BILA WOGA, MBUNGE MPINA AMJIBU WAZIRI SIMBACHAWENE - "ANGEKUJA KUCHANGIA AKAONGEA HAYO MANENO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • BILA WOGA, MBUNGE MPINA AMJIBU WAZIRI SIMBACHAWENE - "ANGEKUJA KUCHANGIA AKAONGEA HAYO MANENO"
    NI mkutano wa 8, kikao cha pili cha bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania umeendelea tena leo Septemba 14, 2022 jijini Dodoma.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 70

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 2 года назад +5

    Daah, Kwa mara ya kwanza sikio langu limeenda sawa na uelewa wangu juu ya hoja Yako!!! So Big up brother Mpina.👍

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 2 года назад +3

    Luhaga mpina your hero ,Mungu akulinde

  • @nestor384
    @nestor384 2 года назад +5

    Disciple(s) of the late Dr JPM, few defenders of truth and patriotism

  • @sarahkelvin4845
    @sarahkelvin4845 2 года назад +6

    Kanda ya ziwa 2naakili ze2 za kipekeee ahsante mpina

  • @DaudiSimon-yc9rg
    @DaudiSimon-yc9rg 5 месяцев назад

    Hawa ndo wabunge tuowataka siyo kila mbunge wa ccm ni kuisvia tu serekali hata kama haifanyi vizur❤❤❤❤❤

  • @lawijosephezekieli1078
    @lawijosephezekieli1078 2 года назад +2

    Ktk nchi hiii wazarendo wanawazalau ila tambuweni watanzani wanawafatilia kumbukeni kauli ya mwalimu Nyerere maoni ya wananch ni yamuimu kuliko mawazo yenu mkiyapuzia mtakuja kuyajutia fateni watu wenu wanapendekeza Nini mtaenjoy Asante

  • @kinigarm8239
    @kinigarm8239 2 года назад

    You shouldn't underestimate Mpina's suggestions. Acheni ukabila Tanzania. This man says the truth.

  • @hk_ballers
    @hk_ballers 2 года назад

    Mpina Real G👊🏽

  • @willymnyaga8131
    @willymnyaga8131 2 года назад +6

    Simbachawene analazimisha kutenga mahabusu kwakujua kabisa kuwa wahusika wakuu wa Madawa ya kulevya ni Vigogo na na watoto wa vigogo wenyewe, hivyo kufanya sehemu special.
    BIG UP SANA mheshimiwa Luhaga Mpina.

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 2 года назад +3

    Mpina gombea tu urais,kura yang unayoooo 🔥🔥🔥

  • @lilykarim8968
    @lilykarim8968 2 года назад

    Asante mpina tunateseka na matozo harafu hela zikajenge mahabusu ndiyo kumaliza tatizo kamjengee mwanao anayegonga watu nakujiita mtoto wa waziri waambie mpina hoyeeèe👏👏👏

  • @raphaelatel3485
    @raphaelatel3485 2 года назад +1

    Safi sana mpina

  • @ngelelapeter9984
    @ngelelapeter9984 2 года назад +4

    Hela zako wapi Wabunge watu wanalia maisha magumu mnataka mnataka kujenga V.I.P ya mahabusu kweli mnatupeleka wapi naomba mtuhurumie basi

  • @pauloalfayo1868
    @pauloalfayo1868 2 года назад +1

    Watu wanalia sana maisha magumu lakini badala kupata unafuu wanafanyiwa vituko na wabunge tuliowachagua wakatutee kweli wameona kulinda masllai Yao Bora watetee masllai Yao ya kwetu waache,Ila wapo wenye unafuu kama Hawa wa Kanda ya ziwa

  • @hamismberwa5672
    @hamismberwa5672 2 года назад +3

    mh Mpina umeongea ukweli mtani wangu

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 2 года назад +8

    Kanda ya ziwa Haina watu wapuuzi, ni wazalendo wa kweli.
    Swala la kukaa na mahabusu wa madawa kwa nini lisiwe Police na wao ndiyo watu wa usalama wa raiya na mali zao? Simbachawene ni bure. Watu wanaowashauri kwa hekima na kujua mnawapa taarifa tu za ajabu ajabu

  • @lispamagu5810
    @lispamagu5810 2 года назад

    Mpina Mungu akulinde

  • @mabulasasi1205
    @mabulasasi1205 2 года назад +2

    Simbachawene nimzigo wa chawa

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 2 года назад +1

    Mpina safi sana

  • @gasperswai6963
    @gasperswai6963 2 года назад +2

    Mhe Waziri kujenga jengo siyo suluwisho tufanye capacity building kwa Vyombo vyeti na mhe Mbunge siyo anatetea wahalifu wa madawa!!!!!!!

