko ndani lkn mambo huku kwa Jamii ni mengi Sana mabaya fanyeni tafiti msifanye mapambano .miradi hii yote fedha nyingi zimepigwa usiongee mafanikio peke yake ww waziri mbona husemi zimepigwa sh. Ngapi?
Kati ya mawaziri wa Ovyo Sana ni pamoja na Simba chawene kwahyo kama Rais a apendwa inje lakini hapendwi ndani ya inchi yake itasaidia Nini? Kwa kifupi watanzania tufanye maamzi sahihi 2025 ili kuondokana na viongozi mzigo katika inchi yetu
MIFUMO MIFUMO SEREKALI INAWEKA KUWA BORA ,HADI LINI?DAWA NI KATIBA BORA YA WANANCHI.TUPATE KATIBA PENDEKEZWA YA TUME YA WARIOBA HII NDIYO INA MIFUMO BORA YA UTAWWLA."NOTE"A PRESIDENT CAN NOT BE PART OF MAKING A COUNTRY'S CONSTUTION AS LIKE WE SEE NOW.
Mpina ni poyoyo uspste taabu ata kumjibu uyu ata ubunge akushnda na anajua awez kushnda 2025 anataka nchi ilud kama kwa mwenda zake agudue arud bungeni kimagumashi
Sambaza walimu wa kike waliojazana mijini hasa Dar es Salaam waende mikoani. Shule za Dar zimejaa walimu wa kike tu shule Moja wanaume utakuta wako 2au3 ndo maana ufanisi wa usomeshaji umepungua hawakai madarasani mda mwingi wanakaa nje ya madarasa hata wakati wa kipindi. Wanaweka meza kabisa utawakuta wamejaa huko kuongea
Hivi hapo unashindwa kuelewa inakuwaje pesa ya serikali eti mkurugenzi hawezi kulipa hii unaonekana kuna kuto kuwajibika Kwa uongonzi mikoani wapo tu utadhani wapo kustalehe na shida kubwa ya nchi.
Hoja yako Simbachawene kwamba Rais anaheshimika nje ndio kigezo cha maendeleo sio sahihi. wanaomsifia huko nje na kumpa udaktari wa heshima huenda ndio wananufaika na mali zetu lkn cc wenyewe hali ni mbaya. sababu uliyoitoa kumjibu Mpina ni dhaifu na imekaa kichawa zaidi kuliko uhalisia. 😢
Watu huku ikiingia TRA kulipa Kodi unatoka unalia machozi kwani hii nchi siwalisema niyawanyonge kwanini mnatunyonga na Kodi zenu simuuze madhahabu jaman amakweli mama ameupiga mwingi
Mlihusika kuwanyima watumishi haki zao kwa kipindi hicho leo unajitokeza kusifu kwa mdomo ule ule. Kumbe ukimwibia mtu mwaka huu na ukamrudishia mwakani una haki ya kujimwambafai kifua mbele??
Mh umeanza vizuri ila sio majibu yake ayo , we sema watu hawauwawi hamna ufisadi , mbon ueleweki mh ajauliza hayo bna unajishusha heshima yako mkuu duuu elimu inahitajika wew ilibidi ubishane na c a g wakikup makaratasi sijui utajib nn tena , jibu maswali ulio ulizwa hata mimi nilikuwa nakupnda kw hoja zako lkn kwa hyo majibu siwezi kukubaliana nawew jibu swali mpina ajasem nchi aijakuwa uchumi wake bil uo ufsadi ingekuwa zaid y apo nenda shule mh
Kilianzishwa awamu ya tano ila mama Samia na serikali yake kwanza karuhusu majadiliano na kwa uwezo wa jaalia mama atatoa maamuzi yatakayo konga nyoyo za wastaafy
@@anwarkashaga3573 Mchakato wa Kikokotoo ulianza awamu ya 4, baada ya iliyokuwa mifuko wa wafanyakazi (PSPF, NSSF, LAPF na EPF) kufilisiwa na Serikali kwa kuchukua fedha za wachanguaji/wafanyakazi na kuwekeza ktk miradi mblmbli (mojawapo ni ujenzi wa UDOM). Mwaka 1998, Oktoba, baada ya kuwa msuada imepitishwa Bungeni na kusainuwa na Rais, tayari kwa urekelezwaji, JPM (RIP) aliahirisha utekelezi na kuagiza Kikokotoo kipitiwe upya na utekelezwsji uanze mwaka 2023. Mara tu baada ya JPM kufariki, Kikokotoo kilianza kutumika pasi na kukipita upya.km alivyoagiza JPM. Jiulize ni kwa nn hakikupitiwa upya na kwa nn kilianza haraka kutumika Mars tu ya kufa JPM. Hivyo ni vzr kutafiti kupata uhakika wa jambo kabla ya kuja hewani?
