Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Makonda mungu akupe maisha maarefu sana
Blessed Rais wetu mtarajiwa
Halmashauli wanaleta shida kwenye mfumo wanachukua 0.3 kama service levy na wanakaa barabarani na kutoza tena ndio wanaotengeneza double taxation
Huyo mkaguzi msaidizi sio kosa lake shida ipo kwenye serikali za mitaa kufanya double taxation.
Hoyeeee
Komedi
Tumakamuliwa na SERIKAL iliyo chin ya chama CHAKO ulikuwa katib mwenez
Jembe la mama Samia oeeeee nimeanza kuipenda CCM nilikua sipendi kabisa.. lakini makonda umenifanya niwe mwana cccm
Pepo awez kutoa pepo so haujui tu
Ndio hao hao wenyew kwa wenyew Bora angekuwa chama kingine
Hii nchii imeoza hembu angalia watuu walivo nakero kero ya waziri wa arizi anasikiliza mkuu wamkoa kweli sijui tutafila wapi
*embu*ardhi
Hapa huyo afisa yuko sawa kabsa sema makonda haelewi mfumo wa hesabu za madini.
Maana ya kuwa mtaalam ni kuelezea na kueleweka.....sasa unawezaje kuwa mtaalam na usiweze kuelezea umma
Piga kazi rais wangu makonda,wewe ndiyo mkombozi wa taifa hili
Stop looking for an outside saviour, it starts with YOU!! You start making a change in your life & it creates a domino effect! Outside saviour is the effects of religion on the masses. Don’t shoot the messenger!!
Ndo nini umeandika sijaelewa@@section8ight174
Hiyo hiyo bendera inashuka kila wakat imekuwa mpanda mlima😅😅
Makonda mungu akupe maisha maarefu sana
Blessed Rais wetu mtarajiwa
Halmashauli wanaleta shida kwenye mfumo wanachukua 0.3 kama service levy na wanakaa barabarani na kutoza tena ndio wanaotengeneza double taxation
Huyo mkaguzi msaidizi sio kosa lake shida ipo kwenye serikali za mitaa kufanya double taxation.
Hoyeeee
Komedi
Tumakamuliwa na SERIKAL iliyo chin ya chama CHAKO ulikuwa katib mwenez
Jembe la mama Samia oeeeee nimeanza kuipenda CCM nilikua sipendi kabisa.. lakini makonda umenifanya niwe mwana cccm
Pepo awez kutoa pepo so haujui tu
Ndio hao hao wenyew kwa wenyew Bora angekuwa chama kingine
Hii nchii imeoza hembu angalia watuu walivo nakero kero ya waziri wa arizi anasikiliza mkuu wamkoa kweli sijui tutafila wapi
*embu
*ardhi
Hapa huyo afisa yuko sawa kabsa sema makonda haelewi mfumo wa hesabu za madini.
Maana ya kuwa mtaalam ni kuelezea na kueleweka.....sasa unawezaje kuwa mtaalam na usiweze kuelezea umma
Piga kazi rais wangu makonda,wewe ndiyo mkombozi wa taifa hili
Stop looking for an outside saviour, it starts with YOU!! You start making a change in your life & it creates a domino effect! Outside saviour is the effects of religion on the masses. Don’t shoot the messenger!!
Ndo nini umeandika sijaelewa@@section8ight174
Hiyo hiyo bendera inashuka kila wakat imekuwa mpanda mlima😅😅