Luhaga Mpina amvaa tena Mwigulu Bungeni; Simbachawene aingilia kati amtega kwenye Vifungu
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2023
- Vita ya maneno kati ya mbunge wa Kisesa na Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba bado ni mbichi ambapo leo Jumatatu Februari 6,2023 Mpina amemchokonoa tena Dk Mwigulu sasa akitaka akiomba bunge lipitishe Azimio la kuitaka Serikali kupeleka bungeni taarifa ya matumizi ya fedha zilizokopwa nje ya bajeti lakini akipendekeza Waziri wa Fedha awajibike.
Akochangia leo katika taarifa ya Kamati ya Bajeti, mbunge huyo amesema Kuna kusuasua katika usimamizi wa matumizi ya fedha ndiyo maana kumekuwa na malimbikizo ya deni la Taifa ambalo litapelekea riba kubwa kwa siku za usoni na hivyo kuongeza mfumuko wa bei.
Luhaga mpina next President
Heche bhn
Mpina mitano tena wakizingua hamia Airtel tuko na wewe wewe ni rafiki wa kweli uko upande wetu Rip Magufuli
Mpina ananifurahisha sana
Kuna dua moja tukiiomba vizuri kila mtu kwa wakati wake, Mungu atatupa majibu haraka sanaa
Ukimuona Tu mwigu unajua kazi tunayo
Safi sana MB Mpina, Mungu Akulinde🙏🙏
Nakuelewa kaka namungu anakuelewa msemakweli mpenzi wa mungu. Japo majibu nimepesi mnoooo.
The Real Man Undisputable remained standing. We are living the spirit of the true son of Africa The Late H.E Dr. JPM🙏🏻💪🏻
Nchi ina kopa kama wendawazimu mwigulu ni mpuuzi sana alafu ana ita watu waganga wa kienyeji
Ndio maana nasema wasukuma ndo wamebak waaminifu kwenye hii mchi sisi wengne tunajal matumbo yetu tu
Msukuma hagai hata kuongoza nchi hii wachilia mbali uwaminifu unaousema.
Tumeona miaka mitano ya kidikteta chini ya muwaaji mkubwa mwendazake jiwe na kikosi chake cha SUKUMA GANG.
Tunamshukuru M/Mungu kwa kumuangamiza huyu kiumbe ambae alitawala kwa mkono wa chuma. Hata Nyerere aliacha wosia, kati ya wasukuma, wachagga na wahaya haya makabila yasiachiwe uongozi wa juu ni nukxi.
Sasa huyo Mpina ndie aliyewafilisi wavuvi kwa kiasi kikubwa wakati akiwa ktk utawala wa kishenzi wa jiwe magu.
Ikitokea wabunge wanafanya mtihani basi mpina atakuwa kwenye top3
Jamaaa amna anae muung mkono bungeni acha ktu siasa na tumbo
Maranyingi nakuwa wa Kwanza ktk notification ya global channel. Naomba kuungwa mkono jamani na like zenu wadau.
Hii sio channel ya Global Ni mwananchi
Mpina uko sahihi unafaa kuwa Raisi wetu
Una akili sana
Wanauziwa mawe jana nimeona foleni ya kutosha tena walikuwa wazee hadi huruma ase
mwananchi media nakupongeza sana kwa kukata huo ushuzi wa " taarifa mwenyekiti".
Kiboko yenu ccm alikuwa ni pita msigwa na tunamuombea 2025 arudi bungeni harafu wengi wa ccm wabunge mnapigwa chini tembeeni mkijua mlibebwa na hayati magufuri wote ni mbeleko kuanzia mama mpaka nyie tunajua kwa hiyo lingeni tu kwa sahii tutakutana 2025
Hv huyu kwann asipewe cheo kikubwa zaid
Mbona hatujasikia Mpina alipotaja kwamba serikali ilikopa Trillion360(Tshs)?
Alichosema Mpina kulingana na ripoti ya serikali jedwali No.2 serikali imekopa zaidi ya Billioni322(Tshs).
Halafu akasema kwa mikopo ya ndani serikali iliidhinishiwa na Bunge kukopa Trillioni 1.84 badala yake ikakopa Trillioni 2.5(Tshs)!
Mengine ni yale aliyosema ni kwamba Apr2021-Jun2022 deni la Taifa limeongezeka kwa Trillioni 10.83,May na Jun2021 serikali ilikopa zaidi ya Trillioni 3.9.
Halafu akasema huko nyuma deni lilikuwa linakua kwa 4% lakini miaka 2020/2021 na 2021/2022 limekua kwa (12.33)%
Kulingana na clip hii hayo ndiyo aliyosema.