mawaziri mnapokua mnaongea na kupigiana makofi jueeni kua wananchi kwakua hatuna wakumlili na kututetea ata wakisimama watu wenye uchungu kama Mpina wanashambuliwa na kujaribu kumfumba mdomo ila acha tuendelee kumlilia Mungu kwakua yeye ndie muumba tunaamini hatuwezi kuangamia kilakitu kiko juu CAG anawambia upotevu kilasiku yote hamyaoni.
mama kafanya kazi kubwa mana tunaish kwa amani hakuna vita mimi namuomba asigombee tena amuachie majaliwa awe rais wazili mkuu awe makonda wazili wa Mambo ya ndani awe chalamila
Utaratibu wa ajira kufuatia kubadili taaluma/karia, ulioelezwa na Mhe Waziri Simbachawene ni wa kizamani sana. Eti "...mwl wa s/msingi, ajiendeleze ili akafundishe sekonari...". Huo ni mtazamo wa kizamani na usio iendeleza taaluma husika. Nchi za wenzetu, kila ngazi ya Elimu inajitosheleza kwa watumishi wake kuwa na kiwango cha juu zaidi cha Elimu. Elimu ya awali/msingi, mtumishi anajielimisha hadi shahada ya uzamivu (PhD, Basic Ed.), vivyo hivyo kwa ngazi nyingine. Sio eti "...mwl wa msingi ajiendeleze kitaaluma ili akafundishe sekondari...". Bado tuna mwendo mrefu sana kuboresha mfumo na kiwango cha taaluma ya Ualimu nchini, kwa mtzmo wa Mhe. Waziri.
Wakati mwingine tunafanya makosa kulinganisha mataifa mengine na letu. Hadi sasa sifa za kuwa Mbunge ni kujuwa kusoma na kuandika hivyo ni kosa watu fulani kumuona kuna mtu anawafaa usitake lazima awe na academic rank fulani. Tuliosoma elimu ya Msingi hadi O' level 1990s hatukumuona Mwalimu mwenye Digrii darasani. Hivi sasa wapo wengi sana lakini Elimu yao ni ndogo sana ni changamoto. Hivyo Waziri yupo sahihi, wapo Walimu wengi waliofikia elimu za juu ingawa walitoka Sekondari na Division 4, hii ilitokana na mazingira ambayo bado yapo.
@@hajihassan5433 Kutojilinganisha na nchi nyingine ni kujidanganya. Elimu ni taaluma ya Kidunia (Universal). Vinginevyo Watz wanaendelea kubaki nyuma kielimu na kushindwa kuajirika Kimataifa. Miaka ya 1990 (wkt uko O-level), wenzetu ktk vyuo vikuu vyao tayari kulikuwa na kozi za Ualimu ngazi ya Awali/Msingi hadi PhD Basic Edn na anarudi kufundisha shule za Awali na Msingi. Analipwa vzr pia mafao mazr, sawa au hata kumzidi wa Sekondari. Pia Elimu ya Sekondari, kuna hadi PhD Sec Edn. Elimu ya Watu wazima kuna hadi PhD Adult Edn. Hii ulikuwepo pia ktk Elimu ya Ufundi, nk. Wote hao na ngazi za taaluma/Ujuzi wao wanafundisha ktk ngazi stahiki za Elimu. Kusema kuwa Wazr yuko sahihi "eti Mwl wa Msingi akijiendeleza kielimu, akafundishe Sekondari...", ni fikra MGANDO SANA. Suala la idadi kubwa ya wasomi kutoajirika, ni zao la UBOVU WA ELIMU na KUTOKUWEPO MIPANGO MIZR YA SOKO LA AJIRA. Ajira SIO lzm mhitimu aajiriwe, Elimu aliyoipata imfanye aweze kujiajiri na pia kuajiri wengine.
Haya.majamaa yanajipangia mishahara .mikubwa hayawezi. Kuuona msiba ya wafanyakazi kama Afya maasikari mbunge anapewa. V x kiinuaa mgongo miaka. 5 ndio maana hawataki kusitafu kiinuaa mgongo Kila miaka 5 nyie mna zambi kubwa kuliko shetani
tumia akili kutoa mawazo si kutumia ukoloni majibu yako ni kwamba ndiyo maana mtu anahitimu mpaka diploma anashindwa kujiajili hata kutengeneza ndala hajui, na hizo elimu za zamani ndizozimeleta mfumo huo swali je hiyo elimu ya zamani imesadia vip kutuvusha hasa kwenye swala zima la ufundi usikalili kusoma makaratasi na kufaulu mtihani jiukize mwanao anaweza vip kubuni, kutengeneza na kuanzisha mradhi na akausimamia
@@hajihassan5433 Wkt uko O-level nchi za wenzetu ktk vyuo vikuu tyri kulikuwepo na shahada hadi PhD Basic Edn na anarudi kufundisha shule za Awali/Msingi. Analipwa vzr au zaidi ya yule wa Sekondari. Ktk elimu ya Sekondari kulikuwepo pia PhD Sec Edn. Ktk EWW kulikuwepo hadi PhD Adult Edn, ilokuwa hivyo kwa ngazi nyingine za Elimu. Kila mhitimu kwa kiwango cha taaluma yk anafundisha ktk ngazi stahiki. Kusema Wazr yuko sahihi eti "...Mwl wa Msingi akijiendeleza kielimu akafundishe Sekondari..." ni fikra mgando. Watz wataendelea kutoweza kuajirika nje ya nchi. Elimu ni taaluma ya Kidunia (Universal). Wasomi kutoajirika ni zao la UBOVU WA ELIMU na KUTOKUWEPO MIPANGO MIZR YA SOKO LA AJIRA. Mhitimu anapoelimika vzr anaweza kujiajiri na pia kuajiri wengine. Kukumbatia mtazamo wako na Waziri, hakutakuwa na tija kwa taaluma ya Elimu na Taifa kwa ujumla.
