MAAFA RUFIJI WATU 6 WAPINDUKA NA MTUMBWI..LIVE ..WANNE MPAKA MUDA HUU WAJAPATIKANA......

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 апр 2024
  • #kaziiendelee

Комментарии • 90

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 24 дня назад +6

    Nachukia sana mimi mnapoendekeza magwanda kwenye maisha ya watu, unasikia kuna ajali/maafa, unaenda kuvaa gwanda la kijani kwanza ndiyo uende maafani ukaseme mama anasema hivi,;

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 23 дня назад +2

    Nakuomba mungu tunusuru na vua zinazo enderea

  • @NeemaMateleka
    @NeemaMateleka 12 дней назад

    Jamani tunapoa majanga kwa wezetu tusimame kwenye maombi mimi na wewe maa hatujui kesho yetu mungu tusamehe na ulisamehe taifa letu akili zetu zimefungamana ni wewe wajua tuendako amina

  • @arafatimsongo5328
    @arafatimsongo5328 Месяц назад +4

    Natoa ushauri kwa serikali yetu sikivu ipeleke helkopta maeneo yale ili pakitokea shida kama hiyo itakuwa rahisi kuokoa.

  • @uplovermellody9837
    @uplovermellody9837 26 дней назад +1

    Mungu awafanyie wepesi ndungu zetu

  • @JacoboMtokoma
    @JacoboMtokoma Месяц назад +4

    Je hakuna msaada wa kijeshi. Na Helikopter za uokoaji??

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 Месяц назад +4

    Inaumiza sana.

  • @issapanduka7313
    @issapanduka7313 21 день назад

    Hawa viongozi wa ccm hawana hata aibu ya kujieleza katika hilo tukio walilolishudia hapo yote hayo ni utawala usiojali utu wa watu wake inasikitisha sana. Ila hakuna marefu yasio na ncha. Wacha wafurahie maisha kula kunywa na kusaza kwa kodi za wavuja jasho ipo siku mungu atahukumu

  • @Allybinamour
    @Allybinamour Месяц назад +1

    subhanallah,jamani tumrejee mola wetu kwa madhambi yetu jamani

  • @fridamwenda5728
    @fridamwenda5728 Месяц назад +3

    Mungu utusaidie

  • @user-gv8yn9lg1i
    @user-gv8yn9lg1i Месяц назад +6

    Tuwe na juhudi na maarifa katika kuokoa, nyie mnaenda kushuhudia watu wakifa,badala mwende na mbinu za kuokoa.

  • @gwakisamwakatage4656
    @gwakisamwakatage4656 25 дней назад +1

    Poleni Sanaa ndugu zetu

    • @valenakomba7686
      @valenakomba7686 24 дня назад

      SASA ISJUI NDO KUMAANISHA NINI?. YAANI KAMA WANAKWENDA KWENYE KAMPENI.😮😮😮

  • @serengetiduma1090
    @serengetiduma1090 Месяц назад +1

    Nyie wenyewe maboya tu, ndo mjue kijifunza kuogelea! Mngrkuwa umnajua kuogelea mgeweza kwasadia! Badalala yake unasema mko mnashangaa.. mmesimamisha msafara hili mshangae!!

  • @user-re6vh7jw3h
    @user-re6vh7jw3h Месяц назад +1

    Polen mungu asamehe

  • @Mwanaidi-ih7lh
    @Mwanaidi-ih7lh 5 дней назад

    Mh jamani poleni sana

  • @barutiboniphace4335
    @barutiboniphace4335 23 дня назад

    Majanga mengine unajua ni ya kujitakia. Anaona mvua zimenyesha maji yanakasi kuliko kawaida bado unapita tena hapo hapo kwani nilazima kuisogelea hatari siangetulia tu kwanza hatari ipungue ndiyo apita inamaana yeye hakujiuliza ikitokea mtumbwi umepinduka tunajiokoa vipi. Rsk Management

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv 22 дня назад

    Jamani iteni waokoxi Basi Eee Mungu wangu

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 Месяц назад +4

    Kwani Tanzania haina jeshi?Haina Jeshi la wanamaji wa kusaidia jamii?Kwani jeshi la Tanzania lina wajibu gani kama haliwezi kusaidia walipa kodi?Uzembe wa CCM.