Hivyo basi kama ni kumkosoa
fuatilieni hlzo data alizotoa kama ni sahihi au la.
HIVYO VITI VISIVYO NA WATU VIUZWE PESA ILIPE DENI LA TAIFA
Mnaweka vipi VITI vingi na havina Watu wa kukalia? Hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali za Umma
Kweli kabisa. Hapo bungeni wanahitaji viti kama kumi tu na chumba kama sebule za mitaani. Tuache kuchezea pesa za wananchi!!!
@@jan6703 Wameharibu pesa kujenga midude mikubwa maviti haryana hesabu watu wanaoingia humo kila siku wanahesabika alafu wanaongelea uchumi, pesa wanachezea MUNGU TUNAHIJI HURUMA ZAKO hawa wanasiasa wanafanya utupende zaidi kabla ya wakati kwa msongo ya mawazo 😭😭😭
Nimekuelewa!
Hahahahaha matumiz mabaya ya viti
Mpina mbunge Jemedali wa KARNE, pmj na itikadi kwa chama tawalablkn serious yupo kwa sjili ya kutetea wananchi Tanzania
huyo mwigulu alishatumbuliwagwa na mhe magufuli kipind cha uhai wake,alishaona hapo hakuna mtu.
Huyu ni Bora kuliko mwigulu
Sisi ambao hatuna ushabiki tumefuatilia hoja za mpina na kisha tukafuatilia majibu ya Mwigulu, tukagundua ukweli uko upande gani.
Wengine wanaumia kwa sababu walinyang'anywa uwaziri tu.
Taarifa mbona umefutwa ???
Tunaramba asali
Hakuna kitu
Ila huyu simbachawene sijui huwa Ana shida gani
Huyo ni waziri wa nchi ..huyo kalewa ...haoni wala hasikii ..tumbo hilo duuuh
Kaka wewe ni mtanzania
Usimtishi ase
Mbn mnakata mnaunga why
Kwani kitabu chenu kimeandikwaje
Bunge hili bana mpina watakuuwa hebu jiulize mara hii tu wakati tumesikia umesema bilioni wamekugeuzia wanakuambia trioni ili uonekane umekosea lengo lao usieleweke kwa wananchi
Wanaonyangangwa uwaxiri muwe mnajitathimin Luhaga unatafuta mamna ya kurudia uwaxiri utateuliwaje Kwa kiwango Cha uelewa ulionao sometimes najifunza kuwa mawaziri wengine wanatolewa ktk nafasi zao kulingana idhaifu wa kucatchup mapema unaweza kwenda shule lkn ukawa mgumu wa kuelewa mambo Kwa haraka mpk nguvu ya ziada itumike, mpina kasoma ila ni wale Maslow learner Mwigulu nenda nae trtb atakuelewa usimchape viboko
@@frankphiri9132 Wewe ulioyaandika yote hayana ukweli wowote !!!! Pole sana hujitambuwi.
Tunarudi kule kuleeeeeeeeee.
Unafiki tu mbona kuna rais alikuwA anafanya matumizi nje ya bajeti na hamkusema wakati ule?
Watz wamekufa kama video hii ina like 88 tu watu wamekufa akili hazipo
Namuona rais wa wanyonge ajae
Hyu mheshimiwa mpina kwawakatihu vilaza wameshikahatam inabidialindwe ss cjuwiatalindwananani namuachiamungu
Wbunge wanaoliteteataifa ni mpna alikuwa polepole bashiluali kakulwa basi
Huyu mbunge anauchungu nataifalake sijuinae atapewaubalozi ili wabakie pangupakavutupu?
Acheni kumtishia mpina ni msomi jemedari
Huyu jamaa Anaelementi za Kidikiteta uchwara
Huna akili ww
Wewe utakuwa unatoka Pwani mnapenda kulelewa sana
Simiyu jimbo la kisesa
TUNALAMBA ASALI BWANA MPINA TUACHE 🤣🤣🤣
Tunaludi kulekule ambako dola inakuwamfukonikwamtu ukihitaji mtuanakubadilishia anavyotaka Rip JPM
Mwamba huyapa natamani kujua Mh ruhaga mpina anatoka mkoa gani
Mwanza
Simiyu
@@haidhabushiri9558 no
Bilioni bwana tumeskia sio trillion aache uongo huyo
Nchi inarudi kule kuleee... sijui kwanini Rais anaendekea kumuacha Mwigulu kwenye nafasi yake...
0000
Usimtishi ase
Haaaa