Haya ndio majawabu kwa wabunge wanaotumika na madhalimu wa taifa letu, nilidhani wanatumiwagwa wa upinzani tu kumbe hata ma CCM menzetu yapo yanayotumika hovyo kama Mpina.... looooh laanakum
Wewe unayemtukana mpina ni mpumbavu, raisi kupendwa nje ndani hapendwi ndio sifa, na wastaafu kulipa mafao yao ni haki na sio hisani ya Samia jinga sana wewe, wametumikia taifa kwa ujuzi , moyo, na nguvu zao leo kiserikali la Samia linawangonga na kuwawekea kikokoto
@@MiriamAbdallah Mbona unatukana sasa, yaani hata mwl. Wako wa darasa la pili hakukusaidia?? Hujui kipi hapo, wewe humpendi Rais Samia sababu kawabana wadhalim pamoja na sera za dikteta uchwara wenu. Huyo Mpina ni Pungu tu. Anatapatapa kwa kukosa uwaziri. Hana ajualo. Na kwaushabiki maandazi kama wako nakuhakikishia anapotea kisiasa kabisaaa.
Pole bundle kwa kusikiliza ngonjera za simbachawene
Simbachawena hana Gb za kumjibu mpina
Bravo raisi,nimesugua bench miaka 3 hakuna kazi,2019-2021,mama kaingia madarakani akaruhusu ajira,tukaanza piga interview mpaka nikapata kazi.Mungu akubariki sana.Endelea kuajiri mama wapo wengine mtaani wanakutegemea sana
kwaiy watu wote wanepata kazi nchi au mpaka sasa ivi2 kuna mamilion ya watu nchini hawana ajila wala kibaluwa wewe unachekesha sana
Acha kuongea huo ujinga kwa watu weny akili
Umeshiba huwez mujal mwenye njaaa
@@ScopionScopion-zj9cdhakuna nchi ambayo watu wote wanajira
Wananchi tunamwelewa sana Mpina. Hamu ya kila mtu ni kujibiwa hoja yake
Hujamjibu Mheshimiwa Mpina - umejibu mambo ambayo hajauliza
Kwani hapo anayajibu maswali???? Hembu tumia akili dogo. Tafuta clip alojibiwa
Kumbe huna masikio wee kwani heading hujaisoma na mbna majibu kapewa. Wacha kupotosha umma dogo. Bangi hizo mbaya
Sema fedha Kwa kiswahili
Mpina upo sawa kabisa wambie ukweli2 usiwaogope sisi watanzania tupo pamoja na ww kiongozi shupavu
Jibu hoja acha porojo
Hongera sana Mhe Waziri Simbachawene
Big up Baba ! Piga mwingi.
Big up monsieur Simbachawene. I support the idea of uniting families. Merci beaucoup.
Unawaangusha Wagogo. JERRY SLAHA BADO ANAWAKINBIZA. HAKAMATIKI. SLAHA ASINGEKUBALI KIKOKOTOI
Huyu simbachawene ameshindwa kulea hata mtoto wake analewa mpaka anakamatwa na trafik ovyo
Kulea ni kazi,usije ukamcheka mwenziyo
We daud maemba , mtoto umleavyo ndivyo akuavyo au unajisaulisha
Malezi kitu kingine acha kuelekeza lawama kwa wengine Jitathmini Wewe na familia yako je muko sawa
Katika Kila kitu
Nia ya wazazi huwa ni watoto wao kuwa na tabia njema.Lakini mtoto anaweza kuzaliwa na asili fulani ambayo haidhibitiki,vile vile anaweza kuwa shaped na jamii anamoishi.
KWAKWELI MIMI HUWA NASHANGAA MWANANCH ANAGUNIA MOJA BARABARANI TANAPA WANAMKAMATA NA KUMNYAN'GANYA HATA KUPEREKA MAHAKAMANI RAKINI MALOLI NA MALOLI YANAPITA HAYAKAMATWI MIMI HUWA SIEREWI KWAKWELI
Ww Simbachawene hujajibu alichokisema Luhaga unaviringisha jibu hoja ya aliyoyasema
1.Wakimbizi kuteuliwa
2. Wizi wa fedha SGR
3.Wizi wa fedha Bwawa la umeme
4.Viongzi kutokusomana
5.Matamko ya viongozi waandamizi kila kukicha hadi wengine wanataka kuua taasisi fulani fulani kwa kujinufaisha wao.