    • @feisalomar-hr3hq
      @feisalomar-hr3hq 25 дней назад

      Tanzania jeshi lipo lakukupga mwananchi na kuwauwa hasa katika uchaguz hawana kazi nyengine

    • @ivomhagama9796
      @ivomhagama9796 23 дня назад

      ​@@feisalomar-hr3hq😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @halimahalima1488
    @halimahalima1488 Месяц назад +1

    Subhana Allah 😢😢

  • @pauldatche8410
    @pauldatche8410 11 дней назад

    Mbona hawakutumia daraja kuvuka mto, jamani!

  • @user-sc1ji5rk5s
    @user-sc1ji5rk5s 13 дней назад

    يااخوه الاسلام يافاعلين الخير والله ما تكلمت الا من جوع ومَنَ ضَيْقَ الْحَالَ انَا وَامَيَ وَاخَوْتَيَ تَشَرَدَنَا مَنَ بَيَوْتَنَا بَسَبَبَ الحَرَبَ نَحْنَ فِي حَالَهُ لَا يَعْلَمَ بَهَا الا اللهَ حَسَبَنَا اللهَ وَنَعَمَ الوكيل في مَنَ اوْصَلَنَا إِلَى هَاذَا الحَالَ💔💔 وَاللهَ الْعَظيمَ مَا كَتَبَتَ هَذَا الْمَنَاشَدَةَ غَيْرَ مَنَ الضَيقَ وَالْفُقَر يَا عَالَمَ حَسَمًا فَيَنَا ارَجَوَكمَ وَاللَّهُ الْعَظِيمَ رَبِّ الْعَرَشِ العَظيمَ انّه الاكل مَا فَي عَندَي بَالْبَيَتَ وَاللَّهَ يَا اخْوَانَيَ انهَ اخَوْنَيَ بَقَعَدَوْ بَالْيَوْمَينَ مَا فَى اكل واللَّهَ وَضَعَنَا كَثِيرَ صَعَبَ نَحَنَ 4 نَفَرَ دَاخَلَ الْبَيْتَ وَابَيَ مَتَوَفي وَلَا يَوْجَدَ مَن يَعَوَّلَ عَلَيْنَا وَسَاكَنَينَ فِي بَيْتَ اجارَ لَا نَستَطَيعَ دَفَعَ الْآجَارَ اللَّي بَاقَيَ عَلَيْنَا'''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''اخي اول كلامي انا اقسم بالله على كتاب الله اني لا اكذب عليك ولا انصب ولا احتال اني بنت يمنيه نازحين من الحرب انا واسرتي بيننا ايجار وصاحب البيت والله يا اخي انه يجي كل يوم يبهدلنا ويتكلم علينا ويريد من البيت للشارع لاننا ما قدرنا ندفعله الأجار شافونا الجيران نبكي ورجعو تكلمو الجيران ومهلنا لاخره الأسبوع معاد فعنا له حلف يمين بالله هذا بيخرجنا إلى الشارع رحمه واحنا. بلادنا بسبب هذا الحرب ولا نجد قوت يومنا وعايشين اناوامي واخوتي سفار والدنا متوفي الله يرحمه ومامعنا أحد في هذا الدنيا جا انبنا في هذه الظروف القاسيه اخوتي الصغار خرجو للشارع وشافو الجيران ياكلو واوقفو عند بابهم لجل يعطوهم ولو كسره خبز والله الذي له ملك السموات والارض انهم غلفو الباب و طردوهم ورجعو يبكو ايموتو من الجوع ما احد رحمهم وعطلة ردها لقمت عيش والان لوما احدنا ساعدنا في إيكيلو دقيق اقسم بالله انموت من الجوع فيا اخي انا دخيله على الله ثم عليك واريد منك المساعده لوجه الله انشدك بالله تحب الخير واتساعدني ولو ب 500 ريال يمني مع تراسلي واتساب على هذا الرقم00967716434218وتطلب اسم بطاقتي وترسلي ولا تتاخر وا يعوضك الله بكل خير اخواني سغار شوف كيف حالتهم وساعدنا وأنقذنا قبل أن يطردونا في الشارع تتبهدل أو نموت من الجوع وانا واسرتي نسالك بالله لولك مقدره على مساعدلا تتاخر علينا وجزاك الله خيرا'《▪︎■■¤《▪︎《■■؛؛^:🎉🎉😢😢؛::"؛^^^_😞😢😥😢😥😢😥😢😥😢😥😢😥😢😥-)-'"_؛(«»+++؛'""":؛:؛))»»»»«))) @@@@@@@++(««+؛:':-٪»+::؛)+؛::؛🎉🎉😢🎉😢🎉😢🎉😢🎉😢🎉😢🎉😢🎉😢🎉😢🎉😢🎉😢