  • @justinebaragamba9601
    @justinebaragamba9601 2 года назад +1

    Umebaki peke yako Mh Mpina. Nakufahamu msimamo wako.

  • @kainibachungege3430
    @kainibachungege3430 2 года назад

    Hakika Mpina Ni Miongoni mwa Wabunge Mahiri na Bora Nchini Tanzania.

  • @sarahkelvin4845
    @sarahkelvin4845 2 года назад +1

    Huy simba chawene kwanz yul mwanae alichukuliw ha2a gan?

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 2 года назад +1

    Mpina yuko vizuri wengi humo ndani wanafuata upepo

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 2 года назад +1

    SIMBA CHAWENE BULEEE KABISA

  • @gasperswai6963
    @gasperswai6963 2 года назад +2

    Hao viongozi tulio nao sasa wanashangaza saana wananchi wanalalamika Maisha magumu purchasing power imepungua kwa kiasi kikubwa leo kuna Waziri anakuja na hijab eti kila mamlaka iwe na mahubusu nyingine ni kwa ajili ya nini??? Hizo issue za madawa kuna vyombo vya ulinzi na Usalama kwenye kila ponit of entry kwanini serikali wa strength hivyo Vyombo kwa kuboresha kwenye hizo points,?? Airport zetu kwanini wasiweke vifaa vzr na baadhi ya hao wa Vyombo wawe ni uwezo wa ku identifying hao watu!!!! Jamani ebu Mhe Rais angalia baadhi ya wasaidizi wako wawe na uwezo kuangalia nje ya box siyo kufikiria matumizi yasiyo lazima!!! Bado nchi ina mambo Mengi’s ya msingi na muhimu kuwatoa wanachi kwenye matatizo makubwa

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255 2 года назад +1

    Mpina yupo sahihi ....kuweka watu kizuizini ni watu wengi watapotelea huko na watu wasiojulikana.....
    Wasomi wetu jamani.....Dr Tulia kaizima hoja kwa kuwa eti hajapeleka mapendekezo...... karne ya 21 .munaenda Ujimani...!!!!!

  • @ramadhankhatwib8561
    @ramadhankhatwib8561 2 года назад

    Hivi hawa wa bunge wetu mbona kila mtoa hoja anapigiwa makofi

  • @lilykarim8968
    @lilykarim8968 2 года назад +1

    Wewe tulia nifanye tukakuchukia muda umeisha vipi hata watanzania tunapinga kiondoeni kifungu hicho mnatujazia matumizi tuu

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 2 года назад

    Mpina nakuelewa mnooooo

  • @williamsenkoro2210
    @williamsenkoro2210 2 года назад +1

    Naona kila wizara inalazimisha miradi Ili pesa zipelekwe wakapige. Naunga hoja ya Mpina. Leo hii tunawekewa matozo Kwa madai ya kujenga shule. Sasa shule bado zinajengwa watu fulani wanatafuta deal ya pesa zipelekwe wakapige. We are not Afghanistan ambapo society ime be affect na drugs mpaka kusema kujenga mahabusu special. Huu ni wizi unakuja...

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 2 года назад

    Yaani speaker unamcrush juu kwa juu?

  • @ayoubngwema233
    @ayoubngwema233 2 года назад

    Mhina kaongea vizur lakn kwa sababu ya kanuni spika anapitisha makosa

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 2 года назад

    Huyu jamaa anajichanganya sana.polisi awezi kushughulika Na madawa ya kulevya.

  • @mikemutabuzi3665
    @mikemutabuzi3665 2 года назад

    Kwa hiyo spika anamaanisha kama hajaleta hayo marekebisho hapo na hoja ina maslahi ya taifa ina maana haina maana tena, Mbona mbunge anatetea kitu muhimu sana? Hapo wanataka hela waaze kupiga tu, kwa nini magereza Yasirekebishwe kuliko kwenda kujenga mengine?