Hayo ndio ulipaswa kujibu hayo majibu yako hayaendani na hoja iliyotolewa
Huyu Simba chawene alitakiwa akifa achomwe moto Duniani kenge huyu Mpina na majaliwa wanastahili kurudi bungeni wengine wakale walivyotunyang'anya
Nchi hii niyasadikika kama co kufikirika bunge limekuwa lakupinga ukweli na kutukuza uongo Mbunge pekee mwenye uchungu na nchi ni Mpinaaaa wengineo ni wasukuma siku wapewe mkate Waongoooo
Hamna kitu mbona wananchi wako jimboni wanalalamika ungesaidia hata mtu mmojamoja lakini hata ukipigiwa simu hupokei malalamiko ni mengi sana kila mtu anakulalamikia jimboni kibakwe tofauti na majimbo mengine kwa nafasi zao wanasaidia wananchi wao
Waziri amejibu hoja vizuri sana
Mpina hana nafasi kukujibu, angepata nafasi hiyo sijui ingekuweje........
Mpina is lmotion into debeghty but mostly of crush fellow friend will not asepty mpina criticize reality underground into ccm leadership mpina can do that only outside if ccm not inside ccm principal
MH.Simbachawene umeongea point muhimu mnooo serikali inatakiwa ijali Familia ya watumishi ,
Mama kajitahidi sana kwenye mishahara na posho apewe maua yake
Jibu hoja za Mpina kaka, acha blah blah jomba
Kilaza au chawa. Jibu hoja za Mpina
Kuteuwana ni kupeana fadhila,watu wengi hawana sifa
👇🏿
#katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
MAJIBU YA HOJA YA MMBUNGE MWENYE AKILI ILIYOSALIMIKA MH MPINA HAIJAJIBIWA HAPA ,TUNATAKA MAJIBU HAPA ,
Anaongea kwa kutumia uzoefu ila hamna kitu hapo hizo.ni ngojera na nyimbo ila vitendo hakuna. Mpina ana hoja na huwezi kuzipangua kwa uwepesi. Uwajibikaji hakuna, ruswa ndio usiseme - kuna vigezo gani mnatumia kuteua nani anampa raisi majina. Jibuni swali mpina - Rais mnamletea watu wabovu wasio na.weledi baada ya muda wanatenguliwa sasa mjibuni Mh Mpina ni nani anampendekezea Raisi majina ya teuzi
Kwa hiyo mnakiri kuwa mtangulizi wa mama alikuwa akiwadbulumu wafanyakazi.
Mm nilimsikia Mpina akizungumza mambo kijumla jumla na kwa clip niliyoisikia wala hakutoa mfano na miongoni mwa mambo aliyokuwa akiyaeleza ni wakati wa uongozi wa kipenzi chake chawa wake.
Alichokisema Mhe. Simba Chawene kuwa Mhe. Mpina ana lake jambo (ajenda) lkn m muda utafika na utaongea tuombe uhai na uzima.
Mama Kizimkazi piga kazi.
Wewe ni mti wenye matunda kupopolewa mawe ni lazima.
Msema kweli mzee Yussuf Makama aliwahi kusema kwa kutumia nahau wale mbumbu akina mie wakakuza mambo na kusema eti amekufuru.
Naunga mkono maneno yake Mhe Rais Dr. Mama Samia ni mzuri hufi
Hiivi kwani taifa hili linatumia lunga ya kingereza?au kiswahili
Kiswahili ndugu, hao bado ni watumwa wa mangaribi 😅😅😅😅😅😅
Kwenye Elimu bure tulia sikilizeni wazazi wana malalamiko
Waziri Anatetea Huku Akijuwa Aliyosema MPINA Kuwa Niyakweli Taarifa Za CAG Za Ubadhilifu Wa Pesa Za Uma Hakuna Hatuwa zilizo Chukuliwa . Kulingana Kunaitafuna Nchi
Happy kwenye kusoma some ulochaguwa nakupa Mia filmia
Jamani wenza waishi p amoja
Mbona kama Mpina mwenyewe anasinzia😂😂
Sijamuelewa kabisa kamaliza bando langu tu
Kama hizo fedha ni nyingi y kukopa hovyo,,,tuwe makini hao west ukiona wanatoa taarifa zipo kimpango cjui na mpokeaji unampango hilo lako
Mbona sikuelewi majibu yako kuhusiana na hoja za mpina
Unafiki2 kila k2 mnasifia raise na penye Amna umevaa miwani but nothing angarieni huduma za jamii maneno mengi vitendo zero
Mikopo vyuo vikuu watoto wetu wamekosa urasimu vby Sana wala hupaswi kuliongelea ongea na wanachuo ndio utapatamajibu usiongee vitu ambavyo ww unaletewa takwimu ktk makaratasi ingia field uone wanachuo wanavyoteseka acha propaganda
Mimi hadi ninapo andika taarifa hii serikali haijanilipa arias ya mienzi mitano kuanzia Novemba 2017 hadi March 2018.pia nimepunchwa mafao yangu kwasababu serikali haijalipa michango ya hiyo miezi mitano PSSSF hadi leo.Pamoja na Psssf kuwandikia barua serikali kulipa michango hiyo ili Psssf inIfanyie mahesabu yangu kwa kwangu cha mshahara cha GTS F.Sasa unaposema umewalipa watumishi wote sikuelewi labda watumishi waliokaribu.Kumbuka mimi nimestaafu tarehe 10/02/2022 hadi leo nanyanyasika kwa kutonilipa haki zangu. Ukitaka ushahidi wa hichi ninachokilalamikia kwa vielelezo vya kimaandishi
Kama unajali haki za watumishi nitafute Nitakushuru kwani uzoefu mtu wachini akimtaka kiongozi wa juu hampati ila kiongozi wa juu akimtaka kabwela kama mimi rahisi kumparak.