  • @SwailaMbaruku
    @SwailaMbaruku Месяц назад +1

    Inch yangu ngumu yani wao ndio waliosababixha madhala kwann wasipeleke faiba xx

  • @AllyYassen
    @AllyYassen 14 дней назад

    Allahu akbar

  • @StonesSemwenda
    @StonesSemwenda 18 дней назад

    Pole kwa mafuriko🙏

  • @ShijaKilasa
    @ShijaKilasa 21 день назад

    Poleni sana

  • @AgnessEustace
    @AgnessEustace 28 дней назад

    Ee Mungu tusaidie

  • @rejinajoseph2994
    @rejinajoseph2994 Месяц назад +1

    Poleni jamani

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Месяц назад

    Subuhanallah inalillahi wainailahi rajuun

  • @yusuphlazaro
    @yusuphlazaro Месяц назад +1

    Serkali inatakiwaa wamke wasilale jaman heee

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka 27 дней назад

    Daah poleni sana

  • @abusuheyba
    @abusuheyba 28 дней назад

    Sasa waswahili kusimama kando na kulia mutaacha please

  • @ZainabuTembo
    @ZainabuTembo 22 дня назад

    Maafa,rufiji

  • @ShijaJotham
    @ShijaJotham Месяц назад

    Waokoeni maelezo ya nn angekua kiongozi mngekaa kimya ivo

  • @user-qk4lx4hg7g
    @user-qk4lx4hg7g 27 дней назад

    Kwa hiyo wanawaangalia tuu bila msaada huo

  • @dulaomar5537
    @dulaomar5537 Месяц назад

    Hata boti hiwezo hayo maji yanakasi so jamn hiyo hatred kwa kutumia mitumbi
    Allah ajaalie alete Rehma zake

  • @user-li7gi5ge7g
    @user-li7gi5ge7g 22 дня назад

    Pole ni sana

  • @khadijaomar6730
    @khadijaomar6730 13 дней назад

    Innalillahi wainnailayhi rajiun

  • @ramadhanhassan5285
    @ramadhanhassan5285 26 дней назад

    Ndomana tumefushwa na mtume wetu ukiwa na mtoto umri kuanzia miaka 7 miongoni mwa yale mambo ya ulazima ni kumfundisha kuogelea ili iwe miongoni mwa msaada wa baadae kwake mwenyewe

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 19 дней назад

    Yaani watu wote hao wameshindwa kwenda kuwaokoa?shenzi kabisa

  • @hajially4527
    @hajially4527 24 дня назад

    Wabongo wapuuzi watu wanazama wao wanawarecodi na kupiga picha baada yakuwasaia wanawaacha wafe

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi3359 Месяц назад +1

    Serekali wako wp jaman

  • @bentanabwire5692
    @bentanabwire5692 22 дня назад

    Kutangaza mafaa munajua na kukumbowa watu kuwatoa kwenye maji munashindwa labda mungewaokoa.

  • @user-ii3bn4en8e
    @user-ii3bn4en8e Месяц назад +3

    Alla anasema sehem yeyote watu wake wasipo simamisha swala na ramadhani wakaiona sawa na mwez wakula mchana wasubir maradi na mamweso na mafufuriko

    • @EmmanuelMsangi-kb3vv
      @EmmanuelMsangi-kb3vv Месяц назад

      Acha ujinga wewe

    • @freduallughano2301
      @freduallughano2301 26 дней назад

      ​@@EmmanuelMsangi-kb3vvhuyu jamaa mpumbavu sana kwa hiyo huko arabuni ambako ndiko kibra maafa hamna?

  • @onescaniaonescania8227
    @onescaniaonescania8227 17 дней назад

    nyie wotee sijui niwaite aje,na masere yenu ya CCM, 🤦🤦🤦🤦😭😭😭😭

  • @feisalomar-hr3hq
    @feisalomar-hr3hq 25 дней назад

    Mbwa kweli muna rikodi video baada kuwaokoa mh kweli balaa

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx Месяц назад

    Jeshi la nchi hii lipo kwa ajili yakuiba kura tu pumbavu

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 24 дня назад

    MNAI KAA KARIBU NA MAJI JIFUNZENI KUOGELEA .

