Mbeya Real Friends Yaonesha Ukubwa Wake yawashika mkono waathirika mafuriko Maanga Veta Ilemi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 апр 2024
  • #mbeyayetutv
    Kundi la baadhi ya Wafanyabishara wakubwa Jijini Mbeya wanaofahamika kwa jina la Mbeya Real Friends wameguswa na tukio la mafuriko lililoukumba mtaa wa Maanga Veta Kata ya Ilemi Jijini Mbeya na kuchangia msaada wa chakula wenye thamani ya Shilingi milioni 2 kwa Waathirika 23 wa maeneo hayo.
    Msaada huo umewasilishwa na Mwenyekiti wa Kundi hilo Francis Msae na kupokelewa na Diwani wa Kata ya Ilemi Angelo Magoma kwa niaba ya wananchi wa maeneo hayo.

Комментарии •