Mpina anajielewa, Tatizo viongozi wetu hawapendi kuambiwa ukweli
Rais simbachawene🎉
Swala LA miradi ni LA hayati magufuli Hugo ndo mwenye miradi hiyo yote
mhh daa majibu ya waziri simba yako jumla jumla,hakujibu hoja moja moja.
Watumishi wapo ktk ajira zao kutokana na ujuzi wao, siyo kwa hisani ya mtu yeyote akiwemo Rais, hivyo, kuwalipa stahiki zao siyo hisani bali ni wajibu wa Serikali.
Jambo jema kabisa, ila watumishi bado wanalia sana na kikokoto
Mradi wa nyerere Unatusaidia nini wakati Umeme ni changamoto kwetu? Halafu mnampgia makofi why?
Tunataka ya kusoma sio ya kupewa
Lizombi linapelekwa pelekwa na wazungu 😅😅😅😅😅😅😅😅
Sikumbuki enzi ya magufuli alikua Waziri wa nini huyo jamaa?
Inatakiwa muwe wakweli sio kuficha ukweli
Bado hakuna mtu wa kumjib mpina hoja zake,,ukimjib hoja zake maana yake unakupuyanga na kuaibika
nchi inauzwa binadamu tunauzwa na
wapiga makofi mnaelewa ?????
Kalala😂
Jibu hoja acha siasa
Kuna wizi,waziri mkuu anatoa maamzi awatekelezi maamuzi ya waziri mkuu jibu hoja hizo kwanza
Siyo kweli mnasabu zenu aidha kwaajili ya uchaguzi tu
Majibu yako mh hayaendani na hoja ya mh mpina tuambie kwa nini maagizo ya mh waziri Mkuu hayatekelezwi i, kwanini chalamila, Mabeyo, makonda, na mkuu wa majeshi hawaja hojiwa kwa tuhuma walizo towa .unaacha kujibu hayo unaongelea habari za mh Rais
INAFIKIRISHA SANA....HIVI KWELI MH. WAZIRI AMEJIBU IPASAVYO MAUDHIA YA MH. MBUNGE MPINA?
HUJAJIBU HOJA ZA MPINA
Safi sana mh. Waziri kwa swala la kuwalipa watumishi wanaoidai serikali
Swali, ni je, kweli watalipwa? Wastaafu wengi wamefariki hawajalipwa madai yao. Ngonjera kama "uchaguzi utakuwa huru na haki". Katiba mpya na bora, ndiyo dawa ya haya yote.
@@charleslukumai7875hiyo ni danganya toto uchaguzi unakuja 😅😅😅😅😅
Wala LA miradi ni LA hayati magufuli
MPINA YUKO SAHIHI KWA NINI MKAGUZI MKUU WA SERIKALI HRIPOTI YAKE HAIFANYIWI KAZI WATU WANAPOTEZA PESA HAIJULIKANI MRADI INAFANYWA LKN NA WIZI UPO NDANI YAKE UFISADI UPO TUMEJAALIWA UTULIVU NA AMANI NDIO DIRA LKN UKWELI HAUTAKIWI
Jamani tatizo kubwa mtu anavyoongea ninyi mko huko ndani lkn mambo huku kwa Jamii ni mengi Sana mabaya fanyeni tafiti msifanye mapambano .miradi hii yote fedha nyingi zimepigwa usiongee mafanikio peke yake ww waziri mbona husemi zimepigwa sh. Ngapi?
Kati ya mawaziri wa Ovyo Sana ni pamoja na Simba chawene kwahyo kama Rais a apendwa inje lakini hapendwi ndani ya inchi yake itasaidia Nini? Kwa kifupi watanzania tufanye maamzi sahihi 2025 ili kuondokana na viongozi mzigo katika inchi yetu
Yan tunalazimishwa tusema ndio kwa kila jambo kutoka kwao Eti rais amewapandisha vyeo wafanya kazi daahh hivi wanatuonaje?