  • @barakajoseph2234
    @barakajoseph2234 24 дня назад

    Ccm mnazingua mnatoa wapi muda wa kuvaa magwanda hadi kwenye matukio ya emergency

    • @seifseifmohamed7118
      @seifseifmohamed7118 22 дня назад

      Hata hizo sura zao tu ukiwaona hutajua tu kuwa hawana akili

  • @malkiarosemuhando3310
    @malkiarosemuhando3310 25 дней назад

    Hi I jeshi la zimamoto kazi yake nini?? Na hata jkt jwt hizi ni Nyenzo za kusaidia mambo kama haya Sasa mbona ni kama hakuna kujali Hali za Hawa wenzetu aathirika?

  • @mjunicharles1198
    @mjunicharles1198 25 дней назад

    Mwisho na daraja litavunjika😢

  • @boniventurehussein7276
    @boniventurehussein7276 Месяц назад

    Serikali simpeleke helkopta ikae mda wote kwaajil ya tahadhali maana ya jeshi la uokoz nini???

  • @SalamaAkilimali-ly3bu
    @SalamaAkilimali-ly3bu Месяц назад +1

    😭😭😭😭

  • @user-wd7bc7js6x
    @user-wd7bc7js6x 23 дня назад

    😢😢😢

  • @user-fu2xl6wp1e
    @user-fu2xl6wp1e 22 дня назад

    Harafu mkobize na sikukuu ya muungano

  • @hillaryngeno310
    @hillaryngeno310 21 день назад

    Hawa wanaongea badala kuona mbinu WA kusaidia watu

  • @aminakhamis2276
    @aminakhamis2276 23 дня назад

    Polesana

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 25 дней назад

    Nchi iko chini ya shetaniiii iko chini ya shetaaani shetaniii anatawala nchiiiiiiii

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 22 дня назад

      Shetani ni wewe na ukoo wako laana kum wee.
      Adui wa Allah adui wa Rasulli.

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 Месяц назад

    Sasa unaripot na jezi za ccm ndo nini sasa

  • @user-qw4pm6xm4i
    @user-qw4pm6xm4i Месяц назад +1

    Masikin

  • @athmaniathmanisimba4976
    @athmaniathmanisimba4976 29 дней назад

    Mnabaki kuongea baada yakuwaokoa mnabaki mmesbika maik

  • @user-cg6iy2et7q
    @user-cg6iy2et7q Месяц назад

    Mnafanyann kalibunamaj?

  • @rahimumuco8662
    @rahimumuco8662 Месяц назад

    Life jackets ?!

  • @user-qw4pm6xm4i
    @user-qw4pm6xm4i Месяц назад +1

    Mungu atanuru kwa mvua hii

  • @shimoneycashtalk9176
    @shimoneycashtalk9176 26 дней назад

    Yani mna shuhudiya watu wanavo kwenda na maji africa shida sana

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 25 дней назад

    Yan nyinyi baada kutoa msaada kurecod tu

  • @AleXNixt-xg2cw
    @AleXNixt-xg2cw 29 дней назад

    Watu wanazama live mpo mnarecod live mh kweliii uyo mwandish yupi ambae anashindwa fata ethics poor behaviour

  • @hamadikhalfan6751
    @hamadikhalfan6751 Месяц назад

    Eemungu

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 23 дня назад

    Lasaana ya huyu shetani samia itawamaliza watanganyika

  • @edwinmahonga4063
    @edwinmahonga4063 11 дней назад

    Shindwe wajinga nyinyi,helicopter ipo wapi,,,serikali ,,hiyo ni muda mrefu sana wakizama ilihali mnaripoti

  • @swabiaa1489
    @swabiaa1489 24 дня назад

    Jamn si mkawaokoe dah😢

    • @seifseifmohamed7118
      @seifseifmohamed7118 22 дня назад

      Nani anajiweza wote hao ni bure tu kama hapana watu. Hawa watu ni mavi ya kuku

  • @salehekisebengo8554
    @salehekisebengo8554 Месяц назад

    Ninyi wajinga sana ,mnashindwa kuokoa watu mnabaki kupga picha tu,et unatuambia umepita kkuangalia tukio,huu ni upumbavu ,unaangalia tukio la kuona watu wanakufa bila kuwaokoa?

  • @Sobo740
    @Sobo740 Месяц назад

    Pelekeni boti acheni siasa

  • @ednakawau9842
    @ednakawau9842 Месяц назад

    😢😢😢

  • @AleXNixt-xg2cw
    @AleXNixt-xg2cw 29 дней назад

    Watu wanazama live mpo mnarecod live mh kweliii uyo mwandish yupi ambae anashindwa fata ethics poor behaviour