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 2 года назад

    Hawa wasukuma wanizingua.kuanzia magu atawale imekuwa kero ata vitu vya maana wanapinga 2

  • @williammalangas7651
    @williammalangas7651 2 года назад

    HONGERA Mbunge mpina huyo.mgogo chawene HANA CHOCHOTE amekuwaakipewa nafasi.ili kuwasaliti wagogo

  • @mussamabawa2973
    @mussamabawa2973 2 года назад +1

    Kongole mheshimiwa mpina

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 2 года назад +1

    Sgr treni inaanza lini? Mwezi wa tisa huu?

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 2 года назад

    Amjamuelewa pina anapinga kujengwa mahubusu ya madawa ya Kulevya.sijengwe ata elfu madawa ya kulevya ni kero

  • @Expedito2512
    @Expedito2512 2 года назад

    Kweli kabisa Mpina! Kamati ni kamati na bunge ni bunge. Kwa hiyo huyo mbunge ana maana wananchi tuingie kwenye kamati tupate hayo maelezo?

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 2 года назад

    Hivi serikali haiwajui wauzaji mbona enzi ya JPM madawa yaliisha?????

  • @seifsungura6936
    @seifsungura6936 2 года назад

    Bunge bungoma

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 2 года назад

    Huyu jamaa anafaa kuwa Rais

  • @ms123ru
    @ms123ru 2 года назад

    @ikulu

  • @jacksonsilaa415
    @jacksonsilaa415 2 года назад

    Lakini huko Duniani pote watuhumiwa wa hayo madawa wana special remand mbona marchelewa sana kufikiri ,wizi mtupu.

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 2 года назад

    Namuona makamba anavyopiga makofi,

  • @gasperswai6963
    @gasperswai6963 2 года назад

    Kwanini msifanya capacity building kwa hao wanaosimamia mahubusu wengine kwani polisi hawafundishi??? Mhe yupo outof phase, Mhe Rais lazima aweze kuangalia wanaomsaidia hao wengine wanaongeza gharama kwenye uendesheji wa baadhi ya wizara

  • @stevenlugojeremia2323
    @stevenlugojeremia2323 2 года назад +1

    Badala ya Kutafuta wahusika wakuu wanao uza madawa ya kulevya nyie mnatafuta machawa wanao uza kete na kuwasumbuwa huku wahusika wakuu wakila good time

  • @nyikaaron3324
    @nyikaaron3324 2 года назад

    Nyie mnapoteza muda mtu pekee anayeweza hiyo kazi ni makonda nyie hspo ni kelele

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 2 года назад +2

    Mpina wewe unapinga bule hata huku Ulaya kama wanagundua unamadawa ya kulevya tumboni kuna selo marumu za kukaa kunakuwa na choo na kunachujio na kutaka na utakunya tu mimi nauga mkono hizo selo ziwekwe kila mkoa

    • @mussamabawa2973
      @mussamabawa2973 2 года назад

      Kwan polisi hakuwwez kujengwa hicho choo kwa ajili ya watu wa madawa ya kulevya,??

    • @mohamedrashid9035
      @mohamedrashid9035 2 года назад

      @@mussamabawa2973 jibu hapana kuna polisi wanao husika na madawa ya kulevya kwa sababu Tanzania walikuwa bado wapo nyuma kwa selo kama hizo hata uku Ulaya polisi kuna selo za kawaida rakila kawa wamekukamata na madawa ya kulevya umemeza hakuweki kwenye selo za kawaida wakupeleka polisi wanao husika na madawa ya kulevya ndio ukwakuta selo hizo marumu

    • @yohanasport5929
      @yohanasport5929 2 года назад

      Hizo pesa zinatoka wPi mana wananchi wanateseka

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 2 года назад

      Kwa hiyo wanachofanya ulaya nawe ufanye??

    • @mahembajulius7036
      @mahembajulius7036 2 года назад

      Hivi we umeelewa hoja yaje? Kwani Ni kujenga selo? Hii ndo shida ya uelewa

  • @ngelelapeter9984
    @ngelelapeter9984 2 года назад +3

    Speaker kwayo unaona bora tupitishe sheria mbovu kwa sababu amechelewa kuleta marekebisho aliyopendekeza, kweli Mungu anawaona.

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 2 года назад +1

    Kamateni mapapa siyo vidagaa

  • @jacksonchaula6010
    @jacksonchaula6010 2 года назад +2

    Mpina jembe big up brother