Kwani amekosea wapi kutoa mawazo yake ili kuondoa sintofahamu iliyopo kwenye jamii
Poleni
MIFUMO MIFUMO SEREKALI INAWEKA KUWA BORA ,HADI LINI?DAWA NI KATIBA BORA YA WANANCHI.TUPATE KATIBA PENDEKEZWA YA TUME YA WARIOBA HII NDIYO INA MIFUMO BORA YA UTAWWLA."NOTE"A PRESIDENT CAN NOT BE PART OF MAKING A COUNTRY'S CONSTUTION AS LIKE WE SEE NOW.
Well said
Mpina ni poyoyo uspste taabu ata kumjibu uyu ata ubunge akushnda na anajua awez kushnda 2025 anataka nchi ilud kama kwa mwenda zake agudue arud bungeni kimagumashi
Sio "mwenda zake" ni Mhe. Rais John P. Magufuli Rais wa awamu ya 5
Miongoni mawaziri wa ovyo kabisa na wapuuuzi ni huyu jamaa! Ni miongoni mwa watu wanaohisi wa hati miliki ya hii nchi! Ovyo kabisa
Mbona sasa hajajibu hoja za mpina ni kweli Rais anafanya kazi kubwa zinazoonekana lakini kama sio ufisadi zingekuwa kubwa zaidi
Nimemkubali simbachawenye sana.
Shahada ya kupewa sio niuzembe wa kusoma kwanini ww uweunapewa shahada 2?
😂😂😂😂😂😂😂
Huyu ni tumbo zaidi sio akili
Sambaza walimu wa kike waliojazana mijini hasa Dar es Salaam waende mikoani. Shule za Dar zimejaa walimu wa kike tu shule Moja wanaume utakuta wako 2au3 ndo maana ufanisi wa usomeshaji umepungua hawakai madarasani mda mwingi wanakaa nje ya madarasa hata wakati wa kipindi. Wanaweka meza kabisa utawakuta wamejaa huko kuongea
wana kaa muda mrefu ? hujajibu ? simba unajibu siasa eti mikopo ya wanafunzi wakati mikopo pasua kichwa, sasa unasema CAG anatoa taarifa ya uongo.
Hivi hapo unashindwa kuelewa inakuwaje pesa ya serikali eti mkurugenzi hawezi kulipa hii unaonekana kuna kuto kuwajibika Kwa uongonzi mikoani wapo tu utadhani wapo kustalehe na shida kubwa ya nchi.
Hivi udakatari wa heshima ni sifa au kudangaywa
😂,afadhali na wewe unaelewa.kwa sababu hatuelewi daktari wa kweli na hao wa heshima
Kudanganywa upuuzi mtupu😅😅😅😅😅
SSH HAJACHAGULIWA NA WANANCHI. NI KIPINDI CHA AWAMU TANO CHA MAGUFULI NA SIYO SSH.
Hoja yako Simbachawene kwamba Rais anaheshimika nje ndio kigezo cha maendeleo sio sahihi. wanaomsifia huko nje na kumpa udaktari wa heshima huenda ndio wananufaika na mali zetu lkn cc wenyewe hali ni mbaya. sababu uliyoitoa kumjibu Mpina ni dhaifu na imekaa kichawa zaidi kuliko uhalisia. 😢
Malizia kwa kusema kuwa ni njia ya kujipendekeza, na hao wanaojipendekeza ni kutetea matumbo yao
Watu huku ikiingia TRA kulipa Kodi unatoka unalia machozi kwani hii nchi siwalisema niyawanyonge kwanini mnatunyonga na Kodi zenu simuuze madhahabu jaman amakweli mama ameupiga mwingi
Mlihusika kuwanyima watumishi haki zao kwa kipindi hicho leo unajitokeza kusifu kwa mdomo ule ule. Kumbe ukimwibia mtu mwaka huu na ukamrudishia mwakani una haki ya kujimwambafai kifua mbele??
Aibu😢😢😢😢
Mh umeanza vizuri ila sio majibu yake ayo , we sema watu hawauwawi hamna ufisadi , mbon ueleweki mh ajauliza hayo bna unajishusha heshima yako mkuu duuu elimu inahitajika wew ilibidi ubishane na c a g wakikup makaratasi sijui utajib nn tena , jibu maswali ulio ulizwa hata mimi nilikuwa nakupnda kw hoja zako lkn kwa hyo majibu siwezi kukubaliana nawew jibu swali mpina ajasem nchi aijakuwa uchumi wake bil uo ufsadi ingekuwa zaid y apo nenda shule mh
Yani malipo ya watumishi eti ni huruma za Rais😂
Ujinga gani huu jamani, katiba mpya ndio suluhisho ya upuuzi huu
Wenza kukaa pamoja ni very important
"Serikali haitaki dhuruma!!"?? Kikokotoo kipya kilicho anzishwa na Serikali hiyo hiyo SIO Dhuruma kwa Wastaafu??
Kilianzishwa awamu ya tano ila mama Samia na serikali yake kwanza karuhusu majadiliano na kwa uwezo wa jaalia mama atatoa maamuzi yatakayo konga nyoyo za wastaafy
@@anwarkashaga3573 Mchakato wa Kikokotoo ulianza awamu ya 4, baada ya iliyokuwa mifuko wa wafanyakazi (PSPF, NSSF, LAPF na EPF) kufilisiwa na Serikali kwa kuchukua fedha za wachanguaji/wafanyakazi na kuwekeza ktk miradi mblmbli (mojawapo ni ujenzi wa UDOM). Mwaka 1998, Oktoba, baada ya kuwa msuada imepitishwa Bungeni na kusainuwa na Rais, tayari kwa urekelezwaji, JPM (RIP) aliahirisha utekelezi na kuagiza Kikokotoo kipitiwe upya na utekelezwsji uanze mwaka 2023. Mara tu baada ya JPM kufariki, Kikokotoo kilianza kutumika pasi na kukipita upya.km alivyoagiza JPM. Jiulize ni kwa nn hakikupitiwa upya na kwa nn kilianza haraka kutumika Mars tu ya kufa JPM. Hivyo ni vzr kutafiti kupata uhakika wa jambo kabla ya kuja hewani?
Owongo mtupu
mawaziri mnapokua mnaongea na kupigiana makofi jueeni kua wananchi kwakua hatuna wakumlili na kututetea ata wakisimama watu wenye uchungu kama Mpina wanashambuliwa na kujaribu kumfumba mdomo ila acha tuendelee kumlilia Mungu kwakua yeye ndie muumba tunaamini hatuwezi kuangamia kilakitu kiko juu CAG anawambia upotevu kilasiku yote hamyaoni.
Kapotea hoja huyu kujibu hoja
Amejibu hoja?😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅😅 mpuuzi sana 😅😅😅😅😅😅
Hata wakoloni walijenga hivyo vitu,na bado tukawafukuza wacheni longolongo,nyerere hakua na PHD za kupewa.na tulisoma bure na matibabu bure.
Asante sana simbachawene kwa kumnyoosha huyo mpina
Mbona wewe bado uko pamoja na kwamba huna uwezo
😮😂😂😂
mama kafanya kazi kubwa mana tunaish kwa amani hakuna vita mimi namuomba asigombee tena amuachie majaliwa awe rais wazili mkuu awe makonda wazili wa Mambo ya ndani awe chalamila
Jifunze kuandika kwanza
hahaaaa Nijifunze kuandika kwani Naomba kazi au ww unataka kunipa Nini mpaka Nikuandikie vizuli
Unaongea nn ww? Ww ni jipu
Utaratibu wa ajira kufuatia kubadili taaluma/karia, ulioelezwa na Mhe Waziri Simbachawene ni wa kizamani sana. Eti "...mwl wa s/msingi, ajiendeleze ili akafundishe sekonari...". Huo ni mtazamo wa kizamani na usio iendeleza taaluma husika. Nchi za wenzetu, kila ngazi ya Elimu inajitosheleza kwa watumishi wake kuwa na kiwango cha juu zaidi cha Elimu. Elimu ya awali/msingi, mtumishi anajielimisha hadi shahada ya uzamivu (PhD, Basic Ed.), vivyo hivyo kwa ngazi nyingine. Sio eti "...mwl wa msingi ajiendeleze kitaaluma ili akafundishe sekondari...". Bado tuna mwendo mrefu sana kuboresha mfumo na kiwango cha taaluma ya Ualimu nchini, kwa mtzmo wa Mhe. Waziri.
Wakati mwingine tunafanya makosa kulinganisha mataifa mengine na letu. Hadi sasa sifa za kuwa Mbunge ni kujuwa kusoma na kuandika hivyo ni kosa watu fulani kumuona kuna mtu anawafaa usitake lazima awe na academic rank fulani. Tuliosoma elimu ya Msingi hadi O' level 1990s hatukumuona Mwalimu mwenye Digrii darasani. Hivi sasa wapo wengi sana lakini Elimu yao ni ndogo sana ni changamoto. Hivyo Waziri yupo sahihi, wapo Walimu wengi waliofikia elimu za juu ingawa walitoka Sekondari na Division 4, hii ilitokana na mazingira ambayo bado yapo.
@@hajihassan5433 Kutojilinganisha na nchi nyingine ni kujidanganya. Elimu ni taaluma ya Kidunia (Universal). Vinginevyo Watz wanaendelea kubaki nyuma kielimu na kushindwa kuajirika Kimataifa. Miaka ya 1990 (wkt uko O-level), wenzetu ktk vyuo vikuu vyao tayari kulikuwa na kozi za Ualimu ngazi ya Awali/Msingi hadi PhD Basic Edn na anarudi kufundisha shule za Awali na Msingi. Analipwa vzr pia mafao mazr, sawa au hata kumzidi wa Sekondari. Pia Elimu ya Sekondari, kuna hadi PhD Sec Edn. Elimu ya Watu wazima kuna hadi PhD Adult Edn. Hii ulikuwepo pia ktk Elimu ya Ufundi, nk. Wote hao na ngazi za taaluma/Ujuzi wao wanafundisha ktk ngazi stahiki za Elimu. Kusema kuwa Wazr yuko sahihi "eti Mwl wa Msingi akijiendeleza kielimu, akafundishe Sekondari...", ni fikra MGANDO SANA. Suala la idadi kubwa ya wasomi kutoajirika, ni zao la UBOVU WA ELIMU na KUTOKUWEPO MIPANGO MIZR YA SOKO LA AJIRA. Ajira SIO lzm mhitimu aajiriwe, Elimu aliyoipata imfanye aweze kujiajiri na pia kuajiri wengine.
Haya.majamaa yanajipangia mishahara .mikubwa hayawezi. Kuuona msiba ya wafanyakazi kama Afya maasikari mbunge anapewa. V x kiinuaa mgongo miaka. 5 ndio maana hawataki kusitafu kiinuaa mgongo Kila miaka 5 nyie mna zambi kubwa kuliko shetani
tumia akili kutoa mawazo si kutumia ukoloni majibu yako ni kwamba ndiyo maana mtu anahitimu mpaka diploma anashindwa kujiajili hata kutengeneza ndala hajui, na hizo elimu za zamani ndizozimeleta mfumo huo swali je hiyo elimu ya zamani imesadia vip kutuvusha hasa kwenye swala zima la ufundi usikalili kusoma makaratasi na kufaulu mtihani jiukize mwanao anaweza vip kubuni, kutengeneza na kuanzisha mradhi na akausimamia
@@hajihassan5433 Wkt uko O-level nchi za wenzetu ktk vyuo vikuu tyri kulikuwepo na shahada hadi PhD Basic Edn na anarudi kufundisha shule za Awali/Msingi. Analipwa vzr au zaidi ya yule wa Sekondari. Ktk elimu ya Sekondari kulikuwepo pia PhD Sec Edn. Ktk EWW kulikuwepo hadi PhD Adult Edn, ilokuwa hivyo kwa ngazi nyingine za Elimu. Kila mhitimu kwa kiwango cha taaluma yk anafundisha ktk ngazi stahiki. Kusema Wazr yuko sahihi eti "...Mwl wa Msingi akijiendeleza kielimu akafundishe Sekondari..." ni fikra mgando. Watz wataendelea kutoweza kuajirika nje ya nchi. Elimu ni taaluma ya Kidunia (Universal). Wasomi kutoajirika ni zao la UBOVU WA ELIMU na KUTOKUWEPO MIPANGO MIZR YA SOKO LA AJIRA. Mhitimu anapoelimika vzr anaweza kujiajiri na pia kuajiri wengine. Kukumbatia mtazamo wako na Waziri, hakutakuwa na tija kwa taaluma ya Elimu na Taifa kwa ujumla.
Mpina anautaka uwaziri aloushindwa kuutumikia, Ana chuki binafsi Kama mchawi.
mchawi ni wewe yeye kauliza swali
Machawa hayasahauliki mpina kauliza swali kosa lake ni lipi mchawi ni wewe
Haya ndio majawabu kwa wabunge wanaotumika na madhalimu wa taifa letu, nilidhani wanatumiwagwa wa upinzani tu kumbe hata ma CCM menzetu yapo yanayotumika hovyo kama Mpina.... looooh laanakum
Wewe unayemtukana mpina ni mpumbavu, raisi kupendwa nje ndani hapendwi ndio sifa, na wastaafu kulipa mafao yao ni haki na sio hisani ya Samia jinga sana wewe, wametumikia taifa kwa ujuzi , moyo, na nguvu zao leo kiserikali la Samia linawangonga na kuwawekea kikokoto
@@MiriamAbdallah Mbona unatukana sasa, yaani hata mwl. Wako wa darasa la pili hakukusaidia?? Hujui kipi hapo, wewe humpendi Rais Samia sababu kawabana wadhalim pamoja na sera za dikteta uchwara wenu. Huyo Mpina ni Pungu tu. Anatapatapa kwa kukosa uwaziri. Hana ajualo. Na kwaushabiki maandazi kama wako nakuhakikishia anapotea kisiasa kabisaaa.
Huyo Mpina ni fatani mkubwa na mchonganishi kupita maelezo kwakweli ndo maana Magufuli alimtupilia mbali Uwaziri
Hujitambui 😂😂😂😂😂 bagaaaaa😂😂😂😂 mpina yuko vizuri kati ya
wabunge wanaojuwa wajibu wa ni mpina, chawa mkubwa sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